Thursday, September 29, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA ANAKAA MAKKA NA SIO MBINGUNI


Allah anakubali na kukiri kupitia Quran kuwa Mungu wa kweli yupo Juu Mbinguni, ila kwa kutaka kuwakengeusha Waislamu, amewataka waelekeze nyuso zao huko aliko yeye yaani Makka.

Nini maana ya kuapa?
Kuapa, au Kula kiapo, au Kula Yamini, kunamaanisha kumthibitishia, kwa kutumia Jina la Mwenyezi Mungu, kwamba jambo fulani linaloapiwa – na ambalo halina ushahidi wazi wazi- ni kweli na sahihi kama linavyodaiwa na mwenye kula kiapo hicho na hivyo basi ni budi kusadikiwa madai hayo kwani Mdhamini Mkuu ni Mwenyezi Mungu, Mjuzi Pekee wa ukweli au uwongo wa mambo yaliyofichika nyoyoni!


Aya hapa chini inathibitisha kuwa Allah anaishi Makka na sio Mbinguni:
Quran Surat Al Balad iliyo fanyiwa tarjuma na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani aya ya 1-2 inasema:
1 Naapa kwa Mji Huu!
2 Nawe unaukaa Mji huu. http://www.quranitukufu.net/090.html


MASWALI:
1. Kwanini Muhamamd anaapa kwa Mji wa Makka?
2. Ninani huyo anayekaa Mji wa Makka ambaye Muhammad anaapa kwake?

Muhammad anaapa kwa Allah anayekaa mji wa Makka.

Baada ya Allah kuteremsha aya kuwa anakaa Makka, Muhammad na yeye anasisitiza kwa hadithi na kuwalazimisha Waislam waelekeze nyuso zao kwenye makao ya Allah, tunasoma:

TAFSIRI YA BULUGHUL-MARAM
Hadith 194 Jabir bin Samura, amesema:
" Mjumbe wa Allah amesema, watu wanaoelekeza macho yao mbinguni wanapokuwa ndani ya swala waache vinginevyo kuona kwao hakutowarudia.


Lakini kwa mujibu wa Quran Surat Al Mulk iliyo teremka Makka 67:17
tunasoma:

Mnadhani mko salama kwa Mwenyezi Mungu ambaye yuko mbinguni...

Yohana 11:41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.

Mungu wa kweli yupo juu Mbinguni, lakini Allah wa Waislam yupo Makka na ndio maana wanaeda kumswalia Makka.

Karibuni sana kwa Yesu na anawapena sana.

Max Shimba Ministries Org. 

WAISLAM WATATU WAMEHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA KUCHOMA MAKANISA, BUKOBA, TANZANIA


Hakimu Mkazi wa Bukoba, Kagera, Tanzania, Mh Victor Biambo, amewahukumu watu watatu kwenda jela Maisha kwa makosa ya kuchoma Makanisa.
Wakili wa Serikali, Emmanuel Manyere, amesema kuwa, zaidi ya kupata hiyo hukumu, Watuhumiwa hao wana makosa mengine ya ya kuua watu 20 kwa kutumia Visu ambavyo vilitumika kukata shingo zao.
Bwana Manyere amesema, watuhumiwa hao watatu ni Ally Dauda, Rashidi Mzee na Ngesela Keya, ambao wote walikiri kuwa ni Waislam, wanatuhuma ya kuchoma Makanisa zaidi ya 16 ya madhebu mbali mbali ya Kikristo mkoani Kagera.
Hakimu Bigambo alisema, ushahidi ulio tolewa na Wakili wa Serikali ulimlazimu kutoka hukumu kali, kwa jinsi ambavyo watu hao wana roho ambayo si ya kibinadamu.
Wakati huohuo, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Oliomi, ameisifia Mahakama hiyo kwa kufanya kazi nzuri ya kutoa hukumu kali kwa watuhumia ambao hawafai kushi na binadamu wa kawaida na iwe fundisho kwa watu wengine.
Zaidi ya hapo, kesi ya mauaji inayo wakabili watuhumiwa hao hao ambayo ni namba 67, bado inaendelea na imepelekwa mahakama kuu ya mkoa.
Source: Find Truth Faith

AMIDST TERRORISM THREAT: THE CHURCH BURNT IN KAGERA TANZANIA

The building  of T.M.R.C is down after set on fire

The building  of the Tanzania Missionary Revival Church (T.M.R.C) at Kyabitembe Parish, Bukoba Urban District, Kagera region in Tanzania, at dawn of 12/3/2015 was set on fire by petrol by un identified people.

Host Pastor Emmanuel John Mwesiga said when the incident occurred no one was in the church. He estimated the total damage to Tsh. 40M /- (U$ 23,000). The same was reported at the Regional Central Police at Bukoba and filed no BUK/RB/2600/2015 of 13/3/2015.

The Kagera Region Police Commander, Henry Mwaibambe said, the police have arrested some suspects, although, he was not ready to disclose neither their names nor their number, and insisted to carry on with more investigation.

So far more than 170 adherents of the Tanzania Missionary Revival Church, use temporary tents during conducting services.

Attacks against Christians are increasing in Tanzania including Kagera region, despite the efforts of the government to control them.  

On Thursday, Oct. 9,2014 unknown attackers killed a Christian man by machete the late Dioniz Ng'wandu, 31, a secondary school teacher and  injured another 25,  in the same district of  Bukoba in northwest Tanzania.  The two men were at overnight prayer-meeting at the Busimbe Parish of the Pentecostal Assemblies of God-P.A.G. 

 Bukoba is reported to be a Muslim-dominated town of about 100,000 situated on the shore of Lake Victoria bordering Kigoma, which also has a local reputation as a Centre for Islamist extremism.

So far some religious leaders and lay Christians have been killed, while others have been attacked by extremist Muslims wielding acid. Some of the perpetrators have been arrested and charged, yet their cases continue in courts.

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW