Friday, November 1, 2013

ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE

JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..

Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.

Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….

Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo. 

Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?

Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …

Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.

Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.

Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.

Mungu awabairiki sana

Max Shimba


Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Wednesday, October 30, 2013

ALLAH’S LOVE COMPARED TO GOD’S LOVE

Islam’s god demands power over others: Islam means "submission", i.e. submitting to its god and Muhammad’s rule. But the tender love of God, apart from this obedience, is not known in Islam.
Below are a number of verses I’ve found on Allah’s love. I list a few more at the end of this article.
2:222
They ask thee concerning women's courses (menses). Say: They are a hurt and a pollution; so keep away from women in their courses and do not approach them until they are clean. But when they have purified themselves ye may approach them in any manner time or place ordained for you by Allah. For Allah loves those who turn to Him constantly and He loves those who keep themselves pure and clean.
3:31
Say: "If ye do love Allah follow me: Allah will love you and forgive you your sins for Allah is Oft-Forgiving Most Merciful."
3:134
Those who spend (freely) whether in prosperity or in adversity; who restrain anger and pardon (all) men; for Allah loves those who do good.
3:146
How many of the Prophets fought (in Allah's way) and with them (fought) large bands of godly men? But they never lost heart if they met with disaster in Allah's way nor did they weaken (in will) nor give in. And Allah loves those who are firm and steadfast.
28:77
"But seek with the (wealth) which Allah has bestowed on thee the Home of the Hereafter nor forget thy portion in this world: but do thou good as Allah has been good to thee and seek not (occasions for) mischief in the land: for Allah loves not those who do mischief."
61:4
Truly Allah loves those who fight in His Cause in battle array as if they were a solid cemented structure.
You see in all of these verses that Allah’s love is predicated upon the Muslim’s performance. Muhammad’s depiction of and theology on Allah’s love contradict the depiction of God’s love in the Bible. Compare and contrast the following Biblical verses to the Quranic verses above.

(NOTE: Please take the time to read the passages. In doing so, you will taste a strong difference in the flavors of love between Islam’s Allah, and Christianity’s God. By comparing the Scriptures of each faith, you will discern the differences in their Gods’ natures. You will be able to see clearly and unequivocally, beyond any doubt, that Islam’s god is not Christianity’s God. Islam’s god is not capable of true love.)
Hosea 2:13-16
I will punish her for the days she burned incense to the Baals; she decked herself with rings and jewelry, and went after her lovers, but me she forgot," declares the LORD. Therefore I am now going to allure her; I will lead her into the desert and speak tenderly to her. There I will give her back her vineyards, and will make the Valley of Achor (trouble) a door of hope. There she will sing as in the days of her youth, as in the day she came up out of Egypt. "In that day," declares the LORD, "you will call me 'my husband'; you will no longer call me 'my master.'
Hosea 3:1
The LORD said to me, "Go, show your love to your wife again, though she is loved by another and is an adulteress. Love her as the LORD loves the Israelites, though they turn to other gods and love the sacred raisin cakes."
Isaiah 54:5-8
For your Maker is your husband, the LORD Almighty is his name, the Holy One of Israel is your Redeemer; he is called the God of all the earth. The LORD will call you back as if you were a wife deserted and distressed in spirit a wife who married young, only to be rejected," says your God. "For a brief moment I abandoned you, but with deep compassion I will bring you back. In a surge of anger I hid my face from you for a moment, but with everlasting kindness I will have compassion on you," says the LORD your Redeemer.
Jeremiah 31:3
The LORD appeared to us in the past, saying: "I have loved you with an everlasting love; I have drawn you with loving-kindness.
Jeremiah 31:9
They will come with weeping; they will pray as I bring them back. I will lead them beside streams of water on a level path where they will not stumble, because I am Israel's father, and Ephraim is my firstborn son.
Jeremiah 31:31-34
"The time is coming," declares the LORD, "when I will make a new covenant with the house of Israel and with the house of Judah. It will not be like the covenant I made with their forefathers when I took them by the hand to lead them out of Egypt, because they broke my covenant, though I was a husband to [a] them, " declares the LORD. "This is the covenant I will make with the house of Israel after that time," declares the LORD. "I will put my law in their minds and write it on their hearts. I will be their God, and they will be my people. No longer will a man teach his neighbor, or a man his brother, saying, 'Know the LORD,' because they will all know me, from the least of them to the greatest," declares the LORD. "For I will forgive their wickedness and will remember their sins no more."
John 3:16-21
"For God so loved the world that he gave his one and only Son, that whoever believes in him shall not perish but have eternal life. For God did not send his Son into the world to condemn the world, but to save the world through him. Whoever believes in him is not condemned, but whoever does not believe stands condemned already because he has not believed in the name of God's one and only Son…."
Romans 5:8
But God demonstrates his own love for us in this: While we were still sinners, Christ died for us.
1 John 4:9-12
This is how God showed his love among us: He sent his one and only Son into the world that we might live through him. This is love: not that we loved God, but that he loved us and sent his Son as an atoning sacrifice for our sins. Dear friends, since God so loved us, we also ought to love one another. No one has ever seen God; but if we love one another, God lives in us and his love is made complete in us.
Revelations 21:6, 7
He said to me: "It is done. I am the Alpha and the Omega, the Beginning and the End. To him who is thirsty I will give to drink without cost from the spring of the water of life. He who overcomes will inherit all this, and I will be his God and he will be my son.

I expect that you, the reader, have seen the difference between the quality of love between God and Allah. You can’t miss it. Muhammad’s god was incapable of great love. Its love was shallow. No wonder Muhammad believed that he would be tried in the grave and that he feared Allah’s wrath; the spiritual power that he interacted with was incapable of giving him the true love of God. The true love of God gives peace to the believer. No wonder the early Muslims quickly turned to murdering each other; the spiritual power that rules Islam could not motivate them towards a life of love. The true love of God motivates people to lend a helping hand to each other, not destroy each other. No wonder so many people left Islam after Muhammad died; they tasted Islam and spat it out. No wonder those that left Islam said about the other Muslims, "Their religion does not stop them from shedding blood, terrifying the roads, and seizing properties." [10] (Yes, many early Muslims were terrorists just like the Muslim terrorists of today). Because Islam lacks the true love of God, its followers can bomb children and believe they are doing Allah’s will.

God of the Bible is "FATHER", In Contrast, Allah of Koran is Not "FATHER"

SCRIPTURES THAT SHOW THAT GOD IS A FATHER
Let’s take a look at the groundwork that Judaism and Christianity lay regarding God as Father. The God of the Bible is indeed a Father to His people. From both the Old and New Testament Scriptures we see God revealing and describing Himself as a Father. Here are some examples taken from the New International Version. [5]
1) Deut. 32:6
Is this the way you repay the LORD, O foolish and unwise people? Is he not your Father, your Creator, who made you and formed you?
2) Psalms 2:7
I will proclaim the decree of the LORD : He said to me, "You are my Son; today I have become your Father.
3) Isaiah 63:16
But you are our Father, though Abraham does not know us or Israel acknowledge us; you, O LORD, are our Father, our Redeemer from of old is your name.
4) Matthew 6:9
"This, then, is how you should pray: 'Our Father in heaven, hallowed be your name,'"
5) John 20:17
Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet returned to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am returning to my Father and your Father, to my God and your God.'"
6) Romans 8:15
For you did not receive a spirit that makes you a slave again to fear, but you received the Spirit of sonship. And by him we cry, "Abba, Father."

On the other hand, the Quran denies God’s Fatherhood:
Sura 5:18
And (both) the Jews and the Christians say: "We are the children of Allah and His loved ones." Say: "Why then does He punish you for your sins?" Nay, you are but human beings, of those He has created, He forgives whom He wills and He punishes whom He wills. And to Allah belongs the dominion of the heavens and the earth and all that is between them, and to Him is the return (of all). [6]
You can see from the Quranic verse above that Muhammad refused to accept Christians and Jews as God’s children because He disciplined them. However, both the Old and New Testaments Bible teach that a loving father disciplines his children.
Hebrews 12:7-11
Endure hardship as discipline; God is treating you as sons. For what son is not disciplined by his father? If you are not disciplined (and everyone undergoes discipline), then you are illegitimate children and not true sons. Moreover, we have all had human fathers who disciplined us and we respected them for it. How much more should we submit to the Father of our spirits and live! Our fathers disciplined us for a little while as they thought best; but God disciplines us for our good, that we may share in his holiness. No discipline seems pleasant at the time, but painful. Later on, however, it produces a harvest of righteousness and peace for those who have been trained by it.
Jeremiah 31:18, 19
"I have surely heard Ephraim's moaning: ‘You disciplined me like an unruly calf, and I have been disciplined. Restore me, and I will return, because you are the LORD my God. After I strayed, I repented; after I came to understand, I beat my breast. I was ashamed and humiliated because I bore the disgrace of my youth.'"
Muhammad grew up without a father. His father died before his birth, his mother died when he was six years old. Muhammad lived first with his grandfather and then mostly with his uncle. It may be that he was not disciplined by his uncle who raised him. If that was the case, then he missed out on a valuable aspect of the father-relationship. Fathers who love their children discipline them. God loves His people and He does indeed discipline them for their own good!

SCRIPTURES THAT SHOW THAT GOD IS A FATHER

Let’s take a look at the groundwork that Judaism and Christianity lay regarding God as Father. The God of the Bible is indeed a Father to His people. From both the Old and New Testament Scriptures we see God revealing and describing Himself as a Father. Here are some examples taken from the New International Version. [5]
1) Deut. 32:6
Is this the way you repay the LORD, O foolish and unwise people? Is he not your Father, your Creator, who made you and formed you?
2) Psalms 2:7
I will proclaim the decree of the LORD : He said to me, "You are my Son; today I have become your Father.
3) Isaiah 63:16
But you are our Father, though Abraham does not know us or Israel acknowledge us; you, O LORD, are our Father, our Redeemer from of old is your name.
4) Matthew 6:9
"This, then, is how you should pray: 'Our Father in heaven, hallowed be your name,'"
5) John 20:17
Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet returned to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am returning to my Father and your Father, to my God and your God.'"
6) Romans 8:15
For you did not receive a spirit that makes you a slave again to fear, but you received the Spirit of sonship. And by him we cry, "Abba, Father."

YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA. Kumbe Dini sio Njia

Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "KWELI" na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU. Hebu rejea kwenye hii aya: 

Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.

Kufuatana na aya hapo juu, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "KWELI" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.

Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.

Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.

Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu(Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.

Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.

Mwamini leo ili upate uzima wa milele.

Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Accounts of People Raised from the Dead

1. Elijah raised the son of the Zarephath widow from the dead (1 Kings 17:17-22).

2. Elisha raised the son of the Shunammite woman from the dead (2 Kings 4:32-35).
3. A man was raised from the dead when his body touched Elisha’s bones (2 Kings 13:20, 21).
4. Many saints rose from the dead at the resurrection of Jesus (Matt. 27:50-53).
5. Jesus rose from the dead (Matt. 28:5-8Mark 16:6Luke 24:5, 6).
6. Jesus raised the son of the widow of Nain from the dead (Luke 7:11-15).
7. Jesus raised the daughter of Jairus from the dead (Luke 8:41, 42, 49-55).
8. Jesus raised Lazarus from the dead (John 11:1-44).
9. Peter raised Dorcas from the dead (Acts 9:36-41).
10. Eutychus was raised from the dead by Paul (Acts 20:9, 10).

UKRISTO NI NINI?


Leo nitajibu hoja ya, Je, Ukristo ni DINI AU NI NINI?

Neno Ukristo ni tegemezi ya kutoka kwa Jina "KRISTO". Hivyobasi, Mkristo ni mfuasi wa Kristo. Ni kama unavyoweza sema Mtanzania anatoka Tanzania na/ua neno Mtanzania ni tegemezi kutoka Tanzania.

Ukristo ni imani maalum kulinganisha na nyinginezo, Kwa sababu inasimamia zaidi ushirika na Mungu kuliko matendo ya kidini. Kinyume na kushikilia orodha ya masharti ya fanya haya na usifanye yale, Lengo la mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba kupitia Mwana ambaye ni Yesu. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya mkristo ya Roho Mtakatifu.

Wakristo huamini ya kuwa Biblia ni Neno la Mungu na mafundisho yake ndiyo mamlaka ya mwisho (Timotheo wa pili 3:16, Petro wa pili 1: 20-21). Wakristo huamini juu ya Mungu mmoja akaaye katika utatu, Baba na Mwana (Yesu kristo), na Roho Mtakatifu.

Kwa hivyo, huku dini nyingine zikitaka waumini wao watende mambo Fulani Fulani au wasitende mambo Fulani ukristo ni juu ya kuwa na ushirika na Mungu. 

Hivyo Basi, Ukristo ni Ufuasi wa Kristo ambaye ni Mungu. Yesu Kristo ni Mungu. 

Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Monday, October 28, 2013

YESU ANASEMA: MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI UPANGA!


Leo nitajibu haya madai ya Upanga.

Waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini wamekuwa na tabia ya kutumia aya YA UPANGA iliyopo katika Mathayo 10: 34 inayo sema ''MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI UPANGA! Waislam wanadai kuwa, katika aya hii, Yesu alikuja kuleta UPANGA na si Habari Njema kama tufundishavyo sisi Wakristo.

Kwa kuwa Waislam kazi yao ni kutoa kashfa na kuutukana Ukristo, wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema kuwa eti Yesu alikuja kuleta UPANGA  na Hivyo Basi Ukristo ni dini ya UPANGA. Fundisho hili la "MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI UPANGA! " wanalieneza kwa kupitia Mitandao mbalimbali kama ya  Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuingiwa na wasiwasi kutokana na jinsi hawa Wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanavyo toa kashfa chafu kwa Yesu Kristo ambaye ni Masiah. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila Mkristo, je, ni kweli Yesu alikuja kuleta UPANGA? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli wa aya hii:

Ngoja niiweke hiyo aya:
Mathayo 10:34''MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI UPANGA!

Ukitazama na kusikiliza kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyoifunda hii aya ya Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri maneno ya Yesu kuwa "MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI UPANGA!" kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema kuwa Yesu alikuja kuleta Upanga na si kutangaza Habari Njema kwa Mataifa yote. 

Haya tuanze utafiti wetu.
Kwanza tujiuluize, Je, Yesu analeta Upanga wa ainga gani? Yesu anazungumzi Upanga ambao ni “Neno la Mungu”.  Neno la Mungu linagawanya na au kukata Mabaya na kuacha mazuri.  Hebu kwanza tuyasome maagizo yake kwa wanafuzi. Mathayo 10 aya 16: Inasema: Sasa, mimi nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa. Katika hii AYA, Yesu anawaambia Wanafunzi wake wawe na Busara na Wapole, Hatusomi katia hii aya kuwa anawaambia wabebe Upanga. Je, Yesu alipo sema Upanga, alimaanisha nini? Hebu tuendelee na somo letu.

Sasa tuangalie aya ya 1 inasema:  “Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa uwezo wa kutoa pepo wachafu na kuponya magonjwa na maradhi yote”. Upanga unao zungumziwa hapa ni uwezo ambao Yesu aliwapa Wanafunzi wake. Unaweza kuniuliza uwezo huo ni nini?

Hebu tusome Kitabu cha Waefeso ili tuweze kuelewa nini hasa maana ya Upanga na Uwezo wa kutoa Pepo na Kuponya kama alivyo wapa Wanafunzi wake.

Waefeso 6:17
17 Vaeni wokovu kama kofia ya vita vichwani na chukueni UPANGA wa Roho ambao ni neno la Mungu.
Kutokana na ayah hii ya Waefeso, tumeweza kufunguliwa macho yetu ya Kiroho na kuelewa kuwa UPANGA NI NENO LA MUNGU.
Kwasabau Waislam wanakubali kuwa Yesu kaleta Upanga ambao sasa tunaelewa nini maana yake kutoka na Ushaidi wa Waefeso. Basi leo hii hawa Waislam hawatakuwa na jinsi ya kujitetea bali kukubali kuwa Upanga ambao ni Neno la Mungu ni wa kufuatwa kama alivyo sema Yesu katika Mathayo 10: 34.
Ni matumaini yangu kuwa leo hii umeweza kujua kwa undani maana ya "MSIDHANI NALIKUJA KULETA AMANI DUNIANI, LAAA! BALI (UPANGA) NENO LA MUNGU!" na Yesu alipo sema hayo alikuwa anatufahamisha kuwa neon La Mungu ni Sawa na Upanga Mkali unao tenganisha na au toa Mabaya yote kwa Binadamu.

Mungu awabariki sana

Katika Huduma Yake

Max Shimba 


Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Friday, October 25, 2013

KWA NINI WAKRISTO HAWAUTAKI UISLAMU?


Waislamu wamekuwa mahodari sana kutushawishi Wakisto tuufuate uislamu, wakidai kuwa ndiyo imani sahihi, wapo baadhi ya Wakristo walioamua kuufuata uislamu, kwa sababu ya kazi, kuoa, kudangaywa, na wengine wameingia kwenye uislamu kwa kuwa hawaujui vizuri, sasa sisi ambao tumeusoma Uislamu, tumezinduka tunagoma kuingia kwenye uislamu kwa sababu hizi zifuatazo.

(1) SHETANI NI MUSLAMU

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae, 

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.

Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu,sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.

(2) UKIWA MUISLAMU MATAKO TAKO YANAKUWA NI SEHEMU YA SHETANI KUJIBURUDISHA KWA MICHEZO YAKE.

Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)

Sasa hiyo adha ya kupulizwa matako na shetani kwa kila unaposali nani anaitaka? Yaani kila ukienda kusali basi shetani yeye yupo matakoni tu, najiuliza hivi shetani ambaye ni muislamu hakuona sehemu nyingine mpaka akomae na matako tu? Kina mama Wa Kiislamu zindukeni, maana Wanaume wao wameshazoea, ndiyo maana hawataki ninyi mwende msikitini ili mpulizwe pamoja nao, hivyo sisi Waristo tunaojitambua, kwa tendo hilo la kupulizwa matakoni na shetani hatuutaki uislamu.

(3) UKIWA MUISLAMU BASI WEWE PUA YAKO INAKUWA KITANDA CHA SHETANI

Amesimulia Abu Huraira (r.a) Mtume (s.a.w) alisema “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basa atawadhe na apandishe maji puani, na apenge mara tatu, kwa sababu shetani alilala ndani ya tundu za pua yake” (Bukhari, Hadithi na. 516, juzuu ya 4)

Hivi ni Mkristo gani mwenye kujitambua ambaye yupo tayari kuwa muislamu, ili pua yake ikawe godoro la shetani? Bila shaka hakuna, hivyo sisi Wakristo tunaojitamua hatuutaki uislamu.

(4) KWENYE UISLAMU NI RUKSA KUOA VITOTO VYAMIAKA SITA NA KUVIINGILIA VIKIWA NA MIAKA TISA, Hadithi ya Aisha (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amenioa nikiwa binti wa miaka sita, tukaja Madina tukafikia kwa Ban Al-Harith Khazraji nikapatwa na homa kali sana mpaka nywele zangu zikakatika katika baadae zikaja kuwa nyingi, Akanijia mama yangu Ummu Ruuman, akanikuta niko katika pembeya nikiwa na rafiki zangu, akaniita kwa sauti ya ukali, nikamwendea hata nisijue anachoniitia akanishika mkono mpaka akanifikisha mlangoni huku nina hema mpaka zilipotulia pumzi zangu akachukua maji akaanza kunifuta kwa maji hayo uso wangu na kichwa changu kisha akaniingiza ndani nikawakuta wanawake wa kiansari mle ndani wakasema, “uwe juu ya kheri na Baraka na uwe juu ya ndege bora, akanikabidhi kwao wakaniweka vizuri, sikustuka isipokuwa alipofika Mtume (s.a.w) asubuhi mama yangu akanikabidhi kwake, nami siku hiyo nilikuwa ni mschana wa miaka tisa” (BUKHARI, HADITHI NA. 234, Juzuu ya 5)

Sasa kama katika uislamu ufataki ni ruksa yaani mzee wa miaka 54 anaruhusiwa kuoa kitoto cha miaka sita, hivi kuna haja gani ya Mkristo kujiingiza kwenye Ufataki (UISLAMU) na kuanza kuharibu vitoto vya miaka sita? Yaani badala ya kufikiria Elimu kwa mtoto wako, huyo wa miaka sita, unafikiria kumuozesha kwa mzee wa miaka 54, kwa stahili hiyo sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki uslamu.

(5) HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD ALIROGWA

TRENDING NOW