Allah wa dini ya Kiislamu amekuwa na tabia ya kuchanganya mambo, jambo ambalo linafanya wataalam wa mambo ya dini kujiuliza maswali ambayo yanakosa majibu kutoka kwa Allah.
Katika somo letu la leo, Allah anasema kuwa, aliumba kila kitu katika “JOZI” (Pair).
Quran 51:49. Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
Allah anadai kuwa kila kitu amekiumba kwa jinsia mbili, jinsia ya kiume na jinsia ya kike kama alivyo sema kwenye aya hapo juu.
Hebu tumwangalie binadamu, je, kuna jinsia mbili za kiini cha damu yako (blood cell). Kufuatana na madai ya aya hapo juu, Allah anasema kuwa hata kiini cha damu yako kipo kwa jinsia mbili. Hivi, kweli Allah aliumba? Mbona anaonyesha upungufu wa hekima na uelewo wa sayansi? Unaweza kusema kuwa, labda Max Shimba anamsingizia Allah au labda Max Shimba ameshindwa kuielewa hiyo aya, kwasababu ya kushindwa kuisoma katika lugha yake ya asili, nikimaanisha Kiarabu. Endelea kusoma Koran na tuone kama kweli ni makosa ya kusoma na kuelewa au ni Allah mwenye kukosa ufahamu katika uumbaji.
Allah kaumba Matunda Dume na Matunda Jike:
Quran 13: 3. Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na mito. Na katika kila matunda akafanya dume na jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katika haya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri.
Allah anasema kuwa Nukuu “Na katika kila matunda akafanya dume na jike”. Ameumba Matunda Dume na Jike!!! Haya kweli ni maajabu ya uumbaji wa Allah. Labda ndugu msomaji wewe umesha wai ona Ndizi Dume na Ndizi Jike? Labda umesha wai kubahatika kula Embe Jike na Embe Dume, lakini katika dunia tunayo ishi hii leo, hayo madai ya Allah yanashindwa kujitekeleza na kukosa ushaidi wa aina yeyote ile. Huu ni Msiba katika dini ya Allah.
Hebu tuangalie baadhi ya viumbe ambavyo haviitaji jinsia mbili ili vizaliane.
Bakteria, Kuna kundi zima la fungi (Deuteromycete / Fungi Imperfecti ) ambao hawana mizunguko ya ngono. Kuna kundi zima la viumbe wich ambalo haliitaji ngono ili kuzaliana. Mimea yote ni ya jinsia moja.
Basi, kuna minyoo ambayo huzaliana kwa kujamiiana lakini wote ni wa jinsia na au aina moja, wanaitwa “huntha". Konokono karibia wote ni wa aina ya huntha (hermaphrodite).
Kufuatana na ukweli niliouweka hapo juu, basi lazima tujiulize maswali yafuatayo:
1. Je, inawezekana kuwa labda Allah alikosea kuteremsha aya hizi za Koran?
2. Au inaweza kuwa kwamba mtu ambaye alikuwa anamakosa hakuwa Allah bali ni Jibril aliye shusha hizi aya kimakosa?
3. Labda ukosaji wa Elimu wa Muhammad ulisababisha makosa haya ya kisayansi?
Ndugu wasomaji:
Mungu huwa hafanyi makosa wala hatendi dhambi. Hiyo ni sifa na adhama pekee ya MUNGU. Lakini, Allah ameonyesha MAKOSA NA UTATA MWINGI SANA katika Koran.
Je, Allah aliumba? Hebu soma hii aya:
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Katika aya hapo juu, ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE
Je Nani kaumba Kiume na Kike?
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa kuwa. Mungu muumbaji ni Jehova wa Biblia na Allah wa Koran anaapa kwake.
Mungu awabairiki sana
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Sunday, November 24, 2013
Jesus Christ is the Answer
Jesus Christ is the Answer
By Micah Yoder; 11/11/2004
This world is full of problems of which people are desperate to find solutions. What few realize, however, is that the answer is right under our noses! The God who created the universe has a Name by which anything is possible! Look at how Paul describes Christ's position:
For by him [Jesus] all things were created, in the heavens and on the earth, things visible and things invisible, whether thrones or dominions or principalities or powers; all things have been created through him, and for him. He is before all things, and in him all things are held together. He is the head of the body, the assembly, who is the beginning, the firstborn from the dead; that in all things he might have the preeminence. For all the fullness was pleased to dwell in him; and through him to reconcile all things to himself, by him, whether things on the earth, or things in the heavens, having made peace through the blood of his cross. (Colossians 1:16-20)
Yes, He is above all. Above all of your needs and above all of your problems. Let's take a look at some specific ways in which He can lead us to victory!Tuesday, November 19, 2013
NINI MAANA YA KUUMBWA KWA MFANO WA MUNGU?
Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika somo hili la uumbaji wa binadamu, nitajibu hoja na maswali mbali mbali ambayo yanaulizwa zaidi na waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini, kupitia wahadhiri wao wa Dini, Waislamu wamekuwa wakipinga kuwa Mungu hana Mfano kama ilivyo andikwa katika kitabu cha Mwanzo Sura ya Kwanza na aya ya 26.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu kuumbwa kwa Binadamu kwa Mfano wa Mungu na nini maana yake:
Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu alisema, "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" (Mwanzo 1:26). Mungu alimuumba Mtu kutoka vumbi na akampa uhai kwa kumpulizia pumzi yake mwenyewe (Mwanzo 2:07). Binadamu ni kiumbe cha kipekee ambacho Mungu alikiumba na baada ya kukiumba, akatumia pumzi yake kukipa uhai, zaidi ya hapo, binadamu ni kiumbe pekee chenye Mwili, Roho na Nafsi.
Kuwa "mfano" wa Mungu maana yake, katika suala rahisi ni kwamba sisi hatufanani na Mungu katika maana ya mwili na sura na/au mwonekano wetu, bali sisi tunafanana na Mungu katika Roho. Maandiko yanasema kwamba "Mungu ni roho" (Yohana 4:24). Binadamu tuna Mwili, Roho, na Nafsi. Unaweza kuniuliza, ni kivipi ninaweza kuthibitisha hayo? Ngoja nikupe mfano mdogo. Mtu anapo kufa, huwa tunasema hivi: Huu ni Mwili wa Marehemu “Fulani”. Kwanini tunauita “MWILI WA MAREHEMU”…Fulani? Kwa kifupi ni kwamba, Yule ambaye alikuwa anaishi katika huo MWILI amesha ondoka na/au toka katika huo MWILI na kwenda sehemu nyingine. Kumbe basi Binadamu si Mwili, bali kuna zaidi ya MWILI.
Biblia inasema kuwa, Mungu alipo pulizia pumzi ya uhai ule udongo ambao aliuumba, huo udongo ukafanyika na ukawa kiumbe chenye uhai. Kumbe basi, kilicho fanya huo udongo kuwa kiumbe chenye uhai ni ile pumzi ambayo Mungu alipulizia ule udongo alio ufanya katika umbo la mtu. Hiyo pumzi ndio Roho ya Binadamu. Hiyo Roho ndio mfano halisi wa Mungu.
Sasa tuagalie zaidi maana ya Sura ya Mungu na inahusiana kivipi na sisi Wanadamu. Mtu ni tofauti na hafanani na Wanyama amboa hawana mamlaka juu ya vilivyo umbwa, nikimaanisha kuwa Binadamu alipewa Mamlaka katika kila kitu ambacho kipo hapa duniani (Mwanzo 1:28), na zaidi ya hapo, binadamu alikuwa na uwezo wa kuzungumza na Muumba wake, kitu ambacho Wanyama wote hawana.
Hebu, tumtazame Binadamu kiakili, kimaadili, na kijamii.
Kiakili, mtu ameumbwa kama wakala wa busara. Kwa maneno mengine, mtu anaweza kuchagua nini anataka kufanya kwa kutumia fikra yakinifu na/au pevu. Kwa kufanya hivyo, mtu ameonyesha uhuru wa akili ambayo Mungu anao. Mfano, mtu anapo tengeneza mashine, anapoandika kitabu, fanya mambo mbalimbali, huko ndiko kuna ashiria neno la kufanana na Mungu, maana Mungu aliumba vitu vyote na sasa binadamu anaonyesha ustadi wa akili pevu kwa kufanya mambo ya uvumbuzi katika sura ya Mungu.
Kimaadili, mtu aliumbwa kwa uadilifu na kutokuwa na hatia ya dhambi, huo ni mwaonekano wa utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila alichokifanya ( pamoja na uumbaji wa Mwanadamu) alikiita kuwa ni "kazi nzuri sana" (Mwanzo 1:31). Dhamiri zetu au "dira ya maadili yetu" ni alama ya awali ya hali tuliyo kuwa nayo. Binadamu tumetunga na kuandika sheria za kutuongoza na uovu, sifa na tabia nzuri , nk, hayo yote ni kuthibitisha ukweli kwamba sisi tulifanywa na/au umbwa katika mfano wa Mungu mwenyewe.
Kijamii, mtu aliumbwa kwa ajili ya ushirika na/au kushirikiana. Huu ni uthibitisho kuwa Mungu ni Utatu ambao ni asili ya upendo wake. Katika Bustani ya Edeni, Mtu alikuwa na uhusiano na Mungu (Mwanzo 3:08 ina maana ushirika na Mungu ), na Mungu alifanya mwanamke wa kwanza kwa sababu "si vema huyo mtu awe peke yake " (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapo oa, hufanya urafiki na huyo aliye muoa, huzaa watoto na kuwa na familia hayo yote ni kutuonyesha ukweli kwamba sisi ni tulifanywa katika mfano wa Mungu.
Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adam alikuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kwa huru. Adam alipewa haki ya kuchangua mema au mabaya, uhuru huo ni sehemu ya mfano wa Mungu.
Ndugu msomaji, nategemea leo umefahamu kidogo maana ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni katika Roho na si Mwili au mwonekano wetu. Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Katika somo hili la uumbaji wa binadamu, nitajibu hoja na maswali mbali mbali ambayo yanaulizwa zaidi na waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini, kupitia wahadhiri wao wa Dini, Waislamu wamekuwa wakipinga kuwa Mungu hana Mfano kama ilivyo andikwa katika kitabu cha Mwanzo Sura ya Kwanza na aya ya 26.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu kuumbwa kwa Binadamu kwa Mfano wa Mungu na nini maana yake:
Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu alisema, "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" (Mwanzo 1:26). Mungu alimuumba Mtu kutoka vumbi na akampa uhai kwa kumpulizia pumzi yake mwenyewe (Mwanzo 2:07). Binadamu ni kiumbe cha kipekee ambacho Mungu alikiumba na baada ya kukiumba, akatumia pumzi yake kukipa uhai, zaidi ya hapo, binadamu ni kiumbe pekee chenye Mwili, Roho na Nafsi.
Kuwa "mfano" wa Mungu maana yake, katika suala rahisi ni kwamba sisi hatufanani na Mungu katika maana ya mwili na sura na/au mwonekano wetu, bali sisi tunafanana na Mungu katika Roho. Maandiko yanasema kwamba "Mungu ni roho" (Yohana 4:24). Binadamu tuna Mwili, Roho, na Nafsi. Unaweza kuniuliza, ni kivipi ninaweza kuthibitisha hayo? Ngoja nikupe mfano mdogo. Mtu anapo kufa, huwa tunasema hivi: Huu ni Mwili wa Marehemu “Fulani”. Kwanini tunauita “MWILI WA MAREHEMU”…Fulani? Kwa kifupi ni kwamba, Yule ambaye alikuwa anaishi katika huo MWILI amesha ondoka na/au toka katika huo MWILI na kwenda sehemu nyingine. Kumbe basi Binadamu si Mwili, bali kuna zaidi ya MWILI.
Biblia inasema kuwa, Mungu alipo pulizia pumzi ya uhai ule udongo ambao aliuumba, huo udongo ukafanyika na ukawa kiumbe chenye uhai. Kumbe basi, kilicho fanya huo udongo kuwa kiumbe chenye uhai ni ile pumzi ambayo Mungu alipulizia ule udongo alio ufanya katika umbo la mtu. Hiyo pumzi ndio Roho ya Binadamu. Hiyo Roho ndio mfano halisi wa Mungu.
Sasa tuagalie zaidi maana ya Sura ya Mungu na inahusiana kivipi na sisi Wanadamu. Mtu ni tofauti na hafanani na Wanyama amboa hawana mamlaka juu ya vilivyo umbwa, nikimaanisha kuwa Binadamu alipewa Mamlaka katika kila kitu ambacho kipo hapa duniani (Mwanzo 1:28), na zaidi ya hapo, binadamu alikuwa na uwezo wa kuzungumza na Muumba wake, kitu ambacho Wanyama wote hawana.
Hebu, tumtazame Binadamu kiakili, kimaadili, na kijamii.
Kiakili, mtu ameumbwa kama wakala wa busara. Kwa maneno mengine, mtu anaweza kuchagua nini anataka kufanya kwa kutumia fikra yakinifu na/au pevu. Kwa kufanya hivyo, mtu ameonyesha uhuru wa akili ambayo Mungu anao. Mfano, mtu anapo tengeneza mashine, anapoandika kitabu, fanya mambo mbalimbali, huko ndiko kuna ashiria neno la kufanana na Mungu, maana Mungu aliumba vitu vyote na sasa binadamu anaonyesha ustadi wa akili pevu kwa kufanya mambo ya uvumbuzi katika sura ya Mungu.
Kimaadili, mtu aliumbwa kwa uadilifu na kutokuwa na hatia ya dhambi, huo ni mwaonekano wa utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila alichokifanya ( pamoja na uumbaji wa Mwanadamu) alikiita kuwa ni "kazi nzuri sana" (Mwanzo 1:31). Dhamiri zetu au "dira ya maadili yetu" ni alama ya awali ya hali tuliyo kuwa nayo. Binadamu tumetunga na kuandika sheria za kutuongoza na uovu, sifa na tabia nzuri , nk, hayo yote ni kuthibitisha ukweli kwamba sisi tulifanywa na/au umbwa katika mfano wa Mungu mwenyewe.
Kijamii, mtu aliumbwa kwa ajili ya ushirika na/au kushirikiana. Huu ni uthibitisho kuwa Mungu ni Utatu ambao ni asili ya upendo wake. Katika Bustani ya Edeni, Mtu alikuwa na uhusiano na Mungu (Mwanzo 3:08 ina maana ushirika na Mungu ), na Mungu alifanya mwanamke wa kwanza kwa sababu "si vema huyo mtu awe peke yake " (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapo oa, hufanya urafiki na huyo aliye muoa, huzaa watoto na kuwa na familia hayo yote ni kutuonyesha ukweli kwamba sisi ni tulifanywa katika mfano wa Mungu.
Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adam alikuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kwa huru. Adam alipewa haki ya kuchangua mema au mabaya, uhuru huo ni sehemu ya mfano wa Mungu.
Ndugu msomaji, nategemea leo umefahamu kidogo maana ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni katika Roho na si Mwili au mwonekano wetu. Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Monday, November 18, 2013
ALLAH NA MUHAM-MAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA NDOA YA MUT’AH
Je,
umalaya umeruhusiwa katika Uislam?
Somo
la leo ni la Umalaya kama lilivyo pewa kipaumbele na mungu wa Uislam
ajulikanaye kwa jina la Allah. Uislam unaruhusu Umalaya kwa kutumia sheria ya
Mut'ah.
Mut'ah
ni ndoa AMBAYO inaweza kudumu kwa muda mfupi sana. Ndoa Hii haihitaji
mashahidi, na haina kipindi cha 'iddah. Fidia ya kima cha chini ambayo inaweza
kulipwa kwa mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya kingono ni dirham moja (yaani,
chini ya dola senti 25) ". 29 (Dr Ahmad 'Abdullah Salamah, Mashia Dhana ya
Ndoa Muda (Mut'ah)
Katika
Mut'ah, HAKUNA TALAKA ; Pale utakapo mlipa huyo hawara kiasi cha fedha na utakapo
maliza shida zako za kingono, unakuwa huru na hakuna wajibu, hakuna sheria ya
urithi, au mchakato wa talaka. Sheria inayo bakia ni moja tu ambayo inambana
mwanamke kwa siku 45 kabla ya kuingia kwenye ndoa nyingine ya Mut’ah, wakati
huohuo Mwanaume yeye anaweza kuingia Ndoa nyingine ya Mutah mara moja, hata
ikiwa bado ameoa katika Mut'a nyingine. Cha kushangaza, Waislam wanashabikia
hii Ndoa ya kimalaya huku Allah akiwaambia kuwa, kabla ya kuingia Ndoa nyingine
ya Mut’ah lazima watoe talaka, wao wamejipa haki ya kuendelea kutekeleza matakwa
yao ya kingono. Katika Surah 2 aya 228 Allah anasema, Wanawake wangoje peke yao
kwa vipindi vitatu kila mwezi na si halali kwao kuficha kile ambacho Allah
aliviumba katika matumbo yao . Katika Mut'a, mwanamke anaweza kuwa mjamzito na mtoto wa mume wake wa
kwanza wa Mut'a na kuolewa na mume wake wa pili wa Mut'a au kuingia ndoa ya
kudumu.
Ndugu
wasomaji, leo tumejifunza kuhusu umalaya ndani ya dini ya Kiislam. Uislam
umeruhusu Ndoa hii ili kukidhi matakwa ya Wanaume wa Kiislam na kuendelea
kuwashusha hadhi Wanawake wa kiislam ambao katika Uislam wao ni nusu ya Mtu.
Quran
4:11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni
kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata
thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja,
basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya
alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili
wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao
ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au
kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye
karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu.
Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa
ahadi ya Wake 72 kwa Wanaume wa Kiislam na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake
wa Kiislam.
Quran 2:228. Na wanaume wana daraja zaidi kuliko wao. Na Allah ni Mwenye
nguvu na Mwenye hikima
Allah anaendelea kusema kuwa Mwanaume wa Kiislam ni wathamani zaidi ya
Mwanamke wa Kiislam. Hapo ndipo tunaelewa kuwa, hata hii Sheria ya ndoa ya MUT’AH
iliwekwa ili kuwakidhi Wanaume ambao wapo juu ya Wanawake.
Ndugu wasomaji.
Mungu wa Biblia anakataza umalaya wa aina yeyote
ile.
Katika Injili kutokana na Mathayo Sura ya 5 aya ya 28 inasema kuwa: lakini mimi
nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye
moyoni mwake.
Neno la Mungu linatuonya kwamba, hata kumwangalia Mwanamke kwa
matamanio ni kutenda dhambi, lakini katika Uislam, unayo ruhusa ya kumtamani
Mwanamke na kuingia kwenye ndoa ya Mut’ah ili kukidhi shida zako za kimwili.
Hii ni tofauti ya Yehovah wa Biblia na Allah wa Koran ambaye anaruhusu umalaya
kupitia Mut’ah wakati Yehovah anasema kufanya hivyo ni kutenda dhambi.
Mungu atusaidia ili tuifahamu kweli iliyo katika Kristo Yesu.
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Saturday, November 16, 2013
NI NANI MWANZILISHI WA MABAYA NA MAZURI?
Koran inakujibu kuwa Allah ndie mwanzilishi wa dhambi!!!!
Somo letu la leo ni kujifunza asili ya Ubaya(dhambi) na Mambo Mema kutoka na imani ya Kiislamu. Koran inakiri kwamba Mambo yote Mabaya na Mema asili yake na au mwanzilishi wake ni Allah.
Hebu tusome Koran iliyo jaa shaka. Quran 16:93. Na Allah angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye mtaka, na anamwongoa amtakaye. Na hakika mtaulizwa kwa yale mliyo kuwa mkiyafanya.
Kitendo cha Allah kuwaongoza watu ili wafanye dhamb, hapo ni kutuonyesha kuwa kumbe mwanzilishi wa dhamb ni Allah wa Islam. Aya inatuambia kuwa ni Allah anaye waongoza watu katika dhamb.
Endelea kusoma Koran
Quran 15:39. Shetani akasema: Oooh Allah! Ilivyo kuwa umenifanya niwe mtenda dhambi, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Shetani analalamika kwa Allah. Shetani anasema kuwa ni Allah aliye mfanya awe mtenda dhamb. Kumbe Allah wa Uislam ndie mwanzilishi wa dhambi.
Endelea kusoma Koran
Quran 67:2. Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.
Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ndie mwanzilishi wa MAUTI, wakati katika Biblia tunafundishwa kuwa Mauti ilikuja kwasababu ya dhambi. Soma neno la Mungu katika Biblia Takatifu.
Warumi 6: 23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Biblia inatuambia kuwa, mshahara wa dhambi ni Mauti, na wakati huohuo Allah anasema kuwa yeye ndie anatoa Mauti!! Kumbe Allah ndie dhambi. Kumbe kumfuata Allah kunazalisha mauti. Sasa kwanini tumfuate Allah ambaye ndie mwanzilishi wa mauti? Kumbuka Mshahara wa dhambi ni Mauti.
Lakini Mungu wa Biblia anasema kuwa yeye ndie Mtoa uzima wa Milele, rejea katika Warumi 6:23 Nukuu “bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu”.
Ndugu wasomaji. Mpokeeni Yesu aliye hai ili upate karama ya Mungu ambayo ni Uzima wa Milele katika Kristo Yesu.
Biblia inaendelea kusema kuwa Yesu ndie Njia kweli na Uzima. Mtu haendi kwa Baba bila kupitia kwa Yesu.
Ni mategemeo yangu kuwa, utachukua hatua na kuachana na Allah aliye sema kuwa yeye ndie mwenye MAUTI. Mpokee Yesu aliye hai.
Katika hudumua yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Somo letu la leo ni kujifunza asili ya Ubaya(dhambi) na Mambo Mema kutoka na imani ya Kiislamu. Koran inakiri kwamba Mambo yote Mabaya na Mema asili yake na au mwanzilishi wake ni Allah.
Hebu tusome Koran iliyo jaa shaka. Quran 16:93. Na Allah angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye mtaka, na anamwongoa amtakaye. Na hakika mtaulizwa kwa yale mliyo kuwa mkiyafanya.
Kitendo cha Allah kuwaongoza watu ili wafanye dhamb, hapo ni kutuonyesha kuwa kumbe mwanzilishi wa dhamb ni Allah wa Islam. Aya inatuambia kuwa ni Allah anaye waongoza watu katika dhamb.
Endelea kusoma Koran
Quran 15:39. Shetani akasema: Oooh Allah! Ilivyo kuwa umenifanya niwe mtenda dhambi, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Shetani analalamika kwa Allah. Shetani anasema kuwa ni Allah aliye mfanya awe mtenda dhamb. Kumbe Allah wa Uislam ndie mwanzilishi wa dhambi.
Endelea kusoma Koran
Quran 67:2. Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.
Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ndie mwanzilishi wa MAUTI, wakati katika Biblia tunafundishwa kuwa Mauti ilikuja kwasababu ya dhambi. Soma neno la Mungu katika Biblia Takatifu.
Warumi 6: 23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Biblia inatuambia kuwa, mshahara wa dhambi ni Mauti, na wakati huohuo Allah anasema kuwa yeye ndie anatoa Mauti!! Kumbe Allah ndie dhambi. Kumbe kumfuata Allah kunazalisha mauti. Sasa kwanini tumfuate Allah ambaye ndie mwanzilishi wa mauti? Kumbuka Mshahara wa dhambi ni Mauti.
Lakini Mungu wa Biblia anasema kuwa yeye ndie Mtoa uzima wa Milele, rejea katika Warumi 6:23 Nukuu “bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu”.
Ndugu wasomaji. Mpokeeni Yesu aliye hai ili upate karama ya Mungu ambayo ni Uzima wa Milele katika Kristo Yesu.
Biblia inaendelea kusema kuwa Yesu ndie Njia kweli na Uzima. Mtu haendi kwa Baba bila kupitia kwa Yesu.
Ni mategemeo yangu kuwa, utachukua hatua na kuachana na Allah aliye sema kuwa yeye ndie mwenye MAUTI. Mpokee Yesu aliye hai.
Katika hudumua yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
UTATA MKUMBWA NDANI YA KORAN: Nini kitaingia PEPONI: Roho/Nafsi au Mwili au zote mbili?
Somo
letu la leo ni la swali kwa Allah ambaye ameshindwa kujieleza, kuwa ni kipi
kinaingia Peponi kati ya Roho/Nafsi au Mwili?
Koran
inadai kuwa, baada ya ufufuo, ni mwili (baada ya kuungana na roho?) Ambayo
inaingia peponi. Haya madai yamewekewa mkazo katika Koran. Angalia mistari ifuatayo
13:05, 17:98-99, 20:55, 34:7, 75:3-4.
Hata
hivyo mistari ya 27-30 kwenye Sura 89 ipinga aya zilizo pita kwa kusema kuwa ni
nafsi (Nafs) tu ambayo inaingia Peponi!
Quran 17:99. Kwani
hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza
kuumba mfano wao? Na Yeye amewawekea muda usio na shaka yoyote. Lakini
madhaalimu hawataki ila ukafiri.
Quran 75:3. Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya
mifupa yake? 4. Kwani! Sisi tunaweza
hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Aya hizo
hapo juu, zinadai kuwa Nafsi na Mwili vitaungana na kuingia Peponi, hayo ni
maneno ya Allah kama alivyo yashusha kupitia Quran yake. Lakini Allah huyohuyo
anabadilika na kusema kuwa Nafsi ndio itaingia Peponi. Hebu soma aya zifuatazo.
Katika
aya hapo juu, Allah anaiamuru Nafsi irejee kwake. Sasa ni ipi kati ya Nafsi na
Mwili vitaingia Peponi? Utata huu ni Msiba Mkubwa kwa Allah ambaye hafamu nini
kati ya Nafsi na Mwili vitaingia Peponi.
Quran 31:28.
Hakukuwa kuumbwa kwenu, wala kufufuliwa kwenu ila ni kama nafsi moja tu. Hakika
Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.
Allah anaendelea kusema kuwa ni Nafsi ndio itaingia
Peponi. Aya hizi zinapingana na maneno yake ya kwanza kuwa ni Nafsi pamoja na
Mwili vinaingia Peponi. Hivi Allah ni kweli aliumba Binadamu? Mbona hafahamu
nini kati ya Nafsi na Mwili itaingia Peponi?
Katika Uislamu, neema ya peponi haikamiliki bila
raha ya pamoja ya Mwili na akili, maana Allah katoa ahadi ya wake 72 kwa wale
wote watakao ingia Peponi. Vinginevyo, mtu atawezaje kunywa Zanzabil (76:17), na
kuifurahia hicho kinywaji (76:13), kufurahia wanawali (55:56) na kunywa asali
na maziwa (47:16-17) bila ya kuwa na Mwili?
Yousuf
Ali (Nakala 6128 kwa aya 89:27-30) pia anasema kwamba ni roho ambayo inaingia
mbinguni, na si mwili ambao utaharibika (Maoni yake ni kupingana na aya 75:3-4 zinavyo
sema!). Soma aya 31:28 pia. Inasema kuundwa kwa mtu au ufufuo ni katika nafsi.
Ndugu
wasomaji, Allah anaendelea kutoa utata katika uumbaji wake. Allah kwa mara
nyingine tena ameshindwa kuufahamisha umma wake kuwa, ni nini kati ya Nafsir na
Mwili vitaingia Peponi.
Koran si
kitabu cha Mungu bali ni maneno ya Muham-mad ambayo alindika ili kukuza maono
yake ya kisiasa. Kama Allah ni mungu, basi ifahamike leo kuwa Allah si Mungu
aliye umba Mbingu na Nchi. Si Mungu aliye muumba Adamu na Hawa, bali ni Mpinga
Mungu.
Katika
huduma Yake.
Max
Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
NANI ANAPOTOSHA WATU ILI WAENDE JEHANNAM, ALLAH AU SHETANI?
Ndugu wasomaji.
Kwa mara nyingine tena, tunaziona sifa za Shetani ndani ya Allah wa dini ya Kiislamu. Adhama ya kuwaongoza watu ili waende Jehannamu ni ya Shetani kama ilivyo semwa kwenye Biblia Takatifu. Lakini nilipo soma Koran kwa makini, nikagundua kuwa kumbe na Allah anayo hii adhama ya kupeleka watu Jehannam.
Hebu tumsome Allah kwenye kitabu chake alicho kiteremsha kupitia Jibril kwa Wafuasi wake waitwao "WAISLAMU".
Kwanza: Tumsome Shetani anavyo jisifia kuwa yeye ndie anaye poteza watu. Soma:
Quran 4:119-120
119. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumfanya Shet'ani kuwa ni mlinzi wake badala ya Allah, basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri. ***
Katika aya ya 119 hapo juu tumesoma kuwa Shetani amesema kiuwazi kabisa kuwa yeye ndie awapotezao watu ili wafuate njia iendayo Motoni.
120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu. ***
121. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
Shetani anaendelea kusema kuwa yeye ndie anaye tia watu tamaa mbaya na atawapeleka wote ambao watamfuata katika makao yake makuu ambayo ni Jehannam. Koran inasema kuwa Shetan ndie anaye wapoteza watu, au sio? Sasa tumsome Allah, anasema nini katika Koran hiyo hiyo?
Quran 16:93. Na Allah angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye mtaka, na anamwongoa amtakaye. Na hakika mtaulizwa kwa yale mliyo kuwa mkiyafanya. ***
Allah nayeye anasema yaleyale aliyosema Shetani. Allah anasema kuwa yeye anamwachia binadamu apotee kwa matakwa yake. Ikimaanisha kuwa Allah na yeye anapeleka watu Jehannam kama afanyavyo Shetani. Hii sifa ya kupeleka watu Jehannam ni ya Shetani, lakini sasa tunaiona hii sifa kwa Allah ambaye ni mungu wa Waislam.
Hebu tuendelee kusoma Allah kwa ushaidi zaidi.
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Allah katika aya hapo juu ameamua kuwa muwazi zaidi kwa kusema kuwa, kumbe wale ambao ameamua kuwapeleka Jehannam ni Waislam ambao wanamuabudu na kujisifia kuwa wanafuata dini ya haki.
Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana katika dini na taifa la Kiislam. Allah kwa mara nyingine tena anasema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Hayo ni matakwa ya Allah kutokana na Surah 16 aya 93.
Swali la kujiuliza ni hili: Ni Mungu gani huyu mwenye upendo awaingize watu wote wanao muabudu Jehannam? Je, Jehannamu ilitengenezwa kwa wanao mwabudu Mungu au wanao mwabudu Shetani? Je, kuna uwiano wowote ule kati ya mapenzi ya Allah na Shetani? Jibu umesha lipata kuwa Jehannam ilitengenezwa kwa ajili ya Shetani na Wafuasi wake, na si kwa wale wanao mfuata Mungu aliye hai, Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la Yehova. Allah kasema kuwa wale wote wanao mwambudu wataingia Jehannam. Je, Allah na Shetani ni yuleyule mmoja?
Ni mategemeo yangu kuwa, utachukua hatua na kuachana na Allah aliye sema kuwa ni matakwa yake kuwaingiza watu Jehannam.
Katika hudumua yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Kwa mara nyingine tena, tunaziona sifa za Shetani ndani ya Allah wa dini ya Kiislamu. Adhama ya kuwaongoza watu ili waende Jehannamu ni ya Shetani kama ilivyo semwa kwenye Biblia Takatifu. Lakini nilipo soma Koran kwa makini, nikagundua kuwa kumbe na Allah anayo hii adhama ya kupeleka watu Jehannam.
Hebu tumsome Allah kwenye kitabu chake alicho kiteremsha kupitia Jibril kwa Wafuasi wake waitwao "WAISLAMU".
Kwanza: Tumsome Shetani anavyo jisifia kuwa yeye ndie anaye poteza watu. Soma:
Quran 4:119-120
119. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumfanya Shet'ani kuwa ni mlinzi wake badala ya Allah, basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri. ***
Katika aya ya 119 hapo juu tumesoma kuwa Shetani amesema kiuwazi kabisa kuwa yeye ndie awapotezao watu ili wafuate njia iendayo Motoni.
120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu. ***
121. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
Shetani anaendelea kusema kuwa yeye ndie anaye tia watu tamaa mbaya na atawapeleka wote ambao watamfuata katika makao yake makuu ambayo ni Jehannam. Koran inasema kuwa Shetan ndie anaye wapoteza watu, au sio? Sasa tumsome Allah, anasema nini katika Koran hiyo hiyo?
Quran 16:93. Na Allah angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye mtaka, na anamwongoa amtakaye. Na hakika mtaulizwa kwa yale mliyo kuwa mkiyafanya. ***
Allah nayeye anasema yaleyale aliyosema Shetani. Allah anasema kuwa yeye anamwachia binadamu apotee kwa matakwa yake. Ikimaanisha kuwa Allah na yeye anapeleka watu Jehannam kama afanyavyo Shetani. Hii sifa ya kupeleka watu Jehannam ni ya Shetani, lakini sasa tunaiona hii sifa kwa Allah ambaye ni mungu wa Waislam.
Hebu tuendelee kusoma Allah kwa ushaidi zaidi.
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Allah katika aya hapo juu ameamua kuwa muwazi zaidi kwa kusema kuwa, kumbe wale ambao ameamua kuwapeleka Jehannam ni Waislam ambao wanamuabudu na kujisifia kuwa wanafuata dini ya haki.
Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana katika dini na taifa la Kiislam. Allah kwa mara nyingine tena anasema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Hayo ni matakwa ya Allah kutokana na Surah 16 aya 93.
Swali la kujiuliza ni hili: Ni Mungu gani huyu mwenye upendo awaingize watu wote wanao muabudu Jehannam? Je, Jehannamu ilitengenezwa kwa wanao mwabudu Mungu au wanao mwabudu Shetani? Je, kuna uwiano wowote ule kati ya mapenzi ya Allah na Shetani? Jibu umesha lipata kuwa Jehannam ilitengenezwa kwa ajili ya Shetani na Wafuasi wake, na si kwa wale wanao mfuata Mungu aliye hai, Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la Yehova. Allah kasema kuwa wale wote wanao mwambudu wataingia Jehannam. Je, Allah na Shetani ni yuleyule mmoja?
Ni mategemeo yangu kuwa, utachukua hatua na kuachana na Allah aliye sema kuwa ni matakwa yake kuwaingiza watu Jehannam.
Katika hudumua yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
MUNGU ANASEMA KUWA HAUNA HATIA TENA
Warumi 5:8-9
Tunawezaje kusema kwamba Bwana ametutangazia kuwa" hatuna hatia " ya dhambi zetu? Jambo la kwanza la kuelewa ni kwamba katika kitendo hiki cha kututangazia kuwa hatuna hatia ya dhambi ilikuwa ni kazi ya Mungu Mwenyewe. Sisi kama binadamu hatuna uwezo wowote ule wa kuondoa hata doa dogo la dhambi zetu wenyewe. Ni kwa sababu hii Mungu Baba alimtuma Mwanae Yesu Kristo ulimwenguni.
Biblia inatuambia kuwa, moja ya malipo ya dhambi ni mauti (Rum 6:23), na kwa sababu Mungu alitaka kutuokoa kutoka adhabu hiyo ya mauti, basi, alitutengenezea njia pekee ya wokovu. Alitoa sadaka kamili: Mwana wake, Yesu Kristo (Rum. 5:08 ) ili afe kwa ajili ya dhambi zetu.
Je, hili tendo la upendo lilikamilisha nini? Lilituwezesha sisi kumwendea Mungu kupitia njia iliyo safi na takatifu, Biblia inasema kuwa Yesu Ndie Njia na Kweli na Uzima, Mtu haji kwa Baba ila kupitia Yeye. Usafi wetu ambao unatuwezesha kwende mbele za Mungu, hauna uhusiano na kitu chochote kila ambacho sisi tumefanya, bali unahusiana na unatokana na ukweli kwamba tumetakaswa na damu ya Yesu. Hivyo basi, tunaweza kusema kwamba " Tumeoshwa na damu ya Yesu" ambayo ndio njia pekee ya kuondoa doa la dhambi zetu.
Hivyo basi, tunapokwenda Mbele za Mwenyezi Mungu kwa kupitia Njia ya Yesu Kristo, kitu kinacho tokea hapo ni kuwa, mbele za Mungu tunaonekana kuwa hatuna Hatia ya dhambi- [kwa maneno mengine, Mungu anatangaza kwetu kuwa "Hatuna hatia dhambi]." Hii ina maana kwamba kama waumini/walio kombolewa na damu ya Yesu, tunaweza kusimama mbele ya Mungu Mtakatifu kwa ukamilifu, kwa sababu sasa Mungu anatuona sisi ni Watoto wake mwenyewe.
Je, damu ya Yesu inatufanya tusitende dhambi tena? Hapana. Hata hivyo, sisi kwa imani yetu katika Yesu Kristo kama Mwokozi tumepewa msamaha wa dhambi zetu kupitia damu yake pale tunalipo tubu na tunakuwa tumeokolewa kutoka hukumu ya Mungu (Warumi 8:01).
Tumshukuru Baba yetu aliye Mbiguni hii leo, si tu kwa ajili ya kutusamehe dhambi zetu, lakini pia kwa ajili ya kutukomboa kutoka mzigo “wa hatia” kupitia Mwanawe wa Pekee Yesu Kristo.
Mungu awabariki sana
Max Shimba
GIVE THANKS TO GOD FOR HOW HE HAS BLESSED YOU IN YOUR LIFE AND ESPECIALLY FOR SENDING CHRIST TO DIE FOR YOU!
Oh give thanks to the LORD, for he is good; for his steadfast love endures forever!
Psalms 118:1
An old pastor and his wife invited a new young couple in the church over for Thanksgiving dinner. As the couple entered the home, they smelled the wonderful turkey and all the trimmings in the kitchen. As the four made their way to the dining room table, there was a great feast before them!
But as the young wife scanned the table, she noticed something out of place. Among the turkey, dressing, casseroles, and pies were three Chinese takeout cartons and a plate of egg rolls!
"I know what you're thinking," the old pastor said. "Why is there Chinese takeout on the table?"
"You see," he continued, "23 years ago on Thanksgiving Day, my dear wife burned the turkey and started a fire in our kitchen! In fact, our entire kitchen nearly caught fire and the whole Thanksgiving meal was charred black!"
"So after the fire department left," he chuckled, "we ordered Chinese takeout and that was our Thanksgiving meal! And every year since, we've had Chinese takeout as a part of our meal to remind us to be thankful for what we have!"
This year, I hope Thanksgiving wasn't just a holiday for you. It should be a way of life for every Christian. We serve a wonderful God who sent his Son to die for you. So as you continue to reflect on what you are thankful for this year, remember God's blessings in your life!
Max Shimba Ministries Org
Monday, November 11, 2013
JE, ISA NI JINA SAHIHI LA YESU WA BIBLIA?
Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la
Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?
Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa
ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika "
sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake
wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi
wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina
la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi
katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.
Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana
yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni
Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye
alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa
sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni
ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).
Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni
Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina
la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea
katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza
matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto
sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo
yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la
Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.
Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina,
jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni
Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha
tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo
tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na
Jesus Kiingereza:
Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu
(Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).
Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua
hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta
(LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua
Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki. Injili ziliandikwa katika lugha ya
Kigiriki ilitumia utamaduni huu wa kutafsir kwa muda mrefu.
Kwasababu Kiyahudi na Kiarabu ni lugha mbili za
Kisemiti, na zina uhusiano wa karibu, kuna baadhi ya sheria maalumu ambayo
sauti/maneno/maandishi ya Kiebrania yanahusiana na ambayo sauti/maneno katika
Kiarabu. Hasa, Neno la Kiebrania Shin mara kwa mara linatumika kama Dhambi katika
Kiarabu, kwa mfano neno la Kiyahudi la amani, shalom ni sambamba na neno “salam”
la Kiarabu. Kulingana na sheria za lugha na mahusiano kati ya Kiyahudi na
Kiarabu, Yasu 'ni sahihi kwa Kiarabu na kwa Kiebrania ni Yeshua:
Yeshua '= Yod + + Shin Waw +' Ain
Yasu '= + Ya + Sin Waw
+' Ain
Tena, katika lugha sahihi, jina la Yasu ni Kiarabu sawa
na Yeshua Kiebrania. Hivyo, katika utamaduni na jadi ya Kiarabu jina la Yasu ndilo
sahihi na pekee kutokana na kiisimu. Mpito kutoka Yeshua kwa Yasu inafuata
sheria ya kawaida ya mabadiliko fonetiki kutoka Kiyahudi na Kiarabu. Yasu ni jina
la Kiarabu la Yesu. Kinyume chake, Yasu ndio jina lenye asili ya Yeshua.
Early Hebrew (long form):
Yehoshua' = Yod + He + Shin + Waw
+ 'Ain
Later Hebrew (short form):
Yeshua' = Yod + Shin + Waw + 'Ain
Arabic (Christian):
Yasu' = Ya + Sin +
Waw + 'Ain
Arabic (Muslim):
'Isa = 'Ain + Ya + Sin
+ Ya
“Ya” na “Waw” ni maneno dhaifu, katika lugha ya Kiarabu,
hufundisha kwamba mtu anaweza kurejea katika maneno mengine kama kuchukua juu
ya aina mbalimbali (declension, inflection). Hivyo, mtu anaweza kuona kwamba
fomula ya Kiislamu 'Isa kimsingi ni ya bandia/kutungwa na binadamu (inversion)
(pamoja na mabadiliko ya Waw ili Ya) kwa Mkristo wa Kiarabu jina la Yesu ni Yasu
na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislamu.
Nategemea leo umejifunza tofauti iliyopo kati ya Jina
la Yesu-Kiswahili, Yasu-Kiarabu na Yeshua-Kiebrani.
Jina la Yesu Libarikiwe Sana
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...