Monday, December 19, 2016
Saturday, December 17, 2016
WAARABU WAMESHA ANZA KUSHEREKEA SIKUKUU YA KRISMAS

MADUKA MAKUBWA SASA YANAPAMBWA NA KUMTUKUZA YESU MUNGU.
Waarabu wameweka Mti wa Krismas katika Jumba la Emirates wenye thamani ya Dola Milioni 11 za Kimarekani.
Huu ni Ushuhuda tosha kuwa Yesu amesha anza kuiteka Arabia.
Kwa habari kamili na picha zaidi ingia hapa:
http://scoopempire.com/christmas-spirit-around-middle-east/
http://scoopempire.com/christmas-spirit-around-middle-east/
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA KUMI NA MOJA)

Ndoto ya Danieli Kuhusu Wanyama Wanne
I. Utangulizi:
I. Utangulizi:
A. Hii sura inaanza mabadiliko kubwa ya kitabu hiki.
1. Sura 1-6, Nyalaka za matukio ambapo nguvu za Mungu na utawala wake duniani unaonyeshwa katika viongozi wapagani kwa Yuda walipokuwa utumwani Babeli.
1. Sura 1-6, Nyalaka za matukio ambapo nguvu za Mungu na utawala wake duniani unaonyeshwa katika viongozi wapagani kwa Yuda walipokuwa utumwani Babeli.
2. Sura ya 7-12 inahusu maono ya nguvu aliyoyapokea Danieli kuhusu maisha ya baadae ya Waebrania na kuanguka kwa milki ya Babeli.
B. Sura ya 7-12 ina muda wa utaratibu wake.
1. Matukio katika sura sita za kwanza zimetumia kipindi cha miaka 67, 606 - 539.
1. Matukio katika sura sita za kwanza zimetumia kipindi cha miaka 67, 606 - 539.
2. Maono katika sura ya 7-12 yamefunuliwa nyakati tofauti kati ya 549 na 536.
C. Maono manne katika 7-12, sura tatu za kwanza (sura 7,8, & 9) ni utabiri.
1. Neno “apocalyptic” linatokana na neno la Kiyunani “apokalyptein” lenye maana ya ‘kufungua; au kufunua jina la kitabu cha ufunuo katika Kiyunani ni Apokalupsis.
1. Neno “apocalyptic” linatokana na neno la Kiyunani “apokalyptein” lenye maana ya ‘kufungua; au kufunua jina la kitabu cha ufunuo katika Kiyunani ni Apokalupsis.
2. Maono ni kazi ya fasihi ambayo inaonyesha jinsi ambavyo Mungu anajibu ambapo anaangamiza nguvu zinazotawala za uovu na kubadilisha kwa haki.
3. Tabia ya maono ina maana ya:
a) Tarakimu za kialama/ishara - muunganiko wa namba fulani zikiwa na
eleza sifa za Mungu, mwanadamu au talatibu za mambo ya asili.
eleza sifa za Mungu, mwanadamu au talatibu za mambo ya asili.
b) Sanaa ya maandishi: ni ya kuvumisha hata kubuni maneno picha yametumika
kuvutia na kusisitiza umuhimu na thamani ya misingi ya kanuni zake.
kuvutia na kusisitiza umuhimu na thamani ya misingi ya kanuni zake.
***===***
Daniel 7
Danieli aliota ndoto na maono ya Maana sana inayohusiana na siku za Mwisho.Biblia yasema,’’ Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza, mfalme wa Babeli, Danieli aliona ndoto, na maono ya kichwa chake, kitandani mwake; basi akaiandika ndoto, akatoa habari ya jumla ya mambo hayo.Danielii akanena, akisema, Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.
Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.Wa kwanza alikuwa kama simba, naye alikuwa na mabawa ya tai; nikatazama, hata mabawa yake yakafutuka manyoya, akainuliwa katika nchi, akasimamishwa juu kwa miguu miwili kama mwanadamu; naye akapewa moyo wa kibinadamu.
Na tazama, mnyama mwingine, wa pili, kama dubu, naye aliinuliwa upande mmoja, na mifupa mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake katika meno yake; wakamwambia mnyama huyo hivi, Inuka, ule nyama tele.
Danieli aliota ndoto na maono ya Maana sana inayohusiana na siku za Mwisho.Biblia yasema,’’ Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza, mfalme wa Babeli, Danieli aliona ndoto, na maono ya kichwa chake, kitandani mwake; basi akaiandika ndoto, akatoa habari ya jumla ya mambo hayo.Danielii akanena, akisema, Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.
Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.Wa kwanza alikuwa kama simba, naye alikuwa na mabawa ya tai; nikatazama, hata mabawa yake yakafutuka manyoya, akainuliwa katika nchi, akasimamishwa juu kwa miguu miwili kama mwanadamu; naye akapewa moyo wa kibinadamu.
Na tazama, mnyama mwingine, wa pili, kama dubu, naye aliinuliwa upande mmoja, na mifupa mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake katika meno yake; wakamwambia mnyama huyo hivi, Inuka, ule nyama tele.
ZAIDI YA WAISLAM 1200 WA MASHARIKI YA KATI KUBATIZWA BAADA YA KUMPOKEA YESU NA KUWA WAKRISTO

Zaidi ya Wislam 1200 ambao wamempokea na kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wao katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati wakubali kubatizwa.
Waislam hao ambao sasa ni Wakristo, wamemuomba Mchungaji wa "Bibles for Mideast" awafanayie ubatizo haraka iwezekanavyo.
Kikundi cha Injili cha Biblia kwa Mshariki ya kati (http://bibles4mideast.com) wapo katika kuomba na kufunga ili kupata mwongozo kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Wakati huo huo, Magaidi wa Kiislam na serikali za Kiislam wanapinga tukio hilo la kuwabatiza Waislam ambao sasa wamesha okoka na kumpokea Yesu.
Kwa habari kamili ingia hapa: https://bibles4mideast.com/…/1200-mideast-muslims-preparin…/
KWANINI YESU ALIKUFA MSALABANI?

i. Mungu Baba alipanga kifo cha Yesu Msalabani.
ii. Yesu alikufa ili kwa ajili ya dhambi zako.
ii. Yesu alikufa ili kwa ajili ya dhambi zako.
“Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya agano la milele
alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji
Mkuu wa kondoo, awafanye ninyi wakamilifu mkiwa
mmekamilishwa katika kila jambo jeama ili mpate kutenda
mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile kinachompendeza
machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye
milele na milele” (Waebrania 13:20-21).
alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji
Mkuu wa kondoo, awafanye ninyi wakamilifu mkiwa
mmekamilishwa katika kila jambo jeama ili mpate kutenda
mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile kinachompendeza
machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye
milele na milele” (Waebrania 13:20-21).
Mungu Baba alipanga kifo cha Bwana Yesu na pia alipanga
kufufuka kwake. Hii ndiyo sababu Biblia inasema kwamba
Mungu alimleta tena kutoka kwa wafu “Kwa damu ya Agano la
milele” (Waebrania 13:20-21).
kufufuka kwake. Hii ndiyo sababu Biblia inasema kwamba
Mungu alimleta tena kutoka kwa wafu “Kwa damu ya Agano la
milele” (Waebrania 13:20-21).
“Damu ya Agano la milele” inamaanisha damu ya Yesu Kristo. Yesu alisema, “Hii ndiyo damu yangu ya agano” (Mathayo 26:28). Biblia inatufundisha kwamba ili Yesu atuokoe ilimbidi akufe na afufuke. Yesu hangefufuka, basi hatungeokolewa. Kifo cha Bwana Yesu Kristo kilileta msamaha wa dhambi, kuoshwa kwa dhambi na wokovu kwa watu wa Mungu. Kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa ni dhihirisho kwamba Mungu Baba amekubali dhabihu yake ya kifo msalabani.
Wakati Yesu alikufa msalabani alijitoa kuwa sadaka kwa watu wake ili awalipie fidia ya dhambi zao. Wakati Mungu Baba alimfufua kutoka kwa wafu lilikuwa dhihirisho kwamba Mungu alifurahishwa na kifo cha Yesu. Mungu Baba alikuwa anasema kwamba kifo cha Yesu kimetosheleza fidia ya dhambi za watu wake.
Biblia inasema, “Kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu” (1 Wakorintho 15:17). Hii inamaanisha kwamba kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa hakikisho kwamba Mungu Baba alikubali kifo cha Yesu Kristo kama malipo yanayokubalika kulipia dhambi za watu wake. Yesu hangefufuka kutoka kwa wafu basi kifo chake hakingemfaidi yeyote. Ni baada tu ya kufufuka ndipo angeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwa dhambi zao.
Biblia inasema, “Kristo alifufuka kutoka wafu kwa utukufu wa Baba” (Warumi 6:4). Tukija kwa Yesu Kristo kwa imani na kumwamini yeye pekee kwa wokovu, basi dhambi zetu zitaondolewa na tutasamehewa na kupewa wokovu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
YESU ALIBADILI MWENENDO WA HISTORIA YOTE

Tembea sehemu yoyote ulimwenguni. Ongea na watu wa dini yoyote. Haijalishi jinsi walivyoshikilia tabaka za dini zao, kama wanajua chochote kuhusu historia, watakubali kwamba hakujawahi kuwa na mtu kama Yesu wa Nazareti. Yeye ni mtu wa ajabu mno kuliko watu wote wa enzi zote.
Yesu alibadilisha mwenendo wa historia. Hata tarehe kwenye gazeti lako la leo inathibitisha kwamba Yesu wa Nazareti aliishi ulimwenguni karibu miaka 2,000 iliyopita. Maandishi kwa Kiingereza "B.C." yanasimamia nyakati kabla ya kuzaliwa kwa Kristo; vilevile maandishi "A.D." yanasimamia nyakati baada ya kuzaliwa kwa Kristo.
KUJA KWAKE KULITABIRIWA
Mamia ya miaka hata kabla ya Yesu kuzaliwa, maandiko yaonyesha wanabii wa Israeli wakitabiri kuja kwake. Agano la kale, lililoandikwa na watu wengi katika muda wa miaka 1,500, lina unabii zaidi ya 300 kuhusu kuja kwa Yesu. Yote yaliyotabiriwa yalitendeka, pamoja na kuzaliwa kwake kimiujiza, maisha yake matakatifu, kufa na kufufuka kwake.
Mamia ya miaka hata kabla ya Yesu kuzaliwa, maandiko yaonyesha wanabii wa Israeli wakitabiri kuja kwake. Agano la kale, lililoandikwa na watu wengi katika muda wa miaka 1,500, lina unabii zaidi ya 300 kuhusu kuja kwa Yesu. Yote yaliyotabiriwa yalitendeka, pamoja na kuzaliwa kwake kimiujiza, maisha yake matakatifu, kufa na kufufuka kwake.
Maisha aliyoishi Yesu, miujiza aliyotenda, maneno aliyosema, kufa kwake msalabani, kufufuka kwake, kupaa kwake mbinguni - yote yathibitisha kwamba yeye hakuwa mwanadamu peke yake bali alikuwa zaidi ya mwanadamu. Yesu alisema, "Mimi na Baba tu umoja" (Yohana 10:30), "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:9) na, "Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." (Yohana 14:6).
MAISHA NA UJUMBE WAKE HUSABABISHA MABADILIKO
Tazama maisha na mvuto wa Yesu wa Nazareti, Mesiya, katika historia yote na utaona kwamba yeye na ujumbe wake huleta mabadiliko makubwa katika mataifa na maisha ya wanaume na wanawake. Popote mafunzo yake yalipoenea, utakatifu wa ndoa, haki na sauti ya wanawake imetiliwa maanani; shule na vyuo vikuu vimeanzishwa; sheria za kulinda watoto zimeandikwa; utumwa umeachishwa; na mabadiliko mengine mengi yamefanywa kwa manufaa ya wanadamu. Maisha ya watu binafsi yamebadilishwa kiajabu. Kwa mfano, Lew Wallace, jemedari aliyejulikana na mwandishi shupavu, alikana Mungu yupo. Kwa miaka miwili, Bw. Wallace alisoma kwenye maktaba zilizo bora sana kule Ulaya na Merikani, akitafuta habari ambazo zingeangamiza kabisa dini ya Kikristo. Alipokuwa akiandika sura ya pili ya kitabu hicho, alijikuta ghafla ameanguka magotini na kulia kwa Yesu akisema, "Bwana na Mungu wangu."
Tazama maisha na mvuto wa Yesu wa Nazareti, Mesiya, katika historia yote na utaona kwamba yeye na ujumbe wake huleta mabadiliko makubwa katika mataifa na maisha ya wanaume na wanawake. Popote mafunzo yake yalipoenea, utakatifu wa ndoa, haki na sauti ya wanawake imetiliwa maanani; shule na vyuo vikuu vimeanzishwa; sheria za kulinda watoto zimeandikwa; utumwa umeachishwa; na mabadiliko mengine mengi yamefanywa kwa manufaa ya wanadamu. Maisha ya watu binafsi yamebadilishwa kiajabu. Kwa mfano, Lew Wallace, jemedari aliyejulikana na mwandishi shupavu, alikana Mungu yupo. Kwa miaka miwili, Bw. Wallace alisoma kwenye maktaba zilizo bora sana kule Ulaya na Merikani, akitafuta habari ambazo zingeangamiza kabisa dini ya Kikristo. Alipokuwa akiandika sura ya pili ya kitabu hicho, alijikuta ghafla ameanguka magotini na kulia kwa Yesu akisema, "Bwana na Mungu wangu."
AISHA ANASEMA KUWA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA

Muhammad Aliwahi Kulogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Mtume aliye rogwa?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu msomaji,
Mtu yeyote yule akifa kwa kurogwa na huku akiwa amejaa Mashetani, basi huyo mtu yeye ataishia kwenye Jehannam ya moto.
Karibuni kwa Yesu aliye hai.
Max Shimba Ministries
QURAN ZAIDI YA ELFU TANO ZACHOMWA MOTO IRAQ.

Habari mbaya kwa wafuasi wa Muhammad ambao wanasema kuwa Quran haichomeki walipigwa na butwaa baada ya kuona nakala zaidi ya elfu 5 za Quran zikiteketea kwa moto na kuwa masizi.
Suleiman al-Kubaisi alisema kuwa nakala hizo zilichomwa moto kwenye mpaka wa Alwaleed port ulipo Iraq na Syria.
Gazeti la Raialyoum "http://www.raialyoum.com" lilisema kuwa, nakala zingine zaidi ya 1280 zilitupwa jalalani.
Wataalam wa dini nchini Iraq wameanza kutabiri kuwa labda Uislam unakaribia mwisho wake.
POKEA NA MILIKI MUUJIZA WAKO WA KUMALIZA MWAKA 2016 KATIKA JINA LA YESU.

Mungu aweza kufanya mambo yasiyowekana. Imeandikwa katika Luka 18:27 "Akasema yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu." Tume ahidiwa moyo mpya na maisha mapya Imeandikwa Ezekieli 36:26 "Mimi nitawapa moyo mpya nami nitatia roho mpya ndani yenu nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama." Ametuahidi kutusamehe dhambi zetu. Imeandikwa katika 1Yohana 1:9 "Tukiziungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote."
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
HUNGARIAN MAYOR bans Muslims and Leftists from his town to preserve its freedoms and safety
The Mayor of the southern Hungarian town of Asotthalom, Laszlo Toroczkai, has unveiled a “preventative action package” of laws to make it clear that people worshiping Islam and left-wingers are not welcome. The controversial plans are to ensure the village does not have to bow to the European Union’s mandatory migrant quotas.
Knights Templar (h/t Rob E) It was Mayor Toroczkai who first proposed building a fence to guard Hungary’s border, an idea rapidly taken up by the country’s government. And now his latest proposal to use the law as a weapon against the threat of Islamification is spreading too. A number of other towns have indicated that they want to do the same, while in neighbouring Slovakia a raft of new measures have just been announced.
The new rules, which were announced on the town council’s social media page, contained a personal message from the mayor, which read: “Instead of looking for a scapegoat, I offer an immediate solution, a defence against the forced mass resettlement of Muslim migrants by Brussels.
Today the Asotthalom village council adopted my proposal – which is an action package – to defend our community and traditions from any plan for the outside resettlement of Muslim migrants.
“All that needs to be done is for the rest of Hungary’s municipalities to adopt our preventative action package, and with that we will have defended our homeland.”
The union’s plans involve the settlement of 160,000 mainly Muslim asylum seekers across the continent, 1,294 of which would be moved to Hungary from Italy and Greece.
Mr Toroczkai, who is a member of Hungarian far-right political party Jobbik, said: “Because more than 90 per cent of the migrants are Muslims, we adopted the following ordinances.
“It is forbidden to build a mosque or any faith-oriented building which would diminish the significance of our Catholic temple.
“It is forbidden to perform a muezzin in public because it may disrupt the peace and may also provoke fear, alarm, and shock among the locals.”
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...





