Friday, March 21, 2014

Mtume. Rashid Abubakar alionya kanisa juu ya kukimbilia Nigeria.


Mtume. Peter Rashid Abubakar
Mtume Peter Rashid Abubakar ambaye ndiye mwanzilishi wa huduma ya Glory to God Miracle Center(House of Prayer For All Nations) Tanzania jijini Dar es Salaam amelionya kanisa  akiliambia umetokea ujinga wa kutumiana masage zikisema meseji hii tumia watu 12 au 20 imetoka kwa Tb. Joshua!!!??? 
Alihoji Tb. Joshua yeye ni nani!!? Mbona ni mtumishi wa MUNGU kama mimi tu! 
Akiongea huku akinukuliwa na Maisha ya ushindi blog alisema
 watu wengi kanisani hapa kwangu wanafunguliwa wasio na watoto; Kazi; etc wanapata kwa jina la YESU. 
Alisema nimeombea wangapi waliokwenda kwake Tb. Joshua ambao hawakuponywa au kufunguliwa na niliwaombea na YESU KRISTO akawaponya. 
 Aliuliza je YESU wa Tb. Joshua na mimi ni tofauti? YESU KRISTO mwenyewe kwa kauli yake anasema  YEYE HABADILIKI. YEYENI  JANA NA LEO NA HATA MILELE. 
Alisema huo ni USHAMBA WA KIROHO AU NI UKIRO WA KIROHO(UKIRO=U-Ukosefu wa K-Kinga wa R- Roho) ni sawa na UKIMWI= Ukosefu wa kinga za mwilini). 
Alisema Yeremia 17:5-6. Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga moyoni mwake
Kwa imani yenu hiyo alisema Mbona wenye karama ya uponyaji na matendo ya miujiza mbona nipo mimi hapa? Na wengine wengi tu Dar es salaam au Tanzania.
 Hizo pesa nyingi za nauli mnazopoteza kwenda Nigeria na kurudi huko si mniletee mimi nizijengee kanisa? Au pelekeeni wazazi wenu wanaokufa na njaa zikawasaidie? 
Wengine hata uwanja wa kujenga hamna? Alimalizia kwa kusema POLENI WATANZANIA WENYE IMANI HIYO KATIKA JINA LA YESUUU!!! 

KAMA NI TB. JOSHUA NIPO HAPA MBEZI MWISHO JIJINI DAR ES SALAAM NAULI MIA TANO KWENDA NA KURUDI ELFUUU. EMEEEEEEEE!!! Kanisa lote liliitikia Emeeeeeeee!

Friday, March 7, 2014

JE, ALLAH NI MNYONYA DAMU?

Ungana nami katika somo letu la leo na uone siri kubwa ambayo Allah ameifanya na kuificha kwa karne kadhaa.

Ndugu zanguni.

Leo ningependa tusome kuhusu Dhabihu ya Damu ambayo Waislam huwa wanaifanya kwa ungu
wao kwa kutumia mtego wa Halal wakati wakichinja Wanyama. Uchinjaji wa "Halal" ni ibada ambayo wanaifanya kila wachinjapo Mnyamahuku wakimwomba mungu wao ajulikanaye kwa jina la Allah. Soma Alameye Tabataba i, p 177.

Allah anapenda kunywa damu za Watu na Wanyama.
Soma "Blood of Allah Chapter 5". Ndio maana Allah anadai kuwa uchinjaji wa Wanyama ni kwa Waislam pekee, kumbe Allah anataka damu ya Mnyama ifanyiwe dhabihu ili aweze kuinywa.

Zaidi ya hapo, Waislam ndio wenye tabia na utamaduni wa kuchinja watu kwa madai kuwa eti, umeikashif dini ya Allah na Mtume wake, kumbe huu ni mtego ule ule wa Allah wa kutaka kunywa damu za Watu na Wanyama; soma Shaykh al Kulayni, al-kafi v1 p 149.

Mkristo unapo nunua nyama kutoka maduka ya Kiislam ambayo ni halal, basi elewa kuwa
unanunua nyama ambayo imefanyiwa ibada kwa Allah wao ambaye alikunywa damu yake
baada ya kuchinja huyo mnyama. 

Allah ni mnyonya damu
Soma Al Bahrani, Al Buhran Fi Tafsir- Al Quran v 3, p 528. Unaweza niuliza kivipi Allah ananyonya damu? Mtego ambao Allah anautumia mara nyingi ni ule wa Jihad kwa Waislam wote. Allah anasema kuwa, unapo jiua kwa sababu ya Allah "Mataya" basi wewe unakwenda moja kwa moja AKhera, lakini kinacho tokea hapo ni Allah anapata damu ya Binadamu na Nyama yake kama kitoweo.

Hadith ya Msema Kweli Bhukar V4, Kitabu 52, Namba 41 inasema kuwa jambo jema ambalo Muislam anawea kulifanya ni kupigana mpaka kufa kwa ajili ya Allah. Hii ndio mbinu ambayo Allah anaitumia kupata damu na nyama za watu.  Ukienda kwenye Nchi za Mashariki ya Kati, hii tabia ya Kujilipua na kufa huku wakisema Allahu Akbar ni mbinu ya kumfanyia dhabihu ya damu kwa Allah ambaye maisha yake yanatemea damu za Watu na wanyama.

Ndugu zanguni, leo tumeoa jinsi Allah anavyo tega watu kwa kuwaambia wapigane mpaka kufa kwa Ajili ya Allah. Kumbe Allah anatafuta damu za watu ili anywe.

Nafahamu Waislam wengi watapinga huu ukweli, lakini wenye macho na masikio wanaona na
kusikia jinsi Waislam wanavyo jitoa mhanga na kufa kwa ajili ya Allah.

Hakika hawa wamepotea na kufanya mauaji ya miili yao. Kujiua kwa ajili ya Allah ni kufanya Mauaji ya mwili wako. Hilo ni kosa na dhambi mbele ya Mungu. Biblia inasema katika Amri moja ya zile kumi za Mungu, kuwa Usi Uwe. Sasa Ndugu zetu wao wanauwa miili yao kwa Allah. Hiyo ni dhambi ya kwenda Jehannam.

Allah si Mungu na hana sifa za Mungu.

Katika huduma yake


Max Shimba Ministries

Saturday, March 1, 2014

MAOMBI YA KUSAMBARATISHA UCHAWI NA NGUVU ZA GIZA


Baba katika Jina la Yesu. 

Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika Jina la La Yesu. 

Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu. 

Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la Yesu.

Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya Yesu. 

Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la Yesu.

Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu. 

Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu. 

Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia uchawi katika jina la Yesu.

Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.

Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu. Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.

Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja kunichunguza katika jina la Yesu.

Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi katika jina la Yesu.

Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la Yesu aliye hai.

Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.

Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia damu ya Yesu. 

Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia damu ya Yesu.

Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.

Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.

Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki, kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.

Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.

Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo katika jina la Yesu.

Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.

Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.

Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.

Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.

Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.

Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.

Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.

Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.

Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.

Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.

Narudisha amani na upendo katika familia yangu.

Damu ya Yesu ipo juu ya Maisha yangu na inasafisha kila uovu, kila uchawi unaaribiwa na damu ya Yesu katika jina la Yesu. 

Leo hii mtaiona Nguvu iliyopo katika damu ya Yesu. 

Katika Jina la Yesu aliye hai ninaomba. 

Amen

Max Shimba Ministries 
03/01/2014

Friday, February 28, 2014

PRAYER OF BREAKING PRINCIPALITIES IN YOUR LIFE


Father in the name of Jesus, I loose confusion against every satanic and demonic conspiracy against my life.

Let the secret counsel of the wicked be turned into foolishness. Let those gather against me be scattered. I send out lightning of the Lord and scatter the enemy. I destroy and divide their tongues (Ps. 55:9). For no weapon formed against me shall prosper. The gates and plans of hell shall not prevail against me. I overcome every diabolical strategy of hell against my life in Jesus Name.

I break and divide every demonic confederacy against my life in the name of Jesus.

I loose confusion into every demonic confederacy directed against my life and my family in Jesus Name. I bind and rebuke every demonic reinforcements sent by Satan to attack my life in Jesus Name.

I rebuke all the winds and storms of the enemy sent against my life (Mark 4:39) in Jesus name. I rebuke every unclean spirit that would attempt to operate in my life (Luke 9:42) I release furious rebuke upon the enemy ( Ezek 25:17) in Jesus Name.

Let every bramble and nettle be plucked up from my life in the name of Jesus.

Let all thorns be burned out of my life in the name of Jesus (Isa 10:17)
Let all diabolical spirits rooted in rejection come out in the name of Jesus.
Let all diabolical spirits rooted in fear come out in the name of Jesus name.
Let all diabolical spirits rooted in rebellion come out in the name of Jesus.
Let all diabolical spirit rooted in curses come out in the name of Jesus.
Let all diabolical spirits rooted in any part of my body and organs come out in the name of Jesus.
Let all diabolical spirit rooted in witchcraft come out in the name of Jesus.

Let my teeth be white with milk (Gen 49:12)
Wash my steps with butter oh Lord (Job 22:24
Let me have plenty of silver (Job 28:1)
let your river lead me to gold ( Ps. 37:29)
Let me inherit the land ( Ps. 37:29)
I refuse to allow the angle of blessing to depart without blessing me (Gen 2:6)

Today I receive miracles of deliverance in my life in Jesus Mighty Name (Dan 6:27)

I pray

and Everybody say """"""""AMEN"""""""".

Max Shimba Ministries
02/28/2014

YOU ARE BLESSED AND NOT CURSED

Tuesday, February 25, 2014

Shetani Ni Nani? Ni Kiumbe Halisi?

WASOMI fulani wa kisasa wanasema kwamba Shetani si kiumbe halisi. Wanadai kwamba alibuniwa tu katika mawazo ya wanadamu. Ubishi wa aina hiyo umekuwapo kwa muda mrefu. “Ujanja wa hali ya juu wa Ibilisi,” akaandika Charles-Pierre Baudelaire, mshairi wa karne ya 19, “ni kutushawishi tuamini kwamba yeye hayuko.”


Je, Shetani ni kiumbe halisi? Ikiwa ndivyo, alitoka wapi? Je, yeye ndiye nguvu isiyoonekana inayosababisha matatizo ambayo wanadamu wanakabili? Unaweza kuepukaje kuathiriwa na uvutano wake?

Biblia Inasema Nini?
Biblia inamfafanua Shetani kuwa kiumbe halisi ambaye yuko katika makao ya roho. (Ayubu 1:6) Inatueleza kuhusu sifa zake za ukatili kutia ndani matendo yake ya uovu. (Ayubu 1:13-19; 2:7, 8; 2 Timotheo 2:26) Pia inasimulia mazungumzo kati ya Shetani na Mungu na pia kati yake na Yesu.—Ayubu 1:7-12; Mathayo 4:1-11.

Kiumbe huyo mwovu alitoka wapi? Muda mrefu kabla ya mwanadamu kuumbwa, Mungu alimuumba viumbe vya katika roho wanaoitwa Malaika, (Ayubu 38:4-7) Wote walikuwa wakamilifu na waadilifu. Hata hivyo, mmoja kati ya malaika hao aliuye julikana kwa jina la Lucifer akaja kuwa Shetani.

Malaika huyo hakuitwa Shetani alipoumbwa. Jina hilo ni la kumfafanua, na linamaanisha “Mpinzani; Adui; Mshtaki.” Alikuja kuitwa Shetani kwa sababu alichagua kumpinga Mungu.
Kiumbe huyo wa roho akaanza kukuza hisia za kiburi na za kushindana na Mungu. Alitaka wengine wamwabudu yeye. Mwana mzaliwa wa kwanza wa Mungu alipokuwa hapa duniani, Shetani alimtaka Yesu ‘amfanyie tendo la ibada.’—Mathayo 4:9.

Shetani “hakusimama imara katika kweli.” (Yohana 8:44) Alidai kwamba Mungu alikuwa mwongo, ilhali kwa kweli, yeye ndiye alikuwa mwongo. Alimwambia Hawa kwamba angekuwa kama Mungu, lakini ni yeye hasa aliyetaka kuwa kama Mungu. Na kupitia mbinu zake za ujanja, alitosheleza tamaa yake yenye ubinafsi. Alimfanya Hawa amwone kuwa mkuu kuliko Mungu. Kwa kumtii Shetani, Hawa alimkubali kuwa mungu wake.—Mwanzo 3:1-7.

Tuesday, February 18, 2014

What I mean by "Jesus is Jehovah"

What I mean by "Jesus is Jehovah" is that Jesus Christ of the New Testament is Jehovah of the Old Testament, come in the flesh. As Jehovah promised/warned in the Old Testament that He would come to Israel/Jerusalem in Person (Isa 40:3; Zep 3:14-15; Zec 2:10-11; 9:9; Mal 3:1).
What I don't mean by "Jesus is Jehovah" is that the Son is the Father. That Jesus is Jehovah does not preclude the other two Persons of the Holy Trinity (Mt 28:19; 2Cor 13:14; 1Pet 1:2): the Father and the Holy Spirit (Ps 139:7; Isa 40:13 = Rom 11:34 & 1Cor 2:16; Mk 3:28-29; Acts 5:3-4; 13:2; 28:25-27; 2Cor 3:17; Heb 3:7-11 = Ps 95:7-11; Heb 10:15-17 = Jer 31:33), also being Jehovah: the one Triune God.
Plurality in God/Jehovah in the Old Testament There are indications of plurality within God/Jehovah in the Old Testament:
2. JESUS CLAIMED TO BE JEHOVAH
I AM Jesus claimed to be "I AM" (Jn 8:24,28,58; 13:19; 18:5-6). The "I am he" in the original Greek of those verses is ego eimi - "I am" - with no "he". In the Greek Old Testament (Septuagint or LXX)ego eimi - "I AM" - is the self-designation of Jehovah (Ex 3:14-15; Dt 32:39; Isa. 41:4; 43:10; 46:4; 52:6). In particular, Jesus claimed to be Jehovah in His statements that, "Before Abraham was born, I am [ego eimi]" (Jn 8:58 ESV), and "unless you believe that I am [ego eimi - no "he"] ... you will die in your sins" (Jn 8:24 ESV). Likewise, Jesus also claimed to be Jehovah when He walked on the stormy sea and told the disciples in their sinking boat to, "Take heart; it is I" (ego eimi - "I AM") (Mt 14:23-27; Mk 6:47-50; Jn 6:16-20 ESV).
Shepherd Jesus claimed to be "the Good Shepherd" (Jn 10:11,14). Jesus is the "Great Shepherd of the sheep," "the Shepherd," "the Chief Shepherd" (Heb 13:20; 1Pet 2:25; 5:4; Rev 7:17). But Jehovah is the Shepherd of His sheep (Ps 23:1; Isa 40:10-11; Eze 34:15).
First and Last Jesus claimed to be "the first and the last" (Rev 1:17-18; 2:8; 22:13,16). But Jehovah is the first and the last (Isa 41:4; 44:6; 48:12,17). And there cannot be two "the first and thelasts! Jesus also claimed to be "the Alpha and the Omega" (Rev 21:6; 22:13). But "the Lord God ... the Almighty" is "the Alpha andthe Omega" (Rev 1:8).

Jehovah is Jesus

JehovahJesus
Psalm 102:25,
"Of old Thou didst found the earth; and the heavens are the work of Thy hands.
Heb. 1:10,
"And, "Thou, Lord, in the beginning didst lay the foundation of the earth, and the heavens are the works of Thy hands"
Isaiah 45:23
"I have sworn by Myself, The word has gone forth from My mouth in righteousness and will not turn back, That to Me every knee will bow, every tongue will swear allegiance."
Phil. 2:10-11,
"that at the name of Jesus every knee should bow, of those who are in heaven, and on earth, and under the earth, and that every tongue should confess that Jesus Christ is Lord, to the glory of God the Father."
Deut. 10:17,
"For the Lord your God is the God of gods and the Lord of lords, the great, the mighty, and the awesome God who does not show partiality, nor take a bribe."
Rev. 17:14,
"These will wage war against the Lamb, and the Lamb will overcome them, because He is Lord of lords and King of kings, and those who are with Him are the called and chosen and faithful."
Isaiah 44:6
"Thus says the Lord, the King of Israel and his Redeemer, the Lord of hosts: 'I am the first and I am the last, And there is no God besides Me."
John 1:49,
"Nathanael answered Him, 'Rabbi, You are the Son of God; You are the King of Israel.'"
Rev. 22:12-13,
"Behold, I am coming quickly, and My reward is with Me, to render to every man according to what he has done. 13 "I am the Alpha and the Omega, the first and the last, the beginning and the end."
Psalm 130:7-8,
"O Israel, hope in the Lord; for with the Lord there is lovingkindness, and with Him is abundant redemption. 8 And He will redeem Israel from all his iniquities."
Titus 2:14,
"who gave Himself for us, that He might redeem us from every lawless deed and purify for Himself a people for His own possession, zealous for good deeds."
Zech. 12:10,
"And I will pour out on the house of David and on the inhabitants of Jerusalem, the Spirit of grace and of supplication, so that they will look on Me whom they have pierced; and they will mourn for Him, as one mourns for an only son, and they will weep bitterly over Him, like the bitter weeping over a first-born.
Rev. 1:7,
"Behold, He is coming with the clouds, and every eye will see Him, even those who pierced Him; and all the tribes of the earth will mourn over Him. Even so. Amen."
Joel 2:32,
"And it will come about that whoever calls on the name of the Lord will be delivered; for on Mount Zion and in Jerusalem there will be those who escape, as the Lord has said, even among the survivors whom the Lord calls."
Rom. 10:13 ,
"for 'Whoever will call upon the name of the Lord will be saved.'"

(All Scripture quotes are taken from the NASB.)

Saturday, February 15, 2014

FIKRA NGUMU KUHUSU YESU: JE, YESU NI NANI?

Hivi katika Biblia, Yesu alijiita nani na alisema nini kuhusu yeye mwenyewe? 

Ndugu wasomaji, leo ningependa tujifunze kidogo kuhusu huyu Yesu wa Biblia ambaye hakuwa mtu wa kawaida. 

Watu ulimwenguni pote wamesikia kuhusu Yesu Kristo, ingawa aliishi duniani miaka 2,000 hivi iliyopita. Hata hivyo, wengi hawajui kwa kweli Yesu alikuwa nani. Baadhi yao husema kwamba alikuwa mtu mzuri tu. Wengine wanadai kwamba alikuwa nabii tu. Na wengine wanaamini kwamba Yesu ni Mungu na anapaswa kuabudiwa.

Ni muhimu ujue ukweli kuhusu Yesu. Kwa nini? Kwa sababu Biblia inasema:

Biblia inafundisha kwamba Yesu aliishi mbinguni kabla ya kuja duniani. Mika alitabiri kwamba Masihi angezaliwa Bethlehemu na alisema pia kwamba asili Yake “ni kutoka nyakati za kale.” (Mika 5:2) Mara nyingi, Yesu mwenyewe alisema kwamba aliishi mbinguni kabla ya kuwa mwanadamu. (Yohana 3:13; 6:38, 62; 17:4, 5) Akiwa kiumbe wa roho mbinguni, Yesu alikuwa na uhusiano wa pekee pamoja na Baba Yake ambaye ni Mungu.
Yohana 17: 5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

Neno “UTUKUFU” maana yake ni heshima, uweza, uzuri, umaarufu, nguvu, sifa na mamlaka. Mambo hayo yote Yesu alikuwa nayo kabla hata ulimwengu haujaumbwa. Yesu Kristo alikuwapo hata kabla ya kuzaliwa na Mariamu; jambo hili pia Yesu Kristo kwa kinywa Chake Yeye mwenyewe ametuthibitishia alipokuwa akiwaambia Wayahudi kwamba:

“Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.

Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?

Yesu akajibu, Mimi sina pepo; lakini Mimi namheshimu Baba yangu, na ninyi mwanivunjia heshima Yangu. Wala mimi siutafuti utukufu Wangu; Yuko mwenye kutafuta na kuhukumu. Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele. Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng’amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akuilishika neno langu, hataonja mauti milele. Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, ambaye amekufa? Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani? Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba Yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu. Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nalishika. Ibrahimu baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
Fikiria mifano miwili tu. Kwanza, zaidi ya miaka 700 mapema, nabii Mika alitabiri kwamba Yule aliyeahidiwa angezaliwa Bethlehemu, mji mdogo katika Yuda. (Mika 5:2) Yesu alizaliwa wapi hasa? Katika mji huohuo! (Mathayo 2:1, 3-9) Pili, karne nyingi mapema, unabii ulio katika Danieli 9:25 ulionyesha mwaka hususa ambao Masihi angetokea, yaani, 29 W.K.* Kutimia kwa unabii huo na unabii mwingine mbalimbali kunathibitisha kwamba Yesu alikuwa Masihi aliyeahidiwa.

Yesu alitimiza nini kwa kuendelea kuwa mwaminifu mpaka kifo? Kifo cha Yesu kinatuwezesha kupata uzima wa milele katika dunia itakayokuwa paradiso kama vile Mungu alivyokusudia mwanzoni.

Upo ushahidi mwingi sana ndani ya Biblia Takatifu unaotuthibitishia kuwa Yesu alikuwepo hata kabla ya kuumbwa kitu cho chote kile; kwani nao manabii pia walitabiri ujio wa Yesu ambaye alikuwepo tangu milele yote, na tena manabii hao walisema wazi wazi kuwa huyu Yesu ni Mungu.

MASWALI YA FUNZO
1, 2. (a) Kwa nini kujua jina la mtu mashuhuri hakumaanishi kwambaunamjua vizuri? (b) Watu wana maoni gani yanayotofautiana kumhusu Yesu?

3. Kwa nini ni muhimu ujue ukweli kumhusu Yesu?
Nimategemeo yangu kuwa utaendelea wewe mwenyewe kufanya utafiti kuhusu huyu Yesu aliye ishi kabla ya Dunia kuumbwa.

Mungu awabariki sana.

Katika huduma yake,

Max Shimba Ministries

For Max Shimba Worldwide Missions
02/15/2014

Sunday, January 19, 2014

Agnostiki ni nini?


Agnostiki ni mtazamo kuwa uwepo wa Mungu si kitu kisichoweza kujulikana au kuthibitishwa. Neno “agnostiki” kimsingi lamaanisha “bila elimu/maarifa.” Uagnostiki ni mtindo wa ukanaji Mungu. Ukanaji Mungu kuwa Mungu haishi- msimamo ambao hauwezi kuthibitishwa. Ukanaji Mungu wapinga kwamba uwepo wa Mungu hauwezi thibitishwa au siothibitishwa, kuwa kamwe hauwezi kujua kuwa kuna Mungu au hayupo. Katika hali hii, ukanaji Mungu huu uu kweli. Uwepo wa Mungu hauwezi kuthibitishwa au kukanwa kwa kubahatisha.

Bibilia inatuambia ya kwamba lazima tukubali kwa imani kuwa Mungu yupo. Waebrania 11:6 yasema bila imani “Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendaza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamfuatao.” Mungu ni roho (Yohana 4:24 kwa hivyo hawezi oonekana au kuguzika. Ila tu Mungu aamue kujidhihirisha Yeye mwenyewe, katika hisia zetu hawezi kuonekana (Warumi 1: 20). Bibilia yatangaza kwamba uwepo wa Mungu unaweza oonekana vizuri sana katika ulimwengu (Zaburi 19:1-4), inayohisika katika masingira (Warumi 1:18-22), na umethibitishwa katika mioyo yetu (Mhubiri 3:11).

Waagnostiki/wamkanao Mungu hawako tayari kufanya uamuzi kukubali kuwa Mungu yupo au hayupo. Ni upeo wa msimamo wa “kufanya mwanya katika ua.” Wasiomwamini Mungu pia wanaamini kuwa Mungu anaishi. Wasiomwamini Mungu wanaamini kuwa Mungu haishi. Waagnostiki wanaamini kwamba tusiamini au tukose kuamini kuwepo kwake Mungu, kwa sababu ni vigumu mno kutambua kama Mungu yupo au hayupo.

Kwa ajili ya pingamizi, hebu tuweze kuleta wazi ushaidi usioweza kukanwa wa uwepo wake Mungu. Ikiwa tutauweka msimamo wa wamkanao Mungu na waagnostiki katika kiwango sawa, ambao waleta “maana” sana kuamini kuambatana na uwezekano wa maisha baada ya kifo? Kuma kuna Mungu, wasiomwamini Mungu na waagnostiki wote sawa wataisha kuwepo wakati wamekufa. Kama kuna Mungu, wote wasiomwamini Mungu na waagnostiki watakuwa na mtu wa kuwajibikia pindi tu wanapokufa. Kutoka kwa mtazamo huu, ni wazi kuwa afadhali kuwa asiyemwamini Mungu kuliko kuwa agnostiki. Kama msimamo wowote unaweza thibitishwa au usiweze, yaonekana busara kuwa kufanya juhudi zote kuunguza msimamo ambao hauna mwisho na milele yote matunda yake ni ya kuthamanika

Ni kawaida kuwa na shuku. Kuna vitu vingi katika dunia hii ambavyo hatuvielewi. Kila mara, watu wanashuku kuwepo kwa Mungu kwa sababu hawaelewi au kukubaliana na mambo ayafanyayo na kuyaruhusu. Ingawa, kama mwanadamu tuliye na hatima, tusitarajie kuweza kumfahamu Mungu asiye na mwisho. Warumi 11: 33-34 yasema, “Jinsi silivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake: hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani! Maana ni nani aliyeijua nia ya Mwana? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake?” lazima tumwamini Mungu na kumtumainia katika imani. Mungu ako karibu na tayari kujidhihirisha kwa njia za kustaajabisha kwa wale watakao mwamini. Kumbukumbu La Torati 4:29 yasema, “Lakini huko, kama mkimtafuta BWANA, Mungu wako utampta, ukimtafuta kwa moyo wako wote, na roho yako yote.”

UDHAIFU WA ALLAH NA SABABU ZINAZO MFANYA ALLAH KUTO KUWA AKBAR.


Ndugu Wasomaji,

Katika somo letu la leo, ningependa tusoma mambo kadhaa ambayo Allah wa Uislam hana uwezo na mamlaka juu yake. 

Waislam wanatuambia kuwa Uislam ni dini ya Allah ambaye hana uwezo wa kufanya yafuatayo:

Allah hana uwezo wa kuishi ndani ya binadamu.

Allah hana uwezo wa kuzungumza na kusikia lugha yeyote ile zaidi ya Kiarabu.
Allah hasikii na hajibu maombi ambayo hayakuombwa Kiarabu.

Allah hawezi kusikia maombi ambayo yanaombwa bila ya kuangalia Makkah.

Allah hana uwezo wa kumzuia Shetani kuishi ndani ya Pua yako wakati umelala.

Allah hana uwezo wa kumkataza Shetani asikojoe kwenye masikio yako unapo pitiwa na usingizi.

Allah hana uwezo wa kutetea vitabu vyake, ingawa alidai anaweza.

Allah hawezi kusikia maombi yako kama kuna Mwanamke au Mbwa au Punda karibu na sehemu unayo fanyia maombi.

Allah hawezi kutetea dini yake ya Kiislam na anahitaji msaada wa Waislam kuua na kutesa wale wote ambao wanaukataa Uislam. Allah sio Akbar kama anavyo dai.

Allah hapendi watu isipokuwa wale ambao ni Watumwa wake.

Allah hana uwezo wa kutetea Mitume wake kutoka kwa Wanawake Wajane wa Kiyahudi.

Allah hana uwezo wa kuwatetea na kuwalinda Waislam kutoka kwa Mtume mwenye Nguvu kama Paulo ambaye Waislam wanadai kuwa, Ndie Mwanzilishi wa Imani ya Kikristo ambayo ni kubwa kuliko Uislamu.

Allah hana uwezo wa kuwaokoa wanawake kutoka Jehannam, kwasababu eti wao ni viumbe dhaifu.

Allah hana uwezo wa kufanya miujiza kupitia waonyaji kama Muhammad ambaye alidai katumwa na Mwenyezi Mungu, jambo ambalo lingesaidia kutupa uhakikisho kuwa Muhammad alitumwa na Allah, kwasababu ya maovu mengi aliyo fanya ambayo ni kinyume na mambo yaliyo fanywa na Mitume walio kuja kabla yake.

Ndugu zanguni, listi ya mambo ambayo Allah hana uwezo wa kufanya ni mengi sana kiasi cha kujaza karatasi nyingi, leo nimeona niweke haya machahe kuhusu huyu Allah wa Uislam.

Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mke.

Sasa ngoja niulize?

Kuna sababu gani hapa duniani Mtu amwamini huyu Allah aliyejaa mapungufu na udhaifu, na kuacha kumwamimi Yahaweh aliyejaa hekima na mamlaka yote?

Mimi nitamfuata Yesu, Mungu Mtukufu YHWH, kwasabau katika Yesu hakuna lisilo wezekana (Luka 1:37)

Katika huduma yake,

Max Shimba Ministries 2014

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW