Tuesday, April 4, 2017
TWO MUSLIM TEENAGE GIRLS, age 14 and 15, arrested in Southern France on suspicion of plotting a terrorist attack
The pair, aged 14 and 15, were taken in for questioning by the anti-terrorism prosecution service after a search of both girls’ homes turned up evidence suggesting they could have been planning an attack, a judicial source said.
AFP Several girls have been among a swathe of teenagers arrested in recent anti-terror swoops in France on suspicion either of plotting attacks or having contact with Islamic State members or sympathisers.
“At this stage we do not know how far advanced the preparations were,” a source close to the inquiry told AFP, adding no weapons had been found. The country remains in a state of emergency after suffering a spate of deadly jihadist attacks over the past two years.
Three Muslim teenage girls were arrested in late February on suspicion they had chatted on Telegram, an encrypted instant messaging platform used by French jihadi Rachid Kassim (below) to call for attacks on France. An anti-terrorism judge in Paris charged the trio last month.
In February 2017, four Muslims suspected of plotting an “imminent” terrorist attack on a Paris tourist site were arrested, including a 16 year-old girl, Paris prosecutors said.
Investigators uncovered a makeshift bomb factory and made the arrests in the Montpellier area of southern France after monitoring the teenage girl’s social media accounts in which she talked about wanting to attack France and her desire to go to Syria or Iraq. Her boyfriend, 20, who was among those arrested, is suspected of planning to carry out a suicide attack on a Paris tourist attraction.
FRY THE SAVAGE, ALREADY! Fort Hood Muslim terrorist, Nidal Hasan on death row, says he’s going on a hunger strike to protest America’s hatred for sharia
The former Army psychiatrist, who opened fire on unarmed fellow soldiers at Fort Hood, Texas, in November 2009, killed 13 people and injured 31 that day. Hasan was sentenced to death in 2013 and continues to declare himself a “Soldier of Allah.”
FOX News Hasan stated in the handwritten letter that by going on a hunger strike, he will “reduce and then maintain a total body weight of 99 pounds” while protesting “America’s hatred for [Shariah] Laws.”
On March 27, Lt. Gen. Sean B. MacFarland, the commanding general at Fort Hood, issued a statement effectively saying Hasan will not be dismissed by the U.S. Army until he is executed.
Hasan’s civilian attorney John Galligan told Fox News they are looking at a “very lengthy appellate process — initially via the military appellate courts … then on to the Supreme Court and thereafter through the tangled web of federal courts.
RUSSIA: New Muslim suspect emerges as possible suicide bomber who blew up subway train yesterday in St. Petersburg
The first bearded Muslim man identified on CCTV as the main suspect has handed himself in and insists he is innocent. Police now believe a suicide bomber with links to Islamic terrorist groups was behind the horrific attack that killed at least 11 and wounded 50, including children. Chechen Muslim terrorists and ISIS have been behind similar attacks in Russia.
UK Daily Mail A new photo of a different suspect (below) has now been released. Police in Russia now believe a suicide bomber, who has close links to radical Islamists, was behind the attack. He was described as being a 22-year-old Muslim from Kazakhstan and CCTV images of the suspect have been released.
One image shows a man in a red Parka jacket, wearing glasses and a dark green beanie hat and carrying a rucksack on his back. Another CCTV image shows the suspected suicide bomber walking along the street with both his fists clenched.
Despite initially issuing search warrants for two suspected terrorists, authorities believe the suspected suicide bomber was behind the attack and also have intelligence to suggest he planted a second explosive device (below) – disguised as a fire extinguisher – which was found and defused at a nearby station.
Earlier today several Russian media outlets released the CCTV pictures of the bearded suspect (below), who was wearing a long, black top and a hat, blamed for causing the carnage.
Tonight, it has emerged that the bearded man who was identified on CCTV as the main suspect, handed himself in to police and insists he is innocent. Detectives are putting the man through a lie detector test.
YESU NDIE MWOKOZI WETU PEKEE

Yesu Kristo, alikuja duniani na akatufia pahali petu. Kifo chake Yesu,[kama Mungu katika mwili], ilikuwa ni malipo yasiyokuwa na mwisho kwa ajili ya dhambi zetu (2 Wakorintho 5:21). Yesu alikufa ili kutulipia mshahara wa dhambi zetu (Warumi 5:8).
Yesu alitulipia deni ili tukaweze kuwa na uhuru. Kufufuka kwake Yesu katika wafu kulidhihirisha yakwamba kifo chake kilitosha kulipa mshahara wa dhambi zetu. Hii ndiyo sababu yakuwa Yesu Kristo ndiye Mkombozi tu wa pekee (Yohana14:6; Matendo 4:12)!
Je, unamwamini Yesu kama mwokozi wako?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
JE, YESU ALIKUWA AMEOA?

Ni kwa nini DaVinci code husema kwamba Yesu alikuwa ameoa?
Je, Yesu alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Maria Magdalena?
Yesu Kristo ni dhahiri kwamba hakuwa ameoa na au bibi. Kuna hadithi maarufu leo hii (kama za Da Vince Code) ambazo husema kwamba Kristo amemwoa Maria Magdalene. Hadithi hizi ni za uongo kabisa na hazina msingi kiteolojia, kihistoria, au kibiblia.
Huku baadhi ya injili hutaja kuwa Yesu alikuwa na uhusiano wa karibu na Maria Magdalene, hakuna hata moja yao hasa inasema kwamba Yesu alikuwa amemwoa Maria Magdalene, au kuwa na uhusino wowote wa kimapenzi pamoja naye. Ukaribu unaokisiwa ni pale Yesu alimbusu Maria Magdalene, ambayo kwa urahisi inaweza kuwa “kumbukumbu ya busu ya kirafiki” Zaidi ya hayo, hata kama injili ya Aginostiki moja kwa moja ilisema kwamba Yesu alikuwa amemwoa na Maria Magdalene, hawatakua na mamlaka, kwa vile taarifa za Injili ya Agnostiki zimethibitika kuwa za udanganyifu zikinuia kujenga mtazamo Kiagnostiki kumhusu Yesu.
Kama Yesu alikuwa ameoa, Biblia ingekuwa imetuambia hivyo, au kungekuwa na baadhi ya taarifa zisizo na utata na ukweli kwa hoja hiyo. Maandiko kamwe hayawezi kimya kabisa juu ya suala hilo muhimu. Biblia inamtaja mama yake Yesu, baba mlezi, ndugu na dada zake wa kambo. Ni kwa nini iache kutaja ukweli kwamba Yesu alikuwa na mke? Wale wanaoamini / kufundisha kwamba Yesu alikuwa ameoa wanafanya hivyo katika jaribio la “kumfanya Yesu kuwa mwanadamu.” ili wamfanye kuwa kama mtu wa kawaida, hasa kama kila mtu mwingine. Watu kwa ufupi hawataki kuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu katika mwili (Yohana 1:1, 14; 10:30). Kwa hivyo, wao hutunga na kuamini hadithi kuhusu Yesu kuwa na mke na watoto, na kuwa kama mtu wa kawaida.
MADAI YA DaVince:
Jacobovici si mtu wa kwanza kudai uhusiano wa kimapenzi unaowezekana kati ya Yesu na Maria . Sinema, Jaribio la Mwisho la Kristo, na vitabu kama Damu Takatifu, Kikombe Kitakatifu, na maandishi ya Da Vinci, yalifanya siri uhusiano kati ya Yesu na Maria kuwa sehemu kuu ya habari zao.
Maandishi ya Da Vinci yanaanza na ukurasa wa ukweli ambao unafanya hadithi ya kutunga kuonekana kuwa kweli katika madai yake yote. Kitabu kimevunja rekodi zote katika orodha ya mauzo bora ya New York, na imefuatiwa na sinema fanikifu kibiashara. Ukusanya hodari wa ukweli wa mtunzi Dan Brown pamoja na ubunifu umewaaminisha wasomaji wengi kwamba Yesu na Maria Magdalena walikuwa wameoana na walikuwa na mtoto (Angalia saa Tabasamu la MonaLisa). Lakini madai haya ya kimapenzi yanatangaza sana vitabu na sinema ingawa hakuna ushahid wa Kihistoria au kiteologia au Kibiblia kuwa Yesu alioa.
Swali la pili litakuwa, “
Je, Yesu Kristo angekuwa ameoa?
Hakuna dhambi kwa kuoa. Hamna dhambi juu ya kuwa na uhusiano wa kingono katika ndoa. Kwa hivyo, naam, Yesu angeweza kuwa ameoa na bado kuwa mwanakondoo Mungu asiye na hatia na Mkombozi wa ulimwengu. Wakati huo huo, hakuna sababu ya kibiblia ya Yesu kuoa. Hiyo sio hoja katika mjadala huu. Wale wanaoamini Yesu alikuwa ameolewa hawaamini kwamba alikuwa na dhambi, au kwamba yeye ni Masihi. Kuoa na kupata watoto sio sababu kuu ambayo Mungu alimtuma Yesu. Marko 10:45 inatuambia ni kwa nini Yesu alikuja, “ Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi”
Je, Yesu Kristo angekuwa ameoa?
Hakuna dhambi kwa kuoa. Hamna dhambi juu ya kuwa na uhusiano wa kingono katika ndoa. Kwa hivyo, naam, Yesu angeweza kuwa ameoa na bado kuwa mwanakondoo Mungu asiye na hatia na Mkombozi wa ulimwengu. Wakati huo huo, hakuna sababu ya kibiblia ya Yesu kuoa. Hiyo sio hoja katika mjadala huu. Wale wanaoamini Yesu alikuwa ameolewa hawaamini kwamba alikuwa na dhambi, au kwamba yeye ni Masihi. Kuoa na kupata watoto sio sababu kuu ambayo Mungu alimtuma Yesu. Marko 10:45 inatuambia ni kwa nini Yesu alikuja, “ Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi”
Imeratibiwa na Max Shimba
Imenukuliwa kutoka:
Je, unaswali?
Y, Jesus Org.
Christ Nations Org.
Je, unaswali?
Y, Jesus Org.
Christ Nations Org.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
JE, UNAFAHAMU JUKUMU LA ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA YAKO?

Uwepo wa Roho Mtakatifu ndani yako unakuwezesha kuelewa na kutafsiri neno la Mungu. Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba "wakati Yeye, Roho wa Kweli, atakuja, atawaongoza kwenye ukweli wote" (Yohana 16:13).
Yeye "Roho Mtakatifu" anaonyesha akili zetu kusudi lote la Mungu kama linahusiana na ibada, mafundisho, na maisha ya Kikristo. Yeye ndiye kiongozi wa mwisho, kwenda mbele, kuongoza njia, kuondoa vizuizi, kufungua akili, na kufanya mambo yote wazi na ya wazi. Yeye anaongoza katika njia tunayopaswa kwenda katika mambo yote ya kiroho. Bila mwongozo huo, tutakuwa watu wanaoweza kuanguka katika makosa. Sehemu muhimu ya ukweli Yeye inaonyesha ni kwamba Yesu ni nani vile alivyokiri yeye ni nani (Yohana 15:26, 1 Wakorintho 12:3). Roho anatusadikishia uungu wa Kristo na mwili wake, Yeye kuwa Masihi, mateso yake na kifo chake, ufufuo na kupaa kwake, kuadhimishwa kwake katika upande wa kulia wa Mungu, na jukumu lake kama hakimu wa wote. Anatoa utukufu wote kwa Kristo katika mambo yote (Yohana 16:14).
Mojawapo wa majukumu mengine ya Roho Mtakatifu ni kuwa yeye ndiye anatoa/peana karama. Wakorintho wa kwanza 12 inaeleza vipawa vya kiroho kwa ajili ya waumini ili tuweze kufanya kazi kama mwili wa Kristo hapa duniani. karama hizi zote, ndogo na kubwa, zinapewa na Roho ili sisi tuweze kuwa mabalozi wake kwa ulimwengu, kuonyesha neema yake na kumtukuza Yeye.
Zaidi ya yote kila karama zote zilizo tolewa kwa wanadamu na Mungu, hakuna iliyo kubwa zaidi kuliko uwepo wa Roho Mtakatifu. Roho ana kazi nyingi, majukumu, na kazi. Kwanza, anafanya kazi katika moyo wa kila mtu kila mahali. Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba angemtuma Roho ulimwenguni "kuushawishi ulimwengu kuhusiana na hatia ya dhambi, haki na hukumu" (Yohana 16:7-11). Kila mtu ana "fahamu ya Mungu," hata kama watakubali au kukana hilo. Roho anatumia ukweli wa Mungu kwa mawazo ya watu kuwashawishi kwa hoja haki na kutosha kwamba wao ni wenye dhambi. Akijibu hili imani huleta watu katika wokovu.
Je, umesha ongea na Roho Mtakatifu hii leo?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
VIDEO: ANGOLA BECAME THE FIRST COUNTRY IN THE WORLD TO BAN ISLAM, AS MOSQUES CLOSED, DEMOLISHED
Angola has reportedly declared Islam illegal and ordered for all of the country’s mosques to be closed down.
Minister of culture Rosa Cruz e Silva said that mosques in the largely Christian country would be closed until further notice.
She described Islam as a ‘sect’ that would be banned as counter to Angolan customs and culture.
Angola (capital, Luanda, pictured) has reportedly declared Islam illegal and ordered for all mosques to be closed
There are unconfirmed reports that mosques across the African country are being destroyed, according to the International Business Times.
President Jose Edurado dos Santos reportedly told the Osun Defence daily: ‘This is the final end of Islamic influence in our country.’
Along with Islam, which is a religion associated with less than 1 per cent of the population of 19 million, 194 other ‘sects’ have been banned in the nation, where more than half the population is Christian.
Ms Cruz e Silva said: ‘The legalisation of Islam has not been approved by the Ministry of Justice and Human Rights [and] their mosques will be closed until further notice.’
Clashes between Christians and Muslim people are frequently reported in the local media.
Manuel Fernando, director of the Angolan Ministry of Culture’s National Institute for Religious Affairs, denied the reported measures.
‘There is no war in Angola against Islam or any other religion,’ Fernando told Agence France-Presse. ‘There is no official position that targets the destruction or closure of places of worship, whichever they are.’
Less than 1 per cent of the Angolan population of 19 million people are Muslim the majority of whom are migrants from West Africa and families of Lebanese origin, according to the US State Department.
The crackdown on Islam comes as Christians in the Middle East are being forced out from Muslim countries. China is said to have also taken major steps to ban Islam from The Nation.
Sunday, April 2, 2017
USIKATE TAMAA: YOTE YANAWEZEKANA KATIKA JINA LA YESU!

Mtu Mmoja Alileta Kesi Kwa Yesu Akihitaji Msaada Juu Ya Tatizo La Ugonjwa Wa Kifafa Lililokuwa Linamtesa Mwanae Tangu Utoto Wake, Na Alikuja Na Kauli Za “HURUMA HURUMA” Naye Alimwambia BWANA Yesu, “Ukiweza Neno Lolote, Utuhurumie Na Utusaidie” (Marko 9:22)
Na Yesu Hakuanza Kumwambia Maneno Yaliyojaa AKILI ZA KIBINADAMU NA THEOLOJIA Bali Alizungumza Kwa UHAKIKA, Tena Kwa Mshangao, “Ukiweza! YOTE Yawezekana Kwake Aaminiye” (Marko 9:23)
Yesu Alikuwa Anamaanisha, “HAKUNA JAMBO LOLOTE AMBALO MTU WA IMANI HAWEZI KUFANYA; YOTE YANAWEZEKANA KWAKE AAMINIYE”
Mathayo 19: 26 Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.
Yeremia 32:27 '' Tazama, mimi ni BWANA, MUNGU wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? ''
Mpendwa, labda umejaribu kufanya yote kwa kutumia uwezo wako, lakini mambo bado hayakai vizuri. Labda umepoteza kazi na madeni yanakuzidi kila siku. Leo ningependa kukukumbusha kuwa, Yesu Kristo tunae mwanini ni MWEZA WA YOTE. Hakika hakuna jambo asilo liweza na hakuna jambo ambalo hakulimaliza pale Msalabani. AMINI NA YOTE YANAWEZEKANA. USIKATE TAMAA MAANA BARAKA ZAKO ZIPO MLANGONI NA ZINAKUSUBIRI.
AMINI NA YOTE YANAWEZEKANA.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.
Saturday, April 1, 2017
MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO

Bwana YESU atukuzwe ndugu yangu.
karibu tujifunze Neno la MUNGU kisha tuombe maombi ya ushindi katika damu ya YESU KRISTO.
Maombi yetu yatahusu mambo matatu yafuatayo;
1. Maombi ya kufuta uchawi wa kutamkiwa.
A. Kutamkiwa wewe binafsi.
B. kutamkiwa uzao, iwe ni mababu au wazazi wako waliorogwa kwa kutamkiwa kisha uchawi huo ukakuathiri na wewe uliye sehemu ya uzao wao.
2. Maombi ya kufuta uchawi uliopitishiwa kwenye vitu kuja kwenye mwili wako.
3. Maombi ya kufuta uchawi kupitia ardhi.
Kutoka 22:18 '' Usimwache mwanamke mchawi kuishi.''
Kabla ya yote naomba ujue maana ya uchawi na mchawi.
A. Kutamkiwa wewe binafsi.
B. kutamkiwa uzao, iwe ni mababu au wazazi wako waliorogwa kwa kutamkiwa kisha uchawi huo ukakuathiri na wewe uliye sehemu ya uzao wao.
2. Maombi ya kufuta uchawi uliopitishiwa kwenye vitu kuja kwenye mwili wako.
3. Maombi ya kufuta uchawi kupitia ardhi.
Kutoka 22:18 '' Usimwache mwanamke mchawi kuishi.''
Kabla ya yote naomba ujue maana ya uchawi na mchawi.
Uchawi ni nini?
Uchawi ni ufundi wa kutumia dawa ili kuleta madhara.
Uchawi ndio usihiri, Uchawi ndio urogaji na ndio juju.
Kuroga maana yake ni kuzuru kwa kutumia uchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwadhuru watu kwa njia ya kuwaroga
Kuna watu wengi sana wameathiriwa na uchawi katika maisha yao.
Uchawi ndio usihiri, Uchawi ndio urogaji na ndio juju.
Kuroga maana yake ni kuzuru kwa kutumia uchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwadhuru watu kwa njia ya kuwaroga
Kuna watu wengi sana wameathiriwa na uchawi katika maisha yao.
Kuna watu walirogwa zamani lakini madhara ya uchawi ule yapo hadi leo katika maisha yao.
Leo tunafuta uchawi wote uliowahi kufanyika zamani kutuhusu.
Tunafuta madhara ya uchawi yaliyotamkwa kutuelekea sisi.
Biblia ikataza uchawi na inakataza mwanadamu mwenye akili timamu kuwaendea wachawi na waganga.
Tunafuta madhara ya uchawi yaliyotamkwa kutuelekea sisi.
Biblia ikataza uchawi na inakataza mwanadamu mwenye akili timamu kuwaendea wachawi na waganga.
Walawi 19:31 '' Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.''
MUNGU anakataza uchawi maana ni kitu kinachoweza kumnajisi mtu.
Uchawi ni dhambi na uchawi ni uadui kwa MUNGU.
Mkristo hatakiwi kuwa mchawi.
Mkristo hatakiwi kuwa mchawi.
Uchawi ni machukizo makuu.
Wachawi wapo sana na wanaroga sana lakini ashukuriwe MUNGU kwa kutupa jina la YESU KRISTO lililo kiboko ya wachawi wote na uchawi wao.
Wachawi wapo sana na wanaroga sana lakini ashukuriwe MUNGU kwa kutupa jina la YESU KRISTO lililo kiboko ya wachawi wote na uchawi wao.
Biblia inathibitisha kwamba wachawi wapo na hutenda kazi zao mbovu za kichawi.
Nahumu 3:4 ''Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa yule kahaba mzuri, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake.''
Kuna watu wamewahi kurogwa fahamu na akili zao zamani lakini hadi sasa hawajawahi kupona vyema.
Kuna watu biashara zao zimewahi kurogwa, uchumi na vipato vyao na hawajawahi kupona katika hayo, Leo uchumi wako utapona, biashara yako itapona na kipato chako kitapona kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu wamewahi kurogwa afya zao ndio maana hadi sasa hupona magonjwa kwa muda tu kisha magonjwa yale yanarudi, Ndugu leo kuna kupona katika jina la YESU KRISTO.
Kuna watu uzao wa tumbo zao ulirogwa na walikuja kuzaa uzao uliorogwa yaani walipata watoto waliofungwa kipepo.
Kanisa la MUNGU nin lazima lijitenge na uchawi.
Kanisa la MUNGU ni lazima likemee uchawi.
Zamani wachawi walikuwa wanauawa kwa mawe ndivyo Biblia isemavyo, Leo tunauua uchawi ndani ya wachawi kwa njia ya maombi yetu.
Leo malaika wa MUNGU wako tayari kupeleka mapigo kwa wachawi wote waliotusumbua, na kama walikendelea na uchawi huo basi tunamuomba MUNGU wetu awaponde kupitia maombi yetu na damu yao itakuwa juu yao.
Walawi 20:27 ''Tena mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa; watawapiga kwa mawe; damu yao itakuwa juu yao.''
MUNGU wetu yuko tayari kutushindia leo dhidi ya wachawi wote waliofunga maisha yetu.
Leo kwa jina la YESU KRISTO maisha yetu yanaenda kuwa huru.
JEHOVAH MUNGU wetu anasema '' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.-Malaki 3:5''
JEHOVAH MUNGU wetu anasema '' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.-Malaki 3:5''
Kuna ukoo huwa wanazika kila mwaka kwa sababu tu ya maneno ya mchawi aliyoyatamka zamani kwa ukoo ule.
Kuna watu nyoka hutembea katika miili yao.
Kuna watu fahamu zao zimefungwa katika mafundo ya uchawi.
Leo kila fundo la uchawi linapasuka kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu miguu yao imerogwa kiasi kwamba hata waende wapi hawawezi kufanikiwa.
Leo kila fundo la uchawi linapasuka kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu miguu yao imerogwa kiasi kwamba hata waende wapi hawawezi kufanikiwa.
Kuna watu mikono yao imerogwa hata wafanye kazi gani hakuna kufanikiwa kiuchumi.
Biblia inasema kwamba kwa sababu hiyo ya uonevu wa shetani na wachawi wake ndio maana Bwana YESU alikuja ili tu kuziharibu kazi zote za shetani wakiwemo na wachawi.
1 Yohana 3:8 '' atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa MUNGU alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.''
Hakikisha leo kazi zote za uchawi zilizowahi kufanyika zikikuhusu, hakika zinaharibika na kutoweka.
YESU KRISTO alithihirishwa ili azivunje na kuzifuta kazi zote za shetani.
Leo futa uchawi wote uliowekewa kwenye uti wako wa mgongo.
Leo futa kwa damu ya YESU KRISTO kila uchawi ulifanyika kuhusu tumbo lako.
Leo futa kwa damu ya YESU KRISTO kila uchawi ulifanyika kuhusu tumbo lako.
Leo hakikisha uso wako hautumiki tena kichawi, utakase uso wako na hakikisha uchawi hauharibu kibali chako tena.
Leo ni siku ya kushinda kama ukiomba katika jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wa kutamkiwa uliowahi kutamkiwa, Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa laana zote zilotamkwa na mchawi kwa wazazi wako au wazazi wa wazazi wako na laana hizo zimekupata na wewe, leo Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wote uliowekwa kwenye vitu ili uchawi huo uupate mwili wako, futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wote uliowekwa kwenye vitu ili uchawi huo uupate mwili wako, futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Futa uchawi wote uliotamkwa katika ardhi yeyote inayokuhusu.
Siku napata ufunuo wa somo hili nilifuta kila uliofanyika katika ardhi ambayo mimi Peter nimewahi kukanyaga, Kila mabaya yanayonena mabayo kuhusu mimi yaliyo katika ardhi ambako nimewahi kukanyaga nilifuta kwa jina la YESU KRISTO na kwa damu ya YESU KRISTO, nilitaja mikoa hadi wilaya maana mawakala wa shetani hutumia sana ardhi ili kuwafunga watu wa MUNGU.
Siku napata ufunuo wa somo hili nilifuta kila uliofanyika katika ardhi ambayo mimi Peter nimewahi kukanyaga, Kila mabaya yanayonena mabayo kuhusu mimi yaliyo katika ardhi ambako nimewahi kukanyaga nilifuta kwa jina la YESU KRISTO na kwa damu ya YESU KRISTO, nilitaja mikoa hadi wilaya maana mawakala wa shetani hutumia sana ardhi ili kuwafunga watu wa MUNGU.
Leo ni siku moja ya kushinda katika jina la YESU KRISTO kama ukiomba katika kweli, katika imani na katika utakatifu autakao MUNGU.
MUNGU akubariki sana na usikose kukunua kitabu changu cha MAOMBI YA KINA ambacho kimeshachapwa na kinasubiri tu kuwekwa wakfu kwa maombi siku chache zijazo na baada ya hapo kila mtu atakipata.
Ukipenda pia kunisapoti kwa sadaka yako nakukaribisha sana ili sadaka hiyo inisaidie katika uinjilisti.
Maombi haya chini naomba yamsaidie muombaji mchanga katika kuliendea hitaji lake mwenyewe. Kwa waombaji wazoefu naamini kabisa baada tu ya kusoma somo umeandika maeneo ya kuombea na utaomba maana ni siku ya ushindi. Nasubiri pia shuhuda maana MUNGU Baba atatenda muujiza leo katika jina la YESU KRISTO.
Baada ya kuomba maombi ya kutubu na kuacha dhambi omba maombi haya chini.
MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO.
Katika jina la YESU KRISTO aliye hai.
Ninafuta kila uchawi uliotamkwa kunihusu mimi, naufuta huo uchawi na naharibu madhara yake kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi aliyenitamkia nikiwa nasikia au hata nikiwa sisikii, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulionenwa njia panda au dirishani mwa chumba changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila neno la siri la kichawi alilolitamka mchawi wa aina yeyote kunihusu mimi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayeitamkia maneno mabaya ndoa yangu, uchumba wangu, biashara yangu, uzao wangu au masomo yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayenitamkia kifo au kuumwa au ajali au kufukuzwa kazi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila mchawi aliyenena uchawi kuhusu mababu zangu zamani au wazazi wangu na uchawi huo unafuatilia maisha yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Ninafuta kila kazi ya wachawi iliyofanyika zamani katika uzao wa babu yangu au wazazi wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila laana ya mchawi iliyotamkwa ili inipate, leo napangua kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila majanga yaliyokusudiwa kichawi, kiba balaa zilizopangwa kichawi, kila ajali zilizopangwa kichwi, leo nakataa kwa jina la YESU KRISTO na Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila majanga yaliyokusudiwa kichawi, kiba balaa zilizopangwa kichawi, kila ajali zilizopangwa kichwi, leo nakataa kwa jina la YESU KRISTO na Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliotegwa kwenye vyakula au nguo zangu ili nidhurike, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi nilioukanyaga na sasa unanitesa, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliowekwa vitu nilivyonunua, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa vitu nilivyonunua, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila nguo yangu iliyoibwa kichawi leo naichoma moto kwa damu ya YESU KRISTO huko iliko na kuanzia leo hakuna antena ya mchawi itaniona.
Kila kiungo cha mwili wangu, kila kucha au nywele au nguo za ndani vilivyotumika kichawi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa katika mwili wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila kiungo cha mwili cha bandia kilichopandwa na wachawi ndani ya mwili wangu, Leo nakifuta kitu hicho kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila kiungo cha mwili cha bandia kilichopandwa na wachawi ndani ya mwili wangu, Leo nakifuta kitu hicho kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa kwenye vitu nilivyopewa kama zawadi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulitegwa katika ofisi yangu au kiti changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Sasa pia nafuta kila uchawi unaonena katika ardhi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Najua kabisa damu huwa haifi hivyo damu za wanyama zilizomwagwa katika ardhi zikiambatana na maneno ya laana kwangu, Nazifuta leo damu hizo kwa damu ya agano ya YESU KRISTO.
Kila mchanga uliowahi kuhukuliwa kwenuye nyayo zangu na ukatumika kichawi kunifunga,
Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi wa aina yeyote uliofanyika popote kunihusu mimi au ndoa yangu au uzao wangu au familia yangu au ukoo wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Nakushukuru MUNGU BABA maana umenipa ushindi kupitia damu ya YESU KRISTO aliye hai.
Naamini nimeshinda katika kilaeneo la Miasha yangu lililokuwa limefungwa kichawi.
Naamini nimeshinda katika kilaeneo la Miasha yangu lililokuwa limefungwa kichawi.
Katika jina la YESU KRISTO nimeomba na kupokea ushindi.
Amen Amen.
Amen Amen.
Asante kama umelielewa Neno la MUNGU ila nina neno moja la mwisho kwako leo.
BWANA YESU Amekaribia Kurudi.
Je, Umejiandaaje?
Je, Unaendeleza Dhambi Ili Siku Ile Uachwe Na BWANA YESU? Je, Umeshika Wokovu Na Utakatifu Hata Unyakuliwe Siku Ile Kwa Ajili Ya Kwenda Uzima Wa Milele?
Je, Umejiandaaje?
Je, Unaendeleza Dhambi Ili Siku Ile Uachwe Na BWANA YESU? Je, Umeshika Wokovu Na Utakatifu Hata Unyakuliwe Siku Ile Kwa Ajili Ya Kwenda Uzima Wa Milele?
Majibu Sahihi Yako Moyoni Mwako Ila Nakusihi Mpokee BWANA YESU Kama Hujampokea Na Nakusihi Ishi Maisha Matakatifu Ukiwa Ndani Ya Wokovu.
Vya Dunia Tulivikuta Na Tutaviacha.
Ndugu, Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Kuokoka.
Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Wokovu Wa BWANA YESU Kwako.
Ni mimi ndugu yako Peter M Mabula.
Mtenda kazi katika shamba la BWANA YESU.
0714252292.
0714252292.
mabula1986@gmail.com
Umeshashare sana jumbe zisizo na maana leo
Nakuomba share kwa marafiki zako ujumbe huu.
Nakuomba share kwa marafiki zako ujumbe huu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration
The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...







