Sunday, June 18, 2017

YESU ALISEMA NINI KUHUSU ROHO MTAKATIFU NA MAREHEMU MUHAMMAD?

Image may contain: sky, cloud, ocean, nature, text and outdoor
1. Roho Mtakatifu atakuja kwa Jina lake.
2. Roho Mtakatifu anajua yote.
3. Roho Mtakatifu atakaa ndani yetu.
4. Roho Mtakatifu anamtukuza Yesu.
Neno la Mungu linasema kuwa, Roho Mtakatifu alikuja kwa Jina la Yesu.
1. ROHO MTAKATIFU ALIKUJA KWA JINA LA YESU:
UTHIBITISHO: - Yohana 14:26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA MKEWE:
Kiitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.
2. ROHO MTAKATIFU ANAJUA YOTE NA ATATUFUNDISHA KUHUSU YESU KRISTO:
Anafundisha yooote ambayo Yesu aliwaambia mitume wake.- Yohana 14:26
Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
MUHAMMAD HAKUJUA YOTE BALI ALIKIRI KUWA YEYE NI KIROJA.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
3. ROHO MTAKATIFU ALIKAA NDANI YA WANAFUNZI WA YESU
Yohana 14:17 ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.
MUHAMMAD HAKUWEPO WAKATI WA YESU NA HAKUWA NA UWEZO WA KUKAA NDANI YETU KAMA ROHO MTAKATIFU.
4. ROHO MTAKATIFU ANAMTUKUZA YESU KRISTO:
Yohana 16:14 14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
MUHAMMAD HAKUMTUKUZA YESU BALI ALLAH, HIVYO HAWEZI KUWA ROHO MTAKATIFU BALI ALIMKUFURU ROHO MTAKATIFU.
Walio mkufuru Roho Mtakatifu wote wataingia Jehannam.
5. YESU ANAWAPA ROHO MTAKATIFU WANAFUNZI WAKE
Yohana 20 aya ya 21 na 22 inasema: 21 Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi. 22 Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
AYA HAPO JUU IPO WAZI kabisa kuwa YESU ALIWAPA ROHO MTAKATIFU WANAFUNZI WAKE NA HAKUWAPA MUHAMMAD AMBAYE alikuwa bado HAJAZALIWA.
Nimevunja hoja dhaifu za Wakufuru Roho Mtakatifu kwa kutumia aya thabiti za Biblia Takatifu.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ALIWAPA ROHO MTAKATIFU WANAFUNZI WAKE MIAKA 630 KABLA YA KUZALIWA MUHAMMAD

Image may contain: bird and text
Yohana 20 aya ya 21 na 22 inasema: 21 Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi. 22 Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
AYA HAPO JUU IPO WAZI kabisa kuwa YESU ALIWAPA ROHO MTAKATIFU WANAFUNZI WAKE NA HAKUWAPA MUHAMMAD AMBAYE alikuwa bado HAJAZALIWA.
NI UONGO MKUBWA SANA KUOKA WAISLAM WANAPO DAI KUWA MUHAMMAD NI ROHO MTAKATIFU. HUKU NI KUKUFURU ROHO MTAKATIFU.

MAJINA KUMI NA MBILI YA ROHO MTAKATIFU

No automatic alt text available.
Katika kijarida hiki, tutajikumbusha majina kumi na mbili ya Roho Mtakatifu na kazi zake.
Haya ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu anamajina mengi na wasifa mwingi, mengi yao kama sio yote yanaeleza kazi na huduma yake. Hapa chini ni baadhi ya majina na wasifa wake kama yalivyo semwa katika Biblia kuhusu Roho Mtakatifu.
1. MWANDISHI WA NENO (Author of Scripture)
2 Petro 1:21; 2 Timotheo 3:16. Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
Roho Mtakatifu ndie aliye weka pumzi katika vitabu vyote vya Biblia 66. Hivyo basi, waandishi wa Biblia walipewa nguvu/upako na Roho Mtakatifu na wakaandika Biblia bila ya makosa.
2. MSAIDIZI/WAKILI/MSHAURI WETU (Comforter / Counselor / Advocate)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele.
Isaya 11:2; Yohana 14:16, 15:26; 16:7.
Maneno yote matatu yanatokana na neon la Kigiriki Parakletos, amabalo linatupa Paraclete. Jina linguine la Roho. Yesu alipo ondoka duniani, Wafuasi wake walijisikia vibaya sana kwasababu awalikosa mfariji. LAKINI Yesu aliwapa ahadi ya Roho ambaye atawafariji, Washauri, Wawakilisha na kuwa Msaidizi wao wale ambao wapo katika Kristo. Roho Mtakatifu vile vile yeye Ushuhudia roho zetu kuwa sisi ni watoto wa Mungu na utuhakikishia wokovu wetu.
KUMBE BASI, ROHO MTAKATIFU akama aya zinavyo sema atakuwa nasi MILELE.
3. MHAKIKISHI WA DHAMBI (Convictor of Sin)
Yohana 16: 7 Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.
8 Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;
10 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni tena;
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
Roho Mtakatifu yeye ndio anakuonyesha au kufunulia UKWELI kuhusu Mungu katika akili zetu na roho zetu. Ukweli huu ndio utatuhumu kwa kuwa tutafahamu kuwa sisi ni watenda dhambi na hatuto weza pinga huo ukweli. Hufanya hivi kwa kuweka hatiani Moyo wako kwamba sisi ni watenda dhambi mbele ya Mungu Baba, na kwamba tunahitaji haki yake (righteousness) na kwamba kwahakika siku moja hukumu itakuja kwa watu wote. Wale ambao wanapinga ukweli huu, basi wanapinga ukweli wa Roho Mtakatifu.
4. AMANA/MHURI/BIDII (Deposit / Seal / Earnest)
2 Wakorintho 1:22; 5:5; Waefeso 1:13-14. Roho Mtakatifu ni Mhuri kwa watu wa Mungu. Yeye hutujali sisi kama watoto wake. Zawadi ya Roho Mtakatifu ni kama malipo ya amana kwetu sisi kwa urithi wa mbinguni, ambao Kristo alituahidi baada ya kazi ya pale Msalabani. Ni kwasababu ya Roho Mtakati ambaye ameweka Mhuri kwetu ndio maana tuna uhakika wa Wokovu. Hakuna mwenye uwezo wa kuvunja hii “SEAL” ya Mungu.
5. KIONGOZI (Guide)
Yohana 16:13. Kama ambavyo Roho alivyo waongoza waandishi wa Biblia katika kweli yote, vivyo hivyo ametuahidi kutuongoza wote tuaminio katika Kristo. Ukweli kuhusu Mungu ni jambao la mzaha kwa watu wa dunia na Makafiri, kwasababu hawana macho ya rohoni na hawamweli Roho Mtakatifu (1 Wakorintho 2:14) Wale walio katika Kristo ndani yao wana Roho Mtakatifu ambaye anatuongoza katika yote tunayo hitaji. Wale ambao hawana Roho Mtakati wao ni kama yatima, maana hawana kiongozi na hawata weza elewa maneno ya Mungu, wao baba yao ni Yule muovu, IBILISI.
6. ANAMAKAZI NDANI YA WAAMINIO (Indweller of Believers)
Warumi 8:9-11; Waefeso 2:21-22; 1 Wakorintho 6:19) Roho Mtakatifu anaishi katika mioyo ya waaminio/watu wa Mungu, na huku kuishi ndani ya kila mtu kwa wakati mmoja (omnipresence) ni sifa mojawapo pekee ya Mungu. Akiwa ndani ya Waaminio, huwaongoza, huwafundisha, kuwafariji, na ni mshawishi na zaidi ya hapo huzalisha matunda ya Roho (Wagalatia 5:22-23) Hutoa uhusiano wa karibu kati ya Mungu na Watoto wake “Intimate connection” Wakristo wote walio okoka wana Roho Mtakatifu ndani yao/katika mioyo yao.
7. MWOMBEZI (Intercessor)
Warumi 8:26 Kazi na au huduma moja ya muhimu sana ya Roho Mtakatifu kwa walio kombolewa na damu ya Yesu ni kuwaombea “interceding” Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
8. MFUNUAJI/ROHO WA KWELI (Revealer / Spirit of Truth)
Yohana 14:17; 16:13; 1 Wakorintho 2:12-16.
Yohana 14: 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
17 ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.
18 Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.
Roho Mtakati yeye ndie anatufunulia yote ambayo Yesu aliyafanya na yote ambayo Yesu anataka tuyaelewa. Ndio maana watu ambao hawa Roho Mtakatifu wao huona mambo tunayo funiliwa si ya maana.
1 Wakorintho Mlango wa 2 :12 Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.
13 Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.
14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.
15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
16 Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo.
. 9. ROHO YA MUNGU/BWANA/KRISTO (Spirit of God / the Lord / Christ)
Mathayo 3:16; 2 Wakorintho 3:17; 1 Petro 1:11 Katika vitabu hivyo tunahakikishiwa kuwa Hakika Roho Wa Mungu ni sehemu ya Utatu na Hakika yeye Ni Mungu kama alivyo Mungu Baba na Mungu Mwana. Alisemwa kwa mara ya kwanza wakati wa uumbaji, ikifuatiwa na Yesu ambaye aliumba kila kitu. Yohana 1:1-3. Tunaona Utatu huohuo katika Yesu wakati alipo kuwa anabatizwa, wakati Roho alipo shuka na tukasikia sauti ya Mungu Baba.
10. ROHO YA UZIMA (Spirit of Life)
Warumi 8:2 Neno Roho ya Uzima maana yake kuwa ni Roho Mtakatifu ambaye anatupa na au umba UZIMA, haimaanishi kuwa anasaidia wewe kuoka, bali anakufanya wewe kuwa umeokoka. Bila ya Roho Mtakatifu hakuna wokovu. HAPA VILE VILE tunaona Utatu katika Kazi ya Mungu. Tumeokolewa na Mungu Baba kupitia kazi ya Mwana wake Yesu, na wokovu unaedelezwa “sustained” na Roho Mtakatifu.
11. MWALIMU (Teacher)
Yohana 14:16; 1 Wakorintho 2:13. Yesu aliahidi kuwa Roho atawafundisha kila kitu na kuwakumbusha yote ambayo aliwafundisha wakati alipo kuwa nao. Waandishi wa Agano Jipya waliongozwa na Roho Mtakatifu ndio maana walikumbuka kila kitu ambacho Yesu alisema na kufanya.
Yohana 14: 26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
12. SHAHIDI (Witness)
Warumi 8:16; Waebrania 2:4; 10:15 Roho anaitwa SHAHIDI kwasababu YEYE anatuhakikishia na kutushuhudia kuwa sisi ni watoto wa Mungu, na kwamba Yesu na Wanafunzi wake walitumwa na Mungu Baba na kuwa Biblia ni Neno la Mungu. Zaidi ya hapo, Roho hutupa Zawadi ya Roho Mtakatifu, na utushuhudia sisi na dunia kuwa sisi tulio okolewa na Damu ya Yesu ni watoto wa Mungu.
Warumi Mlango wa 8:16 Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;
17 na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye.
Nakushauri uendelee kumwomba Mungu aliki aendelee kukufulia mambo makuu kupitia Roho Mtakatifu. Kumbu, bila ya Roho Mtakatifu, Wokovu wetu unakuwa wa mashaka. Ndio maana lazima tumfahamu huyu Roho Mtakatifu aliye ahidiwa kuja na Bwana wetu Yesu Kristo aliye kufa kwa ajili ya dhambi zetu.
Basi mpendwa, Mungu aendelee kukubariki.
Ni mimi, Mtumishi wake Max Shimba.
Katika huduma yake
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED

YESU KRISTO ALIUMBA HISABATI

Image may contain: 1 person, smiling
Najua unashangaa kivipi Yesu awe Mwana Mahesabu. Naam, katika somo hili tutajifunza Hisabati ambazo wana Hesabu wameshindwa kuziweka katika "practical" vitendo.
Sasa tuanze na aya tamu za Biblia: Yohana 6:1-14 au Soma Matayo 14:13-21. Nitaweka aya moja ya 17 katika Matayo: "tunayo Mikate Mitano na Samaki wawili"
Kwa akili za haraka haraka haiwezekani kwa Mikate Mitano na Samaki wawili kulisha watu zaidi ya Elfu tano.
Lakini kwa kutumia Hisabati za kawaida hesabu hiyo inawezekana, ila tunapo igeuza kuwa "VITENDO" haya mambo ni magumu sana. Je, Yesu aliwezaje kuwalisha watu elfu tano na zaidi kwa kutumia mikate mitano na samaki wawili?
Katika Hisabati kuna somo la "FACTORIAL NOTATION" hili somo ni la kuzidisha namba kinyume nyume mpaka namba ya chini kabisa ambayo ni moja.
Mfano:
1! = 1
2! = 2 × 1 = 2
3! = 3 × 2 × 1 = 6
4! = 4 × 3 × 2 × 1 = 24
5! = 5 × 4 × 3 × 2 × 1 = 120
Kimahesabu inawezekana lakini kivitendo kamwe hawa wana mahesabu hawata weza igeuza Mikate mitano na Samaki wawili kuwa "Factorial ya 7" na kuwalisha watu elfu tano.
Mikate Mitano (5) na Samaki wawili (2) ni sawa na vyakula Saba. Yaani kulikuwa na vipande saba vya vyakula ambavyo vinaweza kuliwa.
Bwana wetu Yesu ambaye ni Mungu Mkuu (Tito 2:13) anaweza kufanya atakalo na likawa.
Yesu katika aya ya 18 kwenye Matayo 14 alichukua hiyo Mikate Mitano na Samaki wawili akaangalia juu na kuvibariki. Akawagaia wanafuzi wake na kuwaambia, wapeni watu wale.
Kumbuka huyu ni Yesu aliye gauza maji ambayo yenye Chemical formula ya H2O na kuwa Divai yenye chemical formula ya C6H12O6 = 2CO2 + 2CH3CH2OH.
Je, kuna jambo lolote gumu ambalo Yesu hawezi kulifanya? Kwenye Yeremia 32:27 inakujibu kuwa, hakuna jambo gumu kwa Mungu wetu.
Sasa turudi kwenye somo la Mikate Mitano na Samaki 2. Kimahesabu ni sawa na kusema:
7! = 7 x 6 x 5 x 4 x 3 x 2 x 1 = 5040
Ngona nitumia formula ya Recursive:
Solved Example
Question: Simplify 10!6!
.
Solution:
10!6! inaweza kuandikwa kama 10×9×8×7×6!6!
=> 6! inaeza kukatwa with that in the denominator and the expression reduces to 10 × 9 × 8 × 7 = 5040.
=> 6! = 5040.
Recursive Definition of Factorial Notation
Back to Top
Recursive definition of factorial notation
(k + 1)! = (k + 1) . K!
Factorial notation has a place in both Permutation and combination formulas. Factorial notation comes into liberal play while evaluating Permutation and combination formula.
P(n,r) = n!(n−r)! na C(n,r) = n!(n−r)!r!
Naam, ndio maana mimi nampenda sana Yesu anayejua HESABU KUBWA KAMA HIZI, maana yeye aliziumba.
Wewe unaye mpinga Yesu, unaweza kunionyesha wapi mungu wako au mtume wako ameweza fanya Hisabati ngumu kama hizi?
Au wapi dini yako inaweza kutoa miujiza namna hii? Haya yote yanawezekana kwa Yesu Mungu Mkuu.
Shalom,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

MUNGU ROHO MTAKATIFU ANAISHI NDANI YETU

Image may contain: one or more people and text
Ezekieli 36:27 “nami nitatia roho yangu ndani yenu na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu na kuzitenda” maneno haya anayasema MUNGU kupitia kinywa cha nabii Ezekieli.
Ni Mungu aangaliae yote Zaburi 139:7 inasema “niende wapi njiepushe na Roho yako, Niende wapi niukimbie uso wako”
Ni maombi yangu Zaburi 51:11-12 inayosema “usinitenge na uso wako wala Roho Mtakatifu usiniondolee unirudishie furaha ya wokovu wako ,unitegemeze kwa Roho ya wepesi wako” yatimie kwako.
Katika Kumbukumbu la Torati anasema hivi Kumbukumbu la Torati 4:6 anasema “sikiza ee izraeli; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja” MUNGU ni mmoja anaposema nitatia roho yangu ndani yenu (yetu) maana yake Mungu kuja kukaa ndani yetu kupitia ROHO MTAKATIFU,
Biblia katika ule Waraka kwanza wa Yohana 4:8-9 anasema “kwa maana wako watatu washuhudiao[mbinguni Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu na hawa watatu ni umoja 9 kisha wako watatu washuhudiao duniani] Roho, na maji, na damu; na hawa hupatana kwa habari moja.tukipokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, amemshuhudia Mwanawe. Mungu mmoja aliye ziumba mbingu na nchi yeye Mungu na Roho Mtakatifu na Neno (Yesu) mbinguni ni umoja na duniani wako watatu wanaopatana kwa habari mmoja.
Watatu duniani Biblia inasema ni Roho Mtakatifu (Mungu pamoja nasi), Maji, na Damu. Kwa habari ya maji Biblia inasema hivi “Ezekieli 36:25 nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote” anaeleza habari ya utakaso. Damu ya YESU ndio ukombozi na upatanisho wetu ili tumwone Mungu.
ROHO MTAKATIFU ndiye aliyekuwa ndani ya Yesu akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake; Luka Mtakatifu anasema Luka 1:35 “Malaika kajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako na nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli kwa sababu hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu MWANA WA MUNGU”
Maneno haya aliyasema Malaika Gabrieli alipokuwa akimweleza Mariamu juu ya kuzaliwa Yesu na matokeo yake ilikuwa hivi “Mathayo 1:18 “kabla hawajakaribiana alionekana ana mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu”.
Yesu ni Mungu na katika kitabu cha Waebrania anasema Waebrania 1:8 “lakini kwa habari ya mwana asema kiti chako cha enzi Mungu ni cha milele na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili”
Si wanadamu tu waliokili kuwa yesu ni mungu bali hata malaika waliotumwa na mungu walikiri kuwa yesu ni mungu “Luka 1:32-33 huyo atakuwa mkuu ataitwa mwana wa aliye juu, Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake, ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho” na tunajua ufalme wa mungu pekee ndio hauna mwisho na kupitia Yesu atamiliki nyumba ya Yakobo milele na milele. twaweza sema kwamba ufalme wake hauna mwisho kwa sababu yeye ni Mungu wa milele.
Matendo ya Mitume 1:8 Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa “mtapokea nguvu akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na katika uyahudi wote na Samaria na hata mwisho wan chi”
Tangu siku za yohana ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu tena nguvu za rohoni (nguvu za ROHO Mtakatifu) unapomwamini Yesu Roho Mtakatifu
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Thursday, June 15, 2017

Filipino Terrorists Memorized Quran…

Marawi City, Philippines: On his Facebook profile page Omarkhayam Romato Maute describes himself as a "Walking Time-Bomb".
When a band of militants led by Omarkhayam and one of his brothers over-ran a town in the southern Philippines on May 23, festooning its alleyways with the black banners of Islamic State, the Facebook description seemed appropriate.
Governments across Southeast Asia had been bracing for the time when Islamic State, on a back foot in Iraq and Syria, would look to establish a "caliphate" in Southeast Asia and become a terrifying threat to the region.
"The Middle East seems a long way away but it is not. This is a problem which is amidst us," Singapore Prime Minister Lee Hsien Loong told Australian radio on Saturday as the battle to re-take Marawi neared the end of the third week, with a death toll of nearly 200. "It is a clear and present danger."
Omarkhayam and Abdullah Maute grew up with several other brothers and sisters in Marawi, a Muslim-majority town in a country where over 90 percent of the population is Christian.
Marawi is, historically, the centre of Islam on Mindanao, a sprawling island where violent resistance to authority has been a tradition since the era of Spanish colonialism, spurred in recent decades by poverty and the neglect of successive governments.
Advertisement
As teenagers in the 1990s, the brothers seemed like ordinary young men, said a neighbour of the Maute family: they studied English and the Koran, and played basketball in the streets.
"We still wonder why they fell to the Islamic State," said the neighbour, who was once an Islamist militant himself and surrendered to the government. "They are good people, religious. When someone gets to memorise the Koran, it's unlikely for them to do wrong. But this is what happened to the brothers."


In the early 2000s, Omarkhayam and Abdullah studied in Egypt and Jordan, respectively, where they became fluent in Arabic.
Omarkhayam went to Al-Azhar University in Cairo, where he met the daughter of a conservative Indonesian Islamic cleric. After they married, the couple returned to Indonesia. There, Omarkhayam taught at his father-in-law's school, and in 2011 he settled back in Mindanao.


It may have been then, and not when he was in the Middle East, that Omarkhayam was radicalised.
In Cairo "none of his fellow students saw him as having any radical tendencies at all, and photographs show a young man enchanted by his baby daughters and playing with the growing family by the Red Sea," Jakarta-based anti-terrorism expert Sidney Jones wrote in a 2016 report.


Little is known about Abdullah's life after he went to Jordan, and it is not clear when he returned to Lanao del Sur, the Mindanao province that includes Marawi.
Intelligence sources said there are seven brothers and one half-brother in the family, all but one of whom joined the battle for Marawi.

Militants' mother at 'heart of organisation'

The Mautes were a monied family in a close-knit tribal society where respect, honour and the Koran are paramount.
Military spokesman Lieutenant Colonel Jo-Ar Herrera said the "Maranao'' clan, to which the Mautes belong, has a matriarchal tradition, and so their mother played a central role.
He said Farhana Maute, who according to the neighbour had furniture and used-car businesses, helped finance the group, and she drove recruitment and radicalisation of local youths.
On Friday, she was stopped outside Marawi in a vehicle loaded with firearms and explosives and taken into custody. It was a major blow for the militants, according to Herrera, as she had been the "heart of the Maute organisation".
A day previously, the brothers' father, an engineer, was arrested in Davao City, 250 kilometres away.
Since Saturday, reports have swirled in Philippine media that the leading brothers, Omarkhayam and Abdullah Maute, have been killed. The Philippine army said it was in the process of validating the claims.
When the Marawi siege began, several hundred militants were involved, including men from nations as far away as Morocco and Yemen. But most of the marauders, who took civilians as human shields and torched the town cathedral, were from four local groups allied to Islamic State, and in the lead were the Maute, military officials said.
According to Jones, the Maute group has "the smartest, best-educated and most sophisticated members" of all the pro-Islamic State outfits in the Philippines.
Samira Gutoc-Tomawis, a local civic leader who knows some of the Maute's extended family, said the brothers rely heavily on social media to recruit young followers and spread their "rigid and authoritarian" ideology.
"The Mautes are very active online. On YouTube, they upload their ideas" she said. "They are articulate, they are educated, they are idealistic."
The Maute family's neighbour, who requested anonymity for his own safety, said the group's fighters are fearless too.
He was trapped for five days in his three-storey house last month watching the battle between the militants and the Philippines armed forces unfold, with sniper fire pinging around him and OV-10 aircraft bombing from above.
"During the bombing runs of the OV-10, they just carried on eating biscuits, not running for cover," he said.
On May 28, a group of seven fighters - he recognised Omarkhayam among them - came to his house and asked why he had not left. When he told them that he feared being caught in the crossfire, they guided him and several others to a bridge leading out of town and gave them a white cloth to wave.

'I want to kill them now'

The Maute group first surfaced in 2013 with a bombing of a nightclub in nearby Cagayan de Oro. Its stature has grown since then, most notably with the bombing last year of a street market in President Rodrigo Duterte's hometown, Davao City.
Maute members who were captured said the Davao attack was ordered by Isnilon Hapilon of Abu Sayyaf, a group that has fought since the 1990s for an independent Islamic province but is as well known as a vicious gang of criminals and kidnappers.
Hapilon, who was last year declared by Islamic State as its 'emir' of Southeast Asia, was seen in a video that emerged last week showing the militants - including two Maute brothers - plotting to seal Marawi off as a separate enclave.
Herrera said the Mautes enjoy strong support in Marawi.
"This is their place, this is where their family is, this is where their culture is, this is where the heritage is. There is a huge sympathetic perspective towards the ... Maute," he said.
But Khana-Anuar Marabur Jr., a Marawi town councillor, said the Mautes had made enemies in the area with their radicalism.
He said he went to the brothers on the day the attack on Marawi was launched and they told him to the leave the town.
"They told me to leave because the caliphate ... had ordered it," Marabur said.

Reuters

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW