Monday, January 16, 2017

ALLAH HAJUI SAYANSI YA DARASA LA TANO

Image may contain: 3 people, text
Ili kumpima Allah kama kweli aliumba kila kitu, leo tutamia Sayansi na tuone kama atapasi "Litmus Test". Maana ni rahisi sana kujua kama Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu au ulitengenezwa tu na Muhammad.
SOMA:
Surat Al Kahf 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope.
Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye surat Al Kahf ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?http://www.quranitukufu.net/018.html
SASA MUHAMMAD NA YEYE ANASEMA KUWA JUA LINAZAMA KWENYE CHEMCHEM YA MATOPE
Dhu al-Qarnaiyn [Zul Qarnain] "alishuhudia kuzama kwa jua kwenye sehemu yake ya kupumzikia kwenye bwawa lenye ute mweusi na wenye harufu mbaya sana." al-Tabari juzuu ya 5 uk.173-174 (Tazama Sura 18:82-97).
Katika Al Tabari hapo juu tumesoma kuwa jua hupumzika kwenye bwawa lenye ute mweusi. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa na Muhamamd kwenye hadith hii ni maji gani? Unadhani ni Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ETI JUA LINAPOROMOKA TOKA KITI CHA ENZI MPAKA KWENYE BAHARI.
" [Muhammad] Aliendelea. Wakati jua linachomoza, linainuka juu ya kibandawazi (kinachokokotwa na farasi) toka kwenye moja ya chemchemi hizo likiwa pamoja na malaika 360 …. Wakati Mungu anataka kuvijaribu jua na mwezi, ili kuwaonyesha watumishi wake ishara na kwa njia hiyo kuwataka waache kutokumtii Yeye na kuanza kutii, jua huporomoka ghafla toka kwenye kibandawazi na kuanguka kwenye kina cha bahari, ambacho ni cha mduara.
Wakati Mungu anataka kuongeza umuhimu wa ishara kuwatisha zaidi watumishi wake, jua lote hunguka, na hapawi na sehemu yake yoyote inayobaki kwenye kibandawazi. Huko ndiko kupatwa kukamilifu kwa jua, wakati ambapo mchana hujiwa na giza na nyota hutokeza." al-Tabari juzuu ya1 uk.236.
Tunaendela na kumuumbua Allah na Muhammad: Kwenye hadith hapo juu, Muhammad anasema kuwa Jua linakokotwa na Farasi.
(i) Jua lina kipenyo cha (radius of the sun is) 432,450 miles (696,000 kilometers) na ukubwa wa 1.4 x 1027 cubic meters. Ikimaanisha kuwa ni sawa na dunia milioni moja na nukta tatu (About 1.3 million Earths could fit inside the sun.). Uzito wa jua ni sawa 1.989 x 10 kipeo cha 30. [Nisawa na uzito wa dunia mara 333,000]
(ii)Lakini Allah anadai eti hilo Jua lenye huo uzito na huo ukubwa linabebwa na farasi. Zaidi ya hapo, joto la jua peke yake litawaunguza hao Farasi na kuwa masizi.
(iii) Allah anaendelea kudai kuwa Jua hilo lina anguka kwenye kina cha Bahari. Hivi jua lenye ukubwa mara milioni moja nukta tatu zaidi ya dunia, linawezaje kuingia kwenye kina cha bahari ambayo ni sehemu tu ya dunia?
Ndugu msomaji, je, wewe bado unaendelea kumfuata huyu Allah amabye hajui hata sayansi ya kawaida tu?
Muislam anasema eti, Allah kaumba kila kitu, huku akishindwa vibaya sana sayansi ya kawaida tu, tena ya darasa la Tano.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAMU NA MUHAMMAD WAO.
ALLAH HAJUI SAYANSI NA HIVYO BASI HAWEZI KUWA MWENYEZI MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU.
NDIO MAANA HUWA NASEMA, UISLAM NI DINI YA KUTENGENEZA TU NA HAUKUWEPO KABALA YA KUZALIWA MAREHEMU MUHAMMAD.
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.

ISA WA QURAN SIO YESU WA BIBLIA (UTHIBITISHO WA TATU)

Image may contain: one or more people and text
Je, Isa bin Mariamu ni Mwana wa Mungu?
Kama kuna jambo ambalo Allah mungu anayeabudiwa na Waislamu analikataa sana kupitia Quran basi jambo hilo si lingine bali ni YESU KUWA MWANA WA MUGU. Allah ansema hivi.
Sura 6:101 – Yeye ndiye muumba wa mbingu na ardhi, inamkinikaje awe na mwana, hali hana mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu (sio baadhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu.
Quran 9:30 – Na Mayahudi wanasema ‘uzeri ni mwana wa Mwenyezi Mungu’ na ‘wakristo wanasema Masihi ni mwana wa Mwenyezi Mungu’ haya ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao (pasina kuyapima). Wanayaiga maneno ya wale walilkufuru kabla yao, Mwenyezi Mungu awaangamize. Wanageuzwa namna gani hawa?
Hili ni agizo la kutisha kwamba Wakristo na Wayahudi tuangamizwe kwa kuwa tunaamini Mungu ana Mwana, au wana, lakini Wakristo tunaoamini hivyo kwa sababu Mungu wetu:-
- Yehova alifundisha kuhusu Bwana Yesu hivi:
Kutoka 4:22…Israeli ni Mwanangu Mimi……
Mathayo 17:5……Huyu ni Mwanangu Mpendwa wangu….
Malaika wa Mungu alisem hivi.Luka 1:30-31, 35 – Malaika akamwambia usiogope Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kuvuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu.
Hivyo basi Isa wa kwenye Quran siyo Mwana wa Mungu lakini Yesu wa kwenye Biblia ni Mwana wa Mungu. Kwa hivyo Yesu siyo Isa.
Leo tumejifunza tena kuwa, katika Quran Allah kakiri kuwa yeye hana Mwana, lakini kwenye Biblia Yehovah anasema kuwa Yesu ni Mwana wake.
Mungu awabariki sana na fahamu kuwa Isa wa kwenye Quran sio Yesu wa kwenye Biblia.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries

KUMBE ALIYEANDIKA QURAN ALIKUWA NA SHETANI?

Image may contain: 4 people


Mtu wa Awali, aliyejifundisha kusoma na kuandika katika Mji wa Makka alikuwa Bwana Harb bin Umayya-babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa Yaman, na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa Makka. Wakati Mtume alipopata utume walikuwako watu 6 tu katika Makka waliokuwa wakijiua kuandika. Wa 4 katika yao waliingia katika Uislamu, wakawa ndiyo waandikaji "Wahyi" (aya za Qur'an), watu hao walikuwa ni Sayyidna Abubakar. Sayydna Umar, Sayyidna Uthman na Sayyidna Ali.
Kitabu cha Maisha ya Nabii Muhammad uk. 8,na Sheiky A.Falsy)
SAYYIDNA ABUBAKAR,
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
ETI KORAN IMETEREMSHWA NA ALLAH, THUBUTU
QURAN 2. SURA AL- BAQARA
97. Sema: Aliyekuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwaidhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na niuwongofu na bishara njema kwa Waumini.
SASA KAMA KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWANINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

MUHAMMAD ALITAMKA AYA ZA SHETANI KWENYE QURAN

Image may contain: 1 person, meme and text
KWANINI MUHAMMAD ALISHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA ALLAH NA SHETANI?
KWANINI MUHAMMAD ALISHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA AYA ZA MASHETANI NA AYA ZA JIBRIL?
Moja ya matukio yenye kuaibisha zaidi kwenye maisha ya Muhammad lilitokea wakati Shetani alipoweka maneno yake kwenye mdomo wa Muhammad. Muhammad alisema maneno ya Shetani kama neno la Mungu. Tukio hili limethibitishwa kwa maandishi na waandishi kadhaa wa Kiislam wa kale na limeongelewa kwenye Hadithi na Kurani. Waislam wa miaka iliyofuata, kwa kujisikia aibu kuwa nabii wao aliyejitangaza mwenyewe amesema maneno ya Shetani, walikana kuwa tukio hili lilitokea. Visingizio na kukana kwingi vimekuwa vikitolewa na hawa Waislam wa miaka iliyofuata ili kulifunika kosa lenye kuhusisha dhambi la Muhammad.
Ni muhimu ikafahamika tena kuwa tukio la ‘Aya za Shetani’ si jambo ambalo limetungwa na watu wasiokuwa Waislam. Tukio hili limerekodiwa na vyazo vya kale zaidi vya Kiislam vilivyokuwepo wakati wa uhai wa Muhammad. Mtu yoyote asifikiri kuwa jambo hili ni hadithi iliyotungwa na watu wenye kuupinga Uislam. Ni kisa kinachopatikana moja kwa moja kwenye rekodi za kale za Kiislam.
Hili moja ya masomo yenye kubishaniwa zaidi kwenye Uislam. Shetani alimsababishia Muhammad kunena maneno yake (Shetani) kama maneno ya Mungu."
Je Kurani Ilisema Nini Mwanzoni?
Sura ya Nyota (Sura 53) mistari ya 19-20 inasema, "Je umemwona Lat, na ‘Uzza, Na mwingine, (mungu mke) wa tata, Manat?"

Allah alikuwa maarufu huko Arabia kabla ya kuja kwa uislam, kama mungu aliyekuwa na mabinti watatu: al-Lat, al-Uzza, na Manat. (Kumbuka kuwa al- inamaanisha ‘yule’, kwa Kiingereza "the".)
Waandishi wanne wa mwanzo wa maisha ya Muhammad waliandika kuwa awali aya hizi zilifuatwa na:
"Hawa ni mawinchi (wasuluhishi) ambao maombi yao yanapaswa kutumainiwa"
Tafsiri: Mabinti wa Allah walifikiriwa kuwa viumbe wa mbinguni wenye kuomba kwa ajili ya wengine. Mawinchi marefu ya Kinumidia ilikuwa ni sitiari yao. Maneno mbadala ya "inatakiwa kutumainiwa" (turtaja) ni "imekubaliwa kwa kuthibitishwa" (turtada). (Kutoka kwenye tafsiri ya Alfred Guillaume ya The Life of Mohammed, iliyoandikwa na Ibn Ishaq, uk.166.
Baadaye, kifungu hiki kiliondolewa na kifungu kifuatacho kiliwekwa badala yake:
"Nini! Kwako wewe mwenye jinsia ya kiume, Na kwake (mwanaume), mwanamke? Tazama, hakika mgawanyo huu hautakuwa wa haki kabisa." (aya za 53:21-22 leo)
Tafsiri: Wale wanaoamini kuwa Allah alikuwa na mabinti watatu hawakuntendea haki Allah, kwa sababu walipendelea watoto wa kiume ingawa walisema kuwa Allah alikuwa na wasichana tu.
Hizi ndizo ambazo zimeitwa "Aya za Shetani." Katika nyakati za sasa Salmon Rushdie alitumia msemo huu tu kwenye kichwa cha riwaya yake ya kubuniwa na isiyohusika na aya hizi, na andiko hili halikiongelei kisa hiki cha kisasa. Kwa upande wa Aya za Sheatani za asili, Muislam au mtu mwingine asiyekuwa Muislam mwenye kutazama jambo hil bila upendeleo anawezaje kujua aya ambazo zilikuwemo toka awali? Sehemu iliyobaki ya andiko hili inatoa ushahidi wa moja kwa moja na ule usio wa moja kwa moja kuwa Aya za Shetani zilikuwemo asilia, na mapingamizi tisa ya Kiislam.
Kama Muhammad alikuwa mtume wa Mungu, kwanini alishindwa kumtambua Shetani alipo weka aya zaje kwenye mdomo wa Muhammad?
Tutamwamini vipi Muhammad kuhusu aya zingine za Quran kuwa sio za Shetani?
Natanguliza pole kwa muhammadans kwa kuingizwa mjini na Muhammad na kulishwa aya za Shetani.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA NGURUWE NI KITU KIZURI NA NI HALAL

Image may contain: one or more people, dog and text
HUU NI MSIBA KWA WAISLAM WANAO MZULIA UONGO ALLAH.
Quran inasemaje kuhusu nyama ya Nguruwe;-
(Surat an-Nisaa 4;160). Quran inasema hivi katika aya hiyo “Basi kwa dhulma yao hao Mayahudi tuliwaharimisha VITU VIZURI walivyohalalishiwa na vilevile kwa sababu ya kuzuiliwa kwao watu wengi na njia ya mwenyezi Mungu” http://www.quranitukufu.net/004.html
Hii ni aya iliyo wazi kuwa Wayahudi PEKE YAO NDIO walizuiliwa KULA VITU VUZIRI kwaajili ya dhuluma, Mungu alitaka kuwahukumu kwa kuwanyima baadhi ya VITU VIZURI Quran inakiri wazi kuwa Nguruwe ni KITU KIZURI Umeona?
Surat An Nisaa aya 160 INASEMA:
1. Wayahudi ndio walio haramishiwa VITU VIZURI "NGURUWE"
2. Hii aya nasema kuwa, NGURUWE NI VITU VIZURI.
SWALI KWA WAISLAM:
1. Kwanini hamli NYAMA NZURI YA NGURUWE?
2. Aliyeharamishiwa kuwa NGURUWE NI WAYAHUDI, sasa tokea lini nyie Waislam mmekuwa WAYAHUDI na kuacha kula VITU VIZURI "NGURUWE"?
QURAN INASEMA KUWA YESU ALIKUJA KUHALALISHA KULA NYAMA YA NGURUWE:
Quran inafundisha kuwa Yesu alikuja kuhalalisha yale yaliyo harimishwa (Surat al-Imran 3;50).
Quran inasema haya katika aya hii “ Na nitakuwa Msadikishaji way ale yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati na nimekuja ili NIKUHALALISHIENI yale MLIYOHARIMISHWA na nimekujieni na hoja Kutoka kwa Mola wenu kwa hiyo mcheni mwenyezi Mungu na NITIINI”
Hayo ni meneno ya Yesu Ndani ya Quran ikionyesha wazi kuwa Yesu alikuja kuhalalisha yale yaliyoharimishwa katika Tourati na anatuamuru kumtii, ni wazi kuwa Yesu ameruhusu kula Nguruwe ndani ya Quran
Pia
QURAN INASEMA CHAKULA WANACHO KULA WAKRISTO NI KIZURI NA SIO HARAM
Quran imehalalisha kula vilivyo vizuri walavyo waliopewa kitabu (Al-maida 5;3-5).
Sura hii Almaida maana yake maswala ya meza inasema hivi:
“……..Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha wale waliopewa Kitabu ni Halali kwenu na chakula chenu ni halali kwao…”
Hii ni aya iliyo wazi inayoruhusu kila Muislamu kula vyakula vya Wakristo na Wayahudi na sisi kula vyao umeona!
Quran inafundisha kuwa Mungu hakuharimisha chochote ila wazee wa Kiyahudi waliharimisha kwa mapokeo yao tu (Al-an nam 146)
Quran inatahadharisha kuwa makini kumzulia Mungu uongo kuwa ameharimisha kitu kumbe hakuharimisha chochote (An Nahl 16;116)
Quran inaamuru uletwe Ushahidi kuwa ni wapi Mungu ameharimisha wanyama? Soma (Al an- am 6;150).
Hivyo ukisoma kwa makini Quran utaona hakuna kilicho haramu ndugu zangu Waislamu kula Nguruwe ni ruksa ila kiasi tu usizidishe ndivyo Quran inavyofundisha kama husadiki pale uwanja wa Sabasaba Tanga kwa Minchi Waislamu wenzenu hujumuika kula kiti moto kila iitwapo leo kwani wameelimika na wamegundua siri hii.
Mimi sikushawishi ila nina kuweka huru kama mwalimu wa kweli ya Mungu “….. Mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru.
Waislam, sasa mnaijua kweli na kuleni Nyama ya NGURUWE KITU KIZURI KAMA ALIVYO SEMA ALLAH KWENYE QURAN YENU Surat an-Nisaa 4;160.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

Thursday, January 12, 2017

Is there a Muslim school (madrassa) in your neighborhood?


This is where young Islamic terrorists-in-training learn how to hate.

SUCCESS!

FRANCE: Gruesome aftermath of the Muslim terrorist truck jihad attack in Nice that the media refused to show you


And, as promised by the Islamic State, coming soon to a European or an American city near you. And there’s nothing you can do to stop it…short of deporting all Muslims from your country.

Sorry, not surprisingly, the video has been taken down by Youtube. Will try to find another. —BNI 

OK, try this:

SPAIN! MUSLIM TERRORIST shouting “Allahu Akbar” opens fire in supermarket while wearing suicide vest filled with gasoline and gunpowder


The Muslim attacker walked into the Mercadona shop, in the As Lagoas region of the northwestern region Ourense, before opening firing shots into the air. Several shoppers were inside the supermarket when the man entered and fired several shots into the air, causing emergency services to swoop on the building. 

Daily Mail   The Sun (h/t Nate C) According to police sources, the young man has psychological problems (yes, according to the left wing media, Muslim terrorist attacks must never be referred to as terrorism but rather the result of psychological problems, having nothing to do with Islam) and lives next door to the shop.

The incident, which happened at around 2pm, did not result in any injuries but left many extremely shaken. One employee confirmed that he had shouted the Arabic phrase for ‘Our God is greater’ before he began shooting. Witnesses told how they suddenly heard screams and shots before nearby officers screamed at them to get away. 

Below is the double-barrelled shotgun used by the gunman who opened fire into the air above terrified shoppers. Local media outlets also say the man reportedly had shotgun cartridges and a bottle full of petrol in a rucksack as he carried out the shooting.

According to Spanish media outlet La Region, the gunman shot at Perez but stopped when he saw the off-duty cop also had a gun.  Police officer Carlos Perez, 38, revealed the gunman fired at him and he had to wait for backup.  He and his colleagues were able to detain him after he ran out of ammunition, and later they emerged with a makeshift vest. 

Armed police then arrived on the scene, arresting him and leading him away.

Photos from after the incident show broken glass (from the wine and liquor section) strewn all over the shop floor.

Police sources told La Region they have since ruled out any political or religious motive for the attack, and also reportedly say they do not believe the gunman intended to kill anyone. Terrified customers described hiding for half an hour, fearing others were dead as they listened to gunshots ringing out.

‘CALIPHORNIA’ MUSLIM phone store salesman caught pulling a gun on customers who came in asking for refund after being sold “used” iPhones


Basel Mohammad Farha, the salesman, was arrested and booked on suspicion of brandishing a weapon, making threats, and assault with a deadly weapon after the incident was caught on video.

UK Daily Mail (h/t Billy H)  Los Angeles comedian Pat Gallegos was among the group of three friends and relatives who accompanied a female cousin to the Metro-PCS store to ask for a refund for an iPhone 6s, according to NBC Los Angeles.  ‘My cousin is a very nice and shy girl so she asked me to go with her,’ said the account user who posted video of the shocking encounter that followed on YouTube.

As taunts of ‘Pussy’ and ‘Whatta you have?’ are heard faintly off camera, the bearded shopkeeper in a purple Metro-PCS shirt is seen pulling what appears to be a semi-automatic pistol from his rear waistband. The man, identified by cops as Farha, cocks the action of the pistol and waves it at the customers standing outside the shop door, shouting ‘Get the fuck outta here, I said!’

One of the customers, identified by NBC as Gallegos, is shown briefly in the video clutching what appears to be paperwork for a phone contract.  The dispute came about after Gallegos’ female cousin bought a new iPhone at the store. But when she got home, she discovered that the iPhone was used, and still had photos, contacts, and notes from the previous owner.

Along with three friends, the woman went to the store to ask for a refund, as a one-week refund clause in her contract allowed, when Farha pulled a gun on the group, the customers claim.

The South Gate Police Department responded quickly to the report of a gun, and arrested Farha after taking interviews and viewing the video, witnesses said. Questioned by police, Farha said he himself had felt threatened by the group of four angry customers, claiming they called him a ‘terrorist.’

‘Based on the circumstances of the case, officers felt there was a threat’ and arrested Farha, said Det. Sgt. Ismael Ververa.  Formal charges are pending are pending in the case, and Farha was released on a $200,000 bail.



Designated terrorist group CAIR’s executive director, Nihad Awad, demands that Obama close Gitmo and release all the remaining Muslim terrorists


Standing on the steps of the U.S. Supreme Court, surrounded by useful leftist idiots dressed up as Gitmo prisoners, Awad also demands that President-elect Trump respect the human rights of Muslim terrorists who are being “held against their will in Guantanamo Bay,” while accusing the United States of being the world’s biggest human rights violator. Funny how he keeps making references to “our government” as if being a Muslim in America makes him an American. Muslim loyalty is to Allah alone, never to the country they have infiltrated.

UPDATE: Several of CAIR’S useful idiot protesters were arrested, even one old lady.

TRENDING NOW