Friday, March 17, 2017
PARIS: “Allahu Akbar” screaming Muslim murders his own father and brother in broad daylight by cutting their throats
The Local The two men died at the scene despite efforts by paramedics to save them. “I came down and saw one body in the hall and another in the courtyard. There was blood everywhere,” one resident told Le Parisien newspaper.
On the upside, there are three fewer Muslims in the streets of France.
JE MUHAMMAD ALIKUNYWA POMBE?

Je Muhamad hakunywa pombe au Quran imekataza pombe hilo ndo swali la kujiuliza. Ukipitia aya za Quran na hadithi za Muhamad utakuta mtume saw alikunywa pombe na pia Quran inaunga mkono na kuruhusu jambo hilo. Bila shaka kuna baadhi ya watu watapinga na kutoa maneno ya kashfa pamoja na matusi lakin lazima ukweli uwekwe wazi. Ingawa baadhi ya madhehebu ya kikristo yanaruhusu pombe lkn leo tutaangalia khs ngd zetu waislam ambao mda mwingi wanawarahumu wakristo eti wanaruhusu pombe.
Kabla ya yote ebu tutazame aya zinazokataza pombe ktk Quran
Quran 2:219. Wanakuuliza juu ya ULEVI na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri.
Hilo neno dhambi katika baadhi ya tafasiri za kiingereza limetumika Harm km ifuatavyo na ktk tafasiri ya kiarabu hamna neno dhambi ktk aya hiyo …….
Kwahiyo katika aya hii hakuna amri ya kukataza pombe moja kwa moja, huko mbele tutaona zaidi, ingawa hiyo aya ilikuwepa waislam na muhamad bd waliendelae kunywa pombe.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya waislam ambao walikuwa wana Sali huku wamelewa.
Aya zinazoruhusu pombe ktk Quran
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
KWANINI YESU ALIKUFA MSALABANI?

“Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, awafanye ninyi wakamilifu mkiwa
mmekamilishwa katika kila jambo jeama ili mpate kutenda mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye milele na milele” (Waebrania 13:20-21).
mmekamilishwa katika kila jambo jeama ili mpate kutenda mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye milele na milele” (Waebrania 13:20-21).
Mungu Baba alipanga kifo cha Bwana Yesu na pia alipanga kufufuka kwake. Hii ndiyo sababu Biblia inasema kwamba Mungu alimleta tena kutoka kwa wafu “Kwa damu ya Agano la milele” (Waebrania 13:20-21).
“Damu ya Agano la milele” inamaanisha damu ya Yesu Kristo. Yesu alisema, “Hii ndiyo damu yangu ya agano” (Mathayo 26:28). Biblia inatufundisha kwamba ili Yesu atuokoe ilimbidi akufe na afufuke. Yesu hangefufuka, basi hatungeokolewa. Kifo cha Bwana Yesu Kristo kilileta msamaha wa dhambi, kuoshwa kwa dhambi na wokovu kwa watu wa Mungu. Kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa ni dhihirisho kwamba Mungu Baba amekubali dhabihu yake ya kifo msalabani.
Wakati Yesu alikufa msalabani alijitoa kuwa sadaka kwa watu wake ili awalipie fidia ya dhambi zao. Wakati Mungu Baba alimfufua kutoka kwa wafu lilikuwa dhihirisho kwamba Mungu alifurahishwa na kifo cha Yesu. Mungu Baba alikuwa anasema kwamba kifo cha Yesu kimetosheleza fidia ya dhambi za watu wake.
Biblia inasema, “Kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu” (1 Wakorintho 15:17). Hii inamaanisha kwamba kufufuka kwa Yesu Kristo lilikuwa hakikisho kwamba Mungu Baba alikubali kifo cha Yesu Kristo kama malipo yanayokubalika kulipia dhambi za watu wake. Yesu hangefufuka kutoka kwa wafu basi kifo chake hakingemfaidi yeyote. Ni baada tu ya kufufuka ndipo angeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwa dhambi zao.
Biblia inasema, “Kristo alifufuka kutoka wafu kwa utukufu wa Baba” (Warumi 6:4). Tukija kwa Yesu Kristo kwa imani na kumwamini yeye pekee kwa wokovu, basi dhambi zetu zitaondolewa na tutasamehewa na kupewa wokovu.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
ALLAH KASEMA ISRAEL NI TAIFA BORA NA LA NEEMA KULIKO WALIMWENGU WOTE
1. Allah asema Israel ndio taifa la Mungu, Surat Al Baqara 47
2. Allah asema ardhi ya Israel ni ya Waisraeli, Soma Quran Surat Al Maida aya ya 21
3. Palestina yakatwa na haipo kwenye Quran
2. Allah asema ardhi ya Israel ni ya Waisraeli, Soma Quran Surat Al Maida aya ya 21
3. Palestina yakatwa na haipo kwenye Quran
Ndugu wasomaji,
Huu ni Msiba kwa Waislam wanao pigia debe Wapalestina. Hivi kwanini Allah hakuitaja Palestina kwenye Quran yake? Lakini ameitaja Israel na Waisraeli?
Surat Al Jaathiya 16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote.
ALLAH ANASEMA KWA WAYAHUDI KUWA ARDHI YA ISRAEL IMETAKASWA NA IMEANDALIWA KWA AJILI YAO:
Allah (s.w.t.) amesema: Enyi watu wangu! Ingieni katika hiyo ardhi iliyotakaswa ambayo Allah amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.(5:21)
Katika aya hapo juu, Allah anawaita Wayahudi kupitia Musa "WATU WANGU" zaidi ya hapo anawaambia kuwa Waende Israel kwenye ARDHI ILIYOTAKASWA, kumbe ata Allah anafahamu kuwa ardhi ya Israeli si ya Wapalestina.
Ndugu msomaji, kwanini Allah anaiita ardhi ya Israel kuwa imetakaswa lakini hakuwai sema hivyo kwa Makka?
USHAURI WA JINSI YA KUISOMA BIBLIA

Huu ni ushauri tu na sio sheria ya kusoma Biblia.
Kwa kuanzia, ni muhimu kutambua kwamba Biblia si kitabu cha kawaida ambacho husomwa vizuri kutoka bima hadi bima. Kweli ni maktaba, au ukusanyiko, wa vitabu vimeandikwa na waandishi mbalimbali katika lugha kadhaa zaidi ya miaka 1500. Martin Luther alisema kuwa Biblia ni "utoto wa Kristo" kwa sababu historia yote ya Biblia na unabii hatimaye uhakika hulenga Yesu. Kwa hiyo, kusoma kwa kwanza kwa Biblia lazima kuanzie na Injili. Injili ya Marko ni ya haraka na ina ufahamu wa kutosha na ina sehemu nzuri ya kuanzia Basi kutaka kwenda kwenye Injili ya Yohana, ambayo inaangazia katika mambo yote Yesu aliyadai juu yake mwenyewe. Marko anaelezea kuhusu yale Yesu alifanya, wakati Yohana anaelezea kuhusu kile Yesu alisema na Yesu alikuwa nani. Katika Yohana kuna baadhi ya vifungu rahisi na wazi, lakini pia baadhi ya vifungu kamili na vizito zaidi. Kusoma Injili (Mathayo, Marko, Luka, Yohana) itakuwa kujifahamisha na maisha ya Kristo na huduma yake.
Baada ya hayo, zisome baadhi ya Nyaraka (Warumi, Waefeso, Wafilipi). Hizo hutufundisha jinsi ya kuishi maisha yetu kwa njia ambayo ni ya kumheshimu Mungu. unapoanza kusoma Agano la Kale, kisoma kitabu cha Mwanzo. Inatuambia jinsi Mungu alivyoumba ulimwengu na jinsi watu walianguka katika dhambi, kama vile athari za kuanguka zilikuja juu ya dunia. Kutoka, Walawi, Hesabu, Kumbukumbu na zinaweza kuwa ngumu kusoma kwa sababu zinaingia katika sheria zote ambazo Mungu alihitaji Wayahudi kuishi kwayo. Huku haupaswi kuepuka vitabu hivi, ndivyo labda bora Zaidi vimebaki kwa ajili ya utafiti wa baadaye. Katika hali yoyote, jaribu sama isokwame katika hivyo vitabu. Kusoma Yoshua kupitia Mambo ya kupataNyakati ili kupata historia nzuri ya Israeli. Soma Zaburi kupitia Wimbo Ulio Bora itakupatia hisia nzuri ya mashairi ya Kiebrania na hekima. Vitabu vya unabii, Isaya hadi Malaki, inaweza kuwa vigumu kuelewa vile vile. Kumbuka, la muhimu katika kuelewa Biblia ni kuuliza hekima kwa Mungu (Yakobo 1:5). Mungu ndiye mwandishi wa Biblia, na anataka wewe ulielewe neno lake.
Fanya maombi kabla ya kufungua au kusoma Neno la Mungu au kufungua Biblia.
Omba kwa Mungu mwongozo na kuwa tayari kuyakubali yaliyoandikwa na kuweza kuyatekeleza.
Barikiwa sana.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
MITUME KUMI NA WAWILI WA YESU KRISTO

Ndugu msomaji,
Katika somo hili tutajifuinza kwa ufupi kuhusu Mitume 12 wa Yesu Kristo.
Mtume wa Yesu Kristo (kwa Kigiriki ἀπόστολος, apóstolos, aliyetumwa), kadiri ya Agano Jipya, ni mmojawapo kati ya wale wanaume 12 ambao Yesu aliwateua mapema akawatuma kuhubiri Ufalme wa Mungu kwanza kwa taifa la Israeli, halafu kwa mataifa yote duniani.
Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa nche.”
Huku Yesu akiwa ulimwenguni, wafuasi wake kumi na wawili waliitwa mitume. Mitume kumi na wawili walimfuata Yesu Kristo, wakajifunza kutoka kwake, na wakaelimishwa naye. Baada ya kufufuka kwake na kupaa kwake angani, Yesu akawatuma mitume wake nche na kuwa mashahidi (Mathayo 28:18-20; Matendo Ya Mitume 1:8). Hapo basi wakaitwa mitume kumi na wawili. Ingawa, wakati Yesu alipokuwa ulimwenguni, neno “wanafunzi” na “Mitume” yalitumika kwa ubadilisho.
Mungu ndiye mwenye haki ya kutuma Mitume, na tunaona hapa kuwa Yesu na yeye alikuwa na Mitume. Kumbe basi Yesu hakuwa Mtu wa kawaida tu bali alikuwa Mungu na ndio maana alikuwa na MITUME.
Luka 6:12-16Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 12 Siku moja Yesu alikwenda milimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu. 13 Asubuhi akawaita wanafunzi wake, na kati yao akachagua kumi na wawili akawapa cheo cha “mitume.” Majina yao ni haya: 14 Simoni, aliyemwita Petro; Andrea, nduguye Simoni; Yakobo; Yohana; Filipo; Bartholomayo; 15 Mathayo; Tomaso; Yakobo, mwana wa Alfayo; Simoni, aliyeitwa Mzalendo; 16 Yuda, mwana wa Yakobo; na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti Yesu.
Vile vile, Mitume halisi kumi na wawili wameoredheshwa katika Mathayo 10:2-4, “Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo; Simoni mkananayo, na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti.”
Bibilia pia yaorodhesha hao mitume kumi na wawili katika Marko 3:16-19 na Luka 6:13-16. Linganisho la fahamu hizi tatu laonyesha tofauti chache katika majina. Inaonekana Thadayo pia aliitwa “Yuda, mwana wa Yakobo” (Luka 6:16) na Lebayo (Mathayo 10:3). Simoni mfarisayo pia aliitwa Simoni Mkananayo (Mariko 3:18). Yuda Iskariote ambaye alimsaliti Yesu, nafasi yake ilichukuliwa na Mathiya (angalia Matendo Ya Mitume 1:20-26). Walimu wengine wa Bibilia wanamwona Mathiya kama mtume ambaye “hastahili” na wanaamini kuwa Paulo alikuwa chaguo la Mungu kumpadilisha na Yuda Iskariote kama mtume wa kumi na mibili.
Mitume kumi na wawili walikuwa watu wa kawaida waliotumika kwa njia ya kipeke. Kati ya hoa kumi na wawili, kulikuwa na wavuvi, watoza ushuru, na wapinduzi. Injili inanakili, makosa ya kila muda, magumu, na shuku ya hao wanaume kumi na wawili waliomfuata Yesu Kristo. Baada ya kushuhudia kufufuka kwa Yesu na kupaa kwake Yesu angani, Roho Mtakatifu aliwabadilisha mitume kumi na wawili kuwa wanaume wa Mungu wenye nguvu ambao waligeuza ulimwengu juu chini (Matendo Ya Mitume 17:6). Kulikuwa na badiloko gani? Mitume kumi na wawili “walikuwa na Yesu” (Matendo Ya Mitume 4:13). Ni maombi yangu kuwa tuambiwe ujumbe huo huo.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
DALILI ZA UWEPO WA MAJINI KATIKA MAISHA YA WATU
Ndugu msomaji,
Hili somo sio la kukutisha bali kukufungua macho na kukufanya ujifahamu kama wewe unafuatiliwa na Majini ambayo ni ndugu za Waislam.
Dalili zifuatazo ni za mtu ambaye ama ana majini au anafuatiliwa na majini:-
Unakuwa unaota ndoto upo ndani ya maji; ama unatembea ndani ya maji, unaingia majini au unatembea juu ya maji. AU unaota unaogelea, basi elewa wewe upo kwenye msako wa Majini au teyari yamesha kuteka.
Kuota unalishwa nyama. Kula nyama ndotoni ni moja ya dalili kuwa unafuatiliwa na majini au teyari yamesha kuteka.
Ukiota unafanya tendo la ndoa na mtu ambaye labda unamfahamu au aumfahamu. Basi elewa kuwa teyari umesha shikwa na au olewa na Jini "Spiritual wife or husband". Unahitaji deliverance ya haraka sana.
Kila wakati unajikuta umeona au umeokota pete za dhahabu; mara nyingi majini wanaotaka kukutana kimwili na wanadamu hutegesha mikufu au pete ili kuunganishwa naye. Hii sio lazima iwe kwenye ndoto.
Mara nyingi unapotembea unakuwa unasikia harufu ya udi, ubani au marashi. Si lazima majini hayo yawe ndani yako lakini yanaweza kuwa yanakufuatilia ili kukudhuru.
Wakati wa usiku unasikia vitu vimepigwa kwenye bati au darini bila kujua chanzo na mwisho wake.
Kudondoka chooni ni dalili nyingine ya mtu anayefuatiliwa na majini.
Kumchukia mwenza wako pindi anapo kuwa karibu na wewe.
Basi elewa kuwa wewe una JINI SUBIANI.
Basi elewa kuwa wewe una JINI SUBIANI.
Kuto kuona ladha yeyote na mwanamke kushindwa kutoa ute na kumpa maumivu, basi wewe elewa kuwa teyari unaishi na JINI JALWUSH.
Wewe ni Mkristo lakini ukisikia adhana unajisikia kuipenda; na ndio
maana watu wengi wakija kuombewa wanalipuka mapepo yanayopiga adhana.
maana watu wengi wakija kuombewa wanalipuka mapepo yanayopiga adhana.
Kukonda kupita kiasi.
Kupenda kuvaa nguo za nusu uchi.
2 Wathesalonike 2:8, alisema Mtume Paulo alikua amepakwa mafuta na Mungu kutenda mambo makubwa lakini pamoja na hayo shetani aliweza kumzuia kwenda Thesalonike kuifanya kazi ya Bwana. kumbe kupitia majini shetani aweza kutenda kazi ama ndani au nje ya watu ili kufanikisha azma yake ya kutesa maisha ya watu.
2 Wathesalonike 2:8, alisema Mtume Paulo alikua amepakwa mafuta na Mungu kutenda mambo makubwa lakini pamoja na hayo shetani aliweza kumzuia kwenda Thesalonike kuifanya kazi ya Bwana. kumbe kupitia majini shetani aweza kutenda kazi ama ndani au nje ya watu ili kufanikisha azma yake ya kutesa maisha ya watu.
MAMLAKA YA KUTOA PEPO UMEPEWA NA YESU
ETI ISA BIN MARYAM ALIISHI MIAKA MIA NA ISHIRINI 120

Haya tusome viroja na vihoja vya Waislam.
Hazrat Aisha, Allah apendezewe naye, alisema kuwa, yeye alimsikia Nabii Muhammad akisema:
"Isa bin Maryam, aliishi miaka 120" (Hujaj al-Kirama, p. 428) Hii simulizi ni sahih. All the narrators of this hadith are reliable (ibid.)
Sasa tusome ushahidi mwingine wa Waislam.
Hazrat Fatima, Allah apendezewe naye, alisema kuwa, yeye alimsikia Nabii Muhammad akisema:
"Isa bin Maryam, aliishi miaka 120" (Kanz-ul-Ummal, vol. vi, p. 120)
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
NDIO MAANA NASEMA ISA KAMWE HAWEZI KUWA YESU WA BIBLIA.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
MAJINI NI MAISLAM

MAJINI KATIKA DINI YA KIISLAM ( Q 72:1-14 )
1. QURAN INASEMA KUWA MAJINI YANAZALIANA NA KUFA KAMA BINADAMU
2. ALLAH AYARUHUSU MAJINI KUZAA NA BINADAMU-WAISLAM
3. QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
4. MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
5. KILA MUISLAM AMEPAGAWA NA MAJINI KATIKA MWILI WAKE
2. ALLAH AYARUHUSU MAJINI KUZAA NA BINADAMU-WAISLAM
3. QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
4. MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
5. KILA MUISLAM AMEPAGAWA NA MAJINI KATIKA MWILI WAKE
Leo ningependa tujifunze kidogo kuhusu Majini au Mashetani katika Uislam.
JINI NI NINI?
Katika lugha ya kiarabu, neno Jini linamaanisha kitu kilichofichwa au kisichoonekana QURAN 1:71 Neno hili hutumiwa na Waarabu kwa ajili ya kutaja jina fulani. Kwa Waarabu, Jini anayevaa sura ya kike humwita Jinivya, hivyo majini Ghul/Ghilan, nao hujifunua kwa sura ya kike.
Katika imani ya Kiislamu, wao huamni kwamba Majini hutofautiana na Mashetani. Majini waliosilimu wao huitwa majini mazuri na hawa wakiwa katika hali kujionyesha kwa wanadamu, hao huitwa AJINU na wale walioacha kusilimu mwaka 610 AD (Baada ya Kristo) katika safari ya mtume Muhamad alipotoka Taif , wao wanaitwa Mashetani . Hivyo, wao wanapokuwa katika hali ya kutoonekana huitwa ALBAHATWA lakini pia Majini wote wanapokuwa katika hali ya kutoonekana waweza kuitwa ALBAHATWA, yaani PEPO.
QURAN INASEMA KUWA MAJINI YANAZALIANA NA KUFA KAMA BINADAMU
Muislamu huamini kwamba kuna majini ya kike na kiume. Lakini pia , huamini kuwa Majini huoana na kuzaliana QURAN 55:56 na kuwa Majini huzaa sana kuliko binadamu na kwamba, Jini mmoja anaweza kuzaa watoto 300, na kuwa Jini huzaa watoto 3 hadi 4 kwa mkupuo. Somo QURAN 55:26-28 na kuwa Majini wanaweza kuishi miaka 400-1,000 kisha wanaweza kufa. Tofauti yao na binadamu ni kwamba wao wanaishi miaka mingi kuliko binadamu. Lakini pia, huamini kuwa wapo Majini wanaokula, wanaomeza, wanaokunywa, ila tofauti yao na wanadamu ni kwamba wao hula kwa kutumia mkono wa kushoto.
ALLAH AYARUHUSU MAJINI YANAZAA NA BINADAMU
KILA MUISLAM ANA JINI KATIKA MWILI WAKE

HILI NI JAMBO LA AJABU SANA, MAANA YESU YEYE ALIYATOA MAJINI NDANI YA WATU.
Majini wamepewa ruhusa ya kukaa katika mwili wa Muislam yeyote, hivyo kila Muislam ana Jini kuanzia moja na kuendelea.
Vile vile Majini wameruhusiwa kukaa katika nyumba za Waislam. Katika nyumba yoyote ya Muumini wa dini hiyo, kuna Jini au Majini wanaokaa humo. Ni ukweli usiopingika kuwa bila Majini hakuna Uislamu kama vile pasipo Roho Mtakatifu hakuna Ukristo. Majini ndiyo yaliyomchukua mtume Muham-mad kwa muda wa siku 40 akiwa Mabondeni walikompeleka na kuanza kumuagiza kuhusiana na kuanzisha imani hiyo ya Kiislamu.
Sasa inakuwaje Yesu atoe Majini ndani ya watu kama ilivyo sema kwenye Luke 11:14, Matthew 8:16, Mark 1:34, Luke 4:41, Matthew 8:32, Mark 5:8, nk huku Allah yeye akiwajaza Waislam Majini?
Katika Walawi 19: 31, Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano wowote ule na Majini, LAKINI Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Ndugu msomaji, natagemea baada ya kusoma hiki kijarida kifupi kuwa umeelewa na kufahamu Allah wa Quran sio Mungu wa Biblia anaye kataza uhusiano na Majini.
Mawali la kujiuliza:
1. Kwanini Mungu wa kwenye Biblia anakataza uhusiano na Majini LAKINI Allah wa Quran anaruhusu uhusiano na Majini?
2. Kwanini Mungu wa Biblia anatoa Majini ndani ya Watu, LAKINI Allah wa Quran anawajaza watu Majini?
3. Kwanini Mungu wa Biblia nasema kuwa Majini yote yataingia Jehannam LAKINI Allah wa Quran anasema kuwa Majini yalisilimu na ni Maislam?
1. Kwanini Mungu wa kwenye Biblia anakataza uhusiano na Majini LAKINI Allah wa Quran anaruhusu uhusiano na Majini?
2. Kwanini Mungu wa Biblia anatoa Majini ndani ya Watu, LAKINI Allah wa Quran anawajaza watu Majini?
3. Kwanini Mungu wa Biblia nasema kuwa Majini yote yataingia Jehannam LAKINI Allah wa Quran anasema kuwa Majini yalisilimu na ni Maislam?
Ndugu msomaji, ushahid wa aya umesha usoma mwenye. Nakushauri umchague Mungu wa Biblia anye kupenda na kulinda kutoka hizo nguvu chafu za Majini.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...




