Friday, January 29, 2016

MUHAMMADI (SAW) ALIMILIKI WATUMWA WEUSI

Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza moja ya kazi ambayo alifanya Nabii wa Allah.
Nabii Muhammad aliwachukulia watu weusi kama watumwa. Hata alikuwa akimiliki watumwa weusi kadhaa. Bilal, Abu Hurairah, Usama Ebn Zayyed, na "Ghulaam" (kijana) aliyeitwa Rabbah, walikuwa miongoni mwa watumwa wa Muhammad.
Hata sasa, nchini Saudi Arabia, nchi mama ya uislamu, neno la kawaida kwa "mtu mweusi" ni "Abd" likiwa na maana ya mtumwa.
Muhammad alikuwa na maoni gani kuhusu kuwaachia huru watumwa?
Kuna tukio mojawapo ambapo mtu alimwacha huru mtumwa ambaye alikuwa mwenziwe kingono. Wakati Muhammad aliposikia kitu kilichotokea, alimpiga mnada huyo mvulana na kumuuza kwa derhamu 800 kwa Na-eem Ebn Abdullah Al-Nahham. (Sahih Muislamu juzuu ya 7, uk.83).
Kwa mujibu wa Muhammad, adhabu ya ugoni ni tofauti kati ya mwanaume aliyehuru, mwanamke aliyehuru, na mwanamke mtumwa. Mwanaume alipaswa kupigwa mijeredi mia moja na kufukuzwa kutoka kwenye jamii kwa mwaka moja. Mwanamke alipaswa kupondwa mawe hadi kufa. Lakini mwanamke mtumwa, mjakazi, (kwa kuwa alikuwa na thamani kifedha) hakufukuzwa wala kuuawa ila alipigwa mijeredi mia moja. Ikiwa kosa hilo litarudiwa, mjakazi huyo aliuzwa (Sahih Al Bukhary juzuu ya 8:821, 822).

UISLAMU ULIWADHARAU WEUSI
Uislamu ni dini, ambayo Maandiko yake matakatifu yana maneno yanayowadhalilisha watu weusi wazi wazi.
Muhammad aliwaita watu weusi "vitita vya mizabibu" [raisin heads]. (Sahih Al Bukhary juzuu ya 1, na. 662 and juzuu ya 9 na. 256).
Katika Hadhithi ambayo imethibitishwa kuwa kweli, Muhammad amenukuriwa akisema, "Watu weusi huiba wakiwa na njaa; wakishiba huzini" (Sahih Mwislamu).
Katika Hadith nyingine Muhammad amenukuriwa akisema, "ni lazima umtii Imam (kiongozi) hata kama ni mtumwa mwenye pua iliyobonyea" (ikimaanisha mtu mweusi). Angalia Sahih Muislam juzuu ya 9 uk.46 na 47.
Zingatia, upande mwingine, kuwa Yesu Kristo alikuja kutupa uzima wa milele, ambapo kila mmoja ni sawa mbele za Mungu.
"Hapana Myahudi wala Myunani. Hakuna mtumwa wala aliyehuru. Hakuna mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu" (Wagalatia 3:28).
Tofauti kati ya mafundisho ya kiislam na mafundisho ya Yesu Kristo ni kubwa. Uchaguzi uko wazi, na uchaguzi huu ni wako mwenyewe.
IJUE KWELI
IFUATE KWELI
ISAMBAZE KWELI
"Mtaifahamu kweli, na hiyo kweli itawaweka huru" (Yohana 8:32).
"Kwa hiyo simameni, msinaswe tena na utumwa" (Wagalatia 5:1, 2).
TENGENEZA NAKALA ZA KIPEPERUSHI HIKI NA UWAPATIE WATU WENGINE
Max Shimba Ministries

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW