Friday, January 29, 2016

MTUME MUHAMMAD ASEMA: TUMIENI MAWE MATATU KUJISAFISHA BAADA YA HAJA KUBWA

Ndugu zanguni,
Nikisema hii dini ni Msiba, Waislam wanakuja mbinde ati, nawakashifu. Sasa mimi nifanyeje wakati Mtume wao ndio anaongoza kwa vioja?
Leo Muhammad kasahau kuhusu utumiaji wa maji kama wanavyo dai, na katoa amri kwa Waislam wote kutumia Mawe Matatu baada ya haja kubwa. JAMANI HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
NABII WA ALLAH, AITWAYE MUHAMMAD ANASEMA
Baada ya kujisaidia haja kubwa, usitumie mifupa au kinyesi kujisafisha; Bali utumie mawe kujisafisha mwenyewe ... (Sahih Bukhari, 1.4.157)
Inaonekana kuwa, hawa jamaa walikuwa wanajisafisha kwa kutumia MIFUPA NA KINYESI. Huu ni Msiba, mbona Muhammad kesha sahau amri ya kutumia/kutawaza kwa Maji? Kumbe basi Muhammad na yeye alikuwa anatumia MAWE......
ENDELEA KUPATA USHAHID..................Utakapo maliza kujisaidia, tumia mawe Matatu kujisafisha sehemu zako za siri ... (Sahih Bukhari, 1. 4.162)
Tumia mawe tatu kwa kujisafisha baada ya kujisaidia ... (Sunaan Abu Dawud, 1.0040)
SASA, Nabii wa Allah anasema WATUMIE MAWE MATATU, hakika kuna VIHOJA NA VIROJA KATIKA hii dini ya Jibril.
ENDELEA,
Baada ya kutembelea choo, beba mawe matatu na uyatumie kujisafisha wewe mwenyewe ... (Sunaan Abu Dawud, 1.1.0040)
Baada ya kujisaidia haja kubwa, tumia udongo mara mbili kujisafisha; wala usitumie kinyesi kujisafisha... (Sunaan Nasai, 1.42)
Kama unajisaidia haja kubwa katika jangwa, basi tumia mawe matatu kujisafisha baada ya haja kubwa, hakuna haja ya kutumia maji ... (Sunaan Nasai, 1.44)
HUU NI MSIBA KWA NDUGU ZETU WAISLAMU
SASA, Wakristo ambao wanatumia tissue paper na Waisalm wa Makka wanao tumia MAWE, nani anahafadhali?
NABII WA ALLAH, ANAMALIZA KWA KUSEMA KUWA, MUOMBENI NA JIKINGENI NA ALLAH KABLA YA KUTUMIA CHOO
Amehadithia Zayd bin Arqam : Mtume wa Mwenyezi Mungu ( SAW ) amesema: Msalato/chooni ni nyumba za majini na mashetani . Hivyo wakati yoyote miongoni wewe huenda kutumia choo/msalato , anapaswa kusema: "Mimi najikinga kwa Mwenyezi Mungu kutokana na mapepo ya kiume na wa kike . "Abu Dawud 1:6
Leo tumejifunza kuwa Waislam wameruhusiwa kutumia Mawe baada ya haja kubwa.
Max Shimba Ministries

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TANO)

KUMBE ALLAH ANA MIKONO NA MACHO KAMA VIUMBE

Ndugu msomaji,
Tunaendelea na mada kuhusu Allah ambaye ni kiumbe kama sisi. Leo ninawaletea ushahidi kuwa, Allah ana MIKONO kama binadamu. Haya ungana nami na tuanze kusoma ushahid kutoka vitabu vya Kiislam.
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”

KUMBE ALLAH ALIANDIKA TAUTAI KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
Swali ningependa kuwauliza Waislam, hivi kwanini mnasema kuwa Allah hana mfano wakati teyari Allah anajidhihirisha kuwa ana MIKONO? Je, Mikono so mfano wa binadamu? Kwanini mnamzulia Allh uongo kuwa hana Mikono?

ALLAH ANA MIKONOTunaamini kuwa Allaah Anayo mikono miwili mitukufu.
Anasema:
بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنفِقُ كَيْفَ يَشَاء
"Bali mikono yake (miwili - yadaahu) iwazi. Hutoa Apendavyo."
Al-Maaidah – 64
Na Akasema:
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالأرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّماوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ
"Na wala hawakumhishimu Allaah kama Anavyostahiki kadiri Yake. Na Siku ya Qiyaamah ardhi yote itakuwa mkononi Mwake, na mbingu zitakunjwa katika mkono Wake wa kuume. Subhaanahu wa Ta’ala Ametakasika na Ametukuka na hayo wanayomshirikisha nayo."
Az-Zumar – 67
(Siku ya Ridhwaan Waislamu walipofungamana na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) chini ya mti kwa kumpa mkono wote kwa pamoja, mmoja baada ya mwengine, na Allaah Akateremsha kauli Yake:
إِنَّ الَّذِينَ يُبَايِعُونَكَ إِنَّمَا يُبَايِعُونَ اللَّهَ يَدُ اللَّهِ فَوْقَ أَيْدِيهِمْ
"Bila Shaka wale wanaofungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Allaah. Mkono wa Allaah uko juu ya mikono yao."
Al-Fat-h – 10
Ieleweke kuwa Allaah Anaposema Anayo mikono au macho, ina maana kuwa mikono Yake ni sawa na mikono yetu, au macho Yake ni sawa na macho yetu - AstaghfiruLlaah. Meza inayo miguu na viti vina miguu, lakini miguu ya viti na ya meza ni tofauti na miguu ya mwanaadamu aloitengeneza meza ile, kwani sifa ya mtengenezaji lazima iwe tofauti na sifa ya kilichotengenezwa, ama sivyo mtengenezaji na kilichotengenezwa watakuwa kitu kimoja. Na Allaah Ndiye mwenye kupigiwa mifano bora, sifa Zake Subhaanahu wa Ta’ala haziwezi kufananishwa na sifa zetu. Lakini wakati huo huo lazima tukikubali kila Alichojinasibisha nacho Subhaanahu wa Ta’ala.)

ALLAH ANA MACHO Na tunaamini kuwa Allah Anayo macho mawili kikweli, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
وَاصْنَعِ الْفُلْكَ بِأَعْيُنِنَا وَوَحْيِنَا
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu."
Huud – 37
Na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
"Pazia yake ni nuru, na lau kama Ataiondoa basi nuru ya Wajihi Wake ingeunguza kila kilichokifikia."
Na alipokuwa akihadithia juu ya Ad-Dajjaal alisema:
"Dajjaal ana chongo na Mola wenu Hana chongo."
Na tunaamini kuwa macho yetu hayamfikii kumuona Allaah.
Allaah Anasema:
لاَّ تُدْرِكُهُ الأَبْصَارُ وَهُوَ يُدْرِكُ الأَبْصَارَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
"Macho hayamfikilii, bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari."
Al-An’aam – 103

Ndugu wasomaji, teyari mmesha elewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu kwasabau ana Mikono.
Mungu awabariki sana.

Katika Huduma yake,

Max Shimba

Max Shimba Ministries Org.

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

QURAN SIO MANENO YA ALLAH WALA MUNGU

Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam wote duniani. Waislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti Quran yote ni maneno ya Allah. Unapo wauliza, huyo Allah aliwezaje ongea na Muhammad, wanabakia kimya na kuanza kukutukana. Zaidi ya hapo, leo nitawawekea ushahid tosha kuwa Quran sio maneno ya Allah bali ya watu na viumbe mbali mbali.
Haya ungana nani kwa ushahidi:
SHETANI ANASEMA KWENYE QURAN
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Kwenye Surat Al Hijr, tumesoma kuwa Shetani ndie anazungumza katika hiyo aya ya 39. Kumbe basi, Shetani ni msemaji ndani ya Qurani.

HAPA TUNASOMA KUWA ZAKARIA NA YEYE NI MZUNGUMZAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam: Zakaria Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe.
Waislam, hivi Quran ni maneno ya nani?
Endelea kupata darasa hapa:

MARYAM NA YEYE NI MSEMAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam aya 18: Maryamu akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
Waislam, mbona na Maryam anasema kwenye Quran? Au siku hizi Maryam amekuwa Allah? Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam.

MALAIKA NAO WANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 21: Malaika akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
Ndugu msomaji, kwanini Waislam wanapenda kusema uongo namna hii, eti Quran yote ni Maneno ya Allah? Mbona tunasoma viumbe wengine wakisema ndani ya Quran?

ISSA BIN MARYAM NA YEYE ANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 36: Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
Issa na yeye alisema kwenye Quran. Lakini Muhammad yeye hakuwai sema chochote kile kwenye Quruani wala kuzaliwa kwake hakukutajwa kwenye Quran. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa WAISLAM.

ALLAH NA YEYE ATEREMSHA AYA NA KUSEMA KUWA MUHAMMAD NI MWENDAWAZIMUQuran 15: 6. Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.

SWALI LANGU KWA WAISLAM NI DOGO SANA:
1. NI NANI MSEMAJI KATIKA QURAN?
2. QURANI NI MANENO YA NANI?
Mkiweza nijibu kwa aya na bila shari, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Waislam huwa wanasema kama huamni kuwa Quran ni maneno ya Mungu, basi teremsha aya kama za Quran, huku tukifahamu kuwa kuna aya nyingi ambazo wasemaji wake ni wengine na sio Allah.
Sasa, huu utata tunawaachia waislam waje hapa kutujibu bila ya kuweweseka.

QURAN NI MANENO YA NANI?
Karibu sana kwa Yesu aliye hai ambaye ndie NENO LA UZIMA.
Max Shimba
Max Shimba Ministries

MUHAMMADI (SAW) ALIMILIKI WATUMWA WEUSI

Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza moja ya kazi ambayo alifanya Nabii wa Allah.
Nabii Muhammad aliwachukulia watu weusi kama watumwa. Hata alikuwa akimiliki watumwa weusi kadhaa. Bilal, Abu Hurairah, Usama Ebn Zayyed, na "Ghulaam" (kijana) aliyeitwa Rabbah, walikuwa miongoni mwa watumwa wa Muhammad.
Hata sasa, nchini Saudi Arabia, nchi mama ya uislamu, neno la kawaida kwa "mtu mweusi" ni "Abd" likiwa na maana ya mtumwa.
Muhammad alikuwa na maoni gani kuhusu kuwaachia huru watumwa?
Kuna tukio mojawapo ambapo mtu alimwacha huru mtumwa ambaye alikuwa mwenziwe kingono. Wakati Muhammad aliposikia kitu kilichotokea, alimpiga mnada huyo mvulana na kumuuza kwa derhamu 800 kwa Na-eem Ebn Abdullah Al-Nahham. (Sahih Muislamu juzuu ya 7, uk.83).
Kwa mujibu wa Muhammad, adhabu ya ugoni ni tofauti kati ya mwanaume aliyehuru, mwanamke aliyehuru, na mwanamke mtumwa. Mwanaume alipaswa kupigwa mijeredi mia moja na kufukuzwa kutoka kwenye jamii kwa mwaka moja. Mwanamke alipaswa kupondwa mawe hadi kufa. Lakini mwanamke mtumwa, mjakazi, (kwa kuwa alikuwa na thamani kifedha) hakufukuzwa wala kuuawa ila alipigwa mijeredi mia moja. Ikiwa kosa hilo litarudiwa, mjakazi huyo aliuzwa (Sahih Al Bukhary juzuu ya 8:821, 822).

UISLAMU ULIWADHARAU WEUSI
Uislamu ni dini, ambayo Maandiko yake matakatifu yana maneno yanayowadhalilisha watu weusi wazi wazi.
Muhammad aliwaita watu weusi "vitita vya mizabibu" [raisin heads]. (Sahih Al Bukhary juzuu ya 1, na. 662 and juzuu ya 9 na. 256).
Katika Hadhithi ambayo imethibitishwa kuwa kweli, Muhammad amenukuriwa akisema, "Watu weusi huiba wakiwa na njaa; wakishiba huzini" (Sahih Mwislamu).
Katika Hadith nyingine Muhammad amenukuriwa akisema, "ni lazima umtii Imam (kiongozi) hata kama ni mtumwa mwenye pua iliyobonyea" (ikimaanisha mtu mweusi). Angalia Sahih Muislam juzuu ya 9 uk.46 na 47.
Zingatia, upande mwingine, kuwa Yesu Kristo alikuja kutupa uzima wa milele, ambapo kila mmoja ni sawa mbele za Mungu.
"Hapana Myahudi wala Myunani. Hakuna mtumwa wala aliyehuru. Hakuna mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu" (Wagalatia 3:28).
Tofauti kati ya mafundisho ya kiislam na mafundisho ya Yesu Kristo ni kubwa. Uchaguzi uko wazi, na uchaguzi huu ni wako mwenyewe.
IJUE KWELI
IFUATE KWELI
ISAMBAZE KWELI
"Mtaifahamu kweli, na hiyo kweli itawaweka huru" (Yohana 8:32).
"Kwa hiyo simameni, msinaswe tena na utumwa" (Wagalatia 5:1, 2).
TENGENEZA NAKALA ZA KIPEPERUSHI HIKI NA UWAPATIE WATU WENGINE
Max Shimba Ministries

Sunday, January 24, 2016

ADAM, MUSA, IBRAHIM NA DAUDI HAWAKUWA WAISLAM

Ndugu msomaji,

Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti, Adam, Musa, Ibrahim na Daudi walikuwa ni Waislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.

Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:

ADAM, MUSA, IBRAHIM DAUDI HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanye shahada. Adam, Musa, Ibrahim na Daudi hawakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Adam, Musa, Ibrahim na Daudi walisema SHAHADA. Hivyo basi, Adam, Musa, Ibrahim na Daudi hawakuwa Muislam.

SASA NITAANZA KUHOJI UISLAM KWA KUPITIA QURAN, KAMA KWELI ADAM, MUSA, IBRAHIM NA DAUDI WALIKUWA WAISLAM:

ALLAH ANASEMA KILA UMMA AMEUPA KITABU NA MTUME:

Soma;
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.

Angalia hii aya pia

Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.

Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.




NABII ADAM::::::::::::::::::::
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA ADAM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Kama kweli Allah aliteremsha Kitabu kwa kila Umma, na Adam ni Nabii wa Allah, basi ningependa mnijibu maswali yafuatayo:

1. ADAM alipewa kitabu gani, naomba mtuwekee nakala yake hapa na mtuambie jina la hicho Kitabu.

2. ADAM alikuwa Nabii wa Umma gani, wakati yeye ndie alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa? [Naomba mtutajie jina la Umma wa Nabii Adam]

3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha ADAM kuwa ADAM alisema shahada.

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya hakupewa Adam.




NABII MUSA:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA MUSA NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Allah anaendelea kusema kuwa aliteremsha Taurat kwa Nabii wake Musa.

Surat Al Baqara 136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.

Kama kweli Musa alipewa na au teremshiwa kitabu na Allah, basi naomba mnijibu maswali yafuatayo:

1. Kipo wapi na au ipo wapi NAKALA YA TAURAT ambayo Allah aliiteremsha kwa Musa kabla ya Quran?

2. MUSA alikuwa Nabii wa UMMAH gani? Naomba muutaje huo Ummah kwa jina.

3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha MUSA kuwa MUSA alisema shahada.

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Taurat ya Musa iliyo teremshwa kabla ya Quran.




NABII IBRAHIM:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA IBRAHIM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.

Angalia hii aya pia

Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

S. 3:67 Shakir: Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Allah amesema kila Umma ulipewa Nabii na ujumbe "Kitabu" na Ibrahima alikuwa Muislam, SASA BASI.

1. Waislam, Nitajieni jina la kitabu ambacho Ibrahim alipewa na Allah?

2. Nileteeni ushahid wa aya kutoka hicho kitabu kuwa Ibrahim alisema Shahada.

3. Nitajieni jina la Ummah ambao Ibrahim alikuwa Nabii wake?

4. Allah anasema kuwa Ibrahim hakuwa Yahudi wa Mkristo, kama hayo madai ni kweli, KWANINI WAISLAM WANASEMA KUWA UKRISTO ULIANZISHWA NA PAULO, huku ALLAH ANAKIRI KUWA HATA WAKATI WA IBRAHIM KULIKUWA NA UKRISTO?

NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Kitabu ambacho Ibrahim aliteremshiwa kabla ya Quran.



NABII DAUDI:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA DAUDI NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:

ALLAH ANASEMA "NA DAUDI TUKAMPA ZABURI :
Surat An Nissai aya 163, Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi. S. 4:163

Kama ni kweli Allah aliteremsha Zaburi kwa Daudi, basi maswali yafuatayo lazima yapewe majibu:

1. Daudi alikuwa Nabii wa Ummah upi, naomba Waislam muutaje huo ummah kwa jina.

2. Ipo wapi NAKALA YA ZABURI ambayo Allah aliiteremsha kwa Daudi kabla ya Quran?

3. Daudi alipokea hiyo Zaburi akiwa Mji gani?

4. Leteni aya kutoka Zamburi aliyo iteremsha Allah kabla ya Quran ambayo DAUDI anasema SHAHADA.


NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio ZABURI ambay iliteremshiwa kabla ya Quran.

MKINILETEA UTHIBISHO WA MASWALI YANGU HAPO JUU,

BASI LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM

Katika huduma yake,

Max Shimba Ministries

Saturday, January 23, 2016

ISA WA QURAN SIO YESU WA BIBLIA (UTHIBITISHO WA SABA)

Je, Yesu ni Mwana wa Mungu?
Je, Isa bin Mariam ni Mwana wa Mungu?

Biblia inasema kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. Katika hii mada, tuanze kwa kuangali, Je, Biblia inasema nini kuhusu Yesu? Kumbuka kuwa, Biblia ndio ilikuja kwanza kabla ya Quran. Ushahid unonyesha kuwa Biblia ilikuwepo miaka 632 kabla ya Quran kuandikwa na marafiki zake Muhammad.


YESU NI MWANA WA MUNGU

Tunaona hapa Biblia inatuambia YESU KRISTO ni Mwana wa Mungu (YOHANA 20:30-31) hapa Yesu mwenyewe anasema yeye ni Mwana wa Mungu ( MATHAYO 26:59-64; 16:13-17 ) , Neno Mwana linamzungumzia Yesu Mwana siyo kuwa Mungu anazaa la hasha

Yesu anaitwa mwana wa Mungu kwa sababu alizaliwa kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Hata sisi tumezaliwa kwa mara ya pili kwa Roho tunapo mwamini Yesu Kristo hivyo tunahesabika kuwa ni wana wa Mungu.(WAFILIPI 2:14-15,YOHANA 1:12). Kwahiyo Yesu anapoitwa Mwana wa Mungu maana yake ni chapa ya Mungu (HUIOS) WAEBRANIA 1:1-3. Ndiyo maana hapa Yesu anawaambia wanafunzi wake, mumeniona mimi ; mumemuona Mungu, maana yake ndiyo hiyo (HUIOS) yaani chapa ya Mungu (YOHANA 14:7-9)

Tunaona hapa Yesu alisema Yeye ni Mwana wa Mungu (YOHANA 9:35-37)
Shetani naye anajua kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu (MARKO 3:11,LUKA 4:41).
Malaika nao wanasema kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu (LUKA 1:30-35)
Mungu mwenyewe anasema kuwa Yesu ni Mwanangu mpendwa (MATHAYO 3:17,MATHAYO 17:5 )


ISA WA QURAN SIO MWANA WA MUNGU

Kama kuna jambo ambalo Allah Mungu anayeabudiwa na waislamu analikataa sana kupitia Qurani basi jambo hilo si lingine bali ni uwana wa Mungu. Allah anasema hivi.
Quani 6:101 Suratul Al-An-am [Wanyama]
Yeye ndiye Mwumba wa mbingu na ardhi. inamkinikanaje awe na mwana, hali hana mke. Naye ndiye aliye umba kila kitu (sio baadhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu.
Qurani 9:30 Suratul At-Tawba [Kutubu]
Na mayahudi wanasema “uzeri ni mwana wa Mwenyezi Mungu;”na “Wakristo wanasema Masihi ni Mwana wa Mwenyezi Mungu” Haya ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao (pasina na kuyapima). Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao, Mwenyenzi Mungu uwaangamize. Wanageuzwa namna gani hawa!

Allah anasema katika aya hizo hapo juu kuwa, yeye hana Mwana na kuwa Wakristo na Wayahudi wanamsingizia Allah kuwa na Mwana. Allah anasema kuwa, yeye hana Mwana kwasababu hana MKE. Ikiimanisha kuwa, Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kufanya tendo la ndo na Mwnamke. Huu ni ushahid tosha kuwa, Allah sio mjuzi wa yote, maana hawezi kuwa na mwana bila ya mke. 

Hebu tuangalie aya zingine za Biblia zinasema nini kuhusu Yesu.
1. Mathayo 17:5 ….Huyu ni mwanangu mpendwa wangu…
2. Malaika wa Mungu alisema hivi.
Luka 1:30-31,35
Malaika akamwambia usiogope Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu.

Hivyo Isa siyo Mwana Mungu lakini Yesu ni mwana wa Mungu. Kwa hivyo Yesu siyo Isa.

Leo tumejifuinza kwa mara nyingine tena kuwa Isa wa Quran sio Yesu wa Biblia kwa kuwa Isa wa Quran yeye sio Mwana wa Mungu.
Katika huduma yake,

Max Shimba

Max Shimba Ministries

Copyright © Max Shimba Ministries 2015

Wednesday, January 20, 2016

YESU NI MUNGU KUTOKANA NA QURAN (SEHEMU YA KWANZA)

Waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini kupitia wahadhiri wao wa Dini wamekuwa wakipinga kuwa Yesu Kristo si Mungu kwa madai kuwa, Mungu hawezi kuzaliwa.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu Umungu wa Yesu Kristo katika Koran:

Je Yesu anazo sifa za kipekee za Mungu kutokana na Quran?
Hebu tuanze utafiti wetu kwa kusoma Quran na tujionee wenyewe kama kweli Yesu ni Mungu au la.

MUNGU NI MFALME
Adhama ya Kwanza kutokana na Quran: Mungu ni Mfalme:
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni “Mfalme”. Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mfalme”? Haya tusome Quran kwanza.
Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.
Sasa tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee kutokana na Koran.

Biblia takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14

Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.

Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa “Mfalme wa Wafalme” ambayo ni adhama ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.

Tuendelee na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.

MUNGU NI MTAKATIFU
Adhama ya Pili kutokana na Quran: Mungu ni Mtakatifu:

Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mtakatifu”? Tusome Quran kwanza:

Quran 59: 23 Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.

Katika Quran tumesoma kuwa, moja ya sifa za Mungu ni “Mtakatifu”, Je sifa hii ya utakatifu Yesu anayo?

Nenda kwenye hihiyo Kuran 19:19 Malaika akasema hakika mimi ni mjumbe ili nikupe Mwana Mtakatifu -Isa Bin Maryam.

Koran hiyo hiyo inatuhakikishia na kutujibu kuwa Yesu ambaye anajulikana kwa jina la Isa Bin Maryam katika Quran ni Mwana Mtakatifu. Hivyobasi, hii adhama ya Utakatifu ambayo ni ya Mungu pekee, tunasoma katika Quran iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ameinyakua. Yesu anaitwa Mwana Mtakatifu.

BWANA NI MWENYEZI MUNGU
Adhama ya Tatu kutokana na Quran: Bwana ni Mwenyezi Mungu
Hebu tufungue Quran na tusome kuhusu Bwana:

Quran 3:39 Alipo kuwa kasimama chumbani akisali, Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni Bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema naye ni Nabii Isa.
Quran 39: 29

Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na Bwana Mmoja tu. Je! Wako sawa katika hali zao?

Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu! Lakini wengi wao hawajui.
Quran 39:29 inasema kuwa Mwenyezi Mungu ni Bwana na hiyo ni sifa njema kwa Mwenyezi Mungu. Zaidi ya hapo, Koran hiyo hiyo (Quran 3:39) inasema kuwa Isa Bin Maryam ni Neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu na ni Bwana. Koran imejibu kuwa, sifa ya Bwana ambayo ni ya Mungu pekee ni ya Yesu. Sasa tusome na Biblia kwa ushaidi zaidi kuhusu Yesu ni Bwana.
Ufunuo 17:14

Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa MaBwana na Mfalme wa Wafalme.

Katika Ufunuo tunasoma kuwa Mwana Kondoo ambaye ni Yesu Kristo anaitwa Bwana wa Mabwana. Hivyobasi, hii adhama ya “Bwana” ambayo ni ya Mungu pekee tunasoma katika Quran iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ni Bwana na ameinyakua, vilevile, katika Biblia Takatifu tumesoma kuwa Yesu anaitwa Bwana, ambayo ni Sifa ya Mungu Pekee kutokana na Quran.

Leo nimejibu hoja ya Waislam kuwa, Je, Yesu ni Mungu? Koran pamoja na Allah wanasema kuwa Yesu ni Mungu kwa kuwa Yesu anazo adhama zote na/au sifa zote za Mungu.

Katika huduma yake,

Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

Saturday, January 16, 2016

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YEYE SIO AKBAR

1. ALLAH AOMBA MSAADA KWA VIUMBE DHAIF
2. KUMBE ALLAH SIO AKBAR
Sura Al-Ankabut 29:6
Quran inasema:
Allah does not need his creatures’ help.
Yaani,
Allah hahitaji kusaidiwa na viumbe wake. (bila shaka ni katika kutekeleza makusudi na mipango yake).
LAKINI QURAN HIYO HIYO INAWAAMBIA WAISLAMU:
Sura Muhammad 47:7
If you help Allah, He will help you and make you strong.
Yaani,
Kama mkimsaidia Allah, yeye naye atawasaidia na kuwafanya kuwa imara.
Maswali:
1. Umesema huhitaji msaada, kisha unasema tena unahitaji msaada! Je, Mungu anaweza kufanya jambo kama hilo?
2. Aya hizi zinafanana au zinapingana?
3. Je, hii si ishara kuwa aya hizi zilisemwa tu ili kukidhi mahitaji ya wakati fulani, lakini msemaji alipoona anahitaji kuwafanya watu watende kinyume chake, akajikuta amesema tofauti na alivyosema siku za nyuma?
Na tena quran inasema katika sura Al-Baqara 2:244
Fight for the cause of Allah and bear in mind that He hears all and knows all.
Yaani:
Fanyeni vita kwa ajili ya Allah na mkumbuke kwamba anaona yote na anajua yote.
Maswali:
1. Kama kweli Allah hahitaji msaada wa viumbe wake; na kama kweli aliumba ulimwengu wote kwa NENO TU, iweje NENO hilo hilo lisiweze kuwabadilisha wanadamu hadi alazimike kuliingiza ndani yao kwa nguvu, kwa vitisho na kwa ukali namna hiyo?
(Ukristo unashinda na kufanikiwa kwa NENO tu. Maana sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu wetu. Yeye aliumba kwa Neno; na sisi watoto wake, tunaumba kwa Neno hilo hilo. Tunahubiri tu na watu wanaokolewa, wanaponywa, wanalindwa na kusimama na Mungu wa kweli. Huoni kwamba hii hasa ndiyo maana ya nguvu ya Mungu? Hatuhitaji kuchinja au kupiga watu ili wampende Mungu!! Unawezaje, hata tu wewe mwenyewe, kumfanya mwanao au mkeo akupende kwa njia ya vipigo na kulazimisha? yaani, ukitaka mwanao au mkeo akupende utamshikia rungu au panga au bunduki? Je, hiyo si ishara kwamba wewe huna nguvu ndiyo maana unalazimisha? je, huko si kujikanganya maana umetuambia kuwa wewe ni Mungu unayeweza yote?)
2. Je, Allah anapotaka wanadamu wanaomwamini wafanye vita ili kuwalazimisha wasioamini wamwamini, huko si kutaka msaada kwa viumbe wake?

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUSEMA KUWA AKHERA ITAJAA WATU WENYE CHUKI

Sura Al-Nahl 16:28
The angels will say to those whom they cause to die in purity, ‘Peace be on you.’ Come into paradise for what you did.
Yaani:
[Kuhusu wale wanaoingia mbinguni] – Malaika watasema kwa wale ambao watawafanya wafe katika usafi (utakatifu), ‘Amani na iwe juu yenu. Ingieni paradiso kutokana na matendo yenu.’
LAKINI, QURAN HIYO HIYO INASEMA:
Sura Al-Hijr 15:45-47
Indeed, the righteous will be within gardens and springs, [Having been told], "Enter it in peace, safe [and secure]." And We will remove whatever is in their breasts of resentment, [so they will be] brothers, on thrones facing each other.
Yaani:
Surat Al Hijir
45. Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem. 46. (Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani. 47. Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
Maswali:
1. Katika 16:28, inaonekana kwamba watakaiongia peponi ni watu walio safi kwa sababu malaika wamesababisha watu hao wafe wakiwa safi. Lakini 15:45-47 inaonyesha kuwa wataingia peponi wakiwa na chuki mioyoni mwao. Je, chuki ni sehemu ya usafi?
2. Je, aya hizi zimetoka kwa mtoaji yule yule?
3. Kama chuki ni mbaya kiasi cha kuhitajika kuondolewa mioyoni mwa Waislamu wanaoingia peponi, iweje wakiwa duniani wanaagizwa kuwachukia wale wasio Waislamu (kama tulivyoona kwenye 4:101)?

ALLAH ATEREMSHA AYA KWA MUHAMMAD NA KUSEMA UISLAM NI DINI YA VITA

1. KUMBE ALLAH NI KIGEUGEU
2. KUMBE MUHAMMAD NI KIGEUGEU
Sura Al-Kafirun 109:1-6
Say, "O unbelievers, I do not worship what you worship, nor do you worship what I worship. I shall never worship what you worship, nor will you worship what I worship. You have your own religion and I have mine."
Yaani,
Enyi msioamini, mimi siabudu mnachoabudu, wala ninyi hamuabudu ninachoabudu. Mimi kamwe sitaabudu kile mnachokiabudu, wala ninyi kuabudu kile ninachokiabudu. Ninyi mnayo dini yenu, nami nina yangu.
Pia, quran inasema katika sura Al-Baqara 2:256
There shall be no compulsion in religion.
Yaani:
Hakutakuwapo na kulazimishana katika dini.
LAKINI ALLAH HUYO HUYO ANASEMA:
Sura Al-Anfal 8:39
Make war on them until persecution is no more and Allah’s religion reigns supreme.
Yaani:
Fanyeni vita juu yao hadi kusiwepo na mateso tena na hadi pale dini ya Allah itakapokuwa imetawala.
Maswali:
1. Aliyemwambia Muhammad asiwalazimishe wasioamini kuamini Uislamu ndiye huyo huyo aliyemwambia afanye vita?
2. Aliyesema kuwa “ninyi msioamini hamtaabudu ninachoabudu” ndiye huyo huyo anayesema ni vita tu hadi dini ya Allah itawale?
3. Na je, aliyesema kuwa hakuna kulazimishana katika masuala ya dini ndiye huyo huyo anayesema watu wake wapigane vita?
4. Huku si kujipinga mwenyewe?

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction Muslims ...

TRENDING NOW