Wednesday, May 27, 2015

Dealing With The Strongman

Isa 49:24 Shall the prey be taken from the mighty, or the lawful captive delivered? 25 But thus saith the Lord, Even the captives of the mighty shall be taken away, and the prey of the terrible shall be delivered: for I will contend with him that contendeth with thee, and I will save thy children. 26 And I will feed them that oppress thee with their own flesh; and they shall be drunken with their own blood, as with sweet wine: and all flesh shall know that I the Lord am thy Savior and thy Redeemer, the mighty One of Jacob.
Psm 124: 7 Our soul is escaped as a bird out of the snare of the fowlers: the snare is broken, and we are escaped.
Psm 56:9 When I cry unto thee, then shall mine enemies turn back: this I know; for God is for me.
Psm 91: 13 Thou shalt tread upon the lion and adder: the young lion and the dragon shalt thou trample under feet.
Psm 18: 37 I have pursued mine enemies, and overtaken them: neither did I turn again till they were consumed. 38 I have wounded them that they were not able to rise: they are fallen under my feet. 39 For thou hast girded me with strength unto the battle: thou hast subdued under me those that rose up against me. 40 Thou hast also given me the necks of mine enemies; that I might destroy them that hate me.
Psm 35:4 Let them be confounded and put to shame that seek after my soul: let them be turned back and brought to confusion that devise my hurt. 5 Let them be as chaff before the wind: and let the angel of the Lord chase them. 6 Let their way be dark and slippery: and let the angel of the Lord persecute them.
Psm 11: 6 Upon the wicked he shall rain snares, fire and brimstone, and an horrible tempest: this shall be the portion of their cup. 7 For the righteous Lord loveth righteousness; his countenance doth behold the upright.
Psm 129: 4 The Lord is righteous: he hath cut asunder the cords of the wicked. 5 Let them all be confounded and turned back that hate Zion.
Matt 28: 8 And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.
Lk 10: 18 And he said unto them, I beheld Satan as lightning fall from heaven. 19 Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.
John 12: 31 Now is the judgment of this world: now shall the prince of this world be cast out.
Rm 16: 20 And the God of peace shall bruise Satan under your feet shortly. The grace of our Lord Jesus Christ be with you.
Col 2: 14 blotting out the handwriting of ordinances that was against us, which was contrary to us, and took it out of the way, nailing it to his cross; 15 and having spoiled principalities and powers, he made a show of them openly, triumphing over them in it.
1John 4: 4 Ye are of God, little children, and have overcome them: because greater is he that is in you, than he that is in the world.
Psm18:17 He delivered me from my strong enemy, and from them which hated me: for they were too strong for me.
1. I consume the shrine of the strongman in my family with the fire of God in the name of Jesus.
2. Let stones of fire pursue and dominate all the strongmen in my life, in the name of Jesus.
3. I smash the head of the strongman on the wall of fire, in Jesus’ name.

Tuesday, May 26, 2015

Njoo kwa Yesu

Kata shauri

Wote wanaotegemea kutii sheria wapo chini ya laana, maana imeandikwa:Kwa maana wote wanaotumainia matendo ya sheria, wako chini ya laana, kwa kuwa imeandikwa, Amelaaniwa mtu yule asiyeshika na kutii mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria. Basi ni dhahiri kwamba hakuna mtu ye yote anayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa sheria, kwa maana, Mwenye haki ataishi kwa imani. Lakini sheria haitegemei imani, kinyume chake, Ye yote atendaye matendo ya sheria ataishi kwa sheria. Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kufanyika laana kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, Amelaaniwa yeye aangikwaye juu ya mti (Wagalatia 3:10-13).
Yesu alikufa msalabani kwa ajili yetu, akalipa deni ya dhambi kikamilifu, na akafufuka toka wafu. Iwapo tunaweza kusalimisha maisha yetu kwake Yesu Kristo, Ana tuhaidi kutusamehe na kutusafisha kutoka na dhambi zetu zilizo pita zote. Ana tuhaidi kutupa sisi nguvu juu ya dhambi wakati wa sasa, na Ana tuhaidi siku za usoni kuwa pamoja na Yeye. Iwapo utampa Yesu Kristo kila kitu ulicho nacho, atakupa kila kitu Alicho nacho.
Iwapo toka kilindini mwa moyo wako ujue Yesu Kristo ni Kweli, ni kwa sababu Roho wa Mungu anakuita utoke katika giza kuingia katika Nuru yake. Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia: Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima (Yohana 8:12). Yesu anasema Tazama: Nasimama mlangoni nabisha. Kama mtu ye yote akisikia sauti Yangu na kufungua mlango, nitaingia ndani na kula pamoja naye, naye pamoja nami (Ufunuo 3:20).
Inafaa upitie mazungumzo ambayo matokeo yake yatakuwa mapinduzi ya nguvu katika kila aina ya maisha yako, ukiziacha zile nguvu za dhambi kuwa kama Yesu Kristo. Ni muhimu kuelewa sawasawa maana ya kuokoka. Wakati watu wanapookoka wanabadilisha jinsi ya kufikiria. Kuongoka kwa kweli ni: uamuzi, kukata shauri kwa ndani, kubadilisha namna ya kufikiri. Namna ya kufikiri matokeo yake ni mabadiliko katika matendo na mwenendo. Ni mabadiliko yanayotambulikana ambayo Mungu huona kama kuokoka! Katikati mwaka ni kwamba kuokoka hakuhusishi hisia ila kukata shauri!
Iwapo unajuta kwa mambo uliyeweza kufanya mabaya, na unataka Yesu kukufanya wewe uwe safi ndani mwako na aje aishi ndani mwako, unaweza kumwomba Yeye sasa. Yeye huangalia moyo.

Mtume Muhammad alikuwa Mtenda Dhambi

Wakati Biblia inasema Yesu alikuwa hana dhambi, hivi ndivyo Kuran na Bukhari Hadith zinavyosema kuhusu Muhammad. 

1. Hebu tuanze kusoma Sahih hadith kuhusu Muhammad wa kwenye Quran.

Muhammad pamoja na watu wake waliteka nyara misafara ya wafanya biashara na wasafiri mbalimbali. Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 37 sura ya 8 na.495 uk.280 inasema "wakati Allah alipomfanya mtume kuwa tajiri kutokanana na ushindi" 1/5 ya mateka ya vita iliwekwa katika hazina na Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 401 na.2348 uk.519 inasema familia ya Muhammad ilikuwa na hisa ndani yake. Utekaji nyara wa mali za watu wa kwanza kufanywa na Waislam ulijulikana kama Nakha la Raid. Wakati wa mwezi wa kusimamisha vita kwa muda, wafuasi wake waliushambulia msafara kwa kuuvamia na kuua mtu mmoja, na kuwafanya watu waliosalia kuwa watumwa, na kuchukua nyara. Muhammad mwenyewe aliongoza uvamizi wa pili pale Badr. Muhammad aliongeza utajiri wake kwa kuyashambulia makazi ya Wayahudi ya Khaibr. Yeye na wafuasi waliokuwa waaminifu kwake walijitwalia nyara na wake (Je Muhammad alihitaji mke mwingine?) wa Wayahudi wanaume 700-1000 wa kabila la Banu Quraiza waliowakata vichwa baada ya kujisalimisha.


2. Allah anamsihi Muhammad aombe Msamaha wa Madhambi anayo tenda kila siku.

Katika sura 40:55 na 48:1-2, Allah anamwambia Muhammad kuomba msamaha kwa ajili ya dhambi zake (au udhaifu wake). Sasa, watu hawahitaji msamaha kwa ajili ya madhaifu ya miili bali maadili. Sahih Muslim juzuu ya 1 kitabu cha 4 sura ya 268 na.1695 uk.373 inasema Muhammad aliomba, "Nilijikosea mwenyewe na kufanya toba ya dhambi zangu. Nisamehe dhambi zangu . . ." Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 2 sura ya 13 na.19 uk.23; juzuu ya 1.12.57 na.781 uk.434; juzuu ya 6.60.3 na.3 uk.4; juzuu ya 8.75.3 na.319 uk.213; na juzuu ya 8.75.62 kabla ya na.407 uk.271 kabla ya kueleza dhambi za Muhammad. Mambo bayana yaliyoelezwa kwenye Bukhari juzuu ya 1.4.70 na.234 uk.148; Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono. 

Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.

Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislamhaufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama. Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??

Watu wengine wanaweza kufikiri kuwa uovu hauna madhara yoyote ili mradi mtu anajiita Muislam. Katika karne hii Waislam wanawaua wakiristo na kufanya mauaji ya kinyama kwenye vijiji vyao katika nchi za Sudan, Nigeria na Indonesia. Wakati watu walioitwa wakristo waliwaua Waislam, watu walisema kuwa wanafanya kinyume cha tabia ya Kristo. Wakati Waislam wanawaua Wakristo, wanaomwabudu Mungu wa kweli, sijawahi kusikia mtu yeyote akisema wanafanya kinyume cha tabia ya Muhammad.

Nisamehe kwa kusema bila kuficha kiasi hiki, lakini mauaji ya watu wanaomwabudu Mungu yanayofanywa na Waislam lazima yaachwe. Waislam wanapohalalisha mauaji haya kwa sababu hata nabii wao alifanya hivyo, watu hushangazwa na nabii wao, na Allah wao ambaye anatengua neno lake, na chimbuko la Uislam.

Mtumu wa Allah alikuwa mtenda dhambi. 

Karibuni kwa Yesu aliye hai na Mwokozi wa Maisha yako leo.

Tafakari
Chukua hatua
Okoka

Max Shimba Ministries Org. 

Je Korani inawasifia Wakristo?

Wakristo wamo ndani ya Korani, na mara nyingi wanaitwa “Watu wa Kitabu kile” Huu ni utambulisho wa watu walioyapokea na kuyaamini maandiko yaliyotangulia. 



1. Korani huwabariki Wakristo:

“Hakika utawakuta walio shahidi kuliko watu katika uadui kwa walioamini Mayahudi na washirika. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi wale wanaosema sisi ni manasara. Hayo ni kwa sababu japo miongoni mwao makasisi na wamonaki. Na kwa sababu wao hawafanyi kiburi” (Korani 5:82).
“Enyi mlioamini kuwa ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, kama walivyosema Isa bini Mariamu kuwaambia wanafunzi wake nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Basi taifa moja la Wana wa Israel liliamini na taifa linguine lilikufuru. Basi tutawaunga mkono walioamini dhidi ya maadui zao wakawa wenye kushinda" (Korani 61:14).
"Semeni ninyi: tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyotelemshiwa sisi, na yaliyotelemshwa kwa ibrahimu na Ishmaili na Isihaka na Yakobo na wajukuu zake, na waliyopewa na Musa na isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao mlezoi. Hatutafautisha baina ya yeyote katika hao. Na sisi tumesilimu kwake. Basi wakiamini kama mnavyoamini ninyi itakuwa kweli wameongoka. Na wakikengeuka basi wao wamo katika upinzani tu. Na Mwenyezi Mungu atakutosheni kukukingeni shari yao. Na yeye ndiye Msikizi, Mjuzi" (Korani 2:136-137).


2. Korani inawaonya baadhi ya Wakristo: 

Neema katika Injili

Utangulizi

Ukurasa huu umeandikwa katika njia ya kusudi ya habari za Isa (Yesu) kwa Waislam, kutokana na mtizamo wao wa Kikuran. Ni injili ya Yesu (Injil) inayo elezwa kwa Waislam.
Katika Injili Yesu anahusu dhabihu ya Mungu kwa ajili ya dhambi zetu.

Karamu ya sadaka

Kuelewa sadaka ni ya muhimu kuangalia katika historia kuhusu sikukuu ya sadaka (Aid-Al-Adha) ambayo ni sikukuu ya Waislam. Sherehe wakati Mungu alimwita Ibrahimu (Ibrahim) kutoa mwana wake kama sadaka.
Hii inatuambia ilivyo muhimu sana kuhusu asili ya sadaka ya kweli kwake Mungu. Mwana - kondoo alikufa badala ya mtu ili kwamba wawe huru tokana na hukumu ambayo ingekuja juu yake. Kifo cha mwana - kondoo kilikubalika na Mungu kama toleo la sadaka (Fidia) katika nafasi ya yule aliye hukumiwa kifo. Mwana angetolewa tena maana mwana- kondoo alichukua mahala pake. Hangepata hii hukumu tena sababu Mungu amejipatia Mwenyewe mwana- kondoo wa sadaka iliyoweza kukubalika kama toleo machoni Mwake. Kuran inasema hivyo pia. Fidia inamaanisha ʼkukomboa toka mateka, utumwa, au kama hiyo, kwa kulipa gharamaʼ. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu alivyofanya kumwokoa mwana wa Ibrahimu toka kwenye hukumu iliyo kuwepo.
Uko wewe katika hali moja kama hivi ndivyo alivyokuwa mwana wa Ibrahimu. Wewe ni mwenye hatia aliyekufa. Kwa nini?
Hauwezi kujiokoa mwenyewe. Kila matendo mema, hayawezi kukuhakikishia kuvuka kwa usalama kuingia katika Paradiso (Pepo). Katika hatua hii, utaweza hakika kusema kwamba hauna hatia, sababu unakiri dhambi zako kwake Mungu. Walakini, Kuran inasema:
ʼNa lau kuwa kila nafsi iliyo dhulumu inamiliki kila kiliomo duniani, bila ya shaka ingelitoa vyote kujikombolea. Na watakapo iona adhabu wataficha majuto. Na patahukumiwa baina yao kwa uadilifu, nao hawatadhulumiwaʼ (Kuran 10:54).
Katika maneno mengine, iwapo unaweza kumiliki ulimwengu wote na umtolee Mungu kama dhabihu ya dhambi zako, iwapo haiwezi kutoa tambiko la dhambi zake. Uko katika hali moja kama mwana wa Ibrahimu, una hatia katika kifo.

Mwana kondoo wa Mungu

Walakini iko wapi toleo la dhambi zake? Je kuna uwezekano wa Mungu kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zako?

Yesu katika Kuran

Utangulizi

Huu ukurasa umeandikwa katika njia iliyokusudiwa habari za Isa (Yesu) kwa Waislam, kutokana na mtizamo wa Kikuran.Tafadhali angalia Kuran yako mwenyewe na ukathibitishe uamuzi ufuatao.
Katika Kuran Yesu siye Mungu, mwana wa Mungu au bwana aliyekufa msalabani. Yesu yuko katika Kuran kama nabii ambaye ujumbe wake Wayahudi waliukataa. Yeye anaitwa Masihi, lakini hii ina maanisha yeye ni mjumbe kutoka kwa Mungu (Kuran 4:171). Yeye alileta Injili (Kuran 57:27).

Ufafanuzi juu ya miujiza ya kuzaliwa kwa Yesu

Jambo la muhimu sana la tabia ya maisha ya Yesu ni kushikwa mimba na kuzaliwa kwake, inayopatikana katika Kuran 19:16-26. Kwa hivyo Yesu alizaliwa kimuujiza sababu ilitendeka pasipo nguvu za kiume. Muuijiza wa kuzaliwa kwa Yesu inaleta swali: Je Yesu ni binadamu au ni Mungu? Je Yesu alikuwa tu binadamu kwa sababu aliuumbwa kama Adamu? Ndiyo, kwa kweli, katika Kuran 3:59 tuna soma umoja kati ya kuzaliwa kwake Adamu na kuzaliwa kwake Yesu: Usawa wa Yesu mbele zake Mungu ni ile ya Adamu: alimuumba toka mavumbini, na akamwambia: ‘kuwa’ na akawa.
Walakini, Kuran inatuambia siyo tu kuhusu usawa, lakini kuhusu tofauti kati ya kuzaliwa kwa Adamu na kuzaliwa kwa Yesu:
  • Adamu alizaliwa pasipo baba wala mama walio binadamu (Kuran 2:30; 15:28; 32:7).
  • Yesu alizaliwa kutoka kwa bikira (Kuran 19:20-22).
  • Adamu aliumbwa toka chini: kwa mavumbi tu, kwa hivyo ni wakidunia (Kuran 15:28; 32:7).
  • Yesu aliumbwa katika Neno la Mungu, kwa hivyo ni wa mbinguni (Kuran 3:45).
  • Yesu alipewa kwake Mariamu kama mtoto asiye na kosa toka kwake Mungu (Kuran 19:19).
Katika msingi wa mambo haya, tuna weza kusema kuna mambo ya kuangalia katika utofauti kati ya kuzaliwa kwake Adamu na Yesu. Adamu aliumbwa toka chini na Yesu aliumbwa toka juu. Sababu Yesu hakuwa na kosa lolote na akaumbwa kwa Neno la Mungu, Ilikuwa hazina iliyo juu sana. Tuna tofautisha Neno la Mungu (kalima) na maneno ya Mungu katika maandiko. Neno la Mungu na Roho lazima liwe la milele maana Mungu hangeweza kuwapo pasipo Neno na Roho. Kulingana na Kuran, Yesu maishani mwake hakuwa na makosa (Kuran 19:19), Huku Adamu akikosa kumtii Mungu maishani duniani (Kuran 2:36) Adamu hana tabia zinazofanana na Yesu, Neno la Mungu linasema.

Kwa nini imani ya Kikristo ni bora zaidi ya Kiislamu?

1. Utangulizi


Kuamini juu ya Mungu Mmoja, ni imani katika Uwepo wa Utendaji wa Mungu mmoja [1]. Dini za Kiyahudi, Kikristo na Kiislamu hutofautiana na dini zingine kwani wao wanaamini katika nafsi ya Mungu [2]. 

Dini zinazoamini juu ya Mungu mmoja ni dini zilizo bora zaidi ya dini zingine kwa sababu wao wanaufunua Umoja wa Mungu pasipo ubaguzi wowote. Dini ya Kiyahudi imefungamana na Utaifa, wakati dini ya Kiislamu inahusiana na elimu dunia. Imani ya Kikristo haihusiani na Utaifa kama ilivyo imani ya Kiyahudi tena iko huru mbali na elimu dunia iliyoko kwenye uislamu. Hivyo basi Imani ya Kikristo ndio imani iliyo safi zaidi ya imani zote zingine zinazoamini katika Mungu mmoja [3]. 

Kwa sababu Uislamiu ni dini yenye kutumia tafakari ya kiakili, yenye kujitoa, yenye falsafa ya kupendwa, na ni dini ya kihujuma.
Imani ya Kikristo haswa imejengwa katika kuthamini uadilifu kwa kiwango cha juu sana, zaidi ya Uislamu kama ilivyo kwenye Mathayo 5. Katika imani ya Ukristo kila kitu kinachofanyika huwa ni kwa kusudi la kuuleta Ufalme wa Mbinguni mahali hapo.


2. Kweli
Agano la wana wa Israel lilishindwa, hivyo dini ya Uyahudi ambayo ni ya kwanza miongoni mwa dini zenye Imani ya uwepo wa Mungu mmoja, iliitwa ili kuleta suluhisho. Suluhisho lilikuwa ni kuongeza maboresho ili kuweza kushinda ugumu uliokuwamo ndani ya agano, au kulifanya agano hilo liweze kubebeka. Uislamu wenyewe uliongeza fikra za kimantiki, na kuingiza uwezo wa kibinadamu. Imani ya Kikristo iliongeza upendo wa Mungu kama nguvu ya uvuvio kwao. Hakuna sehemu yoyote nyingine ambapo nguvu hii ya upendo imekuwa ikionekana wazi kama ilivyo kwenye Ukristo [4]. Imani hizi zote yaani Uislamu na Ukristo huendelea kutenda kazi katika mambo ya kawaida, na katika hayo zimejikita kipekee. Hivyo basi maamuzi yoyote katika imani huweza kufanywa kwa njia ya ufunuo tu [5]. Swali hasa linalokuja hapa ni kwamba, je katika historia yote, ufunuo wa Mungu ni upi hasa? Swali hili haliwezi kujibiwa kwa njia ya mashindano ya kihoja, kwa sababu njia za hoja za kifikra pamoja na kweli za kibinadamu ni vigezo tofauti. 

Hata hivyo watu wameyaunganisha mambo hayo mawili ndani ya dini. Na kila dini ina njia zake za kuonyesha sababu zake zenye mantiki. Mashindano na mabishano ni namna tu ya kuwashawishi waumini wa dini hiyo. Katika imani ya Kikristo, wazo la kuutafuta ukweli kwa njia za kibinadamu imeachwa, kwa sababu Roho Mtakatifu ndiye anayeweza kuifunua kweli. Ni Mungu tu anayeweza kujitambulisha mwenyewe kwetu. Ukweli kuhusiana na Imani ya Kikristo kamwe haiwezi kuelezewa kwa kutumia njia za kibinadamu, bali hujifunua yenyewe kwa msikiaji kupitia matangazo pamoja na kuufunua muktadha wa imani, kwa sababu yeye ndiye ajuaye kuwa hii ndio kweli ya Mungu [6]. 

Kwanini Mkristo anauhakika wa kwenda Paradiso zaidi ya Muislamu?

1. Je, Kurani inatoa uhakika kwa Waislamu?


Kurani inatengeneza tu mazingira ya mashaka kuhusiana na kuingia Paradiso au hapana. Muislamu hanauhakika wa kuiepuka jehanamu ya moto:

“Hao wanao waomba, wao wenyewe wanatafuta njia ya kwendea kwa Mola wao Mlezi - hata miongoni mwao walio karibu mno - na wanataraji rehema zake na wanaikhofu adhabu yake. Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi yafaa kutahadhari nayo” (Kurani 17:57).

Waislamu hufikiria kwamba hawawezi kuwa na uhakika kuhusiana na kwenda Paradiso, kwa sababu Kurani inasema Mola huamua na mwanadamu hawezi kujua kwamba ameokoka:
"Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza. Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu, Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya! Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo? Ni Moto mkali!" (Kurani 101:6-11).

Muislamu hana uhakika ni upande gani anaohusika nao. Mola alimuumba mwanadamu kufanya wema au uovu:

"Hujui ya kwamba Mwenyezi Mungu anao ufalme wa mbingu na ardhi? Humuadhibu amtakaye, na humsamehe amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu." (Kurani 5:40).
Muislamu hajui ni nani atakuwa pamoja na Mola Paradiso. Kwa hiyo Kurani haiwezi kutoa uhakika kwa Muislamu kuhusiana na kwenda Paradiso.

2. Je, Muhammad anatoa uhakika kwa Waislamu?
Kurani iko wazi kwamba Muhammad hawezi kumsaidia Muislamu kuingia Paradiso:
"Wala nasaha yangu haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu anataka kukuachieni mpotee. Yeye ndiye Mola wenu Mlezi; na kwake mtarejeshwa" (Kurani 11:34).
"Hata ukiwa na pupa ya kutaka kuwaongoa, lakini Mwenyezi Mungu hamwongoi yule anaye shikilia kupotea. Wala hawatapata wa kuwanusuru" (Kurani 16:37).

"Sema: Uombezi wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Ni wake Yeye tu ufalme wa mbingu na ardhi. Kisha mtarejeshwa kwake." (Kurani 39:44).

Kwa hiyo Kurani inakataa kwamba Muhammad aweza kuwa muwezeshaji kwa Muislamu kuingia Paradiso. Angalia pia Kurani 7:188, 4:123 na 9:80. Hivyo ni nini faida yake, ikiwa kila mwanadamu atateseka jehanamu, kabla ya wenye haki kuchaguliwa kutoka hao waendao jehanamu?

Je ni nini basi kwa habari ya Muhammad kuwa mfano kwa Waislamu kuingia Paradiso? Pia hili nalo halina mbadala kwa Muislamu, kwa sababu Muhammad aliona shaka kuhusu kuingia Paradiso:

“Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi." (Kurani 46:9).
Pia nyaraka zingine katika uislamu zinasema kwamba Muhammad hakuwa na uhakika wa kwenda Paradiso [1].

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW