Thursday, March 30, 2017

END TIME: Watch Video Of The Lagos Woman Who Allegedly Transformed Into An Owl!!

optimized-btju

The incident happened last Monday at Boundary road Shasha, Akowonjo area Egbeda in Lagos, where an old woman, who a Nigerian pastor addressed as a witch, was accused of transforming into an owl.

Photos from the scene went viral after Pastor Stephen Ihesiabia, the General Overseer of The Lord’s Army Ministry, shared them on Facebook. He had claimed that the woman who was allegedly in the form of an owl, was flying either going to or from a meeting when she crash landed after thunder struck her.


All MuslimS Must Change To Christian To Avoid Hell Fire. Muslim Priest Urges All Muslim

06caf79bc983613da14eae7d9473_grande

All MuslimS Must Change To Christian To Avoid Hell Fire. Muslim Priest Urges All Muslim

While I was working in a muslim mosque as an imam, as a parish priest, I preach in my parish that Jesus Christ is not God, for me, God was only Allah, and I believed Allah never got married, so no sons for Allah. So I preached there that Jesus is not God. Then somebody ask me, who is Jesus?’’ from the crowd. Maybe a muslim, but he asked me, who is Jesus?’’ I was preaching he is not God, but the question is who is he? To know who is Jesus? I read the entire Koran once again: 114 chapters, 6666 in the Koran when I read it, the name of prophet Muhammad. I found it in Koran 4 places, but the name of Jesus I found in 25 places. There itself, I was a little confused. Why does the Koran give more preference to Jesus? And second thing, I could not see any woman’s name in Koran: the Prophet Muhammad’s mother’s name, or wife’s name, no, in the Koran, there is only one woman’s name that i found is Mariam, the mother of Jesus no other woman’s name. And in the holy Koran chapter 3, the name of the chapter is family of Mariam,’’ and holy Koran chapter 19, the name of the chapter itself is ‘’MARIAM’’ one chapter is ‘’MARIAM’’ so I was very curious to know why does Koran says all these things about MARIAM, holy Koran chapter 3 verse 34 onwards says that Mary was born without original sin, she never committed any sin in her life, she was ever virgin.


Koran chapter 50 verses 23 say that she went to heaven with her physical body. Even the assumption is writing in the holy Koran and then about Jesus, when I read chapter 3 verses 45 to 55 verses, there is 10 point which the Koran makes about Jesus. The first thing Koran says (kallimatulli) the arabic word which means ‘’the of God’’ and second thing is ( ahimokuli ) which mean spirit of God and the third (isa masi) which means Jesus Christ so Koran give the name for Jesus WORD OF GOD, SPIRIT OF GOD, JESUS CHRIST. And then Koran says that Jesus spoke when he was very small, like 2 days old. after his birth he began to speak , Koran says that Jesus created a live bird with mud. He took some mud, he formed a bird; when breathed into it, it became a live bird. So I think Jesus can give life because he gave life to mud, clay, and then Koran says that Jesus cured a man born blind and a man with leprosy, e.t.c



Curiously, the Koran says that Jesus gave life to dead people; Jesus went to heaven; he is still alive and he will come again. When I saw all these things in the Koran I taught of what Koran says about Muhammad, according to the Koran, prophet Muhammad is not the word of God, not spirit of God he never spoke when he was 2 days old, he never created any bird with mud, he never cure any sick people, he never raised any dead people, he himself died, and according to Islam he is not alive and he will not come back. So there is a lot of different between these two prophets. I didn’t call Jesus, God, you know my idea was ‘’He is a prophet but he is a prophet greater than Muhammad; so one day I went to my teacher, the one who taught me 10 years in Arabic college, and I ask him, teacher, how did God created the universe? Then he said God created the universe through the word,’’ THROUGH THE WORD. Then my question is: ‘’WORD’’ is creator or creation? He must clear this, my question is whether the WORD of God is creator or creation. Koran says Jesus is WORD of God. If my teacher says word of God is creator, which means Jesus is the creator, then muslim must become Christian suppose if he says the word is creation he will be trapped. You know why? He said everything was created through the word. Suppose if he said the word is creation, then how did God created the word? So he cannot say that the word is creator, or creation, so he was quite angry he push me out of his room and said word is not God, not creator or the creation you get out of here, ‘’he said.


The reason why Muslim doesn’t accept to be Christian is because they are blinded with the wrong teaching of their priest, Imam. They said that the word is creation they try to prove it wrongly…… they say the word is not creator, not the creation, but not God. And no creation also. They don’t equal with God, that all their problem. So when he said that I told my teacher, word is not the creator or the creation.’’ So, that is why Christian says the word is son of God. Then he told me if there is son for God, I must show him the wife of God. That without wife no chance of having a son then I showed him a portion from the Koran. Koran says that God can see without eyes, God can talk without tongue, God can hear without ears. It is writing in the Koran. I said if that is the case, so God can have a child without a wife. I took my Koran, I put it on my chest, and I said ‘’Allah’’, tell me what I should do because your Koran says Jesus is still alive, and Mohammad is no more. Tell me whom should I accept.’’ after my prayer I opened the Koran, I didn’t asked anyone, I asked only my Allah. When I opened Koran, I saw chapter 10 verses 94. You know what Koran says? It says if you have any doubt in this Koran which I give to you, go and read the Bible, or ask the people, those who read the Bible. The truth is already revealing that.


I beg all muslim to give their life to Christ because he is the only way to the kingdom of God. Please don’t perish like other muslims that is serving the god they do not know. I welcome you into Christ Jesus as you change your mind to accept him today. God bless you.

http://www.whatzp.com/all-muslims-must-change-to-christian-to-avoid-hell-fire-muslim-priest-urges-all-muslim/

Wednesday, March 29, 2017

Germany now allows forced child marriage (aka paedophilia) for Muslims


Muslim man, approximately 50, looks very pleased with himself after making this 9-year-old girl his “wife.” What number wife is she?

THE CIRCLE OF LIFE – Islamic terrorist style


The Islamic State is now recruiting in Afghanistan…right where al-Qaeda embedded itself to plan and carry out the 9/11 attacks on America. Looks like America’s vast expenditure of blood and treasure to civilize and modernize Afghanistan were all for naught. Not a purple finger in sight anymore.

Hopefully, this Muslim family will move back to the Islamic hellhole of their choice


After an Alexandria, Virginia Muslim family’s home was ransacked and defaced with anti-Muslim graffiti, they are planning to move.

YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH


Ndugu msomaji,
Ninaendelea kuweka ukweli kuhusu Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake.
Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].
NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’
‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.
-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.
-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.
-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.
Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )
Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].
Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH
Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?
Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?
Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.
Ndugu msomaji, kwa mara nyingine tean, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0
Kutoka 6: 6 Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;
Ndugu zanguni,
Kama bado hamuelewi kuwa Yehova ambaye ni YAHUH kwa Kiarabu sio Allah, basi wewe umeamua mwenyewe kwenda kwenye njia iliyo potea ya Jehannam.
ALLAH SIO YAHUH NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
ALLAH SIO YEHOVA NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Footnotes
http://ivarfjeld.wordpress.com/…/apostasy-40-born-again-ch…/
http://en.wikipedia.org/wiki/Bible_translations_into_Arabic
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
http://www.islam-watch.org/…/Muhammad-Killing-Jews-of-Banu-…
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
Correspondence with Bill Warner May 21, 2011
Winning the War with Radical Islam. Robert Morey Ph.D. Christian Scholar Press 2002 p.14.
Bukari Hadith vol.5 book 59 ch.13 no.362 p.241
Correspondence with Craig Blomberg, Ph.D. May 8, 2012
Ibid.
http://www.juancole.com/…/riots-by-some-muslims-in-malaysia…
http://www.adherents.com/Religions_By_Adherents.html
Correspondence with Messianic Rabbi R. Drebenshedt May 11. 2012
http://www.islamicity.com/Mosque/99names.htm
http://www.maxshimbaministries.org/

ALLAH KAFANYA MAKOSA MAKUBWA YA KIHISTORIA KUHUSU YUSUFU NA BABA YAKE YAKOBO

Image may contain: 3 people, beard and text
Ndugu msomaji,
Leo tutaangalia kwa undani sana MAKOSA MAKUBWA YA ALLAH kuhusu Yusufu mtoto wa Yakobo.
Allah anasema kuwa, Yusufu alipo kuwa Misri na kufuatwa na ndugu zake, eti, wazazi wake wote walienda Misri. Je, haya madai ya Allah ni ya kweli? Hebu kwanza tusome ushahid hapa chini:
TUANZE NA QURAN:
Surat Yusuf aya ya 99. Na walipo ingia kwa Yusuf aliwakumbatia wazazi wake na akasema: Ingieni Misri, Inshallah, mmo katika amani.
100. Na akawapandisha wazazi wake kwenye kiti cha enzi. Na wote wakaporomoka kumsujudia. Na akasema: Ewe baba yangu! Hii ndiyo tafsiri ya ile ndoto yangu ya zamani. Na Mwenyezi Mungu ameijaalia iwe kweli. Na Mwenyezi Mungu amenifanyia wema kunitoa gerezani, na kukuleteni kutoka jangwani baada ya Shet'ani kuchochea baina yangu na ndugu zangu. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mpole kwa alitakalo. Bila ya shaka Yeye ni Mjuzi Mwenye hikima.
ALLAH ANASEMA KUWA YUSUFU aliwakumbatia WAZAZI WAKE NA AKASEMA INGIENI MISRI kama alivyo shahidiwa kwenye Surat Yusufu aya ya 99 hapo juu, jee, hayo madai ya Allah ni ya kweli?
HEBU SASA TUANZE kupangua madai/hoja ya Allah moja baada ya nyngine kwa kutumia Taurat iliyo kuja kabla ya Quran.
BIBLIA INASEMA:
Mwanzo Mlango wa 35 :16 Wakasafiri kutoka Betheli, hata ukabaki mwendo wa kitambo tu kufika Efrathi, Raheli akashikwa na utungu wa kuzaa, na utungu wake ulikuwa mzito.
17 Ikawa alipokuwa anashikwa sana na utungu, mzalisha akamwambia, Usiogope, maana sasa utamzaa mwanamume mwingine.
18 Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini.
19 Akafa Raheli, akazikwa katika njia ya Efrathi, ndio Bethlehemu.
20 Yakobo akasimamisha nguzo juu ya kaburi lake, ndiyo nguzo ya kaburi la Raheli hata leo.
BIBLIA IMETUTHIBITISHIA KUWA Raheli mama yake Yusufu alifariki wakati wa kuzaliwa kwa mdogo wake Benyamini na alizikwa njia ya Efrathi. Ushahidi huu ndio tumeusoma katika Mwanzo 35 aya ya 19.
Sasa maswali ya kujiuliza hapa, ni kwanini ALLAH ANASEMA KUWA YUSUFU ALIWAKARIBISHA wazazi wake na sio Mzazi wake, maana aliye kuwa hai ni Baba yake tu?
Wahadhiri wa Kiislam nilipo ongea nao wakadai kuwa eti, ni kweli mama yake mzazi wa kibaologia ambaye ni Raheli alifarikia lakini Benyamini alilelewa na Mama yake Mkubwa aitwaye Leah. Haya madai yapo vile vile katika (Abdullah Yusuf Ali, The Holy Qur'an, Saudi edition, fn. 1777). Je, tunaweza kuyakubali haya madai kama ni kamilifu na kuvunja hoja yangu ya UTATA wa Allah kuhusu WAZAZI WA YUSUFU walio ingia Misri?
Ngoja niongeze na hoja zaidi kutoka Waislam kabla ya mimi kujibu hayo madai yao ya Benyamini kutunzwa na LEAH hivyo basi Yusufu alipo sema kwa WAZAZI WAKE INGENI MISRI alikuwa sahihi.
Kufuatana na ushahidi wa Biblia [Mwanzo 35:16-20], inafahamika kuwa mama yake Yusufu alifariki wakati anamzaa Benyamini. Hivyo, ngoja tu hisi/KUBALI kuwa labda Quran na Allah walimaanisha ni LEAH ambaye aliitwa kama MZAZI WA Yusufu, kwasababu LEAH alikuwa mmoja ya wake wa Yakobo, na hivyo basi, Leah ndie aliye mlea Benyamini baada ya mama yake kufariki wakati akimzaa. Haya madai yanaweza kuwa sahihi kwa tamaduni za Kiarabu kuwa mzazi mwenza ana haki ya kutunza mtoto wa mumewe "mother" to a foster-mother. (Muhammad Asad, The Message of the Qur'an, p. 352, fn. 96; bold emphasis mine)
Ingawa tamaduni za Kiarabu kwenye hiki kisa hazina mshiko kwasababu Yakobo hakuwa Muarabu hata kama Leah alifanya hivyo na kumtunza Benyamini na Yusufu kumuita Leah Mama yake.
Zaidi ya hapo, hayo madai ya Waislam hayana nguvu tena kwasababu Biblia sio tu ilituambia kuhusu kifo cha Raheli, bali ilituambia vilevile kuhusu kifo cha Leah kabla ya Yakobo na familia yake kwenda Misri.
Mwanzo 46: 5 Yakobo akaondoka kutoka Beer-sheba; wana wa Israeli wakamchukua baba yao na watoto wao wadogo, na WAKE ZAO katika magari aliyoyapeleka Farao ili kumchukua.
6 Wakatwaa na wanyama wao, na mali zao walizokuwa wamezipata katika nchi ya Kanaani, wakaja Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
7 Wanawe, na wana wa wanawe, pamoja naye, binti zake na binti za wanawe, na uzao wake wote, aliwaleta pamoja naye mpaka Misri.
Unapo soma aya hapo juu, utagundua kuwa Biblia imesema kuhusu WAKE ZA WATOTO WA YAKOBO lakini haikusema kuhusu mke wake Yakobo aitwaye LEAH.
Ukiendelea kusoma aya zinazo fuatia utagundua kuwa Wote walio kwenda Misri wametajwa na hakuna jina la Raheli au Leah katika hizo aya. Lakini tunasoma majina ya wake za watoto wa Yakobo. Tafadhali soma Mwanzo 46 aya ya 8 mpaka 25.
SASA BASI, Yakobo alipo karibia kifo, aliwaambia wanawe wapi anataka azikwe Mwanzo Mlango wa 49: 29 Akawaamuru, akasema, Mimi ninakwenda kukusanywa pamoja na watu wangu; mnizike pamoja na baba zangu, katika pango iliyomo shambani mwa Efroni, Mhiti;
30 katika ile pango iliyomo shambani mwa Makpela, iliyo mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, aliyoinunua Ibrahimu pamoja na shamba kwa Efroni Mhiti, pawe milki yake ya kuzikia.
31 Humo walimzika Ibrahimu, na Sara mkewe; humo wakamzika Isaka, na Rebeka mkewe; nami humo nikamzika Lea;
32 shamba na pango iliyomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.
Katika aya ya 31 inathibitisha kuwa Yakobo alimzika Lea KANANI. Huu ni ushahidi zaidi kuwa Lea alizikwa KANANI na sio Misri, hivyo basi haiwezekani Lea kwenda Misri na apokewe na Yusufu kama amabvyo Quran inadai. Je, unwezaje kumwanini ALLAH AMBAYE ANAFANYA MAKOSA MAKUBWA NAMNA HII KUHUSU TUKIO LA MUHIMU KAMA HILI?
HITIMISHO:
1. Mama yake Yusufu alikufa muda mrefu hata kabla ya Yufuku kwenda Misri.
2. Lea vile vilealifariki muda mrefu hata kabla ya mumewe Yakobo kwenda Misri.
3. Hakukuwa na mke hata mmoja ambaye alikwenda na Yakobo Misri.
4. Allah alipo sema kuwa WAZAZI WA YUSUFU WALIENDA MISRI, hapo ni MAKOSA MAKUBWA SANA AMBAYO yanatufanya tuushuki uungu wa Allah.
Zaidi ya hapo, Quran huwa inasema kuwa baba na mama yako ni wazazi wako wa kibaologia na sio wa kambo, haya madai yalisemwa na Yusuf Ali .
Ndugu msomaji,
Kwa mara nyingine tena tunaona utata mkubwa sana katika Quran ambayo Waislam wanadai kuwa haina shaka ndani yake.
Je, baada ya kusoma hiki kisa na kuona shaka na utata ndani ya Quran, utaweza endelea kuiamini kuwa hicho kitabu ni thabiti na cha Mungu Mkuu?
Ndugu msomaji, mii sipo hapa kubishana bali kukuonyesha kuwa Quran sio kitabu cha Mungu na kimejaa shaka. Amua leo kumfuata Yesu aliye hai ambaye hana makosa wala utata ndani yake na ni MWOKOZI WA MAISHA YAKO.
MUNGU AKUBARIKI SANA NA KARIBU KWA YESU.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 21, 2016

MASHEHE NA USTAADH WASALI KANISA LA UFUFUO NA UZIMA

Image may contain: 1 person, standing
Naona Madhabu ya Ufufuo na Uzima leo imepokea Ustaadhi..😝😝😝. Sijui Shekhe?
Mambo yanazidi Kunoga!
JUMAPILI 26/03/2017
Jumapili ya leo Ufufuo na Uzima wamekuwa na ugeni wa kutembelewa na Mashehe kwa sababu Ufufuo na Uzima ni rafiki wa waislam. “Anasema Shekhe dini ya uislam haizuii mtu kuwa na rafiki asiye Muislam” ameendelea kusema Ugomvi wa kidini ni uchoyo, kila tunalofanya tufanye kwa kuhakikisha watu wanaishi kwa Amani na furaha. Pia amesema ifike mahali Serikaliyetu itumie watu kama Askofu Gwajima kuitangaza Tanzania na vivutio vilivyopo Tanzania na isiwe kuwasakama na kuwasumbua.
@Bishop
Mungu akiwaita watu kuwa makuhani ni kwa makusudi yake na kila kuhani anaitwa kwa saa yake na wakati wake, kila mtu ana wito wake.Image may contain: 2 people, people on stage and people standing

Image may contain: 3 people, people standing
Image may contain: 3 people, child

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA TATU)

Image may contain: 2 people, text
MALAIKA MKUU GABRIEL
Neno "Malaika Mkuu" linatokana na neno la Kiyunani Archangelos, lenye maana ya Mkuu wa Malaika (chief angel), kwa tafsiri ya Krania rav-mal'ákh, linatokana na neno la Kiyunani archein, linalomaanisha kuwa wa kwanza katika cheo au nguvu (to be first in rank or power); na neno angelos linalokaanisha mjumbe (messenger), au muwakilishi wa balozi (envoy).
Neno hili limetumika mara mbili tu katika Agano Jipya katika 1 Wathesalonike 4:16 na katika Yuda 1:9. Ni malaika Wakuu Gabrieli na Mikaeli tu ambao wametajwa kwa majina katika Agano Jipya.
Katika desturi nyingi za kikristo, Malaika Gabrieli anatambuliwa kuwa ni Malaika mkuu, lakini hakuna maandiko ya moja kwa moja yanayoonyesha jambo hili. Ni vema kutambua ya kwamba, neno "Malaika mkuu" linaonekana kutumika tu kwa umoja, na si katika wingi, na pia hutumika tu kumtaja malaika Mikaeli kuwa ndiye Malaika Mkuu.
Malaika waliumbwa katika Roho na ni Roho watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi Wokovu (Ebrania 1:14). Mungu aliwaumba Wana wake wa Kiroho kabla ya Uumbaji wa nchi (Ayubu 38:4-7). Kuna zaidi ya malaika milioni 100 (Angalia Daniel 7:9-10; Mathayo 26:53; Lk 2:13; Ebrania 12:22; Ufunua 5:11). Malaika wameumbwa katika hali ya mmoja mmoja (individuals) ambao wana uhuru wa kuchagua, ambao ndiyo unahitajika katika kukua kwa tabia.
MAANA YA NENO GABRIEL
Neno au jina “Gabriel” asili yake ni lugha ya kiebrania na maana ni “Mjumbe wa Mungu” katika Biblia jina hili Gabriel limetajwa mara “nne” (4) (Tazama Danieli 8:16 na 9:21, Luka 1:19 na 1:26) kuhusu malaika Gabriel mara nyingi Biblia inaonyesha kuwa Mungu anamtuma ili alete habari njema zinazohusu wokovu wa wanadamu na hutoa maneno ya kuwafariji wale aliowatokea akisema “usiogope”katika Biblia limetajwa mara (366) aidha tunaposoma Biblia tunaona pia malaika huyu anaitwa malaika wa Bwana (The angel of the Lord) Neno hili katika biblia limetajwa mara (65) katika aya zipatazo (61) iwapo sehemu hizo zote zinahusika na malaika Gabriel basi malaika huyo atakuwa ametajwa mara nyingi.
MALAIKA GABRIEL ALIYETUMWA NA MUNGU YEHOVA ANASEMA HIVI…
Malaika akajibu akamwambia Mimi ni Gabriel, nisimamaye mbele za Mungu, nimetumwa niseme nawe na kukupasha habari hizi njema (Tazama Luka 1:19)
Kwa mujibu wa aya hii malaika Gabriel anaeleza kuwa husimama mbele za Mungu hivyo ni wazi kuwa cheo chake ni mjumbe asimamaye mbele ya Mungu.
MALAIKA GABRIEL WA MUNGU YEHOVA ALIFUNDISHA HIVI..
Luka 1:26-35 Nanukuu aya ya 35 tu:
Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako na nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli. Kwa sababu hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu “Mwana wa Mungu”
MAFUNDISHO YAO KUHUSU ROHO MTAKATIFU KUPITIA MALAIKA GABRIEL
Luka 1:34-35 “Malaika Gabriel anamwambia Mariam hivi…
34. Mariam akamwambia malaika litakuaje neno hili maana sijui mume? 35. Malaika akajibu akamwambia Roho Mtakatifu atakujilia juu yako na nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli- Roho Mtakatifu ni Mungu (Matendo 5:3-4) Na wala siyo malaika ndio maana malaika alisema atakujilia.
MALAIKA GABRIEL ANAPOWATOKEA WATU ANAFANYA HIVI…
Luka 1:19 Alijitambulisha Kwa kusema, “Mimi ni Gabriel.”
Daniel 8:15-16 Au muhusika ambaye alimtokea hujulishwa kwanza
Daniel 8:17-21, Luka 1:13, 30…
Gabriel anamsadia mtu pale anapopatwa na hofu na anasema usiogope. Tabia za malaika Gabriel ni huruma na kumfahamisha mtu kwa upole.
Katika tukio la lingine ni wakati Danieli alipokuwa akiomba na Gabrieli akarushwa upesi akanigusa….. akaongea nami, aliendelea kutabiri wakati wa kuja kwa mara ya kwanza kwa Masihi Yesu Kristo (Daniel 9: 21-27).
Kwa hiyo Wayahudi walikuwa wakitazamia sana wakati wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulipokaribia ; kuonekana dhahiri kwa Grabriel tena kulizidishia matazamio kwanza kwa Zakaria kuhani aliyekuwa zamu hekaluni na kisha kwa Mariamu aliyekuwa ameposwa na Yusufu. Kwa Zakaria , malaika akamwambia "mimi ni Gabrieli nisimamaye mbele za Mungu, nami nimetumwa niseme nawe" (Luka 1:19).
Tunaona kuwa Malaika anao uwezo wa kusimama mbele ya uso wa BWANA, jambo ambalo wanadamu hawawezi, hivyo Malaika hutumwa kufanya yote yaliyo mapenzi ya Mungu. Hapa ujumbe wake ilikuwa kutangaza muujiza wa kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji.
Miezi sita baadaye, Gabrieli alimtokea Mariamu; ambaye alikuwa ni wa ukoo wa Mfalme Daudi.Maombi yake Mariamu; malaika alisema, uliyepewa neema na Mungu,nawe utakuwa mama wa Masihi anayetarajiwa. Gabriel alimwambia kuwa atapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na mtoto wake ataitwa Yesu, Mwokozi, naye atakuwa Mwana wa Mungu na atakalia kiti cha enzi cha Daudi (Luka 1: 26-33).
Malaika Mkuu Gabriel:
• Alitafsiri maono ya Danieli (Dan. 8:16, 26; 9:20-27)
• Alitangaza juu ya kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (Lk. 1:11-20)
• Alitangaza kuzaliwa kwa Yesu (Lk. 1:26-38).
Katika kitabu cha Henoko kinataja majina ya Malaika wakuu sita:
Mikaeli (Mkuu wa sehemu mhimu sana ya wanadamu) Gabriel (Mkuu wa Bustani na wa Makerubi), Urieli Malaika Mkuu wa dunia na watu wakali) na Raphaeli (Malaika Mkuu wa Roho za wanadamu), Ragueli (ambaye analipiza kisasi juu ya dunia na mwangaza) na Saragaeli (Malaika Mkuu wa watoto wa wanadamu, ambao Roho zao wametenda dhambi).
Kitabu cha Henoko, sura ya 20, R.H Charles, 2002).
Malaika hawa pia wanaitwa Malaika Walinzi.
Malaika katika Agano Jipya:
Tunaona ya kwamba Malaika walimhudumia Yesu wakati alipokuwa katika nchi (duniani) (Mathayo 4:11, Luka 22:43). Malaika alimtokea Yusufu na kumwarifu habari za kuzaliwa kwake Yesu (Mathayo. 1:20, Luka 1:26-38). Malaika walikuwepo katika ufufuo wa Yesu (Mathayo 28:2-8; Yahana 20:12). Na walizungumzia wakati wa kupaa kwakeYesu Kristo (Matendo 1:9-11). Malaika wanatoa huduma za Kiroho kwa watu wa Mungu (Ebrania 1:14; Mathayo. 18:10; Matendo 5:19; 8:26; 10:3; 12:7; 27:23). Malaika hufurahi mwenye dhambi anapotubu (Luka 15:10).
Katika Agano Jipya, Kristo kama mwanadamu bado alitenda kama mtu aliye mdhihirisha na kumfunua Mungu. Na alitenda kwa ukamilifu akifuata asili ya Mungu na tabia ya Mungu. Kama Mpatanishi kati ya Mungu na Wanadamu, kumwona Yesu ni sawa na kumwona Mungu, na kusikia na kumtii Yesu ni kumsikia na kutii Mungu (Eloah). Maneno aliyozungumza hayakuwa maneno yake mwenyewe bali maneno ya Mungu yaliyotoka kwa Mungu. (Yahana 14:8-10)
Usikose SEHEMU YA NNE INAYO HUSU Archangel Selaphiel.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

HUYU MUHAMMAD ANAHUDUMU CHINI YA UKUHANI UPI?

Image may contain: one or more people and text
……………..
Tangu Mungu alipoanzisha Agano na Israeli pale Sinai (Agano la Kale), daima amekuwa anawasiliana na wanadamu kupitia MAKUHANI. Kunakuwa na KUHANI MKUU na makuhani walio chini yake.
……………
Kati ya kabila 12 za Israeli, aliiteua kabila ya Lawi wawe ndio makuhani.
Kumb 10:8 Na wakati huo Bwana aliitenga kabila ya Lawi … wasimame mbele ya Bwana kwa kumtumikia, na kuwabarikia watu kwa jina lake, hata hivi leo.
……….
Hesabu 1:50 lakini uwaweke Walawi wawe juu ya maskani ya ushahidi, na juu ya vyombo vyake vyote, na juu ya vitu vyake vyote
……….
Kuhani Mkuu alikuwa Haruni.
…………
Yesu alipokuja, alianzisha Agano Jipya na sheria zake mpya. Imeandikwa:
Waebrania 7: 15-17 ametokea KUHANI MWINGINE MITHILI YA MELKIZEDEKI; asiyekuwa kuhani kwa sheria ya amri iliyo ya jinsi ya mwili, bali kwa nguvu za uzima usio na ukomo; maana ameshuhudiwa kwamba, WEWE U KUHANI MILELE KWA MFANO WA MELKIZEDEKI.
…………..
Yesu ni kuhani kwa mfano wa Melkizedeki na sio kwa mfano wa Lawi.
…………
Hivi sasa hakuna Kuhani Mkuu zaidi ya Yesu. ---- WEWE U KUHANI MILELE KWA MFANO WA MELKIZEDEKI.
…………….
Watumishi wote wa Mungu leo ni makuhani CHINI YA KUHANI MKUU YESU. --- 1 Pt 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu
……………..
MASWALI
1. Muhamamad alikuwa kuhani?
2. Kama ni ndio, alikuwa chini ya Lawi au chini ya Yesu?
3. Kama sio, uhalali wake ulitoka kwa Mungu gani?
4. Ndugu waisalmu, kuhani wenu ni nani?
…………….
Abiria chunga maisha!!!
Hakuna kama Yesu.
Imeletwa kwenu na Jimmy John

THE LARGEST MOSQUE IN EUROPE WAS BURNING DOWN TODAY IN SOUTH LONDON

Image result for THE LARGEST MOSQUE IN EUROPE WAS BURNING DOWN TODAY IN SOUTH LONDON
Ablaze: Pictured is the Baitul Futuh in Morden, South London, which is the largest in western Europe
Seventy firefighters in south London are battling an enormous blaze which engulfed western Europe’s largest mosque.
Ten fire engines were dispatched to deal with the fire at the Baitful Futuh mosque in Morden, which started burning around midday.
A man has been taken to hospital for smoke inhalation, but community leaders have said they do not believe anybody else was affected. The cause of the blaze is not yet known.
Before: The Baitul Futuh can be seen here in a file photo from 2003. One man caught up in the blaze is is hospital with smoke inhalation
Shocked onlookers gathered opposite the mosque, watching a dark plume of smoke billowing out of the building’s roof before they were ushered behind a police cordon. The fire was reported by a member of the public just after midday.
The enormous building sits on a 5.2acre site and can hold 10,500 people. At the time of the fire, however, only a handful of worshippers were inside, and were quickly evacuated. Nobody was at prayer when the fire broke out.
The huge effort to control the fire involved the police, ambulance services and the large fire brigade presence. The firefighting operation shut down the A24 and traffic was tailed back for miles as a result.
As of 6pm, the London Fire Brigade said they had contained the fire to administrative buildings and halls around the main mosque, which was not directly affected by the fire – though it was engulfed by smoke. Shortly afterwards they declared the fire ‘under control’.
http://jagrukbharat.com/14334/largest-mosque-europe-burning-today-south-london

QURAN INASEMA WAISLAM WAMEBEBA MIZIGO YA DHAMBI








1. MIZIGO YA DHAMBI ZAO NI MIBAYA MNO "QURAN 16:25"
2. SHETANI AKIRI KUWA YEYE NDIE ALIYE IKETIA NJIA YA UISLAM
Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.
Maandiko yanasema kuwa MUNGU NI ROHO, sasa aliye UWAWA NI MWILI TU BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA
1 Timotheo 6:15-16 15 ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina
Kumbe basi Yesu aliungama maungamo mazuri mazuri SOMA aya ya 13 katika 1 Timotheo 6: Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Ushaihid zaidi soma Luka 18: 31.
LAKINI ndugu zetu Waislam wanasema kuwa MSALABA NI ALAMA YA SHETANI, HEBU TUANZE NA QURAN 7:16 16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
SHETANI ANAMWAMBIA ALLAH KUWA, Kwa kuwa umenihukumia upotofu, BASI NITAWAVIZIA KATIKA NJIA YAKO ILIYO NYOOKA.
SHETANI AMEAPA KUWA ATAKETI KATIKA NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA.
SASA HII NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA AMBAYO SHETANI ameapa atakaa kwenye hiyo njia, ni ipi?
QURAN 6: 126. Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi ILIYO NYOOKA. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
KUMBE SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.
Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?
MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa Shetani anakaa kwenye Njia Iliyo nyooka na alisilimu na kuwa Muislam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUUMBWA KWA VITU VYOTE DUNIANI NA MBINGUNI


Wakolosai 1:17 “Naye amekuwako kabla ya vitu vyote; na vitu vyote hushikamana katika yeye”.

Yesu Kristo alikuwako kabla ya Ibrahimu kuwako (Yohana 8:52-58).

Watu walioambiwa maneno hayo na Yesu mwenyewe waliokota mawe ili kumpiga Yesu wakisema kuwa anakufuru. Hawa ni watu wa tabia ya mwilini wanaotumia akili kupambanua mambo ya Mungu (mambo ya kiroho huwezi kuyatambua kwa akili maana Mungu ni Roho. (Yohana 4:24).Yohana 17:5,24.Waebrania 7:3.
Yesu ni Alfa na Omega, wakwanza nawa mwisho kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu yeye alikuwako (Ufunuo 22:13).

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

KUMBE JINA LA ALLAH HALINA MAMLAKA KAMA JINA LA YESU


1. KWANINI JINA LA ALLAH HALINA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA?
2. ALLAH ASHINDWA KUMPONYA MUHAMMAD
3. MAOMBI YA JIBRIL YAGONGA MWAMBA
4. LAKINI JINA LA YESU LINAPONYA MAGONJWA YOTE
5. JE, UMESHA WAI ONA KUNA MKUTANO WA UPONYAJI KATIKA USILAM?
Ndugu msomaji,
Uponyaji ni nini?
Ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa,kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Kristo Yesu. Tendo hili la kiimani humletea mwamini uzima wa kiroho na afya ya kimwili pale ilipopunguka,kumbuka~wengi walipoponywa udhaifu wa miili yao,waliponywa pia na roho zao.
Hivyobasi, kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea uponyaji Mtume wake Muhammad kwa ugonjwa uliosababishwa na kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Hivyo basi, uponyaji haufanywi na mtu awaye yoyote yule isipokuwa Mungu. Hata madaktari bingwa wao hawaponyi bali hutoa tiba tu, mwenye kuponya ni Mungu. Watumishi wa Mungu pekee ndio hufanyika kama daraja au chombo cha kuleta uponyaji ulioachiliwa na Bwana kwa muhusika mwenye kuhitaji.
HEBU SASA TUMSOME ALLAH NA JIBRIL KATIKA JARIBIO LAO LA KUMPONYA MUHAMMAD:
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea Muhammad kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Je, jina la Allah liliweza kumponya Muhammad? Hebu tusome Sahih hadith kama ilivyo letwa na Al Bukhari:
MAJIBU YA MUHAMMAD BAADA YA KUOMBEWA UPONYAJI NA ALLAH/JIBRIL:
Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.
Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
SASA TUMSOME YESU WA KWENYE BIBLIA, JE ALIWEZA KUPONYA WATU?
“ Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani hawezi homa. Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.” Mathayo 8:14-15
Biblia haituambii kwamba Bwana Yesu alimwombea huyu mama,bali tunachoweza kuona ni kwamba Bwana Yesu alimgusa mkono,homa ikamwacha. Mguso tu wa mtu wa Mungu ni dawa tosha,hata kama hakuomba sababu upako ungalimo ndani yake. Maana hata wakina Petro waliweza kuponya wagonjwa kwa kivuli chake tu,sababu ya upako. (Matendo 5:15)
UMUHIMU WA KUWEKA IMANI YAKO KATIKA JINA LA YESU KRISTO
“Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali , saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu. Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka. Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi. Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao. Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI, simama uende. Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu. Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda …” (Matendo ya Mitume 3:1 – 8)
Ukifuatilia historia ya kilema huyu aliyeponywa utaona ya kuwa alikuwa hivyo tangu kuzaliwa, na alipopona alikuwa na umri uliopita miaka arobaini (Matendo ya Mitume 4:22).
Siri ya muujiza huu ilikuwa ni nini? Je! kilema huyu alipona kwa uweza wa Petro na Yohana au kwa uweza wa jina la Yesu Kristo?
Nauliza maswali haya kwa kuwa watu wengi wakimwona mtu anatumiwa na Mungu katika uponyaji wanaweka imani katika mtu huyo badala ya kuweka imani katika jina la Yesu Kristo.
Na ndivyo ilivyokuwa wakati kilema huyu alipopona, watu waliokuwa hekaluni waliwashangaa wakina Petro na Yohana kama vile kilema huyo alipona kwa uwezo wao. Petro alipoona hali hiyo, aliamua kuwaeleza watu hao ukweli ulivyo; alisema hivi;
“Basi (Yule aliyekuwa kilema) alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana. Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kama kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi au kwa utauwa (utakatifu) wetu sisi?” (Matendo ya Mitume 3:11 – 12).
Petro alikuwa anafanya jambo muhimu hapa kwa kusaidia kubadilisha mawazo ya watu ya kufikiria kuwa uwezo uliomponya kilema ulikuwa ni wa Petro na Yohana ambayo haikuwa si kweli. Kama uwezo huu haukuwa wao, muujiza huu siri yake ni nini? Petro aliendelea kusema hivi;
“Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu ….. Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE, JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU mtu huyu
mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele zenu ninyi nyote” (Matendo ya Mitume 3:13 – 16).
Hebu tafakari maneno haya ya Petro; “Na kwa IMANI KATIKA JINA LAKE JINA LAKE LIMEMTIA NGUVU MTU HUYU….” Wakina Petro na Yohana waliweka imani yao katika jina la Yesu Kristo. Walikuwa na uhakika mioyoni mwao kuwa siri ya miujiza imo katika jina la Yesu Kristo – ndiyo maana walipomkuta huyo kilema walimwamuru asimame kwa jina hilo!
Weka imani yako katika jina la Yesu Kristo ukitaka kuona ishara na miujiza ya Yesu Kristo maishani mwako na kwa wale unaowahudumia pia. Wakijua hili wanafunzi wa kwanza wa Yesu Kristo walipokatazwa “wasiseme kabisa wala kufundisha kwa jina la Yesu” na Anasi kuhani mkuu, waliomba wakasema; “…Basi sasa, Bwana, yaangalie matisho yao; ukawajalie watumwa wako kunena neno lako kwa ujasiri wote, ukinyosha mkono wako kuponya; ISHARA NA MAAJABU vifanyike kwa JINA LA MTUMISHI WAKO MTAKATIFU YESU” (Matendo ya Mitume 4:18,29 – 31)
Ni muhimu kuwaeleza na kuwakumbusha watu umuhimu wa kuweka imani zao katika jina la Yesu Kristo wakitaka kuona mkono wa Bwana ukiponya, ukifanya ishara na miujiza.
Ndugu msomaji, kwanini upoteze muda wako kwa waganga wa kienyeji au wapiga ndumba? Hebu liite Jina la Yesu aliye hai, maana anataka kukuponya magonjwa yako yote.
Kama unasumbuliwa na ugonjwa wowote ule, tafadhali wasiliana nasi kwa kupitia maxshimbaminsitries@gmail.com au tupigie simu (347) 770-4886. Haijalishi ni ugonjwa gani, wewe wasiliana nasi, na hakika Jina la Yesu litakuponya.
Max Shimba Ministries 2015

YESU NI MUNGU MUUMBAJI

Image may contain: text
Sifa ya kuumba niya Mungu peke-yake (Yohana 1:3,14) “vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Naye Neno alifanyika mwili; nasi tukauona utukufu wake kama utukufu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli”.
Yesu anaitwa Neno la Mungu (Ufunuo 19:13) “Kwahiyo Neno ni Mungu “(Yohana 1:1).. na huyo ndiye aliyevifanya kuwako vitu vyote. Aliyeshuka kutoka juu na kufanyika mwili ni Yesu pekee aliyezaliwa na bikira Mariamu bila mbegu ya kiume kama inavyotokea kwa wanadamu wengine.
Katika yeye (Yesu) vitu vyote viliumbwa (Wakolosai 1:13-16) vinavyoonekana na visivyoonekana; vya Mbinguni na vya duniani.
Maandiko yako wazi kabisa, na kwa mtu mwenye Roho wa Mungu anaelewa kwa urahisi kuwa Yesu ni Mungu.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA NNE)



SELAPHIEL:

Maana ya Selaphiel ni "Maombi ya Mungu" au "mtu anaye omba kwa Mungu".


Hili jina linaweza pia kuandikwa kama Zerachiel, Selapheal, Salathiel, Selathiel, Sealteal, Seraphiel, Sarakiel, Sariel, Suriel, Suriyel, na Saraqael.


Malaika Mkuu "Archangel Selaphiel" anajulikana kama Malaika wa Maombi. Ni Malaika anaye wasaidia na au wahamasisha watu waombe kwa Mungu. Yaani yeye anakusaidia wewe kupunguza mawazo yako wakati unaomba ili uweze kuomba huku ukiwa unamwazia Muumba wako. [He helps people connect to God through prayer, giving them the focus they need to block out distractions and concentrate on praying].

Malaika Mkuu Selaphiel ametajwa katika Kitabu cha Ufunuo 8 aya ya 3 na 4: Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi. 4 Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika. Vile vile ametajwa kimajina katika kitabu cha Orthodox (3 Ezdras 5:16) na kwenye kitabu aya ya [31:6 cha the apocryphal Jewish and Christian text The Conflict of Adam and Eve].

Wakati wowote unapo jisikia kuomba kuhusu kitu Fulani, basi elewa kuwa Mungu anaweza kuwa ametuma ujumbe kwako kwa kupitia Malaika Mkuu Selaphiel, ambaye anapenda kuhamasisha watu ili waombe.

Zaburi 11 Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote. 12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe. 13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.

Somo hili la Malaika ingawa halifundishwi sana Kanisani, ni la muhimu sana maana hawa Malaika wanahusika sana na maisha yetu ya kila siku. Hebu angalia nini hutokea wakati mmoja wetu anapo okoka. Luka 15: 10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.


Najua wengi wenu mtasema wapi Yesu alitumia Malaika.

Mathayo 26: 52 Ndipo Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga. 53 Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?

Umeona hapo. Hata Yesu anasema kuwa angeweza kumwambia Baba yake amtumie zaidi ya Majeshi kumi na wawili ya Malaika. Sasa, kama Yesu anaweza tumia Malaika katika vita hii, je wewe ulisha mwambia Baba aliye Mbinguni akutumie majeshi ya mailaka katika vita vyako? Kumbe ndio maana unakuta Mkristo anaomba kila siku lakini hapati jibu. Ni vyema kama Mkristo sasa uanze kujua jinsi Ufalme wa Mbinguni unavyo fanya kazi na tuachane na “church doctrines” mafundisho ya kikanisa ambayo yameshindwa kukusaidia tokea ulipo okoka.

Hata Shetani alimkumbusha Yesu kuwa angeweza kuomba Malaika waje kumwokoa, ingawa ilkuwa ni mtego.

Soma Mathayo 4: 5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, 6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Wana wa Kiroho wa Mungu pia wanatofautiana katika ngazi na katika uwezo wa utendaji, (Ezekiel 1:9,11; Daniel 10:13; 12:1; Efeso 1:21; Kolosai 1:16; 1 Thesalonike 4:16; Yuda 1:9). Malaika wamepewa uwezo na nguvu ya utendaji (2 Thesalonike1:7); “wanaitwa wenye nguvu na uwezo mwingi” (Zaburi 103:20). Ni “Watakatifu” (Luka 9:26), ni “Wateule” (1 Timotheo 5:21). Hawasitahili kuabudiwa au kusujudiwa (Kol 2:18; Ufunuo 19:10).
Malaika wengine wana mabawa na wengine wanafanana kama sanamu wakiwa na sura za nyuso mbili, ambapo uso mwingine unaweza kuwa ni uso unaofanana na nyuso za wanyama na uso mwingine unaofanana na wanadamu. (Ezekiel 1:4-14; Isaya 6:1-3) wanaweza kubadilika katika maumbile yao na kufanana na maumbile ya kibinadamu wanapoonekana kwa wanadamu (Ebrania 13:2). Wakati wote wana miili ya kung’aa na wanavaa mavazi meupe (Matendo 1:9-11; 22:6-9; 2 Samuel 22:13).
Wanadamu hawaruhusiwi kumwona Mungu, kwa hiyo Malaika wanawasaidia wanadamu katika kumjua Mungu Mmoja wa kweli, (Eloah).

Je, unawafahamu Maseraphi na Makerubi na kazi zao? Usikose sehemu ya Tano kuhusu Malaika Mkuu Michaeli na kazi zake.

Shalom,



Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW