Saturday, February 6, 2016

ALLAH WA WAISLAM AKIRI KUWA YEYE SIO BABA BALI NI BWANA MWENYE WATWANA

1. Uislam ni dini ya yatima na Watwana.
2. Ukristo ni imani pekee yenye Mungu Baba na Wakristo ni watoto wa Mungu.


MUHAMMAD ANASEMA KUWA ALLAH SIO BABA
Surat Al Maida 18. Na Mayahudi na Wakristo wanasema: Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na vipenzi vyake. Sema: Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu? Bali nyinyi ni watu tu kama wale wengine alio waumba. Humsamehe amtakaye na humuadhibu amtakaye. Na ni wa Mwenyezi Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye.

Kama aya inavyo sema hapo juu, Muhamma na Allah wanakana kuwa Wakristo na Wayahudi sio watoto wa Mungu, eti kwasababu ya Allah kuto kuwa na mwana bila ya Mke. Hii aya inapingana na Biblia ambayo inasema kuwa sisi ni watoto wa Mungu.


WAKRISTO NI WATOTO WA MUNGU
Waebrania 12: 7 Ni kwa ajili ya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye? 8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. 9 Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi? 10 Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.

Yeremia 31:
18 Hakika nimemsikia Efraimu, akijililia hivi, Umeniadhibu, nami nikaadhibika, kama ndama asiyeizoelea nira; unigeuze, nami nitageuzwa; kwa maana wewe u Bwana, Mungu wangu.
19 Hakika baada ya kugeuzwa kwangu, nalitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nalijipiga pajani; nalitahayarika, naam, nalifadhaika, kwa sababu naliichukua aibu ya ujana wangu.


Muhammad alikuwa bila ya matunzo na malezi ya Baba na mama yake. Baba yake alikufa kabla ya muhammad kuzaliwa, na Mama yake alikufa alipo kuwa na miaka sita [6] . Huyu Muhammad kwanza aliishi na babu yake na kwa muda mwingi aliishi na wajomba zake. MUHAMMAD ALIKOSA MALEZI BORA YA WAZAZI WAKE NDIO MAANA ANACHUKIA SANA WAKRISTO PALE WANAPO SEMA KUWA MUNGU NI BABA YETU. Hii chuki ilimuingia kwasababu yeye alikuwa hana baba na kuanza chuki kubwa kubwa kwa Mungu.


LAKINI KATIKA BIBLIA TUNASOMA KUWA MUNGU NI BABA YETU:
Kumbukumbu la Torati 32: 6........Je! Yeye siye Baba yako aliyekununua? Amekufanya, na kukuweka imara.

Zaburi 2: 7 Nitaihubiri amri; Bwana aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.

Isaya 63: 16 Maana wewe ndiwe Baba yetu, ijapokuwa Ibrahimu hatujui, wala Israeli hatukiri; wewe, Bwana, ndiwe Baba yetu, mkombozi wetu tangu milele ndilo jina lako.

Mathayo 6: 9 Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,

Yohana 20: 17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

UISLAM HAUNA BABA, BALI UNA BWANA MWENYE WATWANA. Ngoja nitumbue jipu, Allah ambaye ni mungu wa Waislam SIO YEHOVA ambaye ni Mungu wa Wakristo. Allah yeye ni dhaifu, duni, na yupo chini ya YEHOVAH ambaye ni Mungu Mkuu.

Allah sio baba bali ni roho dhaifu ambayo ipo chini na duni kwa YEHOVAH, ndio maana Allah anapenda WATWANA na kuwafanya Wiaslam wote kuwa ni WATUMWA WAKE - Muslims are SLAVES OF ALLAH.

SASABU inayo mfanya Allah kushindwa kuwapenda binadamu ni jibu tosha kuwa Allah hakuumba binadamu na ndio maana amejaa chuki kubwa kubwa kwa bianadamu. ZAIDI YA HAPO, Allah yeye ni BWANA MWENYE WATWANA.


WAISLAM NI WATUMWA WA ALLAH - SLAVES OF ALLAH
Surat Azzumar 10. Sema: Enyi waja wangu mlio amini! Mcheni Mola wenu Mlezi. Wale wafanyao wema katika dunia hii watapata wema. Na ardhi ya Mwenyezi Mungu ni kunjufu. Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu.

Surat Azzumar 36. Je! Mwenyezi Mungu si wa kumtosheleza mja wake? Na ati wanakutishia kwa hao wenginewe wasio kuwa Yeye! Na aliye hukumiwa na Mwenyezi Mungu kupotea hana wa kumwongoa.

Aya hapo juu zinakiri kuwa Allah yeye anawatumwa na ni tofauti na Yehovah wa kwenye Biblia ambaye yeye anatuita sisi ni watoto wake.

Hii roho mbaya iliyomtisha na kumbana mbavu Muhammad, ipo kwa ajili ya kufanyiwa kazi, ndio maana Waislam wao wanapigana kwa ajili ya Allah. Allah hana upendo zaidi ya chuki.

ALLAH YEYE ANAPENDA WATU WANAO PIGANA KWA AJILI YAKE TU.
Surat Assaf 4. Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wanao pigana katika Njia yake kwa safu kama jengo lilio kamatana. Maelezo

Surat An Nisaai 74. Basi nawapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa Akhera. Na anaye pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kisha akauliwa au akashinda basi tutakuja mpa ujira mkubwa.
75. Na mna nini msipigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu na ya wale wanao onewa, wanaume na wanawake na watoto, ambao husema: Mola Mlezi wetu! Tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhaalimu, na tujaalie tuwe na mlinzi anaye toka kwako, na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anaye toka kwako. Maelezo
76. Walio amini wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na walio kufuru wanapiana katika njia ya upotofu. Basi piganeni na marafiki wa Shet'ani. Hakika hila za Shet'ani ni dhaifu

Hivi Mungu gani huyu anaye penda kuwachinganisha watu? Hakika Allah ahakuumba ndio maana yeye hapendi watu na amewaitwa WATWANA huku yeye akiwa ni BWANA wao. HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.


SOMA BIBLIA YENYE UPENDO:

MWENYEZI MUNGU ANAKUPENDA, NAYE ANATAKA KUKUPANGIA MPANGO WA AJABU KWA MAISHA YAKO.
UPENDO WA MUNGU
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Yohana 3:16

MPANGO WA MUNGU KWAKO
Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yohana 10:10

Warumi 5:8 Bali Mungu aonyesha pendo Lake Yeye Mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.

Kulingana na Warumi 5:8, Mungu alionyesha pendo Lake kwetu sisi kwa njia ya mauti ya Mwanawe. Kwa nini ilimpasa Kristo kutufia? Kwa sababu Andiko la tangaza watu wote kuwa wafanya dhambi. Kufanya "dhambi" kuna maanisha kukosa alama. Biblia inatangaza "wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu (utakatifu mkamilifu) wa Mungu" (Rum. 3:23). Katika maneno mengine, dhambi zetu zatufarikisha sisi na Mungu wetu aliye utakatifu mkamilifu (haki na kweli) na kwa hivyo sharti Mungu awahukumu watenda dhambi.

Ndugu msomaji,

Nakukaribishga sana kwa Mungu wa Wakristo ambaye anakupenda sana. Njoo huku kwa Yesu ili upate uzima wa milele. Njoo kwa Yesu ili upate upendo wa Mungu. Ndugu uansubiri nini?

Mungu awabariki sana na Yesu anakupenda,

Max Shimba Ministries Org

MATOLEO 20 TOFAUTI YA QURAN ::::::::20 VERSIONS OF QURAN::::::::::

Je, Kati ya haya Matolea 20 (Ishirini) ya Quran, toleo lipi ni la kweli?
Je, Nabii wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muhammad, alisoma toleo lipi?

Ndugu msomaji,
Leo nitaweka ukweli kuhusu Quran ambayo ina Matoleo 20 na kati ya hayo Ishirini (20) Matoleo 7 (Saba) yametajwa katika Hadith Mwaminifu za Muhammad.
Hapa chini ni Wasomaji Saba (7) ambao wote wana Matoleo Mawili mawili. Hawa Wasomaji saba wanapatikana hapa:
Nafi (from Medina; d.169/785)
Ibn Kathir (from Mecca; d.119/737)
Abu `Amr al-'Ala' (from Damascus; d.53/770)
Ibn `Amir (from Basra; d.118/736)
Hamzah (from Kufah; d.156/772)
al-Qisa'i (from Kufah; d.189/804)
Abu Bakr `Asim (from Kufah; d.158/778)
WASOMAJI SABA NA MATOLEO YAO YA QURAN
1. Msomaji : Nafi`
MATOLEO YAKE
Warsh
Qalun
2. Msomaji: Ibn Kathir
MATOLEO YAKE
al-Bazzi
Qunbul
3. Msomaji: Abu `Amr al-'Ala'
MATOLEO YAKE
Al-Duri
al-Suri
4. Msomaji: Ibn `Amir
MATOLEO YAKE
Hisham
Ibn Dhakwan
5. Msomaji: Hamzah
MATOLEO YAKE
Khalaf
Khallad
6. Msomaji: al-Qisa'i
MATOLEO YAKE
al-Duri
Abu'l-Harith
7. Msomaji: Abu Bakr `Asim
MATOLEO YAKE
Hafs
Ibn `Ayyash
HAWA NI WASOMAJI WENGI WATATU NA MATOLEA YAO MAWILI KILA MMOJA
"The Three" readers
1. Msomaji: Abu Ja`far
MATOLEO YAKE
Ibn Wardan
Ibn Jamaz
2. Msomaji: Ya`qub al-Hashimi
MATOLEO YAKE
Ruways
Rawh
3. Msomaji: Khalaf al-Bazzar
MATOLEO YAKE
Ishaq
Idris al-Haddad
Wadhalimu wa dini ya Kiislamu wanakiri kuwa kuna WASOMAJI wengi zaidi, lakini wanasema kuwa hawa walio tajwa hapo juu ndio thabit na sahihi. Kumbe basi kuna VERSIONS ISHIRINI ZA QURAN !!!!!!
SASA MASWALI YAKUJIULIZA NI HAYA:
1. Kati ya hao wasomaji wakurani, ni yupi yupo sahihi?
2. Kama Allah ndie aliteremsha Quran kwa Muhammad, kivipi awe na wasomaji wengine na kumsahahu Muhammad mtume wake kipenzi?
3. Kama Quran ni moja na ipo kwa Kiarabu tu, kivipi isomeke kitofauti kwa mara ISHIRINI [20] katika lugha hiyo hiyo ya Allah?
4. Je, Kati ya haya Matolea 20 (Ishirini) ya Quran, toleo lipi ni la kweli?
5. Je, Nabii wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muhammad, alisoma toleo lipi?
Ndugu msomaji, leo tumejifunza kuwa katika Uislam kuna siri nyingi sana ambazo zimefichwa na wanaona aibu kusema ukweli kuwa QURAN INA MATOLEO/VERSIONS 20. HUU NI MSIBA KWA ALLAH NA MTUME WAKE MUHAMMAD.
Mungu awabariki sana na kuendelea kuwafungua macho.
Katika huduma yake
Max Shimba Ministries Org.

Friday, February 5, 2016

MAOMBI YA KUSAMBARATISHA UCHAWI NA NGUVU ZA GIZA

Baba katika Jina la Yesu.
Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu.
Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika Jina la La Yesu.
Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu.
Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la Yesu.
Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya Yesu.
Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la Yesu.
Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu.
Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu.
Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia uchawi katika jina la Yesu.
Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.
Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu. Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.
Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja kunichunguza katika jina la Yesu.
Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi katika jina la Yesu.
Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la Yesu aliye hai.
Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.
Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki, kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.
Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.
Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo katika jina la Yesu.
Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.
Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.
Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.
Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.
Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.
Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.
Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.
Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.
Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.
Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.
Narudisha amani na upendo katika familia yangu.
Damu ya Yesu ipo juu ya Maisha yangu na inasafisha kila uovu, kila uchawi unaaribiwa na damu ya Yesu katika jina la Yesu.
Leo hii mtaiona Nguvu iliyopo katika damu ya Yesu.
Katika Jina la Yesu aliye hai ninaomba.
Amen
Max Shimba Ministries
03/01/2014

Kwanini Mkristo anauhakika wa kwenda Paradiso zaidi ya Muislamu?

1. Je, Kurani inatoa uhakika kwa Waislamu?
Kurani inatengeneza tu mazingira ya mashaka kuhusiana na kuingia Paradiso au hapana. Muislamu hanauhakika wa kuiepuka jehanamu ya moto:
“Hao wanao waomba, wao wenyewe wanatafuta njia ya kwendea kwa Mola wao Mlezi - hata miongoni mwao walio karibu mno - na wanataraji rehema zake na wanaikhofu adhabu yake. Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi yafaa kutahadhari nayo” (Kurani 17:57).
Waislamu hufikiria kwamba hawawezi kuwa na uhakika kuhusiana na kwenda Paradiso, kwa sababu Kurani inasema Mola huamua na mwanadamu hawezi kujua kwamba ameokoka:
"Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza. Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu, Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya! Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo? Ni Moto mkali!" (Kurani 101:6-11).
Muislamu hana uhakika ni upande gani anaohusika nao. Mola alimuumba mwanadamu kufanya wema au uovu:
"Hujui ya kwamba Mwenyezi Mungu anao ufalme wa mbingu na ardhi? Humuadhibu amtakaye, na humsamehe amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu." (Kurani 5:40).
Muislamu hajui ni nani atakuwa pamoja na Mola Paradiso. Kwa hiyo Kurani haiwezi kutoa uhakika kwa Muislamu kuhusiana na kwenda Paradiso.
2. Je, Muhammad anatoa uhakika kwa Waislamu?Kurani iko wazi kwamba Muhammad hawezi kumsaidia Muislamu kuingia Paradiso:
"Wala nasaha yangu haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu anataka kukuachieni mpotee. Yeye ndiye Mola wenu Mlezi; na kwake mtarejeshwa" (Kurani 11:34).
"Hata ukiwa na pupa ya kutaka kuwaongoa, lakini Mwenyezi Mungu hamwongoi yule anaye shikilia kupotea. Wala hawatapata wa kuwanusuru" (Kurani 16:37).
"Sema: Uombezi wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Ni wake Yeye tu ufalme wa mbingu na ardhi. Kisha mtarejeshwa kwake." (Kurani 39:44).
Kwa hiyo Kurani inakataa kwamba Muhammad aweza kuwa muwezeshaji kwa Muislamu kuingia Paradiso. Angalia pia Kurani 7:188, 4:123 na 9:80. Hivyo ni nini faida yake, ikiwa kila mwanadamu atateseka jehanamu, kabla ya wenye haki kuchaguliwa kutoka hao waendao jehanamu?
Je ni nini basi kwa habari ya Muhammad kuwa mfano kwa Waislamu kuingia Paradiso? Pia hili nalo halina mbadala kwa Muislamu, kwa sababu Muhammad aliona shaka kuhusu kuingia Paradiso:
“Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi." (Kurani 46:9).
Pia nyaraka zingine katika uislamu zinasema kwamba Muhammad hakuwa na uhakika wa kwenda Paradiso [1].
3. Are Christians sure about going to Paradise?Wakati Waislamu wanajaribu kutii sheria za Mola, wanabaki kutokuwa na uhakika wa wokovu, Mkristo anauhakika wa kwenda Paradiso. Mkristo atamjibu Muislamu juu ya swali “Bwana zangu, nifanye nini ili nipate kuokoka?” kwa [2]:
“Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka” (Matendo ya Mitume 16:31).
Ni lazima Muislamu afahamu kuokoka kwa upendo na neema ya Mungu. Uislamu hauna Mwokozi. Mwamini ndani ya Mwokozi Mkuu Yesu Kristo wakati wote anakuwa na uhakika wa kwenda Paradiso. Wokovu wa pekee kwa mwanadamu umetolewa kupitia Yesu Kristo, Neno la Mungu. Kwa sadaka ya mwenye haki Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi, mwamini ana uhakika wa kuingia Paradiso. Kuna mistari kadhaa kwenye Maandiko Matakatifu yanayothibitisha kuingia Paradiso kwa waaminikwenye utukufu wa Yesu Kristo:
“Mimi ndiye huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye Mimi hata akifa atakuwa anaishi” (Yohana 11:25).
"Nyumbani mwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningeliwaambia. Nakwenda kuwaandalia makao. Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo. Ninyi mnajua njia ya kufika ninakokwenda.Thomasi akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?" Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia Kwangu" (Yohana 14:2-6).
4. HitimishoMkristo ana uhakika wa kwenda Paradiso. Muislamu huishi na kufa, hana uhakika wa wokovu. Mkristo, kwa upande mwingine, amemkubali Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zake na ana uhakika. Hii ni habari njema kuhusu upendo na neema ya Mungu ni kitu ambacho Mkristo anataka kuwashirikisha rafiki zake wailslamu.
Rejea:
1. Sahih al-Bukhari, Volume 4, Book 51 and Volume 5, Book 58, Number 266.
2. E.M. Hicham, How Shall They Hear? Sharing your Christian faith with Muslims, Ambassador Publications, Belfast, 2009, 88.

SIFA SABA ZA ROHO MTAKATIFU

Yohana 14: 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. 17Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.

Yesu Kristo ametupa zawadi ya ajabu sana: Zawadi ya Roho Mtakatifu. Katika baadhi ya maeneo, zawadi hiyo inajulikana kama Roho Mtakatifu, na sehemu nyingine ametajwa kama Msaidizi (Msaidizi na Roho Mtakatifu). Roho Mtakatifu ni sehemu ya tatu ya Uungu, sehemu ya tatu ya Utatu wa Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Yeye ni Msaidizi katumwa na Yesu, baada ya Msaidizi wetu kuja ambaye ni Roho Mtakatifu, Yesu alipaa tena mbinguni. Roho Mtakatifu hutolewa kwa wote ambao wamempokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wao

Kuna mambo saba ambayo tunahitaji kuelewa kuhusu Roho Mtakatifu. Tunajua kwamba, katika Biblia, saba ni namba ya kukamilika/ kukamilisha, au ukamilifu, na sifa saba zote tofauti za Roho Mtakatifu ni kweli kamili na kamilifu. Tunaweza kuzitegemea sifa hizi za ajabu za Roho Mtakatifu, wakati wote, katika kila hali na katika maisha yetu yote.

1. Roho Mtakatifu ni Msaidizi Mwenye Upendo. Tunapokabiliana na mateso katika maisha, mwongozo wa Roho Mtakatifu ni muhimu zaidi na ni faraja katika mioyo yetu: Roho Mtakatifu ni mtu ambaye ana upendo kwetu na anajua kila kitu kuhusu maisha yetu. Roho Mtakatifu alitupenda tangu kabla ya kuumbwa ulimwengu. Yeye alivyotupenda vizuri. Yeye anatupenda milele na anaendelea kutupenda milele yote. Roho Mtakatifu tu ndie mwenye uwezo wa kweli wa kutufariji mioyo yetu, kwa sababu hakuna mtu anaye tupenda sisi kama anavyotupenda Yeye Roho Mtakatifu.
Warumi 5: 5 wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo Lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

2. Yeye (Roho Mtakatifu) ni Msaidizi Mwaminifu. 

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Ndugu msomaji,
Watu wengi hawafahamu kuhusu Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu Ni Nani?
Baadhi ya watu wanadhani Roho Mtakatifu ni aina fulani ya nishati, uweza au radi. Lakini wanakosea.
Roho Mtakatifu Ni Mtu-Person, "SIO BINADAMU", nikimmanisha kuwa sio Mtu kwa maantiki ya Binadamu.
Na kwa kweli ni ‘mtu’ muhimu sana; ni Nafsi ya Tatu katika Utatu wa Mungu (Mt 28:19) (2Kor 13:13). Yeye ni mtu roho, kama vile wewe ulivyo ila Yeye hafungwi na mwili. Twaweza kumwomba kila siku tukisema, ‘Roho Mtakatifu, nijaze kwa uweza wako, niongoze, nipe hekima na ujasiri’ kwa sababu ni mtu kweli tunayeweza kuzungumza naye na kujihusisha naye.
Wengine wanasema kuwa ni Nguvu Fulani ya Mungu. Wengine wanasema ni Malaika Jibril. Lakini, Biblia inatumabia nini kuhusu Roho Mtakatifu?
Hebu ungana nami moja kwa moja na tujifunze kwa pamoja kwa kutumia aya za Biblia kuhusu Roho Mtakatifu. Kwa kifupi, ROHO MTAKATIFU ni Mungu.
Swala la kuwa Roho mtakatifu ni Mungu limo ndani ya aya nyingi za biblia kama vile Matendo 5:3-4. Katika ayah ii Petro anapambana na anania aliyemdanganya Roho mtakatifu na nasisitiza yakuwa “hukumdanya mtu bali Mungu.” Hili ni tangazo la wazi kwamba kumdanganya Roho mtakatifu ni kumdanganya Mungu. Tunaweza pia kujua Roho mtakatifu ni Mungu kwa kuwa ana tajwa na hali sawa na za Mungu. Roho mtakatifu yuko kila mahali katika Zaburi 139:7-8, “nitaenda wapi nijifiche na Roho? ama nitakimbilia wapi mbali na uwepo wako? Nikipanda juu mbinguni, huko uko; nikifanya malazi yangu kuzimu, tazama uko huko,” tena katika wakorintho wa Kwanza 2:10 tunaona hali yakuwepo kila mahali kwa Roho mtakatifu “Lakini Mungu ameyajulisha kwetu kupitia Roho wake mtakatifu. Kwa kuwa Roho huyachunguza mambo yote, naam, mambo ya siri ya Mungu. Kwa maana ni nani ayajuaye ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu inayokaa ndani yake? Vivyo hivyo, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.”
Tunaweza kujua kweli kwamba Roho mtakatifu ni Mungu kwa kuwa ana akili, hisia na mapenzi yake. Roho mtakatifu hufikiri na hujua (Wakorintho wa kwanza 2:10). Roho mtakatifu anaweza kuugua (Waefeso 4:30). Roho hutuombea (Warumi 8:26-27). Roho mtakatifu hufanya maamuzi kutokana na mapenzi yake mwenyewe (Wakorintho wa kwanza 12:7-11). Roho mtakatifu ni Mungu, sehemu ya tatu ya utatu wa Mungu. Kama Mungu, Roho mtakatifu anaweza kufanya kazi ya msaidizi na mshauri kama vile Yesu kristo aliyevyoahidi kuwa atakuja kufanya (Yohana 14:16,26; 15:26).
Je, Roho Mtakatifu Ni Nafsi Halisi?
Madaktari husema kwamba nafsi halisi ni sharti iwe na akili, hiari, na hisia. Na Roho Mtakatifu tunampima kwa vigezo hivyohivyo vitatu.
Je, Roho Mtakatifu Ana Akili?
Akili ni uwezo wa kujifunza, kuelewa na kufikiri. Ndiyo, ana akili sana! (Rum 8:27) (1Kor 2:10-13).
Je, Roho Mtakatifu Ana Hiari?
Hiari inahusiana na kusudio, uchaguzi, takwa na azimio. Ndiyo, Roho Mtakatifu ana hiari yake mwenyewe na anakubaliana na Baba na Mwana (1Kor 12:11).
Je, Roho Mtakatifu Ana Hisia?
Je, ana hisia na hisia kali? Anapenda na hiyo ndiyo hisia yenye nguvu sana aliyonayo, na kuna hisia kali katika kuugua kwake awapo kwenye maombezi (Rum 15:30; 8:26,27).
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

JE BIBLIA IMETIWA MIKONO (CHAKACHULIWA)?

Neno Biblia ni neno lenye asili ya Lugha ya kiyunani nao huita “Biblos” neno hili linapotamkwa humaanisha “Maktaba” au Mjumuiko, Mkusanyiko wa vitabu”.

Biblia ni kitabu kilicho andikwa na waandishi wasio pungua “arobaini”ambao walikuwa sehemu na mahala tofauti lakini kwa uongozi wa Roho Mtakatifu waliweza kuandika maneno yaliyowiana.

Matendo 11;19wanafunzi wa Yesu walitawanyika baada ya ile dhiki

1Petro 1:20 walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Isaya 34:16 tafuteni katika kitabu cha Bwana mkasome.

Pamoja na hayo siku hizi za karibuni kumeibuka vikundi mbalimbali vinavyoendesha mikutano,inayojulikana kwa jina la “mihadhara” vikundi hivyo vimeibua mafundisho yasiyo sahihi kwa kudai kuwa Biblia imetiwa mkono na si kitabu cha kweli, hivyo kupitia uchambuzi huu tutaangalia mada mbalimbali kwa kuanza na mada hii tete juu ya ukweli wa Biblia, ambapo vitabu vyote yaani Biblia na Qur an vitasaidia kutoa ufumbuzi.


VIGEZO VYAO VYA KUDAI KUWA BIBLIA SI YA KWELI
Yeremia 8:8-9 inasema kuwa “kalamu ya waandishi imeifanya kuwa uongo.”

Jibu kwa kifupi

Katika kujibu swali hili, ni muhimu kuanza kwa kuangalia makosa ya kiusomaji yaliyofanywa na wajenga hoja wa mada hii. Kwa kutolichunguza kwa makini andiko hilo ili kuelewa muktadha wake, hebu tuchunguze….!

Yeremia 8:8
Mwasemaje sisi tuna akili na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.

JIBU LA KWANZA
Katika aya hiyo, yako mambo ya kimsingi ambayo kamwe wajenga hoja hawayazingatii jambo la kwanza. Nabii Yeremia anasema “Torati ya Bwana tunayo pamoja nasi” hivyo kabla ya kujenga swali lolote ingepaswa kujulikana kwamba Torati haikuwa kwingine bali ilikuwa mikononi mwa manabii, hivyo ilikuwa salama.

JIBU LA PILI
Sehemu ya pili, ni pale andiko linaposema “lakini tazama” kauli hii uhashiria kuwepo kwa upande wa pili wa watu au kundi lililo anzisha jitihada nyingine pinzani mbali, pindi Torati ikiwa imehifadhiwa na manabii ambapo jitihada hizo zililenga kuikosoa Torati ambayo ilihifadhiwa na kutunzwa na manabii.

JIBU LA TATU
Na sehemu ya mwisho ni ile kauli inayosema kalamu ya uongo ya waandishi “imeifanya kuwa uongo” kauli hii kamwe hailengi kuonyesha kuwa kulifanyika tendo la kuivuruga au kuibadilisha torati yenyewe la hasha” hapo limetumika neno “imeifanya” kuwa uongo, hii inamaana kuwa torati yenyewe ni ya kweli lakini wao walianzisha jitihada zao za kuikosoa …….

MIFANO HAI
Chukulia mfano mtu akikwambia “wewe unanifanya mimi kuwa mjinga? Je- tayari umekuwa mjinga? Jibu – hapana”. Isipokuwa yeye anafanya mambo Fulani ili kufanya uonekane hivyo na hali sivyo ulivyo.

Je waandishi waliifanyaje Torati kuwa uongo na kwa namna gani?

Kwa kadri ya msingi wa maandiko ya Biblia tendo la kuifanya torati kuwa uongo huhashiria “kutamka” au “kuandika maneno yanayo pingana na torati ya Bwana”.

Biblia inaonyesha kuwa kulikuwa na watu waliojaribu kutunga na kuweka sheria zao zilionekana zikipingana na zile halali za Mungu Yehova, hivyo huko ndiko kuifanya torati au sheria halali ya Mungu kuwa uongo na si badala yake kuiharibu sheria yenyewe ya Mungu kwenye kitabu husika, fuatilia ushahidi ufuatao:-

Isaya 10:1 Ole wao wawekao amri zisizo haki na waandishi waandikaoManeno ya ushupavu ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake………

Yohana 19:5 Wayahudi wakajibu sisi tunayo sheria na kwa sheria hiyo amestahili kufa kwakuwa alijifanya mwana wa Mungu.
Maandiko hayo yanonyesha vile ambavyo wanadamu nao walivyokuwa na jitihada za upande wao wa kuasisi sheria na taratibu zao ambazo kwa kadri ya maandiko zinaonekana kupingana na zile za halali za Mungu,hivyo hizo ndizo sheria “torati” za uongo.

Pia kama nilivyokwisha eleza kuwa kwa upande mwingine tendo hilo la Kalamu ya uongo ya waandishi kuifanya Torati kuwa uongo humaanisha kutamka au kufundisha yaliyo kinyume na Torati hiyo ya Bwana, lakini huenda hoja ikawa ni kuwepo kwa neno kalamu ya uongo ambalo hufanya kuwepo na maana moja tu ya kuandika, katika hili Biblia inaweka wazi kuwa hata mdomo huweza kuwa kalamu pia ”waswahili wanasema maneno uumba” unapoongea uongo ni sawa na kuandika uongo huo kwenye bongo za wengine. Hivyo maneno ni kalamu.


Tukio linganifu katika mafunuo ya Qur-an
Katika mafunuo ya Qur-an maelezo na picha hiyo ya kibiblia tuliokwishaiona huonekana pia, tatizo la kuibuka kwa makundi ya watu waliojaribu kugeuza au kuyafanya maneno ya Mungu au vitabu vilivyoaminiwa na jamii fulani kuwa uongo linaonekana kutawala katika pande zote za kidini. Hebu tupitie aya kadhaa za Qur an:-


KUMBE QURAN NI MKUSANYIKO WA UONGO
Qur –an 15:91 “Ambao wameifanya Qur an kuwa mkusanyiko wa uongo alioukusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya
Mwenyezi Mungu.”


KUMBE WATU WANAPINDA NDIMI KWENYE QURAN
Qur an 3:78 “ Kuna watu wanaopinda ndimi zao kwa kusoma vitabu ili tufikiri

kuwa maneno yao hayo ni ya kitabu cha Mwenyezi Mungu hali
hayakutoka kwa Mwenyezi Mungu nao wanamsingizia
Mwenyezi Mungu uongo mkubwa……”

Kwa ushahidi huo wa maandiko ya Qur an tunaweza kupata picha ya jumla juu ya hoja hii nyeti, maandiko hayo ya Qur an hususani ile aya ya kwanza yanaonyesha tukio linganifu na lile la Kibiblia, hapo pia inaonekana kuwepo kwa makundi ya watu fulani waliokosoa na kuibeza Qur an kuwa ni mkusanyiko wa uongo tendo linalolingana sawia na lile la Torati ya Bwana.
Qur an inasema kuwa watu hao waliifanya Qur an kuwa ni mkusanyiko wa uongo.


Hoja ya msingi:
Je’nisahihi kutumia ushahidi wa andiko kuthibitisha mapungufu ya Qur an?

Endapo jibu si sahihi vivyo hivyo hakuna usahihi wowote wa madai ya kupotoshwa kwa Biblia kwa kutumia maneno hayo ya Yeremia kuwa kalamu ya waandishi ‘imeifanya kuwa uongo’ maneno ambayo ndiyo yanayotumiwa na Qur an pia katika muktaza uleule, kimsingi maneno hayo yanaonyesha tu upidhani uliolikabili neno hilo la kweli toka wa waandishi na watunzi wa maneno na vitabu vya uongo na siyo kupotoshwa kwa neno lenyewe.


MASWALI:
Maswali ya kujibu Kwa wanaodai kupotoshwa Kwa Biblia
Nani alifanya upotoshaji huo?

Wapi na ni lini upotoshaji huo ulifanywa?

Yako wapi magombo ya asili ambayo hayakupotoshwa ili kusaidia kujua maeneo ya vifungu vilivyopotoshwa?

Kulikuwa na sababu zipi zilizofanya Mungu anyamaze na kutolinda mafunuo yake ya wokovu kwa wanadamu wake?

Je nini ukweli na maana ya Mungu kutoa maelekezo yanayoonyesha uhakika na kutokuwepo uwezekano wa
kubadilishwa kwa mafunuo yake matakatifu?


Fuatilia Aya zifuatazo kuona uhakika wa Biblia:-
Mathayo 5:18 “yodi wala nukta ya torati haitaondoka…………..
Zaburi 15:4 “ameapa hayabadili maneno yake……………..
Qur-an Surat Ban Israel17:77 Ndiyo desturi ya wale tuliowatuma (tuliowapa utume) kabla yako katika mitume wetu. Wala hutapata mabadiliko katika desturi yetu.

Qur-an Surat Fatir 35 : 43 Wala hutapata mahadiliko katika kawaida(desturi) ya Mungu (allyoiweka)wala hutakuta mageuko katika kawaida ya Mwenyezi Mungu.

Ushahidi huo wa maandiko ya vitabu vyote viwili unaonyesha na kuthibitisha vile ambavyo hoja zinazo tolewa kwa kudai kuwa Biblia imeharibiwa si hoja za kimsingi na zaidi ya yote ni hoja zinazoonekana kushusha nguvu na uwezo wa Mungu wa kulinda na kusimamia mambo yake,lakini zaidi ya yote ni kutaka kumfanya mwongo pale alipoahidi kulinda maneno yake na kutokubali mageuzi katika mafunuo yake.


“Kamwe Biblia haijapotoshwa na haiwezi kupotoshwa”.
Qur- an Sura ya 87:18

“Hakika hayo mnayoambiwa humu (ndani ya Qur- ran) yamo katika vitabu vilivyotangulia. Vitabu vya Ibrahim, Musa, Isa na manabii wengine………………..”


Maneno hayo ya Qur-an yanatupatia Mwangaza unaotupa msingi wa kuichunguza vyema mada hii ya muhimu, maelezo ya Qur-an katika Aya hiyo yanaonyesha kuwa msingi wa mafunuo hayo ya Qur-an unategemea sana na kujengwa juu ya yale yaliyokwisha funuliwa awali katika vitabu vilivyo katika mkusanyiko wa “Biblia takatifu” hata hivyoMaandiko ya Qur-an kwa uwazi huyataja na kuyathibitisha mafunuo hayo ya kibiblia kwa kadri ya Aya zifuatazo:-


1. Torati - Musa
Qur-an 2:53 Natulimpa Musa kitabu (Torati) cha kupambanua na kuongoa ………
Qur-an 28:48 “Mnayakataa alopewa Musa”


2. Zaburi – Daud
Qur-an 4:163 Na Dawdi tukampa “Zaburi”
Qur-an 17:55 Dawd tukampa “Zaburi”


3. Injili-Bwana Yesu
Qur-an 5:47 watu wa “Injili” wahukumu kwa yale aliyotelemsha Mwenyezi Mungu ndani yake.


Mafungu hayo ya Qur-an kwa uwazi mkubwa yanaonyesha uzito na ukweli wa vitabu hivyo vya kale, kwa maana nyingine ndiyo maana Qur-an inaweka wazi kuwa mafunuo hayo (ya Qur-an) yanatokana na msingi wa Biblia (87:18).


BIBLIA NI ZAIDI YA QURAN
Biblia Mhimili wa Qur-an
Pamoja na mafunuo hayo mapya ya Qur-an bado mtume Muhammad aliendelea kuonyesha umuhimu na nafasi ya “Biblia” katika imani yake hiyo ya uislam.


Mafungu na Aya kadhaa tutakazozipitia zitatusaidia kuoana ukweli huu utakao tupa mwelekeo wa kuelewa vile Biblia ilivyo tegemeo (Mhimili) mkuu wa Qur-an. Kwa kadri ya Aya kadhaa za Qur-an inaonyesha dhahili kuwa Qur-an si kitabu kinachojitegemea chenyewe, badala yake kinapaswa kupimwa na kusaidiwa na mafunuo ya Biblia takatifu


Fuatilia nukuu zifuatazo za Qur-an ili kupanua ufahamu wa hoja hii ya msingi:-

Qur-an 10:94… “Ukiwa na shaka katika haya tuliyo kutelemshia nenda ukawaulize
watu wasomao vitabu kabla yako…………….”


Hoja za msingi
Ikiwa Qur-an ni kitabu chenye kujitosheleza chenyewe kuna haja gani ya kuwauliza waliyosoma vitabu vya kabla ya Qur-an?
Qur an 16:43 … Nendeni mkawaulize wenye kumbukumbu za vitabu vya


Mwenyezi Mungu vya kale ikiwa ninyi hamjui


Jifunze kupitia mfano
Katika dunia yetu Hospitali mbalimbali zinazotibu magonjwa ya kila aina humo wapo Madaktari bingwa, kwa kawaida ili kumtambua Daktari bingwa (Mhimili) ni pale tu unapopata ugonjwa na kwenda katika hospitali unayo iamini lakini hatimaye mwisho wa yote una taarifiwa kuhamishwa na kupelekwa katika hospitali nyingine kwa uchunguzi zaidi, “bila shaka huko ndiko kwa daktari bingwa”.


Ni wazi kama utakuwa msomaji mwaminifu katika sehemu hii tutakubaliana na kupata jibu kuwa “Biblia takatifu ni Mhimili wa Qur-an” na kwamba hakuna usahihi wa mafundisho yanayosikika kudai kuwa kitabu hiki kitakatifu kimetiwa maneno ya uongo au kuharibiwa kwa namna yeyote ile.

“Bwana akubariki kwa uelewa huu, na unapochukua hatua kuelimisha wengine.”

For Max Shimba Ministries

By permission

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction Muslims ...

TRENDING NOW