Monday, February 9, 2015

KUMBE QURAN IMEJAA SHAKA NA HAIPO WAZIWAZI

  1. Je, madai ya kuwa Quran imekalika na ipo waziwazi ni ya kweli?
  2. Allah ateremsha aya na kudai kuwa, Quran haijakamilika na haipo waziwazi.
  3. Allah asema kuwa aya zingine ndani ya Quran hakuna ajua maana yake isipokuwa Allah.

Ndugu wasomaji;

Leo tutaangalia utata ulio jaa ndani ya Quran ambayo wanadhuoni wengi hudai kuwa imenyooka, huku Allah akiwapinga na kuteremsha aya ambayo inasema kuwa Quran haijanyooka na haipo waziwazi.

Kwanza tuanze kwa kuangalia aya ambayo inasema kuwa Quran ipo wazi na aya zake zimepambanuliwa ni uongofu kwa walio ongoka.

Surat HUD (11:1). Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka kwa Mwenye Hikima na Mwenye Khabari

Surat Al Anaam (6:114). Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka.

Surat An nah’k (16:89). Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa Waislamu Surah tulizo ziweka hapo juu, zinasema na kudai kuwa Quran  imepambanuliwa na ni kitabu kilizo elezwa waziwazi. Ikimaanisha kuwa, unapoisoma Quran, hautapata maswali au kusoma utata katika aya zilizo teremshwa na Allah.

LAKINI HAYO MADAI, YANAPINGANA NA UTATA KATIKA AYA IFUATAYO INAYO DAI KUWA, NDANI YA KURAN KUNA AYA AMBAZO ALLAH PEKE YAKE NDIE ANAZO ZIFAHAMU

Hebu tuisome hiyo aya:
Surat Al Imra (3:7) Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.

Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine katika Uislam, Allah katika Surat Al Imra iliyoteremka Madina anasema kuwa:

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH SIO MUNGU WA KWENYE INJIL NA TAURAT BALI NI MUNGU WA KIPAGANI


Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?

Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.

Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.

Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Nabii Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.


Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri!  2. Siabudu mnacho kiabudu; 
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.  4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.  6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.  

Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA: Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?


(a)            Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b)            Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhamamd alikuwa naongoa na ummah upi.

TATIZO LA PILI: Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.

Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu

Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

KWENYE Surat Al Ankabut 46. Wala msijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa njia iliyo nzuri kabisa, isipo kuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tumeyaamini yaliyo teremshwa kwetu na yaliyo teremshwa kwenu. Na Mungu wetu na Mungu wenu ni Mmoja. Na sisi ni wenye kusilimu kwake. 

Monday, February 2, 2015

Worshiping Muhammad

Answering the Challenges of a Muslim Dawagandist

Sami Zaatari has produced an article where he seeks to prove from the Quran that Muslims are forbidden to, and therefore do not, worship Muhammad.
He cites specific verses and hadiths which he erroneously thinks support his position, while ignoring all the scores of passages and narrations which show that Muhammad was worshiped by his followers. 
In fact, all Zaatari has done by quoting these citations is to prove that Islam contradicts itself since it expressly forbids worshiping any creature, and claims that Muhammad was nothing more than an imperfect mortal, and yet places Muhammad on the same level with his god by turning him into another object of religious worship and devotion.
Zaatari issues a series of challenges to anyone who would argue that Muslims do in fact worship Muhammad. We have, therefore, decided to respond to those challenges.
He writes:
-Show a single Quranic passage that commands Muslims to worship Muhammad
-Show a single hadith that commands Muslims to worship Muhammad
-Show any companion that worshiped the Prophet Muhammad with the consensus of the other companions
It is our pleasure to provide answers to Zaatari’s challenges. So here they are.

Making Du’a (Invoking) and Praying to Muhammad
Muhammad instructed his followers to pray to him directly during their daily acts of worship:
Narrated Shaqiq bin Salama:
'Abdullah said, "Whenever we prayed behind the Prophet we used to recite (in sitting) 'Peace be on Gabriel, Michael, peace be on so and so. Once Allah's Apostle looked back at us and said, 'Allah Himself is As-Salam (Peace), and if anyone of you prays then he should say, At-Tahiyatu lil-lahi wassalawatu wat-taiyibatu. As-Salamu 'ALAIKA aiyuha-n-Nabiyu wa rahmatu-l-lahi wa barakatuhu. As-Salam alaina wa ala ibadil-lah is-salihin. (All the compliments, prayers and good things are due to Allah: peace be on YOU, O Prophet and Allah's mercy and blessings be on YOU. Peace be on us and on the true pious slaves of Allah). (If you say that, it will be for all the slaves in the heaven and the earth). Ash-hadu an la-ilaha illa-l-lahu wa ash-hadu anna Muhammadan 'abduhu wa Rasuluhu. (I testify that none has the right to be worshipped but Allah and I also testify that Muhammad is His slave and His Apostle)." (Sahih al-Bukhari, Volume 1, Book 12, Number 794)
This isn’t the only time that Muslims were instructed to pray and/or make invocations to their prophet.
There is a specific narration which says that Muhammad actually taught a blind man to pray to Allah as well as to himself, an invocation which Muslims continued to use long after Muhammad’s death:
Tirmidhi relates, through his chain of narrators from 'Uthman ibn Hunayf, that a blind man came to the Prophet and said, "I've been afflicted in my eyesight, so please pray to Allah for me." The Prophet said: "Go make ablution (wudu), perform two rak'as of prayer, and then say:
"Oh Allah, I ask You and turn to You through my Prophet Muhammad, the Prophet of mercy; O MUHAMMAD (YA MUHAMMAD), I SEEK YOUR INTERCESSION with my Lord for the return of my eyesight [and in another version: "for my need, that it may be fulfilled. O Allah, grant him intercession for me"]."
The Prophet added, "And if there is some need, do the same." (Ahmad ibn Naqib al-Misri, Reliance of the Traveller: The Classic Manual of Islamic Sacred Law (Umdat Al-Salik) in Arabic with facing English text, Commentary and Appendices, edited and translated by Nuh Hah Mim Keller [Amana Corporation; Revised edition, July 1, 1997], w40.3, p. 935; bold and capital emphasis ours)
Muhammad expressly instructed the blind man to address him directly in his prayer in the same way that he addresses Allah!
The blind man wasn’t told to simply ask Allah to heal him on behalf or for the sake of Muhammad. Rather, he was specifically directed to address Muhammad directly by asking for his intercession.
Now just in case Zaatari attempts to explain this away by saying that this took place when Muhammad was still alive, the following is a report of a man who offered up this same exact invocation during the caliphate of Uthman bin Affan:

Sunday, February 1, 2015

Silly Sayings of the Prophet Muhammad

The scope of this paper is to show how the Prophet of Hajj Allah went about in his daily life instructing his followers. It’s amazing how Muslims want us to follow Muhammad claiming that he was the seal of prophets. But when you look at his character compared to Jesus we see that Christ is the best example.   Mohammad’s teachings are found in the Hadith. Next to the Quran, the Hadith, especially Bukhari is viewed as inspired. The purpose here is to show you just how the prophet of Hajj Allah acted and instructed. Some of these teachings will shock you, and some will amuse you and some will have you shaking your head. We will see if Muhammad and his teachings were truly inspired.

Muhammad and Medicine and Urine?


Volume 1, Book 4, Number 215:

     Narrated Ibn 'Abbas:

Once the Prophet, while passing through one of the grave-yards of Medina or Mecca heard the voices of two persons who were being tortured in their graves. The Prophet said, "These two persons are being tortured not for a major sin (to avoid)." The Prophet then added, "Yes! (they are being tortured for a major sin). Indeed, one of them never saved himself from being soiled with his urine while the other used to go about with calumnies (to make enmiy between friends). The Prophet then asked for a green leaf of a date-palm tree, broke it into two pieces and put one on each grave. On being asked why he had done so, he replied, "I hope that their torture might be lessened, till these get dried."  Volume 1, Book 4, Number 217:

Now one must wonder, how could a bladder problem cause a person to be tortured?  That means that all people who have natural bladder problems and deficiencies will be tortured after death!! This is amazing because according to the seal of prophets it is a major sin to wet your pants!! What if a kid who wasn’t potty trained died early? According to the prophet of Hajj Allah, he would be tortured in his grave!!!  The only place where someone is tortured in their grave or in the afterlife in Islam as well as Judeo-Christianity is Hell!!!

Drinking Camel’s Urine will make you healthy??

Saturday, January 31, 2015

Thirty-Two Sins of Muham-mad(Pbuh)


Louis Palme
A new book has been published in German and English by author Zahid Khan, titled “The Criminal Acts of Prophet Mohammed.” The author demonstrates that Muhammad, instead of being a true Prophet of God, was misguided by his own evil pursuits and ambitions. His success was not due to the depth of his religious insights, but rather due to animating thousands of idled Arabs by the prospect of spoils and sex-slaves on earth and even more virgins and material pleasures in the hereafter.
When Muhammad died suddenly, thousands of followers tried to escape the clutches of Islam, triggering the bloody Wars of Apostasy (Ridda). But the trap had been closed, and even today it is a capital crime to leave Islam. The only way to open the Islamic trap is to expose the evil nature of Islam for all to see.
While the book is sold in the U.S. only in Kindle format via Amazon.com, that hasn’t stopped German Islamists, namely Stefan Salim Nagi and Pierre Vogel, from allegedly trying to prosecute Mr. Khan or arrange for his assassination. These days, such attempts to silence an author courageous enough to tell the truth about Islam are as valuable for book sales as a Pulitzer Prize. Just ask Salmon Rushdie, Taslima Nasrin, or Geert Wilders.
Readers who want a hard copy of the book can obtain it through Mr. Khan’s publisher at http://www.khanverlag.de/. The website translates into English for easy navigation, and buyers can pay through Paypal. (Be sure to select the English version, as after translation both book titles appear the same on the website.)
To give readers an idea of the scope of Muhammad’s criminal acts, here is a short synopsis of the 32 failings Muhammad owns up to in the book’s narrative:
1. I ordered the veiling women, which was never ordered by God
2.  I ordained polygamy, which was not God’s plan
3.  I also conceived the special dispensation for me to marry any woman I wished
4. I made many pronouncements that were driven by my lust for women
5.  I even captured and raped Jewish married women and kept them in my harem
6.  I determined that a woman’s testimony only counted as half that of a man
7.  I ordained that men could beat their women if they were disobedient
8.  I began attacking caravans (at Nakhla) against God’s wishes

9.  I ordered the killing of poets who criticized me
10. I made God angry by refusing to make peace with Jews and Christians

The loving Holy Spirit - He loves you dearly!

The Holy Spirit cares for us and loves us dearly. We are precious to Him, and there are many scriptures to give us an insight into the loving nature of the Holy Spirit.

The Holy Spirit wanted to make us in God's image

Let's start at the beginning. When God made man in His image, they (the Father, Son and Holy Spirit) said, "Let us make man in our image!" The Holy Spirit (along with the Father and Son) wanted to make you and I in His image and give us dominion over all other creation here on earth! You'll find this passage in the first chapter of Genesis:

Genesis 1:26, "And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth."

It was the Holy Spirit who sent Jesus to heal and restore us!

If you turn to Luke chapter 4, you'll find that it was the precious Holy Spirit who send Jesus forth to minister healing, deliverance and restoration to us. Let's look at this passage in the Bible:

Luke 4:18-19, "The Spirit of the Lord is upon me, because he hath anointed me to preach the gospel to the poor; he hath sent me to heal the brokenhearted, to preach deliverance to the captives, and recovering of sight to the blind, to set at liberty them that are bruised, To preach the acceptable year of the Lord."

Thursday, January 29, 2015

ALLAH IS NOT TRIUNE

The final proof that Allah is not Yahweh Elohim of the Holy Bible is that Allah is not a trinity. According to the Holy Bible, there is only One true God (Deuteronomy 6:4; Galatians 3:20).
Yet, at the same time Scripture affirms that this One God eternally exists in three Persons:
The Father
"...elect according to the foreknowledge of God the Father..." 1 Peter 1:2
The Son
"... looking for that blessed hope and glorious appearing of our Great God and Savior Jesus Christ..." Titus 2:13
The Holy Spirit
"But Peter said, 'Ananias, why has Satan filled your heart to lie to the Holy Spirit... you have not lied to men but to God." Acts 5:3-4
Three in One
"... baptizing them in the Name (singular - implying unity) of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit ..." Matthew 28:19
But the Allah of the Quran is not any of the three Persons mentioned above. For example S. 112 states,
Say: He is Allah, the One and Only; Allah, The Eternal, Absolute-, He begetteth not, Nor is He Begotten; And there is none like unto Him. S. 112: 1-4
Allah does not "beget" meaning that Allah has no children either in a spiritual or carnal sense. Thus, Allah can never be the Father. Nor does he allow himself to be "begotten", i.e. does not take on human nature such as God the Son did when he became man for our salvation. Finally, in orthodox Islam the Holy Spirit is not God, but the angel Gabriel. This fact separates Allah from ever possibly being the same God that Christians worship.
Furthermore, we read in I John 2:22-23:
"Who is a liar but he who denies that Jesus is the Christ? He is Antichrist who denies the Father and the Son. Whoever denies the Son does not have the Father either; he who acknowledges the Son has the Father also."
Thus, to the Christians Allah cannot be the biblical God since the inspired New Testament record teaches that anyone denying the Father and Son as God is Antichrist.

Marriage in Islam and Christianity

Islam:
A Muslim man can marry more than one wife. Some suggest that he can have 4 wives at one time.
Shia’ Muslims believe in a temporary marriage also. Such a marriage may last as less as a day. It is known as Muta’.
A Muslim should not marry an unbeliever nor allow his daughters to be married to unbelievers (Sura 2:221).
A Muslim man can marry a Jewish or Christian woman (Sura 5:5).
Muslim scholars advise that children from such a marriage should be brought up as Muslims.
A Muslim woman can marry a man from another faith only after His conversion to Islam (Basis on Sura 5:5 and Sura 2:221).
A husband has permission to exert a lot of Patriarchal authority. Sura 4:34 permits men to hit their wives.
If a Muslim married man converts to another faith, his marriage dissolves. He is an apostate and worthy of capital punishment (Muslim laws).
If a Muslim married woman converts to another faith, marriage still remains intact. She should be punished, scourged, until she repents or in that situation she dies (Muslim laws).

Christianity:
A Christian woman is free to marry anyone she wishes but the advise is that he must belong to the Lord (1 Cor. 7:39).
‘Don’t be yoked with unbelievers’ (2 Cor. 6:14-18).
If the couple has been already married and one becomes a believer in Christ, the marriage still remains in tact. A Christian is encouraged to be Christ like in all manners and pray for the other.
If however, the non-Christian partner leaves then there is no restriction on her or him.
No capital punishment of apostasy. The matter is left to the Lord to deal with.
A husband has to love his wife as Christ has loved the church (Eph 5:25-26).
Similarly a wife has to submit herself to him (Eph 5:22).

Wednesday, January 28, 2015

Prayer to Break Curses

Heavenly Father, we come to you in the mighty Name of Jesus by the power of His blood. You are our deliverer. You know all our problems and all the things that binds, torments, defiles, and harasses us. We confess that our bodies are the temples of the Holy Spirit, redeemed, cleansed, sanctified, justified by the blood of Jesus. We refuse to accept anything from Satan. In the Name of Jesus, we bind the principalities, rulers of the darkness of the world and all spiritual wickedness in high places. We bind the powers in the heavenlies. Spirit of antichrist, Jezebel spirit, death & Hades spirit, spirit of Balaam, all familiar and seductive spirits assigned to us, we bind you and render you harmless and ineffective against us and our family. We loose ourselves from every dark spirit in us or around us that is not the spirit of God and we command you to leave us now, in the Name of Jesus. Since we are justified, redeemed, cleansed and sanctified by the blood of Jesus, Satan has no place in us or around us and no power over us. Through the blood of Jesus I tell him to flee!

In the name of Jesus the anointed one, I now rebuke, break and loose myself, my wife (husband), my church, my pastor (s), my family, my brother (s), and sister (s) and all my children (grandchildren) from any and all evil curses, generational curses, charms, vexes, hexes, spells, jinxes, psychic powers, bewitchments, witchcraft and sorceries that have been put upon me or my family line, from any person or persons or from any occult source.


In the Name of Jesus the anointed one, we now address you devils, witches and cohorts. We know that you are attempting to harass and embarrass this ministry (family) in order to smear and discredit this ministry so that others who would receive benefits from this ministry would become discouraged. We are not ignorant of your tricks, your wiles and your strategies. Now, in the name of Jesus the anointed one, we command you to stop your operations, and all your psychic commands, your incantations, your prayers and desires against this ministry be turned again upon you who sent them out. Retreat, flee in defeat this moment. We also command that the mouths of all who spread lies and gossip against this ministry be stopped! The Lord rebuke you and all who help you! In Jesus' Name. Amen.

Tuesday, January 27, 2015

NI NINI MAANA YA “ROHO”?

Hebu tuzungumzie jinsi Biblia inavyotumia neno “roho.” Watu fulani hufikiri kwamba “roho” ni neno lingine linalomaanisha “nafsi.” Lakini, si kweli. Biblia inaonyesha wazi kwamba “roho” na “nafsi” ni vitu viwili tofauti. Vinatofautianaje?

Waandishi wa Biblia walitumia neno la Kiebrania ru′ach au neno la Kigiriki, pneu′ma waliporejelea “roho.” Maandiko yenyewe yanaonyesha maana ya maneno hayo. Kwa mfano, andiko la Zaburi 104:29 linasema: “[Yehova] ukiiondoa roho [ru′ach] yao, wanakata pumzi, na kurudi katika mavumbi yao.” Andiko la Yakobo 2:26 linasema kwamba “mwili bila roho [pneu′ma] umekufa.” Katika andiko hilo “roho” inamaanisha kile ambacho huupa mwili uhai. Bila roho, mwili umekufa. Kwa hiyo, katika Biblia neno ru′ach halitafsiriwi tu “roho” bali pia “nguvu” au kani ya uhai. Kwa mfano, Mungu alisema hivi kuhusu Mafuriko ya siku ya Noa: “Ninaleta gharika ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu [ru′ach] za uhai ndani yao.” (Mwanzo 6:17; 7:15, 22) Hivyo, “roho” inarejelea nguvu isiyoonekana, inayotendesha viumbe vyote vilivyo hai.

Redio
Nafsi na roho hutofautiana. Mwili unahitaji roho kama vile redio inavyohitaji umeme ili kufanya kazi. Kwa mfano, unapotia betri katika redio na kuiwasha, nguvu zilizo katika betri huiwezesha redio kufanya kazi. Hata hivyo, redio haiwezi kufanya kazi bila betri. Hali kadhalika, redio ambayo imeondolewa kwenye umeme haiwezi kufanya kazi. Vivyo hivyo, roho ni nguvu ambayo hutendesha mwili wetu. Kama umeme, roho haiwezi kuhisi wala kufikiri. Ni nguvu isiyo na utu. Lakini bila roho au kani ya uhai, “tunakata pumzi na kurudi kwenye udongo,” kama mtunga-zaburi alivyosema.

Andiko la Mhubiri 12:7 linasema hivi linapozungumzia kifo cha mwanadamu: “Mavumbi [mwili wake] huirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo roho yenyewe humrudia Mungu wa kweli aliyeitoa.” Roho au kani ya uhai inapoondoka mwilini, mwili hufa na kurudi ulipotoka, yaani, kwenye udongo. Vivyo hivyo, nguvu ya uhai hurudi ilipotoka, yaani, kwa Mungu. (Ayubu 34:14, 15; Zaburi 36:9) Hiyo haimaanishi kwamba nguvu ya uhai huenda mbinguni kihalisi. Badala yake, inamaanisha kwamba mtu akifa, tumaini lolote la kuishi tena linamtegemea Yehova Mungu. Ni kana kwamba uhai wake uko mikononi mwa Mungu. Ni kupitia nguvu za Mungu tu ndipo roho au nguvu ya uhai inaweza kurudishwa ili mtu aweze kuishi tena.

Inafariji kama nini kujua kwamba hivyo ndivyo Mungu atakavyofanya kwa wote wanaopumzika ndani ya “makaburi ya ukumbusho!” (Yohana 5:28, 29) Wakati wa ufufuo, Yehova atamfanyizia mwili mpya yule anayelala katika kifo na kuuhuisha kwa kutia roho, au nguvu ya uhai ndani yake. Itakuwa siku ya shangwe sana.

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW