Saturday, July 23, 2016

KWANINI ALLAH ALIUMBA PEPO LA IJUMAA


Tunaendelea na kusoma kuhusu haya Mapepo ambayo yaliumbwa na Allah wa Waislam.
Leo tutajifunza kuhusu pepo la Ijumaa lijulikanalo kwa jila la PACHARD AU VENUSI.
★Katika wiki hii Sheikh Mstaafu Eden Hazard anaendelea kuelezea haya mapepo katika ulimwengu wa roho kila siku na kazi zake maana nawapa siri hii ya ulimwengu wa Roho ili muweze kumjua adui yako ni wanamna gani ili ujipange kumpigana nayee kwahyo lazimaa tuyalipue tuu maanaa tumechoka kuonaa watu wakitesekaa kwa sababu ya haya mapepo.
Pia unapopataa bahati ya kuambiwa mambo haya yote chukua hatua ya maombi.
maana imeandikwa: Wala msishirikiane na matendo ya giza,bali. ★★myakemee (Waefeso5;11)
★★Neno la Mungu linatuambiaa. tuyakemee kwahyo mimi sitanyamaza,sitaogopa lazima tukemee haya matendo ya giza na kufundisha watu wajue siri hii ili waweze kupigana na hizi ngome za mwovu.
Kumbuka kwamba Shetani anathamini sanaa watu wake kuliko Mungu unajua kwanini?
★★shetani anathamini watu wake kwa namna hii
★★shetani ameyaweka haya mapepo kila pepo na siku yake ya kuabudiwaa na kufanya kazi yake, lakini Mungu Haruhusu hata malaika au watumiashi wake kuabudiwa kwasababu gani?
Amesema
★★Usiwe na miungu mingine ila mimi. Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.(kutoka20:2-6”)
★★Kwasababu gani shetani anaruhusu wale wamfuatao kuabudiwaa??

YESU ALIISHI KABLA YA DUNIA KUUMBWA


1. Yesu asema kabla ya Abraham kuwepo yeye aliishi
2. Yesu aendelea kusema kuwa kabla ya dunia kuumbwa yeye alikuwepo.
Yesu anasema kuwa kabla ya Abraham kuwepo yeye alikuwepo "Niko" HEBU tusome kwanza hiyo aya:
Yohana 8: 58 Yesu akawaambia, ‘‘Amin, amin, nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, ‘Mimi niko’.
Yesu katika Yohana 8 aya 58 anakiri na au tuambia kuwa yeye aliishi kabla ya kuzaliwa. Hivi kama kweli Yesu ni binadamu wa kawaida, itakuwaje aishi kabla ya Abraham? Hakuna Nabii au Mtume au mtu yeyote yule aliye dai kuwa aliishi kabla ya kuumbwa.
Endelea kusoma:
Yohana 17:5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Katika aya hapo juu tunasoma kuwa Yesu aliishi kabla ya kuumbwa ulimwengu. Kumbuka katika Yohana 8:58 ALISEMA KUWA ALIISHI KABLA YA ABRAHAM. Hapoa sasa anasema kwa undani zaiid, kuwa hata kabla ya kuumbwa dunia, yeye alikuwepo.
Kumbe basi Yesu si Nabii tuu kama ambavyo na wanavyo dai Waislam kuwa eti, Yesu ni Nabii tu na si zaidi ya hapo. Kumbe Yesu ni zaidi ya Nabii, maana aliishi kabla ya kuzaliwa.
Ndugu zanguni, nani aliye ishi kabla ya Uumbaji? Hata Koran inakiri kuwa, kabla ya kuumbwa kwa vitu vyote, alikuwepo Mungu. YESU ANASEMA KUWA, ALIISHI KABLA YA UUMBAJI. (Yohana 17:5).
Kumbe basi, Yesu ni Mungu maana alikuwepo wakati wa uumbaji. Wakolosai 1: 16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. 17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
Tumesoma katika Wakolosai kuwa katika Yesu kila kitu kiliumbwa na tunasoma kuwa Yesu alikuwapo kabla ya kuumbwa kwa vitu vyote, kama ilivyo semwa katika Yohana 17:5.
Yohana 1: 3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Katika hii aya nayo inatuambia kuwa, katika Yesu vyote vilifanyika.
Ndugu zanguni, ni nani huyu mwenye mamlaka haya kama sie Mungu? Iweje Yesu aishi kabla ya kuumbwa Dunia? Iweje kila kitu kiliumbwa kupitia Yesu?
Biblia inatuambia kuwa Mungu ndie muumbaji wa kila kitu. Biblia hiyo hiyo imetuambia kuwa kupitia Yesu, kila kitu kiliumbwa. Kumbe basi Yesu ni Mungu muumbaji.
Leo tumejifunza kwa ufupi tu kuwa, YESU ALIISHI KABLA YA KUUMBWA DUNIA.
Katika huduma yake,

MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI

1. Mtume Muhammad asema, Yesu hakuwai chezewa na Shetani.
2. Muhammad akiri kuwa, Waislam wote wanachezewa na kupulizwa matakoni na Shetani.
3. Muhamamd akiri kuwa Uislam ni Bandia.
Hebu tuanze kwa ushahidi kuhusu Yesu ambaye hakuchezewa na Shetani.
Hadith ya Bhukari Mwaminifu 4:506 kama ilivyo letwa kwenu na Abu Huraira:
Mtume Muhammad alisema, Binadamu yeyote yule anapo zaliwa, Shetani humgusa sehemu zote mbili za mwili wake kwa vidole viwili, ISIPO KUWA Yesu Mwana wa Mariamu ambaye Shetani alishindwa kumgusa na wala kumsogolea.
HADITHI nyinge ya Mkweli Mwaminifu Bhukar 4: 642, kama ilivyo letwa kwenu na Said bin Al-Musaiyab:
Abu Huraira alisema, "nilimsikia Nabii wa Allah akisema, Hakuna kiumbe ambaye hakuguswa na Shetani, ndio maana mtoto hulia kwa sauti kubwa wakati wa kuzaliwa kwasababu Shetani anakuwa amemgusa, ISIPOKUWA Mariyam na Mwanae Yesu, wao hawakuguswa na Shetani. Kisha Abu Huraira akasema : " Na najikinga na Wewe kwa ajili yake na kwa ajili ya watoto wake kutoka kiwa Shetani" ( 3.36 )
Ndugu zanguni, Muhammad leo amekiri kuwa, YESU hakuwai kuguswa na Shetani lakini yeye na Waislam wote wameguswa na kuchezewa na Shetani.
Kasema Mtume (s.a.w) "Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake". (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?
Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao

UTATA MKUBWA KATIKA UISLAM: JE, ALIYE TAJWA KWENYE KUMBUKUMBU YA TORATI NI MUHAMMAD AU YESU?



Swali: Katika Kumbukumbu 18:17-18; 33:1-2, na 34:10-11, ni Muhammad aliyetabiriwa hapa, kama baadhi ya Waislam wanavyodai?Jibu: Kumbukumbu 18:15-18 inasema Mungu atamwinua nabii, kuwa watamsikia, kama Musa kutoka miongoni mwao, miongoni mwa ndugu zao.
Je Yesu alikuwa nabii?
Je Wayahudi walio wengi walimsikia Yesu?
Je Yesu alikuwa mmoja wa Wayahudi?
Je Yesu alikuwa Myahudi?
Waislam wanapaswa kutokuwa na shida kuafiki kuwa mistari hii inamfaa Yesu kuliko Muhammad. Kama angalizo la kihistoria, kabla ya Nicea Archelaus (262-278 B.K.) pia alizungumzia jinsi ambavyo Kumbukumbu 18:15 isivyoweza kuwa inamwongelea mtu mwingine yoyote yule isipokuwa Yesu Kristo kwenye Disputation with Manes sura ya 43 uk.219.Yafuatayo ni maoni zaidi.
a. Kumbukumbu 33:1-2 inasema "Bwana", na Waislam hawamwiti Muhammad Bwana wao. (Waislam wa ‘Alawite na makundi mengine ya Ghulat wanamchukulia Muhammad kuwa Mungu, lakini maoni hayo siyo kawaida kwa Waislam.)
b. Kumbukumbu 34:10 kwamba "Wala hakuinuka tena katika Israeli nabii kama Musa." Wasifu huu uliandikwa, huenda na Yoshua, muda mrefu kabla Yesu hajaja.
c. Kumbukumbu 34:10 inasema "uso kwa uso", na Muhammad hajawahi kusema kuwa alipata maneno yake moja mwa moja kutoka kwa Mungu, bali kupitia malaika (Sura 2:97). Yesu aliwasiliana moja kwa moja na Mungu Baba kwa mujibu wa Yohana 1:18 na vifungu vingine.
d. Mstari unaofuatia, 34:11, unasema kuwa hakuna nabii mwingine yoyote aliyefanya miujiza hiyo mikubwa kama Musa.
Muhammad, kama ilivyoandikwa kwenye Kurani (Sura 17:90-93) hakuwahi kufanya miujiza kama hii, isipokuwa kusema Kurani. (Kurani inapingana na jinsi mapokeo ya baadaye ya Hadithi yanavyosema.)
e. Kwenye Kurani yenyewe, Sura 29:27 inasema unabii umekuja kupitia Isaka na Yakobo. Kwenye tafsiri ya Yusuf Ali ya Kurani, anasema, "Na tumewapa (Abraham) Isaka na Yakobo, na tumeagiza miongoni mwa wazao wake unabii na ufunuo . . ."
Wakati ambapo mabano kwenye jina la Abraham yapo kwenye tafsiri ya Yusuf Ali, neno lote "Abraham" halimo kwenye Kurani ya Kiarabu, na Yusuf Ali aliona haja ya kuongeza neno "Abraham" kwenye maandiko ambayo Waislam wanayaona kuwa ni neno la Mungu.
f. Mwisho, Petro, mtume wa Yesu, alisema andiko hili lilitimia kwa Yesu kwenye Matendo 3:22-26. Mtume Petro alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuweza kujua jambo hili.
1. Ama, Yesu alifanya makosa ya kumruhusu mtu mwongo kama Petro kuwapotosha watu, kwa kwa karibu miaka 2,000, ambao wamekuwa wakijaribu kumfuata Mungu, na Mungu hakuinua kidole kuwaambia watu ukweli.
2. Au, Yesu alijua alichokuwa anafanya wakati alipomchagua Petro, na Mungu hakusahihisha kitu ambacho hakikihitaji masahihisho yoyote yale.
3. Vinginevyo, Petro hakusema hivyo, na kitabu cha Matendo ya Mitume kilipotoshwa kabla ya maelezo ya maneno hayo ya kwanza tuliyo nayo toka nje ya Biblia yanayoturejesha kwa Yesu, karibu mwaka 138 B.K.
Viongozi wa awali wa kanisa walisema kuwa mstari huu ulimwongelea Yesu. Baadhi yao ni
Justin Martyr 138-165 B.K.
Irenaeus 182-188 B.K.
Tertullian 220-220 B.K.
Origen 225-254 B.K.
Chrysostom 407 B.K.
Justin Martyr alizaliwa karibu mwaka 114 B.K., ingawa watu wengine hudhani mwaka 110 B.K. Apology yake ya kwanza iliandikwa kati ya mwaka 138 B.K. na mwaka 165 B.K. wakati wa kifo chake. Ni dhahiri kuwa alitakiwa kusoma unabii huu unaomwongelea Yesu kabla ya kuandika.
Muislam anaweza kusema kuwa Justin hakukosea tu bali pia manuscripts zote za Agano Jipya ziliunukuu usemi wa Petro kimakosa.
Pia, tafsiri kwenye lugha nyingine zilifanywa mapema sana; tarehe za hapo juu si za tafsiri za kwanza, bali ni tarehe za manuscripts za zamani zaidi ambazo zipo leo hii.
Hizi zinaaminika kwa sababu zimepita kwenye mtiririko huru ambao watu wanaweza kuutumia kuthibitisha manuscripts za Kiyunani.
Mtiririko wote wa manuscripts hizi, kutoka Afrika kwenda Asia, unaafiki kuwa Petro alisema hivi akimwongelea Yesu.
Tazama When Cultists Ask uk.43-44,45-46 na When Critics Ask uk.125-126, uk.131-132, na uk.133 kwa habari zaidi.Mungu awabariki sana
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ISHMAEL HAKUWA MWARABU WALA MUISLAM

UTHIBITISHO WA KIHISTORIA NA IMANI UNATHIBITISHA KUWA MUHAMMAD HANA UNDUGU NA ISHMAEL ZAIDI YA KUMPAPATIKIA TU.
ALLAH HAKUWAI ONGEA NA ISHMAEL HATA MARA MOJA
WAISLAMU WAMEKUWA WAKIMTETEA ISHMAEL KWA KUTUMIA BIBLIA!
HAKUNA AYA ALLAH ANASEMA KUWA ISHMAEL NI MUISLAM.
KUMBE UISLAM NI DINI YA KUTUNGA TUNGA TU.
Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa na atabia ya kumng'angania Ishmaeil na kudai eti ni ndgu ya Muhammad wa Waislam. Lakini tukisoma vitabu vya Mungu na historia, hakuna hata sehemu moja tunasoma kuwa Ishmael ambaye Mama yake alikuwa Mwafrika alikuwa na undugu na Muhammad wa Waislam.
Hebu tusome ushahid huu hapa:
Mwanzo 21: 14 Ibrahimu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akimtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.
15 Yale maji yakaisha katika kiriba, akamlaza kijana chini ya kijiti kimoja.
16 Akaenda akakaa akimkabili, mbali naye kadiri ya mtupo wa mshale; maana alisema, Nisimwone kijana akifa; naye akakaa akimkabili, akapaza sauti yake, akalia.
17 Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko.
18 Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.
19 Mungu akamfumbua macho, naye akaona kisima cha maji; akaenda akakijaza kiriba maji, akamnywesha kijana.
20 Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
21 Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.
KATIKA AYA YA 21 KITABU CHA MWANZO SURA YA 21, tunajifunza kuwa MKE WA ISHMAELI ALITOKA AFRIKA NA HAKUWA MWARABU.
Ndugu zanguni, UISLAM NI DINI YA KUTUNGWA TUNGWA TU. Haina mbele wala nyuma zaidi ya kuupapatikia Ukristo na Uyahudi.
UISLAM HAUFUNDISHIKI BILA YA UKRISTO. ALLAH HAWEZI KUWEPO BILA YA YEHOVA. MUHAMMAD HAWEZI KUJIITA MTUME BILA YA KUWEPO KWA MUNGU YESU.
ISHMAEL WA WAISLAM HAWEZI KUFUNDISHIKA BILA YA WAISLAM KUIBIA NA KUTUMIA BIBLIA ILIYO KAMILIKA NA KUKOSA SHAKA NDANI YAKE.
ZAIDI YA HAPO, hakuna ushahidi wa kuthibitishika kuwa Ishmael alimuoa Jurhumite, Biblia takatifu imetuthibitishia kuwa Ishmael alimuoa Mwanamke kutoka Misri, Afrika.
SOMA USHAHIDI MWINGINE HAPA:
Mwanzo 25: 12 Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
13 Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
14 na Mishma, na Duma, na Masa,
15 na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.
17 Na hii ndiyo miaka ya maisha ya Ishmaeli, miaka mia na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.
18 Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.
Tumesoma kuwa watoto wa Ishmael waliishi mpakani mwa Misri na sio kwenye nchi za Uarabuni au Saudi Arabia.
Sasa kwanini Waislam wanampapatikia Ishmaeli?
Waislam wanamlilia Ishmael ili waweze kuunganisha undugu na Ibrahim ambaye ni baba ya Isaka. Muhammad alijua kuwa, kama akisema hana undugu na Ibrahim, hakuna mtu angefuata dini yake bandia ya Uislam.
ALLAH HAKUWAI ONGEA NA ISHMAEL HATA MARA MOJA
WAISLAMU WAMEKUWA WAKIMTETEA ISHMAEL KWA KUTUMIA BIBLIA!
HAKUNA AYA ALLAH ANASEMA KUWA ISHMAEL NI MUISLAM.
WANAZIDI KUTUHAKIKISHIA KUWA QURAN NI KITABU CHENYE SHAKA!
1. Hakuna kokote kule kwenye Quran panaponyesha kuwa ALLAH alisema na Ishmael! Wala hakuna kokote kwenye kitabu hicho panaposema eti Allah alimfanya kuwa taifa kubwa na kwamba atazaa maseyyidina 12!
2. HAKUNA KOKOTE KWENYE BIBLIA PANAPOONYESHA KUWA MAREHEMU MUHAMMAD ALITOKA KWENYE UZAO WA ISHMAEL ACHILIA MBALI NA JINA LAKE KUTOTAJWA!
KWA KUWA WANATEGEMEA BIBLIA,WATUELEZE KATI YA ISAKA NA ISHMAEL NANI ALITOLEWA NA IBRAHIMU KUWA SADAKA YA KUTEKETEZWA?
(Mwanzo22:1-18)
BILA SHETANI KUPOTOSHA MAANDIKO YA BIBLIA UISLAMU HAUHUBIRIKI!!
KUMBE UISLAM NI DINI TEGEMEZI.
Sasa Waislam. Nijibuni MASWALI YAFUATAYO:
1. Lete uthibitisha wa kihistoria kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad kuwa Ishmael alikuwa Muislam.
2. Leteni uthibitisha ulio kuwepo kabla ya Quran na Muhammad kuwa Ishameli alikuwa Muislam.
3. Leteni uthibitisho wa Allah akiongea na Ishmael.
4. Kwanini Waislam mnatumia Biblia msio iamini kumtetea Ishmael?
MKINIPA MAJIBU KWA AYA ZA QURAN NA BILA YA MATUSI, LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo
For Max Shimba Ministries Org.
Other references:
The Encyclopedia of Religion, Vol. 7, pg. 296 where the connection between the Midianites and the Ishmaelites is noted.
The Shorter Encyclopedia of Islam, pgs. 178-179.
A Popular Dictionary of Islam, p. 127.
[1][i] Halabieh, I, page 93 ; comments on Ibn Hisham, page m
[2][ii] Halabieh I, page 36
[3][iii] Masudi, Muruj al-Thahab, Beirut-Lebanon, 1991, II, pages 280-282
[4][iv] Halabieh, I, page 35, 36
[5][v] Tarikh al-Tabari, I , page 127
[6][vi] Tarikh al-Tabari, I, page 127
[7][vii] Tarikh al-Tabari, I, page 127
[8][viii] Diwan Ummiah bin Abi al-Salt, ( Beirut-1938), page 58
[9][ix] Tarikh al-Tabari, I, page 128
[10][x] Tarikh al-Tabari, I, page 128
[11][xi] Tarikh al-Tabari, I, page 516
[12][xii] K.A. Kitchen, Documentation For Ancient Arabia, Part I, pages 90-222
[13][xiii] Diwan Ummiah, page 26
[14][xiv] Tarikh al-Tabari, I, page 429
[15][xv] Sahih al-Bukhari, I, page 92
[16][xvi] Ibn Hisham, 2, page 32; Halabieh, 2, page 91
[17][xvii] Sahih al-Bukhari, 4, page 125

Monday, July 11, 2016

WAKRISTO TUSISHANGAE MATUSI YA WAISLAM

Imekuwa ni kawaida sana kuona Waislamu wakitoa matusi mazito tena bila hofu kabisa, pale wanapoona hoja za Wakristo zimekuwa ngumu kwao, Lakini matusi hayo wanayatoa kwa kuwa Vinywa vyao, vimejaa Vijambo vya shetani, yaani Shetani hutanua makalio yake na kuwaachia mishuzi midomoni mwao, ambayo hupeleka kuwafanya waislamu watukane bila aibu, na ushahidi huo ameusema Muhammad mwenyewe mtume wa Waislamu.
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kwa hivyo wenzetu hawa wapo katika himaya ya shetani, tusiwashangae sana bali tuzidi kuwapa Injili, Ili wazinduke waache kujambiwa midomoni mwao na shetani, maana shetani amewatawala sana, Licha ya kuwajambia midomoni, lakini pia, hujikita kulala katika tundu za pua zao waislamu.
Amesimulia Abu Huraira (r.a) Mtume (s.a.w) alisema “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basa atawadhe na apandishe maji puani, na apenge mara tatu, kwa sababu shetani alilala ndani ya tundu za pua yake” (Bukhari, Hadithi na. 516, juzuu ya 4)
LAKINI PIA SHETANI HAISHI TU KUWAJAMBIA NA KULALA KATIKA TUNDU ZA PUA ZAO, bali pia huyafanya matako ya Waislamu, kama sehemu ya kujiburudhisha kwa michezo yake ya kupuliza,
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa hivyo sisi Wakristo tunalo jukumu kubwa sana la kuwafikishia Injili hawa watumwa wa shetani yaani Waislamu, Ili waache Kujambiwa na shetani, waache kufanywa vitanda vya shetani, Waachwe kufanywa sehemu ya michezo ya shetani kupitia matako yao.
Abel Suleiman Shiliwa

MUHAMMAD AKUFURU NA KUSEMA KUWA ALLAH ATAMWOZA MARYAM MAMA YAKE YESU NA MKE WA FIRAUNI AKIWA AKHERA

Ndugu zanguni,
Kila siku huwa nasema Muhammad ni nabii wa uongo na mpenda ngono.
Kufuatana na vitabu vya dini ya Uislam Muhammad anasema ifuatavyo:
Nabii wa Allah akasema: Mwenyezi Mungu atanioza kwa Maryan Mwana wa Imran pamoja na Mke wa Firauni na dada ya Nabii Musa. (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64;)
Kufuatana na Quran, Maryam ni mtoto wa Imran
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.

36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
Kama Quran inavyo sema hapo juu, Maryam ni mtoto wa Imran.
MASWALI KWA WAISLAM:
Kwanini Muhammad anapenda sana Wanawake?
Kwanini Muhammad anapenda sana kuchukua wake za watu wengine?
Vipi kuhusu wale wake 72 ambao ni bikira? Au Muhammad yeye atapewa wake kede kede kama ilivyo utamaduni wake?
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO NA YUPO JEHANNAM ANACHOMEKA KWA MADHAMBI MAKUBWA MAKUBWA ALIYO FANYA.
Soma hii habari kwa Kiingereza hapa: http://www.answering-islam.org/Shamoun/mary.htm
"The Messenger of God ... said, ‘God MARRIED ME IN PARADISE TO MARY THE DAUGHTER OF 'IMRAN and to the wife of Pharaoh and the sister of Moses.’ (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64)
According to the Quran, Mary's father is called Imran:
"Behold! a wife of Ìmrán said: ‘O my Lord! I do dedicate into Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things.’ When she was delivered, she said: ‘O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!’ - and Allah knew best what she brought forth - ‘And no wise is the male like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from Satan, the Rejected.’" S. 3:35-36

MUHAMMAD AWAAGIZA WAISLAM WOTE KUVAA VIATU WAKATI WANASWALI MSIKITINI



KUMBE KUVUA VIATU NI UTAMADUNI WA WAYAHUDI.
“Nabii wa Allah akatuambia: Msiwe kama Wayahudi wanao Swali bila ya Viatu au viatu vyao vya ngozi (khufoof).” (Abu Dawood, 652; classed as saheeh by al-Albaani in Saheeh Abi Dawood, 607).
Kumbe utamaduni wa kuvua viatu ni wa Wayahudi na sio WAISLAM WANAO KOPIA KILA KITU. Huu ni MSIBA MKUBWA SANA.
SASA TUMSOMEA NABII WA ALLAH:
SOMA UTHIBITISHO HAPA:
Anas ibn Maalik (may Allaah be pleased with him) aliuiza, Je, Mtume Muhammad (PBUH) aliomba huku akiwa amevaa Viatu? Alinijibu NDIO” (al-Bukhaari, 386; Muslim, 555).
Endelea uone kwanini Muhammad alivua viatu mara moja:
Ngoja niwaletee hadith ya Abu Saeed al Khudri alisema: Wakati nabii wa Allah alipo kuwa anaongoza swala kwa Maswahiba wake, alivua viatu vyake na akaviweka upande wa kushoto. Maswahiba wake walipo muona, nao wakavua viatu vyao. Nabii wa Allah alipo maliza kuongoza swala, akawauliza Maswahiba wake, kwanini walivua viatu vyao? Wakamjibu, sisi tumekuona wewe ukivua viatu vyako, na sisi tukafanya hivyo. Nabii wa Allah (amani iwe juu yake) akasema: Jibril (PBUH) alikuja na akaniambia kuwa kulikuwa na uchafu kwenye viatu vyangu. Lakini nyie mnapo kuja Msikitini, vichunguzeni Viatu vyenu na kama mkiona uchafu kwenye Viatu vyenu, basi, safisheni au toeni huo uchafu na muombe huku mkiwa mmevaa Viatu. (Abu Dawood, 650; classed as saheeh by al-Albaani in Saheeh Abi Dawood, 605).
Kumbe basi Muhammad alikuwa anavaa viatu alipo kuwa Msikitini isipokuwa mara moja tu alipo ambiwa na Jibril kuwa viatu vyake vina uchafu.
WAISLAM, KWANINI HAMFUATI MAAMRISHO YA MUHAMMAD YA KUVAA VIATU MSIKITINI NA MNAENDELEA KUFUATA UTAMADUNI WA WAYAHUDI WA KUTO VAA VIATU?
Natanguliza pole kwa Waislam.

ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU NDOA YA MUT’AH. HII NI NDOA YA MASAA, UNAOA MKE KWA MASAA KWA AJILI YA NGONO HALAFU UNAMPA TALAKA


Somo la leo ni la Umalaya kama lilivyo pewa kipaumbele na mungu wa Uislam ajulikanaye kwa jina la Allah. Uislam unaruhusu Umalaya kwa kutumia sheria ya Mut'ah.
Mut'ah ni ndoa AMBAYO inaweza kudumu kwa muda mfupi sana. Ndoa Hii haihitaji mashahidi, na haina kipindi cha 'iddah. Fidia ya kima cha chini ambayo inaweza kulipwa kwa mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya kingono ni dirham moja (yaani, chini ya dola senti 25) ". 29 (Dr Ahmad 'Abdullah Salamah, Mashia Dhana ya Ndoa Muda (Mut'ah)
Katika Mut'ah, HAKUNA TALAKA ; Pale utakapo mlipa huyo hawara kiasi cha fedha na utakapo maliza shida zako za kingono, unakuwa huru na hakuna wajibu, hakuna sheria ya urithi, au mchakato wa talaka. Sheria inayo bakia ni moja tu ambayo inambana mwanamke kwa siku 45 kabla ya kuingia kwenye ndoa nyingine ya Mut’ah, wakati huohuo Mwanaume yeye anaweza kuingia Ndoa nyingine ya Mutah mara moja, hata ikiwa bado ameoa katika Mut'a nyingine. Cha kushangaza, Waislam wanashabikia hii Ndoa ya kimalaya huku Allah akiwaambia kuwa, kabla ya kuingia Ndoa nyingine ya Mut’ah lazima watoe talaka, wao wamejipa haki ya kuendelea kutekeleza matakwa yao ya kingono. Katika Surah 2 aya 228 Allah anasema, Wanawake wangoje peke yao kwa vipindi vitatu kila mwezi na si halali kwao kuficha kile ambacho Allah aliviumba katika matumbo yao . Katika Mut'a, mwanamke anaweza kuwa mjamzito na mtoto wa mume wake wa kwanza wa Mut'a na kuolewa na mume wake wa pili wa Mut'a au kuingia ndoa ya kudumu.
Ndugu wasomaji, leo tumejifunza kuhusu umalaya ndani ya dini ya Kiislam. Uislam umeruhusu Ndoa hii ili kukidhi matakwa ya Wanaume wa Kiislam na kuendelea kuwashusha hadhi Wanawake wa kiislam ambao katika Uislam wao ni nusu ya Mtu.
Quran 4:11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya Wake 72 kwa Wanaume wa Kiislam na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam.
Quran 2:228. Na wanaume wana daraja zaidi kuliko wao. Na Allah ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima
Allah anaendelea kusema kuwa Mwanaume wa Kiislam ni wathamani zaidi ya Mwanamke wa Kiislam. Hapo ndipo tunaelewa kuwa, hata hii Sheria ya ndoa ya MUT’AH iliwekwa ili kuwakidhi Wanaume ambao wapo juu ya Wanawake.
Ndugu wasomaji.
Mungu wa Biblia anakataza umalaya wa aina yeyote ile.
Katika Injili kutokana na Mathayo Sura ya 5 aya ya 28 inasema kuwa: lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Neno la Mungu linatuonya kwamba, hata kumwangalia Mwanamke kwa matamanio ni kutenda dhambi, lakini katika Uislam, unayo ruhusa ya kumtamani Mwanamke na kuingia kwenye ndoa ya Mut’ah ili kukidhi shida zako za kimwili. Hii ni tofauti ya Yehovah wa Biblia na Allah wa Koran ambaye anaruhusu umalaya kupitia Mut’ah wakati Yehovah anasema kufanya hivyo ni kutenda dhambi.
Mungu atusaidia ili tuifahamu kweli iliyo katika Kristo Yesu.
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

YESU NI MUNGU


Kama kawaida Waislam wanazidi kushikiria na kupinga kuwa Yesu ni Mungu! na Kinacho nishangaza wakipewa maandiko kuhusu u Mungu wa Yesu, wanachofanya ni kubadilisha maada!
Utasikiaaa "Oooh!!! Paulo sio Mtume wa Mungu. Mara ooooh Yesu hakufa!! Ooooh Wakristo mnakula Mashonde"na wanakuletea hoja nyingi ili kupoteza mada husika na Wakristo wanapowajibu kwa kutumia maandiko na kutaka kuendelea na maada husika wanabaki kuchanganyikiwa na kukimbia maada!
HUKO NI KUJIDANGANYA WENYEWE NDUGU ZANGU WAISLAM!!!! SISI Wakristo kazi yetu kuelimisha!! Maana Bwana Yesu alituagiza KUHUBIRI INJILI
"*************"
Marko 16:15-16(Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. ).
LAKINI HOJA YAO KUU NI IPI???
Leo mwislam mmoja alikuja inbox kwangu na hii hoja tena kwa ujasili wote akasema haya leta Biblia yako unijibu hoja hii
AYUBU 36 aya 26
Tazama, Mungu ni Mkuu Nasi hatumjui. Hesabu yake haitafutiki
Haya sasa umeona hapo Juu! Hesabu ya Miaka ya Mungu hakuna aijuaye..tangu kuwepo kwake Yesu miaka yake inaesabika!! Itakuwaje Yesu awe Mungu?
Ebu soma hii
Luka 3:23
Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusuph, wa Eli!
Haya kwa mujibu wa maandiko niliyokupa hapo juu niambie JE YESU ANASIFA YA MUNGU?
Mwislam akacheka kwa kebehi
hahaahaahaaaha ni jibu bhana! Usinikimbie.
Ukiangalia hoja kama ya huyo hapo ndugu!amejitahidi kuisema kwa ujasiri wote lakini amesahau kwamba nasisi tunaijua Biblia vizuri sana na inamajibu yote.
Kwa kuangalia hoja ya huyo ndugu hapo juu, na mjibu kama ifuatavyo:
Kamata Biblia yako twende sawa hapa!
Imeandikwa:
Wafilipi 2:5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; 6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; 7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; 8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Ukiangalia maandiko hapo juu, unaona Yesu alikuwa namna ya Mungu lakini kwa upendo wake mkuu aliamua kuja ulimwengu kutuokoa (Yohana3 aya 16)
Alijifanya kuwa hana utukufu akatwaa namna ya mtumwa akawa anamfano wa Mwanadamu.
Imeandikwa kwamba: Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, na binadamu hata umwangalie? Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; umemvika taji ya utukufu na heshima; umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; umevitia vitu vyote chini ya miguu yake. (Zaburi 8:4-6).
Mtunga Zaburi anasema mtu ni kitu gani paka umuangalie.
Hapo kuwa Yesu alitupenda paka akatoka kwenye kiti chake cha enzi ili aje kutuokoa toka dhambini.
Imeandikwa: Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (Yohana 3:16).
JE WEWE USIYEMWAMINI YESU una uzima wa milele? (tafakari) Ukisoma Yohana 8:56 Yesu anawaambia Wayahudi. Ibrahim, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu: naye akaiona akafurahi 57 Basi Wayahudi wakamwambia, wewe hujapata bado miaka Hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58 Yesu akawaambia amin, Amin, nawaambia YEYE IBRAHIM ASIJAKUAKO,MIMI NIKO.
Yesu ni Mungu alikuwepo kabla ya kuumbwa kwa dunia. YEYE NI ALFA NA OMEGA.
Imeandikwa
Hapo mwanzo kulikuwako Neno naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu (Yohana1:1)
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu: nasi tukauona utukufu wake.utukufu kama wa mwana atokaye kwa Baba: Amejaa neema na kweli. (Yohana1:14)
Nadhani hadi hapo Waislam wanaanza kuelewa somo!!
Ilibidi Yesu Mungu Mkuu kufanyika mwili ili kufidia dhambi zetu mimi na wewe! (Warumi5:8)
Imeandikwa
Yeye asiyejua dhambi alimfanya dhambi kwa ajili yetu ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika yeye.
Kuna baadhi ya Waislam wanasema "kwahiyo nyinyi Wakristo mna Mungu watatu"
Jibu ni kwamba! Mungu wetu ni mmoja tu!
Mungu Baba
Mungu Mwana
Mungu Roho Mtakatifu
=Mungu mmoja!!
Ila amegawanyika katika Utatu. (Kumb 6;4)
Maana ya Nafsi Tatu angalia mwenyewe
Mwanzo1:1, 1:26, 3:22
Isaya 6:8
Mathayo 3:16-17
Soma Yohana 10:30
Imeandikwa
1Timotheo2:5
Kwasababu Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja mwanadamu kristo Yesu 6 ambaye alijitoa mwenyewe kwa ukombozi kwa ajili ya wote, utakaoshuhudiwa kwa majira yake.
Ukiangalia kwenye andiko hilo unaona kazi ya kila nafsi!
Mungu Baba katika uumbaji
Mungu Mwana katika ukombozi
Mungu Roho Mtakatifu katika ualimu!
Majukumu
Baba-Mwana-Roho Mtakatifu!!
Wakorintho 8:6
Lakini kwetu sisi Mungu ni Mmoja tu aliye Baba ambaye vitu vyote vimetoka kwake: Yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo ambaye kwake vitu vyote vimekuwako na sisi kwa yeye huyo!
Ukiangalia andiko hilo utagundua Yesu ana sifa zote za ki Mungu!
-Yeye ni muumbaji
-Mkombozi
1Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu.
MUNGU ALIDHIHIRISHWA KATIKA MWILI, Akajulika kuwa na haki katika roho, akaonekana na Malaika, akahubiriwa katika mataifa,
Akaaminiwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu.
Ni Mungu gani aliyedhihirishwa katika mwili? Jibu liko wazi. Ni Yesu Kristo peke yake.
Tito 2:13
….tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa KRISTO YESU, MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU
Yesu Kristo ni Mungu Mkuu!!
Shida KUU ya Waislamu ni hii:
Wanampima Mungu kwa vigezo vya kibinadamu. Mungu anasema: Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? (Yeremia 32:27)
Jibu liko wazo. HAKUNA!
Lakini utakuta Waislamu wanauliza maswali ya ajabu sana. Eti, kama Yesu ni Mungu, wakati amekufa, nani alikuwa anaangalia dunia?
Hili ni swali linalofaa kuulizwa juu ya kiumbe. Kama tungesema kuwa mwanadamu fulani alikuwa amekufa, ndipo kuna mantiki kuuliza kwamba, wakati amekufa nani alikuwa anatunza familia yake? Maana hili ni swali linalohusu tabia za kibinadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuwa mahali kuwili au zaidi kwa pamoja. MUNGU SI MWANADAMU! ANAWEZA YOTE – NA HASA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO!
YESU NI MUNGU MILELE NA MILELE!!
HALELUYA!!
HITIMISHO
Yohana 8:31 Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini. NINYI MKIKAA KATIKA NENO LANGU Mmekuwa wanafunzi wangu kwelikweli 32 tena mtaifahamu kweli nayo hiyo ITAWAWEKA HURU.
Ndugu zangu Waislam njooni kwa Yesu mpate kujua kweli na hiyo kweli itawaweka huru!
-itawaweka huru na dhambi
-itawaweka huru na vifungo vya Shetani
Ndugu yangu kwanini un'gan'gani kubaki kwenye vifungo vya Shetani wakati Yesu anakuita kwa sauti ya upole!!
Mimi ndimi njia ya kweli na uzima HAKUNA AJAYE KWA BABA ILA KUPITIA MIMI (Yohana 14:6)
Sasa basi unategemea kwenda mbingu ipi kama unamkataa Yesu?
Tafakari
Hoji mambo
Chukua hatua
IJUE KWELI NAYO ITAKUWEKA HURU!!

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW