Friday, July 21, 2017

Islam offers HELL and that is all

Image may contain: fire



Allah Promised hell for his followers:

Sura 3:185, "Every soul shall have a taste of death: And only on the Day of Judgment shall you be paid your full recompense. Only he who is saved far from the Fire and admitted to the Garden will have attained the object (of Life): For the life of this world is but goods and chattels of deception."

This Suras from Quran very clearly says that after death everyone will go to hell fire then judgment.. When a person went to hell fire then how and why it is possible that he/she can come out from hell fire and go to paradise.. no way.. This verse does not say anything about eternal life. This verse very clearly says that every believer in Allah is tasting death means they did not get the life while Jesus promised eternal life and heaven as we read in John 10:10 "The thief does not come except to steal, and to kill, and to destroy. I have come that they may have life, and that they may have it more abundantly.

And also every soul is going to hell fire till the day of judgment means they are not reaching heaven. So of course Allah promised hell fire for his believers. There is no chance to go to heaven once you go to hell. Jesus can save you when you are still in this world as He said in John 3:15 "that whoever believes in Him should not perish but have eternal life.

John 3:16 "For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life.

How a person can save himself/herself from hell fire when he/she is already in hell fire? And this verse says that they will be there till the time of Day of Judgment. Do you think a person who is already in hell will get a seat in heaven after judgment? Judgment is a day when people get their sentence and verdict.. and there are no second chances to "make it to heaven" once you have been cast into hell.

And he claims all those who don't follow Islam are going to hell..so according to Muhammad, everyone is going to hell...

"If anyone desires a religion other than Islam (Submission to Allah), Never will it be accepted of him; and in the Hereafter he will be in the ranks of those who have lost."(Qur'an 3:85)

Allah promised hell fire for his followers 
Jesus promised heaven for His followers.

Yet the Jihad martyrs are pumped up with grand illusions....
And what reward does Paradise bring to the jihad martyr? He is promised a palace of pearls in which are 70 mansions; inside each mansion are 70 houses and in each house a bed on which are 70 sheets and on each sheet a beautiful virgin. He is assured that he will have the appetite and strength of 100 men for food and sex.

This is the fantastic dream that is fed to Muslim boys from their childhoods. Satan promised Jesus things similar to these and more, when he tempted Jesus in the desert.

To a Christian and any other true son or daughter of the true God, these things the Muslim hopes for are loathsome. To a woman it has to be a hell...

JE, MUNGU ANATHIBITIKA?

Image may contain: cloud, sky, text and nature



Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?
Tunajua ya kwamba Mungu anathibitika kwa kuwa amejidhihirisha kwetu kwa njia tatu: katika uumbaji, katika neno lake na katika mwanawe, Yesu kristo.
Kithibitisho cha msingi ya kuweko kwa Mungu ni katika vile alivyoviumba. “ Kwa yale yasiyoonekana na macho juu yake katika uumbaji yanadhihirika waziwazi, akieleweka kwa yale aliyoyaumba, hata uwezo wake wa milele na mungu Baba ili (wasioamini) wawe hawana kisingizio” (Warumi 1:20). “Mbingu zinashuhudia utukufu wa Mungu, na anga yadhihirisha kazi za mikono yake” (Zaburi 19:1).
Kama ningeona saa ya mkono katikati ya uwanja, singechukulia tu imejitoa tu yenyewe kutoka mahali Fulani wala kuwa ilikuweko hapo toka jadi. Kutokana na muundo wake ningejua ya kuwa iliundwa na mtu Fulani stadi. Hata hivyo ninaona miundo mingi ya vitu tofauti tofauti katika mazingira yetu. Kutazama nyakati kwetu hakutokani na saa za mikono balikazi za mkono wa Mungu --- kuzunguka kwa dunia (na hali za kitonoradi za atomi ya cesium-133). Ulimwengu unadhihirisha kazi za ustadi zinazothibitisha kuweko kwa mwenye kuviumba kwa ustadi.
Ningepokea ujumbe kupitia mtandao Fulani ambao hausomeki ningemtafuta mwenye utaalamu wa kusambaza habari kupitia mitandao ilianifahamishe kuhusiana na jinsi ningeweza kuutafsiri na kuusoma. Ningekuwa na uhakika kuna mtaalam aliyenitumia ujumbe na mwenye ufahamu juu ya kuutafsiri. Je, tafsiri ya ujumbe unaobebwa ndani ya chembe chembe za mwili wa mwanadamu za “DNA” si ngumu zaidi? Je, hii haitoshi kukujulisha juu ya mtaalam wa hali ya juu zaidi?
Mungu hakuumba tu ulimwengu mgumu kufafanua bali pia ameweka ndani ya moyo wa kila mwanadamu umilele (Mhubiri 3:11). Mwanadamu ana hisi ndani ya moyo wake kwamba kuna mengine zaidi ndani ya maisha yake kuliko yale ayaonayo na macho yake. Haya huthibitika katika mambo mawili: katika utunzi wa sheria na ibada.
Kila aina ya kizazi duniani kimezingatia aina Fulani ya mfumo wa kisheria unaofanana.Kwa mfano swala la mapenzi limeheshimiwa ulimwenguni kote na uongo umekataliwa duniani kote. Utamaduni huu wa kujua mema na mabaya unadhihirisha kuwepo kwa mtakatifu mmoja aliyetupatia mwongozo huu.
Kwa njia hiyo hiyo,duniani kote watu wameendelea kufanya ibada kwa Mungu bila kujali mila na desturi zao. Lengo la ibada laweza kutofautiana lakini kuwepo kwa Mungu hakupingiki. Kuendelea kwetu kufanya ibada ni kwa sababu Mungu alituumba, “Kwa mfano wake” (Mwanzo 1:27).
Mungu pia amejidhihirisha kwetu katika neno lake Biblia. Ndani mwote ya maandiko, swala la kuwapo kwa Mungu lashughulikiwa kama la waziwazi (Mwanzo 1:1; Kutoka 3:14). Benjamin Franklin alipoandika habari zake mwenyewe hakupoteza muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe alikuwapo. Vivyo hivyo Mungu hapotezi muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe yupo ndani ya maandiko yake. Hali yake ya kubadilisha maisha ya mwanadamu, heshima na miujiza iliyoandamana na kuandikwa kwake kunatosha kuvutia mtu ayaangalie maandiko kwa makini.
Njia ya tatu ambayo Mungu alijidhihirisha nayo ni kupitia mwanawe Yesu Kristo (Yohana 14:6-11). “Hapo mwanzo kulikuwako neno; na neno alikuwako kwa Mungu na Huyo neno alikuwa Mungu… na neno akafanyika mwili, akakaa pamoja nasi” (Yohana 1;1, 14). Ndani ya Yesu Kristo, “mnadumu utimilifu wote wa Mungu Baba katika mwili” (Wakolosai 2:9).
Ndani ya kuishi kwake Yesu Kristo, alizingatia Agano la kale lote kwa ukamilifu na kutimiza unabii woye unaohusiana na masihi (Mathayo 5:17). Alitenda miujiza mingi na kuwahurumia wengi kuuthibitisha ujumbe wake kuwa alikuwa Mungu (Yohana 21:24-25). Tena siku tatu baada ya kusulubiwa kwake akafufuka kutoka kwa wafu jambo lililothibitishwa na wengi (Wakorintho wa kwanza 15:6). Historia yote imejaa ithibati ya Yesu alikuwa nani. Kama mtume Paulo alvyosema, “mambo haya hayakufanyika pembeni” (Matendo 26:26).
Tunajua kuwa wengine watasoma ushahidi huu na mawazo yao wenyewe na baada ya kuufahamu vyema wakubali. Wengine hata baada ya ushahidi huu bado watarudia hali zao za kutoshashawishika (Zaburi 14:1) Yote yanahitaji Imani (Waebrania 11:6).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KWANINI WANAHISTORIA NA DUNIA NZIMA INATUMIA B.K NA K.K?

Image may contain: text, outdoor and nature



Baada ya Kristo (B.K)
Kabla ya Kristo (K.K)

Yesu alibadilisha mwenendo wa historia. Hata tarehe kwenye gazeti lako la leo inathibitisha kwamba Yesu wa Nazareti aliishi ulimwenguni karibu miaka 2,000 iliyopita. Maandishi kwa Kiingereza "B.C." yanasimamia nyakati kabla ya kuzaliwa kwa Kristo; vilevile maandishi "A.D." yanasimamia nyakati baada ya kuzaliwa kwa Kristo.

Baada ya kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: BK) ni namna ya kutaja miaka ambayo imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani.

Kila mwaka huhesabiwa kuanzia ule uliodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Yesu Kristo. Miaka iliyotangulia kuzaliwa kwake Yesu huitwa Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo au kifupi: KK

Kabla ya Kristo (KK), Hiki ni kipindi cha kihistoria ambacho kinahusisha matukio ya kihistoria ambayo yametokea kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo.

Kwanza katika matukio ya kihistoria Waroma hawakuwa na mwaka sifuri. Na hivyo miaka kabla ya Yesu Kristo kuzaliwa ilikuwa ikisomwa kutoka juu kuja chini. Kwa mfano, (480-340 K.K) .

Lakini jamii lazima ifahamun kuwa Neno K.K [B.C] lenye maana ya (Before Christ “BC”), lilikuwa ni msingi wa usomaji wa kalenda ambayo ilifuata kalenda ya Walatini ambao walifuata misingi ya Ukristo. Na ifahamike kuwa sio kila mtu alikuwa mfuasi wa dini ya Ukristo kwa wakati huo, hivyo kwa wale wasio fuata msingi ya Ukristo waliamua kuita matukio ya kihistoria kwa namna yao.

Hivyo wapo walioita B.C wakimaanisha “Before Common”. Lakini pia lazima tufahamu kuwa, kuna wakati ambao matukio ya kihistoria yanawakilishwa kwa herufi ndogo “b.c” tambua kuwa tukio hilo la kihistoria limekadiriwa. Kwa ujumla huu ndio mfumo uliokuwepo ukitumika kusoma matukio ya kihistoria kabla ya kiuzaliwa Yesu Kristo.

Pia kuna kipindi kinachofahamika kama Baada ya Kristo (A.D). tunaposema A.D hiki ni kifupisho cha Anno Domini, neno la kilatini lenye maana ya Mwaka wa Bwana au ( in the year of lord), kulingana na mfumo wa kalenda ya Warumi kwa kipindi hiko. Na kihistoria neno hili lilitumika katika kipindi cha karne ya 6 baada ya Kristo. Usomaji wa kalenda kwa kurejerea kuzaliwa kwa Kristo, ulianza pale bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la DIONYSIUS EXIGUUS, ambaye alifanikiwa kuhesabu miaka kwa kuanzia kipindi ambacho Yesu Kristo alizaliwa.

Hii yote ni kumtukuza Yesu Kristo na kuthibitisha kuwa hakuna kama Yesu Mungu Mkuu.

Tarehe yako ya kwenye simu yako ya leo inashuhudia uwepo wa Yesu Kristo

Tarehe yako ya Kuzaliwa inashuhudia kuwa Yesu alikuwepo na ndio msingi mkuu wa kalenda yetu.

Wafilipi 2: 10 ili kwa jina la Yesu, kila goti lipigwe, mbinguni na duniani na kuzimu; 11 na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

MA-IMAMU WAMEBAKA WASICHANA WAWILI NA KUWASABABISHIA MAUMIVU MAKALI

Image may contain: 2 people, people standing


Lagos, Nigeria:
Maimamu wawili Kamaledeen Alade na Hammed Adebayo walifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya juu ya Lagos kwa kosa la kubaka wasichana wenye umri wa miaka 14 na 16.
‎Watuhumiwa Alade, 32, na Adebayo 27 wanashitakiwa kwa makosa manne "charge of conspiracy, rape, sexual penetration and application of charm".
Kiongozi wa Mashitaka Sajenti Anthonia Osayande aliiAmbia Mahakama kuwa Alade alikuwa ni mwanzilishi wa kikundi cha kufundisha Quran, wakati Adebayo alikuwa msaidizi wa Alade na mwalimu msaidizi wa kufundishi Quran.
Sajenti Osayande alisema kuwa Watuhumiwa walifanya makosa hayo wakiwa kwenye nyumba namba 24 iliyopo Mtaa wa Amosun, Sari- Iganmu siku ya July 11 saa 4 na dakika 5 asubuhi.

ALLAH NA MUHAMMAD WAMESEMA WANAWAKE WOTE WA KIISLAM WATAINGIA JEHANNAM

Image may contain: one or more people and text

Allah amejaa chuki kubwa kwa Wanawake na kuwaandalia Jehannam kama nyumba yao ya maisha baada ya kifo. Zifiatazo ni Sahih hadith ambazo Muhammad anasema aliiona Jehannam imejaa Wanawake kuliko viumbe vingine wote.
Wengi wa viumbe wa Jehannam ni Wanawake wa kiislam kwasababu walikuwa hawana shukran kwa waume zao... (Sahih Bukhari, 1.2.28)
Wanawake wengi wapo Jehannam kwasababu wana upungufu na udhaifu wa akili ... (Sahih Bukhari, 1.6.301)
Wanawake wanao kuwa uchi hata kwa waume zao na kusababisha watende dhambi, hao wote wataingia Jehannam …(Sahih Muslim, 24.5310)
Mwanamke aliye uchi anaangusha Pazia la Allah na kumfanya Allah awaone wakiwa uchi… (Sunaan ibn Majah, 5.3750)
Mwanamke lazima avae Ushungi na Hijab hata kwa mwanaume kipofu [note 3532, vol. iii, p.1147]… (Sunaan Abu Dawud, 3.32.4100)
Nawakaribisha wanawake wote wa Kiislam kwa Yesu, yeye hana chuki kwenu bali alikuja kwa ajili ya wote.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UTHIBITISHO KWAMBA MUNGU YUPO (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: cloud, sky and text


Kilichoanza huanzishwa na Muanzilishi
Kila kitu ulimwenguni kina mwanzo ulioanzishwa. Aya hii ipo hapa kwa kuwa mwandishi alimwaga wino juu ya ukurasa huu. Nani aliye hai ambaye hakupokea uhai toka kwa wazazi? Ni mama yupi anayepasisha kwa wanawe uhai ambao hakuupokea kutoka kwa waliomtangulia? Mwanzoni mwa mapokezano hayo ya uhai yupo nani kama si Yeye Aliye na uzima, uzima usio wa kupewa au kuazimwa? Pasipo Mwenye-kitabu hakuna kitabu cha kuazimwa. Tuna uhai wa kuazimwa kwa kuwa yupo Mwenye uhai aliyetuazima. Yeye daima "hapatikani na mauti" (1Tim 6:16); na "ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu" (Matendo 17:28)
Biblia ni kitabu cha ajabu kuliko vyote. Maelezo yake kuhusu chanzo cha uovu; taarifa yake isiyo na kasoro kuhusu mahusiano ya Mungu na taifa la Israel; ujumbe wake unaopenya kupitia kwa manabii wao; 'habari njema' yake iliyohubiriwa na Yesu Kristo na mitume wake; na juu ya yote uchambuzi wake sahihi uhusuo mapungufu ya silka ya mwanadamu ukilinganishwa na utakatifu, kweli na rehema ya Mungu, iliyodhihirishwa zaidi hasa katika Mwanawe - haya yote ni mambo ya kipekee yasiopatikana katika kitabu kingine chochote duniani. Haya yalimfanya Henry Rogers, miaka 100 iliyopita kusema: "Biblia sio namna ya kitabu ambacho mwanadamu angekuwa ameandika kama angeweza, au angeweza kuandika angeweza". Kwa maneno mengine, Mungu anahitajika katika kuelezea uwepo wake.
Katika kazi hii fupi tutaangalia mojawapo ya mambo yake ya ajabu: unabii wake. Kihalisi, unabii sio kuelezea tu mambo ya mbeleni. Nabii alikuwa ni mtu 'aliyesema kwa niaba' ya mwingine, msemaji; na unabii ulikuwa ni ujembe alioutoa nabii kwa niaba ya Mungu. Lakini kwa kuwa unabii wa Biblia unao pia 'utabiri' mwingi wa mambo yajayo, kwa lengo hili tu tutazingatia maana hiyo hapa.
==== USIKOSE SEHEMU YA PILI====
NANI MWENYE MAMLAKA YA UNABII?
Lakini kwanza inabidi tukubaliane juu ya swali moja la muhimu: Biblia inadai kwamba mamlaka ya unabii inatoka kwa Mungu tu na ni uthibitisho wa uweza wake?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

HUNGARY: 4 Eastern European nations in a joint task force with Israel will fight Islamic terrorism and mass Muslim migration


On the historic occasion of the first-ever visit by an Israeli Prime Minister to Hungary, Hungarian PM Viktor Orban lays out the details of a new relationship with Israel and the V4 Visegrád countries – Hungary, Poland, The Czech Republic and Slovakia – in matters of mutual security and trade.

Reuters  At a meeting in Hungary between Viktor Orban and Benjamin Netanyahu, the leaders of four eastern European nations declared that Europe should better appreciate Israel’s key role in Middle Eastern stability, and condemned Brussels’ current policy towards the Jewish state.

The comments were the latest example of divergence between west and east Europe, where questions of national sovereignty, migration and civic freedoms have also stirred friction. U.S. President Donald Trump lent support this month to Poland, target of criticism by the EU he has disdained, with a visit to Warsaw.

Netanyahu met the Visegrad Four leaders of Hungary, Poland, Slovakia and the Czech Republic, who backed Israel and called for an improvement in the EU’s relations with the state. “I think Europe has to decide whether it wants to live and thrive or it wants to shrivel and disappear,” Netanyahu told the leaders of the eastern EU states behind closed doors in Budapest.

Mr. Netanyahu said that it is both a great honour for him to be the first Israeli prime minister to attend a V4 summit, and also a great opportunity. Mr. Orbán told the press that the Israeli prime minister had invited the V4 prime ministers to Israel, and that they had accepted his invitation to meet in 2018 in Jerusalem.

“The Visegrad Four shares the Israeli view that external border defence is key,” Orban told a press briefing. “Free movement of people without controls raises the risk of terror.” Orban has been criticised in the EU for erecting a razor wire border fence and refusing to accept migrants under EU agreements, preferring “ethnic homogeneity”.

Kormany  The Czech Republic prime minister,  Bohuslav Sobotka, also highlighted that the EU and Israel have a shared interest in strengthening relations and removing the obstacles to their cooperation with each other. Mr. Sobotka stressed the importance of talks on the situation in Syria and the fight against terrorism and illegal migration, and he welcomed the Israeli prime minister’s proposals, the implementation of which is supported by the V4.

Polish prime minister Beata Szydło noted the unprecedented nature of the V4 meeting with the Israeli prime minister, in which the parties spoke about security, the migrant crisis, the fight against terrorism and development. Cooperation with Israel must be enhanced, Mrs. Szydło added.

Slovak prime minister Robert Fico stressed that the leaders’ meeting had not only been important because of its content, but also its symbolism, as in Europe “we often talk about each other”, but not often enough with each other.

Israel  has joined Hungary in declaring Hungarian-born George Soros an “enemy of the state.”

Born in Hungary to Jewish parents, Soros “continuously undermines Israel’s democratically elected governments by funding organizations that attack the Jewish state and seek to deny it the right to defend itself,” it said. Soros was also the main funder behind the Arab Spring and is currently spending more than $500 million for NGOs and human traffickers to bring hundreds of thousands of African Muslim invaders into Europe by boats.

The Hungarian government last week launched a billboard and television ad campaign (below) seeking to discredit Soros’ pro-Muslim support and financing of mass illegal immigration views. The posters and billboards show a smiling Soros with the caption “Let’s not allow Soros to have the last laugh!” and a notice claiming that 99 percent of Hungarians reject illegal Muslim migration.

Orban’s government is also making life difficult for the prestigious Central European University in Budapest, created by Soros, and for civil organizations he funds

Perhaps the EU will wake from their Soviet like communist slumber now that they see many European nations have options. An alliance of independent states with their own national interests, cooperating on that basis.

Poster of Jewish Man Kissing Muslim Woman Sparks Outrage…

NETHERLANDS: Controversial poster campaign featuring a Jewish man kissing a Muslim woman causes outrage, threats, and vandalism from Muslim community

The ‘Anti-(Muslim) Forced Marriage’ campaign, created by a Muslim woman, encouraging free choice of romantic partners triggers fierce backlash from Muslim community. Incensed by the headline “In The Netherlands we choose our own partner,” Muslim males are tearing the posters down.

Times of Israel  This campaign has triggered acrimonious debate, charges of racism, acts of vandalism and even threats by Muslims who found it offensive. To some of the detractors, the poster campaign was a provocation designed to upset the sensibilities of Dutch Muslims. But to campaign supporters — including some prominent members of the Dutch Jewish community — it was an important statement about the need to counter radicalism and coercion in the Netherlands’ growing Muslim minority.

Initiated by a Muslim activist for women’s rights, Shirin Musa, the posters are part of a municipal initiative in support of women, mostly Muslim, who face abuse and honor killing if they choose spouses their communities disapprove of. Bearing the slogan “In the Netherlands, you choose your own partner,” the posters were placed in bus stops and on signposts across Rotterdam.

The campaign features four couples locking lips against a background featuring the port city’s iconic Erasmus Bridge: the Jewish-Muslim couple; a Muslim woman kissing a blond man; two women, one in a South Asian dress, and a black man with a woman who appears to be of South Asian descent.

But the posters only triggered a strong backlash among Muslims, including within Asscher’s own party. One of Labour’s representatives on the Rotterdam City Council, Fatima Talbi, wrote in an op-ed that she was “furious” about the campaign, which she said treats Muslims as though they are “backward” by turning the matter of forced marriage into “an integration issue.”

Tunahan Kuzu, a lawmaker in the Dutch parliament for the radical pro-Islam, pro-immigration party Denk, called the campaign “provocative, discriminating and patronizing.” Several of the posters were vandalized, hateful rhetoric was directed at their supporters on social media and activists distributing campaign fliers reported threats of violence by Muslims. Police assigned officers to watch over some of the activists following several incidents.

One man told an activist from Musa’s Femme for Freedom organization: “I’m going to thump you on your f***ing head if you give me this flier,” Tanya Hoogwerf, a Rotterdam councilwoman, told the PowNed television channel last month. Two men filmed themselves destroying a poster that was placed on a bus shelter.

In the video below, two men with an unmistakably Turkish or Moroccan Dutch accent, say the following while they tear down one of the posters:

“We’ve come to finish our shit. Look at this motherfuckers. [inaudible]. Choose your own freedom they say, pull that poster down. Motherfuckers. Here, this is what happens.”

Wednesday, July 19, 2017

MUHAMMAD NA ALLAH WANADAI KUWA NYOTA HUINUKA NA KUKIMBIA

Image may contain: night, sky and text


Ndugu zanguni:
Ninapo sema kuwa, hii dini ni ya kutengeneza na ilitengenzwa na mtu asie na elimu hata ya chekechea mnafikiri natania?
Nyota ni nini?
Kwa kutumia darubini na vifaa vya kisayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba makubwa sana katika anga la nje yanayong'aa kwa sababu yanatoa mwanga, joto na aina mbalimbali za mnururisho kutokana na myeyungano ya kinyukilia ndani yake. Lakini ziko mbali sana na kwa hiyo tunaziona kama nukta ndogo za nuru. Kwa jumla nyota zinaonekana kwenye anga kwa mpangilio usiobadilika, na kila nyota huwa na mahali pake pasipobadilika kati ya nyota nyingine, hata kama nyota kwa jumla zinazunguka angani juu yetu kila siku.
Muhammad anadai kuwa, eti kuna nyota tano tu na zinainuka na kukimbia na kushindana na Mwezi na Jua.
Nabii [Muhammad] alijibu: ‘Ali, kuna nyota tano: Jupiter (al-birjis), Saturn (zuhal), Zebaki (utarid), Mars (Bahram), na Venus (al-zuhrah). Nyota hizi tano huinuka na kukimbia kama jua na mwezi na hushindana nazo pamoja. Nyota nyingine zote zimening’inizwa toka mbinguni kama taa zilivyoning’inizwa toka kwenye misikiti…" al-Tabari juzuu ya 1 uk.235-236.
Hivi mtu mwenye akili anaweza amini huu uongo na ukosefu wa elimu?
Eti, nyota zinaning'inia kama taa za kwenye Misikiti.
Nyota nyingi ni magimba kama jua letu maana masi kubwa ya gesi na utegili kwenye hali ya joto kali, ya sentigredi elfu kadhaa. Zinaonekana ndogo kwa sababu ya umbali wao.
Kornreich wanasema kuwa kuna angalau Nyota Trilioni 10 [10 trillion galaxies in the universe]. Unapo zidisha na [the Milky Way's] inakaribia nyota Bilioni 100 [estimated 100 billion stars results in a large number indeed]
1,000,000,000,000,000,000,000,000 stars, or a "1" yenye sifuri 24 mbele yake. Lakini Muhammad na Allah wanadai kuwa eti kuna nyota tano tu. https://www.space.com/26078-how-many-stars-are-there.html
Nyota hupatikana angani katika makundi kama mawingu makubwa sana. Kundi la namna hiyo huitwa galaksi. Galaksi yetu, ikiwemo mfumo wa jua letu, imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Tunaona sehemu za nyota zake angani zikionekana kama kanda la kung'aa linalojulikana kwa jina "njia nyeupe".
Maisha ya nyota:
Fizikia na astronomia zimegundua ya kwamba nyota hazidumu milele bali zina mwanzo na pia mwisho. Kutokana na tabia hii wataalamu mara nyingi huongea juu ya "maisha", "kuzaliwa" na "kufa" kwa nyota ingawa si viumbehai.
Je, tumwamini Allah na Muhammad wasio jua hata elimu ya nyota au tuamini elimu tulio nayo leo hii? Yaani binadamu wana akili zaidi ya Allah kuhusu elimu ya nyota kunamfanya Allah awe bandia na wa kutengenezwa tu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH NA MUHAMMAD WANADAI KUWA NYOTA NI MAKOMBORA YA KUPAMBANA NA SHETANI

Image may contain: text

Madhumuni ya Nyota na Vimondo kutokana na Uislam:
"Mbingu za chini kabisa zina taa [nyota], na ‘Tumeziumba (taa) hizi kama makombora ya kuwafukuzia waovu, na tumetayarisha Adhabu ya Moto Uwakao kwa ajili yao.’" Sura 67:5.
"Kuumbwa kwa nyota hizi kuna madhumuni matatu, yaani, kulipamba anga, makombora ya kuyapiga mashetani, na alama za kuwaongoza wasafiri. Kwa hiyo kama mtu yoyote anajaribu kupata tafsiri nyingine amekosea na anapoteza nguvu zake tu..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 3 kabla na.421, uk.282.
Wakati mwingine vimondo hurushwa kwa mashetani ambao wanajaribu kusikiliza siri za mbinguni. Sahih Muslim juzuu ya 1 kitabu cha 4 na.902 na rejeo la 674 chini ya uk.243.
Vimondo vinapaswa kuwapiga malaika [wabaya] kabla hawajaeneza mambo waliyoyasikia. Wakati mwingine malaika wabaya huwaambia watabiri kabla ya kuwapiga. Ibn-i-Majah juzuu ya 1 kitabu cha 1 na.194, uk.110.
Vimondo huyashambulia majini (genies) Sahih Muslim juzuu ya 4 kitabu cha 24 na.5538, uk.1210.
Nyota hulinda dhidi ya shetani. al-Tabari juzuu ya 1, uk.223.
LAKINI YEHOVA ANASEMA NINI KUHUSU SHETANI NA MAJINI?
MAMLAKA YA KUTOA PEPO UMEPEWA NA YESU
Marko 16:17-18 inasema, "ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina Langu watatoa pepo...."
Kila Mkristo anao uwezo wa kuwatoa pepo! Sio swala la kwamba "una nguvu" kiasi gani au jinsi gani upo "kiroho" ; cha muhimu ni kuwa Yesu Amekupa mamlaka Yake; unatembea katika jina Lake.
Shetani hana haki ya kuendesha mambo katika maisha yako, au nyumbani mwako au katika maisha ya wale uwapendao. Tumia mamlaka yako katika Kristo dhidi yake.
MNAONA TOFAUTI YA ALLAH NA YEHOVA?
1. Allah anakimbiza mapepo kwa kutumia Vimondo na Nyota.
2. Wakristo tunakemea mapepo kwa jina la Yesu.
SASA KATI YA ALLAH NA YEHOVA NI YUPI UTAMFUATA?
Kumbe jina la Allah ni dhaifu na halina uwezo wa kutoa, au kimbiza au fukuza Mapepo au Mashetani au Shetani.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW