Thursday, September 22, 2016

MAMLAKA ULIYONAYO UNAPOLITUMIA JINA LA YESU KRISTO!


“Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.” (Wafilipi 2:9-11)
Kwa mistari hii michache tunaona ya kuwa jina la Yesu kristo lina mamlaka MBINGUNI, DUNIANI na CHINI YA NCHI au KUZIMU.
“Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe” maana yake jina la Yesu lipate heshima linavyostahili kila mahali.Likiwa mojawapo ya funguo za ufalme wa mbinguni, jina la Yesu linatupa MAMLAKA mbinguni, duniani na chini ya nchi.
Kwa mfano: tunaokolewa kwa jina la Yesu (matendo ya mitume 4:12). Tunazaliwa mara ya pili kwa jina la Yesu (yohana 1:12). Kwa maneno mengine kwa sababu ya jina lake, Yesu alisema; “Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu” (yohana 16:23-24)
Mtu anapata furaha iliyo timilifu anapoomba kwa jina la Yesu Kristo! Kwa nini? Kwa sababu akiomba kwa jina la Yesu Kristo – anapata kile alichoomba. Heshima yote hii ya kujibiwa maombi yetu na Mungu Baba inatokana na Jina la Yesu Kristo, aliye Bwana na mwokozi wetu. Yesu Kristo alisema, “Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.” (yohana 12:26)
Hebu tuyatafakari maneno yafuatayo aliyoyasema Kristo juu ya mamlaka iliyomo katika Jina lake.
Biblia inasema, “Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu
-watatoa pepo;
-watasema kwa lugha mpya;
-watashika nyoka;
-hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa;
-wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya”. (marko 16:17-18).
Hebu na tuangalie kwa undani zaidi baadhi ya ishara alizosema zitatokea tukilitumia Jina la Yesu Kristo.
“Kwa Jina Langu watatoa pepo”
Yesu Kristo alitaka sisi tumwaminio tujue ya kuwa kwa jina lake tuna mamlaka juu ya mapepo. Ni vizuri ufahamu ya kuwa kwa kuwa umemwamini Kristo rohoni mwako kama Bwana na mwokozi wako, basi, una mamlaka yakuwatoa pepo mahali walipo! Ukijua pepo yuko mahali Fulani, una uwezo nanmamlaka ya kumtoa mahali hapo kwa jina la Yesu Kristo, naye atatii!!

ALLAH NA UISLAM NI DINI YA WAFU

Ndugu msomaji,
Ukisoma Biblia takatifu ambayo ndio NENO la Mungu, inasema: Mungu ni Mungu wa walio hai na sio wa wafu. Soma Mathayo 22 aya ya 32 ..... Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai."
Marko 12:27 Mungu si Mungu wa wafu bali ni Mungu wa walio hai.
Kama Biblia ilivyo tuhakikishia kuwa Mungu si Mungu wa Wafu kama ambavyo Marehemu Muhammad wa kwenye Quran ambaye anaombewa kila siku na Allah na Malaika wake. Hebu tusome aya kutoka Quran.
Surat Al Ahzab 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.http://www.quranitukufu.net/033.html
Waislam wameamrishwa kuombea Marehemu Muhammad ambaye mpaka hivi leo yupo kaburini akisubiri hukumu kutoka kwa Yesu muumba wake.
Imam Amirul Mu’minin Ali (a) alisema:
Watembeleeni wafu Makaburini, maana wanajisikia furaha mnapo watembelea. Omba unacho taka katika kaburi la Baba yako na mama yako baada ya kuwaombea. Al-Akhlaq wa al-Aadab al-Islamiyyah compiled by Hay’at Muhammad al-Amin, Qum:
Imam al-Sadiq (a) anawataka Waislam watembelee makaburi, kwasababu hao wafu kwa kupitia Allah wanafahamu mnapo watembelea makaburini na wanasikia furaha mnapo kwenda kuwatembelea. Abu Muhammad Zaynu’l ‘Abidin, Manifestations of the All-Merciful:
Wafu wanashukuru mnapo watembelea makaburini, na wanajisikia upweke unapo ondoka. http://www.alseraj.net/3/index2.shtml?91&100&92&1&15
Ushuhuda hapo juu unathibitsiha kuwa, UISLAMU ni dini ya wafu na wanaamini kuwa Wafu walio oza na kuliwa na Mchwa makaburini wanawasikia na wapo kwenye hayo makaburi. Lakini, nini hutokea usiku wa kwanza unapo zikwa, soma hiki kisa cha ajabu sana kutoka Sahihi hadith.
USIKU WA KWANZA WA MUISLAM KABURINI:
[Hasan: At-Tirmidhee from Abu Hurairah.]
Nabii wa Allah (sallAllahu 'alaihi wa sallam) anasema, mtu aliye kufa anapo zikwa, Malaika wawili mmoja wa Mweusi na mwengine wa Bluu, mmoja anaitwa Al Munkar na mwengine an Makeer, na wanamsemesha maiti na kumuuliza; Nini ulikuwa unasema kuhusu huyu mtu? Hivyo husema alicho kuwa ansema, Mtume wa Allahm nashuhudia kuwa mwenye haki ya kuabudiwa ni Allah na Muhammad ni mtume wake. Na wale Malaika watasea, hakika tulijua utasema hivyo, hivyo kaburi lake litaongezwa na kufikia upana wa Sabini kwa Sabini, na anafanyiwa nuru kwake, na litasema lala. Na yeye atasema nitakwenda kwa familia yako na kuwafahamisha..........
Muhammad anasema; Marehemu anapozikwa kaburini, husikia sauti za nyayo za ndugu zake ........ [Saheeh: Al-Bukhaaree (2/422), Muslim, Ahmad, Abu Daud, an-Nasaa.ee: from Anas.],
Al-Baraa b. 'Azib anasema, tulenda Makaburini na tulikuta mmtu moja wa Nasar hajazikwa, basi Nabii wa Allah akamuuliza maiti, asema najisalimisha kwa Allah.....[Saheeh: Ahmad, Abu Dawud (3/4735) Ibn Khuzaimah, al-Haakim, al-Baihaqee in 'Shu'ab ul-Imaan', ad-Diyaa: from al-Baraa.]
Hadithi hapo juu zinatuthibitishia kuwa Uislam ni DINI YA WAFU wakati Biblia inasema kuwa Mungu si Mungu wa wafu bali ni Mungu wa walio hai.
ENDELEA:
Ada ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alipomaliza kuzika alikuwa anasimama kaburini na husema: “Muombeeni msamaha ndugu yenu kwa Allaah na amfanye thabiti kwani hivi sasa anahojiwa” (Abu Daawuud).
SASA WAISLAM WANAMSWALIA MAITI QURAN
Maiti huswaliwa kwa kufuata utaratibu huu:
Atasimama Imaam (kiongozi wa Swalah) upande wa kichwa, kama maiti ni mwanaume, na hii imethibiti katika Hadiyth ya Abu Ghaalibi al-Khayyaat, amesema:
“Nimemshuhudia Anas bin Maalik akiswalia maiti ya kiume akasimama usawa wa kichwa chake.”
Pia Imaam atasimama usawa wa katikati wa ikiwa maiti ni mwanamke, kama ilivyothibiti katika Hadiyth ya Samurah bin Jundub, anasema:
“Nimeswali nyuma ya Mtume (Rehma na amani ya Allaah ziwe juu yake) naye akimswalia mama wa Ka’ab….akasimama katikati yake.”
Kisha, Imaam ataleta takbira kwa kusema, ‘Allaahu Akbar’, (Allaah ni mkubwa) mara nne au tano au tisa, kwani aina zote hizi zimethibiti kutoka kwa Mtume (Rehma na amani ya Allaah ziwe juu yake). Lakini mara nyingi Mtume (Rehma na amani ya Allaah ziwe juu yake) alileta takbira nne.
Allah na Muhammad wanaendelea kusema kuwa eti Muombeeni MSAMAHA MAITI ...............“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumuombee uthabiti, kwani hakika sasa hivi anaulizwa maswali”[36] kama ilivyokuja katika Hadiyth ya ‘Uthmaan bin ‘Affaan.

UFARANSA WAMEANZISHA KODI YA HALAL



Ufaransa imesema kuwa, kuanzishwa kwa kodi ya "HALAL" kutasaidia kudhoofisha mbinu chafu ya Waislam ambayo wanaitumia kusaidia ujenzi wa Misikiti nchini humo, ambayo ndio chanzo cha ugaidi na siasa mbaya za kidini nchini humo.
Kutokana na huu uchunguzi nchini Ufaransa, Mwandishi Hakim El Karoui anasema kuwa karibia asilimia 28 ya Waislam nchini Ufaransa wanapenda siasa kali na huishi kinyume na sheria za nchi.
Hii kodi itasaidia kudhoofisha nchi za Mashariki ya Kati pamoja na Afrika ya Magaharibi kuendelea kusaidia Waislam ambao wanaishi kinyume na tamaduni za Ufaransa na wana husika na ugaidi nchini humo.
Kwa habari kamili ingia kwenye link:

ETI, YESU ALIPOKUWA AMEKUFA DUNIA ILIKUWA INAENDESHWA NA NANI?


Hili ndilo swali la wafuasi wa Muhammad kwa Wakristo na leo nitalijibu hapa.
Hili ni swali linalofaa kuulizwa juu ya kiumbe. Kama tungesema kuwa mwanadamu fulani alikuwa amekufa, ndipo kuna mantiki kuuliza kwamba, wakati amekufa nani alikuwa anatunza familia yake? Maana hili ni swali linalohusu tabia za kibinadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuwa mahali kuwili au zaidi kwa pamoja. MUNGU SI MWANADAMU! ANAWEZA YOTE – NA HASA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO!
Kwanza: Hili swali ni jibu tosha kuwa Allah anaye abudiwa na Waislam sio Mwenyezi Mungu na hana uwezo wa Kimungu. Kabla sijaweka jibu, ngoja nianze na swali kwa Waislamu: HIVI ALLAH ANAENDESHAJE DUNIA WAKATI HAJAWAI FIKA HAPA DUNIANI?
Sifa moja ya Mungu ambayo haipo kwa Allah ni ya kuwa kila mahali kwa wakati mmoja. Hii sifa ya kuwa kila mahali "omnipresent" ni ya Mungu peke yake. Je Yesu alipokufa aliwezaje kuendesha dunia kama wanavyo uliza hawa Waislam wanao mwabudu Allah asiye na uwezo wa kuwa kila mahali?
Yesu anaanza kukujibu kwa kupitia Injili ya Mathayo kama ifuatavyo:
Mathayo 18:20, Inasema: 20 Kwa maana wanapokutana watu wawili au watatu katika jina langu, hapo mimi nipo pamoja nao.”
Sifa ya kuwa kila mahali kwa wakati mmoja ni ya Mungu pekee, lakini Yesu anasema yeye hiyo sifa ni yake na anayo. Umesoma mwenye kwenye Mathayo hapo juu kuwa watu wawili au watatu wakikutana kwa jina lake yeye yupo, Haijalishi mpo nchi gani, yeye yupo. Mkitutana Johannesburg na wengine Capetown na wengine Texas yeye yupo. Hii ndio raha ya Yesu ambaye ni Mungu.
Tuendelee kumsoma Yesu kupitia Zaburi Mlango wa 139
aya 7 Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? 8 Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko. 9 Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari; 10 Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika.
Tunamsoma Mfalme Daudi hapo juu akikiri kuwa, Mungu yupo kila mahali na huwezi kujificha kutoka kwake. Jambo la kutia aibu, Muislam anauliza, eti Yesu alipo kuwa amekufa nani alikuwa anaongoza dunia? Hivi kweli mtu mwenye akili anawezaje kuuliza swali la kitoto na la kidunia namna hii? Hivi unawezaje kulinganisha uwezo wa Mungu na binadamu ambaye ni dhaifu? Ndio maana huwa nasema Allah hawezi kuwa Mwenyezi Mungu hata mara moja, maana wafuasi wake hawana uelewo wa KIMUNGU kuwa Mungu yupo kila mahali?
SASA nawauliza Waislam: HIVI ALLAH ANAENDESHAJE DUNIA WAKATI HAJAWAI FIKA HAPA DUNIANI? Nijibuni kwa aya na sio matusi.
Leo nimeweka kwa kifupi tu kuwa Yesu yupo kila mahali, haijali wewe upo wapi au nchi gani, ukimwita anaitika na kuja kukusaidia. Ili kumfahamu Yesu zaidi soma kijarida cha http://www.maxshimbaministries.org/…/asilia-mbili-ya-yesu-k… kwa msaada zaidi. Yesu si nabii tu kama ambavyo Waislam nadai, bali ni zaidi ya hapo, maana yeye ni Munguhttp://www.maxshimbaministries.org/…/uthibitisho-10-kuwa-ye…
Yesu alipo kuwa amekufa au alipo kuwa nje ya mwili wa kibinadamu bado alikuwa Mungu maana Mungu ni Roho na hafi. Kilicho kufa ni mwili na sio Roho ambaye bado ilikuwa inafanya kazi. Ndio maana Yesu alisema mnapo kuwa wawili au watatu katika jina lake yeye yupo.
Lakini utakuta Waislamu wanauliza maswali ya ajabu sana. Eti, kama Yesu ni Mungu, wakati amekufa, nani alikuwa anaangalia dunia?
Hili ni swali linalofaa kuulizwa juu ya kiumbe. Kama tungesema kuwa mwanadamu fulani alikuwa amekufa, ndipo kuna mantiki kuuliza kwamba, wakati amekufa nani alikuwa anatunza familia yake? Maana hili ni swali linalohusu tabia za kibinadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuwa mahali kuwili au zaidi kwa pamoja. MUNGU SI MWANADAMU! ANAWEZA YOTE – NA HASA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO!
YESU NI MUNGU MILELE NA MILELE!!
HALELUYA!!
Tafakari
Hoji mambo
Chukua hatua!
Katika huduma yake Max Shimba Ministries Org.

Tuesday, September 20, 2016

VIOJA VYA MUHAMMAD: ETI MAITI YA KIISLAMU INA UFAHAMU. NA INAJUA NANI ANAIBEBA


Kasema Mtume (S.a.w)
“Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani anaemtia kaburini mwake” (Mweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2, Hadithi Na. 422, Uk. 188)

MWAMDISHI SHEIKH SAID MOOSA MOHAMED AL-KINDY
Hivi jamani unaposema maiti kuna kujua tena? kuna uhai tena? yaani muislamu akifa, yule anaemosha, yaani anaemkamua mavi, anaemtia kidole matakoni kuhakiki kama mavi yote yameisha, anamjua, maana kuna siri hapo kwenye kukamua, wanaambiwa wasitoe siri hiyo nje, kwa ushahidi huu
Kasema Mtume (S.a.w) “Anaeosha Maiti basi aanze kwa kumkamua” (Mkweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2 Hadithi Na. 423, Uk. 188)

423 Na muradi wa kukamua, si kama inavyokamuliwa nguo, la: bali analazwa chali, kisha anakalishwa nkitako na huku anakandamizwa kidogo kidogo tumboni kisha unamrejesha tena chali kisha unamuinua kumkalisha na mkono wako uwe tumbono mwake, unafanya hivyo mara tatu, kisha unamosha tena. Na ikiwa umemtoka uchafu wote tumboni kwa njia ya haja utupu wa nyuma, Bai useme kitu wala msimwambie mtu, ukitoa siri yake maiti basi hupati thawabu, na badili yake unapata madhambi.

Hapo kwenye usitoe siri ndipo penye kutiana vidole makalioni kwa maiti maana huwezi jua kama uchafu umeisha mpaka umtie kidole kwa pamba au kitambaa cheupe,uone umetoka uchafu wa rangi gani, maana miti yule kwa mujibu wa Muhammad, anajua kabisa fulani kanitia kidole matakoni, kwa hivyo muislamu akitoa siri hiyo basi anapata dhambi, badala ya thawabau. SASA TUJIULIZE, JE Maiti anakuwa na ufahamu wowote? anaejua yote hayo ni marehemu aliye hai? Msikilize Mfalme Sulemani anavyosema.

Muhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa

Kwa ushauri wangu, waislamu msitishike na hao maiti wenu, hawajui lolote, kwa hivyo hizo siri tupeni manzowafanyia hao marehemu wenu.

Saturday, September 17, 2016

UISLAM NI UZAO WA MBWA MWITU


Hebu tuanze kusoma jinsi ambavyo Ishamel alivyo tabiriwa kabla ya kuzaliwa kwake:
Mwanzo 16: 11 Pia malaika wa BWANA akamwambia: “Wewe sasa una mimba nawe utamzaa mwana. Utamwita jina lake Ishmaelia, kwa sababu BWANA amesikia juu ya huzuni yako.
12 Atakuwa punda mwitu katikati ya wanadamu, mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu na mkono wa kila mtu dhidi yake, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake wote.’’
Dunia ya leo wapo mbwa-mwitu "Waislamu", kwa dhumuni la kuharibu kile kitu cha ki-Mungu ndani yako wewe uliye kondoo, Wapo kwa ajili ya kutolihurumia kundi (Matendo 20:29)
Uwepo wa mbwa-mwitu "WAISLAMU" ni mzuri kabisa kwa maana kupitia hao ndipo jina la Bwana linatukuzwa. Mbwa-mwitu ni wakali hawana kusamehe kabisa lengo lao pia ni kumwaga damu, lakini kupitia wao sisi ndio tunavuka. Mfano Wamisri walikuwa kama mbwa-mwitu kwa Waisraeli,
Waislam wanasema na kukiri kuwa, eti Muhammad alitokana na uzao wa Ishmael. Kumbe basi ndio maana hawa Waislam wana chuki na uadui na kila mtu kama ambavyo Biblia ilitabiri kwenye Mwanzo 16 aya ya 12 Atakuwa punda mwitu katikati ya wanadamu, mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu na mkono wa kila mtu dhidi yake, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake wote.’’
Kumbe Muhammad ni Mbwa Mwitu maana Waislam wanasema kuwa ametoka kwa Ishmaeil. Kumbe basi Waislam ni uzao wa Mbwa Mwitu.
Sasa tazama uwepo wa Wamisri ulivyowafanya kuvuka bahari ya shamu, maana ni ukweli kabisa pasipo wale Wamisri kuwafuatia kwa nyuma hawa Waisraeli wasing’evuka bahari ya shamu.
Lakini ile namna ya uwepo wa mbwa-mwitu uliwafanya waokoke, Mimi sijui leo hii wewe unapitia kati ya mbwa-mwitu wa namna gani?
Huyo mbwa-mwitu uliyekuwa naye yupo kwa ajili ya wewe uvuke hapo ulipo. Hivyo yatupasa hata kumshukuru Mungu kwa ajili ya uwepo wa mbwa-mwitu katika maisha yetu ya kila siku, kwa maana wana tuimarisha kiimani hata kusonga mbele.
Kumbuka;

DADA WA KIISLAM "MWARABU" AOKOKA, AFUKUZWA KWAO NA KUTISHIWA KIFO, ASEMA KUWA YESU NI MUNGU NA HATO MUACHA KAMWE


Baada ya kuokoka, dada kwenye picha (Jina tunalo) amediriki kusema kuwa Ukristo ni Imani yenye upendo wa kipekee na hakuwai ona upendo wowote ule kwenye dini ya Kiislam zaidi ya chuki.
Hivi sasa familia yake imemtenga na kumtishia kifo kama hato silimu na kurudia Uislam.
HAKIKA YESU NI MUNGU NA ANAWAPENDA WOTE
“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja” (Mathayo 24:14).

JE, MUNGU ANAWEZA KUVAA MWILI WA BINADAMU?

Image result for GOD IN FLESH
Tendo la dhambi ya Adamu na Hawa lilimuingiza mwanadamu katika deni kubwa lisiloweza kulipwa na mwanadamu mwenyewe hebu tusome:-
Mwanzo 3:17
Walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Kwa kadri ya Andiko hilo tunasoma kuwa Mungu alipomuweka Adamu na Hawa katika bustani ya edeni aliwapa masharti yahusuyo ulaji ambapo wanadamu hao walikatazwa kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, lakini mbali na kukatazwa huko pia walionyeshwa hasara ambayo wangeipata kama matokeo ya kukaidi agizo hilo la kula matunda hayo ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
Kwa uwazi kabisa Mungu aliwaambia juu ya hatari hiyo ambayo wangejiingiza kwayo kuwa ilikuwa ni kifo’ (siku utakapokula utakufa hakika) kwahivyo kimsingi tendo la wazazi hao kujiingiza katika tendo hilo la dhambi ilikuwa ni sawa na kujiingiza katika deni la dhambi ambalo malipo yake ni mauti (kifo).
Na kwa hali hiyo basi mwanadamu huyu alihitaji msaada wa kunasuliwa toka katika deni hilo la dhambi, hivyo ilipasa upande wa pili unaoweza kukabili deni hilo kujitokeza ili kumsaidia mwanadamu kwakuwa kimsingi hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kukabili deni la kifo maana liko nje ya uwezo wa mwanadamu kama Daudi anavyoeleza:-
Zaburi 49:7-8
Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,8 (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama, Wala hana budi kuiacha hata milele;)
Hilo ni tamko la wazi la Biblia likibainisha kuwa kamwe mwanadamu hawezi kujiokoa au kumwokoa jirani yake kwakuwa nafsi ya mwanadamu inagharama ambayo haiwezi kulipwa na mwanadamu mwenyewe.
Hivyo kwa hali hiyo swali la msingi hapa linaloibuka ni kuwa sasa ni mamlaka gani yenye uwezo huo wa kulipa deni hilo la mauti na hivyo kumnusuru mwanadamu?. Ili kupata urahisi katika kujibu swali hili jambo la msingi hapa ni kuangalia sifa za msingi za mamlaka inayoweza kufanya kazi hiyo ambapo kimsingi sifa hizo ni lazima zihusiane na:-
- Uwezo wa kuasisi uhai (kuumba).
- Mamlaka dhidi ya kifo (mauti).
Kadiri ya sifa hizi ninaamini haitakuwa jambo la kufikiri kwa muda mrefu kuwa jukumu hili la ukombozi linaangukia kwa nani hasa kutokana na ukweli kuwa sifa hizo zote zinaonekana kwa Bwana Yesu na jambo jema ni kuwa vitabu vyote vya dini vinathibitisha ukweli huo hebu tuchunguze.
Uwezo wa kuasisi uhai (kuumba).

Friday, September 16, 2016

WAISLAM NYIE MNA MA-ALLAH WANGAPI?


Hebu rejea kwenye Kuran kwanza:
Suratul Anbiyaa 91. Na mwanamke aliye linda uke wake, na TUKAmpulizia katika roho YETU, na TUKAmfanya yeye na mwanawe kuwa ni Ishara kwa walimwengu.
Ndugu zanguni, Allah ameanza vituko vyake hapa. Katika Koran Allah anadai kuwa hana msaidizi Suratul Baqarah: aya 106 ― 107 Lakini katika aya tuliyo isoma hapo mwanzoni - Suratul Anbiyaa 91 tumeona kuwa Allah anatumia wingi alipo kuwa akielezea jinsi alivyo mpa ujauzito Maryam na au labda wenzetu wana MA-ALLAH WENGI.
Waislam, nyie mna Ma-Allah wangapi?
ULE UTATA UNAOWASUMBUA WATU KILA KUKICHA, JE! HAWA WANAOTUMIA WINGI KATIKA QURAN NI MUNGU AU NI WENGINE?
ALLAH ANAMUUMBA ISA BIN MARYAM KWA KUTUMIA WINGI:
Kuran imejaa utata, hebu soma hapa Suratul Attahriim 12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na TUKAmpulizia humo kutoka ROHO YETU, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.
HAPA: Allah anasema kwa undani zaidi TUKAmpulizia ROHO YETU. Hivi huyu Allah ni kweli alikuwa Mungu au ni madai ya Muhammad na rafiki yake Jibril? Mbona alisema kuwa yeye hana msaidizi wala Mwana? Kivipi Allah anatumia wingi katika kumuumba Isa Bin Maryam? Kumbe Waislam mna Ma-Allah wengi.
Aya zaidi kuhusu Maryam na kupata ujauzito za Isa: Suratul Anbiyaa 91.
Endelea hapa tena:
ALLAH ANAMUUMBA BINADAMU KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
HAPA tumesoma kuwa Allah anamuumba Binadamu kwa kutumia wingi" Nukuu: Na TULIMUUMBA MTU"
Endele hapa tena
ALLAH ANAUMBA MAJINI KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 27. Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji. Sasa anasema kuwa "TULIWAUMBA MAJINI" Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji.
KARIBU TUONE,,,
QURAN 39:2 " KWA YAKINI, SISI TUMEKUTEREMSHIA KITABU HIKI KWA HAKI, BASI MUABUDU MWENYEZI MUNGU KWA KUMFANYA MOLA YEYE TU"
hapo tunaona, hao wanaotumia WINGI (sisi) WAKISEMA, ndio wameteremsha Quran, na wanamwambia mtume amuabudu mwenyezi Mungu tu!
Hebu tujiulize Je! Hawa Wanaosema hivyo ni kina nani hasa?
Waislam wanasema kuwa hao ni Mungu maana Mungu hutumia WINGI kwa sababu ya Ukuu wake, Ok, hebu tukubaliane na DHANA HIYO HALAFU TUENDELEE KUANGALIA MAANDIKO,
SURAT AD-DAHR :2 " KWA HAKIKA TUMEMUUMBA MTU KUTOKANA NA MBEGU YA UHAI ILIYOCHANGANYIKA,,,,,
3) HAKIKA SISI TUMEMUONGOA (TUMEMBAINISHIA) NJIA,,, ,
kwa mujibu wa aya hizo hapo, utaona hao wanajiwakilisha kama Mungu, maana uwezo wa kuumba ni wa Mungu,
Na sio hizo tu, aya nyingi sana, hao wanaotumia (sisi) huchukua nafasi kama Mungu,,,
HEBU LEO TUMALIZIE UTATA HAPA
SURAT AL MA'ARIJ (70):40-41
40)"BASI NAAPA KWA MOLA WA MASHARIKI ZOTE NA MAGHARIBI ZOTE KWAMBA SISI TUNAWEZA "
41)"KUWABADILI (NA KULETA) WALIOBORA KULIKO WAO, NA SISI HATUSHINDWI (NA KITU)"
Katika aya ya 40, hao wanaapa kwa Mola (mkuu) na WANASEMA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA, HAWASHINDWI KITU (41)
SWALI :
JE! NANI ATAKAYE TUAMBIA, HAWA WALIOAPA KWA MOLA WA MASHARIKI YOTE NA MAGHARIBI YOTE NA KUDAI KUWA HAWASHINDWI KITU NA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA NI KINA NANI HAWA?
JE NI MUNGU? (kama ni Mungu iweje aape kwa Mola wa mashariki yote na magharibi yote?)
JE NI JIBRIL (Ikiwa ni Jibril, yeye anaweza kila kitu Kama Mungu,? maana Mungu ndiye awezaye kila kitu halafu iweje atumie wingi "sisi ')?
JE NI MTUME? (atawezaje kila kitu)?
Wadhalimu wa dini ya Kiislam wamekuwa mstari wa mbele kusema kuwa, eti Wakristu wana miungu mingi na wao wana Mungu Mmoja tu naye ni Allah. Leo tumejifunza kuwa, Allah hayupo peke yake maana sasa anatumia wingi katika kazi zake ikiwa pamoja na ya uumbaji wa Binadamu na Majini.
Nukuu zingine ambazo ALLAH anatumia wingi: S. 3:44, S. 3:145, S. 17:1, S. 6:114, S. 19:40-42, 50-53, 56-74 Arberry, S. 2:252-253 , S. 3:108 Y. Ali; cf. S. 45:6, S. 37:161-166 Pickthall, S. 37:170-182 Y. Ali, S. 23:12-14 Arberry, S. 19:16-2, S. 66:12 Pickthall, S. 15:26-29 Pickthall.
Ndugu zanguni nimeweka ushaidi wa kutosha kutoka Quran yao kuhusu wingi ambao Allah amekuwa anautumia kila mara kwenye Quran yake.
1. Waislam, nyie mna MA-ALLAH WANGAPI?
2. Je, Allah anaye Msaidizi?
3. Je, Allah anaye Mwana ambaye na yeye ana wadhifa wa Ki Allah?
4. Kwanini Allah anatumia wingi huku tukifahamu kuwa Allah hafananishwi wala hana msaidizi?
Hakika kuna shaka kubwa kubwa kwenye Quran ya Allah ambayo sasa inasema kwa kutumia wingi.
YESU ANAKUPENDA SANAAAAAAA!!!
Barikiwa sana
For Max Shimba Ministries Org.

Tuesday, September 13, 2016

ALLAH ATHIBITISHA KUWA YEHOVA NI MWENYEZI MUNGU NA NDIE ALIYE UMBA KILA KITU


Kila mtu mwenye kufuata Dini au Imani huamini kuwa Mungu ndiye muumbaji ambaye ameumba wanandamu, wanyama na vyote tunavyoviona na vile tusivyoviona. Hivi yafaa tuangalie kile kinachosemwa na Yehova kuhusu uumbaji na vile Allah anavyosema. Je, kauli zao zinapatana au zinatofautiana?
Swali kwako mfuatiliaji: Je, Allah ndiye Yehova aliye umba kila kitu?
Kuapa kwa ALLAH kuhusu viumbe:
Qurani 91:1-7 Suratul Ash-Shams (Jua): Naapa kwa jua na kwa mwangaza wake. Na kwa mwezi unapoliandama. Na kwa mchana unapolidhihirisha. Na kwa usiku unapolifunika. Na kwa mbingu NA KWA ALIYEZIJENGA. Na kwa ardhi NA ALIYEZITENGENEZA. Na kwa nafsi (roho) na Aliyeitengeneza.
HUYO ANAYE APA NI ALLAH. TENA ANAAPA KWA ALIYETENGENEZA ARDHI NA KWA ALIYEZIJENGA MBINGU. KUMBE ALLAH HAKUTENGENEZA WALA UMBA ARDHI NA MBINGU.
Qurani 92:1-3 Suratul Al-Layl (Usiku)
Naapa kwa usiku ufunikapo (kila kitu). Na kwa mchana uangazapo. Na KWA ALIYEUMBA KIUMBE NA KIKE.
Hapa tunaona Allah anayeabudiwa na Waislamu anaapa kwa mbingu na kwa aliyezinjenga, kwa ardhi na aliyeitandaza.
Kama Allah ndie Mwenyezi Mungu, kwanini anaapa kwa mwengine? ALLAH ANASEMA: NAAPA KWA ALIYEZITENGENEZA, ALIYEZIJENGA, NK. Kwanini Allah anaapa kwa mwengine, tena huyo mwengine ndie aliye ITENGENEZA NA JENGA MBINGU NA ARDHI.
Je, huyo mtandazi wa ardhi na mjengaji wa mbingu ni nani? Qurani inaendelea kuhadithia hivi……..
Qurani 45:22 Suratur AL- Jathiyah (kiyama/ kupiga magoti)
Na mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa haki…
Qurani 44:7-8 Suratul Ad-Dukhan (moshi)
Mola wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake, ikiwa mnayo yakini (basi yakinisheni haya) Hakuna aabudiwaye kwa haki ila yeye anahuisha na kufisha. Mola wetu na ni mola wa wazee wenu (wote) wa mwanzo (na mola wa kila kitu)
Hapa tunaona kuwa Allah kupitia Qurani anasema kuwa Mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi na tena anasema hakuna aabudiwaye ila yeye. ALLAH HASEMI MIMI NIMEZIUMBA MBINGU NA ARDHI.

TRENDING NOW