Sunday, May 14, 2017

Imam Involved in Thailand Shopping Center Blasts…


PATTANI — The owner of a pickup truck used in a large car bomb was found dead Thursday as two suspects were arrested in connection with the attack, which injured 61 people, according to a police commander.
“Two people are currently under custody of the security forces,” said Pattani police commander Piyawat Chalermsri, before clarifying that meant the army. “They have given us helpful information. Their information has been very beneficial to the investigation.”
The pair were reportedly arrested the same day police found the missing owner of the truck used in the attack on Big C shopping center on Tuesday. Police said the bombing was a work of a local secessionist group.
One of the detainees is a man who “coordinated and commanded” the bombing, while the other is an imam at a mosque where the separatists are suspected of murdering 44-year-old Nuson Khachornkam, the pickup truck driver, and stole his vehicle, according to Maj. Gen. Piyawat.
The major general said the two are being held at an army base under martial law, which grants soldiers the authority to detain any individuals without warrants. The southern border provinces of Pattani, Yala and Narathiwat have been under martial law since secessionist violence broke out there in 2004.
The bomb wounded 61 people, three seriously, but there were no fatalities. Among the victims were women and children, prompting several human rights groups to condemn the attack. No one has claimed responsibility, though police said evidence points to separatist militants.
Police said Nuson was ambushed and killed after being lured to a mosque in Pattani’s Nong Chik district on the pretense of getting a job.

More than 6,800 people have died in the conflict since 2004, many of them civilians.
http://www.khaosodenglish.com/news/crimecourtscalamity/2017/05/12/imam-among-car-bombing-suspects-drivers-body-found/

Saudi Whatsapp App Helps Link Men with Multiple Wives…

The officials have created the group under the name ‘Polygamy’. (Photo: YouTube Screengrab)
Riyadh: In an attempt to curb the problem of divorced and unmarried women in the country, a group of marriage officials in Saudi Arabia have created a new WhatsApp group that facilitates matchmaking of men with multiple wives.

According to a report in the Daily Mail, the officials have created the group under the name ‘Polygamy’.

The creators of the group said that they have been urging men to take more than one wife in order to bring down the number of single women in the country. The officials also said that Mecca was the one of the cities that witnessed rising number of divorces.
So far, 900 women, including divorcees, single women and widows have signed up for the initiative. These women said that they did not mind being the second, third or fourth wife of a man.

Many of those who signed up for the program hailed from Morocco, Yemen, Palestine, Syria, Bangladesh, China as well as Pakistan. These women provided details about their physique, age, height, weight and even caste and tribe that they belonged to.

The officials also revealed that the oldest woman to sign up was around 55 years old while the youngest one was about 18. The also said that they would keep the details of these women with them and would contact them as soon as they came across a suitable match.
Marriage officials said they offered these matchmaking services for free of cost.

http://www.deccanchronicle.com/amp/world/middle-east/090117/saudi-arabian-officials-create-whatsapp-group-for-matchmaking-900-women-sign-up.html

Madagascar Closes Quran Schools as Radical Islam Makes Inroads…


In Madagascar, a predominantly Christian country , the rise of Islam is worrying the population. Sixteen Quranic schools have just been shut down by the authorities, and it seems that 2,000 mosques are currently under construction.
According to the information published on the RFI’s website on April 28, 2017, the Minister of Education in Madagascar has just announced that sixteen Quranic schools are being closed. The main accusation against these establishments is that they do not follow the official curriculum. According to the Minister of Education, quoted by RFI, the “professors” make the boys spend “five hours every day learning the Quran” and “make them shave their heads”. But the establishments do have the possibility of “rectifying their situation” before the end of the school year.
This decision by the authorities comes after the expulsion of about ten foreign imams who worked in the southeast of the country in September 2016. According to La Gazette de Madagascar, they were “natives of Pakistan hiding out in mosques and Quranic schools....Bearded, clothed in long tunics and white skullcaps, they were breaking” the laws. The imams did not have the “missionary” visas generally granted to religious.
As cath.ch remarked on April 30, 2016, these decisions raise “a fundamental issue: the imposing presence of Islam in Madagascar”. According to the local newspaper L’Express on April 29, 2017, the local population is “worried”. All the more so since the announcement that building permits were delivered for 2,000 mosques has not been denied. Cath.ch’s correspondent also mentions “the more and more noticeable presence of women fully veiled from head to foot in the streets of Antananarivo, the capital, that is known for being a city with few Muslims”. Halal products are also “more and more visible in the hotels bought or newly built by rich Muslim investors”.
When questioned on September 27, 2016, by the website Géopolis, Luc Raoeliariseheno, the director of the Madagascar Television Group (MATV), explained that “when  Madagascar's airspace was opened, airlines from Dubai and Turkey showed up. This makes it easier for these people to travel. They can come as they please.” He also said that the imams “do everything they can to create Quranic schools. They take care of those who come to learn the Quran. Everything is taken care of. Even food and lodging are guaranteed. It is a godsend for the Malagasy, most of whom are poor. In these conditions, people accepte anything you can teach them”. The message spreads all the more easily since “the people have a more oral culture. Everything is passed on only by word of mouth. That is why it is easy to receive the Quranic messages of Islam”.
Luc Raoeliariseheno also revealed to Géopolis that in the south of the country the Muslims have organized an operation that consists in buying bibles in order to destroy them. “A bible is bought for 100 euros. Books of gospel songs for 25 euros.”
According to a report published by the French Institute of International Relations, some 160,000 Malagasy people were converted to Islam in 2013 alone.
According to Wikipedia, about 75% of the Malagasy are Christian (almost equally divided between Catholics and Protestants) and over 20% have no religion. Only 1% is Muslim. But for how much longer?
Source: cath.ch – RFI – Wikipedia – Geopolis – FSSPX.News 5/6/17

Muslim Cleric Fights Child Marriage Charge in Australian Court…

Vic imam fights child marriage charge
A Muslim cleric who allegedly presided over Melbourne wedding involving a child bride is fighting the charge in court.
Former imam Ibrahim Omerdic, 61, appeared before the Melbourne Magistrates' Court on Friday charged with conduct that caused a minor to enter into a forced marriage.
The marriage involved a 34-year-old man and a 14-year-old bride.
Omerdic was an imam of the Bosnian Islamic Society and Noble Park Mosque when he oversaw the alleged ceremony on September 29 last year.
He was sacked after he was arrested in November, and his marriage celebrant licence was revoked.
Barrister Daniel Gurvich QC on Friday said the defence will contest whether there was a marriage and whether there was any intention to perform the marriage ceremony.
"There is an issue of whether there was any solemnisation of a marriage," he told Magistrate Simon Zebrowski.
Two witnesses will give evidence about the alleged ceremony at a contested hearing on May 17.
Video of the alleged ceremony will also be played in court.
Omerdic has had his bail extended until his next appearance.
https://au.news.yahoo.com/vic/a/35475357/cleric-in-vic-court-over-child-bride/#page1

Muslim Wife Given Triple Talaq Divorce over 33-cents…

India News Today Mother of two given triple talaq in Firozabad over Rs 20
AGRA/FIROZABAD: A Muslim woman and mother of two has alleged that her husband gave her 'triple talaq' and threw her out of home, when she asked for Rs 20 for her daughters, yet again raising controversy over the (triple talaq) practice.

The incident took place in Rasulpur area of Firozabad in Uttar Pradesh.



The woman identified as Shazia is currently living in the home of her husband's neighbours. Married five years ago, Shazia's husband is a craftsman at a glass bangle factory. Hailing from Etawah, the woman was the only child of her parents who died after her marriage.



According to Shazia, "For the last couple of years my husband had been harassing me in order to get rid of me as I gave birth to two daughters. Recently, I came to know that he was having illicit relationship with a woman whom he wanted marry. Unable to handle torture at my husband's hands, when I left home to commit suicide, policemen rescued me and took me back home."

"After returning home, my husband again started harassing me, but I tried to make myself strong for the sake of two daughters. On Saturday, when I asked him to give Rs 20 to buy some edible items for two girls, he got infuriated and slapped me. Later, when I confronted him, he gave me triple talaq and pushed me out of home," she said.



Shazia further claimed, "I'm worried about my daughters. The younger one is eight months old, while the elder is four years old. My husband has threatened to make money by selling them."

After the incident, Shazia sought help from local police, but according to her, police did not listen to her plea.



When TOI contacted SSP Firozabad Ajay Kumar on the matter, he said, "We are yet to receive a written complaint in the matter. But it would be better for the woman if she approaches district magistrate office."

http://timesofindia.indiatimes.com/city/agra/mother-of-two-given-triple-talaq-in-firozabad-over-rs-20/articleshow/58672433.cms?from=mdr

Man faces death penalty for dumping Islam

Image may contain: 1 person
This man, Mr. Mohamed Al-Dosogy, is set to be sentenced to death for denouncing Islam.

Al-Dosogy had requested a judge to allow him to change his religion to atheism, a move that was tantamount to renouncing his faith.

He had written to the Sudanese court explaining why he wanted to change his religious status after which he was arrested and charged with apostasy.

READ FULL STORY: https://gossip.naij.com/1104632-man-faces-death-penalty-dumping-islam.html
 

JE, TUNAWEZA AMINI UNABII NA MANABII WA SIKU ZA MWISHO? Somo la Tatu:

Image may contain: 1 person, text
Katika makala iliyotangulia ya mfululizo huu, tulichunguza sehemu tatu za unabii unaopatikana katika Biblia kuhusu uzao wa Abrahamu. Uthibitisho unaonyesha kwamba Mungu alitimiza unabii huo kupitia taifa la Israeli ambalo lilifanyizwa na wazao wa Abrahamu.
Babiloni la kale lilikuwa taifa lingine lililotimiza sehemu muhimu katika historia ya Biblia, hasa katika karne ya saba K.W.K. Acheni tuchunguze sehemu tatu za unabii wa Biblia kuhusu taifa hilo na tuone ikiwa kuna uthibitisho kwamba unabii huo mbalimbali uliongozwa na roho ya Mungu.
Nabii Musa aliwaonya watu wa Israeli ya kale hivi: ‘Ikiwa mtamsahau Mungu wenu hata kidogo nanyi mfuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, ninyi mtaangamia kabisa.’ (Kumbukumbu la Torati 8:19; 11:8, 9) Hata hivyo, Waisraeli walimwasi Mungu mara nyingi kwa kujihusisha katika ibada ya sanamu.—1 Wafalme 14:22-24.
Baada ya muda, Mungu alichoka kuwaonyesha subira, na akaruhusu taifa lake lililoasi lishindwe na Wababiloni. Majeshi ya Babiloni yakiongozwa na Mfalme Nebukadneza—au Nebukadreza—yalikuja dhidi ya Israeli na kulizingira Yerusalemu. Je, kuzingira huko kulikuwa na umuhimu wowote? Acheni tuchunguze kile ambacho nabii Yeremia aliandika miaka 20 hivi kabla ya tukio hilo.—Yeremia 25:1.
UNABII WA KWANZA:
“Kwa sababu [Waisraeli] hamkuyatii maneno yangu [Mungu], tazama, ninatuma . . . Nebukadreza mfalme wa Babiloni, . . . , nami nitawaleta wao [Wababiloni] juu ya nchi hii na juu ya wakaaji wake . . . Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”—Yeremia 25:8-11.
UTIMIZO:
Baada ya kulizingira jiji hilo kwa muda mrefu, Nebukadneza alilipora na kuliharibu Yerusalemu katika mwaka 607 K.W.K. Pia aliyashinda majiji mengine ya Yudea, kutia ndani Lakishi na Azeka. (Yeremia 34:6, 7) Aliwahamisha waokokaji wengi na kuwapeleka Babiloni ambako walikaa wakiwa mateka kwa miaka 70.
Historia inafunua nini?
● Biblia inaonyesha kwamba Nebukadneza ndiye aliyekuwa mfalme wa Babiloni karibu na wakati ambapo Yerusalemu liliharibiwa. Vitu vya kale vilivyochimbuliwa vinaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu kuwapo kwake. Jiwe fulani la shohamu lililo na mchongo limewekwa huko Florence, Italia. Sehemu fulani ya maandishi yaliyo juu ya jiwe hilo yanasema hivi: “Kwa heshima ya Merodaki, bwana wake, Nebukadneza, mfalme wa Babiloni, alipokuwa hai aliagiza hili lijengwe.” Nebukadneza alitawala kuanzia mwaka wa 624 hadi 582 K.W.K.
● Kitabu The Bible and Archaeology kinasema kwamba mambo yafuatayo yamethibitishwa baada ya eneo la Lakishi kuchimbuliwa na kufanyiwa uchunguzi: “Uharibifu wa mwisho ulikuwa wenye jeuri, na moto ulioharibu jiji [Lakishi] ulikuwa mkali sana hivi kwamba mawe ya chokaa yaligeuzwa kuwa ungaunga wa chokaa.”
UNABII WA PILI:
“Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni [mimi Mungu] nitawakazia ninyi fikira [Wayahudi walio uhamishoni], nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa [nchi ya Yuda].”—Yeremia 29:10.
UTIMIZO:
Baada ya miaka 70 ya uhamisho, kuanzia 607 hadi 537 K.W.K., Mfalme Koreshi wa Uajemi aliwaachilia Wayahudi waliokuwa utekwani na kuwaruhusu warudi nyumbani kwao ili wakajenge upya hekalu huko Yerusalemu.—Ezra 1:2-4.
Historia inafunua nini?
● Je, Waisraeli waliendelea kuwa mateka Babiloni kwa miaka 70 kama Biblia ilivyotabiri? Hebu ona maelezo ya Ephraim Stern, ambaye ni mmoja wa wataalamu wakuu wa wachimbuaji wa vitu vya kale nchini Israel. “Kuanzia mwaka wa 604 K.W.K. hadi 538 K.W.K.—hakuna uthibitisho unaoonyesha kuwa kuna mtu aliyeishi nchini Israeli. Wakati huo, hakuna hata mji mmoja ulioharibiwa na Wababiloni unaoonekana kuwa ulikuwa na watu.” Kipindi hicho ambacho hakukuwa na mtu katika eneo lililoshindwa kinapatana sana na uhamisho wa Waisraeli kupelekwa Babiloni kuanzia 607 hadi 537 K.W.K.—2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21.
● Mataifa ya kale katika eneo lote la Mesopotamia yalikuwa na kawaida ya kuandika kwenye mabamba yaliyofanyizwa kwa udongo laini. Bamba moja gumu linalojulikana kama Mwanzi wa Koreshi, linakadiriwa kuwa la mwaka wa 539 K.W.K. hivi, mwaka uleule ambao Mfalme Koreshi wa Uajemi aliipindua Milki ya Babiloni. Sehemu fulani ya maandishi hayo inasema hivi: “Mimi ni Koreshi, . . . mfalme wa Babiloni.” Maandishi hayo yanaendelea kusema hivi: “Nilirudisha kwenye majiji matakatifu [ambayo tayari yalikuwa yametajwa] yaliyokuwa upande ule mwingine wa Tigri, majengo matakatifu ambayo yamekuwa magofu kwa muda mrefu sana, [na] sanamu zilizokuwepo ndani yake . . . Mimi (pia) niliwakusanya wakazi wake wote (wa awali) na nikawarudishia makao yao.”
Maandishi hayo yanapatana na unabii wa Biblia unaosema kwamba Wayahudi waliohamishwa wangerudishwa nyumbani kwao—unabii uliokuwa umerekodiwa miaka 200 hivi mapema.
UNABII WA TATU:
“Babiloni, lile pambo la falme, uzuri wa fahari ya Wakaldayo, litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora. Hatakaliwa kamwe.”—Isaya 13:19, 20.
UTIMIZO:
Jambo lenye kushangaza lilitukia wakati serikali kubwa ya ulimwengu ya Babiloni ilipoangushwa na jeshi la Wamedi na Waajemi katika mwaka wa 539 K.W.K.* Jiji hilo halikuwahi kurudia hali yake ya awali. Badala yake, lilianza kuzorota na mwishowe likawa mahame yenye ukiwa “bila mkaaji.”—Yeremia 51:37.
Historia inafunua nini?
● Kutoweka kwa Babiloni kulikuwa kamili kabisa hivi kwamba msomi Tom Boiy anazungumza kuhusu “wanahistoria na wasafiri kutoka nchi za Ulaya wa karne ya kumi na sita hadi kumi na nane” ambao walifahamu umuhimu wa jiji hilo lakini walipata matatizo kutambua “mahali hususa lilipokuwa.”
● Katika mwaka wa 1919, H. R. Hall, msimamizi wa kitengo cha Vitu vya Kale vya Misri na Ashuru katika Jumba la Makumbusho la Uingereza alifafanua Babiloni katika njia hii: “Ni rundo la mawe ya kuta zilizoangushwa . . . zilizofunikwa kwa mchanga.”
Tunaweza kufikia mkataa gani kutokana na uchunguzi wetu kuhusu utimizo wa unabii huo mbalimbali? Inapaswa kuwa wazi kwamba tena na tena Biblia imethibitika kuwa kitabu cha unabii sahihi. Ujumbe wa kinabii kuhusu Yuda na Babiloni ulitimizwa kabisa kama ilivyotabiriwa!
Yerusalemu liliharibiwa kwa sababu watu hawakutii maonyo kutoka kwa Mungu kwamba waache mwenendo usiompendeza Mungu. Baada ya miaka 70 iliyotabiriwa ya kuwa mateka huko Babiloni, Waisraeli waliruhusiwa kurudi nyumbani huko Yerusalemu. Jiji la kale la Babiloni liliharibiwa kama tu ilivyokuwa imefafanuliwa, na hadi leo hakuna mtu anayeishi katika eneo hilo. Lakini huo ni baadhi tu ya unabii mwingi unaopatikana katika Biblia.
Makala yetu inayofuata itazungumzia jinsi matukio katika karne ya kwanza W.K. yalivyotabiriwa mapema sana. Unabii huo uliotimizwa unatufanya tuwe na hakika kwamba Biblia ni sahihi.
Isaya alikuwa pia ametabiri miaka 200 hivi mapema kwamba Wamedi wangetimiza sehemu kubwa katika vita dhidi ya Babiloni.—Ona Isaya 13:17-19; 21:2.
ORODHA YA MATUKIO YANAYOHUSU BABILONI
m. 732 K.W.K.: Isaya
anatabiri kuanguka kwa Babiloni
(K.W.K.)
647 Yeremia anawekwa rasmi kuwa nabii
632 Babiloni inaishinda Ashuru
625 Nebukadneza anaanza kutawala
617 Danieli na Ezekieli wanahamishwa hadi Babiloni
607 Nebukadneza Wayahudi wanapelekwa anaharibu Yerusalemu utekwani Babiloni kwa miaka 70
582 Utawala wa Nebukadneza unakoma
539 Babiloni linaangushwa na Wamedi na Waajemi
537 Wayahudi waliokuwa utekwani wanaruhusiwa kurudi Yerusalemu
Barua za Lakishi zinaunga mkono ufafanuzi wa Yeremia kuhusu uvamizi wa Babiloni dhidi ya Yuda
Maandishi kwenye Mwanzi wa Koreshi yanaonyesha sera ya Koreshi ya kuwarudisha mateka nyumbani kwao
Page 12, Lachish Letter: Photograph taken by courtesy of the British Museum; page 13, Cyrus Cylinder: © The Trustees of the British Museum
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

NABII MIRIAM

Image may contain: one or more people
MIRIAM NABII WA ISRAEL DADA YA MUSA NA HARUNI.
Soma Kutoka 2 na 15 na Hesabu 12 na 20

Miriam alikuwa ni dada wa Musa na Haruni na Jina la Miriam linamaana ya anayempenda Bwana.
Hesabu 26:59 Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi, binti wa Lawi, ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amramu Haruni, na Musa, na Miriamu umbu lao.
Tunasoma habari za Miriam kwanza pale alipomlinda mdogo wake Musa alipokuwa amewekwa kwenye kisafina kingoni mwa mto, na ndiye aliyeongea na binti wa farao kumuelezea kuwa kuna mtu anayeweza kumnyonyesha huyo mtoto. Uwezo mkubwa wa kufikiri na kushawishi wa Miriamu ulimwezesha Musa kulelewa na kunyonyeshwa na mama yake mzazi hadi alipoacha kunyonya.
Miriam alishirikiana na Musa katika harakati za kuwatoa wana wa israeli utumwani Misri.
Mika 6:4 Kwa maana nalikupandisha kutoka nchi ya Misri, na kukukomboa utoke katika nyumba ya utumwa, nami naliwapeleka Musa, na Haruni, na Miriamu, watangulie mbele yako.
Tunasoma pia kuwa Miriamu alikuwa ni nabii katika Israeli.
Kutoka 15:20a Na Miriamu, nabii mke, ndugu yake haruni, akatwaa tari mkononi mwake;
Utumishi wake ulianzia pale alipohakikisha usalama wa Musa ambaye baadaye alikuja kuwa nabii mkubwa katika israeli. Miriamu pia alikuwa muimbaji na aliwaongoza wana wa Israeli kuimba wimbo wa sifa baada ya kuvuka kwa salama bahari ya shamu na Mungu kuliteketeza jeshi la Misri.
Kutokana na Miriamu kishi na Musa alipokuwa mtoto, kukaa naye muda mrefu na kuwa mkubwa kwake, kwa kiasi fulani alisahau utumishi wa kaka yake na kuona kuwa yeye anastahili kuwa sawa naye kiutumishi. Wakati Musa alipomuoa mwanamke wa Kushi na kusema kuwa Mungu amesema naye, Miriamu hakukubaliana naye. Kwanza alimsema kwa sababu ya kuoa mke wa Kushi na pili kwa sababu alisema Mungu amesema naye na kwanini aseme naye tu na sio yeye Miriamu. Alisahau kuwa Musa ndiye aliyekuwa ameitwa na Mungu kwa ajili ya taifa la Israeli.
Hesabu 12:1-2 Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke mkushi. Wakasema, Je! ni kweli Bwana amenena na Musa tu? hakunena na sisi pia? BWANA akasikia maneno yao.
Wivu ulimpata Miriamu juu ya utumishi wa kaka yake na kusahau kuwa yeye pia ni mtumishi katika nafasi yake. Unapojisahau wewe ni nani na kudharau huduma uliyopewa na Mungu ni rahisi sana wivu kukupata juu ya huduma za watu wengine.
Vile vile Miriamu sababu anamfahamu Musa kwa undani zaidi basi kwa kuangalia udhaifu wake wa kibinadamu akadhani kuwa Mungu hawezi kumtumia bila kuwatumia na wao pia. Mara nyingi tumewanyooshea watumishi wa Mungu vidole kutokana na kuwa tunaangalia udhaifu wao na kusahau kuwa Mungu anaangalia zaidi ya sisi binadamu tunavyoangalia. Mheshimu mtumishi yeyote wa Mungu hata kama ni mdogo kwako au wewe ndiye uliyemshuhudia kuokoka. Tusiwaseme vibaya watumishi wa Mungu kwa lolote wanalolifanya maana hatujui maagano yao na Mungu.
Miriamu alimshirikisha kaka yake Haruni katika kumteta Musa na Mungu aliwasikia. Mungu alikasirika kwa tendo hili na akamwagiza Musa kuwa wote watoke nje ya hema ili akazungumze nao. Kutokana na ushawishi wake kwa Haruni katika kumteta Musa, Miriamu aliadhibiwa na Mungu pale pale. Musa alipoona Miriamu amepata ukoma akamlilia Mungu kwa ajili ya rehema kwa Miriamu, Mungu alisikia maombi yake lakini hakumponya pale pale, aliacha kwanza kwa muda wa siku saba ili iwe fundisho kwa miriamu na watu wote wakiwemo sisi tunaosoma habari hii siku ya leo.
Kama mtumishi wa Mungu, pale watu wanapokunenea vibaya usiweke kinyongo wala kulipiza kisasi, mwachie Mungu yeye ndiye mpiganaji wako na usiache kuomba rehema kwa ajili yao ili Mungu aweze kuwaponya. Hakika tumejifunza mengi kupitia maisha ya Miriamu.
Hesabu 12: 4-15 (Tafadhali soma mistari hii)
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

NABII DEBORA SEHEMU YA PILI




JE, UNAMJUA NABII WA KIKE DEBORA WA KWENYE BIBLIA?

SEHEMU YA PILI

- DUNIA ILITIKISIKA, MBINGU PIA ZIKATIRIRIKA MAJI -

Baraka alikusanya jeshi lake. Alikusanya wanaume 10,000 jasiri ili kupambana na jeshi la Sisera lenye kutisha. Baraka alipokuwa akiongoza watu wake kuelekea Mlima Tabori alithamini sana kwamba alikuwa na uwezo wa kuchochea ujasiri wao. Tunasoma hivi: “Nabii Debora akapanda pamoja naye.” (Waamuzi 4:10) Wazia jinsi wanajeshi hao walivyotiwa moyo walipomwona mwanamke huyo jasiri akiambatana nao kuelekea Mlima Tabori, akiwa tayari kuhatarisha maisha yake kwa kuwa pamoja nao kwa sababu ya imani yake kwa Mungu!
Sisera alichukua hatua mara moja alipojua kwamba jeshi la Israeli limejikusanya ili kupigana naye. Wafalme kadhaa wa Kanaani walimuunga mkono Mfalme Yabini ambaye huenda alikuwa na nguvu zaidi kati yao. Kisha, magari ya kivita ya Sisera yalitikisa ardhi yalipoenda pamoja katika eneo tambarare. Wakanaani walikuwa na uhakika kabisa kwamba wangelishinda jeshi la Israeli.—Waamuzi 4:12, 13; 5:19.
Baraka na Nabii Debora wangefanya nini adui anapokaribia? Ikiwa wangebaki katika miteremko ya Mlima Tabori, huenda ingekuwa rahisi kwao kushinda majeshi ya Kanaani kwa kuwa magari yao ya vita yalihitaji eneo tambarare ili kushambulia vizuri. Hata hivyo, Baraka alitaka kupigana kulingana na maagizo ya Mungu, hivyo alisubiri mwelekezo kutoka kwa Nabii Debora. Hatimaye, mwelekezo ukatolewa. Nabii Debora alisema hivi: “Simama, kwa maana hii ndiyo siku ambayo Mungu hakika atamtia Sisera mkononi mwako. Je, Mungu siye ambaye ameenda mbele yako?” Kisha tunasoma hivi: “Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori akiwa na wanaume elfu kumi nyuma yake.”—Waamuzi 4:14. *
Jeshi la Israeli lilisonga kwa kasi na kushuka mlimani mpaka eneo la wazi, tambarare, kuelekea magari hayo ya kivita yenye kutisha.
Je, Mungu alienda mbele yao kama Debora alivyoahidi?
Jibu lilipatikana baada ya muda mfupi. Tunasoma hivi: “Dunia ilitikisika, mbingu pia zikatiririka maji.” Jeshi la Sisera lenye kiburi halikujua la kufanya. Mvua ikaanza kunyesha. Inaonekana kwamba mvua hiyo ilikuwa kubwa sana hivi kwamba ikasababisha mafuriko makubwa katika bonde hilo. Hivyo, magari hayo ya kivita yaliyotengenezwa kwa chuma hayakufaa kitu. Yalizama kwenye matope kwa sababu ya mvua hiyo.—Waamuzi 4:14, 15; 5:4.
Baraka na wapiganaji wake hawakuathiriwa na dhoruba hiyo. Walijua chanzo chake. Waliyafuatilia majeshi ya Wakanaani. Wakitekeleza hukumu ya Mungu, Waisraeli waliua wanajeshi wote wa Sisera. Mto Kishoni ulifurika na kufagilia mbali maiti zote mpaka Bahari Kuu.—Waamuzi 4:16; 5:21.
Leo, Mungu hatumii watumishi wake kupigana vita halisi. Hata hivyo, anahimiza watu wake kupigana vita vya kiroho. (Mathayo 26:52; 2 Wakorintho 10:4) Tukijitahidi kumtii Mungu katika ulimwengu wa leo, tunaonyesha kwamba tunapigana vita hivyo. Tunahitaji ujasiri kwa kuwa wale wanaomtii Mungu leo wanaweza kukabili upinzani mkali. Hata hivyo, Yehova hajabadilika. Bado anawalinda wale wenye imani na wanaomtegemea kama Debora, Baraka, na wanajeshi jasiri wa taifa la Israeli walivyofanya.
“ATABARIKIWA ZAIDI KATI YA WANAWAKE”
Adui mkubwa zaidi Mkanaani alitoroka! Sisera, mkandamizaji mkuu wa watu wa Mungu, alikimbia kwa miguu kutoka katika uwanja wa vita. Akiwaacha watu wake wakifa kwenye matope, Sisera alifanikiwa kupita katikati ya wanajeshi Waisraeli na kukimbilia eneo kavu, akiwa na lengo la kukimbilia eneo lenye wafalme waliomuunga mkono. Aliteremka katika nyanda tambarare, huku akiwa na hofu kubwa kwamba huenda wanajeshi wa Israeli wangemkamata, alielekea katika mahema ya Heberi, Mkeni aliyetengana na watu wake wahamaji upande wa kusini na kufanya mkataba wa amani na Mfalme Yabini.—Waamuzi 4:11, 17.
Sisera alifika katika kambi ya Heberi akiwa amechoka. Hakumkuta Heberi nyumbani kwake. Hata hivyo, mke wake, Yaeli alikuwapo. Yawezekana kwamba Sisera alifikiri Yaeli angetenda kulingana na mkataba wa amani aliofanya mume wake na Mfalme Yabini. Huenda hakufikiri kwamba mwanamke huyo angetenda tofauti na mume wake. Ni wazi kwamba Sisera hakumjua Yaeli! Hata hivyo, Yaeli aliona wazi uovu aliofanya mkandamizaji huyo Mkanaani kuelekea Israeli; na yawezekana hilo lilifanya aone kwamba alipaswa kuchukua hatua. Alihitaji kuamua ama kumsaidia mwanamume huyo mwovu au kumtegemea Mungu na kumuua adui huyo wa Watu wake. Angefanya nini? Mwanamke atawezaje kumuua mpiganaji mwenye nguvu na uzoefu?
Yaeli alihitaji kufikiria haraka jambo la kufanya. Alimwonyesha Sisera mahali pa kupumzika. Sisera akamwamuru amfiche ili mwanamume yeyote atakayekuja kumtafuta asimpate. Yaeli akamfunika, na alipomwomba maji, akampa maziwa. Baada ya muda mfupi, Sisera alilala usingizi mzito. Kisha Yaeli akachukua kigingi cha hema, chombo ambacho wanawake wanaoishi katika mahema mara nyingi walitumia kwa ustadi. Akiwa amechuchumaa karibu na kichwa cha Sisera, Yaeli alikabili kazi ngumu ya kutenda akiwa mtekelezaji wa hukumu kwa niaba ya Mungu. Kusita au kutokuwa na uhakika wa jambo la kufanya kungesababisha madhara makubwa. Je, Yaeli alikumbuka watu wa Mungu na jinsi mwanamume huyo alivyowatesa kwa miaka mingi? Au je, alifikiria pendeleo alilokuwa nalo la kuchukua msimamo upande wa Yehova? Masimulizi hayatoi majibu. Tunajua tu kwamba Yaeli alichukua hatua. Sisera alikufa!—Waamuzi 4:18-21; 5:24-27.
Baadaye, Baraka alifika ili kumtafuta adui yake. Yaeli alipomwonyesha maiti ikiwa imepigiliwa kigingi katika kipaji cha uso, Baraka akajua kwamba unabii wa Debora umetimia. Mwanamke alimuua Sisera, shujaa mwenye nguvu! Wachambuzi wa mambo wa siku hizi wamemwita Yaeli majina mengi yasiyofaa, lakini Baraka na Debora walijua vizuri alichofanya Yaeli. Katika wimbo wao ulioongozwa na roho takatifu, walimsifu Yaeli kwa kusema kwamba “atabarikiwa zaidi kati ya wanawake” kwa sababu ya tendo lake la ujasiri. (Waamuzi 4:22; 5:24) Ni wazi kwamba Debora alikuwa mkarimu. Hakumsifu Yaeli huku akiwa na wivu; badala yake alikazia zaidi kutimizwa kwa neno la Yehova.
Nguvu za Mfalme Yabini mtawala aliyekuwa tishio kwa taifa la Israeli zilikoma Sisera alipouawa. Ukandamizaji wa Wakanaani ulikoma. Kukawa na amani kwa miaka 40. (Waamuzi 4:24; 5:31) Debora, Baraka na Yaeli walibarikiwa sana kwa sababu ya kudhihirisha imani katika Yehova Mungu. Tukiiga imani ya Debora, tukichukua kwa ujasiri msimamo thabiti upande wa Mungu, na kuwachochea wengine wafanye vivyo hivyo, Mungu atatubariki na kutusaidia kushinda na kutupatia amani ya kudumu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Saturday, May 13, 2017

MANABII WA KIKE WA BIBLIA

No automatic alt text available.


Je, unawajua kwa majina Manabii wa Kike wa kwenye Biblia?
Je, Biblia inaruhusu kuwa na Manabii wa Kike?
Yoeli 2: 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;
Nukuu zaidi soma 1 Wakoritho 11:5, Matendo 2:17-18, Matendo 21:9, Phl 4:3,
Baada ya kusoma hiyo aya, swali linafuata, nionyeshe Nabii wa Kike kwenye Biblia? Hili ni swali nililo ulizwa na Muislam. Bila ya kupoteza muda naweka uthibitisho wa aya.
NABII MIRIAM, DADA YA HARUNI NA MUSA:
Miriam = Soma Kutoka 15 aya 20. Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni, akachukua tari mkononi mwake; na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi
NABII DEBORA, MKE WA LAPIDOTHI:
Debora = Soma Waamuzi 4:4-5 Basi Debora, nabii wa kike, mke wa Lapidothi, ndiye aliyekuwa akihukumu Israeli wakati huo.
NABII HULDA, MKE WAS SHALUMU:
Hulda = Soma 2 Wafalme 22 na 2 Mambo ya Nyakati 34:22 Kwa hiyo Hilkia pamoja na wale wengine mfalme aliowatuma 34:22 Kiebrania hakina aliowatuma. walimwendea nabii Hulda, mkewe Shalumu, mwana wa Tokathi, mwana wa Hasra, mtunza mavazi yaliyotumika hekaluni (alikuwa anaishi Yerusalemu katika mtaa wa pili); nao walizungumza naye juu ya mambo yaliyotokea.
NABII ANNA BINTI YA FANUELI:
Anna = Soma Luka 2: 36 Basi kulikuwako Nabii Anna, binti ya Fanueli, wa kabila la Asheri (mwanamke huyu alikuwa amesonga sana katika miaka, na alikuwa ameishi pamoja na mume kwa miaka saba kutoka ubikira wake,
MKE WA NABII ISAYA:
Mke wa Isaya soma Isaya 8:3. Ndipo nikamkaribia yule nabii wa kike, naye akapata mimba na baada ya muda akazaa mwana. Mungu sasa akaniambia: “Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi,
MABINTI WATATU WA FILIPO:
Na Mabinti Watatu wa Filipo Soma Matendo 21.8 Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu. 9 Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
Leo tumejikumbusha kuhusu Mnabii wa Kike wa Biblia. Watu wengi hii leo wanapiunga Kipaji hiki cha Unabii kwa Wanawake, lakini Biblia inatuthibitishia kuwa Wnanawake wana haki sawa na Wanaume mble ya Mungu weu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW