Wednesday, May 4, 2022

MUNGU HANA UPENDELEO, LAKINI ALLAH YEYE AMEJAA UPENDELEO KWA WAARABU TU

 




Fikiria mara ya kwanza ulipojifunza kweli kumhusu Yehova Mungu wa kwenye Biblia na makusudi yake na kuanza kuwa na imani. Ulipata kuelewa kwamba ingawa ulizaliwa katika dhambi na kutenganishwa na Mungu, Mungu Baba kupitia Kristo Yesu alifungua njia ili ufikie ukamilifu ambao Adamu alipoteza na pia kukuwezesha kupata uzima wamilele.
Biblia iliyo kuwepo miaka 650 kabla ya kuzaliwa na kuanzishwa kwa Quran inasema hivi:
Warumi 2:11 kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu. https://www.wordproject.org/bibles/sw/45/2.htm#0
Matendo 10:34 Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo; https://www.wordproject.org/bibles/sw/44/10.htm#0
Hii ndio maana ya Yehova, yaani Mungu wetu anatupenda wote sawasawa bila ya upendeleo.
LAKINI nilipo isoma Quran ya Allah nikagundua kuwa, yeye Allah amejaa upendeleo kwa watu fulani tu na kuwachukia wengine.
Nukuu: Quran Suratul Maidah aya ya 3 ambayo inasema.
( حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ وَأَن تَسْتَقْسِمُوا بِالْأَزْلَامِ ۚ ذَٰلِكُمْ فِسْقٌ ۗ الْيَوْمَ يَئِسَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن دِينِكُمْ فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ فَمَنِ اضْطُرَّ فِي مَخْمَصَةٍ غَيْرَ مُتَجَانِفٍ لِّإِثْمٍ ۙ فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ )
المائدة (3) Al-Maaida
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimeku-PENDELEENI UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.
Kumbe Uislam ni dini ya kupendelewa Waarabu tu na hakuwapendelea wengine wawe na dini hiyo. Hivi, tokea lini Mungu akajaa chuki kubwa kama za huyu Allah mwenye upendeleo?
Mungu wetu anasema hivi: "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye."
Yohana 3:16-17
Umesha soma kuwa, Yehova anatupenda sote wa duniani na sio kama Allah mwenye upendeleo kwa Waarabu tu.
Habari njema nilazima ihubiriwe kote kabla ya kurudi kwa Yesu. Imeandikwa Mathayo 24:14 "Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.
Twendeni na tufanye kazi ya Bwana katika Mataifa yote.
Yesu ni yule yule, Jana, Leo na Hata Milele.
Mungu awabariki sana,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW