Thursday, January 12, 2017

Designated terrorist group CAIR’s executive director, Nihad Awad, demands that Obama close Gitmo and release all the remaining Muslim terrorists


Standing on the steps of the U.S. Supreme Court, surrounded by useful leftist idiots dressed up as Gitmo prisoners, Awad also demands that President-elect Trump respect the human rights of Muslim terrorists who are being “held against their will in Guantanamo Bay,” while accusing the United States of being the world’s biggest human rights violator. Funny how he keeps making references to “our government” as if being a Muslim in America makes him an American. Muslim loyalty is to Allah alone, never to the country they have infiltrated.

UPDATE: Several of CAIR’S useful idiot protesters were arrested, even one old lady.

GERMANY’S BREAKING POINT?


Outraged German man rails against the government for flooding Germany with illegal alien Muslim freeloaders, rapists, and criminals from North Africa. (Words are cheap, let’s see some action)

JE, ISA NI JINA SAHIHI LA YESU WA BIBLIA?

Image may contain: text
Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?
Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika " sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.
Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).
Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.
Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:
Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).
Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta (LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki. Injili ziliandikwa katika lugha ya Kigiriki ilitumia utamaduni huu wa kutafsir kwa muda mrefu.
Kwasababu Kiyahudi na Kiarabu ni lugha mbili za Kisemiti, na zina uhusiano wa karibu, kuna baadhi ya sheria maalumu ambayo sauti/maneno/maandishi ya Kiebrania yanahusiana na ambayo sauti/maneno katika Kiarabu. Hasa, Neno la Kiebrania Shin mara kwa mara linatumika kama Dhambi katika Kiarabu, kwa mfano neno la Kiyahudi la amani, shalom ni sambamba na neno “salam” la Kiarabu. Kulingana na sheria za lugha na mahusiano kati ya Kiyahudi na Kiarabu, Yasu 'ni sahihi kwa Kiarabu na kwa Kiebrania ni Yeshua:
Yeshua '= Yod + + Shin Waw +' Ain
Yasu '= + Ya + Sin Waw +' Ain
Tena, katika lugha sahihi, jina la Yasu ni Kiarabu sawa na Yeshua Kiebrania. Hivyo, katika utamaduni na jadi ya Kiarabu jina la Yasu ndilo sahihi na pekee kutokana na kiisimu. Mpito kutoka Yeshua kwa Yasu inafuata sheria ya kawaida ya mabadiliko fonetiki kutoka Kiyahudi na Kiarabu. Yasu ni jina la Kiarabu la Yesu. Kinyume chake, Yasu ndio jina lenye asili ya Yeshua.
Early Hebrew (long form): Yehoshua' = Yod + He + Shin + Waw + 'Ain
Later Hebrew (short form): Yeshua' = Yod + Shin + Waw + 'Ain
Arabic (Christian): Yasu' = Ya + Sin + Waw + 'Ain
Arabic (Muslim): 'Isa = 'Ain + Ya + Sin + Ya
“Ya” na “Waw” ni maneno dhaifu, katika lugha ya Kiarabu, hufundisha kwamba mtu anaweza kurejea katika maneno mengine kama kuchukua juu ya aina mbalimbali (declension, inflection). Hivyo, mtu anaweza kuona kwamba fomula ya Kiislamu 'Isa kimsingi ni ya bandia/kutungwa na binadamu (inversion) (pamoja na mabadiliko ya Waw ili Ya) kwa Mkristo wa Kiarabu jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislamu.
Nategemea leo umejifunza tofauti iliyopo kati ya Jina la Yesu-Kiswahili, Yasu-Kiarabu na Yeshua-Kiebrani.
Jina la Yesu Libarikiwe Sana
Katika Huduma yake
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH SIO MUNGU WA KWENYE INJIL NA TAURAT BALI NI MUNGU WA KIPAGANI

Image may contain: text
Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Nabii Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA: Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhamamd alikuwa naongoa na ummah upi.
TATIZO LA PILI: Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu
Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

TOFAUTI YA WATOTO WA MUNGU NA SHETANI (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: text
Waraka wa 1 Yohana 3:4-10 unasema “Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi. Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhiirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi haimo ndani yake. Kila akaaye ndani yake hatendi dhambi; kila atendaye dhambi hakumwuona yeye, wala hakumtambua. Watoto wadogo, mtu asiwadanganye; atendaye haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki; atendaye dhambi ni wa ibilisi; kwa kuwa ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za ibilisi. Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu. Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa ibilisi nao. Mtu yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.”
DHAMBI NI UASI
1 Yohana 3:4 inasema “ Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi."
Mtu yeyote anayefanya dhambi anaasi zidi ya Mungu. Yaani anamkosea Mungu. Ni kama vile Adamu na mkewe walivyoasi katika bustani, Mungu aliyowaweka, aliwaambia kwamba wasile matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Na hawakutii kama Neno la Mungu linavyosema kwenye Mwanzo 2:16-17 “Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.” Na kwa sababu hiyo dunia nzima wakaingia kwenye uasi wao kama Neno la Mungu linavyotuambia katika Warumi 5:12 “ Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi.” Na Warumi 5:19a inasema “ Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya mwenye dhambi,..” Kwa sababu hiyo mtu yeyote ambaye hajaokoka kwa kumuamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake anaendelea kuwa muasi kwa Mungu. Na yeyote anayeendelea na dhambi yeyote anafanya dhambi na ni muasi. Yeyote asiyefuata Neno la Mungu, ni muasi pia na Yeyote anayeshikilia mafundisho ya dini yake badala ya mafundisho ya Neno la Mungu, naye ni muasi pia, Wapo wale wanaobatiza watoto wachanga na watu ambao hawajatubu dhambi zao, wote hao wanajumuisha kwenye kundi la waasi kama Neno la Mungu linavyosema kwenye Ufunuo 21:8 “Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa la moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.”
Nitaendelea tena siku nyingine endelea kufuatilia somo hili mpendwa rafiki yangu. Mungu akubariki sana.
JAMBO LA MUHIMU SANA KUFANYA

Wednesday, January 11, 2017

GERMANY OR NOTHING! Syrian Muslim freeloaders say: “If we can’t stay in Germany (where the welfare benefits are better), we’d rather go back to Syria”


CAREFUL! Dead Muslim terrorists can be just as dangerous as live Muslim terrorists


A booby-trapped corpse exploded inside the morgue of a hospital in al-Sadr City, east of Baghdad, a security source told Alsumaria on Sunday.

Iraqi News (h/t Richard S)  The source said, “A corpse placed inside a morgue in Sadr Hospital, in al-Sadr City, exploded at noon today, causing material losses but no human casualties.”

“The corpse belongs to the suicide bomber who blew himself up, this morning, in Jamila area, east of Baghdad. Explosive material found on the corpse’s abdominal area,” the source added on condition of anonymity. Earlier today, a suicide attack hit Jamila area, east of Baghdad, leaving seven dead and 15 wounded. 

ALLAH KASEMA KUWA WAISLAM SIO WATOTO WA MUNGU

Image may contain: cloud, sky, text and nature
1. Uislam ni dini ya yatima na Watwana.
2. Ukristo ni imani pekee yenye Mungu Baba na Wakristo ni watoto wa Mungu.
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ALLAH SIO BABA
Surat Al Maida 18. Na Mayahudi na Wakristo wanasema: Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na vipenzi vyake. Sema: Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu? Bali nyinyi ni watu tu kama wale wengine alio waumba. Humsamehe amtakaye na humuadhibu amtakaye. Na ni wa Mwenyezi Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye.
Kama aya inavyo sema hapo juu, Muhammad na Allah wanakana kuwa Wakristo na Wayahudi sio watoto wa Mungu, eti kwasababu ya Allah kuto kuwa na mwana bila ya Mke. Hii aya inapingana na Biblia ambayo inasema kuwa sisi ni watoto wa Mungu.
WAKRISTO NI WATOTO WA MUNGU
Waebrania 12: 7 Ni kwa ajili ya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye? 8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. 9 Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi? 10 Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.
Yeremia 31:
18 Hakika nimemsikia Efraimu, akijililia hivi, Umeniadhibu, nami nikaadhibika, kama ndama asiyeizoelea nira; unigeuze, nami nitageuzwa; kwa maana wewe u Bwana, Mungu wangu.
19 Hakika baada ya kugeuzwa kwangu, nalitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nalijipiga pajani; nalitahayarika, naam, nalifadhaika, kwa sababu naliichukua aibu ya ujana wangu.
Muhammad alikuwa bila ya matunzo na malezi ya Baba na mama yake. Baba yake alikufa kabla ya muhammad kuzaliwa, na Mama yake alikufa alipo kuwa na miaka sita [6] . Huyu Muhammad kwanza aliishi na babu yake na kwa muda mwingi aliishi na wajomba zake.

UNAKIJUA CHAKULA CHA WAISLAM WAKIWA JEHANNAM?

Image may contain: text
KUMBE ALLAH ATAWALISHA CHAKULA NA KUWAPA MAJI WAISLAMU WAKIWA JEHANNAM?
CHAKULA CHA WAISLAM WAKIWA MOTONI
Vyakula vyao vimetajwa kua ni:
1-Dhari’i: Hii ni miba ichomayo koo na imetajwa katika Suratul Ghaashiyah aya ya 6.
2-Ghisliin: Amesema Allah kuhusiana na Ghisliin “ Hawatokua na chakula humo ila Usaha”. Suratu Haaqah aya ya 36. Hivyo ghisliin ni usaha ambao utawatoka wenyewe watu wa motoni kutokana na adhabu kali na kisha watakula usaha wao huo.
3-Zaquum: Ni mti mchungu huu ambao unaota katika jahannam, umoto wake umefananishwa na shaba iloyayushwa ambayo itachemkia tumboni. Matunda yake yanatisha kama vichwa vya mashetani. Umetajwa katika Suratu-Dukhaan aya ya 43-45 na Suratu Swaaffaat aya 62-66 na Suratul_Waaqiah 52-53
4-Ghuswah: Ni aina nyengine ya chakula cha watu wa motoni. Allah amekitaja katika suratul-Muzammil “Na chakula kikwamacho na adhabu iumizayo” 13
VINYWAJI VYA WAISLAMU WAKIWA MOTONI
Kabla ya kutaja vinywaji vya watu wa motoni, tukumbuke kua baada ya watu wa motoni kuingizwa Jahannam watashikwa na kiu kali kutokana na joto la Jahannam, hivyo watawapigia kelele watu wa peponi na kuwaambia kama anavyotusimulia Allah “Watu wa motoni watawanadia watu wa peponi: Tumiminieni maji au kile alichokuruzukuni Allah watasema (watu wa peponi kuwajibu): Hakika Allah ameviharamisha kwa kwa makafiri.(50) Ambao waliifanya dini yao kua ni upuuzi na mchezo,na yakawadanganya maisha ya dunia. Basi leo tutawasahau (na kuwaacha humohumo motoni)kama walivyosahau mkutano wa siku hii(51)” (Suratul Aaraf).
Baada ya joto la jahannam kuzidi wataoneshwa maji yachemkayo, kisha watayaendea lakini hawatoweza kunywa kwa umoto wake, watataka kurudi tena mahali walipokua na wakirudi, watazidiwa na kiu watataka kwenda kwenye yale maji na huo ndio utakua mzunguko wao. Amesema Allah katika suratu Rahman aya ya 44 “Watakua wakizunguka baina ya (Jahannam)na baina ya maji ya moto yachemkayo”. Amesema Allah kuhusiana na maji hayo katika Suratu-Muhammad aya ya 15“……na kunyweshwa maji yachemkayo yatakayokata chango zao” na wapo ambao maji hayo yatatoa ngozi zao na yalokuwemo kwenye matumbo yao kama anavyosema Allah katika Suratul-Hajj aya ya 20 “Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia”.
Ama vinywaji vyengine ni:
1- Maji ya usaha. Amesema Allah katika Suratu –Ibrahiim aya ya 16-17“ Na atanyeshwa humo maji ya usaha. Awe anayagugumiza na asiweze kuyameza. Na mauti yatamjia kutoka kila mahali na hatokufa”. 16-17.
2- Maji ya shaba. Amesema Allah kuhusiana na maji haya katka Suratul-Kahfi “ Na watakapoomba msaada (kutokana na kiu kali)watapewa maji kama ya shaba iliyoyayushwa itakayounguza nyuso zao, kinywaji kibaya kilioje hicho”
Ama kwa upande wa hadithi: Inasimuliwa kua watu wa jahannam wakiyasogelea maji kwa ajili ya kuyanywa basi itatoka ngozi ya uso na kuingia katika chombo chenye maji yale kutokana na shida ya vuke la moto.
SWALI:
Kwanini Allah atawapa Waislam chakuna na vinywaji wakiwa Jehannam?
Na pia Mtume swalla Allahu alayhi wasalam amesema” Ameoneshwa moto na akawakuta wengi wao walokuwemo humo ni wanawake..”hivyo akawataka wazidishe kutoa sadaka.
Ili mtu aepukane na Jahaanam ni muhimu kuzidisha amali zifuatazo:
Kuzidisha kutoa sadaka kwani amesema Mtume wa Allah “Sadaka huondoa makosa kama moto unavyokula kuni.(Hadith sahih).
Natanguliza pole kwa Wanawake wa Kiislam maana Allah ataijaza Jehannam na wanawake.
Karibuni kwa Yesu ambaye anawapenda na amesha wasamehe dhambi.
Shalom.

UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA, HAIKUWEPO WAKATI WA ADAM WALA MUSA WALA IBRAHIM

No automatic alt text available.
UISLAM NI FAKE [BANDIA]
Ndugu msomaji,
Uislam ni neno au jina linalo itambulisha dini ya Allah na yenye mtume aitwaye Muhammad. Hili neno "UISLAM" halikuwepo kabla ya kuzaliwa Muhammad. Zaidi ya hapo, hili neno Uislam lilianzishwa na Muhammad aliye muumba Allah. Ndio nasema Muhammad aliye muumba Allah.
Hakuna uthibitisho wa kihistoria ambao uliokuwepo kabla ya Quran kuwa hili neno UISLAM lilikuwepo.
Waislam, mimi SINA MUDA NA AYA ZA QURAN ZILIZO TUNGWA NA MUHAMMAD NA RAFIKI ZAKE. MNILETEE UTHIBITISHO WA VITABU KABLA YA QURAN KUWA HILI NENO UISLAM LILIKUWEPO.
Zaidi ya hapo, hakuna uthibitisho katika Taurat, au Zaburi, au Injili wenye hili neno UISLAM ndani yake. Ndio maana leo nasema kuwa UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA TU.
Sahih Bukhari, Volume 1, Book 2, Number 19: Narrated 'Aisha: Muhammad anasema katika hii hadithi kuwa yeye ndie anamfahamu Allah kuliko viumbe wote walio kuwepo duniani.
Muhammad teyari anaonyesha sifa zote za kumtengeneza Allah ambaye anamtengenezea Uislam na kudai ni dini ya Mwenyezi Mungu.
Swali la kujiuliza, wapi uthibitisho wa kuwepo hili neno UISLAM kwenye vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran au kuzaliwa kwa Muhammad?
Ili kusaidia huu ukweli angalia jinsi Allah aliye umbwa na Muhammad anavyo tengeneza mazingira ya kumlinda Muhammad. Soma katika Surat Al Fat-hi 13. Na asiye muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi kwa hakika Sisi tumewaandalia makafiri Moto mkali.
Kama huyu Muhammad aliye kiri kuwa hajui atafanywa nini na Allah baada ya kifo, iweje leo hii lazima afuatwe? Hivi utamfuata vipi mtu ambaye hajui nini atafanywa na Allah? Soma: Muhammad hajui atafanywa nini baada ya kiifo. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam wanao fuata unabii wa Muhammad asiye juwa wapi anaenda.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitambua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata NA TUFUATE DINI ILIYO TUNGWA NA MUHAMMAD.
NDIO MAANA NASEMA KUWA UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA TU, HAIKUWEPO WAKATI WA ADAM, WALA MUSA WALA IBRAHIM NK.
Kama kuna Muislam anabisha, basi aniletee uthibitisho wenye jina "UISLAM" au "ISLAM" kwenye vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran.
Kama kuna Muislam anaweza niletea uthibitisho wa kihistoria kuwa neno Uislam lilikuwepo kabla ya kuzaliwa Muhammad, basi aulete hapa ili niuone na nitasilimu niwe Muislam.
UISLAM NI DINI YA KUTUNGWA TU, HAIKUWEPO KABLA YA KUZALIWA MUHAMMAD.
Waislam, kwanini mnafuata DINI YA KUTENGENEZA?
Waislam, kwanini mnafuta UISLAM ULIOTUNGWA NA MUHAMMAD NA HAUKUWEPO KABLA YAKE?
SINA MUDA NA AYA ZA QURAN ZILIZO JAA SHAKA NA KUTUNGWA NA MUHAMMAD. MIMI NATAKA UTHIBITISHO WA VITABU VINGINE VILIVYO KUWEPO KABLA YA QURAN NA KUZALIWA KWA MUHAMMAD.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA MPAKA MAKKA.
Usikose mada ya "MUHAMMAD KAMUUMBA ALLAH [MUHAMMAD = ALLAH]
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,

TRENDING NOW