Tuesday, January 10, 2017

KAMA YESU NI MUNGU, MBONA ALILALA, JE MUNGU ANALALA?

Image may contain: text
Swali hili la msingi ndilo litakalotufikisha mwisho wa uchambuzi wa mada hii juu ya Maarifa kuhusu Utatu na Uungu wa Bwana Yesu. Na hapa hoja ya msingi inatokana na tukio la Yesu kusafiri na wanafunzi wake naye akiwa amelala katika Shetri hivyo wanafunzi wake baada ya kupata taharuki ya kubwa ya dhoruba wakaanza kumwamsha ili awape msaada katika kadhia hiyo kama tunavyosoma:-
Marko 4:37-38
Ikatokea dhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.
38 Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?
Tendo hilo la kulala kwa Bwana Yesu linalosimuliwa hapo ndilo linalozalisha hoja hiyo ambapo waulizaji wa swali hilo hukaza hoja yao kwa kusoma pia andiko la kitabu cha Zaburi hii ifuatayo:-
Zaburi 121:4-5 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
Andiko hilo la Zaburi linaeleza kuwa Mungu aliye mlinzi wa Israel hatosinzia wala kulala, hivyo wajengaji wa hoja hii hudai kuwa tendo la Yesu kulala kama yeye ni Mungu basi ni hatua ya kukana Uungu wake.
Jibu la msingi la swali hili’
kimsingi hili ni moja kati ya maswali rahisi sana katika hoja hii juu ya Utatu na Uungu wa Bwana Yesu, lakini kile kinachoonekana kuwa ni mapungufu kidogo kwa waulizaji wa swali hili ni kutochukua hatua ya usomaji linganishi wa maandiko na kupitia aya nyingi zaidi ili kutafuta mantiki ya kisa hiki cha Yesu kulala na maelezo ya Zaburi yanayotamka kuwa Mungu halali.
Lakini kwa kujibu swali hili niseme tu kuwa andiko la Zaburi ya Daudi liko sahihi tu kuwa Mungu yeye kimsingi halali usingizi, lakini bado Zaburi hiyo hiyo inaeleza kile anchoweza kufanya Mungu katika dhana hiyo hiyo ya kulala hebu tusome tena andiko jingine la Zaburi ili kuanza hatua hii muhimu ya kupata ufumbuzi juu ya swali hili lenye utata:-

MUHAMMAD ALITAMBIKWA KWA MIUNGU YA KIPAGANI NA USHIRIKINA NA BABU YAKE

No automatic alt text available.
Huu ni Msiba mkubwa sana.
Tunaposoma kitabu cha maisha ya Muhammad S.A.W. kilichoandikwa na aliyekuwa kadhi mkuu wa Kenya na Zanzibar Sheikh Farsy ukurasa wa 5 kuna maneno haya…
Pale pale alfajiri alipokwisha kuzaliwa mtume alikwenda kuitwa babu yake kuja kumwona mjukuu wake. Babu huyu alifurahi sama na akamfunika maguo mjukuu wake, akajikongoja naye mpaka kwenye Al-ka’ba akafungua mlango akaingia ndani, akasimama, akamwombea dua kwa mashairi mazuri ya kiarabu aliyoyatunga mwenyewe wakati ule ule, kisha akarejea naye na jua bado halikuchomoza.
(1) Imani ya Abdul Muttalib ilikuwa hii:
Katika kitabu " Acha Biblia Iseme" kilichoandikwa na mwanachuoni maarufu wa kiislamu aitwae Ali muhsin Barwani ukurasa wa 153 tunasoma maneno haya; “hapakutokea mwarabu ambaye alipewa jina hilo (Muhammad) na babu yake tangu kuzaliwa kwake, na huyo babu hakuwa Mkristo bali alikuwa akifuata mila za kishirikina.” Na wala hakujua Taurati wala Injili." mwisho wa Nukuu
Ushahidi wa wazi unaothibitisha kuwa babu yake Muhammad Abdul Muttalib pamoja na kuomba miungu haswa mungu Hubaal sanamu kuu ndani ya alkaaba; vilevile aliomba dua kwa Allah;
Mungu atakayerithiwa baadaye na mjukuu wake katika uislamu; ushahidi tunaupata tunaposoma utangulizi wa Suratul al-fyl ulio katika juzuu ya ukurada wa 946 Qurani iliyotafsiriwa kwa kiswahili chapa ya nane tunasoma maneno hayo. “chifu mkuu wa Makka zama hizo alikuwa Abdul Muttalib, alikwenda Al ka’ba pamoja na baadhi ya machifu wa kikuraish na akilishika komeo la chuma la mlango wa al-ka’ba, akamwambia Allah (S.W.) kuilinda nyumba yake pamoja na wahudumu wake. Zama hizo kulikuwa na masanamu 360 ndani na kando ya Al- ka’ba.”
(2) Himizo la Muhammad (S.A.W.) kwa makureshi wenzie kuhusu mungu aitwae Allah.
Katika kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu kilichotungwa na Sheikh Said Moosa Muhamed al kindy juzuu ya mwanzo na pili chapa ya kumi ukurasa wa 130 tunasoma maneno haya: “katika wakati wa ujaahiliya kabla mtume (S.A.W.) kupata utume alikuwa akiwaambia watu “enyi watu semeni laa ilaha illah laah mtafuzu” yaani hapana mola ila Allah mtafuzu.
Huu ni ushahidi wa wazi kabisa ya kwamba Allah aliabudiwa na makureshi ma waarabu wenzao hao watu walikuwa washikina , wapagni na majahilia (wajinga). Kumbuka Muhammad alikuwa ni mkureshi naye aliposema “hapana mola ila Allah” alikuwa yupo zama za ujahilia na hakuwa anajua kitabu wala imani tazama Qurani 42:52 na alikuwa amepotea njia Qu 93:5-8
Ndio maana nasema Muhammad alikuwa mpagani na alifanya ushirikina. Zaidi ya hapo nasema kuwa Muhammad alikuwa mtume wa Majini na JINI NA ALLAH NI MUNGU WA KIPAGANI.
Courtesy Mwalimu Chaka
For Max Shimba Ministries Org.

YESU ANAWAPENDA SANA WAISLAM

Image may contain: one or more people, people standing and outdoor
Ndugu msomaji,
Je unafahamu kuwa Yesu anakupenda? Ndio nazungumza na wewe unaye soma hii mada, wewe mwenye dini, wewe unae sali kila siku mara tano, ndio, ni wewe unayesema la ilaha illallah muhammadur rasulullah.
…Wewe ni mnyanganyi, mwizi, mwongo, muuaji, usiye kuwa na ukweli? Yesu anakupenda na anataka kukuponya.
…Wewe ni mlozi mkubwa mwenye kutumikia Shetani, tena unawasomea watu albadiri na kutoa laana tulah na dua mbaya kwa jamaa yako, tangu ujana wako unazuru wanadamu wengine, unaua watoto, wanawake hata wanaume, unaharibu mavuno, unatawanya magonjwa toka jamaa kwa ingine, unaua hapa na pale. Unapopita ni woga mtupu na kukimbia mbali sababu ya mapepo mabaya yako. Mara na mara unajiuliza nini ulikuja kufanya hapa duniani, ukitafuta kujua sababu ya mabaya yote unayoyatenda. Unajiuliza namna gani uliweza kufikia hapo. Fahamu neno moja tu, hata unaishi mabaya haya yote : Yesu anakupenda na anataka kukuponya.
Yohana 3: 16-17 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.”
Mungu anakupenda sana, anajua jinsi unavyoenenda na amemtuma Mwana wake wa pekee, Yesu afe msalabani kwa ajili ya ukombozi wako. Haupaswi tena kuendelea kuishi dhambini, neema ya wokovu imefunuliwa na yapatikana bure kwa kumkiri na kumwamini Yesu.
Warumi 10: 9-10 “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako yakuwa ni BWANA, na kuamini moyoni mwako yakuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.”
Hata wewe Yesu anakupenda sana,
…Wewe ni mkoma, tangu miguu hadi kichwani. Ulipoteza vidole, sikio, pua, ukageuka kilema kwa namna fulani; fahamu jambo hili: Yesu anakupenda na anataka kukuponya.
… Wewe ni msichana unaye mswalia Muhammad, tena swala tano, waonekana kuwa ni mrembo sana na wakati wako wote unavunja jamaa za wengine. Unapotosha rafiki zako za darasa, za shule lako, za ofisi za mtaa wako. Mara nyingine ulitoa mimba, ulitafuta kupatia wengine sumu, ao uligonganisha wapenzi wako: wamoja wafariki ao wangali wagonjwa sana sababu yako, sababu ya unyofu wako, na sura yako nzuri sana. Sasa wajiuliza mengi kuhusu maisha yako: uliweza kutambua mabaya yote uliyotenda na unajiuliza nini Mungu atakayokutendea.

KWANINI TUNAKULA NGURUWE? (SEHEMU YA TATU)

Image may contain: one or more people
Watu wa imani nyingine wamekuwa wakiwashutumu Wakristo na hata kuwaita makafiri kwa vile eti wanakula nyama ya Nguruwe, kwa madai kuwa eti imekatazwa katika maandiko matakatifu yaani Tourati na ikiwemo Quran.
Leo nataka kuanika wazi ili kama unakula mdudu huyu umle kwa amani bila kuhukumiwa au kushutumiwa na mtu.
Mafundisho ya Agano jipya kuhusu vyakula (Nguruwe).
Biblia inasema mafundisho yoyote yanayokataza mtu kula vitu Fulani ni mafundisho ya Mashetani (1Timotheo 4;1-5).
Ndio maana waganga wa kienyeji mtu anapokwenda kuaguliwa hukatazwa kula baadhi ya vitu Mungu sio Mganga wa kienyeji. Na wanaomwamini hawana sheria ya kuwazuia nini cha kula au kutokula.
Biblia inasema hakuna kitu najisi kwa mtu asiye najisi lakini kitu Fulani ni najisi kwake yeye aliye najisi (Rumi14;14).
Biblia inafundisha kuwa kula au kutokula hakuongezi utakatifu wala hakuzuii tamaa za mwili (Kolosai 2;16-23) hivyo hatupaswi kujitia katika mambo ya kutunga tu ya mtu,au akilizake na maono ya wanao abudu malaika kumuabudu Mungu hakuji kwa kula au kutokula aina fulani ya vyakula bali katika moyo safi (Mathayo 5;8).
Biblia inafundisha kuwa unajisi wa mtu hautoki nje bali ndani ya mtu pia Yesu alitakasa vyakula vyoote (Marko 7;14-16,17-19)
Paulo mtume alifundisha kuwa chakula ni kwa tumbo tu na si mambo ya rohoni.
(1Koritho 6;13).Hoja ya Pepo waliotolewa na Yesu kuwaingia nguruwe je ina maana gani?
Jambo lingine ambalo wanaharakati wa kiislamu hulishikia bango kuwa Nguruwe hawafai ni lile tendo la Pepo waliotolewa kwa mtu aliyeteseka kama kichaa kuomba ruhusa kuwaingia Nguruwe (Marko 5;12-13).
Kwa mujibu wa wachangiaji wa maoni ya kibiblia kama Mathew Henry commentary na wengineo hujaribu kutoa ufafanuzi huu kuhusia na na swala hili.
Nchi ya Wagerasi ilikuwa inakaliwa na Wayahudi wengi walioasi na kufuata mambo ya mataifa, swala la kufuga Nguruwe lisingeweza kufanywa na Wayahudi wa kawaida kwani kwao walikatazwa kula wanyama hao kwa mujibu wa sheria ya Musa.
Hivyo tendo la Yesu kuruhusu pepo kuingia Nguruwe kama walivyojiombea wenyewe lilikuwa ni sehemu ya hukumu kwao kwa kuishi kinyume cha sheria ya Musa, Jambo hili linathibitishwa na maombi ya mapepo “asiwapeleke nje ya nchi ile” maana yake kutokana na uasi uliokuwepo katika nchi ile mapepo bado yalikuwa na kazi katika mji ule, na hivyo waliomba wasihukumiwe kabla ya wakati wala wasifungwe kwani Kristo alikuwa na mamlaka hiyo.
Aidha inaonekana Tendo lile lilifanyika kwa kusudi la kuwafanya wachungaji wa Nguruwe kuingia mjini na kutoa taarifa kwa haraka watu wamtukuze Mungu na kama sehemu ya kutoa Hesabu ya mifugo kupotea hivyo kutokuwa na Kesi. Jambo hili liliwafanya Wagerasi waogope na kumsihi Yesu aondoke mipakani mwao.
Katika eneo hili pia tunaona jinsi thamani ya mwanadamu ilivyo bora nguruwe walikuwa wapata 2000 kwa sasa kilo ya nyama ya Nguruwe ni kati ya 6000/- kwa wastani chukua 6000 zidisha mara 100 yaani kilo za nguruwe mmoja mara 2000 idadi ya nguruwe woote utapata gharama ya 120,000,000/ yaani Bilioni moja na milioniishirini. Hasara waliyoipata wagerasi hailinganishwi na roho moja ya mtu anayepokea wokovu hivyo Kristo alitaka kuonyesha ni jinsi gani Roho ya Mtu ina thamani.
Jambo lingine ni kuonyesha wingi wa pepo ambao walijitaja kuwa ni jeshi legion kwa kawaida kikosi cha askari wa kirumi kilichoitwa legion kilibeba askari 6000 au zaidi.
Pepo hao walikuwa ni wengi na isingeliwezekana watu kujua Mtu huyu anateswa na pepo wengi kiasi gani kama Masihi hangeuliza Maswali na pia kuruhusu Pepo hao kuingia Nguruwe, hii ilisaidia wanafunzi na jamii kujua ni wingi wa mapepo kiasi gani wakati mwingine hutesa watu.bKwa bahati nzuri pia Nguruwe hao walikufa baharini, hii haimaanishi kuwa Nguruwe woote wana mapepo.
Tendo la Masihi hapo halina uhusiano na kula au kutokula Nguruwe bali thamani ya mtu na mateso yanayotokana na Mshetani ambayo waislamu ni rafiki zao.
Kwa kuhitimisha nawaalika watu wote duniani msiwe na wasiwasi wa kula kiti moto na wanyama wengineo mnaojisikia kuwala Karibuni.
Shalom.

JE, TAIFA LA ISRAELI NI LA KIBIBLIA?

Image may contain: text
Je, Unabii wa Biblia Unasema Chochote Kuhusu Kuanzishwa kwa Taifa la Israeli la Kisasa?
LEO ulimwengu unatazama Mashariki ya Kati kwa wasiwasi. Mashambulizi ya roketi, mapigano kati ya makundi yenye silaha, na mashambulizi ya mabomu yanayotekelezwa na magaidi, ni mambo yanayotokea mara nyingi. Zaidi ya hayo, kuna uwezekano wa kutumiwa kwa silaha za nyuklia. Si ajabu kwamba watu kila mahali wana wasiwasi!
Ulimwengu pia ulitazama Mashariki ya Kati kwa wasiwasi mnamo Mei 1948. Wakati huo, miaka 62 iliyopita, mamlaka ya Uingereza ya kusimamia maeneo ambayo wakati huo yaliitwa Palestina ilikuwa inakaribia kuisha, na vita vilikuwa karibu kuanza. Mwaka uliotangulia, Umoja wa Mataifa ulikuwa umetoa kibali cha kuanzishwa kwa Taifa huru la Wayahudi katika sehemu fulani ya maeneo hayo yaliyosimamiwa na Uingereza. Mataifa jirani ya Waarabu yalikuwa yameapa kufanya chochote kile ili kuzuia kuanzishwa kwa taifa hilo. “Mpaka wetu na taifa hilo utakuwa moto na damu,” ukaonya Ushirika wa Nchi za Kiarabu.
Ilikuwa Ijumaa saa 10:00 alasiri, Mei 14, 1948, na baada ya saa chache tu, mamlaka ya Uingereza ya kusimamia Palestina ingefikia mwisho. Kwenye Jumba la Makumbusho la Tel Aviv, kikundi cha watazamaji 350 waliokuwa wamefika baada ya kualikwa kisiri, walingoja kwa hamu kutangazwa rasmi kwa taifa la kisasa la Israeli. Kulikuwa na ulinzi mkali ili kuhakikisha kwamba maadui wa Taifa hilo jipya hawavurugi tukio hilo.
David Ben-Gurion, kiongozi wa Baraza la Taifa la Israeli, alisoma tangazo la kuundwa kwa Taifa la Israeli (The Declaration of the Establishment of the State of Israel). Tangazo hilo lilisema hivi kwa sehemu: “Sisi, washiriki wa Baraza la Watu, wawakilishi wa Jumuiya ya Nchi ya Israeli . . . kwa msingi wa haki yetu ya kiasili na ya kihistoria na kwa msingi wa Azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, tunatangaza kuanzishwa kwa Taifa la Wayahudi katika nchi ya Israeli, ambalo litaitwa Taifa la Israeli.”
Je, Tukio Hilo Ni Utimizo wa Unabii wa Biblia?
Waprotestanti fulani wa makanisa ya Kiinjilisti wanaamini kwamba kuanzishwa kwa Taifa la Israeli la kisasa kulitimiza unabii wa Biblia. Kwa mfano, katika kitabu fulani (Jerusalem Countdown), kasisi John Hagee anasema hivi: “Tukio hilo muhimu liliandikwa na nabii Isaya, akisema, ‘Nchi itazaliwa katika siku moja.’ (Ona Isaya 66:8.) . . . Huo ulikuwa utimizo mkubwa zaidi wa unabii katika karne ya ishirini. Ulikuwa uthibitisho ulio wazi kwa wanadamu wote kwamba Mungu wa Israeli yuko hai.”
Je, maneno hayo ni ya kweli? Je, andiko la Isaya 66:8 linatabiri kuanzishwa kwa Taifa la Israeli la kisasa? Je, Mei 14, 1948, ‘ilikuwa tarehe ambayo utimizo mkubwa zaidi wa unabii ulitokea katika karne ya ishirini’?
Unabii wa Isaya unasema: “Ni nani amesikia jambo kama hili? Ni nani ameona mambo kama haya? Je, nchi itazaliwa kwa uchungu katika siku moja? Au, je, taifa litazaliwa wakati uleule mmoja? Kwa maana Sayuni ameshikwa na uchungu wa kuzaa naye vilevile amezaa wanawe.” (Isaya 66:8) Mstari huo unatabiri waziwazi kuzaliwa ghafula kwa taifa zima, kana kwamba katika siku moja. Lakini ni nani angesababisha kuzaliwa huko? Mstari unaofuata unatoa dokezo hili: “‘Nami, je, nitasababisha kupasuka wala nisisababishe kuzaliwa?’ asema Yehova. ‘Au, je, mimi ninasababisha kuzaliwa na kwa kweli ninasababisha kufunga uzazi?’ Mungu wako amesema.” Yehova Mungu anaonyesha waziwazi kwamba yeye ndiye angefanya taifa hilo lizaliwe kwa njia hiyo ya ajabu.
Shalom.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH NA MUHAMMAD NI WAPINGA KRISTO

No automatic alt text available.
ALLAH ATEUA MTUME WA MAJINI NA MPINGA KRISTO 666
1. Allah ateua Mtume kwa Majini Quran 6: 130
2. Allah ateua Mtume wa Wanyama Surat An Naml 82
Ndugu zanguni,
Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Swali lamsingi kwa Allah :
Jina la Mtume wa Majini ambaye ni Jini ni nani?
Kwasababu kila Umma ulipewa kitabu na mtume wake, Je, umma wa Majini walipewa kitabu gani?
Lakini nilipo soma Hadith nikagundua kuwa, Muhammad alikuwa anaongea na Majini na kuyafundisha Quran.
MTUME MUHAMMAD AKUTANA NA MAJINI USIKU
Allah S.W.T. ametuhakikishia wazi kuwa ujumbe aliopewa Mtume S.A.W. ulikuwa kwa Wanadamu na Majini na Mashetani pia. Na katika Qurani na Hadithi za Mtume S.A.W. kuna dalili zilizo wazi zinazoyakinisha kuwa Mtume S.A.W. alikuwa akikutana nao na kuwafundisha dini. Na hata wakati mwingine Majini walikuwa wakitoa majibu mazuri zaidi kuliko Binadamu kwenye masuala ya dini. Na mfano ni wakati waliposomewa Suratir Rahmaan. Hadithi iliyopokelewa na Jaabir bin Abdallah R.A.A. na iliyotolewa na Ttirmidhi kasema, “Wakati ambapo Mtume S.A.W. alipowasomea Majini Suratir Rahmaan, “
لَقَدْ قَرَأْتُهَا ‘‘يعني سُورَةَ الرَّحْمَنِ’’ عَلَى الْجِنِّ …، فَكَانُوا أَحْسَنَ مَرْدُودًا مِنْكُمْ ، كُنْتُ كُلَّمَا أَتَيْتُ عَلَى قَوْلِهِ ]فَبِأَيِّ آلاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ[ قَالُوا: لا بِشَيْءٍ مِنْ نِعَمِكَ رَبَّنَا نُكَذِّبُ ، فَلَكَ الحمد
Maana yake, “Hakika nimewasomea Majini (yaani Suratir Rahmaan)…wamejibu vizuri zaidi kuliko nyinyi. Kila nilipofikia kauli Yake (Mwenyezi Mungu S.W.T.) “Fabiayyi A-alaai Rabikumaa Tukadhibaan.) Maana yake, “Basi ipi katika neema za Mola wenu ambayo mnayoikanusha kuwa si kweli?” (Basi Majini) walijibu “Laa bishaay Min Niamika Rabbana Nukadhibu, Falakal Hamdu.” Maana yake, “Hakuna neema yoyote katika neema Zako Mola wetu tunayoikadhibisha, bali tunashukuru.” Na Mtume S.A.W. alipowasomea Wanadamu hawakujibu chochote, akawaambia, “Ndugu zenu wa Ki-Jini wamejibu jawabu nzuri waliposikia haya.” Na dalili nyingine kuwa Mtume S.AW. pia alikuwa ametumwa kwao ni kisa cha baadhi ya Majini ambao baada ya kuisikiliza Qurani waliiamini na wakarejea kwao na kuanza kuwaita wenzao kwenye dini ya Kiislamu.
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YALITUMWA KWA MUHAMMAD ILI KUSIKILIZA QURAN
ALLAH HUYO HUYO ALISEMA KUWA KILA WATU/VIUMBE/WANYAMA WALIPEWA MTUME WAO. HAPO TEYARI KUNA SHAKA KWENYE QURAN YA MUHAMMAD AMBAYO SASA INAKABIDHIWA MAJINI MACHAFU.
Allah kasema katika Suratil Ahqaaf aya ya 29 mpaka 32, “
]وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنْ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ * قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ * يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِي اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * وَمَنْ لا يُجِبْ دَاعِي اللَّهِ فَلَيْسَ بِمُعْجِزٍ فِي الأرْضِ وَلَيْسَ لَهُ مِنْ دُونِهِ أَولِيَاءُ أُوْلَئِكَ فِي ضَلالٍ مُبِينٍ[
Maana yake, “Na (wakumbushe) wakati tulipowaleta kundi la Majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana): “Nyamazeni! (Msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao kwenda kuwaonya. Wakasema “Enyi watu wetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya (Nabii) Musa, kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoza kwenye haki na kwenye njia iliyonyooka. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mlingani, (Muitaji) wa Mwenyezi Mungu na muaminini, atakusameheni (Mwenyezi Mungu) dhambi zenu na atakukingeni na adhabu iumizayo. Na wasiomuitikia Muitaji wa Mwenyezi Mungu, basi hao hawatamshinda (asiwapate) hapa katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele Yake. Hao wamo katika upotofu ulio dhahiri.”
Na kisa kingine ni cha Majini waliosikia Qurani kutoka kwa Mtume S.A.W wakati alipokuwa akiwasalisha Masahaba wake Sala ya Alfajiri. Na hii ilikuwa bila ya yeye kuwa na habari mpaka Mwenyezi Mungu S.W.T. alipomjulisha. Mwenyezi Mungu S.W.T. kasema katika Suratil Jin aya ya 1 na ya 2, “
]قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنْ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا * يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا[
Maana yake, “Sema: “Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la Majini lilisikiliza (Qurani) likasema: “Hakika sisi tumesikia Qurani ya ajabu. Inaongoza katika uwongofu; kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote tena na Mola wetu.”
Makala haya yametolewa katika kitabu changu kiitwacho, "Hakika ya Majini."
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Je, jina la Mtume wa Wanyama ambaye ni Mnyama ni nani?
Je, wanyama walipewa kitabu gani?
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah, na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha mwandaazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka.QURAN: ALLAH asema:
nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (swali la uzushi:Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

INA MAANA GANI YESU KUWA MWANA WA MUNGU?

Image may contain: text
1. Yesu ni Mwana wa Mungu
2. Yesu ni Mungu katika Mwili

Ndugu Msomaji,
Yesu si Mwana wa Mungu kulingana na ubaba wa kawaida wa binadamu. Mungu hakuoa na kupata mwana wa kiume. Mungu hakufanya tendo la ndoa na Mariamu, na pamoja naye kuzaa mtoto wa kiume. Yesu ni Mungu katika hali kwamba ni Mungu anajithirihisha kama mwili. (Yohana 1:1, 14) Yesu ni mwana wa Mungu kwa dhana kwamba Mariamu alipata mimba kupitia Roho Mtakatifu. Luka 1:35 yasema, “Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.”
YESU NI MUNGU KATIKA MWILI
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!

YESU AKUBALI KUITWA MUNGU NA WANAFUNZI WAKE
Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). Yesu hamsahihishi kwa kuyasema haya. Tito 2:13 inatuhimiza kusuburi kurudi kwa Mungu wetu na mwokozi – Yesu kristo (Pia tazama petro wa pili 1:1). Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”

MALAIKA WANAMWABUDU YESU
Katika kitabu cha ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru mtume Yohana kumuabudu Mungu tu(ufunuo wa Yohana 19: 10). Mra nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.

Wakati wa kujaribiwa kwake mbele ya viongozi wa Kiyahudi, kuhani mkuu alimtaka Yesu, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu” (Mathayo 26:63). “Yesu akamwambia wewe umesema,’ Yesu akamwambia, wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni” (Mathayo 26:64) viongozi wa Kiyahudi walimdhania kwa kukufuru (Mathayo 26:65-66). Baadaye mbele ya Pilato, “Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu” Yohana 19:7) ni kwa nini makisio yake kuwa Mwana wa Mungu yachukuliwe kuwa kufuru na astahili hukumu ya kifo? Wayahudi wilielewa vizuri sana chenye Yesu alimaanisha kwa maneno haya “Mwana wa Mungu” kuwa Mwana wa Mungu ni kuwa hali moja na Mungu. Mwana wa Mungu “wa Mungu” kusema uko katika hali sawa na Mungu-hakika kuwa Mungu- kulikuwa sawa na kukufuru kwa viongozi wa Kiyahudi; kwa hivyo walimtaka Yesu auwawe, kulingana na Mambo ya Nyakati 24:15. Waebrania 1:3 inadhihirisha haya wazi, “Yeye kwa kuwa ni mng’ao wa utukufu wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.”
Mfano mwingine unaweza patikana katika Yohana 17:12 mahali Yuda anaelezwa kama mwana wa “upotevu”? jina upotevu lamaanisha “uharibivu” Yuda hakuwa mwana wa uharibivu, lakini mambo hayo ndio ya kutambulisha maisha ya Yuda. Yuda anadhihirisha upotevu. Vile vile Yesu mwana wa Mungu. Ni Mungu anajidhihirisha (Yohana 1:1,14).
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015.
ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MTUME PAULO ALIFUNDISHA KWENYE SINAGOGI KILA SABATO

Image may contain: text and outdoor
Matendo ya Mitume 18:
1 Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.
2 Akamwona Myahudi mmoja, jina lake Akila, mzalia wa Ponto; naye amekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu, pamoja na Prisila mkewe, kwa sababu Klaudio amewaamuru Wayahudi wote watoke Rumi, naye akafikilia kwao;
3 na kwa kuwa kazi yao ya ufundi ilikuwa moja, akakaa kwao, wakafanya kazi pamoja, kwa maana walikuwa mafundi wa kushona hema.
4 Akatoa hoja zake katika SINAGOGI kila Sabato, akajaribu kuwavuta Wayahudi na Wayunani.
5 Hata Sila na Timotheo walipotelemka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na lile neno, akiwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo.
HUWA KUNA HOJA YA WAISLAM KUWA, ETI YESU ALIKUWA MUISLAM KWASABABU ALIINGIA KWENYE SINAGOGI.
JE, TUKITUMIA UTAALAMU NA AU MBINU HIYO HIYO NA TUWAULIZE WAISLAM. JE, MTUME PAULO ALIKUWA MUISLAM MAANA ALIINGIA KWENYE SINAGOGI?
Cross reference:
Matendo 9 aya ya 20.
Matendo 17 aya ya 2.
Matendo 19 aya ya 8.
Basi tuendelee kujifunza neno lake bila kuchoka.
Barikiwa sana.
Shalom.

MTUME PAULO ANAVYO WANYIMA USINGIZI WAISLAM

Image may contain: 2 people, beard and text
Kati ya watu wanaowasumbua sana ndugu zetu Waislamu ni shujaa wa Bwana Yesu, Mtume Paulo. Na hii haikuanza kwa Waislamu pekee, bali kuanzia kwa washika torati waliokuwako wakati wake, yaani mafarisayo, wakuu wa makuhani, waandishi pamoja na Wayahudi wa kawaida waliofuata dini ya Kiyahudi.
Waislamu wanaendeleza tu ili roho ya upinzani dhidi ya Injili iokoayo ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo Waislamu wanasema zinawafanya wamkatae Mtume Paulo, kama nilivyozitoa kwenye facebook kwenye post mojawapo ya ndugu mmoja wa Kiislamu.
Wanasema:
MOJA:
Eti aliweka amri ya watu wasitahiriwe, ndio maana Wakristo wengi leo wana magovi
JIBU:
Tohara ni suala la afya ya kawaida wala halina uhusiano na kwenda mbinguni. Yaani, ukitaka kufanyiwa tohara, ni faida kwa mwili wako tu na wala sio kwa roho yako. Kinachoenda mbinguni ni mwili na wala sio roho. Mwili uwe umetahiriwa au haujatahiriwa, ukifa ni kuozea tu ardhini. Kwa hiyo, Mungu alilitumia hilo suala la tohara kama ishara ya mambo halisi ya rohoni, na sio ya mwilini:
(Kumb 10:16) Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu.
(Kumb 30:6) BWANA, Mungu wako, atautahiri moyo wako, na moyo wa uzao wako, ili umpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, upate kuwa hai.
(Yer 4:4) Jitahirini kwa BWANA, mkaziondoe govi za mioyo yenu, enyi watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu; ghadhabu yangu isije ikatoka kama moto, ikawaka hata mtu asiweze kuizima, kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.
SWALI KWA WAISLAM: Wapi kwenye Koran panasema kuwa Muhammad alikatwa govi lake? Mtupe aya tuione.
MBILI:
Eti alikuwa gaidi wa kuwaua wanafunzi wa Yesu kisha akadai ni mtume wao ili azidi kuwaua kifkra
JIBU
Hii ni hoja kichekesho. Tangu lini mkawa na huruma na wanafunzi wa Yesu? Mnasemaje kuhusu makundi yenye itikadi kali ambayo yanaua Wakristo duniani hivi leo, yanavunja makanisa na kuwalazimisha kufuata miungu yao? Je, nayo mnayalaani?

UYAHUDI AU MYAHUDI MAANA YAKE NINI? (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: text
Kama linavyotumiwa na watu wengi leo, neno hili linarejezea watu wenye asili ya Kiebrania na wengine ambao wamegeuzwa imani na kuwa wafuasi wa dini ya Kiyahudi. Pia Biblia inataja kwamba kuna Wakristo walio Wayahudi kiroho ambao wanafanyiza “Israeli wa Mungu.”
Je, Wayahudi wa asili leo ni watu wa Mungu waliochaguliwa?
Wayahudi wengi huamini hivyo. Encyclopaedia Judaica (Jerusalem, 1971, Buku la 5, safu ya 498) inasema hivi: “WATU WALIOCHAGULIWA, ni jina la kawaida la watu wa Israeli, linaloonyesha kwamba watu wa Israeli wana uhusiano wa pekee na usio na kifani pamoja na Mungu wa ulimwengu wote. Hilo ni wazo kuu katika historia ya Wayahudi.”—Ona Kumbukumbu la Torati 7:6-8; Kutoka 19:5.
Katika Torati-vitabu vitano vya kwanza vitano katika Biblia Mwanzo 14:13 inafundisha kuwa Abramu, kawaida anayetambuliwa kama Myahudi wa kwanza, alikuwa kama ilivyoelezwa "Kiebrania." Jina "Myahudi" linatokana na jina la Yuda, mmoja wa wana kumi na wawili wa Yakobo na mmoja wa makabila kumi na mawili ya Israeli. Inavyoonekana jina "Myahudi" awali lilijulikana tu kwa wale ambao walikuwa wanachama wa kabila la Yuda, lakini wakati ufalme uligawanyika baada ya utawala wa Sulemani (1 Wafalme 12), neno lilimaanisha mtu yeyote katika ufalme wa Yuda, ambayo ni pamoja na kabila la Yuda, Benjamin, na Lawi.
Leo hii, wengi wanaamini kwamba Myahudi ni mtu yeyote ambaye ana uzao wa kimwili na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, bila ya kujali makabila ya awali kumi na mbili anapotoka.
Kwa mujibu wa marabi Wayahudi, Myahudi ni yule ambaye ana mama Myahudi au mtu ambaye rasmi hubadilishwa kwa Uyahudi. Mambo ya Walawi 24:10 mara nyingi inachukuliwa kuupa uaminifu huu imani, ingawa Torati huifanyi madai maalum kwa msaada wa mila hii. Baadhi ya wanazuoni husema kwamba haina uhusiano wowote na kile mtu anaamini. Wanazuoni hawa hutuambia kwamba Myahudi hana haja ya kuwa mfuasi wa sheria na desturi ili achukuliwe kuwa Myahudi. Kwa kweli, Myahudi hawezi kuwa na imani katika Mungu wakati wote na bado kuwa Myahudi kwa misingi ya tafsiri ya marabi hapo juu.
Wanazuoni wengine hufanya wazi kwamba kama mtu afuatavyo maagizo ya Torati na anakubali "kanuni kumi na tatu za Imani" ya Maimondes (Mwalimu Moshe ben Maimon, mmoja wa Wayahudi wasomi wakubwa wa kipindi), hawezi kuwa Myahudi. Ingawa mtu huyu anaweza kuwa "kibiolojia" Myahudi, hana uhusiano halisi na Wayahudi.
Mt. 21:42, 43: “Yesu akawaambia [wakuu wa makuhani na wanaume wazee kati ya Wayahudi wa Yerusalemu]: ‘Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, “Jiwe ambalo wajenzi walilikataa ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni. Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu”? Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.’”
Je, agano la Mungu pamoja na Abrahamu linatoa uhakikisho kwamba bado Wayahudi ni watu wa Mungu waliochaguliwa?
Je, Wayahudi wote watageuzwa wamwamini Kristo na kupata wokovu wa milele?
USIKOSE SEHEMU YA PILI
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Jesus demonstrated He is God

 

TRENDING NOW