Sunday, January 31, 2016

Words Control Your Life

The Bible teaches that words, especially ones you say, are important.
PROVERBS 18:20-21 NKJ 

20 A man's stomach shall be satisfied from the fruit of his mouth, and from the produce of his lips he shall be filled.
21 Death and life are in the power of the tongue, and those who love it will eat its fruit.

ISAIAH 59:21 NKJ
21 "As for Me," says the Lord, "this is My covenant with them: My Spirit who is upon you, and My words which I have put in your mouth, shall not depart from your mouth, nor from the mouth of your descendants, nor from the mouth of your descendants' descendants," says the Lord, "from this time and forevermore."


What You Say Is What You Get
MARK 11:23 NKJ
23 "For assuredly, I say to you, whoever says to this mountain, `Be removed and be cast into the sea,' and does not doubt in his heart, but believes that those things he says will come to pass, he will have whatever he says.

Jesus said that you will have whatever you say -- dependent on believing and not doubting. Think of that. What you say determines what you get in life. It did for the children of Israel. And the Bible says the things which happened to them are lessons for us.
NUMBERS 14:28 NKJ
28 "Say to them, `As I live,' says the Lord, `just as you have spoken in My hearing, so I will do to you:

PROVERBS 6:2 NKJ
2 you are snared by the words of your own mouth; you are taken by the words of your mouth.


Words can get you in trouble. And words can deliver you (Revelation 12:11; Romans 10:10; Ephesians 6:17; see below). Words control your destiny.



Faith Must Speak

Jesus Is Coming Again

WHO?
Jesus of Nazareth, born into this earth by the virgin Mary, Who was the Pre-existent, Eternal, Creator God, is coming back to earth again.
MATTHEW 16:27 NKJ
27 "For the Son of Man will come in the glory of His Father with His angels, and then He will reward each according to his works.

JOHN 14:3 NKJ
3 "And if I go and prepare a place for you, I will come again and receive you to Myself; that where I am, there you may be also.

ACTS 1:11 NKJ
11 who also said, "Men of Galilee, why do you stand gazing up into heaven? This same Jesus, who was taken up from you into heaven, will so come in like manner as you saw Him go into heaven."



WHAT?
The triumphant, physical return of its rightful owner and ruler to this planet: Jesus Christ.
ACTS 1:11 NKJ
11 . . . This same Jesus, who was taken up from you into heaven, will so come in like manner as you saw Him go into heaven."

REVELATION 19:11-16 NKJ
11 Then I saw heaven opened, and behold, a white horse. And He who sat on him was called Faithful and True, and in righteousness He judges and makes war.
12 His eyes were like a flame of fire, and on His head were many crowns. He had a name written that no one knew except Himself.
13 He was clothed with a robe dipped in blood, and His name is called The Word of God.
14 And the armies in heaven, clothed in fine linen, white and clean, followed Him on white horses.
15 Now out of His mouth goes a sharp sword, that with it He should strike the nations. And He Himself will rule them with a rod of iron. He Himself treads the winepress of the fierceness and wrath of Almighty God.
16 And He has on His robe and on His thigh a name written: KING OF KINGS AND LORD OF LORDS.



WHEN?

Receive Jesus Christ

Not everyone goes to Heaven when they die. Just being a good person, or being a church member, is not enough. Only people who are in God's family enter Heaven.

To be in God's family you must receive Jesus Christ.
JOHN 1:12 NKJ
12 But as many as received Him, to them He gave the right to become children of God, even to those who believe in His name:

If you receive Jesus, you become a child of God. Romans 10 tells you how.
ROMANS 10:9-10 NKJ
9 that if you confess with your mouth the Lord Jesus and believe in your heart that God has raised Him from the dead, you will be saved.
10 For with the heart one believes to righteousness, and with the mouth confession is made to salvation.




Jesus Died For You
JOHN 3:16 NKJ
16 "For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life.

God loves you and wants you to be in His family. That is why Jesus suffered punishment for all people's sins. Jesus did nothing wrong. He did not deserve to suffer. But He died in your place -- so you could be forgiven and join God's family.



Eternal Life
1 JOHN 5:11-12 NKJ
11 And this is the testimony: that God has given us eternal life, and this life is in His Son.
12 He who has the Son has life; he who does not have the Son of God does not have life.

ROMANS 6:23 NKJ
23 For the wages of sin is death, but the gift of God is eternal life in Christ Jesus our Lord.

Eternal life is a gift -- not something you have to try to get. When you receive Jesus, you receive eternal life.



Pray This Now
Dear God, I receive Jesus Christ. I believe You raised Jesus from death after He died for me. Come into my life Lord Jesus. Thank You for forgiving all my sins. Thank You for giving me Your eternal life. Thank You Jesus, You are now my Lor

God Has Forgiven You

A popular idea is that God is really mad at people and can hardly wait to punish them for their sins.
The truth is that God has already forgiven people. Now accepting His forgiveness is your responsibility.
1 JOHN 2:12 NKJ
12 I write to you, little children, because your sins are forgiven you for His name's sake.


God Forgives All Sin
PSALM 85:2 NKJ
2 You have forgiven the iniquity of Your people; You have covered all their sin. Selah

PSALM 103:3 NKJ
3 Who forgives all your iniquities, Who heals all your diseases,

ACTS 13:38-39 NKJ
38 "Therefore let it be known to you, brethren, that through this Man is preached to you the forgiveness of sins;
39 "and by Him everyone who believes is justified from all things from which you could not be justified by the law of Moses.

ISAIAH 43:25 NKJ
25 "I, even I, am He who blots out your transgressions for My own sake; and I will not remember your sins.

HEBREWS 8:12 NKJ
12 "For I will be merciful to their unrighteousness, and their sins and their lawless deeds I will remember no more."

LUKE 7:48 NKJ
48 And He said to her, "Your sins are forgiven."

No matter what you have done -- God has already forgiven you!
Forgiving you was God's idea -- you do not have to convince Him. You must believe God forgave you and thank Him.

Jesus Forgave You

You Must Control The Devil, YES YOU CAN

The devil will take over -- if you let him. Jesus delegated authority to use His Name to those who believe in Him. You must exercise that authority, or the devil will wreak havoc in your life, and everywhere he is allowed to.
God loves you. That is reason enough for the devil to hate you. The devil would like to destroy you because he hates God. If you let him, he will.


JESUS GAVE YOU AUTHORITY
You should not be afraid of the devil or demons. Jesus defeated them. Jesus gave you authority over them all.

MATTHEW 28:18-19 NKJ
18 Then Jesus came and spoke to them, saying, "All authority has been given to Me in heaven and on earth.
19 "Go therefore and make disciples of all the nations, baptizing them in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit,

PHILIPPIANS 2:10 NKJ
10 that at the name of Jesus every knee should bow, of those in heaven, and of those on earth, and of those under the earth,

Notice that it is at the Name of Jesus, not just to the person of Jesus, that every knee will bow. As true believers in Jesus Christ, we are members of His body, and joint-heirs in His authority.
LUKE 10:19 NKJ
19 "Behold, I give you the authority to trample on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy, and nothing shall by any means hurt you.


We have authority, which if used, will insure that nothing shall by any means hurt us. The choice and responsibility is ours.


AUTHORITY OVER THE DEVIL

UONGO WA MTUME MUHAMMAD NA QURAN KUHUSU KUPASUKA KWA MWEZI NA KUTEMBEA KWA JUA

1. Mtume Muhammad adai kuwa alipasua Mwezi
2. Hakuna Ushahid wa wapi vilipo vipande hivyo vya Mwezi
3. Muhammad adai kuwa Jua linatembea.
Ndugu wasomaji, leo naanza kwa kusema, hakika Msingiwa Uilam ni uongo na shaka ambazo hazina Ushahid.
Ungana nami moja kwa moja na tuone huo uongo upo wapi katika dini hii ya Jibril ibn Allah.
KUPASUKA KWA MWEZI
"Hitaji la wapagani kwa Nabii kuwa awaonyeshe miujiza. Nabii aliwaonyesha kupasuka kwa mwezi. ‘Abdullah bin Massud alisimulia: Wakati wa maisha ya Nabii mwezi ulipasuliwa vipande viwili na Nabii alisema kuhusiana na hilo, ‘Shuhudia (jambo hili).’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na.830, uk.533.
"Anas alisimulia kwamba watu wa Maka walimwomba Mtume wa Allah awaonyeshe muujiza, na kwa ajili hiyo aliwaonyesha mwezi unaopasuka." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na.831, uk.533.
"Ibn ‘Abbas alisimulia: Mwezi ulipasuliwa vipande viwili wakti wa uhai wa Nabii." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 sura ya 26 na.832, uk.534.
Mwezi unaopasuka. Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 225 na.290, uk.273 na rejeo la 1 chini ya uk.273; juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 287 na.387-391, uk.365-366; juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 261 na.345, 349, uk.331; Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 265 na.368-370, uk.331, 336.
Kuupasua mwezi Sahih Muslim juzuu ya 4 kitabu cha 37 na.6721, 6724-6730, uk.1467-1468.
Sura 54:1 inasema, "Saa (ya hukumu) imekaribia, na mwezi ulipasuliwa vipande viwili. (toleo lililorekebishwa la Yusuf ‘Ali).
Tambua kuwa kupasuliwa vipande viwili kunamaanisha kuwa mwezi uligawanywa nusu kwa nusu, na kitenzi kilichotumika hapa ni cha wakati uliopita. Hatuna kumbukumbu za watu wengine wowote ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na jirani zao wa Misri, Syria, au Uajemi ambao waliuona mwezi uliopasuliwa vipande viwili. Kurani na hadithi hazisemi ni jinsi gani mwezi uliweza kurudi kuwa kitu kimoja tena.
Vile vile Imaam Ahmad amerekodi kuwa Jubayr bin Mutw'im alisema: "Mwezi ulipasuka vipande viwili wakati wa Mjumbe wa Allah na sehemu ya mwezi ulikuwa juu ya mlima na sehemu nyingine kwenye mlima mwingine. Wakasema (makafiri) "Muhammad ametufanyia uchawi". Kisha wakasema: "Angeliweza kututeka kwa uchawi asingeliweza kufanya kwa watu wote" [Imaam Ahmad]
Usimulizi wa 'Abdullaah bin 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma):
Ibn 'Abbaas alisema: "Mwezi ulipasuka wakati wa Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) [Al-Bukhaariy na Muslim]
Ibn Jariyr alirekodi kwamba Ibn 'Abbaas alisema kuhusu kauli ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala):
((اقْتَرَبَتِ السَّاعَةُ وَانشَقَّ الْقَمَر))ُ (( وَإِن يَرَوْا آيَةً يُعْرِضُوا وَيَقُولُوا سِحْرٌ مُّسْتَمِرٌّ ))
((Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!))
((Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea)) [Al-Qamar:1-2]
MASWALI:
1. Vipo wapi hivyo vipande viwili vya Mwezi ambao Waislam wanadai Muhammad aliupasua?
2. Upo wapi ushahid wa Kihistoria au Kisayansi ambao unasaidia madai ya kupasuliwa kwa Mwezi na Muhammad?
Hatuna kumbukumbu za watu wengine wowote ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na jirani zao wa Misri, Syria, au Uajemi ambao waliuona mwezi uliopasuliwa vipande viwili. Kurani na hadithi hazisemi ni jinsi gani mwezi uliweza kurudi kuwa kitu kimoja tena.
MUHAMMADA ANADAI KUWA JUA LINATEMBEA NA LINASUJUDI KWA KITI CHA ENZI CHA ALLAH
"Abu Dhar alisimulia: Nabii aliniuliza wakati wa machweo ya jua, ‘Unafahamu mahali ambako jua linakwenda (wakati wa kuchwa)?’ Nilijibu, ‘Allah na Mtume wake wanafahamu vizuri zaidi.’ Alisema, ‘Linakwenda (yaani linasafiri) hadi linasujudu chini ya kiti cha enzi, na linapata kibali cha kusimama tena, na linaruhusiwa na kisha (muda utakuja ambapo) litakuwa linakaribia kusujudu lakini kusujudu kwake hakutakubaliwa …’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 4 na.441 uk.283.
al-Tabari juzuu ya 1 uk.231 inasema, "Nilimuuliza Mjumbe wa Mungu [Muhammad] ‘[Jua] linazama wapi?’ Alinijibu: ‘Linazama mbinguni na kisha linachomoza kutoka mbingu kwenda mbingu nyingine hadi linachomoza kwenye mbingu ya juu zaidi, mbingu ya saba. Hatimaye, linapokuwa chini ya kiti cha enzi, linaanguka chini na kusujudu, na malaika wanaolisimamia wanasujudu pamoja nalo. Kisha jua linasema, Bwana wangu, ni wapi unakoniamuru nichomozee, ni upande ule nilikozamia au nilikochomozea?’ Aliendelea. Jambo hili ndilo (linalokusudiwa na) neno la Mungu: ‘Na jua: Hukimbilia mahali linapotakiwa kuwepo (usiku)’ linaposhikiliwa chini ya kiti cha enzi – ‘Jambo hilo limeamriwa na Yeye Mwenye Nguvu na Mwenye Kujua’ Bwana kwa mamlaka yake ya kifalme, Bwana ambaye ‘anavijua’ viumbe vyake. Aliendelea, Gabriel alileta kwenye jua vazi lenye kung’aa tokana na mwanga utokao kwenye kiti cha enzi, kwa kufuata vipimo vya saa na siku. Ni refu zaidi wakati wa majira ya joto na fupi zaidi wakati wa majira ya baridi, na lenye urefu wa wastani wakati wa majira ya kupukutisha majani na wakati wa majira ya kuchipua majani. [Mitindo ya majira ya kuchipua majani, kupukutisha majani na majira ya baridi!] Aliendelea. Jua huvaa vazi hio, kama mmoja wenu anavyovaa zavi lake. Kisha, huwa huru kuzunguka kwenye anga la mbinguni mpaka linapochomoza kutokea upande linaochomozea. … Njia hiyo hiyo hufuatwa na mwezi wakati wa kuchomoza kwake … Lakini Gabriel huuletea vazi kutoka kwenye mwanga wa miguunil. Hivi ndivyo neno la Mungu (linavyomaanisha) ‘Amelifanya jua kuwa angavu na mwezi kuwa mwanga.’"
HUYU MUHAMMAD wanaye dai kuwa alipasua Mwezi, anaendelea kusema uongo kuwa eti Jua linazunguka na kufika kwa Allah ili kusujudu?
MASWALI:
1. Kama Muhammad alishindwa kujua historia rahisi ya Jua, kwanini tumwanini kuwa alipasua Mwezi?
2. Kama Muhammad anadai kuwa Jua n Mwezi vinatembea, kwanini tumwanini kuwa alipasua Mwezi?
MUHAMMAD ANAENDELEA KUSEMA UONGO NA KUZIDISHA SHAKA KWENYE QURAN
SASA MUHAMMAD ANASEMA KUWA JUA LINAZAMA KWENYE CHEMCHEM YA MATOPE
Dhu al-Qarnaiyn [Zul Qarnain] "alishuhudia kuzama kwa jua kwenye sehemu yake ya kupumzikia kwenye bwawa lenye ute mweusi na wenye harufu mbaya sana." al-Tabari juzuu ya 5 uk.173-174 (Tazama Sura 18:82-97).
al-Tabari juzuu ya 1 uk.234 pia inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi yenye matope. Msemo "yenye matope" ni hami’ah, unaomaanisha udongo mweusi wa mfinyanzi, lakini hamiyah ni neno lenye kufanana nalo linaloweza kumaanisha kitu cha moto. (Tazama rejeo la 442 chini ya uk.234).
Ndugu zanguni, hii dini ni Msiba ambao hauta isha mpaka kihama. Sasa Muhammad aliye dai kuwa alipasua MWEZI na kushindwa tuonyesha wapi vilipo vipande vya Mwezi alio upasua, anasema kuwa ETI Jua linazama kwenye tope. Huu kama si msiba ni nini?
MUHAMMAD ANAENDELEA KUWEZA SHAKA KATIKA IMANI YAKE:
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ETI JUA LINAPOROMOKA TOKA KITI CHA ENZI MPAKA KWENYE BAHARI.
" [Muhammad] Aliendelea. Wakati jua linachomoza, linainuka juu ya kibandawazi (kinachokokotwa na farasi) toka kwenye moja ya chemchemi hizo likiwa pamoja na malaika 360 …. Wakati Mungu anataka kuvijaribu jua na mwezi, ili kuwaonyesha watumishi wake ishara na kwa njia hiyo kuwataka waache kutokumtii Yeye na kuanza kutii, jua huporomoka ghafla toka kwenye kibandawazi na kuanguka kwenye kina cha bahari, ambacho ni cha mduara.
Wakati Mungu anataka kuongeza umuhimu wa ishara kuwatisha zaidi watumishi wake, jua lote hunguka, na hapawi na sehemu yake yoyote inayobaki kwenye kibandawazi. Huko ndiko kupatwa kukamilifu kwa jua, wakati ambapo mchana hujiwa na giza na nyota hutokeza." al-Tabari juzuu ya1 uk.236.
JAMANI, hivi hawa ndugu zetu, wanafanya nini Shule? Mbona madai ya Muhammad na Allah wao yamejaa shaka na ni HDAIF DHAIF DHAIF? Hakika Uislam ni uongo na ni didi ya warongo.
MUHAMMAD NA ALLAH SASA WADAI KUWA:
1. NYOTA ni Makombora ya kumpiga Shetani
2. VIMONDO ni silaha za kuwapiga Mashetani
"Mbingu za chini kabisa zina taa [nyota], na ‘Tumeziumba (taa) hizi kama makombora ya kuwafukuzia waovu, na tumetayarisha Adhabu ya Moto Uwakao kwa ajili yao.’" Sura 67:5.
"Kuumbwa kwa nyota hizi kuna madhumuni matatu, yaani, kulipamba anga, makombora ya kuyapiga mashetani,na alama za kuwaongoza wasafiri. Kwa hiyo kama mtu yoyote anajaribu kupata tafsiri nyingine amekosea na anapoteza nguvu zake tu..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 3 kabla na.421, uk.282.
Wakati mwingine vimondo hurushwa kwa mashetani ambao wanajaribu kusikiliza siri za mbinguni. Sahih Muslim juzuu ya 1 kitabu cha 4 na.902 na rejeo la 674 chini ya uk.243.
Vimondo vinapaswa kuwapiga malaika [wabaya] kabla hawajaeneza mambo walyoyasikia. Wakati mwingine malaika wabaya huwaambia watabiri kabla ya kuwapiga. Ibn-i-Majah juzuu ya 1 kitabu cha 1 na.194, uk.110.
Vimondo huyashambulia majini (genies) Sahih Muslim juzuu ya 4 kitabu cha 24 na.5538, uk.1210.
Nyota hulinda dhidi ya shetani. al-Tabari juzuu ya 1, uk.223.
Ndugu wasoamji leo nimeonelea kuwa, ni vyma tuendelee kumuumbua Allah na Muhammad maana wao wamejama shana na uongo kwenye dini yao.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Saturday, January 30, 2016

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA SITA)

ALLAH NI KIUMBE KAMA BINADAMU1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe
5. Allah ana Miguu na nyayo kama viumbe
Ndugu zanguni,
Natanguliza kwa kusema huu ni Msiba Mkubwa sana kwa ndugu zetu kwa kupitia Adam wanao pinga kuwa Allah hana mfano.
Leo nitawawekea mifano kadhaa kama ushahid kuwa Allah ni kiumbe.
Haya, ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu huyu Allah kiumbe.

ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.

ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.

ALLAH ANAKAA KWENYE KITI KAMA VIUMBE
Katika Sura 69:17 Surat al-Haaqqah tunasoma maneno haya:
“Na malaika watakuwa kandoni mwake na malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola wako juu ya…”
Tena katika Sura 85:15 Syrat Buruj inamtaja Mungu wa Waislamu aitwaye Allah kuwa yeye ndiye mmiliki wa kiti cha enzi.

Swali ambalo napenda kuwauliza Waislamu wote Allah kumiliki kiti cha enzi. Je, kiti hicho anakifanyia nini? Huenda watu wakanishangaa. Nasema hivyo nikiwa na maana ya je, Allah naye anakaa katika kiti kama wakaavyo wanadamu? Je, ana miguu kama mwanadamu kama anakaa kama mwanadamu katika kiti cha enzi, basi haikosi hana tofauti na mwanadamu.
Angalia katika Sura ya 69: 44-45 Surat Al-haqqah twasoma.
“Na kama (mtume) angelizuia juu yetu baadhi ya maneno tu bila shaka tungalimshika kwa mkono wa kuume”.
Aya hii inaonesha kuwa Allah ana mkono wa kuume. Na kama Allah ana mkono wa kuume atakosaje mkono wa kushoto? Na kama Allah anasema atakosaje mdomo? Basi ondoeni dhana ya kwamba Allah hana mfano.

ALLAH ANA MIKONO KAMA VIUMBE
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)

ALLAH ANA MIGUU NA NYAYO KAMA VIUMBE
“Nyayo Za Mwenyezi Mungu” Na “Muundi Na Mguu” Wake!!”
Katika kitabu cha Tawhiid cha Ibn Khuzaimah, hadithi mbalimbali zinazohusiana na ‘mguu’ na ‘nyayo’ za Mwenyezi Mungu zimetajwa humo, aghalabu zikisimuliwa na Abu Huraira. Na zinaweza kupatikana vilevile katika Sahih Bukhari, Sahih Muslim, Sunan Tirmidhi, Musnad Ahmad Hanbal na Tafsiir za akina Tabari, Ibn Kathiir na Suyuti.

Abu Huraira anasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):
“Pepo na Jahannam zilikuwa na mzozo, kila kimoja kikijaribu kuonyesha ule ubora wake juu ya kingine.” Basi Jahannam ikazungumza: “Mimi nimependelewa kwa kuwepo kwa wale watu wenye kiburi na nguvu ndani yangu.” Pepo ikajibu: “Mimi sijui ni kwa nini hakuna mtu isipokuwa wale dhaifu na wanyenyekevu ndio walioingizwa ndani yangu!”

Hivyo Mwenyezi Mungu akaiambia Pepo:
“Wewe ndiye Msamaha Wangu, na kupitia kwako ninatoa msamaha kwa yeyote kati ya waja Wangu.”
Halafu Yeye akazungumza na Jahannam:
“Wewe ndio ghadhabu Yangu, na kupitia kwako wewe ninamuadhibu yeyote nitakaye kumuadhibu. Kila mmoja wenu atajaa.”
“Bali Jahannam haitajaa, hivyo Mwenyezi Mungu ataingiza mguu Wake ndani yake.”
Kisha Jahannam itagutia:
“Tosha! Inatosha!”
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copi

SHETANI ATEREMSHA AYA ZAKE KWENYE KURUANI NA KUKIRI KUWA ALLAH NDIE MOLA WAKE MLEZI

1. Shetani akiri kuwa Allah ni Mola wake Mlezi.
2. Asema Allah ndie aliye mfundisha kutenda dhambi.
3. Asema na yeye atafanya maovu aliyofundishwa na Allah kwa Binadamu
4. Tabia za Shetani na Allah zafanana

SOMA:
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
[Sûrah al-A`râf: 16-17], [Sûrah al-Isrâ’: 62] ,
Ndugu zanguni, huu ni MSIBA mwingine Mkubwa sana kwa Dini ya Jibril. Leo tunajifunza kutoka aya ambayo Jibril aliiteremsha kwa Muhammad. Aya hii katika Surat Al Hijir inakiri kuwa ALLAH NI MOLA MLEZI WA SHETANI.
Sasa Kama Allah ndie Mlezi wa Shetani, na sie wote tunafahamu kuwa Shetani kazi yake ni kufanya Maovu, Kuua watu, na kuendeleza ubaya hapa dunia, JE, inamaanisha hayo yote Shetani kajifunza kwa Allah?
Shetani anaendelea kusema kuwa, NI ALLAH ndie aliye mtia makosani, Je, inamaana kuwa MALEZI ya Allah ndio yaliyo mfunza ubaya na dhambi Shetani?
Shetani anaendelea kusema na kukiri kwa Allah kuwa, NUKUU "basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote" ATAWAPOTEZA WATU WOTE, Swali: Kwanini Allah alikaa kimya wakati Shetani anajitamba kufanya mabaya kwa viumbe visivyo na hatia? Au ni kwasababu yeye Allah ndie aliye mfuza ubaya Shetani, ndio maana alishindwa kumkanya au mwonya Shetani?
Ndugu zanguni, sidhani kuna Muislam atakaye weza bisha na au ipinga hii aya amabayo ipo wazi kabisa kuwa, ALLAH NI MOLA MLEZI WA SHETANI na ALLAH NDIE ALIYE MFUZA UBAYA SHETANI. Huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.
Waislam, ningependa mtujibu sio kwa jazba bali kwa aya, KWANINI ALLAH AHAKUKATAA KUITWA MOLA MLEZI WA SHETANI?
Max Shimba Ministries Org

Friday, January 29, 2016

MTUME MUHAMMAD ASEMA: TUMIENI MAWE MATATU KUJISAFISHA BAADA YA HAJA KUBWA

Ndugu zanguni,
Nikisema hii dini ni Msiba, Waislam wanakuja mbinde ati, nawakashifu. Sasa mimi nifanyeje wakati Mtume wao ndio anaongoza kwa vioja?
Leo Muhammad kasahau kuhusu utumiaji wa maji kama wanavyo dai, na katoa amri kwa Waislam wote kutumia Mawe Matatu baada ya haja kubwa. JAMANI HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
NABII WA ALLAH, AITWAYE MUHAMMAD ANASEMA
Baada ya kujisaidia haja kubwa, usitumie mifupa au kinyesi kujisafisha; Bali utumie mawe kujisafisha mwenyewe ... (Sahih Bukhari, 1.4.157)
Inaonekana kuwa, hawa jamaa walikuwa wanajisafisha kwa kutumia MIFUPA NA KINYESI. Huu ni Msiba, mbona Muhammad kesha sahau amri ya kutumia/kutawaza kwa Maji? Kumbe basi Muhammad na yeye alikuwa anatumia MAWE......
ENDELEA KUPATA USHAHID..................Utakapo maliza kujisaidia, tumia mawe Matatu kujisafisha sehemu zako za siri ... (Sahih Bukhari, 1. 4.162)
Tumia mawe tatu kwa kujisafisha baada ya kujisaidia ... (Sunaan Abu Dawud, 1.0040)
SASA, Nabii wa Allah anasema WATUMIE MAWE MATATU, hakika kuna VIHOJA NA VIROJA KATIKA hii dini ya Jibril.
ENDELEA,
Baada ya kutembelea choo, beba mawe matatu na uyatumie kujisafisha wewe mwenyewe ... (Sunaan Abu Dawud, 1.1.0040)
Baada ya kujisaidia haja kubwa, tumia udongo mara mbili kujisafisha; wala usitumie kinyesi kujisafisha... (Sunaan Nasai, 1.42)
Kama unajisaidia haja kubwa katika jangwa, basi tumia mawe matatu kujisafisha baada ya haja kubwa, hakuna haja ya kutumia maji ... (Sunaan Nasai, 1.44)
HUU NI MSIBA KWA NDUGU ZETU WAISLAMU
SASA, Wakristo ambao wanatumia tissue paper na Waisalm wa Makka wanao tumia MAWE, nani anahafadhali?
NABII WA ALLAH, ANAMALIZA KWA KUSEMA KUWA, MUOMBENI NA JIKINGENI NA ALLAH KABLA YA KUTUMIA CHOO
Amehadithia Zayd bin Arqam : Mtume wa Mwenyezi Mungu ( SAW ) amesema: Msalato/chooni ni nyumba za majini na mashetani . Hivyo wakati yoyote miongoni wewe huenda kutumia choo/msalato , anapaswa kusema: "Mimi najikinga kwa Mwenyezi Mungu kutokana na mapepo ya kiume na wa kike . "Abu Dawud 1:6
Leo tumejifunza kuwa Waislam wameruhusiwa kutumia Mawe baada ya haja kubwa.
Max Shimba Ministries

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TANO)

KUMBE ALLAH ANA MIKONO NA MACHO KAMA VIUMBE

Ndugu msomaji,
Tunaendelea na mada kuhusu Allah ambaye ni kiumbe kama sisi. Leo ninawaletea ushahidi kuwa, Allah ana MIKONO kama binadamu. Haya ungana nami na tuanze kusoma ushahid kutoka vitabu vya Kiislam.
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”

KUMBE ALLAH ALIANDIKA TAUTAI KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
Swali ningependa kuwauliza Waislam, hivi kwanini mnasema kuwa Allah hana mfano wakati teyari Allah anajidhihirisha kuwa ana MIKONO? Je, Mikono so mfano wa binadamu? Kwanini mnamzulia Allh uongo kuwa hana Mikono?

ALLAH ANA MIKONOTunaamini kuwa Allaah Anayo mikono miwili mitukufu.
Anasema:
بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنفِقُ كَيْفَ يَشَاء
"Bali mikono yake (miwili - yadaahu) iwazi. Hutoa Apendavyo."
Al-Maaidah – 64
Na Akasema:
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالأرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّماوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ
"Na wala hawakumhishimu Allaah kama Anavyostahiki kadiri Yake. Na Siku ya Qiyaamah ardhi yote itakuwa mkononi Mwake, na mbingu zitakunjwa katika mkono Wake wa kuume. Subhaanahu wa Ta’ala Ametakasika na Ametukuka na hayo wanayomshirikisha nayo."
Az-Zumar – 67
(Siku ya Ridhwaan Waislamu walipofungamana na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) chini ya mti kwa kumpa mkono wote kwa pamoja, mmoja baada ya mwengine, na Allaah Akateremsha kauli Yake:
إِنَّ الَّذِينَ يُبَايِعُونَكَ إِنَّمَا يُبَايِعُونَ اللَّهَ يَدُ اللَّهِ فَوْقَ أَيْدِيهِمْ
"Bila Shaka wale wanaofungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Allaah. Mkono wa Allaah uko juu ya mikono yao."
Al-Fat-h – 10
Ieleweke kuwa Allaah Anaposema Anayo mikono au macho, ina maana kuwa mikono Yake ni sawa na mikono yetu, au macho Yake ni sawa na macho yetu - AstaghfiruLlaah. Meza inayo miguu na viti vina miguu, lakini miguu ya viti na ya meza ni tofauti na miguu ya mwanaadamu aloitengeneza meza ile, kwani sifa ya mtengenezaji lazima iwe tofauti na sifa ya kilichotengenezwa, ama sivyo mtengenezaji na kilichotengenezwa watakuwa kitu kimoja. Na Allaah Ndiye mwenye kupigiwa mifano bora, sifa Zake Subhaanahu wa Ta’ala haziwezi kufananishwa na sifa zetu. Lakini wakati huo huo lazima tukikubali kila Alichojinasibisha nacho Subhaanahu wa Ta’ala.)

ALLAH ANA MACHO Na tunaamini kuwa Allah Anayo macho mawili kikweli, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
وَاصْنَعِ الْفُلْكَ بِأَعْيُنِنَا وَوَحْيِنَا
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu."
Huud – 37
Na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
"Pazia yake ni nuru, na lau kama Ataiondoa basi nuru ya Wajihi Wake ingeunguza kila kilichokifikia."
Na alipokuwa akihadithia juu ya Ad-Dajjaal alisema:
"Dajjaal ana chongo na Mola wenu Hana chongo."
Na tunaamini kuwa macho yetu hayamfikii kumuona Allaah.
Allaah Anasema:
لاَّ تُدْرِكُهُ الأَبْصَارُ وَهُوَ يُدْرِكُ الأَبْصَارَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
"Macho hayamfikilii, bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari."
Al-An’aam – 103

Ndugu wasomaji, teyari mmesha elewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu kwasabau ana Mikono.
Mungu awabariki sana.

Katika Huduma yake,

Max Shimba

Max Shimba Ministries Org.

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

QURAN SIO MANENO YA ALLAH WALA MUNGU

Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam wote duniani. Waislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti Quran yote ni maneno ya Allah. Unapo wauliza, huyo Allah aliwezaje ongea na Muhammad, wanabakia kimya na kuanza kukutukana. Zaidi ya hapo, leo nitawawekea ushahid tosha kuwa Quran sio maneno ya Allah bali ya watu na viumbe mbali mbali.
Haya ungana nani kwa ushahidi:
SHETANI ANASEMA KWENYE QURAN
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Kwenye Surat Al Hijr, tumesoma kuwa Shetani ndie anazungumza katika hiyo aya ya 39. Kumbe basi, Shetani ni msemaji ndani ya Qurani.

HAPA TUNASOMA KUWA ZAKARIA NA YEYE NI MZUNGUMZAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam: Zakaria Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe.
Waislam, hivi Quran ni maneno ya nani?
Endelea kupata darasa hapa:

MARYAM NA YEYE NI MSEMAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam aya 18: Maryamu akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
Waislam, mbona na Maryam anasema kwenye Quran? Au siku hizi Maryam amekuwa Allah? Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam.

MALAIKA NAO WANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 21: Malaika akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
Ndugu msomaji, kwanini Waislam wanapenda kusema uongo namna hii, eti Quran yote ni Maneno ya Allah? Mbona tunasoma viumbe wengine wakisema ndani ya Quran?

ISSA BIN MARYAM NA YEYE ANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 36: Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
Issa na yeye alisema kwenye Quran. Lakini Muhammad yeye hakuwai sema chochote kile kwenye Quruani wala kuzaliwa kwake hakukutajwa kwenye Quran. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa WAISLAM.

ALLAH NA YEYE ATEREMSHA AYA NA KUSEMA KUWA MUHAMMAD NI MWENDAWAZIMUQuran 15: 6. Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.

SWALI LANGU KWA WAISLAM NI DOGO SANA:
1. NI NANI MSEMAJI KATIKA QURAN?
2. QURANI NI MANENO YA NANI?
Mkiweza nijibu kwa aya na bila shari, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Waislam huwa wanasema kama huamni kuwa Quran ni maneno ya Mungu, basi teremsha aya kama za Quran, huku tukifahamu kuwa kuna aya nyingi ambazo wasemaji wake ni wengine na sio Allah.
Sasa, huu utata tunawaachia waislam waje hapa kutujibu bila ya kuweweseka.

QURAN NI MANENO YA NANI?
Karibu sana kwa Yesu aliye hai ambaye ndie NENO LA UZIMA.
Max Shimba
Max Shimba Ministries

MUHAMMADI (SAW) ALIMILIKI WATUMWA WEUSI

Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza moja ya kazi ambayo alifanya Nabii wa Allah.
Nabii Muhammad aliwachukulia watu weusi kama watumwa. Hata alikuwa akimiliki watumwa weusi kadhaa. Bilal, Abu Hurairah, Usama Ebn Zayyed, na "Ghulaam" (kijana) aliyeitwa Rabbah, walikuwa miongoni mwa watumwa wa Muhammad.
Hata sasa, nchini Saudi Arabia, nchi mama ya uislamu, neno la kawaida kwa "mtu mweusi" ni "Abd" likiwa na maana ya mtumwa.
Muhammad alikuwa na maoni gani kuhusu kuwaachia huru watumwa?
Kuna tukio mojawapo ambapo mtu alimwacha huru mtumwa ambaye alikuwa mwenziwe kingono. Wakati Muhammad aliposikia kitu kilichotokea, alimpiga mnada huyo mvulana na kumuuza kwa derhamu 800 kwa Na-eem Ebn Abdullah Al-Nahham. (Sahih Muislamu juzuu ya 7, uk.83).
Kwa mujibu wa Muhammad, adhabu ya ugoni ni tofauti kati ya mwanaume aliyehuru, mwanamke aliyehuru, na mwanamke mtumwa. Mwanaume alipaswa kupigwa mijeredi mia moja na kufukuzwa kutoka kwenye jamii kwa mwaka moja. Mwanamke alipaswa kupondwa mawe hadi kufa. Lakini mwanamke mtumwa, mjakazi, (kwa kuwa alikuwa na thamani kifedha) hakufukuzwa wala kuuawa ila alipigwa mijeredi mia moja. Ikiwa kosa hilo litarudiwa, mjakazi huyo aliuzwa (Sahih Al Bukhary juzuu ya 8:821, 822).

UISLAMU ULIWADHARAU WEUSI
Uislamu ni dini, ambayo Maandiko yake matakatifu yana maneno yanayowadhalilisha watu weusi wazi wazi.
Muhammad aliwaita watu weusi "vitita vya mizabibu" [raisin heads]. (Sahih Al Bukhary juzuu ya 1, na. 662 and juzuu ya 9 na. 256).
Katika Hadhithi ambayo imethibitishwa kuwa kweli, Muhammad amenukuriwa akisema, "Watu weusi huiba wakiwa na njaa; wakishiba huzini" (Sahih Mwislamu).
Katika Hadith nyingine Muhammad amenukuriwa akisema, "ni lazima umtii Imam (kiongozi) hata kama ni mtumwa mwenye pua iliyobonyea" (ikimaanisha mtu mweusi). Angalia Sahih Muislam juzuu ya 9 uk.46 na 47.
Zingatia, upande mwingine, kuwa Yesu Kristo alikuja kutupa uzima wa milele, ambapo kila mmoja ni sawa mbele za Mungu.
"Hapana Myahudi wala Myunani. Hakuna mtumwa wala aliyehuru. Hakuna mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu" (Wagalatia 3:28).
Tofauti kati ya mafundisho ya kiislam na mafundisho ya Yesu Kristo ni kubwa. Uchaguzi uko wazi, na uchaguzi huu ni wako mwenyewe.
IJUE KWELI
IFUATE KWELI
ISAMBAZE KWELI
"Mtaifahamu kweli, na hiyo kweli itawaweka huru" (Yohana 8:32).
"Kwa hiyo simameni, msinaswe tena na utumwa" (Wagalatia 5:1, 2).
TENGENEZA NAKALA ZA KIPEPERUSHI HIKI NA UWAPATIE WATU WENGINE
Max Shimba Ministries

Sunday, January 24, 2016

ADAM, MUSA, IBRAHIM NA DAUDI HAWAKUWA WAISLAM

Ndugu msomaji,

Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti, Adam, Musa, Ibrahim na Daudi walikuwa ni Waislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.

Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:

ADAM, MUSA, IBRAHIM DAUDI HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanye shahada. Adam, Musa, Ibrahim na Daudi hawakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Adam, Musa, Ibrahim na Daudi walisema SHAHADA. Hivyo basi, Adam, Musa, Ibrahim na Daudi hawakuwa Muislam.

SASA NITAANZA KUHOJI UISLAM KWA KUPITIA QURAN, KAMA KWELI ADAM, MUSA, IBRAHIM NA DAUDI WALIKUWA WAISLAM:

ALLAH ANASEMA KILA UMMA AMEUPA KITABU NA MTUME:

Soma;
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.

Angalia hii aya pia

Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.

Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.




NABII ADAM::::::::::::::::::::
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA ADAM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Kama kweli Allah aliteremsha Kitabu kwa kila Umma, na Adam ni Nabii wa Allah, basi ningependa mnijibu maswali yafuatayo:

1. ADAM alipewa kitabu gani, naomba mtuwekee nakala yake hapa na mtuambie jina la hicho Kitabu.

2. ADAM alikuwa Nabii wa Umma gani, wakati yeye ndie alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa? [Naomba mtutajie jina la Umma wa Nabii Adam]

3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha ADAM kuwa ADAM alisema shahada.

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya hakupewa Adam.




NABII MUSA:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA MUSA NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Allah anaendelea kusema kuwa aliteremsha Taurat kwa Nabii wake Musa.

Surat Al Baqara 136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.

Kama kweli Musa alipewa na au teremshiwa kitabu na Allah, basi naomba mnijibu maswali yafuatayo:

1. Kipo wapi na au ipo wapi NAKALA YA TAURAT ambayo Allah aliiteremsha kwa Musa kabla ya Quran?

2. MUSA alikuwa Nabii wa UMMAH gani? Naomba muutaje huo Ummah kwa jina.

3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha MUSA kuwa MUSA alisema shahada.

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Taurat ya Musa iliyo teremshwa kabla ya Quran.




NABII IBRAHIM:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA IBRAHIM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.

Angalia hii aya pia

Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

S. 3:67 Shakir: Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Allah amesema kila Umma ulipewa Nabii na ujumbe "Kitabu" na Ibrahima alikuwa Muislam, SASA BASI.

1. Waislam, Nitajieni jina la kitabu ambacho Ibrahim alipewa na Allah?

2. Nileteeni ushahid wa aya kutoka hicho kitabu kuwa Ibrahim alisema Shahada.

3. Nitajieni jina la Ummah ambao Ibrahim alikuwa Nabii wake?

4. Allah anasema kuwa Ibrahim hakuwa Yahudi wa Mkristo, kama hayo madai ni kweli, KWANINI WAISLAM WANASEMA KUWA UKRISTO ULIANZISHWA NA PAULO, huku ALLAH ANAKIRI KUWA HATA WAKATI WA IBRAHIM KULIKUWA NA UKRISTO?

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Kitabu ambacho Ibrahim aliteremshiwa kabla ya Quran.



NABII DAUDI:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA DAUDI NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

ALLAH ANASEMA "NA DAUDI TUKAMPA ZABURI :
Surat An Nissai aya 163, Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi. S. 4:163

Kama ni kweli Allah aliteremsha Zaburi kwa Daudi, basi maswali yafuatayo lazima yapewe majibu:

1. Daudi alikuwa Nabii wa Ummah upi, naomba Waislam muutaje huo ummah kwa jina.

2. Ipo wapi NAKALA YA ZABURI ambayo Allah aliiteremsha kwa Daudi kabla ya Quran?

3. Daudi alipokea hiyo Zaburi akiwa Mji gani?

4. Leteni aya kutoka Zamburi aliyo iteremsha Allah kabla ya Quran ambayo DAUDI anasema SHAHADA.


NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio ZABURI ambay iliteremshiwa kabla ya Quran.

MKINILETEA UTHIBISHO WA MASWALI YANGU HAPO JUU,

BASI LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM

Katika huduma yake,

Max Shimba Ministries

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW