Tuesday, November 1, 2016

MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE


Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?

KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA NA CHANGU DOA


Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?

Sunday, October 30, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI)


Kwenye somo letu lililo pita “Sehemu ya Tisa” tulijifunza kwanini Wakristo wanaabudu Jumapili, siku ya kwanza ya juma. Sasa tutajifunza kama kushika siku ya sabato kunaambatana na Torati yote ya Musa.
Maandiko matakatifu yanasema katika Yohana 1:17 “Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.”
Ndugu msomaji na watoto wa Mungu, ni jambo la msingi sana kufahamu kwamba, tunapotaja neno torati, tunamaanisha Amri kumi, sheria 613 na hukumu zake.

TORATI = AMRI KUMI + SHERIA 613 + HUKUMU ZAKE
Ningependa ufahamu kuwa katika nyakati za agano la kale “first dispensation”, ilikuwa, huwezi kuwa mkamilifu kwa kushika amri kumi tu bila kushika na sheria nyingine 613 na kuzitendea kazi hukumu zake. Mtu asiyetendea kazi yote yaliyoandikwa katika torati, alikuwa amelaaniwa;

UTHIBITISHO:

Galatia 3:10 tunasoma, “Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika YOTE yaliyoandikwa katika kitabu cha torati, ayafanye.”
Kumbe Mungu aliwaagiza wana wa Israeli washike torati yote na sio kushikilia siku moja to ya Jumamosi kama ambavyo Wasabato wa leo wanavyo fanya;

UTHIBITISHO:

Walawi 20:22 tunasoma, “Basi zishikeni amri zangu ZOTE, na hukumu zangu zote, na kuzifanya; ili kwamba hiyo nchi, ambayo nawapeleka ninyi kuiketi isiwatapike.”

UTHIBITISHO:

Pia Kitabu cha Kutoka 35:10 Biblia inasema, “Na kila mtu kati yenu aliye na moyo wa hekima na aje, na kuyafanya haya YOTE ambayo Bwana ameagiza.”

Sasa basi, Wasabato wao wanang’ang’ania sheria ya kushika sabato na makatazo ya baadhi ya vyakula katika nyakati hizi za Agano jipya, Watu hawa ni wazi kabisa, hawapo kwenye fungamano la Agano Jipya, maana tumeona bayana kwamba, sheria hii, Bwana hakuipitisha, kwa kuwa ilikuwa ni ishara, iliyokuwa ikimuashiria Yeye kama (sabato) pumziko la kweli la kiroho (Wakolosai 2:16-17).
Hivyo kushika sabato ni kukataa sheria ya Kristo na kuikubali sheria ya Musa. Na sharti la sheria ya Musa (torati) ni kwamba, ni lazima mtu ashike Amri kumi zote, sheria nyingine 613 na hukumu zake.
Mfano; sheria ya kushika sabato ilikuwa na hukumu yake, pale ambapo mtu, alionekana kutoitimiza, yaani alipaswa kuuawa;

UTHIBTISHO:

Kutoka 31:14 tunasoma, “Basi mtaishika hiyo sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa, kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.”

UTHIBITISHO:Kitabu cha Kutoka 35:2 Biblia inasema, “Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni sabato ya kustarehe kabisa kwa Bwana; mtu awaye yote atakayefanya kazi yoyote katika siku hiyo ATAUAWA.”

Kama Mungu alitoa agizo la kushika sabato, na pia akatoa agizo kuwa atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe; Je ni wasabato wangapi leo tunawaona wanafanya kazi Jumamosi, kama kuna usahihi wowote mbona hatuoni wakiitekeleza hukumu ya kuuana? maana ni agizo la Mungu mwenyewe.
Yakobo 2:10 inasema mtu akiishika sheria yote, akajikwaa katika neno moja tu, amekosa juu ya yote.

NDIO MAANA YESU ALIIVUNJA SABATO:    Wapendwa! hii ndiyo sababu iliyompelekea Bwana Yesu kuivunja sabato, baadhi ya sheria na hukumu zote; kwa kuwa ilikuwa ni huduma ya mauti (2 Wakorintho 3:7).

KWANINI WASABATO HAMSHIKI SHERIA 613 NA HUKUMU ZAKE?    Mtu anayeshika sheria ya sabato katika nyakati hizi za agano jipya, anapaswa kushika na amri tisa zote, pamoja na sheria 613 na hukumu zake, ambazo zote zimefafanuliwa kwenye vitabu vya Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la torati. Lakini kama Wayahudi walishindwa, sisi tutaweza wapi? Watoto wa Mungu, tusikubali kujitwisha mizigo ambayo Bwana wetu alikwisha itua, kwa nini tuendelee kukaa kwenye makosa yaliyofanyika katika agano la kwanza; 

UTHIBITISHO:Waebrania 9:15 tunasoma, “Kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya,ili, mauti ikiisha kufanyika, KWA KUKOMBOA MAKOSA YALIYOKUWA CHINI YA AGANO LA KWANZA, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.” Kazi ya torati (ikiwemo sheria ya sabato) ilikuwa ni kama kiongozi cha kutuleta kwa Bwana Yesu kama maandiko yanavyosema katika kitabu cha Wagalatia 3:24-26 tunasoma, “Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. Lakini, iwapo imani imekuja, hatumo tena chini ya kiongozi (torati-ikiwemo sabato).” Sabato ni kama kiongozi cha kutuleta kwa Kristo maana Yeye ndiye sabato mwenyewe (pumziko), sasa kwa vile Kristo amekuja, sasa hatupasWi kuing’ang’anisa sabato.


MADHARA YA KUSHIKA SHERIA YA SABATO:

1. Kushika sabato kuna mfanya mtu asiwe mwana funzi wa Yesu, bali mwanafunzi wa Musa, kwa kuwa torati ilikuja kwa mkono wa Musa na neema na kweli vilitolewa kwa mkono wa Yesu (Yohana 1:17).
2. Kushika siku ya sabato ni mafundisho manyonge na yenye upungufu, hivyo kumfanya mtu awe mwana wa Jehanamu mara mbili (Mathayo 23:15). Kitabu cha Wagalatia 4:9-10 Biblia inasema, “Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena? MNASHIKA SIKU, na miezi, na nyakati, na miaka.”

Saturday, October 29, 2016

EU using taxpayer money to give Muslim invaders in Turkey free debit cards and cash transfers to keep them out of Europe


As many as one million illegal alien Muslim colonizers in Turkey will receive debit cards and monthly cash transfers to help pay for food and housing under a new €348 million ($393 million) humanitarian program from the European Union.

turkey-drop

ZeroHedge  The EU’s largest-ever humanitarian program is part of a €3 billion package of assistance the bloc promised Turkey to support some three million refugees the country hosts, mainly from Syria.

The new EU program will be overseen by the World Food Program, in cooperation with the Turkish Red Crescent. Each family’s need will be assessed individually and there are additional funds available for education or supporting elderly family members.

immigratia

Step-by-Step Progression into a sinkhole for the EU

  1. More refugees will seek free handouts.
  2. Turkey will complain €3 billion is not enough.
  3. The refugees will complain €1,000 is not enough.
  4. EU citizens will wonder why refugees are getting €1,000 and they are not.
  5. Demands for an EU-wide helicopter drop of free debit cards will soar.
  6. The amounts demanded will soar.
  7. Some economist will propose the debit cards will expire if not used quickly.
  8. And then, and then ….Under Eurozone rules the ECB cannot simply print money and give it away. Countries have budget constraints. So, either taxes go up to pay for the scheme, or the EMU rules have to change.

Western media are reporting on the Muslim refugee crisis as a humanitarian problem for the West only. But where are the media questions about the huge financial and land resources available in the Arab Gulf states of Saudi Arabia, Qatar, Kuwait, and the UAE?  So far, the richest Arab Muslim countries in the Middle East have taken in virtually no Muslim refugees.

UNIDENTIFIED (MUSLIM?) ‘knifeman’ on the run after stabbing four people at a Frankfurt train station


The attack this afternoon occurred at Hauptwache Station and police have said there are four victims. At this stage the motive for the stabbings is not clear. (It will become crystal clear once you identify the attacker as a Muslim)

4221396001_5189979988001_5189954843001-vs

UK Daily Mail (h/t larr)  The local police force confirmed the attack by Tweeting: ‘There was a knife assault at the #Hauptwache in #Frankfurt. ‘That’s why so many colleagues [police officers] and rescue workers there.’ Frankfurt Police confirmed all four victims were still in hospital.  

video of the bloody aftermath was captured on what is understood to be level B of the station. The incident was at 5.30pm local time, according to Hessenschau, who report the stabbings came after a group were quarreling. A dispute had started on one platform and spilled over onto another one.

nintchdbpict000278459927

There was more bloodshed in a separate incident at the station, understood to be on a passenger train between Hauptwache and Taunusanlage. A dispute between two passengers broke out into a fight, according to Hessenschau, which led to glass being broken and people suffering cuts. 

Frankfurt police looked to reassure the public by tweeting: “If we recognized a threat to the local population we would communicate this.” (No, you wouldn’t)

39da979b00000578-3885618-image-a-9_1477764049483

The stabbings will still raise fears the attack was ISLAMIC terror-related after a string of incidents across Europe over recent months. Germany has been rocked by ISLAMIC terror attacks this year, heaping pressure on chancellor Angela Merkel’s open-door MUSLIM immigration policy.

A bloody week of violence that rocked Germany began on July 18 when Pakistani MUSLIM teenager Riaz Khan Ahmadzai, 17, posing as an Afghan refugee, hacked at passengers on a train in Wurzburg with an axe, wounding five. Four days later, a German-Iranian MUSLIM teenager Ali Sonboly shot nine people dead during a rampage through a shopping centre in Munich before taking his own life.

Two days later a Syrian MUSLIM refugee, 21, hacked a pregnant woman to death in Reutlingen and on the same night Daleel, 27, injured 12 people when he detonated a rucksack packed with metal shards and screws. Daleel carried out the attack on behalf of the ISLAMIC terror group ISIS and had planned to kill hundreds by detonating him bomb at an open-air music festival.

MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA MKEWE KHADIJA


Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani: Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.
Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa unabii na utume. Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi. Khadija alimfunika nguo mumewe akidhani ana homa. Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo. Kwa sababu kama angekuwa ni malaika kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.
Mwisho wake Bi Khadija akamsimika UTUME Mume wake Muhammad.
Leo umejifunza kuwa Muhammad alipewa utume na Mkewe.
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
www.maxshimbaministries Org

BALAA: KUMBE WANAUME WA KIISLAM WAMERUHUSIWA KUINGILIANA KIMWILI.


Surah An Nisaai 21. Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi iliyo madhubuti?
Allah amewaruhusu Waislam waingliane wenyewe kwa wenyewe. Huu ni Msiba mkubwa sana.
Mungu haumbi Mwanadamu mwenye tamaa ya ushoga. Biblia inatuambia mtu huwa shoga kwa sababu ya dhambi. (Warumi 1:24-27), na pia kwa sababu ya uamuzi wake mwenyewe. Mtu anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya ushoga kama vile watu pia huzaliwa na msukumo juu ya fujo na dhambi nyinginezo. Hili halihalalishi dhambi yoyote inayofanywa na wanadamu. Je, mtu akizaliwa na msukumo wa hasira mbaya, ni halali aendeleze hasira zake mbaya? La, hasha. Hata kwa ushoga pia si halali.
SASA TUMSOME MUHAMMAD, JE NA YEYE ALIKUWA NA HII TAMAA MBAYA?
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikunyonya na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Hivi lini hawa ndugu zetu watafunguka macho?
Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chake mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Astaghafurillah, huyo ndio Muhammad nabii wa Allah na ndio mwenye dini ya Uislam. Umeisoma mwenye tabia yako, lakini Waislam hawasei kitu hapo.
Nakushauri ndugu ambaye hujaokoka uachane na huyo Muhamamd aiye nyinya mdomo wa Ali na umpokee Yesu amabye ni Mungu Mkuu.
Yesu anakupenda sana.
Katika huduma yake,
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu.

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA TISA)


Kwenye somo letu lililo pita “Sehemu ya Nane” tulijifunza sababu zilizo mfanya Bwana Yesu kuingia Sinagogi. Sasa tutajifunza kama kusali na au kuabudu siku ya Jumapili ni makosa.
Wasabato wanasema kuwa, Mungu aliweka agano lake na kamwe haliwezi kubadilika. Hivyo basi, kwenda Kanisani siku ya Jumapili ni kinyume na sharia ya Nne kati ya zile kumi, na ni makossa. Je, kusali jumapili ni makossa? Zifuatazo ni baadhi tu ya hoja hizo na majibu yake;
Neno la Mungu linasema wazi kuwa kuitunza Sabato ilikua ishara maalumu kati ya Mungu na Waisraeli: “Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli watishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika” (Kutoka 31: 16-16).
1. WASABATO WANASEMA KUSALI JUMAPILI NI MAKOSA: Wasabato hudai kwamba, Wakristo wanaofanya ibada zao siku ya jumapili, ni makosa mbele za Mungu, maana siyo agizo la Mungu bali ni agizo la mwanadamu.
Hoja hii ya Wasabato si ya msingi na haina ukweli ndani yake na ni dhaifu katika maantiki ya kuwa Mungu alivunja sabato kupitia Yesu ambaye ni Bwana wa Sabato.
HOJA FUPI: WAKRISTO NI WANAFUNZI WA YESU NA SIO MUSAKwanza kabisa ningependa watu waelewe kwamba, Wakristo wanaofanya ibada zao siku ya jumapili na siku nyingine, hao si wanafunzi wa Musa, bali ni wanafunzi wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye ndiye mdhamini wa agano lililo bora zaidi, yaani agano jipya, kama Biblia inavyosema katika Waebrania 7:22, “Basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.”
Lakini pia, msingi wao, wa kufanya ibada siku ya Jumapili na siku nyingine, hautokani na torati ya Musa, bali ni msingi unaotoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo (nitaeleza kwa upana katika sura inayosema ‘Kwa nini Wakristo wanafanya ibada zao siku ya Jumapili’).
Hata hivyo, bado katika agano la kale Mungu aliagiza watu wakusanyike Jumapili ingawa wasabato wengi hawalioni andiko hilo.
UTHIBITISHO:Tukiangalia katika Kutoka 12:16 Biblia inasema, “SIKU YA KWANZA kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na SIKU YA SABA kutakuwa na kusanyiko takatifu, haitafanywa kazi yoyote katika SIKU HIZO, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.” Siku ya kwanza ya juma ni Jumapili, na siku ya saba ni Jumamosi kwa kalenda yetu. Kwa hiyo mtoto wa Mungu, mwanafunzi yeyote wa Musa wa nyakati za leo anapokuja na kukusumbua juu ya siku ya Jumamosi, mwambie mbona siku ya kwanza ya juma yeye hafanyi ibada na ni agizo la Mungu kama tulivyokwisha kuona katika Kutoka 12:16.
2. WASABATO WANADAI KUWA, KUABUDU JUMAPILI “SUNDAY” NI IBADA YA MUNGU JUA:
Wasabato wanadai kwamba, Wakristo wanafanya kusanyiko siku ya Jumapili, wana abudu mungu Jua, kwa sababu siku ya Jumapili kwa Kiingereza huitwa ‘Sunday’ ikimaanisha siku ya Jua.
Hoja hii si ya msingi na haina ukweli ndani yake zaidi ya kusema kinyume na maandiko. Ili tupate kuelewa ukweli wenyewe, kwanza ni vema tukaziorodhesha siku zote saba kwa kiingereza alafu tuangalie maana ya siku zote saba, hapo ndipo tutabaini ukweli. Lakini ni vema tukafahamu kuwa, siku hizi saba, zilipewa majina na wapagani wa Kirumi kulingana na mungu wa kila siku hiyo, ingawa Mungu alipoumba siku, hakuzipa majina, bali alitumia siku ya kwanza hadi siku ya saba. Hivyo kuzipa kwao majina ya miungu yao ya kipagani, haizuii Wakristo wa kweli kumuabudu Mungu wao aliyeumba siku hizo, maana Yeye ndiye Mzee wa siku. Kwa mfano, siku inapoitwa, siku ya Mwenge (Mwenge day) ikiangukia Jumamosi, je tutasema wasabato wanamwabudu mungu Mwenge, na hivyo kuwafanya wasifanye ibada siku hiyo? Kwa sababu serikali imetangaza siku hiyo ni siku ya Mwenge (Mwenge day). Au siku ya ukimwi duniani, ikiangukia Jumamosi, je itawazuia wasabato wasifanye ibada siku hiyo, kwani ni siku ya ukimwi, hivyo wakifanya ibada zao watakuwa wanamwabudu mungu ukimwi? Ebu sasa turudi kwenye kuangalia majina ya siku zote saba kwa Kiingereza na maana yake;
MAANA YA MAJINA YA SIKU KWA KIINGEREZA:>Jumatatu (Monday) - inatokana na moon day, kwa wapagani wa nyakati zile ilimaanisha siku ya kumwabudu mungu moon (mwezi).
>Jumanne (Tuesday) –inatokana na tiw’s day, kwa wapagani wa nyakati zile ilimaanisha ni siku ya mungu Tiw.
>Jumatano (Wednesday) –inatokana na wedn day au woden day, kwa wapagani ilimaanisha siku ya mungu wedn au woden.
>Alhamisi (Thursday) –inatokana na thor day, kwa wapagani ilikuwa ni siku ya kumwabudu mungu thor.
>Ijumaa (Friday) - inatokana na frig day au freia day, kwa wapagani ilikuwa ni siku ya mungu frig au freia.
>Jumamosi (Saturday) –inatokana na Saturn day (siku ya sayari zohari), kwa wapagani ilikuwa ni siku ya kumwabudu mungu wa Kirumi aitwaye Saturnyaani kwa Kiswahili sayari ya zohari.
>Jumapili (Sunday) –ilitokana na sun day (siku ya jua), kwa wapagani waKirumi ilikuwa ni siku ya kumwabudu mungu sun (jua).
Hivyo basi, Siku zote za juma, Warumi walizipa majina ya miungu yao, kwa sababu hao kwa kipindi hicho ndiyo walikuwa watawala. Swali linakuja, kwa vile zimepewa majina ya miungu ya kipagani, hivyo siku zote hazifai kufanya ibada?
Siku ya Jumamosi, Warumi walikuwa wakimwabudu mungu Saturn kwa Kiswahili zohari, swali ni kwamba, kwa kufanya ibada zao Jumamosi, wasabato wote wanamwabudu mungu zohari yaani sayari ya zohari (Saturn)?

YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUZALIWA


Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.

Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.

NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:

Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).

Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.

DAMU YA YESU INAMAMLAKA

Matendo 20:28
Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake MUNGU, ALILOLINUNUA KWA DAMU YAKE MWENYEWE.
Ni Mungu gani mwenye damu huyu? Jibu liko wazi. Huyu ni Yesu Kristo. Huyu ndiye aliyetoa uhai wake na kumwaga damu yake msalabani; na hapo ndipo alipoanzisha Kanisa.
YESU NI MUNG

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW