Saturday, August 28, 2021
Wednesday, August 11, 2021
KARAMA, KIPAWA NA TALANTA MAANA YAKE NINI?
*Karama ni nini?*
Karama (kutoka Kiarabu الكرامة) ni zawadi yoyote inayotokana na ukarimu wa Mungu kwa viumbe wake.
*Kipawa ni nini?*
Vipawa/kipawa ni uwezo, nguvu, zawadi ya tofauti iliyo zaidi ya wengine anayopewa mtu ili amtumikie MUNGU.
Kipawa ni kipaji anachopewa mtu na MUNGU ili amtumikie MUNGU.
*Kipawa na karama wakati mwingine ni kitu kimoja maana karama ni zawadi za Neema ambazo ROHO MTAKATIFU humpa mtu anayeokolewa na YESU KRISTO.*
Kuna vipawa vya asili yaani alivyozaliwa navyo mtu, kwa jina lingine vinaitwa vipaji, lakini pia kuna vipawa huja tu baada ya kuokolewa na YESU KRISTO.
Hivyo karama na vipawa wakati mwingine vinaweza kufanana.
Wapo watu hutumia vipawa vyao vizuri na wengine hutumia vipawa vyao vibaya.
Sijui wewe unatumiaje kipawa chako ulichopewa na MUNGU ili umtumikie katika kazi yake.
Kanisani kumejawa vipawa vingi lakini sio wote wenye vipawa wanavitumia kwa kazi ya MUNGU.
Kuna watu wana vipawa vya kuongea sana lakini wanavitumia kwa umbea, uongo na majungu na sio kutumia kipawa hicho kupeleka injili ya KRISTO.
Wengine wana vipawa vya kuhubiri lakini akihubiri saa moja yeye amejitaja jina Mara 20 huku yeye ambaye ndiye mwenye injili akimtaja Mara 1 tena katika mfano dhaifu, hiyo ni hatari sana.
Mwingine ana kipawa cha kuimba na katika albamu yake ya nyimbo za injili 9 hajamtaja YESU kwenye wimbo hata mmoja, hiyo ni hatari sana maana mtu anajiita mwimbaji wa nyimbo za injili harafu hamjui mwenye injili kwamba ni YESU KRISTO.
Najua wapo wanaotumia vizuri sana vipawa vyao lakini hata wanaotumia vibaya vipawa vyao nao ni wengi sana.
Ndugu, wewe unayesoma ujumbe huu na umepewa kipawa na Bwana YESU basi tumia kipawa chako kwa utukufu wa MUNGU na sio wewe kutafuta utukufu.
Usitumie kipawa chako kama utavyo wewe bali tumia kipawa chako kama atakavyo MUNGU.
Warumi 12:6-9 "Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema mliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma, tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo mweupe; mwenye kusimamia kwa bidii mwenye kurehemu, kwa furaha. Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkiambatana na lililo jema."
*Talanta ni Nini?*
Talanta ni fedha ya mtaji inayohitajika kuzalishwa ili kuongezeka.
*✓✓Kibiblia talanta ni karama au Huduma unayotakiwa kuifanyia kazi ili kumletea faida MUNGU.*
✓✓Talanta ni Huduma aliyoweka MUNGU ndani yako kwa lengo la kumzalia matunda.
Mathayo 25:14-18 " Maana ni mfano wa mtu atakaye kusafiri, aliwaita watumwa wake, akaweka kwao mali zake. Akampa mmoja TALANTA TANO, na mmoja TALANTA MBILI, na mmoja TALANTA MOJA; kila mtu kwa kadiri ya uwezo wake; akasafiri. Mara yule ALIYEPOKEA TALANTA TANO akaenda, akafanya biashara nazo, AKACHUMA FAIDA talanta nyingine tano.
Vile vile na yule MWENYE MBILI, yeye NAYE AKACHUMA nyingine mbili FAIDA.
Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake."
Ufalme wa MUNGU unakuhitaji ushughulike na unakuhitaji kuzitumia karama zako alizokupa ROHO MTAKATIFU baada ya wewe kuokoka.
Warumi 12:6-8 " Basi kwa kuwa TUNA KARAMA ZILIZO MBALIMBALI, kwa kadiri ya neema mliyopewa; IKIWA UNABII, tutoe unabii kwa kadiri ya imani; IKIWA HUDUMA, tuwemo katika huduma yetu; MWENYE KUFUNDISHA, katika kufundisha kwake; MWENYE KUONYA, katika kuonya kwake; MWENYE KUKIRIMU, kwa moyo mweupe; MWENYE KUSIMAMIA kwa bidii mwenye kurehemu, kwa furaha."
✓✓Nguvu uliyonayo mteule ni talanta ambayo unatakiwa uitumie kuwaleta watu kwa YESU KRISTO.
*Je unaitumiaje talanta yako?*
✓✓Mali zako au fedha zako ni talanta unayotakiwa kuitumia kuipeleka injili ya KRISTO mbele.
*Je unaitumiaje talanta yako?*
✓✓Karama na Huduma uliyopewa na ROHO MTAKATIFU ni talanta unayotakiwa kuitumia vyema ili kumzalia KRISTO matunda.
Wewe una Mali za MUNGU na hizo Mali MUNGU anataka faida itakayotokana na kuzalisha kwako kutoka katika Mali hiyo aliyokupa MUNGU.
*✓✓Mali za MUNGU kwako ni karama, vipawa, Huduma, utumishi, muda, fedha na vyote alivyokubariki.*
Ndugu hakikisha unamletea MUNGU faida inayotokana na uhai aliokupa, kutoka katika talanta ambayo MUNGU amekupa.
Shalom
Max Shimba Ministries
Saturday, August 7, 2021
Friday, August 6, 2021
WAISLAM WATAKUWA WANAZALISHANA PEPONI
Swali: Je, hawa watoto wakitenda dhambi huko peponi watahukumiwa kwa kutumia sheria ipi?
Je, huko peponi watakuwa wanasoma Quran au Injili?
Je, Mtume wa watu wa peponi ni nani?
Sunan Ibn Majah 4338
Ilisimuliwa kutoka kwa Abu Sa'id al-Khudri kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) alisema:
*"Muumini anapotaka mtoto Peponi, atachukuliwa mimba na kuzaliwa na kukua, kwa muda mfupi, kulingana na hamu yake."*
Hadithi Mohammad Bin Bashar, Hadith Muaz ibn Hisham, Hadithi ya maji, Al Amir alahvl, iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Bakr alnajy, iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Sa'eed alkhdry, Bibi Mtume wa Mwenyezi Mungu na amani iwe juu yake "Mu'min hehehe ashthy alvld kutoka peponi Taprobale vvzh hapana hapana ".
Daraja: Hassan (Darussalam)
Rejea: Sunan Ibn Majah 4338
Rejea ya ndani ya kitabu: Kitabu cha 37, Hadithi 239
Tafsiri ya Kiingereza: Juz. 5, Kitabu cha 37, Hadithi ya 4338
Sunan Ibn Majah 4338
It was narrated from Abu Sa’eed Al-Khudri that the Messenger of Allah (ﷺ) said:
*“When the believer wants a child in Paradise, he will be conceived and born and grown up, in a short while, according to his desire.”*
حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ بَشَّارٍ، حَدَّثَنَا مُعَاذُ بْنُ هِشَامٍ، حَدَّثَنَا أَبِي، عَنْ عَامِرٍ الأَحْوَلِ، عَنْ أَبِي الصِّدِّيقِ النَّاجِيِّ، عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الْخُدْرِيِّ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ " الْمُؤْمِنُ إِذَا اشْتَهَى الْوَلَدَ فِي الْجَنَّةِ كَانَ حَمْلُهُ وَوَضْعُهُ فِي سَاعَةٍ وَاحِدَةٍ كَمَا يَشْتَهِي " .
Grade: Hasan (Darussalam)
Reference : Sunan Ibn Majah 4338
In-book reference : Book 37, Hadith 239
English translation : Vol. 5, Book 37, Hadith 4338
Shalom
Max Shimba Ministries
Tuesday, August 3, 2021
Mohammad had lots of semen on his clothes
Volume 1, Book 4, Number 229:
Narrated 'Aisha:
I used to wash the traces of Janaba (semen) from the clothes of the Prophet and he used to go for prayers while traces of water were still on it (water spots were still visible).
Volume 1, Book 4, Number 230:
Narrated 'Aisha:
as above (229).
Volume 1, Book 4, Number 231:
Narrated Sulaiman bin Yasar:
I asked 'Aisha about the clothes soiled with semen. She replied, "I used to wash it off the clothes of Allah's Apostle and he would go for the prayer while water spots were still visible. "
Volume 1, Book 4, Number 232:
Narrated 'Amr bin Maimun:
I heard Sulaiman bin Yasar talking about the clothes soiled with semen. He said that 'Aisha had said, "I used to wash it off the clothes of Allah's Apostle and he would go for the prayers while water spots were still visible on them.
Volume 1, Book 4, Number 233:
Narrated 'Aisha:
I used to wash the semen off the clothes of the Prophet and even then I used to notice one or more spots on them.
Wow... Mohammad was quite the man. I am sure Bukhari included these verses because of his admiration and total respect for Mohammad.
Yet, once again, this story brings to mind several questions regarding the life and times of Mohammad.
1) If Mohammad had many wives, why was his semen on his clothes?
a) Did Mohammad withdraw and get the semen on hmself?
b) Couldn't Mohammad have shot the semen somewhere else?
c) Was Mohammad the inventor of the "money shot" which resulted in his poor aim?
d) What type of sexual moves was Mohammad pioneering where Aisha was just never able to clean all the semen stains of his cloak?
2) Why didn't Mohammad use another cloak before he went to preach?
a) As a prophet who was entitled to 20% of the war booty, couldnt he have at least obtained another cloak/robe just for that reason?
b) Couldnt Mohammad have waited until the wet spots used to clean his semen were dry before he went to preach?
3) How much semen did Mohammad have on his cloak, seeing how Aisha would always find another spot?
4) Was it customary for people in 600 AD Arabia to have semen on their clothing, especially considering that Aisha made it a point to relate this story to several people, as if she were complaining about having to clean Mohammad's semen stains?
And finally, a question for modern day Muslims:
If Mohammad is the perfect human being, and should be imitated by all Muslims, shouldn't all Muslims make sure to have semen stains on their clothing, and then have their wives clean it with water before they go and work, in order to faithfully imitate their prophet?
Shalom
KWANINI NGUO ZA MUHAMMAD ZILIKUWA ZIMEJAA SHAHAWA?
Sahih al-Bukhari, Nambari 230:
Alisimulia Sulaiman bin Yasar: “Nilimuuliza Aishah kuhusu nguo za Nabii wa Allah zilizochafuliwa na shahawa. Alijibu, "Nilikuwa nikiosha ili kutoa Shahawa kwenye nguo za Mtume wa Mwenyezi Mungu ili akienda Swala (sala) majimaji ya Shahawa yasionekana.
صحيح البخاري برقم 230:
فعن سليمان بن يسار: سألت عائشة عن الملابس المتسخة بالسائل المنوي. فأجابت: كنت أغسلها من ثياب رسول الله ويذهب إلى الصلاة ولا تزال بقع الماء ظاهرة ".
sahih albukharii biraqam 230:
faean sulayman bin yasar: sa'alat eayishat ean almalabis almutasikhat bialsaayil almanawi. fa'ajabat: kunt 'ughsiluha min thiab rasul allah wayadhhab 'iilaa alsalaat wala tazal baqae alma' zahiratan ".
Sahih al-Bukhari, Number 230:
Narrated Sulaiman bin Yasar: “I asked Aishah about the clothes soiled with semen. She replied, ‘I used to wash it off the clothes of Allah’s Messenger and he would go for the Salat (prayer) while water spots were still visible.’”
Mohammad had lots of semen on his clothes
Volume 1, Book 4, Number 229:
Narrated 'Aisha:
I used to wash the traces of Janaba (semen) from the clothes of the Prophet and he used to go for prayers while traces of water were still on it (water spots were still visible).
Volume 1, Book 4, Number 230:
Narrated 'Aisha:
as above (229).
Volume 1, Book 4, Number 231:
Narrated Sulaiman bin Yasar:
I asked 'Aisha about the clothes soiled with semen. She replied, "I used to wash it off the clothes of Allah's Apostle and he would go for the prayer while water spots were still visible. "
Volume 1, Book 4, Number 232:
Narrated 'Amr bin Maimun:
I heard Sulaiman bin Yasar talking about the clothes soiled with semen. He said that 'Aisha had said, "I used to wash it off the clothes of Allah's Apostle and he would go for the prayers while water spots were still visible on them.
Volume 1, Book 4, Number 233:
Narrated 'Aisha:
I used to wash the semen off the clothes of the Prophet and even then I used to notice one or more spots on them.
Wow... Mohammad was quite the man. I am sure Bukhari included these verses because of his admiration and total respect for Mohammad.
Yet, once again, this story brings to mind several questions regarding the life and times of Mohammad.
1) If Mohammad had many wives, why was his semen on his clothes?
a) Did Mohammad withdraw and get the semen on hmself?
b) Couldn't Mohammad have shot the semen somewhere else?
c) Was Mohammad the inventor of the "money shot" which resulted in his poor aim?
d) What type of sexual moves was Mohammad pioneering where Aisha was just never able to clean all the semen stains of his cloak?
2) Why didn't Mohammad use another cloak before he went to preach?
a) As a prophet who was entitled to 20% of the war booty, couldnt he have at least obtained another cloak/robe just for that reason?
b) Couldnt Mohammad have waited until the wet spots used to clean his semen were dry before he went to preach?
3) How much semen did Mohammad have on his cloak, seeing how Aisha would always find another spot?
4) Was it customary for people in 600 AD Arabia to have semen on their clothing, especially considering that Aisha made it a point to relate this story to several people, as if she were complaining about having to clean Mohammad's semen stains?
And finally, a question for modern day Muslims:
If Mohammad is the perfect human being, and should be imitated by all Muslims, shouldn't all Muslims make sure to have semen stains on their clothing, and then have their wives clean it with water before they go and work, in order to faithfully imitate their prophet?
Shalom
Max Shimba Ministries
Sunday, August 1, 2021
KWELI 100 KUHUSU YESU NI MUNGU
1. Yesu alidai kuwa Mungu, (Yohana 8:24, 8: 56-59 (angalia Kutoka 3:14), Yohana 10: 30-33)
2. Yesu anaitwa Mungu, (Yohana 1: 1, 14; 20:28; Kolosai 2: 9, Tito 2:13; Ebrania 1: 8.)
3. Yesu ni mfano wa Mungu asiyeonekana, (Ebrania 1: 3.)
4. Yesu anaishi milele, (Ebrania 7:24)
5. Yesu aliumba vitu vyote, (Yohana 1: 1-3; Kolosai 1: 15-17)
6. Yesu alikuwepo kabla ya vitu vyote, (Yohana 1: 1-3; Kolosai 1:17)
7. Yesu ni wa milele, (Yohana 1: 1, 14; 8:58; Mika 5: 1-2)
8. Yesu anaheshimiwa sawa na Baba, (Yohana 5:23)
9. Yesu kuabudiwa (Mathayo 2:. 2, 11; 14:33, Yohana 9: 35-38; Waebrania 1: 6).
10. Yesu yupo kila mahali omnipresent, (Mathayo 18:20;. 28:20)
11. Yesu yu pamoja na sisi siku zote, (Mathayo 28:20)
12. Yesu ni mpatanishi wetu pekee kati ya Mungu na sisi wenyewe, (1 Tim 2: 5.)
13. Yesu ni mdhamini wa agano bora, (Ebrania 7:22; 8: 6).
14. Yesu alisema, "Mimi ndimi mkate wa uzima" (Yohana 6:35, 41, 48, 51)
15. Yesu alisema, "Mimi ni Mlango", (Yohana 10: 7, 9)
16. Yesu alisema, "Mimi ni Mchungaji mwema", (Yohana 10:11, 14)
17. Yesu alisema, "Mimi ni njia ukweli na uzima" (Yohana 14: 6)
18. Yesu alisema, "Mimi Nuru ya ulimwengu", (Yohana 8:12; 9: 5; 12:46; Luka 2:32)
19. Yesu alisema, "Mimi ni mzabibu wa kweli", (Yohana 15: 1, 5)
20. Yesu alisema, "Mimi ni wa kwanza na wa Mwisho", (Ufunuo 1:17; 2: 8; 22:13)
21. Daima Yesu anaishi kuwaombea kwa ajili yetu, (Ebr. 7:25)
22. Yesu hutakasa na dhambi, (1 Yohana 1: 9)
23. Yesu husamehe dhambi, (Mathayo 9: 1-7., Luka 5:20; 7:48)
24. Yesu anaokoa milele, (Mathayo 18:11;. John 10:28; Ebr 7:25.)
25. Yesu amejidhihirsha mwenyewe kwetu, (Yohana 14:21)
26. Yesu anawavuta wote kwake, (Yohana 12:32)
27. Yesu anatoa uzima wa milele, (John 10:28; 5:40)
28. Yesu anafufua, (Yohana 5:39; 6:40, 44, 54; 11: 25-26)
29. Yesu anatoa furaha, (Yohana 15:11)
30. Yesu anatoa amani, (Yohana 14:27)
31. Yesu ana Mamlaka yote, (Mathayo 28:18; Yohana 5:. 26-27; 17: 2; 03:35)
32. Yesu ni Hakimu Mkuu, (Yohana 5:22, 27)
33. Yesu anajua watu wote, (John 16:30, John 21:17)
34. Yesu anafungua nia ya kuelewa na maandiko, (Luka 24:45)
35. Yesu alipokea heshima na utukufu kutoka kwa Baba, (2 Petro 1:17.)
36. Yesu anatuonyesha neema na kweli, (Yohana 1:17 kuona John 6:45)
37. Yesu anatuonyesha kuhusu Baba, (Mathayo 11:27;. Luke 10:22)
38. Yesu shuhudia mwenyewe, (John 8:18, 14: 6)
39. Kazi za Yesu kushuhudia mwenyewe, (Yohana 5:36; 10:25)
40. Baba shuhudia Yesu, (John 5:37, 8:18, 1 Yohana 5: 9)
41. Roho Mtakatifu humshuhudia ya Yesu, (Yohana 15:26)
42. Makundi kubeba ushuhuda wa Yesu, (John 12:17)
43. Manabii kubeba ushuhuda wa Yesu, (Matendo 10:43)
44. Maandiko kubeba ushuhuda wa Yesu, (Yohana 5:39)
45. Wanafunzi kubeba ushuhuda wa Yesu Kristo, (John 15:27)
46. Baba yangu atampa heshima sisi kama sisi kumtumikia Yesu, (John 0:26 kuona Kanali 3:24)
47. Baba anataka sisi tuwe na ushirika na Yesu, (1 Korintho 1:. 9)
48. Baba anatueleza kumsikiliza Yesu, (Luka 9:35; Mathayo 17: 5.)
49. Kila mtu ambaye habari & kujifunza kwa Baba huja kwa Yesu, (John 6:45)
50. Sisi kuja kwa Yesu Mwokozi wetu, (John 5:50, 6:35, 37, 45, 65; 7:37)
51. Baba anatuvuta kwa Yesu, (Yohana 6:44)
52. Sheria hutuongoza Kristo, (Galatia 3:24)
53. Yesu ni Rock/Mwamba, (1 Korintho 10: 4.)
54. Yesu ni Mwokozi, (Yohana 4:42; 1 Yohana 4:14)
55. Yesu ni Mfalme, (Mathayo 2: 1-6; Luka 23: 3.)
56. Katika Yesu ni hazina ya hekima na maarifa, (Kol 2: 2-3)
57. Katika Yesu tumekuwa alifanya kamili, (Kol 2:10)
58. Yesu anakaa ndani yetu, (Kol 1:27)
59. Yesu Hutakasa, (Ebrania 2:11)
60. Yesu anatupenda, (Efeso 5:25)
61. Yesu ametusamehe dhambi zetu (1 Korintho 8:12)
62. Sisi kupokea Yesu, (Yohana 1:12; Kolosai 2: 6)
63. Yesu hufanya wengi kuwa wenye haki, (Romi 5:19.)
64. Yesu ametupa Roho Mtakatifu, (Yohana 15:26)
65. Yesu alijitoa mwenyewe, (Ebrania 7:27;. 9:14)
66. Yesu alitoa sadaka moja kwa ajili ya dhambi wakati wote, (Ebrania 10:12)
67. Mwana wa Mungu ametupa akili, (1 Yohana 5:20)
68. Yesu ni mwandishi na perfector wa imani yetu, (Ebrania 12: 2.)
69. Yesu ni Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, (Ebr 3: 1).
70. Yesu ana andaa nafasi kwa ajili yetu Mbinguni, (Yohana 14: 1-4)
71. Yesu ni Nuru ya ulimwengu, (Yohana 8:12)
72. Yesu alielezea kuhusu Baba, (Yohana 1:18)
73. Yesu alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu wetu, (2 Korintho 13: 4.)
74. Yesu ameshinda Dunia, (Yohana 16:33)
75. Ukweli ulivyo katika Yesu, (Efeso 4:21)
76. Matunda ya haki huja kwa njia ya Yesu Kristo, (Filipi 1:11)
77. Yesu anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja, (1 Thesalonike 1:10)
78. Yesu alikufa kwa ajili yetu, (1 Thesalonike 5:10)
79. Yesu alikufa na kufufuka tena, (1 Thesalonike 4:14)
80. Yesu alikuwa fidia ya watu wengi, (Math. 20:28)
81. Wakristo ni wafu waliolala katika Yesu, (1 Thesalonike 4:15)
82. Yesu zilizotolewa shetani halina nguvu, (Ebrania 2:14).
83. Yesu ni uwezo wa kuokoa, (Ebrania 7:25)
84. Yesu alikuja kutumikia, (Mathayo 20:28.)
85. Yesu alikuja kuwa kuhani mkuu, (Ebrania 2:17).
86. Yesu alikuja kuokoa, (Yohana 3:17; Luka 19:10)
87. Yesu alikuja kuhubiri Ufalme wa Mungu, (Luka 4:43)
88. Yesu alikuja kuleta mgawanyiko, (Luka 0:51)
89. Yesu alikuja kufanya mapenzi ya Baba, (John 6:38)
90. Yesu alikuja kutoa maneno ya Baba, (Yohana 17: 8)
91. Yesu alikuja kushuhudia ukweli, (Yohana 18:37)
92. Yesu alikuja kutuweka huru kutokana na sheria, (Warumi 8: 2.)
93. Yesu alikuja kufa na kuharibu nguvu za Shetani, (Ebrania 2:14).
94. Yesu alikuja kutimiza Sheria na Manabii, (Mathayo 5:17.)
95. Yesu alikuja kutoa maisha, (Yohana 10:10, 28)
96. Yesu alikuja kufa kwa kila mtu, (Ebrania 2:. 9)
97. Yesu alikuja kutangaza uhuru kwa Waumini, (Luka 4:18)
98. Yesu, alitutakasa dhambi zetu kwa damu yake, (Ufunuo 1: 5., Warumi 5: 9)
99. Yesu aliomba kwa ajili yetu, (Matendo 7: 55-60; 1 Korintho 1: 2 na Zaburi 116:. 4; Yohana 14:14)
100. Yesu alisema, "Mimi ndimi ufufuo na uzima" (Yohana 11:25)
Max Shimba Ministries Org.
@ Apirl 2015
SABABU ZA MUHAMMAD KUTAKA KUMUUA ABDULLAH BIN SAD BIN ABI SARH ALIYEKUWA MWANDISHI WA QURAN ZAMANI
Hadith hizi hapa chini zipo wazi kuhusu hazima ya Muhammad kutaka kumuua Swahaba huyu Abdullah bin Sad bin Abi As Sarh. HUYU alikuwa katibu, mwandishi miongoni mwa waandishi wa Quran. Basi siku miongoni mwa siku akawa Muhammad anaelezea kwenye Quran Wahyi jinsi Allah alivyomuumba mwanadamu na huku Abdallah anaandika chini; Tangu Kuwa udongo hadi mtoto kwa njia ya Manii
"Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
23:13
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
23:14
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine."
Basi aliposikia haya na kuzangaa kwa uumbaji wa ajabu wa Mwenyezi Mungu, Abdallah akamaka kwa mshangao;
*Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.*
Muhammad akamwambia , Yaa Abdullah na hayo meneno yako pia yajumulishe kwenye Aya😃!!!
Basi Abdullah aliposikia hayo akashtuka na tangu hapo uislamu ukamtoka moyoni..akaondoka Madina akarejea Nyumbani Makka na akawa anamsema Muhammad na kudai kwamba hiyo Quran sio ufunuo kwani ingekuwa ufunuo basi na yeye je atakuwa Mtume!!!
Basi Muhammad akawa na haswa hasira na ghadhabu kuu juu ya Huyu Abdallah bin Sad ibn Abi Sarh.
Siku mtume Muhammad alipoiteka Makka mwaka ule wa 630 B.K akiwa na jeshi la Wana vita 10,000 watu wa Makka ikawabidi kujisalimisha kwani hawakuwa Tena na nguvu za kivita kuweza kupigana na hapo kwenye Fatti Makka watu wote wakatangazwa kuwa wamesilimu. Ama wengi wa watu Hawa ambao zamani waliupinga uisilamu sasa wakawa hawana budi wafanye nini. Kwa nje wakajiunyesha kuwa waislamu ila wengi wao nyoyoni wakabaki na unafiki na matendo Yao hayakuonyesha uislamu wowote. Historia, Tarekh ya Banu Abbas na Banu Ummayya inadhihirisha Hilo wazi.
Mfano mzuri ni Huyu Bana Abdullah ibn Sad ibn Abi Sarh. JAPO mtume Muhammad kwa kumuhesimu Uthman bin Affan ambaye alikuwa ndugu yake na Abdallah wa Kunyonya alikubali kwa nje Bayi yake , toba yake lakini kama hadith hizi zinavyoonyesha Moyoni alitamani japo swahaba mmoja angenyoka na kumuua Abdallah kwani Mara Tatu hakukubali baia yake.
Ama ushahidi kwamba Abdallah hakurejea kwa uislamu tunaupata pale tunaposoma kwamba Uthman bin Affan alipomfanya kuwa Gavana wa Misri, alikuwa Mlevi, mkatiri na aliwadhiki sana Wamisri kiasi kwamba wakatoka Misri kwenda Madina wakimtaka Uthman amwondoe na badala yake amweke hata Umar bin Abubakar kuwa Gavana. Maovu yake Misri ni miongoni mwa sababu waislamu wa Misri iliwapelekea kwenda Madina na hatimaye kumuua Uthman bin Affan amir wa Waislamu na Khalifa wa Tatu.
Jamani hata wewe ukijiuliza tu kama maneno haya ya Abdullah yaani
*"Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji."*
Kwani Waumbaji ni wangapi ili Allah awe Mbora wao??
Abdallah kwa mashaka ya tukio ili akaachana na uislamu na hata kama kwenye kutekwa Makka , yaani Fatti Makka ilibidi ajifanye Muislamu ili kukwepa Mauti na ncha ya upanga ila matendo yake yanadhihilisha hakuwa Muislamu kamwe baada ya kuritadi.
Ni Nani anaweza mlaumu Abdallah kwa kuukana Uislamu wakati Allah au sijui Muhammad ameiba maneno yake
*Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.*
Na Leo ni Sehemu ya Qurani!!!🙏
Sunan Abi Dawud 4359
Narrated Sa'd ibn AbuWaqqas:
On the day of the conquest of Mecca, Abdullah ibn Sa'd ibn AbuSarh hid himself with Uthman ibn Affan.
He brought him and made him stand before the Prophet (ﷺ), and said: Accept the allegiance of Abdullah, Messenger of Allah! He raised his head and looked at him three times, refusing him each time, but accepted his allegiance after the third time.
Then turning to his companions, he said: Was not there a wise man among you who would stand up to him when he saw that I had withheld my hand from accepting his allegiance, and kill him?
They said: We did not know what you had in your heart, Messenger of Allah! Why did you not give us a signal with your eye?
He said: It is not advisable for a Prophet to play deceptive tricks with the eyes.
حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَحْمَدُ بْنُ الْمُفَضَّلِ، حَدَّثَنَا أَسْبَاطُ بْنُ نَصْرٍ، قَالَ زَعَمَ السُّدِّيُّ عَنْ مُصْعَبِ بْنِ سَعْدٍ، عَنْ سَعْدٍ، قَالَ لَمَّا كَانَ يَوْمُ فَتْحِ مَكَّةَ اخْتَبَأَ عَبْدُ اللَّهِ بْنُ سَعْدِ بْنِ أَبِي سَرْحٍ عِنْدَ عُثْمَانَ بْنِ عَفَّانَ فَجَاءَ بِهِ حَتَّى أَوْقَفَهُ عَلَى النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ بَايِعْ عَبْدَ اللَّهِ . فَرَفَعَ رَأْسَهُ فَنَظَرَ إِلَيْهِ ثَلاَثًا كُلُّ ذَلِكَ يَأْبَى فَبَايَعَهُ بَعْدَ ثَلاَثٍ ثُمَّ أَقْبَلَ عَلَى أَصْحَابِهِ فَقَالَ " أَمَا كَانَ فِيكُمْ رَجُلٌ رَشِيدٌ يَقُومُ إِلَى هَذَا حَيْثُ رَآنِي كَفَفْتُ يَدِي عَنْ بَيْعَتِهِ فَيَقْتُلَهُ " . فَقَالُوا مَا نَدْرِي يَا رَسُولَ اللَّهِ مَا فِي نَفْسِكَ أَلاَّ أَوْمَأْتَ إِلَيْنَا بِعَيْنِكَ قَالَ " إِنَّهُ لاَ يَنْبَغِي لِنَبِيٍّ أَنْ تَكُونَ لَهُ خَائِنَةُ الأَعْيُنِ " .
Grade: Sahih (Al-Albani) صحيح (الألباني)حكم :
Reference : Sunan Abi Dawud 4359In-book reference : Book 40, Hadith 9
English translation : Book 39, Hadith 4346
Sunan an-Nasa'i 4067
It was narrated from Mus'ab bin Sa'd that his father said:
"On the day of the Conquest of Makkah, the Messenger of Allah [SAW] granted amnesty to the people, except four men and two women. He said: 'Kill them, even if you find them clinging to the covers of Ka'bah.' (They were) 'Ikrimah bin Abi Jahl, 'Abdullah bin Khatal, Miqyas bin Subabah and 'Abdullah bin Sa'd bin Abi As-Sarh. 'Abdullah bin Khatl was caught while he was clinging to the covers of Ka'bah. Sa'eed bin Huraith and 'Ammar bin Yasir both rushed toward him, but Sa'eed, who was the younger of the two, got there before 'Ammar, and he killed him. Miqyas bin Subabah was caught by the people in the marketplace, and they killed him. 'Ikrimah traveled by sea, and he was caught in a storm. The crew of the ship said: 'Turn sincerely toward Allah, for your (false) gods cannot help you at all in this situation.' 'Ikrimah said: 'By Allah, if nothing came to save me at sea except sincerity toward Allah then nothing else will save me on land. O Allah, I promise You that if You save me from this predicament I will go to Muhammad [SAW] and put my hand in his, and I am sure that I will find him generous and forgiving.' So he came, and accepted Islam. 'Abdullah (bin Sa'd) bin Abi Sarh hid in the house of 'Uthman bin 'Affan, and when the Messenger of Allah [SAW] called the people to give their Oath of Allegiance, he brought him, and made him stand before the Prophet [SAW]. He ('Uthman) said: 'O Messenger of Allah! Accept the allegiance of 'Abdullah.' He raised his head and looked at him three times, refusing his allegiance each time, then he accepted his allegiance after three times. Then he turned to his Companions and said: 'Was there not any sensible man among you who would get up when he saw me refusing to give him my hand and kill him?' They said: 'We did not know, O Messenger of Allah, what was in your heart. Why did you not gesture to us with your eyes?' He said: 'It is not befitting for a Prophet that his eyes be deceitful.'"
أَخْبَرَنَا الْقَاسِمُ بْنُ زَكَرِيَّا بْنِ دِينَارٍ، قَالَ حَدَّثَنِي أَحْمَدُ بْنُ مُفَضَّلٍ، قَالَ حَدَّثَنَا أَسْبَاطُ، قَالَ زَعَمَ السُّدِّيُّ عَنْ مُصْعَبِ بْنِ سَعْدٍ، عَنْ أَبِيهِ، قَالَ لَمَّا كَانَ يَوْمُ فَتْحِ مَكَّةَ أَمَّنَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم النَّاسَ إِلاَّ أَرْبَعَةَ نَفَرٍ وَامْرَأَتَيْنِ وَقَالَ " اقْتُلُوهُمْ وَإِنْ وَجَدْتُمُوهُمْ مُتَعَلِّقِينَ بِأَسْتَارِ الْكَعْبَةِ " . عِكْرِمَةُ بْنُ أَبِي جَهْلٍ وَعَبْدُ اللَّهِ بْنُ خَطَلٍ وَمِقْيَسُ بْنُ صُبَابَةَ وَعَبْدُ اللَّهِ بْنُ سَعْدِ بْنِ أَبِي السَّرْحِ فَأَمَّا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ خَطَلٍ فَأُدْرِكَ وَهُوَ مُتَعَلِّقٌ بِأَسْتَارِ الْكَعْبَةِ فَاسْتَبَقَ إِلَيْهِ سَعِيدُ بْنُ حُرَيْثٍ وَعَمَّارُ بْنُ يَاسِرٍ فَسَبَقَ سَعِيدٌ عَمَّارًا - وَكَانَ أَشَبَّ الرَّجُلَيْنِ - فَقَتَلَهُ وَأَمَّا مِقْيَسُ بْنُ صُبَابَةَ فَأَدْرَكَهُ النَّاسُ فِي السُّوقِ فَقَتَلُوهُ وَأَمَّا عِكْرِمَةُ فَرَكِبَ الْبَحْرَ فَأَصَابَتْهُمْ عَاصِفٌ فَقَالَ أَصْحَابُ السَّفِينَةِ أَخْلِصُوا فَإِنَّ آلِهَتَكُمْ لاَ تُغْنِي عَنْكُمْ شَيْئًا هَا هُنَا . فَقَالَ عِكْرِمَةُ وَاللَّهِ لَئِنْ لَمْ يُنَجِّنِي مِنَ الْبَحْرِ إِلاَّ الإِخْلاَصُ لاَ يُنَجِّينِي فِي الْبَرِّ غَيْرُهُ اللَّهُمَّ إِنَّ لَكَ عَلَىَّ عَهْدًا إِنْ أَنْتَ عَافَيْتَنِي مِمَّا أَنَا فِيهِ أَنْ آتِيَ مُحَمَّدًا صلى الله عليه وسلم حَتَّى أَضَعَ يَدِي فِي يَدِهِ فَلأَجِدَنَّهُ عَفُوًّا كَرِيمًا . فَجَاءَ فَأَسْلَمَ وَأَمَّا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ سَعْدِ بْنِ أَبِي السَّرْحِ فَإِنَّهُ اخْتَبَأَ عِنْدَ عُثْمَانَ بْنِ عَفَّانَ فَلَمَّا دَعَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم النَّاسَ إِلَى الْبَيْعَةِ جَاءَ بِهِ حَتَّى أَوْقَفَهُ عَلَى النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ بَايِعْ عَبْدَ اللَّهِ . قَالَ فَرَفَعَ رَأْسَهُ فَنَظَرَ إِلَيْهِ ثَلاَثًا كُلَّ ذَلِكَ يَأْبَى فَبَايَعَهُ بَعْدَ ثَلاَثٍ ثُمَّ أَقْبَلَ عَلَى أَصْحَابِهِ فَقَالَ " أَمَا كَانَ فِيكُمْ رَجُلٌ رَشِيدٌ يَقُومُ إِلَى هَذَا حَيْثُ رَآنِي كَفَفْتُ يَدِي عَنْ بَيْعَتِهِ فَيَقْتُلَهُ " . فَقَالُوا وَمَا يُدْرِينَا يَا رَسُولَ اللَّهِ مَا فِي نَفْسِكَ هَلاَّ أَوْمَأْتَ إِلَيْنَا بِعَيْنِكَ . قَالَ " إِنَّهُ لاَ يَنْبَغِي لِنَبِيٍّ أَنْ يَكُونَ لَهُ خَائِنَةُ أَعْيُنٍ " .
Grade: Hasan (Darussalam)
Reference : Sunan an-Nasa'i 4067In-book reference : Book 37, Hadith 102
English translation : Vol. 5, Book 37, Hadith 4072
Sunan Abi Dawud 4358
Narrated Abdullah ibn Abbas:
Abdullah ibn AbuSarh used to write (the revelation) for the Messenger of Allah (ﷺ). Satan made him slip, and he joined the infidels. The Messenger of Allah (ﷺ) commanded to kill him on the day of Conquest (of Mecca). Uthman ibn Affan sought protection for him. The Messenger of Allah (ﷺ) gave him protection.
حَدَّثَنَا أَحْمَدُ بْنُ مُحَمَّدٍ الْمَرْوَزِيُّ، حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ الْحُسَيْنِ بْنِ وَاقِدٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ يَزِيدَ النَّحْوِيِّ، عَنْ عِكْرِمَةَ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ كَانَ عَبْدُ اللَّهِ بْنُ سَعْدِ بْنِ أَبِي سَرْحٍ يَكْتُبُ لِرَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَأَزَلَّهُ الشَّيْطَانُ فَلَحِقَ بِالْكُفَّارِ فَأَمَرَ بِهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم أَنْ يُقْتَلَ يَوْمَ الْفَتْحِ فَاسْتَجَارَ لَهُ عُثْمَانُ بْنُ عَفَّانَ فَأَجَارَهُ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم .
Grade: Hasan in chain (Al-Albani) حسن الإسناد (الألباني)حكم :
Reference : Sunan Abi Dawud 4358In-book reference : Book 40, Hadith 8
English translation : Book 39, Hadith 4345
Sunan an-Nasa'i 4069
It was narrated that Ibn 'Abbas said concerning Surat An-Nahl - :
"Whoever disbelieved in Allah after his belief, except him who is forced thereto and whose heart is at rest with Faith; but such as open their breasts to disbelief, on them is wrath from Allah, and theirs will be a great torment." "This was abrogated, and an exception was made, as Allah said: "Then, verily, your Lord for those who emigrated after they had been put to trials and thereafter strove hard and fought (for the Cause of Allah) and were patient, verily, your Lord afterward is, Oft-Forgiving, Most Merciful." This was 'Abdullah bin Sa'd bin Abi As-Sarh who was the governor of Egypt and used to write to the Messenger of Allah [SAW]. The Shaitan misled him and he went and joined the unbelievers. So he (the Prophet [SAW]) commanded that he be killed on the day of the Conquest of Makkah. Then, 'Uthman bin 'Afan sought protection for him, and the Messenger of Allah [SAW] granted him protection."
أَخْبَرَنَا زَكَرِيَّا بْنُ يَحْيَى، قَالَ حَدَّثَنَا إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، قَالَ أَنْبَأَنَا عَلِيُّ بْنُ الْحُسَيْنِ بْنِ وَاقِدٍ، قَالَ أَخْبَرَنِي أَبِي، عَنْ يَزِيدَ النَّحْوِيِّ، عَنْ عِكْرِمَةَ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ فِي سُورَةِ النَّحْلِ { مَنْ كَفَرَ بِاللَّهِ مِنْ بَعْدِ إِيمَانِهِ إِلاَّ مَنْ أُكْرِهَ } إِلَى قَوْلِهِ { لَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ } فَنُسِخَ وَاسْتَثْنَى مِنْ ذَلِكَ فَقَالَ { ثُمَّ إِنَّ رَبَّكَ لِلَّذِينَ هَاجَرُوا مِنْ بَعْدِ مَا فُتِنُوا ثُمَّ جَاهَدُوا وَصَبَرُوا إِنَّ رَبَّكَ مِنْ بَعْدِهَا لَغَفُورٌ رَحِيمٌ } وَهُوَ عَبْدُ اللَّهِ بْنُ سَعْدِ بْنِ أَبِي سَرْحٍ الَّذِي كَانَ عَلَى مِصْرَ كَانَ يَكْتُبُ لِرَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَأَزَلَّهُ الشَّيْطَانُ فَلَحِقَ بِالْكُفَّارِ فَأَمَرَ بِهِ أَنْ يُقْتَلَ يَوْمَ الْفَتْحِ فَاسْتَجَارَ لَهُ عُثْمَانُ بْنُ عَفَّانَ فَأَجَارَهُ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم .
Grade: Hasan (Darussalam)
Reference : Sunan an-Nasa'i 4069In-book reference : Book 37, Hadith 104
English translation : Vol. 5, Book 37, Hadith 4074
Kwa ushahidi zaidi wa matukio haya rejea hadithi tukizo nukuu pia rejea vitabu kama AR Raheeq al Makhutum kwenye anuani ya kutekwa kwa Makka,
Kutabu cha Maisha ya Uthman cha Sheikh Muhammad Mazrui Uk 46, 47
Kitabu cha Maswahaba kumi walibashiriwa Pepo
Kitabu cha Maisha ya Mtume Muhammad cha Sheikhy Muhammad Abdallah Riday
Na maelezo ya kina Twabar na Jalaleyen kwenye Surah 23:11-14
Amani ya Mungu Baba iwe nawe.
Mjoli wa Masihi Mwalimu Chaka; *Jitenge mbali na Uislamu*
MUHAMMAD WAS A WHITE MAN
Sahih al-Bukhari 63
Narrated Anas bin Malik:
While we were sitting with the Prophet (ﷺ) in the mosque, a man came riding on a camel. He made his camel kneel down in the mosque, tied its foreleg and then said: "Who amongst you is Muhammad?" At that time the Prophet (ﷺ) was sitting amongst us (his companions) leaning on his arm. We replied, "This white man reclining on his arm." The man then addressed him, "...
Reference : Of Sahih al . Bukhari-63In-book reference : Book 3, Hadith 5USC-MSA web (English) reference : Vol. 1, Book 3, Hadith 63 (deprecated numbering scheme)
Sahih al-Bukhari 6636
Narrated Abu Humaid As-Sa`idi:
The Prophet (ﷺ) added," I have preached you (Allah's Message). "Abu Humaid said," Then Allah's Messenger (ﷺ) raised his hands so high that we saw the whiteness of his armpits. "
Reference : Of Sahih Bukhari-al . 6636In-book reference : Book 83, Hadith 15USC-MSA web (English) reference : Vol. 8, Book 78, Hadith 631
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...