Wednesday, August 10, 2016

KWANINI ALLAH HAWEZI KUWA NA MWANA BILA YA MKE?

Ndugu msomaji,
Leo nitawaeleza kwa kutumia aya kwanini Allah wa Waislam hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kufanya tendo la ndoa, nikimaanisha kuwa na mke.
Hebu kwanza tuanze kusoma aya yake kutoka Surat AL An A'am iliyo teremk Makka:
Surat Al An A'am ayat 101. Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
Allah anaye dai kuumba kila kitu na kudai kuwa ni mjuzi wa kila kitu anatutaarifu katika Surat Al An A'am kuwa hawezi kuwa na mwana bila ya kufanya tendo la ndao kwa Mkewe Allat. Huu ni msiba mkubwa sana, maana iweje Mungu mwenye uwezo wa kufanya atakalo sasa anashindwa kuwa na mwana mpaka afanye tendo la ndoa?
Kama kweli Allah aliumba kila kitu, mbona Miti inaweza kuongezeka bila ya tendo la ndoa? http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK9980/
Mbona Seli zako zinazaana au ongezeka bila ya kuwa na Seli Jike na Seli Dume. Wote tunafahamu hii "Mitosis" na stages zake Nne ambazo ni "Prophase" "Metaphase" "Anaphase" na "Telophase". Sasa Allah yeye anadai ndie aliye umba Seli za zetu tena zinazaliana bila ya kuwa an Seli Dume na Seli Jike, lakini cha kushangaza, Allah yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke, je, tunawezaje muamini huyu Allah mwenye udhaifu namna hii? https://ghr.nlm.nih.gov/primer/howgeneswork/cellsdivide
Sasa, tumsome Maryamu, je aliweza kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mume?
Maajabu ya dunia, Maryamu anauwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mume, lakini Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mke. Hakika haya ni maajabu makubwa sana, ingawa Allah atadai eti alimpa yeye huo uwezo.
Kama ni kweli, je , kwanini Allah alishindwa kujipa huo uwezo yeye mwenyewe na aweze kuwa na Mwana bila ya tendo la ndoa?

JE ALLAH WA WAISLAMU NA MUNGU WA WAKRISTO (YEHOVA) NI MMOJA? (SEHEMU YA KWANZA)


UTANGULIZI.
Imekuwa ni kawaida sasa kwa miaka zaidi ya ishirini hivi, kusikia katika mihadhara inayoendeshwa na wahadhiri wa dini ya Uislamu, ambayo imeenea sehemu mbalimbali Duniani na haswa katika nchi za Africa Mashariki na Kati,(East and Central Africa). Wahadhiri hao hufundisha jamii kupitia Qurani na Biblia kwa kusema kuwa Mungu ni Mmoja tu. Wasema Mungu kwa Kiebrania anaitwa Yehova , kwa Kiarabu Allah, kwa Kiingereza God na kwa Kiswahili ni Mungu. Kwa hivyo wasema Mungu Allah kama Qurani inavyofundisha, ndiye Yehova kama Biblia inavyofundisha. Mihadhara hiyo inayoendeshwa na Waislamu imeenea sana, mfano Nchini Tanzania kuna vikundi vingi na kimoja wapo kinaitwa Al-Marid International Propagation Center. Hawa wameandika katika bango lao kwa kunukuu katika Biblia maneno aliyoandika Mtume Paulo katika Waefeso 4:4-6. Maneno waliyoyanukuu yanasema hivi “Bwana mmoja , Imani moja ….., Mungu mmoja , naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote. Nilipotembelea mkoa wa Morogoro pale mjini, eneo la kiwanja cha ndege nikaona Msikiti mmoja umeandikwa maneno haya ya Waefeso 4:4-6. Na nilipotembelea mji wa Nairobi Nchini Kenya pia nikaona kuna vikundi vingi vinavyoendesha mihadhara na kikundi kimoja wapo kinaitwa Kibera Islamic Propagation Centre. Hawa nao katika bango lao wameandika ujumbe unaosema hivi “Acha Biblia Ijisemee na kunukuu injili aya hii” Yohana 8:32 Tena mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Mungu Allah kama inavyotuhadithia Qurani ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli……
SEHEMU KUU ZA SOMO HILI NI HIZI……
1. Hoja za waislamu kusema Allah ndiye Yehova.
2. Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?
3. Je, Malaika mkuu wa Allah ndiye wa Yehova?
4. Je, ni nani muumba,Allah au Yehova?
5. Mji aliochagua Allah je, ni sawa na wa Yehova?
6. Allah anavyofundisha kuhusu kujitakasa nafsi je, ni sawa na Yehova?
7. Je, mbingu ya Yehova ni sawa na ya Allah?
8. Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?
:::::::::::::::::::::::SEHEMU YA KWANZA :::::::::::::::::::
1. HOJA ZA WAISLAM KUSEMA ALLAH NDIYE YEHOVA
Wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Mungu Allah ndiye Yehova kwa sababu Manabii wa Mungu kadiri ya Biblia na Qurani walifundisha kwa kusema Mungu ni mmoja tu. Na wanasoma aya hizi…
Nabii Musa alivyosema
Kumbukumbu la Torati 6:4
Sikiza ee Israeli; BWANA Mungu wetu BWANA ndiye mmoja.
Nabii Isaya alisema hivi
Isaya 45:18,21
Maana BWANA , aliyeumba mbingu, asema hivi, yeye ni Mungu ,ndiye aliyeumba Dunia na kuifanya ….. si mimi BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi. Mungu mwenye haki , mwokozi hapana mwingine zaidi ya mimi.
Nabii Daudi Alisema
Zaburi 86:10
Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza , ndiwe Mungu peke yako.
Yesu alisema hivi
Yohana 17:3
na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliye mtuma
Paulo naye Alisema hivi
1 Wakorintho 8:4
Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na yakuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.
Hapa wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Manabii wote kadiri ya Biblia wanafundisha kuwa Mungu ni mmoja tu. Je, Muhammad (s.a.w.) alifundisha nini kuhusu Mungu? Wanasoma aya hizi za Qurani……..
Qurani 41:6 Suratul Haa Mym Sajdah (Kusujudu)
Sema; bila shaka mimi ni mtu kama nyinyi. Nimeletewa Wahyi (inafunuliwa kwangu)ya kwamba Mungu wenu ni Mungu mmoja tu……
Hapa wahadhiri wanasema kama vile manabii wote walifundisha Mungu mmoja ndivyo ilivyo fundisha Muhammad.
Qurani 29:46-47 Suratul Al- Ankabuut (Buibui).
Wala mshibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri, isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao. Na semeni :tunaamini yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwenu. Na mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja : nasi ni wenye kunyenyekea kwake. Na namna hivi tumekuteremshia kitabu (hiki cha Qurani) basi wale tuliowapa kitabu (kabla ya hiki kama taurati na injili) wanakiamini (hiki kitabu ulichoteremshiwa kwani hakipingani na hivyo walivyoteremshiwa). Na miongoni mwa hawa (Waarabu wasiokuwa na Kitabu chochote)wako wanaokiamini. Na hawazikatai aya zetu isipokuwa wale wanaotaka kuficha haki.
Hapa wahadhiri wa kiislamu wakisha soma aya hizi husema vitabu vya Torati na Injili havipingani na Qurani, na vitabu hivyo walipewa Wayahudi na Manasara(yaani Wakristo) na Mungu wa Waislamu na Wakristo ni mmoja tu.
Je, hoja hii ni kweli? Nitaijibu huko mbele.
Majibu kuhusu Mungu mmoja
Ukitazama kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyolinganisha aya za Qurani na Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri ya Qurani na Biblia na kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema Allah Sub-hana Wataala ndiye Yehova.tukumbuke kuwa Mungu tunayeabudu alitutahadhalisha sana Wakristo kwa kusema hivi…
Kutoka 20:1-3
Mungu akanena maneno haya yote akasema Mimi ni BWANA Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa usiwe na Miungu mingine ila mimi.
Tahadhari hii Ya Mungu wetu ya kusema usiwe na Miungu inamaanisha kuwa Miungu mingine yenye kuabundiwa na watu ipo. Kwa sababu katika Biblia neno Mungu Kiebrania“Elohim” Kiyunani "Theos" limetanjwa mara 3979 lakini pia miungu ya uongo imetanjwa mara 271. baadhi ya miungu hiyo ya uongo ni hii
mungu Dargoni Waamuzi16:23
mungu Baal Wafalme 18:21
mungu mke wa Waefeso aitwae Artemi Matendo 19:24-28.
Aidha tusomapo Qurani pia imetaja miungu mbalimbali iliyokuwa inaabundiwa kule Makka nayo ni hii;
Qurani 53:19-20,23 Suratul An- Najm (Nyota).
19. Je, mumewaona Lata na Uzza? 20. Na Manata (mungu wenu) mwingine wa tatu (kuwa ndio waungu hao badala ya mwenyenzi mungu)? 23. hayakuwa haya (majina ya Lata mungu mwanamke na Uzza mungu mwanamke mwenye enzi. Na Manata mungu mwanamke anayeneemesha ila ni majina tu mliowapa nyinyi na baba zenu…..
Hivyo basi tunaona kuwa miungu yenyewe kuabudiwa ni mingi na kila mwenye kuabudu humtegemea huyo mungu wake na kusema ni mmoja. Mfano waliyemuabudu Dagoni walisema ni mungu mmoja, waliyemwabudu Baali walisema ni mungu mmoja , waliyemwabudu Artemi walisema Artemi ndiye mungu mkuu.
Kadharika Manabii.
walimtumikia Mungu mmoja aitwaye Yehova, naye Muhammad alimwabudu "mungu" mmoja aitwaye Allah. Ninachotaka kukifundisha kwa jamii ijue je, huyo Allah ndiye Yehova?,
USIKOSE SEHEMU YA PILI YA SOMO "Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?"
BARIKIWA SANA

KUMBE ALLAH ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE


Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamuhttp://www.quranitukufu.net/033.html
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe.
Sasa tujiulize swali, hivi huyu Allah na Malaika wanaswali kwa Mungu yupi?
Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
Katika Surat Al-Ahzaab 33: aya ya 42. Na mtakaseni asubuhi na jioni.http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Kumbe ndio maana Allah na yeye kabla ya Kumswalia Muhammad lazima atawadhe kama viumbe.
KATIKA BIBLIA, HESABU 8 17-18 tunasoma kuwa Mungu ndie anaye watakasa watu kinyume na Allah wa Quran anaye omba kutakaswa na watu wenye dhambi. Ndugu msomaji, huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA DINI YA MUHAMMAD YENYE ALLAH ANAYE OMBA ATAKASWE NA WATENDA DHAMBI.
Je, WAISLAM, mnaweza tuambia njia ambayo mnatumia kumtakasa Allah?
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
4. Allah na malaika wake wanaomba kwa Mungu yupi?
MaSwali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa Allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
KUMBUKA MATUSI NI DHAMBI.

Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo 

Friday, August 5, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA QURAN IMECHAKACHULIWA


ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA QURAN IMECHAKACHULIWA NA IMEJAA SHAKA. KUMBE NDIO MAANA QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM
NDIO MAANA NASEMA KUWA HII QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM SIO KITABU CHA MWENYEZI MUNGU
Ndugu msomaji,
Bila ya kupoteza muda taunaanza na aya kutoka Quran inayosema kuwa, Allah alikuwa anafuta aya zake mwenyewee. Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Hii tabia ya kufuta futa aya na kubadilisha balisha aya ndio inaitwa UKAFIRI. Neno kafiri linamaanisha kubadilisha ukweli, au ficha ukweli au sema uongo, au msingizia Mwenyezi Mungu uongo, au kupinga maelekezo ya Mwenyezi Mungu yalio kuja kabla ya Quran na kabla ya kuzaliwa Muhammad.
SASA TUISOME HII TABIA YA KIKAFIRI KWA ALLAH WA WAISLAM.
Quran 2:106
Aya yoyote TUNAYOIFUTA AU KUISAHAULIZA tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au iliyo mfano wake. Hujui kuwa Mwenyezi Mungu anao uwezo juu ya kila kitu?
Kwanini Allah alikuwa anafuta aya zake? Je, tutawezaje iamini Quran iliyi futwa futwa? Ndio maana nasema hii Quran iliyo chakachuliwa ndio inayo wakafirisha Waislam.
Mwandishi maarufu wa Kiislamu-Caliph Uthman aliandika Quran na kuchoma aya ambazo hakupendezwa nazo! (Sahih Bukhari 6:61:510)
Hakuchoma tu aya za Quran bali Sura nzima ya kuran ilipotea na kusahaulika. (Sahih Muslim 5:2286)
Vile vile, aya zingine zilifutwa kwa maksudi. (Bukhari 6:61:527).
Mohammad aliwaagiza waislamu kujifunza uislamu kutoka kwa Quran ya Ubai na wala sio ambayo Zayd Ibn Thabit aliandika (ambayo ni ya kisasa) tazama (Bukhari 6:61:521).
Ibn Sad (Kitab al-Tabaqat al-Kabir vol.2 p.444 ) inasema kuwa maandiko ya Quran ya Zayd Ibn Thabit ni tofauti na ya Muhammad. Kwa hivyo waumini wamepotoshwa kwa kukariri Quran hiyo ya kisasa na hii Quran ndio inayo WAKAFIRISHA WAISLAM.
Jami At-Tirmidhi 3104 vile vile anasema Quran iliyopo sasa ni feki-ya Zayd Ibn Thabit.
Katika kufanya marekebisho mengi kwenye kuran watu walikuja na nakala tofautitofauti za Quran (Jami at-Tirmidhi 3104) hivyo kulikuwa na mtafaruku miongoni mwa wafuasi wa mohammad kwa sababu zilikuwa tofauti.
Kuran ya Ibn Masood ilikuwa na sura 111, ya Ubay ilikuwa na sura 116 na Quran ya Zayd (ambayo ndio inatumika sasa hivi) ina sura 114. Tazama (Ibn Daud , Kitab al-Masahif).
Hata zile zilizotajwa kuwa feki hazikuhifadhiwa kwa sababu mbuzi alikula sehemu ya aya zake (Sunan Ibn Majah 1934/1944).
Hivyo hamna aliyeandika Quran hadi baadhi ya waliokuwa wanakariri mafunzo ya Mohammad kufa na kulikuwa na hofu kuwa aya zilizosalia zingepotea kabisa (Bukhari z6:61:509).
Hivi ndivyo Zayd Ibn Thabit alipata kuandika Quran ambayo tunayo leo hii kutoka kwa shuhuda za wakariri waliobaki (kurasa chache tu kutokana na miaka 23 ya ufunuo).
MASWALI NYETI YAIBUKA HAPA;
1. Kwanini Allah alikuwa anafuta aya za Quran?
2. Kwanini Caliph Uthman alichoma aya za Quran?
3. Kwanini waislamu wanaficha ukweli kuhusu dini yao?
TAFAKARI HAYO NA UCHUKUWE HATUA!
IKATAE QURAN AMBAYO INAKUFANYA UWE KAFIRI.
Max Shimba Ministries Org

HISTORIA FUPI YA BIBLIA NA UTHIBITISHO KUWA HAIJACHEZEWA WALA CHAKACHULIWA

Ndugu msomaji,
Katika nakala hii kuhusu Biblia, nitaanza kwa kujiuliza maswali:
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imechakachuliwa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imejaa shaka au imeharibika au ilibadilika au imechezewa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo, imetiwa mkono wa mtu?
Hayo ni maswali muhimu sana, maana waumini wa dini zingine ambazo hawatumii Biblia kama kitabu chao kikuu, huwa wanadai kuwa, eti Biblia imechakachuliwa na sio maneno ya Mungu.
Ikumbukwe kuwa vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kutokea takribani 1400 BC (Kabla Yesu azaliwe) hadi 400 BC. Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa kutoka wastani wa AD 40 hadi AD 90. Hivyo, popote kati ya 3400-1900 miaka imepita tangu kitabu cha Biblia kilipoandikwa. Pia wakati huu, vitabu vya Biblia vilikuwa vimenakiliwa tena na tena. Nakala ya nakala ya nakala zimechapishwa. Kwa mtazamo huu, tunaweza bado kuiamini Biblia kuwa bado ni thabiti na imekamilika.
Awali, Mungu aliwaongoza watu kuliandika neno lake, ilikuwa ni pumzi ya Mungu na isiyo na makosa (2 Timotheo 3:16-17; Yohana 17:17). Hakuna mahali Biblia inatumika nakala hizi za kitabu cha kwanza. Kwa kina kama walimu wa Sheria waliokuwa pamoja wametoa nakala zingine za maandiko, hakuna mtu mkamilifu. Kwa matokeo, tofauti ndogo ndogo za kiuchapishaji "typo" katika nakala mbalimbali za maandiko, hili ni jambo la kawaida katika uchapishaji wa kitabu chechote kile. Yote ya maelfu ya Kigiriki na Kiebrania ambazo ziko hii leo kama ilivyo gunduliwa mwaka 1500 AD.
Hata hivyo, msomi asiye na ubaguzi wowote atakubaliana nami kwamba Biblia imehifadhiwa vizuri sana katika karne zilizopita. Nakala ya Biblia ya karne ya 14 AD ii karibu sana kwa maudhui ya nakala kutoka karne ya 3 AD. Wakati nakala za bahari ya Shamu ziligunduliwa, wasomi walishangaa kwa kuona jinsi zimekaribiana na nakala nyingine ya kale ya Agano la Kale, hata kama nakala za Bahari ya Shamu zilikua za miaka Zaidi ya kitu chochote awali kugunduliwa. Hata wengi wa wakosoaji wa Biblia hukubali kwamba Biblia imevukishwa zaidi ya karne mbali kwa usahihi zaidi kuliko hati nyingine yoyote ya kale.
Hakuna kabisa ushahidi kwamba Biblia imeandikwa upya, kudurusiwa, au kuchezewa kwa namna yoyote ya utaratibu. Kiasi kikubwa cha kupita Biblia inafanya kuwa rahisi kutambua majaribio yoyote ya kupotosha neno la Mungu. Hakuna mafundisho makuu ya Biblia ambayo yametiwa shaka kama matokeo ya tofauti ndogo ndogo ambazo zipo kati ya nakala za asili.
Tena, swali ni, tunaweza kuiamini Biblia? Kamwe! Mungu amehifadhi neno lake licha ya mapungufu yasiyo kusudiwa na mashambulizi ya kukusudia ya binadamu. Tunaweza kuwa na uhakika mkubwa kwamba Biblia tunayo hii leo ni Biblia hiyo hiyo iliandikwa. Biblia ni neno la Mungu, na tunaweza kuwa na imani nayo (2 Timotheo 3:16, Mathayo 5:18).
Hii basi ndio histori fupi kuhusu Biblia na uthibitisho wa Kihistoria kuwa Biblia imekamilika na ni NENO la Mungu.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 16, 2016

BIBLIA NDIO KITABU BORA NA KINACHO SOMWA SANA KULIKO VYOTE DUNIANI


Mtafiti aliyebobea James Chapman ameweka kumi bora ya vitabu vinavyo somwa sana duniani. Kwa taarifa yako, Biblia ndio kitabu kinacho ongoza kusomwa kuliko vitabu vyote hapa duniani. Quran HAIPO hata kwenye 20 bora. http://www.relevantmagazine.com/…/bible-tops-list-most-read…
Kwa upande mwingine, Biblia ndio kitabu kinacho somwa sana kuliko vyote duniani tokea dunia iumbwe. http://books.usatoday.com/…/the-bible-is-the-world…/690422/1
Huku Quran ikishika namba moja kwa kitabu chenye sifa na mafundisha mabaya kuliko vyote hapa duniani.http://www.danielpipes.org/comments/195861
Zaidi ya hapo, Biblia ndio kitabu kilicho chapishwa sana katika kipindi cha miaka 50 iliyo pita. Nakala zaidi ya BILIONI SITA zimesha chapishwa mpaka sasa.
Biblia inaongoza kwa kuwa na nakala zaidi ya Bilioni 4 zilizo chapishwa katika kipindi cha miaka 50.
Ikifuatiwa na kitabu cha "Works of Mao Tse-tung" chenye nakala Milioni 820. Kitabu cha Harry Potter nakala millioni 400, The lord of the Rings trilogy nakala milioni 103 na kitabu cha Paulo Coelho's the Alchemist chenye nakala millioni 65.
http://cdn1.relevantmediagroup.com/…/Screen%20Shot%202013-1

BIBLIA NDIO KITABU BORA NA KINACHO SOMWA SANA KULIKO VYOTE DUNIANI


Mtafiti aliyebobea James Chapman ameweka kumi bora ya vitabu vinavyo somwa sana duniani. Kwa taarifa yako, Biblia ndio kitabu kinacho ongoza kusomwa kuliko vitabu vyote hapa duniani. Quran HAIPO hata kwenye 20 bora. http://www.relevantmagazine.com/…/bible-tops-list-most-read…
Kwa upande mwingine, Biblia ndio kitabu kinacho somwa sana kuliko vyote duniani tokea dunia iumbwe. http://books.usatoday.com/…/the-bible-is-the-world…/690422/1
Huku Quran ikishika namba moja kwa kitabu chenye sifa na mafundisha mabaya kuliko vyote hapa duniani.http://www.danielpipes.org/comments/195861
Zaidi ya hapo, Biblia ndio kitabu kilicho chapishwa sana katika kipindi cha miaka 50 iliyo pita. Nakala zaidi ya BILIONI SITA zimesha chapishwa mpaka sasa.
Biblia inaongoza kwa kuwa na nakala zaidi ya Bilioni 4 zilizo chapishwa katika kipindi cha miaka 50.
Ikifuatiwa na kitabu cha "Works of Mao Tse-tung" chenye nakala Milioni 820. Kitabu cha Harry Potter nakala millioni 400, The lord of the Rings trilogy nakala milioni 103 na kitabu cha Paulo Coelho's the Alchemist chenye nakala millioni 65.
http://cdn1.relevantmediagroup.com/…/Screen%20Shot%202013-1

KWANINI MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN?


Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Hivi kwanini mnamfuata huyu Muhammad aliye vuka mipaka na sasa kufanya tabia kinyume na maumbile ya binadamu? Hii tabia ya kunyonya ndini ya mtu wa jinsia yako ndio utume huu au hii nayo ndio miujiza ya Nabii wa Allah?
Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake zinaenda kinyume na maadili ya binadamu?
Hakina huyu Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu na aliye mruhusu kuvunja maadili
.Biblia inasisitiza kila mara kwamba ushoga ni dhambi (mwanzo 19:1-13; mambo ya walawi 18: 22; warumi 1:26-27; wakorintho wa kwanza 6:9). Warumi 1:26-27 inatufundisha ya kwamba ushoga ni njia mojawapo ya kumkana na kutomtii Mungu. Mtu anapodumu katika dhambi na kutokuamini biblia inatuambia ya kwamba “Mungu huwaachilia” kutenda maovu zaidi ili wapate kujua ubatili wa maisha bila Uwepo wa Mungu. Wakorintho wa kwanza 6:9 inasema kuwa mashoga hawataurithi ufalme wa Mungu.
Mungu haumbi mwanadamu mwenye tamaa ya ushoga. Biblia inatuambia mtu huwa shoga kwa sababu ya dhambi. (warumi 1:24-27), na pia kwa sababu ya uamuzi wake mwenyewe. Mtu anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya ushoga kama vile watu pia huzaliwa na msukumo juu ya fujo na dhambi nyinginezo. Hili halihalalishi dhambi yoyote inayofanywa na wanadamu. Je, mtu akizaliwa na msukumo wa hasira mbaya, ni halali aendeleze hasira zake mbaya? La, hasha. Hata kwa ushoga pia si halali.
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu,pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike; Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi, wala WATUKANAJI.
ISIPOKUWA KWA WALE AMBAO SAA ZOTE WAMEJAMBIWA MIDOMONI,WENGINE TUWE WASTAARABU!
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

JINA LA YESU LINAMAMLAKA YA KURUDISHA MALI ZAKO ZOTE


Ndugu Msomaji: Leo ningependa tujikumbushe jambo Fulani kuhusu maisha yetu ya kila siku.
Hebu kwanza tusome neno la Mungu kama lilivyo andikwa katika Isaya:
Isaya 42:22‘Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha.’
Inawezekana kabisa labda huelewi kuwa, shida zako zote zimesemwa katika hii aya hapo juu. Labda hufahamu kuwa wewe ni tajiri na Shetani amekuwa akikuibia mali zako. Labda hufahamu kuwa wewe ni Msomi na ulitakiwa uwe na Madigirii kadhaa. Labda hufahamu kuwa wewe ni Kiongozi Fulani ambae ameibiwa uongozi wake, “nyota yako”.
Leo ningependa ufahamu kuwa Shetani ni Mwizi na anaweza kukuibia wewe unae soma huu ujumbe. Ningependa ujiulize, hivi, Je, huyu Shetani alikuibiaje wakati wewe ni mtoto wa Mungu na umeokoka?
Katika Injili kutokana na Yohana 10:10 inasema kuwa: Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
Mpendwa katika Bwana. Ningependa ufahamu kuwa, hiyo ndio kazi kuu ya Shetani katika Maisha ya Mkristo. Shetani amekuja kukuibia mali zako, labda amekuja kukuibia amani yako ya wewe na familia yako. Labda amekuja kukuharibia watoto wako. Ndugu msomaji, jibu tunalo na tumekuwa nalo kila siku, lakini tumeshindwa kulitumia. Isaya anasema kwenye aya hiyo hiyo kuwa “wala hapana asemaye, rudisha”
Je, wewe umesha wai mwambia Shetani arudishe mali zako? Labda kwasababu hukuwai ziona na aliziiba kabla ya wewe kuzishika, haimaanishi kuwa wewe sio tajiri. Baba yetu aliye Mbinguni ni Tajiri Mkuu, hivyo elewa kuwa, wewe kama motto wake ni Tajiri vile vile. Hebu jisifie kidogo kuwa, wewe ni motto wa tajiri. Sema hivyo na anza kukiri kuwa wewe ni tajiri na sio maskini.
Biblia inasema katika Isaya 42:18 kuwa, tutoke kwenye upofu, tumebaki kuridhika na hali mbaya tuliyonayo tukiona amani tu! Kumbe tuko vipofu! Hatuoni uhalisia.
Leo ningependa ufungue macho yako ya Kiroho na uelewe kuwa, Mungu anakupenda na anataka utoke kwenye upofu. Mungu anataka usiridhike na kidogo ulicho nacho. Mungu anataka usikubali kuwa hali mbaya ni ya kwako. Leo nakuomba ufumbue macho yako na umwambie Shetani rudisha mali zangu zote ulizo ziiba katika jina la Yesu. Mwambie Shetani akurudishie fedha zako zote alizo ziiba ukiwa na ufahamu na au bila ya ufahamu. Mpendwa katika Bwana. Mungu wetu ni Upendo na anatupenda ndio maana alimtoa Mwana wake wa pekee ali aje na afe kwa ajili ya matatizo yetu yote. Matatizo ya Kifedha, matatizo ya magonjwa. Matatizo ya kifamilia. Kikazi, kishule. Kila aina ya matatizo Yesu aliyamaliza pale Msalabani. Ndio maana Yesu alisema kabla ya kukata roho kuwa “IMEKWISHA”.
Sasa anza kumwabia Shetani kuwa ameshindwa kwa Jina la Yesu. Mwambie kuwa leo unafahamu kuwa wewe ni mtoto wa Mungu na umebarikiwa na Mungu aliye juu. Mwabie Shetani kuwa kuanzia leo, hana mamlaka na mali zako zote. Mwambie kuwa kuanzia leo, hana mamlaka na familia yako katika Jina la Yesu. Mwambie kuwa Ushindi ni wako katika Jina la Yesu. Mkumbushe Shetani kuwa aliye ndani yako ni Mkuu kuliko yeye aliye nje. Mwambie kuwa Damu ya Yesu imekuzingira na mteketeza na msambaratishe kwa kutumia Damu ya Yesu. Vunja uovu wake wote alio ufanya katika maisha yao. Vunja uchawi wote alio ufanya katika maisha yako kwa kutumia Damu ya Mwana Kondoo katika Jina la Yesu. Vunja hila zote alizo zifanya kwako kwa kutumia Damu ya Yesu. Vunja kila aina ya uovu, wizi, uchawi, uongo alio ufanya kwako kwa kutumia Damu ya Yesu.
Mambo yanaweza kufichwa machoni pako usiyaone, na inakuwa hasara kubwa sana lakini kama ungeona, ungetengeneza. Tunatakiwa tutambue majira ya kujiliwa kwetu. Haya ndio yale majira Yesu anataka kurudisha heshima ya jina lake, majira ambayo Yesu anataka kufanya falme za dunia ziwe zake.
Isaya anasema unaona mambo mengi lakini huyatii moyoni, kwanini inakuwa hivyo ndo linapokuja swala la Isaya 42:22 kwamba huyu mtu anakuwa ameibiwa moyo, macho ndo mana anaona lakini hatii moyoni nk.
Akina Daudi walivyorudi na kukuta mji wao umechomwa moto na kila kitu kimeibiwa hadi wakeze. Wanaume wakaanza kulia hadi wakaishiwa nguvu lakini haikuwa suluhisho! Daudi akaona hili jambo suluhisho si kulia bali ni kuingia mbele za BWANA, kutafuta suluhisho, hata wewe ndugu yangu haijalishi una tatizo kiasi gani, wazazi , ndugu , marafiki , bunge na vyote hapa duniani haviwezi kukusaidia, muige Daudi kwa kumwangalia Yesu maana yeye ndiye mwenye funguo za mauti na kuzimu. Daudi akaruhusiwa na BWANA aende na atarudisha vyote ndipo Daudi alipowaongoza wenzie na kwenda na hakika walirudisha vyote.
1Sam 30:1 ‘Basi Daudi na watu wake walipoufikilia mji, tazama, ulikuwa umechomwa moto; na wake zao, na watoto wao, waume kwa wake, wamechukuliwa mateka. ………………. Basi Daudi na watu wake walipoufikilia mji, tazama, ulikuwa umechomwa moto; na wake zao, na watoto wao, waume kwa wake, wamechukuliwa mateka……… Daudi akauliza kwa Bwana, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonya wote. Basi Daudi akaenda, yeye na wale watu mia sita waliokuwa pamoja naye……. Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jioni hata jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokoka, ila vijana mia nne waliopanda ngamia na kukimbia.
18 Daudi akawapokonya wote waliokuwa wamechukuliwa na Waamaleki; naye Daudi akawaokoa wakeze wawili.
19 Wala hawakupotewa na kitu, mdogo wala mkubwa, wana wala binti, nyara wala cho chote walichojitwalia hao; Daudi akavirudisha vyote. ….’
Leo tunaenda kulifuatilia jeshi la shetani na kurudisha vyote, kwa msaada wa BWANA itawezekana.2 Samw 22:30 ‘Maana kwa msaada wako nafuatia jeshi; Kwa msaada wa Mungu wangu naruka ukuta.
31 Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya Bwana imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia..’.
Yoh 5:28 ‘..msistaajabie maneno haya kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake.
29 Nao watatoka; ..’
yaani haijalishi shetani aliwapataje pataje, iwe kiuhalali au vinginevyo, mimi najua neno moja tu ‘NAO WATATOKA’
Isaya 49:24 ‘ Je! Aliye hodari aweza kunyang'anywa mateka yake, au jeshi lao waliofungwa halali wataokoka? 25 Naam, Bwana asema hivi, Hata jeshi la wafungwa wake aliye hodari watapokonywa mikononi mwake, na mateka yake aliye jabari wataokoka;……’
Isaya 14:17 ‘ Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake; Asiyewafungua wafungwa wake waende kwao? 17 Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake; Asiyewafungua wafungwa wake waende kwao? ’
SASA FANYA MAOMBI HAYA HAPA CHINI NA AMINI KUWA USHINDI NI WAKO
Baba katika Jina la Yesu.
Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika Jina la La Yesu.
Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu.
Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na familayangu katika jina la Yesu.
Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya Yesu.
Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la Yesu.
Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu.
Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu.
Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia uchawi katika jina la Yesu.
Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.
Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu. Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.
Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja kunichunguza katika jina la Yesu.
Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi katika jina la Yesu.
Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la Yesu aliye hai.
Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.
Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.
Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki, kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.
Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.
Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo katika jina la Yesu.
Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.
Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.
Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.
Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.
Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.
Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.
Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.
Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.
Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.
Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.
Narudisha amani na upendo katika familia yangu.
Damu ya Yesu ipo juu ya Maisha yangu na inasafisha kila uovu, kila uchawi unaaribiwa na damu ya Yesu katika jina la Yesu.
Leo hii mtaiona Nguvu iliyopo katika damu ya Yesu.
Katika Jina la Yesu aliye hai ninaomba.
Amen
Max Shimba Ministries Org

JE, UNAFAHAMU KWANINI MAMA YAKE NA MUHAMMAD ALIKUFA KAFIRI?


Bi Amina mamake na Muhammad kafa kafiri. tunasoma
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ((اسْتَأْذَنْتُ رَبِّي أَنْ أَسْتَغْفِرَ لأُمِّي فَلَمْ يَأْذَنْ لِي ، وَاسْتَأْذَنْتُهُ أَنْ أَزُورَ قَبْرَهَا فَأَذِنَ لِي )) مسلم
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye amesema: Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Niliomba ruhusa kutoka kwa Allaah kumuombea msamaha mamangu, lakini Hakunipa ruhusa. Nikamuomba idhini nilizuru kaburi lake (mamangu), Naye Akanipatia ruhusa)) [Muslim]
Inaelezwa katika Kitabu cha ‘Awn al-Ma’abuud:
“Kauli yake (Muhammad) ((lakini Hakunipa ruhusa)) ina maana kuwa (mama yake) alikuwa kafiri na hairuhusiwi kumuombea maghfirah kafiri.”
Huu ni msiba mwengine kwa Waislam. Wazazi wake Muhammad wote wamekufa na dhambi kubwa kubwa na huku wakiwa MAKAFIRI.
Hivi huyu Allah mbona aliwachukiwa sana wazazi wa Muhammad?
Je, unafahamu kuwa baba yake Muhammad na yeye alikufa akiwa KAFIRI na yupoe Jehannam?
Hakika kuna mambo ya ajabu ajabu kwenye uislamu.
LAKINI HATUSOMI KUWA MAMA YAKE YESU ALIKUFA NA DHAMBI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

TRENDING NOW