Monday, December 19, 2016

HAH! Muslims in Dallas demand Obama do something about the Syrian bloodshed


Why would the man most responsible for the mess (aka Arab Spring) in Syria want to do anything to fix it now? Anyway, he’s too busy playing golf in Hawaii.



BREAKING! TRUCK JIHAD – Truck slams into crowd of Christmas shoppers at Berlin Market in what appears to be another Islamic terrorist attack


AT LEAST 12 DEAD, MORE THAN 50 INJURED so far after truck plowed into a crowd Monday evening in Berlin at a Christmas market just six days before the holiday. Berlin Police said it is investigating the incident as an act of terrorism. Truck was travelling at 40mph – and wasn’t slowing down. Eyewitnesses say the incident was not an accident.

SUSPECT now identified as a Pakistani MUSLIM Refugee who arrived in Germany in Feb. 2016.

Telegraph  According to unverified reports the driver of the lorry has not yet been apprehended, as police launch a manhunt.

Local media, citing police at the scene, said first indications pointed to an attack on the market, situated near the fashionable Kurfuerstendamm avenue and at the foot of the ruined Kaiser Wilhelm memorial church that was kept as a ruin after World War Two.

Daily Mail  Terrified market-goers have tweeted horrifying images from the scene of the incident which comes an hour after the Russian ambassador was shot dead in Ankara.  Tourist Emma Rushton, from England, tweeted from the scene: ‘Lorry just ploughed through Christmas market in #berlin.  ‘There is no road nearby. People crushed. I am safe. I am safe’.

UPDATE1: This in from Berlin correspondent Kate Connolly

Police have said the juggernaut which crashed into the Xmas market had Polish number plates and belonged to a Polish delivery company. The company said the truck left Poland this afternoon heading to Berlin and that they lost touch with the driver at 4pm local time. It would appear that the lorry might have been hijacked.

UPDATE 2: ‘Growing indications arrested lorry driver is Pakistani’ 

There are “growing indications”  that the arrested lorry driver is Pakistani, Welt reports (in German). Berlin police have made no public comments on the claim.

UPDATE 3: According to a report in the German newspaper Die Welt, translated by the Washington Times, THE SUSPECT IS A NEWLY ARRIVED (Feb. 2016) PAKISTANI MUSLIM REFUGEE! Der Tagesspiegel, a rival Berlin daily paper, had a similar account, reporting that the man was either Pakistani or Afghan. 

SYRIA: Muslim savages strap suicide vest to 7-year-old girl, then remotely detonate her in police station


Girl walks into a Syrian police station to ask to use the bathroom, then is blown up when her handlers (Obama-supported ‘rebels’) detonate her suicide vest by remote control. 

Girl in the below photo was the bomber.

UK Daily Mail  (h/t Doug G) The explosion in the bustling Midan neighbourhood of the Syrian capital wounded three police officers, said the Al-Watan daily, which is close to the government. ‘A seven-year-old girl entered the police station, carrying a belt that was detonated from afar,’ the paper posted on its Facebook page. 

A police source told Al-Watan that the little girl had appeared lost and asked to use the bathroom when the explosives went off. The girl’s explosive device was reportedly detonated by her handlers, who were outside the building at the time.  

The horror incident comes as children in besieged city of Aleppo were reportedly burned alive by either ISIS or the ‘rebels’ in violent clashes as President Bashar al-Assad’s forces closed in.

Russian ambassador to Turkey assassinated by MUSLIM police officer ‘in revenge for Aleppo’


Russia’s ambassador to Turkey has been assassinated by an off-duty police officer in front of terrified witnesses allegedly in retaliation for the crisis in Aleppo.

Mirror  The gunman – smartly dressed in a black suit and tie – reportedly shouted “Allahu Akbar” and said in Turkish “We die in Aleppo, you die here” after shooting Ambassador Andrei Karlov in the back.

The attacker was fatally shot by police after killing Mr Karlov and wounding three others in what Russia’s Foreign Ministry has called “an act of terrorism”.

Mr Karlov, 62, was delivering a speech at an art gallery in the capital of Ankara when he was shot from behind in an attack caught on camera, and then shot at least once more at close range as he lay on the floor.

According to the Turkish news, the assailant was a 22-year-old, Molood mart AltinTash (sp), who had studied in the Turkish police academy and was carrying a police ID when he entered the Ankara’s art exhibit. During the attack, he shouted Allah o-Akbar. Then in Turkish, he said: “Don’t you dare to forget about Halab (Halab is the ancient name of Aleppo), don’t you dare to forget about Syria.” First, he started by reciting a poem in Arabic that Muslims in the war of khandaq (The battle is named after “trench”, or khandaq, that was dug by Muslims in preparation for the battle) used to hum: “We are those who have given a pledge of allegiance to Muhammad that we will carry on Jihad as long as we live.”

Saturday, December 17, 2016

WAARABU WAMESHA ANZA KUSHEREKEA SIKUKUU YA KRISMAS

Image may contain: one or more people, christmas tree and text
MADUKA MAKUBWA SASA YANAPAMBWA NA KUMTUKUZA YESU MUNGU.
Waarabu wameweka Mti wa Krismas katika Jumba la Emirates wenye thamani ya Dola Milioni 11 za Kimarekani.
Huu ni Ushuhuda tosha kuwa Yesu amesha anza kuiteka Arabia.
Kwa habari kamili na picha zaidi ingia hapa:
http://scoopempire.com/christmas-spirit-around-middle-east/

KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA KUMI NA MOJA)

Image may contain: 1 person
Ndoto ya Danieli Kuhusu Wanyama Wanne
I. Utangulizi:
A. Hii sura inaanza mabadiliko kubwa ya kitabu hiki.
1. Sura 1-6, Nyalaka za matukio ambapo nguvu za Mungu na utawala wake duniani unaonyeshwa katika viongozi wapagani kwa Yuda walipokuwa utumwani Babeli.
2. Sura ya 7-12 inahusu maono ya nguvu aliyoyapokea Danieli kuhusu maisha ya baadae ya Waebrania na kuanguka kwa milki ya Babeli.
B. Sura ya 7-12 ina muda wa utaratibu wake.
1. Matukio katika sura sita za kwanza zimetumia kipindi cha miaka 67, 606 - 539.
2. Maono katika sura ya 7-12 yamefunuliwa nyakati tofauti kati ya 549 na 536.
C. Maono manne katika 7-12, sura tatu za kwanza (sura 7,8, & 9) ni utabiri.
1. Neno “apocalyptic” linatokana na neno la Kiyunani “apokalyptein” lenye maana ya ‘kufungua; au kufunua jina la kitabu cha ufunuo katika Kiyunani ni Apokalupsis.
2. Maono ni kazi ya fasihi ambayo inaonyesha jinsi ambavyo Mungu anajibu ambapo anaangamiza nguvu zinazotawala za uovu na kubadilisha kwa haki.
3. Tabia ya maono ina maana ya:
a) Tarakimu za kialama/ishara - muunganiko wa namba fulani zikiwa na
eleza sifa za Mungu, mwanadamu au talatibu za mambo ya asili.
b) Sanaa ya maandishi: ni ya kuvumisha hata kubuni maneno picha yametumika
kuvutia na kusisitiza umuhimu na thamani ya misingi ya kanuni zake.
***===***
Daniel 7
Danieli aliota ndoto na maono ya Maana sana inayohusiana na siku za Mwisho.Biblia yasema,’’ Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza, mfalme wa Babeli, Danieli aliona ndoto, na maono ya kichwa chake, kitandani mwake; basi akaiandika ndoto, akatoa habari ya jumla ya mambo hayo.Danielii akanena, akisema, Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.
Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.Wa kwanza alikuwa kama simba, naye alikuwa na mabawa ya tai; nikatazama, hata mabawa yake yakafutuka manyoya, akainuliwa katika nchi, akasimamishwa juu kwa miguu miwili kama mwanadamu; naye akapewa moyo wa kibinadamu.
Na tazama, mnyama mwingine, wa pili, kama dubu, naye aliinuliwa upande mmoja, na mifupa mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake katika meno yake; wakamwambia mnyama huyo hivi, Inuka, ule nyama tele.

ZAIDI YA WAISLAM 1200 WA MASHARIKI YA KATI KUBATIZWA BAADA YA KUMPOKEA YESU NA KUWA WAKRISTO

Image may contain: 5 people, people standing, wedding, outdoor and water
Zaidi ya Wislam 1200 ambao wamempokea na kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wao katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati wakubali kubatizwa.
Waislam hao ambao sasa ni Wakristo, wamemuomba Mchungaji wa "Bibles for Mideast" awafanayie ubatizo haraka iwezekanavyo.
Kikundi cha Injili cha Biblia kwa Mshariki ya kati (http://bibles4mideast.com) wapo katika kuomba na kufunga ili kupata mwongozo kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Wakati huo huo, Magaidi wa Kiislam na serikali za Kiislam wanapinga tukio hilo la kuwabatiza Waislam ambao sasa wamesha okoka na kumpokea Yesu.

KWANINI YESU ALIKUFA MSALABANI?

Image may contain: text
i. Mungu Baba alipanga kifo cha Yesu Msalabani.
ii. Yesu alikufa ili kwa ajili ya dhambi zako.
“Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya agano la milele
alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji
Mkuu wa kondoo, awafanye ninyi wakamilifu mkiwa
mmekamilishwa katika kila jambo jeama ili mpate kutenda
mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile kinachompendeza
machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye
milele na milele” (Waebrania 13:20-21).
Mungu Baba alipanga kifo cha Bwana Yesu na pia alipanga
kufufuka kwake. Hii ndiyo sababu Biblia inasema kwamba
Mungu alimleta tena kutoka kwa wafu “Kwa damu ya Agano la
milele” (Waebrania 13:20-21).
“Damu ya Agano la milele” inamaanisha damu ya Yesu Kristo. Yesu alisema, “Hii ndiyo damu yangu ya agano” (Mathayo 26:28). Biblia inatufundisha kwamba ili Yesu atuokoe ilimbidi akufe na afufuke. Yesu hangefufuka, basi hatungeokolewa. Kifo cha Bwana Yesu Kristo kilileta msamaha wa dhambi, kuoshwa kwa dhambi na wokovu kwa watu wa Mungu. Kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa ni dhihirisho kwamba Mungu Baba amekubali dhabihu yake ya kifo msalabani.
Wakati Yesu alikufa msalabani alijitoa kuwa sadaka kwa watu wake ili awalipie fidia ya dhambi zao. Wakati Mungu Baba alimfufua kutoka kwa wafu lilikuwa dhihirisho kwamba Mungu alifurahishwa na kifo cha Yesu. Mungu Baba alikuwa anasema kwamba kifo cha Yesu kimetosheleza fidia ya dhambi za watu wake.
Biblia inasema, “Kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu” (1 Wakorintho 15:17). Hii inamaanisha kwamba kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa hakikisho kwamba Mungu Baba alikubali kifo cha Yesu Kristo kama malipo yanayokubalika kulipia dhambi za watu wake. Yesu hangefufuka kutoka kwa wafu basi kifo chake hakingemfaidi yeyote. Ni baada tu ya kufufuka ndipo angeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwa dhambi zao.
Biblia inasema, “Kristo alifufuka kutoka wafu kwa utukufu wa Baba” (Warumi 6:4). Tukija kwa Yesu Kristo kwa imani na kumwamini yeye pekee kwa wokovu, basi dhambi zetu zitaondolewa na tutasamehewa na kupewa wokovu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ALIBADILI MWENENDO WA HISTORIA YOTE

Image may contain: text
Tembea sehemu yoyote ulimwenguni. Ongea na watu wa dini yoyote. Haijalishi jinsi walivyoshikilia tabaka za dini zao, kama wanajua chochote kuhusu historia, watakubali kwamba hakujawahi kuwa na mtu kama Yesu wa Nazareti. Yeye ni mtu wa ajabu mno kuliko watu wote wa enzi zote.
Yesu alibadilisha mwenendo wa historia. Hata tarehe kwenye gazeti lako la leo inathibitisha kwamba Yesu wa Nazareti aliishi ulimwenguni karibu miaka 2,000 iliyopita. Maandishi kwa Kiingereza "B.C." yanasimamia nyakati kabla ya kuzaliwa kwa Kristo; vilevile maandishi "A.D." yanasimamia nyakati baada ya kuzaliwa kwa Kristo.
KUJA KWAKE KULITABIRIWA
Mamia ya miaka hata kabla ya Yesu kuzaliwa, maandiko yaonyesha wanabii wa Israeli wakitabiri kuja kwake. Agano la kale, lililoandikwa na watu wengi katika muda wa miaka 1,500, lina unabii zaidi ya 300 kuhusu kuja kwa Yesu. Yote yaliyotabiriwa yalitendeka, pamoja na kuzaliwa kwake kimiujiza, maisha yake matakatifu, kufa na kufufuka kwake.
Maisha aliyoishi Yesu, miujiza aliyotenda, maneno aliyosema, kufa kwake msalabani, kufufuka kwake, kupaa kwake mbinguni - yote yathibitisha kwamba yeye hakuwa mwanadamu peke yake bali alikuwa zaidi ya mwanadamu. Yesu alisema, "Mimi na Baba tu umoja" (Yohana 10:30), "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:9) na, "Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." (Yohana 14:6).
MAISHA NA UJUMBE WAKE HUSABABISHA MABADILIKO
Tazama maisha na mvuto wa Yesu wa Nazareti, Mesiya, katika historia yote na utaona kwamba yeye na ujumbe wake huleta mabadiliko makubwa katika mataifa na maisha ya wanaume na wanawake. Popote mafunzo yake yalipoenea, utakatifu wa ndoa, haki na sauti ya wanawake imetiliwa maanani; shule na vyuo vikuu vimeanzishwa; sheria za kulinda watoto zimeandikwa; utumwa umeachishwa; na mabadiliko mengine mengi yamefanywa kwa manufaa ya wanadamu. Maisha ya watu binafsi yamebadilishwa kiajabu. Kwa mfano, Lew Wallace, jemedari aliyejulikana na mwandishi shupavu, alikana Mungu yupo. Kwa miaka miwili, Bw. Wallace alisoma kwenye maktaba zilizo bora sana kule Ulaya na Merikani, akitafuta habari ambazo zingeangamiza kabisa dini ya Kikristo. Alipokuwa akiandika sura ya pili ya kitabu hicho, alijikuta ghafla ameanguka magotini na kulia kwa Yesu akisema, "Bwana na Mungu wangu."

AISHA ANASEMA KUWA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA

Image may contain: 1 person, text
Muhammad Aliwahi Kulogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Mtume aliye rogwa?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu msomaji,
Mtu yeyote yule akifa kwa kurogwa na huku akiwa amejaa Mashetani, basi huyo mtu yeye ataishia kwenye Jehannam ya moto.
Karibuni kwa Yesu aliye hai.
Max Shimba Ministries

TRENDING NOW