Sunday, February 26, 2017

ENHEE, KUMBE ALLAH HAJUI KILA KITU

Image may contain: text
ANADAI KUWA ANAJUA KILA KITU
………….
Katika quran 6:101 anasema:
Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
…………..
Ukisikia mtu anasema, “Nitaendaje wakati sina nauli?” unajua tu kuwa anachomaanisha ni kwamba, wanaoenda kule LAZIMA wawe na nauli. Hiyo ndiyo mantiki ya swali lake, si ndio?
…………..
Sasa huyu allah anauliza kwamba, “Nitakuwaje na mwana wakati sina mke?”
…………..
Mantiki yake ni kwamba, eti:
1. Ili Mungu awe na mwana ni LAZIMA awe na mke.
2. Sisi tusemapo Yesu ni Mwana, eti tunamaanisha Mungu alioa ndipo akamzaa.
…………..
Cha ajabu anamalizia kwa kusema:
Naye (yaani allah) ni Mwenye kujua kila kitu. :O :O
Yaani hapo eti ndio anatudhihirishia ujuzi wake!! :O :O
Eti anajua kuwa sisi, Biblia na Mungu wetu tunamaanisha hivyo!! :O :O
………….
Mwenye kujua yote!! :D :D :D
…………
Hebu iweni wa kweli enyi familia ya allah, japo mara moja kwa mwaka.
Uongo kama huu mnauamini wa kazi gani?
Ingekuwa kweli hicho ndicho tunachomaanisha, ni kweli angekuwa mjuzi. Lakini hiyo siyo maana kamwe; sasa huyu allah ajuacho ni nini kama si kudanganyana tu hapa?
Imeletwa kwenu na Jimmy John

ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO

Image may contain: text
1) Allah anasema: "Popote mtapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
Sasa, kwanini Waislam wanasema kuwa Allah hana wakufanana naye?
HUU NI MSIBA,

ALLAH ANAVAA NGUO KAMA VIUMBE

Image may contain: one or more people and text
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA NDUGU ZANGUNI.
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah anasema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndio vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.

QURAN YATHIBITISHA KUWA, YESU NI ZAIDI YA MUHAMMAD

Image may contain: one or more people, people sitting, meme and text
KINACHOMFANYA YESU ASIWE SAWA NA MUHAMMADI, NI HII AYA YA QURAN 👇
( وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَن يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ )
فاطر (22) Faatir
Wala hawalingani walio hai na maiti. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.
Hapo 👆 Tunaambiwa hawalingani walio hai na Maiti,
YESU YEYE YUPO HAI 👇
Ufunuo 1:17 Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
MUHAMMADI KAFA 👇
( قُلْ تَرَبَّصُوا فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُتَرَبِّصِينَ )
الطور (31) At-Tur
Sema: ngojeni na mimi pia ni pamoja nanyi katika wanaongojea (sifi mimi peke yangu, nanyi mtakufa vilevile)
YESU YEYE AMEWEZA KUWASIKILIZISHA SAUTI WALIO MAKABURINI 👇
Yohana 11:38 Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
39 Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.
40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?
41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.
42 Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.
43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
44 Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
MUHAMMAD YEYE AMEAMBIWA KUWA HAWEZI KUWASIKILIZISHA SAUTI WALIOMO MAKABURINI 👇
( وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَن يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ )
35:22
............. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.

Wednesday, February 22, 2017

NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU

Image may contain: text
UWEZA ULIO KATIKA NENO LA MUNGU
Neno ni nini?
Neno ni matamshi yenye maana yanayotoka kwenye kinywa cha mtu, au kitu !
Kibiblia Neno ni yale mambo yaliyojaza moyo wa mtu , Biblia inasema “Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake , hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoka yaliyo maovu; kwa kuwa mtu hunena yale yaujazayo moyo wake” Luka 6:45 Amplified Bible moyo umeandikwa kama (storehouse)
Neno la Mungu ni nini?
Neno la Mungu ni yale maneno yanayotoka kwa Mungu, na ni makusudio ya somo hili kujifunza uweza ulio katika neno la Mungu ili yamkini tupate kujua msaada tutakao upata kwenye neno hilo! Mungu anaongea sana kupita unavyofikilia lakkini unawezaje kulipokea neno na kulitumia hapo ndo wengi wanaposhindwa.
Uwezo wa NENO kukuongoza katika njia sahihi.
“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu” Zaburi 119:105,
Neno linatuonyesha tunapoelekea, linatuongoza kutenda kwa usahihi kama vile nchi bila katiba inapotea, ndivyo mtu anayemwamini Yesu kutokuwa na neno la Mungu moyoni mwake! lazima atapotea! Mungu akamwambia Joshua “kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku…ndipo utakapoifanikisha njia yako…” Joshua 1:8. Ni kwa kufuata Neno la Mungu ndipo mtu anaweza ifanikisha njia yake!
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, MAJINI, MASHETANI, MAPEPO NA MAHAYAWANI YOTE YAMEUMBWA NA ALLAH?

Image may contain: ocean, sky and text
1. Kwanini Allah alimuumba Shetani?
2. Kwanini Allah aliumba Majini machafu?
3. Kwanini Allah aliumba Mapepo?
4. Kwanini Allah aliumba Mahayawani?
MAJIBU YA MASWALI HAYO MANNE HAPO JUU UTAYAPATA KWENYE KAZI ZA MAJINI.
MTUME MUHAMMAD AKUTANA NA MAJINI USKU
Allah S.W.T. ametuhakikishia wazi kuwa ujumbe aliopewa Mtume S.A.W. ulikuwa kwa Wanadamu na Majini na Mashetani pia. Na katika Qurani na Hadithi za Mtume S.A.W. kuna dalili zilizo wazi zinazoyakinisha kuwa Mtume S.A.W. alikuwa akikutana nao na kuwafundisha dini. Na hata wakati mwingine Majini walikuwa wakitoa majibu mazuri zaidi kuliko Binadamu kwenye masuala ya dini. Na mfano ni wakati waliposomewa Suratir Rahmaan. Hadithi iliyopokelewa na Jaabir bin Abdallah R.A.A. na iliyotolewa na Ttirmidhi kasema, “Wakati ambapo Mtume S.A.W. alipowasomea Majini Suratir Rahmaan, “
لَقَدْ قَرَأْتُهَا ‘‘يعني سُورَةَ الرَّحْمَنِ’’ عَلَى الْجِنِّ …، فَكَانُوا أَحْسَنَ مَرْدُودًا مِنْكُمْ ، كُنْتُ كُلَّمَا أَتَيْتُ عَلَى قَوْلِهِ ]فَبِأَيِّ آلاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ[ قَالُوا: لا بِشَيْءٍ مِنْ نِعَمِكَ رَبَّنَا نُكَذِّبُ ، فَلَكَ الحمد
Maana yake, “Hakika nimewasomea Majini (yaani Suratir Rahmaan)…wamejibu vizuri zaidi kuliko nyinyi. Kila nilipofikia kauli Yake (Mwenyezi Mungu S.W.T.) “Fabiayyi A-alaai Rabikumaa Tukadhibaan.) Maana yake, “Basi ipi katika neema za Mola wenu ambayo mnayoikanusha kuwa si kweli?” (Basi Majini) walijibu “Laa bishaay Min Niamika Rabbana Nukadhibu, Falakal Hamdu.”
Maana yake, “Hakuna neema yoyote katika neema Zako Mola wetu tunayoikadhibisha, bali tunashukuru.” Na Mtume S.A.W. alipowasomea Wanadamu hawakujibu chochote, akawaambia, “Ndugu zenu wa Ki-Jini wamejibu jawabu nzuri waliposikia haya.” Na dalili nyingine kuwa Mtume S.AW. pia alikuwa ametumwa kwao ni kisa cha baadhi ya Majini ambao baada ya kuisikiliza Qurani waliiamini na wakarejea kwao na kuanza kuwaita wenzao kwenye dini ya Kiislamu.
KUTOKANA NA BIBLIA
Majini au Mapepo au Mashetani (Malaika walio asi) ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama Malaika isipokuwa Majini na Mapepo yalifukuzwa Mbinguni pamoja na Shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu. Hivyo Majini, Mashetani, Mapepo ni tokeo la kuasi kwa malaika. Ni sawa na kusema JAMBAZI ni tokeo au sifa ya mtu mwizi wa kutumia nguvu.

KWA JINA LA YESU MTATOA PEPO

Image may contain: one or more people and text
Marko 16:17-18 inasema, "ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina Langu watatoa pepo...."
Kila Mkristo anao uwezo wa kuwatoa pepo! Sio swala la kwamba "una nguvu" kiasi gani au jinsi gani upo "kiroho" ; cha muhimu ni kuwa Yesu Amekupa mamlaka Yake; unatembea katika jina Lake.
Shetani hana haki ya kuendesha mambo katika maisha yako, au nyumbani mwako au katika maisha ya wale uwapendao. Tumia mamlaka yako katika Kristo dhidi yake.
Matendo 16:16-18 Ikawa tulipo kuwa tukienda mahali pale pa kusali, kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua. Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema watu hawa ni watumishi wa Mungu Aliye juu, wenye kuwahubiria Njia ya wokovu. Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo Akakasirika, akageuka akamwambia yule pepo, nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.
Unaweza kuwatoa pepo siku yoyote, muda wowote na mahala popote, kwa kutumia jina la Yesu tu.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

KANISANI JUMAPILI YA FEBRUARY 19, 2017 NA RAIS OBAMA, WASHINGTON DC.

Image may contain: 7 people, people standing and wedding

Its great to see the OBAMA Family in church. You know its a good idea to serve GOD after serving in the highest office on Earth

Max Shimba Ministries 

HATIMAE SHETAN KWA KINYWA CHAKE AKIRI KUWA YESU NI MUNGU

Image may contain: text
AKIRI KUWA YESU NDIYE ATAKAE MHUKUMU SIKU YA MWISHO/KIYAMA:
Ndugu msomaji,
Unapoona mada hii inajirudia katika mandiko tofauti, tofauti, ikithibitisha mamlaka kuu na nguvu za Yesu kuanzia mbinguni, duniani na hadi chini ya aridhi;
Nikwamba INAKUJENGEA IMANI WEWE USIYE AMINI UUNGU, UKUU, NA MAMLAKA YA YESU.
Kwahiyo shetani yeye anaitumia fulsa hiyo ya kuivunja imani hiyo ya Yesu kwa kusema "Yesu ni mtu tu kama nyinyi sichohote silolote" NAKUIVUNJA IMANI YA WATU WAKIFIKILI YESU SILOLOTE,
Tuanze na Qur'an Al-Hijr 34 ( ALLAH ) akasema basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni! 35 na hakika juu yako ipo laana mpaka siku ya malipo, 36 akasema (Iblisi) mola wangu mlezi! NIPE MHULA MPAKA WATAKAPO FUFULIWA. 37: (ALLAH) akasema HAKIKA WEWE NI KATIKA WALIO PEWA MHULA. 38 MPAKA SIKU YA WAKATI MAALUMU.
Katika mstari wa 36 shetani anaomba apewe MHULA MPAKA WATAKAPO FUFULIWA.
JE NINANI HUYO AMBAE SHETANI ANASEMA ATAFUFUA?
Yohana 11:25 YESU akamwambia, MIMI NDIMI HUO UFUFUO NA UZIMA, yeye aniaminiye Mimi HAJAPO KUFA ATAKUA ANAISHI:
Kumbe shetani anamfahamu fika Yesu na ndio maana anamuomba atakapo kujakufufua wafu siku ya mwisho ndipo nae ahukumiwe.
Katika mstari wa 37-38 tunaona Allah kwa kinywa chake anamwambia shetani kwamba AMEPEWA MHULA MPAKA WAKATI MAALUMU.
ALLAH #HAKUMWAMBIA SHETANI KWAMBA NIMEKUPA MHULA, LA HASHA,
BALI ALIMWAMBIA #UMEPEWA MHULA.
JE MUNGU ALIYE MPA MHULA SHETANI ANAITWA NANI?
KWASABABU ALIYE PEWA MHULA NI SHETANI, NA SHETANI ANAMJUA ALIYE MPA MHULA, SHETANI MWENYEWE ANATHIBITISHA KWA KINYWA CHAKE:
UTHIBITISHO WA AYA:

KUNYWA MAJI YA UZIMA

Image may contain: text
Njoo Kwake Kristo Yesu
“Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.” (Ufunuo Wa Yohana 22:17)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

HABARI NJEMA

Image may contain: text
Injili, ambayo inamaanisha, “Habari Njema,” ni kwamba Mungu ametuandalia njia ya kumrudia huku akiadhibu dhambi zetu. Njia hiyo ni kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo.
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” (Yohana 14:6)
“Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” (Warumi 5:8)
“Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu.” (Waefeso 2:8)
“Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.” (Wakorintho Wa Pili 5:21)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

MSIKITI WA IJUMAA TABORA WAUZWA

MSIKITI WA IJUMAA TABORA WAUZWA
Baadhi ya viongozi wa msikiti wa Ijumaa ambao ndio msikiti mkuu wa mkoa wa Tabora wametuhumiwa kula njama na kuuza msikiti huo bila kuwahusisha waumini na viongozi wenzao.
Chanzo cha kuaminika kilichopo mjini Tabora kimeiambia 100.5 Times Fm kuwa waumini waliingiwa na shaka baada kuona msikiti huo umefungwa ghafla kwa siku mbili mfululizo na kwamba baada ya kufuatilia waligunduamkuwa viongozi hao wameuuza kwa matajiri ambao ni wenyeji wa Nairobi,Kenya.
Hali ya sintofahamu ilibuka katika eneo hilo na kutokea mzozo mkubwa baina ya watuhumiwa na waumini wanaodai msikiti huo.
Imeelezwa kuwa ilimlazimu mufti kusafri haraka mpaka mjini Tabora ili kuutatua mgogoro huo.
Hadi taarifa hii inaenda hewani Mufti alikuwa akiendelea na zoezi la kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo huku akihoji sababu za kufungwa kwa msikiti huo ikiwa ni kinyume cha taratibu.
Bado haijafahamika lengo la matajiri hao kuununua msikiti huo.
http://www.habari5.com/zilizopita/item/5391-msikiti-wa-ijumaa-tabora-wauzwa-kimyakimya-mufti-simba-aingilia-kati-kuunusuru

WAUMINI WACHARUKA! VIONGOZI WA MSIKITI WADAIWA KUTAFUNA MILIONI 20/-


Na Dotto Mwaibale
TAFRANI kubwa imezuka katika msikiti wa Masjidi Pelapela uliopo eneo la Mtakuja Vingunguti jijini Dar es Salaam baada ya viongozi wa msikiti huo kudaiwa kutafuna zaidi ya shilingi milioni 20.
Fedha hizo imeelezwa kuwa zilichangwa na waumini wa msikiti huo kwa ajili ya ujenzi wa msikiti mpya baada ya unaotumika kuchakaa.
Imamu mkuu wa msikiti huo aliyetajwa kwa jina la Hamidu Mitanga alilazimika kutoweka ndani ya msikiti huo baada ya kuendesha swala ya Ijumaa iliyofanyika jana mchana kutokana na waumini kuwa na jaziba kufuatia imamu huyo kutamuka kuwa hakuhitaji kuulizwa maswali yoyote kuhusu upotevu wa fedha hizo na kuwa uongozi uliopo utaendelea kuwepo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi msikitini hapo Dar es Salaam leo mchana wakati wa swala ya Ijumaa mmoja wa waumini wa msikiti huo Mbarouk Mohamed Makame alikiri kuwepo kwa ubadhilifu wa fedha za waumini zilizochangwa kwa ajili ya ujenzi wa msikiti mpya.
"Suala la upotevu wa fedha hizo lipo na limeleta changamoto kubwa kwa waumini na kusababisha kuwepo kwa makundi mawili moja likiwa lile linalolalamikiwa kutafuna fedha hizo na lile linalotaka fedha hizo zitolewe maelezo zilipo," alisema Mzee Makame.
Mzee wa msikiti huo na Mwenyekiti wa Kamati ya watu 10 Saidi Ngubi alisema fedha zinazoshindwa kutolewa maelezo ya matumizi yake na viongozi wa msikiti huo zilitokana na mradi wa maji na michango ya waumini.
"Mimi ndiye niliyeanza kuuliza matumizi ya fedha hizo lakini viongozi hao wakawa hawana majibu na badala yake waliivunja kamati yetu na kuchagua nyingine jambo lililoleta sintofahamu," alisema Ngubi.
Imamu mkuu wa msikiti huo Hamidu Mitanda alisema fedha hizo zilitumika kwa ajili ya mchakato mzima wa kupata umiliki wa kiwanja ulipo msikiti huo na michoro ya ujenzi wa msikiti mpya na kuwa yeye ndiye aliyeanzisha mpango wa kupata msikiti ulio bora na si bora msikiti.
"Binafsi sina shida na cheo hiki cha Uimamu kwani nina shughuli zangu nyingi mkitaka kuniondoa fuateni taratibu kama zili zilizoniweka madarakani na sisi kama viongozi dhamira yetu ni kuwa na msikiti uliobora wa ghorofa na si bora msikiti" alisema Mitanga.
Mitanga alisema chokochoko hizo zilianza tangu mwaka 2007 ambapo tulikubaliana kila muumini kati ya waumini 205 achangie sh.5000 za ujenzi lakini waliochangia walikuwa ni waumini wachache ambapo zilipatikana sh.milioni moja tu.
Imamu huyo alisema uongozi unaoendesha msikiti huo hauko tayari kuachia madaraka kwa tuhuma hizo ambazo hazina ukweli alizodai zinachochewa na baadhi ya waumini.
http://www.wavuti.com/2016/02/waumini-wacharuka-viongozi-wa-msikiti.html

Saturday, February 18, 2017

YAANI NILIKUWA NAJIULIZA TU – SINA JIBU – NAOMBA KUELEWESHWA.

Image may contain: one or more people
………..
Seba anakaa na Rama. Zena akaja akasema, “Seba, huyo kibaka wako unayekaa naye aliyeiba simu yako yupo?”
Rama akitokeza na kusema, “Nipo sijaondoka,” je, hata ungekuwa wewe, ukisikia jibu la Rama si utajua kuwa anakubali kuwa yeye ni kibaka? – maana hakanushi kuitwa kibaka.
………….
Katika Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 475 tunasimuliwa na Jundub bin Sufyan kuwa siku moja mtume aliugua sana. Mama mmoja, mke wa Abu Lahab akaenda akamwambia, “O Muhammad! I think that YOUR SATAN HAS FORSAKEN YOU, for I have not seen him with you for two or three nights!”
……….
Yaani, “Muhammad, nadhani SHETANI WAKO AMEKUACHA”
…………
Kisha tunaambiwa kuwa: ON THAT, ALLAH REVEALED:“By the fore-noon, and by the night when it darkens, YOUR LORD (O MUHAMMAD) HAS NEITHER FORSAKEN YOU, NOR HATED YOU.” i.e. (Surah 93:1-3).
…………
Yaani Allah alishusha Sura 93:1-3 kumjibu mke wa Abu Lahab.
Lakini badala ya kusema, “We mwanamke, mimi sio shetani,” yeye akasema tu kuwa, “Naapa kwa mchana! Na kwa usiku unapo tanda! Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.”
…………..
Sasa, mimi nakuwa najiuliza tu – sina jibu:
1. Huyu mama alikuwa anamwongelea SHETANI, iweje atokeze ‘Mola’ kujibu swali hilo?
2. Kama mtu akija akasema, “Kaka yako yuko wapi?” je, anaweza kutoka DADA na kujibu, “Niko hapa?”
Shalom:
Imeletwa kwenu na Jimmy John:

NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU


Image may contain: text

UWEZA ULIO KATIKA NENO LA MUNGU

Neno ni nini?
Neno ni matamshi yenye maana yanayotoka kwenye kinywa cha mtu, au kitu !


Kibiblia Neno ni yale mambo yaliyojaza moyo wa mtu , Biblia inasema “Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake , hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoka yaliyo maovu; kwa kuwa mtu hunena yale yaujazayo moyo wake” Luka 6:45 Amplified Bible moyo umeandikwa kama (storehouse)

Neno la Mungu ni nini?
Neno la Mungu ni yale maneno yanayotoka kwa Mungu, na ni makusudio ya somo hili kujifunza uweza ulio katika neno la Mungu ili yamkini tupate kujua msaada tutakao upata kwenye neno hilo! Mungu anaongea sana kupita unavyofikilia lakkini unawezaje kulipokea neno na kulitumia hapo ndo wengi wanaposhindwa.

Uwezo wa NENO kukuongoza katika njia sahihi.

“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu” Zaburi 119:105,

Neno linatuonyesha tunapoelekea, linatuongoza kutenda kwa usahihi kama vile nchi bila katiba inapotea, ndivyo mtu anayemwamini Yesu kutokuwa na neno la Mungu moyoni mwake! lazima atapotea! Mungu akamwambia Joshua “kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku…ndipo utakapoifanikisha njia yako…” Joshua 1:8. Ni kwa kufuata Neno la Mungu ndipo mtu anaweza ifanikisha njia yake!

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH KAMESA WAHUKUMU WAISLAM KUTUMIA INJILI NA SIO QURAN

Image may contain: one or more people, text and outdoor
Ndugu msomaji,
Surat AL Maida 47. Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
http://www.quranitukufu.net/005.html
Allah kateremsha aya na kukiri mbele ya umma wake kuwa, INJILI NDIO IMEKAMILIKA NA HAINA SHAKA NDANI YAKE NA NDIO ITAKAYO TUMIKA KWENYE HUKUMU.
Jambo la kujiuliza, kwanini Allah hakusema tutahukumu kwa kutumia Quran?
Ushahidi zaidi wa Kiislam:
1. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.657 Narrated by Abu Huraira
2. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.658 Narrated by Abu Huraira
Je, Biblia nayo inasema nini kuhusu sisi Wakristo kutoa hukumu?
1 WAKORINTHO 6: 3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu Malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
Biblia ndio imemaliza kabisaa na kusema kuwa, Wakristo wanahaki na uwezo na mamlaka ya kuhukumu mpaka Malaika.
Shauri ni lako, kuwa Muislam ambaye atahukumiwa kwa Injili, au kumfuata Yesu ambaye amekupa Mamlaka ya kutoa hukumu mpaka kwa Malaika.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Thursday, February 16, 2017

PARIS BURNING! Shouting “Allahu Akbar,” masked Muslim rioters turn several migrant areas into ‘NO-GO’ Zones


Five areas of Paris have been under attack for the past five nights over allegations that police raped an African Muslim male suspect during a drug raid. Masked men have been wilding in the streets, setting fire to cars, and attacking police, in areas where the rule of law seems not to apply.

UPDATE! The rape charge made by the suspect appears to be false as new evidence comes out. SOURCE

UK Express  For the past 5 days, massive crowds angered by the “alleged” rape by police of a black African Muslim suspect by a Paris police officer, have been rioting in the streets, torching cars, and damaging businesses.

Residents have been on lockdown as armed police tried to tackle the rioters who have caused millions of pounds of damage. Now there are fears the fall-out from allegations of police brutality could spread all over the country as unrest in the city grows.

French President Francois Hollande (above) at bedside of victim known as “Theo.”

In the wake of the alleged sodomization with a baton of a French citizen of African Muslim origin, known only as the 22-year-old ‘Theo‘,  by a French police officer during a drug raid, violent protests have erupted all over the French capital’s suburbs near Bobigny, housing a majority immigrant population.

In the video below, the Muslim faces of the rioters are much clearer: 

The French Government’s response to the latest outbreaks of violence is to put 2,600 cameras on police officers to record arrests, but the measure has done little to calm protesters.

Fears are rising that the allegations of police “brutality” could fuel more unrest in the rest of the country. Residents have been on lockdown as armed police tried to battle black and Arab Muslim rioters who have already caused millions of euros in damage.

“Several hundred violent and very mobile individuals” committed various “acts of violence and damage,” said the Paris police prefecture. In a statement it listed projectiles thrown against public buildings, four vehicles torched, two shops and a bus station damaged in one night alone.

Police were hit with molotov cocktails and the heavy metal balls used in the French game Petanque. Officers have been forced to fire live rounds of bullets after an ambulance was set on fire.

Meanwhile, a group calling itself Black Lives Matter France — an apparent offshoot of the US movement against police brutality — seized on the case and engaged in organizing protest rallies.



What do the world’s 15 worst countries for women all have in common?




ISLAM. Yet, Trump-hating feminazis claim that women have it worse in America than in the Middle East.

“AUSTRALIANS are fleeing areas housing Muslim migrants so as to protect their daughters (from rape and sexual assault)”


“Self-segregation has become a reality,”  says Senator Malcolm Roberts, with people “fleeing areas of heavy migrant settlement, specifically Islamic settlement.”

Breitbart  “This is not only white flight, it is every kind of flight. Every type of Australian is fleeing these new ghettos” claimed the One Nation populist, citing research on diversity and societal cohesion which suggests the country’s identity and social fabric are beginning to fray.

“Culture and integration matter to Australians,” he told colleagues in the Australian parliament’s upper house, condemning the “coldness and arrogance of [the] political elites” who refused to recognize this.

“In our fraying society, self-segregation has become a reality. We the people are seeking to protect our children, our daughters, our property, our liberty,” stated the Queensland senator to parliament Monday.

“If immigrants are to assimilate we should be choosing those from cultures with a track record of ready assimilation,” argued Senator Roberts, pointing out that Australians had few complaints about “Buddhists, or Sikhs, or Hindus, or Jews or Catholics or Protestants and so on”.

“NOT WITHOUT MY DAUGHTER” 2017 version

If every Western woman could be forced to see the 1991 Sally Field movie, ‘Not Without My Daughter,’ they would NEVER marry a Muslim man. Sadly, history keeps repeating itself. This is the story of Stephanie, a Canadian woman who converted to Islam in her late-teens to marry a Libyan Muslim man. She gave birth to two daughters in Canada.

h/t Christine D

If you haven’t seen the film ‘Not Without My Daughter,’ you can watch it here:



QURAN YAMKIRI YESU KUWA NI MUNGU WA KWELI

No automatic alt text available.
Katika vitu ambavyo waislamu huwasumbua vichwa na akili zao, ni kuhusu Uungu wa Yesu, sema vitu vyote lakini ukifika hapo kwenye Uungu wa Bwana Yesu basi mnapotezana, na kitu ambacho kinawafanya waislamu washindwe kukubali kuwa yeye ni Mungu, ni ukosefu wao wa ROHO MTAKATIFU, maana mtu hawezi kukiri kuwa Yesu ni Bwana (Mungu) kama hana ROHO MTAKATIFU, kama yasemavyo maandiko.
2 Korintho 12: 3 Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
Kwa hivyo Ndugu yangu Mkristo unapojadiliana na Muislamu kuhusu Habari za Uungu wa Yesu, kamwe hawezi kukubali mpaka ROHO MTAKATIFU auhusike, kinyume na hapao itakuwa ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, kwa hivyo hoja zake zote zitaegemea katika hali ya Kuutazama mwili kama ambavyo Elisabeti, alimtazama Yesu kama mtu wa kawaida sana ambaye atazaliwa na Mariam, lakini mara baada ya kujazwa na Roho Matakatifu, ndipo alipokiri kuwa Yesu ni Bwana yaani Mungu wake.
Luka 1: 39 Basi, Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda hata nchi ya milimani kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yuda,
40 akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.
41 Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;
42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
43 Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi?
Hapo tumeona ni namna gani Umuhimu wa ROHO MATAKATIFU, katika kumjua Yesu kuwa ni Mungu, kwa kuwa Waislamu hawana Roho Mtakatifu, kazi yao hasa ni kumtaza Yesu alipoutwaa Mwili wa Kibinadamu, na kuwa na asili ya mtu, na kuuficha Uungu wake katika mwili, ndo maana akawa akiijita Mtume, Mwana, Kuhani, na hata Nabii, sasa leo sina lengo hasa la kuueleza Uungu hasa wa Yesu, kiundani kwa Biblia, bali nataka niitazame Quran namna ambavyo imemkiri Yesu kuwa ni Mungu, kwa kueleza Sifa za Mungu, ambazo Yesu anazo, kwa hivyo nitaeleza SIFA 5 NDANI YA QURAN ambazo zinakiri UUngu wa Yesu.

JE, NI NANI ALIYE TOLEWA KAFARA? ISHMAEL AU ISAKA?

Image may contain: text
SWALI KUTOKA KWA WAISLAM KUHUSU ISHMAEL NA ISAKA:
JE, NI NANI ALIYE TOLEWA KAFARA? ISHMAEL AU ISAKA?
Kwenye Mwanzo 22:1-18, 
Je inawezekana kuwa mvulana ambaye Abraham alikaribia kumtoa kafara awe ni Ishmael, siyo Isaka, kama ambavyo Waislam wanadai?
Vinginevyo, inawezekanaje Isaka awe "mtoto pekee wa kiume" wa Abram?
Jibu: Ni Isaka aliyetolewa kafara na si Ishmael kwa sababu angalau tatu:
1. Hata Kurani haisemi kuwa alikuwa ni Ishmael: Mwanzo 22:2 inasema alikuwa ni Isaka. Kwa Waislam, ingawa Kurani ya kiislam inazungumzia jambo hili kwenye Sura 37:99-111, hakuna sehemu yoyote kwenye Kurani nzima inayosema kuwa huenda alikuwa Ishmael au Isaka. Kwa hakika, wanazuoni wengi wa awali wa kiislam walifundisha kuwa alikuwa ni Isaka, wakati wengine walifundisha kuwa alikuwa ni Ishmael. Tazama al-Tabari juzuu ya 2 uk.68. al-Tabari juzuu ya 2 uk.82-97 inasema mabingwa 16 wa kiislam walisema kuwa ni Isaka wakati mabingwa 23 wa kiislam walisema kuwa ni Ishmael.
2. Abram alikuwa na mtoto mmoja tu wa kiume wakati ule: Ishmael alikuwa na miaka 14 wakati Isaka alipozaliwa. Hajiri na Ishamael walifukuzwa na kwenda sehemu nyingine Isaka alipoachishwa kunyonya kwenye Mwanzo 21:8-10. Abraham alijaribiwa "kwa muda mrefu" baada ya hapo kwenye Mwanzo 21:34, na "mtoto wa kiume" alikuwa kwenye meza ya kutolea kafara kwenye Mwanzo 22:12.
3. Mrithi pekee: Isaka alikuwa mrithi pekee, na mtoto pekee wa kiume, pia inamaanisha "mtoto wa kiume mpendwa". Ingawa utamaduni wa wakati ule uliruhusu watu kuwa na masuria kwa ajili ya kupata watoto, urithi na haki ya mzaliwa wa kwanza vilienda kwa watoto wa kiume wa mke halisi, siyo watoto wa kiume wa masuria. Tazama Mambo Magumu kwenye Biblia na Mambo Yanayoonekana Kupingana uk.141 kwa maelezo kamili.
Mwana pekee wa ahadi: Mwanzo 21:12 inasema, "katika Isaka uzao wako utatajwa." Abraham alikuwa na watoto wengine pia wa kiume, lakini walizaliwa baada ya ahadi hii.
Leo nimejibu swali la Waislam, nani aliye tolewa sada/
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH AMESHINDWA KUTUAMBIA AKHERA KUNA BUSTANI NGAPI?

Image may contain: ocean, sky, cloud, tree, outdoor, text and nature
Kwa mara nyingine tena, Allah analeta utata katika Quran yake ambayo sasa naweza kusema imejaa shaka na utata na ni ya kutengenezwa kama vitabu vya aladini.
BUSTANI MOJA:
Katika Surat Al Hadid 21. Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu
Kwenye hiyo aya hapo juu inasema "PEPO" Ikimaanisha ipo moja NA AU KUNA PEPO MOJA TU. Soma aya zaidi katika 41:30 [the Garden], 57:21 [a Garden], 79:41 [the Garden]
LAKINI NILIPO ISOMA ZAIDI KURAN, NIKAKUTANA NA HUU UTATA:
BUSATI NYINGI:
Surat Al Kahf 31. Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito kati yake. Humo watapambwa kwa mavazi ya mikononi ya dhahabu, na watavaa nguo za kijani za hariri na at'ilasi, huku wakiegemea humo juu ya makochi. Ni malipo bora hayo! Na matandiko mazuri mno ya kupumzikia!
Nukuu zaidi 22:23, 35:33, 78:32 [kila mara anatumia wingi, each time: "Gardens"]?
Aya hapo juu inasema Bustani "ZINAZO".... Hapo teyari umesha elewa kuwa sio bustani moja kama alivyo dai kwenye Surat Al Hadid aya ya 21.
Ndugu msomaji, teyari tumesha msambaratisha Allah na Quran yake ya kutengenzwa kama ulivyo tengenezwa Uislam.
Mimi sina la ziada zaidi ya kuwaombea ndugu zetu waje kwa YESU MUNGU MKUU.
Kwa wanao jua ung'eng'e:
How many gardens are there in paradise?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, SIKU MOJA YA ALLAH NI SAWA NA MIAKA 1000 AU 50,000?

Image may contain: text
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Katika Surat Hajj 47, allah anasema kuwa siku moja ya Allah ni sawa na miaka elfu moja "1,000".
Surat Hajj 47. Na wanakuhimiza ulete adhabu, lakini Mwenyezi Mungu hatakwenda kinyume na ahadi yake kabisa. Na hakika siku moja kwa Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu mnavyo hisabu nyinyi.
Ushaidi zaidi upo katika Surat 32. SURAT ASSAJDAH aya ya 5.
LAKINI NILIPO ISOMA ZAIDI KURAN, NIKAKUTANA NA SHAKA NA UTATA MKUBWA SANA.
Surat Al Maaru 4. Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
MSIBA NDIO UMEANZIA HAPA.
Hivi huyu Allah hajui kuhesabu siku zake au ni SHAKA KUBWA KUBWA ZA QURAN ndio zinaleta UTATA HAPA?
NIKISEMA KUWA UISLAM NI DINI YA KUTENGENEZA, WAISLAM WANAPIGA KELELE OOOH UNATUKASHIFU, SASA MIMI NIFANYEJE WAKATI KILA KONA YA QURAN IMEJAA UTATA?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Tuesday, February 14, 2017

DAMU YA YESU INANENA MEMA

Image may contain: text
Tangia Agano la Kale, kila aina ya kafara iliyofanyika Damu ilitumika. Ndiyo maana hata sasa, wachawi na waganga wa kienyeji wakitaka kufanya kazi zao za uharibifu huhitaji damu, aidha ya wanyama kama kondoo, mbuzi, kuku n.k.
Damu inanena / au ina uwezo wa kuongea. WAEBRANIA 12:24…[na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.]
Yesu Kristo alimwaga damu yake kwa ajili ya ukombozi wetu – tumekombolewa na damu ya Yesu. (Waefeso 1:7; Wakol.1:20; 1 Petro 1:19; Ufunuo 5:19; Waebrania 9:12).
TABIA ZA DAMU
Damu ina uhai ndani yake. WALAWI 17:11….[Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.]….
MWANZO 9:4… [Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile. 5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.]… Hii ina maanisha kwamba, kwa kuwa uhai u ndani ya damu, ndiyo maana wanasayansi wameshindwa kutengeneza damu, la sivyo wangeweza kutengeneza uhai pia.
Damu ina Sauti.
Damu inanena / au ina uwezo wa kuongea. WAEBRANIA 12:24…[na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.]

Troglodytes Muhammadans at their best

UK Mirror A video has emerged of a woman being lashed in public with a cane in footage showing Indonesia‘s brutal Sharia law punishment.  The woman can be heard screaming in pain in front of a cheering crowd as she takes her cruel beating before collapsing.

Nur Elita, 20, had to be taken away in an ambulance after being beaten in public outside her mosque under Sharia law. A crowd cheered as a young woman screamed in agony as she was repeatedly caned in punishment for being in ‘close proximity’ to a man she wasn’t married to.

Dozens of civilians can be seen gathering around an elevated stage and film the events on their smartphones. A masked man, whose identity is kept completely hidden, plays to the crowd by wiggling the cane provocatively near the woman’s back.

GERMANY IN CHAOS as Troglodytes Muslims are burning down their own refugee centers


MUSLIM MIGRANTS posing as refugees in Germany have been behind a series of destructive arson attacks on refugee centers where they are housed. Why would Muslims do this to their own shelters? They don’t like the accommodations and want to be placed in nice homes and apartments of their own.

UK Express  Germany has been blighted by a series of devastating fires in recent months, many of which have been blamed on Muslim newly arrived invaders. Now another two blazes have been reported in the last week.

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW