Friday, August 26, 2016

KWANINI JINA LA ALLAH HALINA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA?

KWANINI HAKUNA NGUVU YA UPONYAJI KATIKA UISLAM? MBONA KATIKA UKRISTO WATU WANAPONA KWA JINA LA YESU?
1. KWANINI JINA LA ALLAH HALINA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA?
2. ALLAH ASHINDWA KUMPONYA MUHAMMAD
3. MAOMBI YA JIBRIL YAGONGA MWAMBA
4. LAKINI JINA LA YESU LINAPONYA MAGONJWA YOTE
5. JE, UMESHA WAI ONA KUNA MKUTANO WA UPONYAJI KATIKA USILAM?
Ndugu msomaji,
Uponyaji ni nini?
Ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa,kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Kristo Yesu. Tendo hili la kiimani humletea mwamini uzima wa kiroho na afya ya kimwili pale ilipopunguka,kumbuka~wengi walipoponywa udhaifu wa miili yao,waliponywa pia na roho zao.
Hivyobasi, kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea uponyaji Mtume wake Muhammad kwa ugonjwa uliosababishwa na kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Hivyo basi, uponyaji haufanywi na mtu awaye yoyote yule isipokuwa Mungu. Hata madaktari bingwa wao hawaponyi bali hutoa tiba tu, mwenye kuponya ni Mungu. Watumishi wa Mungu pekee ndio hufanyika kama daraja au chombo cha kuleta uponyaji ulioachiliwa na Bwana kwa muhusika mwenye kuhitaji.
HEBU SASA TUMSOME ALLAH NA JIBRIL KATIKA JARIBIO LAO LA KUMPONYA MUHAMMAD:
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea Muhammad kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Je, jina la Allah liliweza kumponya Muhammad? Hebu tusome Sahih hadith kama ilivyo letwa na Al Bukhari:

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA MUHAMMAD ALIKUWA HAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA


HUU NI MSIBA MKUBWA SANA
Je, kuna uhashihidi wowote ule wa aya kusaidia madai ya kuto kujua kusoma kwa Muhammad katika Quran?
Wanadhuoni wa Kiislam, hupenda kusema kuwa, Nabii wa Allah wao, aitwaye Muhammad alikuwa ameelimika, lakini unapo wauliza maswali na kuomba ushahidi wa madai yao, huwa wanaanza kukutishia na kusema kuwa, Muhammad ndie nabii wa mwisho, na kukwepa swali, la msingi. Je, Muhammad alikuwa anajua kusoma na kuandika?
Hebu tuanze moja kwa moja na aya ambazo ziliteremshwa na Allah kwa kupitia msaidizi wake Malaika Jibril kama Quran inavyo dai.
Ushahidi wa Kwanza:
Koran Surat Al A'raaf [7:157]
Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii Muhammad, asiye soma wala kuandika,
Ndugu wasomaji, aya tuliyo isoma katika Surat Al A'raaf 157 inatuambia kuwa Nabii pekee wa Allah, Muhammad, alikuwa ngumbaru; hakufahamu kusoma wala kuandika.
Najua waislam, wataanza kubisha na kutupa maneno ya hapa na pale. Ili kuwanyamazisha tusoma ushihidi mwingine kutoka Quran yao.
Ushahidi wa Pili:
Surah Al A'nkabut [29: 48]. Na wewe hukuwa kabla yake unasoma kitabu chochote, wala hukukiandika kwa mkono wako wa kulia. Ingeli kuwa hivyo wangeli fanya shaka wavunjifu.
Allah kaamua kuteremsha aya nyingine ili kutuhakikishia umaah wake kuwa, Nabii wake, Marehemu Muhammad, alikuwa hajui kusoma wala kuandika jina lake.
Je, kuna Mitume wowote wale katika Biblia ambao walikuwa hawajui kusoma wala kuandika?
Kufuatana na ushaihidi wa Biblia, Mitume wote na Manabii wote wa Biblia walikuwa wanafahamu kusoma na kuandika. Na wengine kama Luka, wao walikuwa Madaktari.
Hakika Muhammad alikuwa Mtume Bandia ndio maana hakuwai ongea na Mungu, kinyume na Manabii wote ambao waliongea na Mungua aliye watuma.
Zaidi ya hapo, Mungu muumba wa mbingu na nchi ambaye ndie mwanzilishi wa elimu, hakuwa na sababu ya kumtuma Mtume ambaye alikuwa Ngumbaru.
Kumbe basi, ndio maana Quran yao imejaa shaka na inatumia usaidizi wa Hadith.
Waislam, karibuni kwa Yesu aliye hai, ili muweze kupata uzima wa milele.
Max Shimba Ministries Org.

UPO WAPI UTHIBITISHO WA AYA KUWA MUHAMMAD ALITAIRIWA?

KUMBE MTUME MUHAMMAD HAKUTAIRIWA.
Ndugu msomaji,
KATIKA sehemu nyingi za ulimwengu, watoto wa kiume wanatahiriwa kwa sababu za kiafya. Watu fulani katika nyakati za zamani, kama vile Wamisri, walitahiriwa, yaani, walikatwa magovi ya kiungo chao cha kiume.
Yesu alitahiriwa. Kwa mujibu wa Agano la Kale, mapokeo haya yalianzia na Mtume Ibrahimu, Katika Mwanzo 17:10-13, imeandikwa, “Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa. Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na nyinyi. Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako. Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa na fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
Katika Injili kwa mujibu wa Luka 2:21: “Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.” Kwa hiyo, kutahiriwa ilikuwa ni sehemu ya njia ya Yesu.
LAKINI NILIPO ISOMA QURAN NA KUSOMA VITABU VINGINE VYA KIISLAM KAMA SAHIH AL BUKHARI, NIKAGUNDUA KUWA, NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD YEYE HAKUTAIRIWA NA HAKUNA UTHIBITISHO WA KIMAANDIKO AU HISTORIA KUWA MUHAMMAD ALITAIRIWA.
Waislam bila ya jazba wala kutokwa mapovu. Naomba mnijibu swali langu:
Kwanini mnafuata Muhammad nabii wa Allah ambaye hakutairiwa?
Kumbuka kutuna hakufai na ni ishara kuwa wewe umejambiwa mdomoni na Shetani:
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
NATANGULIZA POLE KWA WAISLAM KWA KUMFUATA MUHAMMAD AMBAYE HAKUTAIRIWA.

POSA SABA (7) ZA MUHAMMAD ZILIZO KATALIWA

1. Kwanini baadhi ya wanawake walikataa posa za Muhammad?
2. Kwanini muhammad aliendelea kuomba/toa posa na huku zikikataliwa?
Ndugu msomaji,
Leo nitakua ushahid kadhaa kuonyesha jinsi Muhammad alivyo penda wanawake lakini wengine walikataa posa zake na kuto jali utume wake alio pewa na Mkewe.
Muhammad alimwomba amuoe Ghaziyyah kwa sababu ya uzuri wake, lakini alikataliwa. Tabari anadai kuwa [Ghaziyyah] hakuwa mwaminifu lakini hatoi ushahidi. al-Tabari juzuu ya 9 uk.136. Hakuna ushahidi kuwa [Ghaziyyah] hakuwa mwaminifu na kwamba Muhammad hakuwa makini kwa kutokumwadhibu, au kwamba hakuwa mwaminifu na Muhammad alimwadhibu.
Layla aligusa bega la Muhammad tokea nyuma na kumuomba amuoe. Muhammad alikubali. Ndugu za Layla walisema, "Ni jambo baya kiasi gani ulilolifanya! Wewe u mwanamke anayejiheshimu, lakini Nabii ni mpenda wanawake. Tafuta kujitengua toka kwake." Layla alikwenda kwa Nabii na kumuomba aikane ndoa hiyo na aliafikianana na hilo [ombi]." al-Tabari juzuu ya 9 uk.139.
Kutoka al-Tabari juzuu ya 9 uk.140-141, Muhammad alimposa lakini aliishia kutokumuoa:
1) Umm Hani’ bin Abi Talib [Hind] kwa sababu alikuwa na mtoto.
2) Duba’ah binti ‘Amir lakini alikuwa mzee sana.
3) Inaripotiwa kuwa alimposa Saffiyah binti Bashshamah, mateka. Alitakiwa achague mmoja kati ya Muhammad na mume wake, na alimchagua mume wake.
4) Umm Habib bint al-‘Abbas lakini kwa kuwa al-‘Abbas alikuwa kaka wa kulelewa pamoja naye kwa hiyo isingeruhusiwa kisheria kwa hiyo Muhammad aliamua kujiondoa.
5) Jamrah binti Al-Harith. Baba yake alida isivyo sahihi kuwa alikuwa anasumbuliwa na kitu Fulani. Aliporudi, alikuta ameisha kumbwa na ukoma.
Haielezwi kwa kauri moja endapo Umm Hani’ alikuwa muislam kabla au baada ya Muhammad kumwomba amuoe. al-Tabari juzuu ya 39 uk.197 na rejeo chini ya ukurasa 857 uk.197.
Ndugu msomaji ambaye ni mfuasi wa dini ya Uislam, je, unaweza tumabia kwanini posa 7 za Muhammad zilikataliwa?
Max Shimba Ministries Org

MUHAMMAD ALIFANYA MAZINGAOMBWE NA KUPIGA RAMLI



1. Mtume Muhammad alitumia Ndumba
2. Mtume Muhammad adai eti Nywele zake zinatibu jicho ovu.
3. Wapi katika Biblia tunasoma kuwa Manabii na Mitume wa Biblia walitumia Ndumba?
Ndugu Msomaji,
Leo ningependa tusome kuhusu Muhammad na Utumiaji wa NDUMBA katika Uislam,
MTUME MUHAMMAD ANATUMIA NDUMBA
Muhammad alitumia ndumba [nguvu za kimazingaombwe] dhidi ya jicho ovu na wanyama jamii ya mjusi wenye sumu Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3525 uk.48.
Hivi wapi tunasoma katika Taurat au Zaburi au Injir kuwa Mitume na Manabii wa kwenye Biblia walitumia NDUMBA?
Hivi Allah hana uwezo wa kutibu jicho ovu au Sumu mpaka atumie NDUMBA?
MUHAMMAD SASA AMPA MKE WAKE AISHA NDUMBA
Muhammad alimpa ‘Aisha ndumba ili kutibu jicho ovu. Sahih Muslim juzuu ya 3 kitabu cha 24 na. 5445,5447-5450 uk.1196.
Hivi Ndumba ina tofauti gani na UCHAWI? Sasa hapo juu tumesoma kuwa Muhammad ametoa NDUMBA kwa mke wake kipenzi.
Wapi tunasoma kuwa Manabii wa Biblia walitumia NDUMBA?
Muhammad aliamini katika jicho ovu, na kulikuwa na hirizi dhidi yake al-Tabari juzuu ya 39 uk.134.
Sura mbili za mwisho (113 and 114) ziliandika juu ya ubaya wa jicho ovu kufuatana na Ibn-i-Majah juzuu ya 5 na.3517 uk.41.
Hata hivyo, sura za 113 na 114 hazimo katika toleo la Ibin Mas’ud katika Korani (The Fihrist uk.57). Kuondolewa huko hakukuwa kwa bahati mbaya. Ilitaarifiwa kuwa Ibn Mas’ud alisema, "Hirizi mbili-Sura za [113, 114] si Kitabu cha Mungu."
Ibn Mas’ud alikuwa katibu muhtasi wa Muhammad. Muhammad aliwaambia watu wengine wajifunze kutoka kwa Ibn Mas’ud na wengine watatu. (Bukhari juzuu ys 6 kitabu cha 60 sehemu ya 8 na.521 uk.486-487).

JE, UNAFAHAMU KWANINI AISHA MKE WA MUHAMMAD ALIZINI NA SAFWAN IBN AL MUATTAL?



ZAIDI YA HAPO, KWANINI AISHA ALIKATAA KUZAA WATOTO NA MUHAMMAD?
Utasikia Waislam wakijgamba, Aisha ni mama wa waaminio, ikimaanisha ni Mama wa Waislam.
Swahaba wa Muhammad Amr bin Al-Aas alimuuliza Nabii wa Allah (PBUH): O, Nabii wa Allah, ni Mke yupi unampenda zaidi kuliko wake zako wat? Nabii Muhammad akamjibu "Aisha"
Kama tulivyo soma hapo juu, Muhammad alimpenda Aisha zaidi ya wake zake wote.
LAKINI:
AISHA MWANA WA ABU BAKAR ALIFUMANIWA AKIFANYA NGONO NA SAFWAN BIN AL MUATTAL:
Imesimuliwa na Ibn Hisham, na kusimuliwa na Ibn Ishaq, kuwa Aisha alifumaniwa akifanya ZINAA "ngono" na Safwan Ibn Al Muattal, mmoja wa Maswahiba wa Muhammad "Safwan incident". Haya mambo yalifanyika huko Madina na habarii ilitapakaa Madina yote na kumfanya Nabii wa Allah amrudishe Aisha kwa Wazazi wake.
Ali ambaye alikuwa binamu yake wa karibu na Mume wa binti yake Fatimah, alimsihi Muhammad ampe takala Aisha ili kuficha hii aibu kubwa ya fumanizi la KUZINI.
Hii ni siri kubwa sana kwa Waislam na hawataki ifahamike kuwa Aisha alifanya ZINAA na Safwan Ibn Al Muattal na kumfanya Muhammad amrudishe Aisha kwa Wazazi wake.
KAMA AISHA ALIPENDWA SANA NA MUHAMMAD KULIKO WAKE ZAKE WOTE, KWANINI AISHA ALIAMUA KUZINI NA SAFWAN BIN AL MUATTAL?
Huu ni msiba Mkubwa sana kwa Muhammad na Waislam.
LABDA NDIO MAANA AISHA ALIKATAA KUZAA NA MUHAMMAD AU LABDA NI KWASABABU YA TABIA MBAYA YA MUHAMMAD YA KUZINI NA WATUMWA WAKE WA KIKE. http://www.islam-watch.org/…/Muhammad-Juwairiya-Aisha-Adult…
Waislamu wa Madina wakiongozwa na Abdulla bin Ubai, walitangaza kuwa Bibi Aisha (RAAH) amezini na Safwan. Mtume (SAW) aliposikia haya aliwaita maswahaba zake na kushauriana nao nini la kufanya, kuna waliotowa ushauri amuache. Mtume (SAW) alimzuru na akamwambia: “Ukiwa huna makosa basi Mwenyenzi Mungu atakusamehe, la kama sihivyo basi omba maghufira kwa Mola wako.” Aisha alilia na kuomba msamaha kwa wazazi wake kwa kosa la uzinifu alilo fanya na Safwan, lakini wazazi wake hakuwa na la kusema.
References:
1) Ibn Sa’ad, Al Tabakat Al Kubra, vol.8 (Arabic)
2) Ibn Hisham, sira al nabaweyya(Arabic)
3) Dr. Sami Alrabaa, Karen in Saudi Arabia
4) Sahih al Bukhari, chapter of washing, Narrated by Anas. (Arabic)
5) Al Lulu wa Al Marjan fima ittaffaqa alihi al shaikhan: Muslim and Bukhari, hadith No.168; 173 (Arabic)
Maswali ya kujiuliza ni haya, Kwanini AISHA ALIKATAA KUZAAA NA MUHAMMAD NABII WA ALLAH. HUKU IKIFAHAMIKA KUWA, MUHAMMAD ALIMPENDA SANA TENA SANA AISHA?
Natanguliza pole zangu kwa Waislam wote. Hakika hii dini imejaa vituko na viroja kedekede.

KWANINI MUHAMMAD ALITAKA KUJINYONGA “COMMIT SUICIDE”?



1. MUHAMMAD ALITAKATA KUJINYONGA
2. MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJIRUSHA ILI AFE
3. AISHA ASEMA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Ndugu msomaji,
Tunaposoma Biblia tunajifunza kuwa Mungu aliwapa Unabii na Utume watu wake kwa njia ya upendo. Lakini nilipo soma vitabu vya Allah nilikutana na mambo ya ajabu sana.
Bila ya kupoteza muda, ngoja niweke vitabu vyake ili na wewe ujisomee mwenyewe. Maana Waislam huwa wanadai eti nawasingizia au namzulia uongo Allah.
KATIKA SAHIHI BUKHARIY TUNASOMA KUWA MUHAMMAD ALIJARIBU KUJINYONGA KWA SABABU YA HUZUNI KWENYE NYOYO YAKE:
Mtume wa Mwenyezi Mungu akasema: Wao watanifukuza? Riwaya inaendelea kwa yanayoshangaza zaidi kuliko hayo Waraqa bin Naufal alipomkuta MTUME AKIJARIBU KUJINYONGA KWASABABU YA HUZUNI yake kwa kukatika Wahyi, kama si Jibril kumtuliza mara hii baada ya kuwa Waraqa bin Naufal akifanya hivyo. Sahihi Bukhariy J:9 uk 93 kita Ta’abiyri
Swali la kujiuliza hapa ni hili: Hivi wapi tunasoma kwenye Taurat au Zaburi au Injili kuwa Mitume wa kwenye Biblia walijaribu kujinyonga kama Muhammad wa kwenye Quran?
Nilipo endelea kusoma vitabu vya Waislam nikagundua kuwa, hilo tukio la kujaribu kujinyonga “commit suicide” halikufanywa mara moja na Muhammad ambaye ni Nabii kipenzi cha Allah.
MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJITUPA ILI AFE, JE HII TABIA YA KUTAKA KUJIUA NI YA KINABII? Soma hiki kisa hapa chini:
Kisha Waraqa hakuchukua muda akafariki na Wahyi ukakatika kwa muda na Nabii (s.a.w.w.) akahuzunika, ambapo katika yaliyo tufikia mara nyingi huzuni ilipelekea kutaka kujirusha kutoka katika vilele vya milima, lakini kila alipopanda mlima ili ajiangushe Jibril alimtokea na akamwambia Ewe Muhammad “Hakika wewe ni Mtume wa kweli wa Mwenyezi Mungu, basi kwa hayo inapoa hasira yake na nafsi yake inatulia na anarudi na unaporefuka muda wa kutopata Wahyi anarudia hayo, na anapofika kwenye kilele cha mlima Jibril anamtokea na kumwambia mfano wa aliyomwambia. J: 8 uk 234 kitabu Daawaati

KWANINI WAISLAM WALITENGENEZA INJILI YA UWONGO YA BARNABAS? (SEHEMU YA TATU)

Mwalimu Chaka
Leo napenda tuangalie baadhi ya mafundisho na upindaji wa maandiko ya Mungu kama tunaona katika Injili hii ya Barnaba.
Utabiri wa Ujio wa Muhammad katika Injili ya Barnaba.
Katika Biblia tunasoma jinsi Yohana Mbatizaji alitangaza ujio wa Bwana Yesu:
"Sasa huu ulikuwa ni ushahidi wa Yohana, Wayahudi wa Yerusalemu walipowatuma makuhani Walawi, na kumwuliza yeye ni nani. naye alikiri, wala hakukana, alikiri kwamba "Mimi siye Kristo." Nao wakamwuliza, " Ni nani basi? U Eliya wewe?" Akasema, "Mimi siye." "Je, wewe u Nabii yule? "Yeye akawajibu, "La" Basi wakamwambia, "Wewe u nani? ili tuwapelekee jibu wale waliotutuma?, Wanenaje juu ya nafsi yako?" Yohana alijibu kwa maneno ya nabii Isaya, "Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Bwana.’”
"... siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, "Tazama Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!" (Yohana 1:19-29)
Katika Injili ya Barnaba tunaona kisa hiki kimebadilishwa na kumfanya Yesu kutabiri kuja kwa Muhammad, kama Qur'an inasema Isa alifanya (Qur'an 7:157, 61:6).
"Waliona wengi ambao walikuwa wanafuata Yesu, kwa ajili hiyo wakuu wa makuhani wakafanya shauri wao kwa wao ili wamtege Yesu kwa maneno yake. Kwa hiyo wao waliwatuwama Walawi, na baadhi ya walimu wa Sheria kumwuliza, wakisema: "Wewe ni nani" Yesu alikiri, alisema ukweli: ". Mimi sio Masihi" Wakasema: "Je, wewe ni Eliya au Yeremia, au mmojawapo wa manabii wa kale?" Yesu akajibu: "Hapana" Nao wakamwambia, "Wewe ni nani Sema, ili tupate kutoa ushuhuda kwa wale waliotutuma?." Kisha Yesu akasema: "Mimi ni sauti ya mtu apitaye kwa njia yote za Yudea, kwa kilio akisema: “Tayarisheni njia ya Mjumbe wa Bwana, kama ilivyoandikwa katika Isaya." (Sura. 42)
"Ndipo kuhani: akamuuliza "Ataitwaje Masihi atakapokuja ... " Yesu akamjibu, "jina la Masihi ni la kupendeza ... Muhammad, ndilo jina lake lenye kheri" (Surah. 97).
Hapa mwandishi wa Injili ya Barnaba anadai Masihi atakeyekuja ni la kupendeza, yaani Muhammad jina lenye kheri" !!! eti Muhammad ndiye Masihi!!!! ili tutalichambua mbeleni
JE YESU NI MWANA WA MUNGU ?

ALLAH HANA UWEZO WA KUSAMEHE DHAMBI WAISLAM WALIO KUFA

Je, Allah anao uwezo wa Kusamehe watu dhambi?
Ndugu zanguni,
Leo ningependa tumuangalie Allah wa dini ya Uislam ambaye wanasema ndie Mungu wao. Je, huyu Allah anayo mamlaka ya kusamehe dhambi zote?
Quran inaendelea kusema kuwa wale walio kuwa katika Umauti kamwe Allah hana uwezo wa kuwasamehe dhambi, ingawa WAISLAM bado wana utamaduni wa kuombea Maiti msamaha ili Allah aipokee roho ya marehemu.
Suratul Muuminum 101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana. ***102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa. ***103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na katika Jahannamu watadumu. ***104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana. ***105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha? ***106. Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea. ***107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni. Na tufanyapo tena basi kweli sisi ni wenye kudhulumu. 108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze. 109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu. ***110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka. ***111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu. 112. Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka? 113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku. Basi waulize wanao weka hisabu. ***114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua. ***115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa? ***
Katika hii suratul Muuminum tunasoma kuwa hawa ni Waislam walio zidiwa na dhanb, Allah atawakana na hato wasamehe ingawa ndugu zao waliwafanyia maombi wakati wa umauti na kuwasafisha ngama. Allah yeye anasema hato wasamehe hawa Waislam. Ushaidi mwingine unaweza upata hapa S. 35:36-37, S. 40:10-12 , S. 43:74-77, S. 67:6-11, S. 4:93
ALLAH HASAMEI MUISLAM ANAPO UA MUISLAM MWENZAKE: MFANO KAMA ULE WA SUNNI WANAPO UANA NA SHIA.

INJILI INATHIBITISHA KUWA YESU NI MUNGU

Utangulizi
Tafadhali angalia Biblia Takatifu au Fungua Bibilia Takatifu iliyo bure na tamatisho zifuatazo kutoka Taurah (Mwanzo), Zabur (Zaburi) na Ijil (Injili).
Injili inathibitisha ya kwamba Yesu alizaliwa kutoka kwa bikira, hakuwa na makosa, alipelekwa mbinguni na Mungu na atarudi tena. Kulingana na Injili Yesu ni zaidi ya nabii. Yeye ni zaidi ya mtu aliye heshimiwa zaidi, utakatifu na baraka. Umuhimu wake kwa mwanadamu ni zaidi ya mponyaji mkubwa wa wagonjwa.
Utetezi wa Yesu kuwa Mwana wa Mungu:
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi (Yohana 5:39).
Somo la kweli na Injili sio mafundisho au filosofia, ila ni mtu: Yesu Kristo. Yesu anatupa sisi msingi wa uhusiano wa dharura na uwiano kati yetu na Mungu. Huu uhusiano unafanya kazi kama chanzo cha uhakika na ujasiri.
Kwanini mwanishutumu kwa sababu nilisema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu? (Yohana 10:36).
Wakati Injili inazungumza juu ya Yesu kuwa mwana wa Mungu, haisemi ya kwamba Mungu na Mariamu walipata mwana kwa njia ya kibaolojia. Hii ni dhihaka. Hii haiko katika Injili. Mariamu alikuwa bikira (Mathayo 1:18, Luka 1;34-35) Yesu ni mwana wa Mungu, aliyekuwepo toka mwanzo.
Vitu vyote vimekabidhiwa mikononi Mwangu na Baba. Wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia (Luka 10:22).
Mungu Baba ni Bwana wa mbingu na dunia. Kwa hili dai kamili kama kwa ufahamu wa Baba, Yesu ana onyesha uungu wake. Mstari huu unaonyesha asili ya Yesu inayoweza kufikiwa na kwamba hatuwezi kuwa na ufahamu ulio sawa na Mungu ila ni kupitia ufunuo. Kwa hivyo tunaweza kuwa na ufahamu wa Yesu lakini hatuwezi kumjua kikamilifu
Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba (Yohana 16:28).

The Prophethood of Muhammad

  The Prophethood of Muhammad: A Critical Theological Evaluation By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute, New York, NY The cla...

TRENDING NOW