Sunday, August 14, 2016

ISRAELITES PRODUCTS REJECTED BY THE ISLAMIC WORD




Israelites products boycotted by the Muslims World                   
Despite the boycott Israel is still stable.


Millions of Muslims all around the world have boycotted the Israelites  products accusing them to dishonor human rights against Islamic world. Israel denies

THE SUPREME COUNCIL OF ISLAM IN TANZANIA ONCE AGAIN YEARN TO INTRODUCE HALAAL BUREAU MEANWHILE NON-MUSLIMS DENIED

Halaal Certification In Tanzania.

In 2012, The Supreme Council of Islamic organizations and Institutions of Tanzania in the course to fulfil its religous and social roles established Halaal Bureau Ltd for a number of purposes including but not limited to promote awareness to the general public on the need to use of Halaal branded goods voluntarily, to certify goods for Halaal certificate in order to protect consumers from flimsy goods among others. Goods with Halaal certification are increasing in the Tanzanian market, some are locally produced and others are coming from as far as South Africa, Kenya, UAE, China, Thailand among others in order to bully Muslims and general public to believe that these goods were prepared in line with acceptable Sharia (Islamic rules) standards. 

Those produced in Tanzania could hardly stand validity challenge of being Halaal due to absence of Halaal certification agency in the country to validate their claims and audit the production process until it reaches the ultimate consumers. However, now things are expected to change with the establishment of Halaal Bureau Ltd. The 'Halaal Industry' as referred to to day is vast and it includes finacial services like Islamic Banking and Insurance as well as Manufacturing Industry among others. Despite its significance it is not free from defects and challenges which must be worked upon to ensure Halaal brand stands to its expectations. Below are some assertions which Halaal Bureau Ltd must devote its resources to address as explained by Rashid Siddique in his recent article 'Halaal Industry-Fact, Fiction and 'Faction'? Assertion: The halal industry, like Islamic finance, is only for Muslims. Halaal is for all mankind, but the [religious] reality is the term confines its reach and usage only to Muslims. Thus, halal faces similar challenges as ‘Kosher,’ food only for Jews. Yet, it’s only the Muslims that are saying ‘Halaal’ is not just for Muslims. Assertion: Halal is just about religious slaughter. First, halaal, lawful or permissible, is about a holistic way of life as prescribed by the Koran and Hadith. Second, it entails the seven sectors (Islamic Finance, Food/Beverage, Pharmaceuticals, Cosmetics, Fashion/Clothing, Travel, Media/Entertainment and Travel), including ingredients that form the final product. 

MUSLIMS CONDEMN PRESIDENT MAGUFULI FOR RELIGIOUS APPOINTMENT

Sheikh Khalifa  Khamis, Chairman of Immams in Dar es Salaam, Tanzania, has condemned appointment of Ministers and Regional Commissioners by the President of the United Republic of Tanzania, Dr. John Magufuli as religiously and influenced by what he called “the Christendom system in Tanzania.”

Sheikh Khamis said the Christendom system logic is that the state decision-making and performance of government activities seen clearly oriented against the interests of the Muslim community. That is, wherever the government makes decisions, such decisions will be based on advice or pressure of the Christian community

Complaints against what in recent years has been known as the Christendom, an informal system that favored the Christians more and oppresses Muslims, are still elevating." He said and added;.

"Among the indicators of the presence of such a system in our country is divisive inequalities of titles of selection and employment in government based on the provision of social services, especially education, high participation of Christian community in planning and decision-making of the government activities than the Muslims community."

JE, UNAFAHAMU KUWA MUHAMMAD ALIKOPIA ADHANA KWA WAKRISTO?



Ndugu msomaji,
Nikisema Uislam ni dini ya kutengeneza, watu wanadai ooh, ninawatukana, ONA SASA, HATA ADHANA MUHAMMAD KAKOPIA KWA WAKRISTO.
NDIO MAANA NAENDELEA KUSEMA KUWA, UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA, HAIKUWEPO WAKATI WA ADAM WALA MUSA WALA IBRAHIM
UISLAM NI FAKE [BANDIA]...
Bukhari. Volume 1 Hadith 578," Hadith ya ibn Umar, (ra) alikuwa akisema, "Waislam walipofika madina walikuwa wakijikusanya kuisubiri Sala na kulikuwa hakuna wito wa kwenda kusali (ADHANA) ada ya adhana ilikuwa haijawekwa. Siku moja walizungumzia hilo, baadhi ya wakasema, "tengenezeni Kengele kama ya Wakristo, na baadhi wakasema liwe tarumbeta kama baragumu la Mayahudi, "UMAR r.a akawa wa kwanza kupendekeza Adhana, akasema kwanini hampeleki mtu kutoa wito wa adhana wa SALA?" Mtume Muhammad s.a.w akaamrisha ," Ewe Bilal! Simama utoe wito wa Adhana kwa ajili ya Sala"
Naam, huo ndio Uislam,dini ya kutengeneza na kukopia kopia kwa wengine. Uislam ulitengenezwa na Muhamamd na haukuuwepo kabla ya kuzaliwa kwake.
Waislam huu ni Ushahidi tosha kuwa ndani ya Quran yapo baadhi ya mawazo ya watu kama Umar Bin Khattab sio Wazo kutoka kwa Mungu , Hakuna cha Wahyi wala malaika maana vipi maneno ya kutungwa yapatikane ndani ya Quran ?
Natangulaza pole zangu kwa Waislam WANAO FUATA DINI YA KUETENGENEZA.

KWANINI WAISLAM WALITENGENEZA INJILI YA UWONGO YA BARNABAS? (SEHEMU YA KWANZA)

Mwalimu Chaka
SWALI: Kwa nini Wakristo Hamuitambui Injili ya Barnaba?
lililoulishwa na: Abdullah Mbwana, Mombasa.
Imetibitishwa kwamba kitabu kinachojulikana kama Injili ya Barnaba hakina uhusiano wowote na Ukristo. Ni ushahidi bandia kuhusu Injili takatifu na jaribio la kuwakilisha kwa ubaya dini ya Kikristo.
Kitabu hiki kinachohusishwa na Barnaba kilitafsiriwa katika lugha ya Kiarabu na Dr Khalil Sa'adah, kutoka nakala ya Kiingereza katika mwaka 1907.
Injili hii ilikataliwa kabisa na Wakristo kwa sababu ilikuwa ya kubuni na ya uongo.
Wale ambao waliikubali walikuwa baadhi ya madhehebu ya Waislamu. Walifanya hivyo kwa sababu rahisi sana; kwamba sehemu kubwa ya Injili hii inaunga mkono madai kwamba Kristo hakusulubiwa, lakini sura yake aliwekewa Yuda Iskarioti ambaye alisulubiwa badala yake Yesu. Lakini pia ndani ya Injili inaonekana Yesu eti akitabiri Ujio wa Nabii Muhammad huku akimtaja kwa jina
Maoni ya Wanachuoni
Wasomi ambao wamesoma kwa makini suala hili na kuchambua kitabu hiki, kwa kauli moja wamekubaliana kwamba hiki kitabu, ambacho kwa uongo kimehusishwa na Barnaba, hakikuwahi kuwepo kabla ya karne ya 15. Hii ni karibu miaka 1500 baada ya kifo cha Barnaba halisi. Kama kingeli kuwa kinapatikana kabla ya kipindi hicho, basi Wasomi wa Kiislamu kama Al-Tabari, Al-Baindhawi, na Ibn Kathir wasingelikuwa wamehitilafiana katika maoni yao juu ya mwisho wa Kristo, wala kuhusu utambulisho wa mtu ambaye ndiye aliyesulubiwa badala ya Yesu.
Kama tukirejea nakala za zamani ya Biblia Takatifu za nyuma kipindi cha kabla ya Uislamu na ambayo Qur'an inashuhudia juu ya ukweli wake, hatuoni Injili inayojulikana wala kuhusishwa na Barnaba. Wala haikutajwa katika meza ya yaliyomo, iliyoandaliwa na mababa wa Kanisa, ya vitabu ambavyo vinajumlisha Biblia Takatifu.

KWANINI WAISLAM WANATUMIA BIBLIA KUTHIBITISHA UTUME WA MUHAMMAD?




TUNAZIDI KUCHAMBUA HOJA ZA MIHADHARA YA KIISLAMU;
LEO TUANGALIE JUHUDI ZA WAHADHIRI KUTAFUTA UTABIRI WA MUHAMMAD MWANA WA ABDALAH KWENYE BIBLIA:
Nabii Isaya ameandika kwamba: Kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi (Isaya 29:12).
Waislamu walipoona andiko hili wakadhani kuwa tayari wameshapata ushahidi kuwa Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia kwa kuwa Muhammad alikuwa ni mtu ambaye hakuwa amesoma.
Ukifuatilia sura nzima ya 29 na mantiki iliyozaa mstari huu wa 12, unaweza kuishia kucheka tu, ingawaje hili si jambo la kucheka.
Wanachofanya Waislamu ni upotovu mkubwa ambao unaangamiza mamilioni ya watu wa Mungu milele katika jehanamu ya moto. Watu wanaaminishwa uongo na wao wanaukumbatia kana kwamba ni ukweli.
Kwa ujumla, ukisoma sura ya 29 ni sura ambayo inatamka hukumu juu ya Ariel (Yerusalemu) kutokana na uasi wao juu ya sheria na maagizo ya Mungu, Yehova. Hebu tusome sura hiyo kwa Taratibu:
1 Ole wa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi alifanya kituo chake ndani yake; ongezeni mwaka baada ya mwaka; sikukuu na zirudi wakati wake,
2 ndipo nitamwudhi Arieli; kutakuwapo maombolezo na kilio; naye atakuwa kwangu kama Arieli.
3 Nami nitapiga kimo juu yako pande zote, nitakuhusuru kwa ngome, nami nitajenga maboma yakuzunguke.
4 Nawe utashushwa, nawe utanena toka chini ya nchi, na maneno yako yatakuwa chini toka mavumbini; na sauti yako itakuwa kama sauti ya mtu mwenye pepo, ikitoka katika nchi, na matamko yako yatanong'ona toka mavumbini.
5 Lakini wingi wa adui zako utakuwa kama mavumbi membamba, na wingi wao watishao utakuwa kama makapi yapitayo; naam, itakuwa mara na kwa ghafula.
6 Naye atajiliwa na Bwana wa majeshi kwa ngurumo, na tetemeko la nchi, na sauti kuu, na chamchela, na tufani, na mwali wa moto uteketezao.
7 Na wingi wa mataifa wapiganao na Arieli, wote wapiganao naye na ngome yake, nao wamwudhio, watakuwa kama ndoto, na maono ya usiku.

ETI BIBLIA INATAJA MASHEHE KWAHIYO INAUNGA MKONO UISLAM

Wahubiri wa ‘injili potofu’ wa Kiislamu wanaendelea kuhaha kuhalalisha quran kupitia Biblia. Nasema ‘kuhaha’ kwa sababu hakika kabisa wana juhudi kubwa mno lakini inasikitisha kwa sababu hakuna hata siku moja waliyowahi kusema jambo lenye ukweli kibiblia linalounga mkono quran kama wasemavyo wao – Mungu ni shahidi yangu. Mara waseme Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia; mara waseme Yesu aliposema kuwa ataletwa Msaidizi basi alimaanisha Muhammad, n.k. Ni kituko kimoja baada ya kingine. Na wanayemdanganya ni wao wenyewe pamoja na Wakristo wachache wasiojua Biblia.
Kwa msingi huohuo, wanasema eti Biblia imewataja Mashehe; na kwa hiyo kwao huo ni ushahidi kuwa uislamu ulikuwapo tangu zamani.
Acha ninukuu hoja ya mmoja wao kama ilivyo, kuhusiana na suala hili, kisha kama kawaida, utaona jinsi hoja hiyo inavyosambaratika mbele za nuru ya Kristo, yaani neno lake.
Mtu huyu anasema:
"Swali kwenu nyinyi ambao hamjabahatika kuwa waislam, yaani Wakristo. Kama uislam uliletwa na muhammad s.a.w, vipi masheikh watajwe ndani ya agano la kale?
“Ndivyo walivyosimama mikutano miwili yao walioshukuru nyumbani mwa mungu, na mimi, na nusu ya mashehe pamoja nami.” (Nehemia 12:40)
Mkristo jiulize mwenyewe hili swali; mashehe ni viongozi wa dini ipi? waislam...!? au wakristo?"
Mwisho wa kunukuu.
Hapa huyu ndugu wa Kiislamu anaongea kwa ujasiri kabisa na kwa kituo. Na unaona kabisa kuwa moyoni mwake anawaza, “Hapa leo nimewapata Wakristo. Lazima waone kuwa Uislamu ndiyo dini ya kweli.”
Na hivi ndivyo ilivyo kwa hoja zao ZOTE kuhusiana na Ukristo. NI UONGO; NI UONGO; NI UONGO!! NI UPOTOVU MTUPU!!
Na mimi nilimpatia jibu fupi tu na rahisi. Kwanza nikamwambia acha nikupatie maana ya neno ‘Shehe’ kutoka kwenye kamusi ya Kiswahili.

ISA WA QURAN SIO YESU WA BIBLIA (UTHIBITISHO WA TATU)

Je, Isa bin Mariamu ni mwana wa Mungu?
Kama kuna jambo ambalo Allah mungu anayeabudiwa na Waislamu analitataa sana kupitia Quran basi jambo hilo si lingine bali ni YESU KUWA MWANA WA MUGU. Allah ansema hivi.
Sura 6:101 – Yeye ndiye muumba wa mbingu na ardhi, inamkinikaje awe na mwana, hali hana mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu (sio baadhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu.
Quran 9:30 – Na Mayahudi wanasema ‘uzeri ni mwana wa Mwenyezi Mungu’ na ‘wakristo wanasema Masihi ni mwana wa Mwenyezi Mungu’ haya ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao (pasina kuyapima). Wanayaiga maneno ya wale walilkufuru kabla yao, Mwenyezi Mungu awaangamize. Wanageuzwa namna gani hawa?
Hili ni agizo la kutisha kwamba Wakristo na Wayahudi tuangamizwe kwa kuwa tunaamini Mungu ana Mwana, au wana, lakini Wakristo tunaoamini hivyo kwa sababu Mungu wetu:-
- Yehova alifundisha kuhusu Bwana Yesu hivi:
Kutoka 4:22…Israeli ni Mwanangu Mimi……
Mathayo 17:5……Huyu ni Mwanangu Mpendwa wangu….
Malaika wa Mungu alisem hivi.
Luka 1:30-31, 35 – Malaika akamwambia usiogope Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kuvuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu.
Hivyo basi Isa wa kwenye Quran siyo Mwana wa Mungu lakini Yesu wa kwenye Biblia ni Mwana wa Mungu. Kwa hivyo Yesu siyo Isa.
Leo tumejifunza tena kuwa, katika Quran Allah kakiri kuwa yeye hana Mwana, lakini kwenye Biblia Yehovah anasema kuwa Yesu ni Mwana wake.
Mungu awabariki sana na fahamu kuwa Isa wa kwenye Quran sio Yesu wa kwenye Biblia.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries

MSICHANA INITIATIVE: YAFICHUA MATUMIZI YA SHARIA ZA KIISLAMU KATIKA SHERIA ZA TANZANIA

Msichana iniative, ni Taasisi isiyo ya Kiserikali inayojishughulisha na kuwatetea watoto wa kike katika masuala mbali mbali. Hivi karibuni Taasisi hiyo ilifungua kesi ya Kikatiba yenye lengo la kupinga sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike aolewe akiwa na miaka 15. Katika kesi hiyo Msichana Iniative iliomba Mahakama Kuu itamke kwamba msichana kuolewa chini ya mika 18 ihesabike ni kosa.

Mahakama Kuu ilikubaliana na ombi la watetezi hao na kutamka kuwa ni kosa binti kuolewa akiwa na miaka 15, huku makahakama hiyo ikiipa Serikali mwaka mmoja kurekebisha mapungufu hayo yaliyomo katika sheria hiyo kwa kutamka kwamba umri sahihi wa kufunga ndoa ni miaka 18 kwa wote wavulana na wasichana. 

Imeripotiwa kwamba Serikali ya Tanzania inakusudia kwenda Mahakamani kukata rufaa ya hukumu hiyo. Yaani ni kama Serikali inasema umri huo wa miaka 15 ni sahihi. Lakini swali linaloumiza kichwa ni kwamba ikiwa umri huo ni halali ni kwanini mtoto mwenye umri huo huo asiruhusiwe kupiga kura hadi afikishe miaka 18 wakati tendo la kura ni la muda tu na ndoa ni ya kudumu?
Sheria za Tanzania, zinatambua kwamba mtu mwenye umri wa miaka 15 ni mtoto asiyeruhusiwa hata kupiga kura. Lakini pia anahesabika kuwa yuko chini ya uangalizi wa wazazi wake.

Waislamu Tanzania wanasema sheria hiyo inayotamka kwamba msichana aolewe hata akiwa na miaka 15 ilitungwa kutokana na ushauri wa wazee wa Kiislamu wakiongozwa na Sheikh Marehemu Muhammad Ali al Bukhri wakati wa kutunga sheria hizo. 

Trinity 101 || Part 1|| 1 John 5:7

TRENDING NOW