Tuesday, October 2, 2012

Sheikh Dr. Hamisi Hussein - Yesu ni Mungu 1

Sheikh Dr. Hamisi Hussein - Yesu ni Mungu 2

Sheikh Dr. Hamisi Hussein - Yesu ni Mungu 3

Yesu alibadilisha mwenendo wa historia


Tembea sehemu yoyote ulimwenguni. Ongea na watu wa dini yoyote. Haijalishi jinsi walivyoshikilia tabaka za dini zao, kama wanajua chochote kuhusu historia, watakubali kwamba hakujawahi kuwa na mtu kama Yesu wa Nazareti. Yeye ni mtu wa ajabu mno kuliko watu wote wa enzi zote.

Yesu alibadilisha mwenendo wa historia. Hata tarehe kwenye gazeti lako la leo inathibitisha kwamba Yesu wa Nazareti aliishi ulimwenguni karibu miaka 2,000 iliyopita. Maandishi kwa Kiingereza "B.C." yanasimamia nyakati kabla ya kuzaliwa kwa Kristo; vilevile maandishi "A.D." yanasimamia nyakati baada ya kuzaliwa kwa Kristo.KUJA KWAKE KULITABIRIWA

Mamia ya miaka hata kabla ya Yesu kuzaliwa, maandiko yaonyesha wanabii wa Israeli wakitabiri kuja kwake. Agano la kale, lililoandikwa na watu wengi katika muda wa miaka 1,500, lina unabii zaidi ya 300 kuhusu kuja kwa Yesu. Yote yaliyotabiriwa yalitendeka, pamoja na kuzaliwa kwake kimiujiza, maisha yake matakatifu, kufa na kufufuka kwake.

Maisha aliyoishi Yesu, miujiza aliyotenda, maneno aliyosema, kufa kwake msalabani, kufufuka kwake, kupaa kwake mbinguni - yote yathibitisha kwamba yeye hakuwa mwanadamu peke yake bali alikuwa zaidi ya mwanadamu. Yesu alisema, "Mimi na Baba tu umoja" (Yohana 10:30), "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:9) na, "Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." (Yohana 14:6).

MAISHA NA UJUMBE WAKE HUSABABISHA MABADILIKO

Tazama maisha na mvuto wa Yesu wa Nazareti, Mesiya, katika historia yote na utaona kwamba yeye na ujumbe wake huleta mabadiliko makubwa katika mataifa na maisha ya wanaume na wanawake. Popote mafunzo yake yalipoenea, utakatifu wa ndoa, haki na sauti ya wanawake imetiliwa maanani; shule na vyuo vikuu vimeanzishwa; sheria za kulinda watoto zimeandikwa; utumwa umeachishwa; na mabadiliko mengine mengi yamefanywa kwa manufaa ya wanadamu. Maisha ya watu binafsi yamebadilishwa kiajabu. Kwa mfano, Lew Wallace, jemedari aliyejulikana na mwandishi shupavu, alikana Mungu yupo. Kwa miaka miwili, Bw. Wallace alisoma kwenye maktaba zilizo bora sana kule Ulaya na Merikani, akitafuta habari ambazo zingeangamiza kabisa dini ya Kikristo. Alipokuwa akiandika sura ya pili ya kitabu hicho, alijikuta ghafla ameanguka magotini na kulia kwa Yesu akisema, "Bwana na Mungu wangu."
Kwa sababu ya ushuhuda usioweza kukanwa, hakuweza kuendelea kukana kwamba Yesu Kristo alikuwa mwana wa Mungu. Baadaye, Lew Wallace aliandika kitabu kilichoitwa "Ben Hur", moja wapo ya vitabu shwari vilivyo andikwa katika lugha ya Kiingereza kuhusu nyakati za Kristo.

Vile vile, marehemu C. S. Lewis, profesa wa chuo kikuu cha Oxford, alikana kwamba Kristo alikuwa pia Mungu kwa miaka mingi. Lakini, yeye pia, kwa hekima za ukarimu, alijinyenyekeza mbele za Yesu kama Mungu na Mwokozi baada ya kusoma ushahidi usio na pingamizi kwamba Yesu pia alikuwa Mungu .

Yesu wa Nazareti ni nani kwako? Maisha yako ya hapa duniani na pia ya uzima wa milele yatategemea jibu lako kwa swali hili.

Dini zote zingine zilianzishwa na wanadamu na zinategemea falsafa za kibinadamu, kanuni na pendekezo za tabia. Ondoa waanzilishi wa dini hizi kutoka idhini na tabaka za kuabudu, na machache sana yatabadilika. Lakini ondoa Yesu Kristo kutoka Ukristo na hakuna chochote kitakachobaki. Ukristo uliopendekezwa kwenye Biblia siyo falsafa ya maisha peke yake, wala siyo tabaka na njia za kimila za kuabudu. Msingi wa Ukristo wa kweli ni uhusiano wa kibinafsi na Mwokozi na Bwana aliyefufuka na anayeishi.

Wednesday, September 19, 2012

10 Great Bible Verses About Relationships


In dealing with life, we encounter all kinds of relationships. Fathers, Mothers, Friends, Children, Husbands, Wives, and others can all benefit from reading these Bible Verses about Relationships. Our most important relationship is our relationship with God. Read these ten Bible Verses about Relationships.

10 Bible Verses About Relationships
  • Our Relationship With God
1 Peter 5:6,7
Humble yourselves, therefore, under the mighty hand of God, that He may exalt you at the proper time, casting all your anxiety upon Him, because He cares for you.
Psalm 19:14
Let the words of my mouth and the meditation of my heart Be acceptable in Thy sight, O LORD, my rock and my Redeemer.
Ephesians 4:2-3
with all humility and gentleness, with patience, showing forbearance to one another in love, being diligent to preserve the unity of the Spirit in the bond of peace.
1 Corinthians 13:4-8

Favorite Bible Verses About Friendship


What does the Bible say about friendship or best friends? A genuine friendship is a blessing from the Lord. The following Bible verses highlight the elements and values of a biblical friendship. I hope you find encouragement and take the time to thank your friends for their love and support. Genuine love and affection comes from knowing and experiencing God's love through Jesus Christ.
A Bible verses can also add a personal touch to a Birthday card or letter. Select a favorite Bible verse from the following list. You are more than welcome to use and edit the list for your own personal use. If you have any favorite verses please feel free to share them by leaving a comment. The following Bible verses are from the New International version.
Ecclesiastes 4:9-11 
Two are better than one, because they have a good return for their work: If one falls down, his friend can help him up. But pity the man who falls and has no one to help him up! Also, if two lie down together, they will keep warm. But how can one keep warm alone?

Proverbs 27:17 
As iron sharpens iron, so one man sharpens another.

1 John 4:7 
Dear friends, let us love one another, for love comes from God. Everyone who loves has been born of God and knows God.

Proverbs 18:24 
A man of many companions may come to ruin, but there is a friend who sticks closer than a brother.

3 John 1:2 
Dear friend, I pray that you may enjoy good health and that all may go well with you, even as your soul is getting along well.

15 Bible Verses About God's Promises


What has God promised? These 15 Bible verses about God's promises more specifically provide glimpses of God's faithfulness to the promises He makes. Due to the fact that these Bible verses are removed from their original context, we must keep in mind that certain promises of God do not apply to us. Nevertheless, the evident theme among the following verses and passages is that God's promises never fail. In addition to that, we do know that His promises in and through Christ have, are, and will be fulfilled. There is a beautiful past, present, and future element to God's promises, as seen in these passages of Scripture. What's particularly interesting, however, is that several of these Bible verses about God's promises remind believers of their role in the process. In response to what God has done, is doing, and will do, we are called to live in faithfulness and love. With all that said, here are 15 Bible verses about God's promises.
Joshua 21:45 (#1 of 15 Bible Verses about God's Promises) 

45Not one of all the LORD's good promises to the house of Israel failed; every one was fulfilled.

1 Kings 8:56-61 (#2 of 15 Bible Verses about God's Promises) 

56Praise be to the LORD, who has given rest to his people Israel just as he promised. Not one word has failed of all the good promises he gave through his servant Moses. 57May the LORD our God be with us as he was with our fathers; may he never leave us nor forsake us. 58May he turn our hearts to him, to walk in all his ways and to keep the commands, decrees and regulations he gave our fathers.59And may these words of mine, which I have prayed before the LORD, be near to the LORD our God day and night, that he may uphold the cause of his servant and the cause of his people Israel according to each day's need, 60so that all the peoples of the earth may know that the LORD is God and that there is no other. 61But your hearts must be fully committed to the LORD our God, to live by his decrees and obey his commands, as at this time."

Psalm 85:8 (#3 of 15 Bible Verses about God's Promises) 

8I will listen to what God the LORD will say; he promises peace to his people, his saints-but let them not return to folly.

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW