Tuesday, May 31, 2016

Entire Mosques Coming to Christ in Sub-Saharan Africa

Miracles are happening in Africa. True to His Word, Jesus, who is not willing that any should perish, said "I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it.Matthew 16:18. Thousands upon thousands of muslims and entire mosques are coming to Christ in Africa. (We're talking about the real Jesus of the Holy Bible, not the false Jesus of muslim teachings)
In the new book Miraculous Movements, Jerry Trousdale, now director of International Ministries for CityTeam International, records amazing and inspiring stories of faith among Muslim communities in Africa. The author opens up a new world to Western readers, taking them into the heart of the "miraculous movement" of God in Africa that is transforming the hearts of Muslims.

Trousdale writes that "unprecedented" events are happening among the Muslim populations that his ministry and its affiliates are working among, including:

• Multiple cases of entire mosques coming to faith
• Thousands of ordinary men and women being used by God to achieve seemingly impossible outcomes
• Tens of thousands of Muslim background Christians becoming dedicated intercessors who fast and pray for the gospel to penetrate the next community
• Muslim people groups that never had even one church among them now have more than fifty church planted, and in some cases more than one hundred churches – within two years of engagement
• Former sheikhs, imams and militant Islamists making up 20 percent or more of the new Christian leaders in Muslim regions

Continue reading about this miracle here.

Monday, May 30, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA ANAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM




KUMBE MUHAMMAD NA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM?
Mimi sina mengi ya kusema, zaidi ya kuanza na aya moja kwa moja.
Allah anateremsha aya na kusema haya kwa Waislam:
Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 72. Kisha tutawaokoa wale walio mcha ALLAH; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti. ..................................DAAAH
ALLAH ANASEMA KUWA, AMESHA WAHUKUMU WAISLAM WOTE NA LAZIMA AITIMIZE HIYO HUKUMU YA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAM.
Jamani, hivi kuna ugumu gani au nini kigumu hapa. Mbona Allah amesha maliza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam?
NAJUA WAISLAM wataanza kupinga ooh, wewe huijui Quran, ooh wewe umepindihsa aya, ngoja niongeze aya zingine kutoka Quran yao inayo wamaliza tena.
SURAT AT-TAKAATHUR, iliyo teremka Makka inawaambia Waislam:
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
ALLAH anawaambia Waislam sivyo hivyo, ikimaanisha kumbe Waislam wanacho kielewa sio sahihi.
Kumbukeni kuwa, hizi aya anaziteremsha Allah kwa Mtume wake Muhammad. ALLAH ANAMWAMBIA MUHAMMAD KUWA " aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!"
SASA KWANINI ALLAH Hamwambii ukweli Muhammad moja kwa moja? Kwanini Allah asubiri mpaka Kiyama ndio Waislam watakuja jua kuwa Allah ni bandia na anawaingiza Jehannam?
Huu ni msiba mkubwa sana.

WAISLAM MILIONI MBILI (2000 000) WA KUTOKA URUSI WAMPOKEA YESU


Habari kutoka Moscow Urusi zinasema kuwa Waislam walio ingia Ukristo ni Milioni Mbili. Haya yamethibitishwa na Bwana Roman Silantyev ambaye ni Mkuu wa kitengo cha dini nchini Urusi.
Ndugu zanguni. Haya ni mavuno makubwa sana kwenye nchi ya Kisoshalisti na Uislam.
Hakika hakuna lisilo wezekana kwa Yesu.
Soma habari kamili hapa
Moscow, Interfax - The number of ethnic Muslims in Russia who adopted Christianity is 2 million, stated Roman Silantyev, executive secretary of the Inter-religious Council in Russia.

WAISLAM WA MISRI WAONGOZA KULA NYAMA YA NGURUWE


UFUGAJI WA NGURUWE WAONGEZA KASI NCHINI MISRI
Cairo Misri:
Biashara ya ufugaji wa Nguruwe nchini Misri inakuwa kwa kasi baada bidhaa hiyo kuwa muhimi na hadimu kama Almasi. Inafahamika kuwa Misri ni nchi ya Kiislam lakini wakati huo huo ufugaji wa Nguruwe ambaye ni haram kutoka na dini yao unakuwa kwa asilimia nyingi.
Mfanya biashara wa Nyama ya Nguruwe ajulikanaye kwa Jina la Samir amesema kuwa hivi sasa nyama ya Nguruwe imekuwa kama dhahabu. Kila siku wao wanachinja Nguruwe zaidi ya wa tatu na kuuza katika maduka yao ya Nyama hiyo. Samir alisema kuwa wafanya biashara ya Nyama ya Nguruwe sasa wameongeza kipato maana bidhaa hiyo sasa inanunuliwa kupita kiasi ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Hivi sasa Kilo Moja ya Nyama hiyo hadimu imepanda bei na kufikia (£4.30 za Uingereza) sawa na Shilingi Elfu Kumi na NNE (14000) za Tanzania.
Kwa habari zaidi kuhusu ufugaji wa Nguruwe Misri ingia hapa.

ALLAH SIO YEHOVA YAHUH ( يهوه ) NA HANA JINA MAALUM


Huu ni msiba mwengine kwa Waislam na kwa Muhammad.
Allah katika Surat Bani Israil anasema kuwa yeye anamajina mazuri mazuri na kasema kuwa Allah ni Jina na sio Wasifa. Nilipo chunguza kwa makini katika Majina yake 99, sikuliona jina la Allah katika hayo 99. Ingia hapa na thibitsiha mwenyewehttp://www.searchtruth.com/Allah/99Names.php
Lakini cha ajabu Allah anadai katika Surat Bani Israil 110 kuwa "ALLAH" ni jina lake angalia ushahid hapa chini.
Qr. 17 Surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………
Hivi huyu Allah anamatatizo gani? Maana ameshindwa kutupa jina lake. Sasa anasema kuwa Allah ni Jina lake, na nilipo angalia kwenye yale majina 99, ALLAH HALIPO. Na hata kama tukiliweka, basi ALLAH ATAKUWA NA MAJINA 100 na sio 99. Huu ni msiba mwengine kwa Waislam.
Allah ana majina mangapi, 99 au 100?
SASA TUMSOME MUNGU WA KWENYE BIBLIA:
Mungu anayejulikana
Kutoka 6:2-3,
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA;
Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Unaona tofauti ya Allah na Yehova wa kwenye Biblia? Yehova hana kizungumkuti au longa longa kama Allah anaye sema yeye ana majina mazuri mazuri lakini ameshindwa kuthibitisha kuwa YEHOVA ni jina lake.
Mwenyezi Mungu kasema kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa yeye anaitwa YEHOVA, LAKINI ALLAH hakuwai sema kwenye Quran kuwa Yehova ni Jina lake. KUMBE BASI ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, NA YAKOBO.
Sasa, kati ya Mwenyezi Mungu aliye sema katika Taurat miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa Jina lake ni YEHOVA, NA Allah aliye shindwa kuthibitisha kuwa yeye ni Yehova zaidi ya kusema yeye ana majina mazurimazuri tumwanini nani?
Kumbuka kuwa, katika Agano la Kale peke yake, JINA Yehova limetajwa mara 6800, Huku katika Quran HAKUNA Jina la YEHOVA hata mara moja.
ALLAH ANADAI KUWA QURAN INATHIBITISHA TAURAT, INJIL NA ZABURI. AU SIO,
HEBU TUSOME KWANZA HIYO AYA.
Surat Al Baqara 89. Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao walikuwa wakitafutia ushindi kuwashinda makafiri - yalipo wajia yale waliyo kuwa wakiyajua waliyakanusha. Basi laana ya Mwenyezi Mungu juu ya wakanushao!http://www.quranitukufu.net/002.html
Soma ushahid zaidi:
Surat Al Maida 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
SASA, KAMA NI KWELI QURAN INATHIBITISHA TAURAT, ZABURI NA INJIL,
1. Kwanini hakuna Jina la Yehova kwenye Quran?
2. Kwanini Allah hakusema yeye ni Yehova kwa Muhammad?
3. Kwanini Muhammad hakumuuliza Allah, kuhusu hili jina la Yehova lililo tajwa kwenye Taurat, Zaburi na Injili?
Ndugu msomaji, ni rahisi sana kumkama Allah kwa uongo wake, maana yeye kadai Quran inathibitisha Taurat, Zaburi, na Injil, HUKU AKISHINDWA kuthibitisha kuwa yeye ni YEHOVA.
Kumbe basi Allah sio Yehova na Quran haithibitishi Taurat, Zaburi na Injili.
Kwa ushahidi uliopo hapo juu, naweza kusema kuwa ALLAH SIO MUNGU, ALLAH SIO YEHOVA, MUHAMMAD NI MTUME BANDIA NA QURAN NI KITABU BANDIA NA KIMEJAA SHAKA.
Kama kuna Muislam anabisha basi thibitisha yafuatayo:
1. Nionyeshe Jina Yehova kwenye Quran.
2. Nionyeshe Jina Yahuh kwenye Quran.
3. Niletee aya ambayo Allah anathibistihsa kuwa yeye ni Yehova kama alivyo dai kuwa Quran inathibitisha Taurat, Zaburi na Injil Surat Al Maida 48?
4. Thibitisha kuwa Allah ni jina kwa ushaidi wa aya. Kumbe Allah anamajina 100 na sio 99.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

Friday, May 27, 2016

WAISLAM WA WAPAKISTANI ELFU KUMI (10,000) WAMPOKEA YESU KWA USIKU MMOJA

Mchungaji ANWAR FAZAL wa Kanisa la Eternal Life Ministries huko Pakistani amefanya mkutano wa uponyaji katika Kitongoji cha Lahore na kuwaongoza WAISLAM ELFU KUMI KWA USIKU MMOJA.
Habari zinasema kuwa, baada ya Wiki moja ya huo Mkutano wa Uponyaji, WAISLAM LAKI MOJA NA NUSU (150,000) Walimpokea Yesu na kuachana na dini ya UISLAM. WAISLAM HAO WOTE WAMEMKIRI YESU NA KUSEMA HAKIKA Allah na Mtume wake Muhammad wote ni BANDIA.
HAYA NI MAVUNO MAKUBWA SANA KWENYE NCHI YA KIISLAM KAMA PAKISTANI.

SHEIKH AHMAD AL KATANI AKIRI KUWA; KILA SAA LIKIPITA WAISLAM 667 WANAMPOKEA YESU

Akitoa ushuda kupitika Televisheni ya Al Jazeerah, Sheik Ahmad Al Katan ambaye ni Rais wa Kitengo cha Sayansi na Sharia za Kiislam huko Libya amekiri kuwa, kila saa likipita, Waislam 667 wanampokea Yesu na kuukacha Uislam.
Akionyesha kupagawa na kuto jua nini afanye, Sheikh Ahmad Al Katani alisema, Mfano kule Misri, nchi ambayo Biblia zilikuwa hazinunuliwi, lakini kwa mwa mmoja tu, teyari Biblia LAKI SITA zimeuzwa nchini humo, na maelfu kwa maelfu wanaendelea kuingia Ukristo.
Alisema tena, kule Sudan zaidi ya watu MILIONI MOJA wameingia Ukristo kwa kipingi cha miaka miwili tu.

WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, NANI ALIKUWA MTUME WA UMMAA YA WAARABU?



WAISLAM WANATUMIA HII AYA NA KUDAI KUWA, YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAEL TU.
Imeandikwa:
Akajibu akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:26).
SASA TUWAULIZENI WAISLAM WOTE DUNIANI AMBAO WANATUMIA HIYO AYA HAPO JUU KAMA IFUATAVYO:
Waislam, kwa kuwa mnasema na kukiri kuwa: Yesu yeye alikuwa Mtume kwa wana wa Israeli tu; Naomba mtueleze kwa uthibitisho wa aya kutoka Quran, wakati huo wa Yesu, nani alikuwa MTUME wa Ummah wa Kiarabu? Kwa lugha rahisi, Mtume wa Waarabu wakati wa Yesu alikuwa ni nani?
Ndugu zetu katika Adam, naomba mtuletee ushahidi wa maandiko wala sio matusi.
Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao." Quran 35:24
Sasa, mnaweza tuambia, WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, Nani alikuwa Mtume wa Waarabu?
MKINILETEA AYA BILA YA MATUSI NA JAZBA, LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM?
******
SASA MSOME YESU ANAKUJIBU WEWE MUISLAM:
Bwana Yesu alipoongea na mwanamke Msamaria pale kisimani alimwambia hivi:
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. (Yohana 2:22).
Wokovu unatoka kwa Wayahudi kwa sababu hakuna taifa jingine lolote duniani ambalo lilimjua Mungu wa kweli – yote yalikuwa na dini za kipagani – iwe ni wazungu, Waafrika, Wahindi, Waarabu, n.k. Huo ndio ukweli.
Kumbe basi wakati wa Yesu, WAARABU WALIKUWA NA DINI ZA KIPAGANI KAMA ALIVYO SEMA YESU HAPO JUU KUWA "Wokovu unatoka kwa Wayahudi.
UTHIBITISHO KUHUSU UISLAMU NI DINI YA WAPAGANI
Haya maelezo yatakupa taswira kamili kuhusu chimbuko la Uislamu na kukupa majibu ya maswali ambayo Mohammad hakutaka wafuasi wake wajue, kama vile, kuwa Uislamu ni ibada za mwezi na nyota ambao ulivumbuliwa kwa minajili ya kueneza ugaidi kupitia vita.
1. Je, Hubal alichukuliwa kama mungu-mwezi? NDIYO.
2. Je, Kabah ilikuwa nyumba ya mungu-mwezi? NDIYO.
3. Je, jina la Allah hatimaye lilichukua nafasi ya lile la Hubal kama jina la mungu-mwezi? NDIYO.
4. Je, waliita Kabah kuwa ‘nyumba ya Allah’ ? NDIYO.
5. Je, wapagani walianzisha matambiko/ibada zilizoambatana na kuabudu miungu yao? NDIYO.
6. Je, wapagani walifanya hijj, Ramadan, kukimbia wakizunguka Kabah mara saba, kubusu jiwe jeusi, kunyoa upara, kutoa kafara za wanyama, kukimbia juu na chini kwenye milima miwili, kupiga shetani na mawe, kupuliza maji kutoka mapuani, kuabudu mara nyingi wakitazama Makka, kutoa misaada, kuswali ijumaa, n.k. NDIYO.
7. Je, mohammad aliamuru wafuasi wake kushiriki kwenye hizi sherehe za kipagani wakati wapagani walikuwa wakitawala Makka? NDIYO. (Yusuf Ali, fn. 214, pg. 78).
8. Je, Uislamu ulichukua na kufanya hizi ibada za kipagani kama sehemu ya ibada zao? NDIYO. (Yusuf Ali: fn. 223 pg. 80).
9. Je, waliitwa ‘mabinti zake Allah’? NDIYO.
10. Je, Kuran kwa wakati mmoja iliwaamuru Waislamu waabudu al-Lat, al-Uzza and Manat? NDIYO. In Surah 53:19-20.

Max Shimba Ministries Org
2016, May 27

Thursday, May 26, 2016

WATU MILIONI MOJA WAHUDHURIA MKUTANO WA INJIRI INDIA


MAELFU WAOKOKA NA KUMPOKEA YESU KRISTO
Yesu bado anaendelea kuokoa watu kwa maelfu kila siku. Huko India katika mji wa Gujarat, India, watu karibia Milioni Moja wamehudhuria mkutano wa Injiri. Maelfu kwa Maelfu wameokoka na kuwa Wakristo.
Hakika Yesu yupo hai na anawapenda wote. Huu ni ushuhuda tosha kuwa Yesu ni Bwana wa Mabwana

YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH


Ndugu msomaji,
Ninaendelea kuweka ukweli kuhusu Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake.
Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].
NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’
‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.
-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.
-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.
-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.
Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )
Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].
Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH
Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?
Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?
Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.
Ndugu msomaji, kwa mara nyingine tean, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0
Kutoka 6: 6 Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa; https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
Ndugu zanguni,
Kama bado hamuelewi kuwa Yehova ambaye ni YAHUH kwa Kiarabu sio Allah, basi wewe umeamua mwenyewe kwenda kwenye njia iliyo potea ya Jehannam.
ALLAH SIO YAHUH NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
ALLAH SIO YEHOVA NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Footnotes
http://ivarfjeld.wordpress.com/…/apostasy-40-born-again-ch…/
http://en.wikipedia.org/wiki/Bible_translations_into_Arabic
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
http://www.islam-watch.org/…/Muhammad-Killing-Jews-of-Banu-…
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
Correspondence with Bill Warner May 21, 2011
Winning the War with Radical Islam. Robert Morey Ph.D. Christian Scholar Press 2002 p.14.
Bukari Hadith vol.5 book 59 ch.13 no.362 p.241
Correspondence with Craig Blomberg, Ph.D. May 8, 2012
Ibid.
http://www.juancole.com/…/riots-by-some-muslims-in-malaysia…
http://www.adherents.com/Religions_By_Adherents.html
Correspondence with Messianic Rabbi R. Drebenshedt May 11. 2012
http://www.islamicity.com/Mosque/99names.htm

Wednesday, May 25, 2016

ALLAH AMEKATAA KUITWA YEHOVA KWENYE QURAN; KUMBE ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, YAKOBO, NK


Ndugu msomaji,
Wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Allah anaye ogopa kutaja Jina la Yehova kwenye Quran ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha?
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Nimeweka kwa kutenganisha kwa kila lugha kwa sababu moja. Waislam wao wanadanganya eti maana ya Yehova ni Allah, huki ikifaamika kuwa Yehova ni JINA LA MUNGU NA SIO WASIFA.
Katika Sahih hadith tunasoma kuwa:
Ime Hadithiwa na Abu Huraira:
Allah ana majina tisini na tisa, Mia toa moja, na yeyote atakayo amini maana zake na kufanya ya pasavyo, ataingia peponi. Na Mwenyezi Mungu ni witr(Mmoja) na anapenda witiri (idadi isiyo gawanyika kwa mbili ikajitosheleza).(Bukhari 6410)
Allah anakiri kuwa yeye ana majina 99, ona kupitia hii linkhttps://ibadhi.com/vipindi/416-dua-mchanganyiko/6238 NA HAKUNA JINA LA YEHOVA KATIKA HAYO MAJINA 99 YA ALLAH.
SASA TUMSIKILIZE MUNGU WA KWENYE BIBLIA ANAVYO JITAMBULISHA KWA WANADAMU.
Isaya 42:8 Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu; nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe, wala sitazipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.
"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehovah". (Kutoka 6:2).
Kutoka 6: 3 nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
Mwenyezi Mungu ambaye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka, Yakobo nk anatuambia kuwa, yeye Jina lake ni Yehova. SASA KWANINI ALLAH ANAKATAA AU OGOPA KUSEMA KUWA YEYE NI YEHOVA KWENYE QURAN?
SASA ANGALIA ALLAH ANAVYO JITAMBULISHA KWA MUHAMMAD:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona vituko vinaanza kwa huyu Allah. Allah anaogopa kutamka Jina la yehova?
SASA ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA DAUDI:
"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)
ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA ISAYA:
"Mimi ni YEHOVA, Hilo ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)
Leo nimeweka ushahid wa tafsir kutoka lugha mbali mbali na tumeona kuwa Yehova kwa Kiarabu ni "yahuh ( يهوه )" na hilo Jina halipo kwenye Quran.
Zaidi ya hapo, nimeweka aya kadhaa kuonyesha jinsi Mungu alivyo jitambuliza kwa Manabii wake, na umeona tofauti hapo. Allah anajiita Allah kwa Muhammad, LAKINI MWENYEZI MUNGU alipo ongea na Manabii wake wa KWELI alijiita na kusema kuwa JINA LAKE NI YEHOVA.
SASA, kwanini nimfuate Allah ambaye anapinga Jina la Yehova Mungu wa kweli?
Kwanini Allah aliogopa kuweka Jina la Yehova kwenye Quran?
Nakusihi ufanye utafiti wako mwenyewe na uone kama kuna sehemu yeyote ile Allah amejiita Yehova kwenye, Quran, kama ukikosa aya, basi elewa kuwa ALLAH SIO MUNGU WALA MWENYEZI MUNGU WALA MUNGU WA ADAM, AU IBRAHIM, AU ISAKA, AU YAKOBO AU DAUDI, NK, bali Allah ni Mpinga Mungu.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Tuesday, May 24, 2016

UISLAM NI DINI YA KIPAGANI

Urithi wa Uislamu kutoka kwenye dini za kipagani za Uarabuni - Sehemu ya 1
Allah alitokea wapi?
Uislamu unajinadi kwamba Allah ndiye Mungu yuleyule aliyejishughulisha ya Wayahudi tokea nyakati za Ibrahimu katika Agano la Kale. Je, jambo hilo ni kweli?
Uislamu ulianza na Muhammad kwenye miaka 600 baada Kristo. Je, kabla yake imani za Waarabu zilikuwaje? Je, yako mambo yoyote kutoka kwenye imani hizo ambayo yaliingia kwenye Uislamu? Kwa maneno mengine, je, Uislamu hauna upagani ndani yake?
Fuatana nami kwenye makala haya marefu yanayochambua chimbuko la Uislamu ili tuweze kuona iwapo upo uhusiano wowote kati ya Uislamu na upagani uliokuwa ukitawala miongoni mwa jamii za Waarabu kabla ya kutokea kwa Muhammad?
Asili Ya Allah
Jamii za wanadamu KOTE duniani zimekuwa na kawaida ya kujiuliza ni wapi ulimwengu huu umetokea, nini maana ya maisha na wapi watu huenda baada ya kufa. Matokeo yake, kila jamii ilifikia kuamini kuwa kuna aliye na nguvu (au walio na nguvu) kuliko wanadamu wote ambao ndio wanapaswa kuabudiwa na kuombwa msaada pale matatizo yanapotokea.
Hawa wenye nguvu wakajulikana kwa majina mbalimbali kwenye jamii tofauti. Vilevile, kila jamii ilianzisha utaratibu maalum wa kuwasiliana na hawa wenye nguvu, yaani miungu.
Lakini jambo moja ni dhahiri, kwamba UKIACHA JAMII YA WAYAHUDI PEKE YAO, jamii zote za wanadamu zilizobakia duniani – iwe ni Afrika, Ulaya, Asia, n.k. - zimeanzia kwenye ibada za kipagani. Jamii hizi ziliabudu miungu mbalimbali. Na miungu hii iliwakilishwa na vitu kama vile milima, miti mikubwa, jua, mwezi, majoka makubwa, sanamu, wafalme, n.k. Kwa mfano, Warumi walikuwa na miungu kama vile artemi, jupiter, minerva, atlas, n.k. Tazama hapa. Wagiriki walikuwa na miungu kama vile chronos, dionysus, eros, ares, appolo, hermes, poseidon, n.k. Tazama hapa. Wahindi wana miungu kama vile durga, ganesha, garusha, brahma, n.k. Tazama hapa. Imani hizi za kipagani ziliweza hata kukua sana na kuenea maeneo mengi. Kwa mfano, imani ya ubudha ni imani ya kipagani lakini iliweza kuenea sehemu kubwa sana ya Asia – India, Japan, Sri Lanka, Uchina, n.k.
Kwa hiyo, jamii za Kiarabu, kama ilivyo kwa wanadamu wengine, vilevile hazikuwa tofauti. Jamii hizi nazo zilikuwa zina ibada zao za kipagani.

UONGO NDANI YA QUR'AN



*NILIHAIDI KUUKOMESHA UONGO WA QURAN NA WAISLAMU*
Jana nilisema kwa habari za uongo katika Quran walakini kama ilivyo hada waislamu siasa wakaja na maneno lukuki sasa siku zote njia za muongo fupi leo kamba waliokuwa wameishikilia isikatike imekatika atamaye wameanguka
Quran 19:28 ilisema uongo kwa kumwita Mariamu mama yake Yesu kuwa ni dada wa Haruni jambo ambalo sio kweli tutathibitisha ili, Quran 66:12 ikaja kuthibitisha uongo huo pale ilipomwita Mariamu mama wa Yesu kuwa ni binti Amran/ Imran jambo ambalo sio kweli
Mariamu mama yake Yesu akutokea kwenye ukoo wa Lawi hivyo uenda Quran imechanganya Mariamu mama yake Yesu na Miriamu dada wa Haruni{Kuto 15:20}
Na pia Quran kumtambulisha kuwa Mariamu mama yake Yesu kuwa ni binti Amran itakuwa ilimchanganya na Miriamu binti Amran soma {Hesabu 26:59.........maana Miriamu pekee ndiye aliyekuwa binti Amran maana yake waislamu wanajua kuwa Quran imesema uongo ila wameamua kudanganyika wenyewe
Sura ambayo waislamu wamekubali itafsriwe kimatakwa yao ili iendane na matakwa yao na kuhalalisha juu ya uongo wao ni Luka 1:36 panapo mtaja mariamu kuwa alikuwa ni jamaa wa Elizabethi neno jamaa hapa lina maana ya watu waliokaribu sio maana ya ndugu yaani ya udada, na jambo ilo sio kweli kuwa watu hawa walikuwa ndugu kwa sababu jambo ilo alithibitishwi Kibiblia wala hata katika historia za kimwili za wayahudi
Maana inatambulika wazi kuwa watu hawa wawili yaani Elizabeth na Mariamu walikuwa ni jamaa walakini jamaa sio lazima awe ndugu, ujamaa uenda ni hali za watu kufahamiana hivyo basi hawa wawili walikuwa wakitokea katika makabila mawili tofauti kabisa
USHAIDI UNAOTHIBITISHA UONGO WA QURAN

KWANINI ALLAH ATAWAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM? ENYI WENYE ILMU HEBU MTUSHAWISHI HAPA



Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532
….. Allah atakapokuwa amemaliza hukumu miongoni mwa watu, atamtoa jehanamu yule amtakaye kwa rehema zake. Kisha atawaamuru malaika kuwatoa motoni wote ambao hawakumwabudu yeyote isipokuwa Allah miongoni mwa wale ambao Allah ametaka kuwarehemu na wale walioshuhudia (duniani) kwamba hakuna apasaye kuwabudiwa ila Allah. Malaika watawatambua motoni kutokana na sijda (nyusoni mwao), maana moto utakula mwili wote wa kibinadamu isipokuwa sijda maana Allah ameuzuia moto kuila sijda. Watatoka jehanamu wakiwa wameungua kabisa kisha watamwagiwa maji ya uzima nao watakua kama mbegu itokayo kwenye udongo …….
TAFSIRI YAKE:
Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532 inasema:
........When Allah has finished His Judgments among the people, He will take whomever He will out of Hell through His Mercy. He will then order the angels to take out of the Fire all those who used to worship none but Allah from among those whom Allah wanted to be merciful to and those who testified (in the world) that none has the right to be worshipped but Allah. The angels will recognize them in the Fire by the marks of prostration (on their foreheads), for the Fire will eat up all the human body except the mark caused by prostration as Allah has forbidden the Fire to eat the mark of prostration. They will come out of the (Hell) Fire, completely burnt and then the water of life will be poured over them and they will grow under it as does a seed that comes in the mud of the torrent.....
MASWALI
1. Huko jehanamu mtakuwa mlienda kufanya nini?
2. Tangu lini wanadamu wakaenda jehanamu wakiwa na mwili wa kibinadamu?
3. Kuna haja gani ya kutekeleza amri za Mungu kama bado atakutoa jehanamu? Si tuendelee kufanya tu tupendavyo?
…………………
SIKIA INJILI YA KWELI KUHUSU WENYE DHAMBI
(Mat 25:46) Na hao watakwenda zao kuingia KATIKA ADHABU YA MILELE; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele………(umeona neno YA MILELE?)
Ufunuo 20:15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, ALITUPWA KATIKA LILE ZIWA LA MOTO.
Ufunuo 14:11 Na moshi wa maumivu yao hupanda juu HATA MILELE NA MILELE, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake. (umeona maneno MILELE NA MILELE?)
…………………
Ukitupwa jehanamu ndio basi!
Hutoki humo milele na milele.
Umedanganywa kwamba eti utatolewa.
…………………….
NJOO KWA YESU UPONE WEWE!
(1Yohana 2:23) Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.

WAISLAM ZAIDI YA ELFU TATU (3000) WAMPOKEA YESU NCHINI FILIPIN NA KUACHANA NA ALLAH NA MUHAMMAD




Waislamu zaidi ya 3000 wampokea Yesu Kristo na kubatizwa. Haya mavuno ni makubwa sana, ingawa wavunaji ni wachache.
Over 3,000 precious souls accepted Jesus through baptism
“The harvest truly is plenteous, but the laborers are few…” Here are just a few of the reports that were received in the past few weeks. Again, I am appealing to you to please support the Lord’s work through the work of the adopted ministers.

SITAKI KUWA MUISLAM KWASABABU ALLAH ATAINGIA JEHANNAM KAMA VIUMBE VYENYE DHAMBI



Katika ulimwengu wa leo kuna njia nyingi za kutumaini. Furaha ya milele na Mbinguni vina hubiriwa kila mahali. Hata hivyo kuna dini nyingi tofauti, filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo (furaha ya milele) vinatofautiana. Na kila mmoja katika tofauti hizo za dini na filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo; anaamini ya kuwa amesimama katika ukweli.
Katika Surat Maryam, Kuruan inasema kuwa (19) 71.72. Inasema, wala hapana yoyote ila mwenye kuifikia jehanamu, maana ni wajibu wa Mola wako umekwisha kuhukumiwa, nasi tutawaokoa wale wamchao na kuwaacha madharimu hali wamepiga magoti.
ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA =>WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
Kuruan inakiri kuwan kila bin-adam amekwisha hukumiwa kuingia Jehannam kwa maana huo ndio wajibu wa Allah kuwaingiza watu Jihannam. Allah anaendelea kusema kuwa, yeye atawaokoa Waislam baada kuingia Jehanam. Je, haya madai ni kweli?
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Katika Surat Ghaafir inakiri kuwa Allah anaendelea kusema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Mimi kama Mkristo siwezi kuipenda dini hii ambayo teyari mungu wake amesha toa hukumu ya kwenda Jehannam kwa wote wanao ufuata Uislam.
ALLAH KASEMA MGUU WAKE UTAISHI JEHANNAM MILELE YOTE

UKRISTO SIO DINI BALI NI IMANI YENYE USHIRIKA NA MWENYEZI MUNGU

Ndugu msomaji,
Mara nyingi katika mihadhara ya Waislam, kumekuwa na maneno ya kusengenya Ukristo, eti, Uislam ndio dini ya Allah na Ukristo sio dini. Maneno hayo yamekuwa yakiwaumiza sana Wakristo, hasa pale wanapoambiwa walete aya kutoka Biblia inayo sema kuwa Ukristo ni Dini.
Ndugu zanguni, leo ningependa kujibu hii shutuma ya kuusingizia Ukristo na kumsingizia Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini.
ASILI YA NENO UKRISTO NI NINI?
Neno Ukristo ni tegemezi ya kutoka kwa Jina "KRISTO". Hivyobasi, Mkristo ni mfuasi wa Kristo. Ni kama unavyoweza sema Mtanzania anatoka Tanzania na/au neno Mtanzania ni tegemezi kutoka Tanzania au Utanzania litakoka kwenye muungano wa U na Tanzania.
Lengo la Mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya Mkristo ya Roho Mtakatifu.
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi. Mwanadamu hujaribu kumfikia Mungu kwa nija nyingi: DINI, matendo mema, sala, n.k., lakini hizi zote hazitoshi. Mwanadamu bado ni mwenye dhambi.
MAANA YA UKRISTO NI NINI?
Ukristo ni imani maalum kulinganisha na nyinginezo, Kwa sababu inasimamia zaidi ushirika na Mungu kuliko matendo ya kidini. Kinyume na kushikilia orodha ya masharti ya fanya haya na usifanye yale, Lengo la mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya mkristo ya Roho Mtakatifu.
Wakristo huamini ya kuwa biblia ni Neno la Mungu na mafundisho yake ndiyo mamlaka ya mwisho (Timotheo wa pili 3:16, Petro wa pili 1: 20-21). Wakristo huamini juu ya Mungu mmoja akaaye katika utatu, Baba na Mwana (Yesu kristo), na Roho Mtakatifu.

UTHIBITISHO: ALLAH NI KIUMBE NA SIO MWENYEZI MUNGU

1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe
5. Allah ana Miguu na nyayo kama viumbe
Ndugu zanguni,
Natanguliza kwa kusema huu ni Msiba Mkubwa sana kwa ndugu zetu kwa kupitia Adam wanao pinga kuwa Allah hana mfano.
Leo nitawawekea mifano kadhaa kama ushahid kuwa Allah ni kiumbe.
Haya, ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu huyu Allah kiumbe.
ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE

KWANINI KWENYE QURAN HAKUNA JINA LA YEHOVA?



Ndugu wasomaji,
Biblia ilikuwepo miaka 671 kabla ya Quran imetamka kuwa, Mwenyezi Mungu Jina lake ni Yehova [ يهوه yahuh]. Lakini cha ajabu, hakuna aya hata moja kwenye Quran inayo kiri kuwa Allah ni Yehova [ يهوه yahuh].
Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
Hebu tuanze kwa ushahidi wa aya kutoka Biblia takatifu:
Katika Biblia, Mungu anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.” (Isaya 42:8) Ingawa ana majina mengi ya cheo kama vile “Mungu Mweza-Yote,” “Bwana Mwenye Enzi Kuu,” na “Muumba,” anawaheshimu waabudu wake kwa kuwaalika wamwite kwa jina lake la kibinafsi.—Mwanzo 17:1; Matendo 4:24; 1 Petro 4:19.
Yehova ni tafsiri ya jina la Mungu katika Kiswahili ambayo imekuwa ikitumiwa kwa miaka mingi. Ingawa wasomi wengi hupendelea kuliandika “Yahweh,” Yehova ndilo jina linalojulikana na watu wengi zaidi na lipo kwa lugha ya Kiswhaili.
Biblia inamtaja Yehova kuwa Mungu wa Kweli, Muumba wa kila kitu. (Ufunuo 4:11), lakini kwenye Quran Allah anaogopa kujiita Yehova. Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
SASA NAWAULIZA WAISLAM:
1. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anaitwa Yehova?
2. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anathibitisha Isaya 41:8?
3. Kama Allah ni Mungu wa Adam, Ibrahim, Musa, nk. Kwanini amekataa kujitambulisha kwa jina lake la Yehova? Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
KAMA KUNA MUISLAM ATAKUJA NA AYA KUTOKA QURAN NA KUTHIBITISHA KUWA ALLAH NI YEHOVA. BASI LEO HII NITAUKANA UKRISTO WANGU NA KUWA MUISLAM. LEO MTANISILIMISHA HAPA HAPA.
Bila ya jazba wala nini, Waislam naombeni mnipe aya kutoka Quran. NATAKA KUSILIMU NA KUWA MUISLAM.
Max Shimba Ministries Org

Sunday, May 22, 2016

MWINJILISTI UMAR MULINDE ALIYEHARIBIWA KWA TINDIKALI BAADA YA KUHAMA UISLAMU, AMSHUKURU MUNGU KWA UPONYAJI -


Ikiwa takribani miaka mitano ipite tangu mwinjilisti Umar Mulinde kujeruhiwa vibaya kwa kuharibiwa mwili kwa tindikali aliyomwagiwa na watu wanaosadikiwa kuwa waumini wa dini ya kiislamu waliokuwa wakipinga hatua yake ya kubadili dini na kuwa Mkristo, hapo juzi mwinjilisti huyo alifanya ibada maalumu ya shukrani kukumbuka namna tukio hilo lilivyotokea na kumuharibu kabisa sura yake yenye mvuto. Katika jumble wake kupitia okras wake wa Facebook mwinjilisti huyo aliandika namna ambavyo kupitia nguvu ya maombi na neema ya Mungu ilivyomponya katika tukio hilo la kuogofya, bila kusahau kutaja madaktari waliomuhudumia huko nchini Israel ambako alihamishiwa kupata matibabu yaliyokwenda sambamba angalau kurudisha sura yake kwenye muonekano mzuri. Mwinjilisti Umar Mulinde raia wa Uganda ambaye baba yake ni imamu wa msikiti nchini humo, alikuwa mmoja wa vijana waliokuwa na imani kali ya uislamu na hata kufikia hatua ya kuwachukia kupita kiasi waumini wa dini ya Kikristo likiwemo taifa la Israel, hata hivyo mambo yalibadilika baada ya kukutana na Yesu ambaye alimbadilisha maisha yake ambapo aliapa kutorudi nyuma kamwe licha ya tukio hilo kubwa na vitisho anavyopata kutoka kwa waumini wa dini aliyokuwepo awali. Unaweza kutazama na kusoma zaidi habari za mwinjilisti huyu kuanzia alipomwagiwa tindikali mpaka hali aliyonayo sasa kwa Kubonyeza HAPA. https://www.facebook.com/mulinde.umar

ALLAH NA MUHAMMAD HAWAPENDI WANAWAKE WA KIAFRIKA WA KIISLAM

Leo nina maswali matatu tu kwa wanawake wa Kiislamu.
Kabla sijawauliza maswali kwanza niwashirikishe ahadi za Yesu ambaye amekuwepo zaidi ya miaka 570 Kabla ya Muhammad, yeye alisema:-
Luka 20:34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;
35 lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;
36 wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
Yesu anasema kuwa katika ufalme wa Mungu, watu hawataoa wala kuolewa, watakuwa sawa na malaika kwa sababu Malaika hawaoi wala kuolewa, na pia katika kuurithi ufalme wa Mungu sawasawa na Ibrahimu, hakuna upendeleo wa mwanaume au mwanamke, maana wote ni sawa mbele za Mungu,
Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Wanaume na wanawake ambao wamemwamini Yesu na kubatizwa kisha wakafanya mema, hao watakuwa warithi sawasawa bila kuwekwa daraja kwa wanaume kuwa juu kuliko wanawake au wanawake kuwa juu kuliko wanaume, katika ufalme ambao watu wa Kristo tutakuwa pamoja na Ibrahim na manabii wote wa kweli.
Mathayo 8:11 Nami nawaambieni, ya kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi pamoja na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo katika ufalme wa mbinguni;
Ufalme ambao wafanyao udhalimu watatupwa nje wakitaka kuingia, Yesu atawazuia kwa sababu hawakutaka kuwa Watakatifu,
Luka 13:27 Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
29 Nao watakuja watu toka mashariki na magharibi, na toka kaskazini na kusini, nao wataketi chakulani katika ufalme wa Mungu.
Huo ndo ufalme wa Mungu wa kweli ambao watu waliomwamini Yesu wataingia, usio na Upendeleo.
Maswali yangu matatu yanatokana na aya za Quran ambazo zilisemwa na Muhamnad, kuhusu pepo, akitoa ahadi kwa wanaume, Ilisemwa, 👇🏻
Quran 52 SUURATUR RAHMAAN

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW