Wednesday, April 13, 2016

ALLAH, MUHAMMAD, UISLAM NA QURAN NDIO 666



ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Ndugu Msomaji,
Katika kijaridi hiki, tutajifunza kuhusu Mnyama aliye semwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, Biblia Takatifu.
KATIKA kitabu cha Ufunuo 13:18 ametabiriwa mnyama ambaye idadi ya herufi za jina lake itakuwa 666. Wataalamu wa Biblia (wanatheologia) wamekhitilafiana katika aya hiyo.
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Mnyama - Ufunuo 13:1-18
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kwanza tujue "mnyama" huyu amepata kutoka wapi madaraka hayo makubwa. Kama inavyoeleweka, hadi sasa dunia iko chini ya miliki ya Shetani (Taz. Yohana 12:31, 16:11; 1 Yohana 5:19 nk). Hivyo naye mnyama amepewa mamlaka hayo na shetani, yaani "Joka". (Taz. Ufunuo 13:1-10, 12:7-9). Kwa hiyo "Mnyama" huyo ni Wakala wa Shetani duniani. Hivyo atafanya juhudi zote kinguvu, kiushawishi nk. ili wanadamu wamwasi Mwenyezi Mungu na wamtii Mkubwa wake (Shetani).
Sifa za Mnyama
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(2) Wakuu wa dola (Marais, Wafalme, Masultani nk.) wote watamtegemea yeye na kumpa mamlaka na nguvu zao za kidola. Hivyo watatawala kwa kufuata apendavyo "mnyama". Kwa hiyo watakuwa mawakala wa mnyama katika nchi zao. Kwa hiyo nao watakuwa mawakala wa "Joka" (Shetani). "... Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme (watawala) kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao: (Ufunuo 17:12-13).
ALLAH ATEUWA NABII "MNYAMA"
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Allah anasema kuwa ataleta Mnyama ambaye atawasemeza watu.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kwanza fahamu kuwa, namba SITA ni namba thabit katika Mahesabu, ni namba pekee ambayo ukiijulimsha au zidisha namba tatu za kwanza unapata 6.
1 + 2 + 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
Sura 111 ina 100 letters na Gematrical Value of letter Qaf ni namba 100.
Sura 111 ina aya 6 ; 111 x 6 = 666 , The Quran
Sura 6 aya 111 ambayo ukizidisha unapa 666 aya katika jedwali la Qaf.
Waislam wanasema “ALLAHUAKBAR” mara 111 katika maombi yao ya kila siku "times in daily contact prayers".
Ukijumlisha namba zote 666 = 6+6+6 unapata 18, na mfano 111 ni sawa na 111 (100+10+1).
SASA BASI,
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Kwanini Waislam wanasema kuwa "ISLAM WILL DOMINATE THE WORLD" ?
Kwanini Allah aliumba Mnyama na kumpta UTUME?
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

MUNGU AMETUONYA KUTOKUWA NA UHUSIANO NA MAJINI



1. LAKINI ALLAH KASEMA MAJINI NI MAISLAM
2. ALLAH AKIRI KUWA MAJINI MACHAFU YANAMWABUDU YEYE
3. YEHOVA KASEMA WOTE WENYE UHUSIANO NA MAJINI WATAINGIA JEHANNAM
Ndugu msomaji,
Je, Biblia Inasema nini kuhusu uhusiano na Mapepo au Majini
Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano na pepo. Imeandikwa, Mambo ya Walawi 19:31 "Msiwaendee wenye pepo wala wachawi, msiwatafute ili kutiwa unajisi na wao mimi ndimi BWANA Mungu wenu."
Ilikuwa kawaida ya watu wa zamani kusali Majini na Pepo. Mungu aliwaonya wana wa Israeli kuhusu uombaji wa pepo na uchawi. Imeandikwa katika Kumbukumbu la torati 18:9-12 "utakapokwisha ingia katika nchi akupayo BWANA Mungu wako usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto wala asionekane mtu atazamaye mbao wala mtu atazamaye nyakati mbaya wala mwenye kubashiri wala msihiri wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo wala mtu apandishaye pepo wala mchawi wala mtu awaombaye wafu kwa maana mtu atandaye hayo ni chukizo kwa BWANA kisha ni kwa sababu ya hayo BWANA Mungu wako anawafukuza mbele yako."
Biblia yatupa mwanga kuhusu hali ya pepo. Imeandikwa, katika Matendo ya mitume 16:16-18 "Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele akisema watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu wenye kuwahubiria njia ya wokovu akafanya hayo siku nyingi lakini Paulo akasikitika akageuka akamwambia yule pepo nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo mtoke huyu akamtoka saa ili ile."
SASA BASI, NILIPO ENDELEA KUSOMA VITABU VYA DINI YA UISLAM NIKAKUTA KUWA, ALLAH WA UISLAM YEYE ANAABUDIWA NA MAJINI NA ZAIDI YA HAPO, MAJINI YALISILIMU NA KUWA MAISLAM.
HILI NI JAMBO LA KUSHANGAZA, MAANA KWENYE BIBLIA YEHOVA KASEMA NA KUTUONYA KUTOKUWA NA UHUSIANO NA MAJINI.
QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
Majini wanatajwa sana katika dini ya Kiislamu kwa kuwa ni waislam kwa kusilimu, kwa kuiamini Quran tukufu aliyopewa mtume Muhammad.
Majini walisilimu na kuwa Waislamu mwaka 610 AD (Baada ya Yesu) SOMA 72:1-14 QURAN. Hivyo basi, unapotumia neon jinni maana yake unatumia lugha ya Kiarabu ukimaanisha Pepo mchafu. Ni kama Spoon/kijiko, vyote ni kitu kimoja. Ndani ya Quran, neon “PEPO” limetumika kama Paradiso, mbinguni. Lakini pia, tunapata neon jingine liitwalo AKHERA ila neno hilo halimaanishi PARADISO, bali kwa lugha ya Kiarabu neno hili “AKHERA” lina maana ya KUZIMU.
Lakini pia ukiangalia ndani ya SURALJINN ( QURAN 72:1-2, 8-9, 12 ) Mapepo hawa wanajieleza waziwazi kabisa kuwa mwanzo waliishi Mbinguni, walipogeuka kwa kuasi, walitegwa na Mungu. Linganisha na maandiko haya katika Biblia ( UFUNUO WA YOHANA 12:7-9; YUDA 1:6-8; UFUNUO 20:10; UFUNUO 21:8 ). Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu, hawa majini ( Mapepo ) waliotegwa na Mungu Mbinguni wakiwa Malaika huko na kutupwa Duniani baada ya kuasi huko, sasa, wakati wa mtume Muhamad katika safari yake ya kurudi Taif mwaka 620 AD (baada ya Yesu) wapo walioamini na kuona kuwa Quran ni ya ajabu ya kuwatangazia neema ya kuabudu. Katika vol 8-9, husema , wanapojaribu kwenda Mbinguni ( walikotoka zamani ), hukuta ile Mbingu imezungushiwa vimondo vya moto. Hivyo, hudai kuwa mbingu yao iko Akhera, yaani Kuzimu, maana Mbingu ya juu ina moto na hawana uwezo wa kwenda huko. SOMA (QURAN 72:9), Mbingu ina utisho wa moto ila Akhera ( kuzimu ) hakuna shida kwao.
MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
Hivyo basi, kulingana na jinsi Allah asemavyo ndani ya Quran kuwa nimeumba binadamu na majini ili muniabudu ( QURAN 57:58 ; 51:56) na kuwa , mbinguni mwao Majini wanaabudu (Majini waliosilimu mwaka 620 AD) ,SOMA QURAN 72:14, ambao ni wema wanaosafiri na kurithi uzima wa milele upatikanao Akhera ( Kuzimu ). Lengo kubwa la Shetani na Majini ni kufanya urafiki na wanadamu wengi ili kwa wingi huo apate watu wengi wa kwenda nao JEHANAMU ( QURAN 6:128 ). Jambo la muhimu kujua hapa ni kwamba moto wa milele hakuwekewa Mwanadamu bali ni Shetani na malaika zake wote ( Majini au mapepo ). Hawa, hawana nafasi tena ya kuungama au kutubu.
LAKINI YESU ANAYAAMURU MAJINI KUTOKA NDANI YA WATU
Yesu Kristo anayetambuliwa na Waislam kama Mtume tu, hakuwa na urafiki wowote na Shetani wala Mapepo ( Majini ). Aliyaamuru Majini kutoka ndani ya watu waliokuwa wakiteswa nayo ( MATHAYO 8:29: MARKO 5 N,K )
Wakati Yesu anaondoka hapa duniani, alichukuliwa na wingu na kupaa kuelekea juu. Mbinguni ni juu kama Quran inavyothibitisha. Yesu aliweza kupaa na kuingia Mbinguni lakini Majini ( Mapepo ) walioslimu wakijaribu tu, wanakutana na moto mkali. Tumeona kuwa Majini ambao ni Waislamu kwa kusilimu, wanaishi AKHERA yaani Kuzimu. Je, Waislamu wengine unadhani wataishia wapi milele? Katika imani ya Kiislam huamini kuwa, Muislam akifa anakuwa na Majini wawili wa Kumlinda humo Kaburini.
Pepo ni wale malaika waliomwasi Mungu kule mbinguni na kutupwa hapa duniani. Imeandikwa katika Ufunuo 12:7-9 "Kulikuwa na vita Mbinguni Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye Ibilisi na Shetani adanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye."
Kwa sababu pepo za husiana na Shetani, mtu katika israeli angeonekana akifanya pepo ilibidi auawe. Imeandikwa, katika Mambo ya walawi 20:27 "Tena mtu mme au mke aliye na pepo au aliye mchawi hakika atauawa watawapiga kwa mawe damu ya itakuwa juu yao." Isaya 8:19 yasema "Na wakati watakapokuambia tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndeye na kunong'ona je haiwabasi watu kutafuta habari kutoka kwa Mungu waoje! waende kwa watu walio kufa kwa ajili ya watu walio hai?."
KILA MUISLAM ANA JINI KATIKA MWILI WAKE. HILI NI JAMBO LA AJABU SANA, MAANA YESU YEYE ALIYATOA MAJINI NDANI YA WATU.
Majini wamepewa ruhusa ya kukaa katika mwili wa Muislam yeyote, hivyo kila Muislam ana Jini kuanzia moja na kuendelea. Vile vile Majini wameruhusiwa kukaa katika nyumba za Waislam. Katika nyumba yoyote ya Muumini wa dini hiyo, kuna Jini au Majini wanaokaa humo. Ni ukweli usiopingika kuwa bila Majini hakuna Uislamu kama vile pasipo Roho Mtakatifu hakuna Ukristo. Majini ndiyo yaliyomchukua mtume Muhamad kwa muda wa siku 40 akiwa Mabondeni walikompeleka na kuanza kumuagiza kuhusiana na kuanzisha imani hiyo ya Kiislamu.
Sasa inakuwaje Yesu atoe Majini ndani ya watu kama ilivyo sema kwenye Luke 11:14, Matthew 8:16, Mark 1:34, Luke 4:41, Matthew 8:32, Mark 5:8, nk huku Allah yeye akiwajaza Waislam Majini?
Katika Walawi 19: 31, Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano wowote ule na Majini, LAKINI Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Ndugu msomaji, natagemea baada ya kusoma hiki kijarida kifupi kuwa umeelewa na kufahamu Allah wa Quran sio Mungu wa Biblia anaye kataza uhusiano na Majini.
Mawali la kujiuliza:
1. Kwanini Mungu wa kwenye Biblia anakataza uhusiano na Majini LAKINI Allah wa Quran anaruhusu uhusiano na Majini?
2. Kwanini Mungu wa Biblia anatoa Majini ndani ya Watu, LAKINI Allah wa Quran anawajaza watu Majini?
3. Kwanini Mungu wa Biblia nasema kuwa Majini yote yataingia Jehannam LAKINI Allah wa Quran anasema kuwa Majini yalisilimu na ni Maislam?
Ndugu msomaji, ushahid wa aya umesha usoma mwenye. Nakushauri umchague Mungu wa Biblia anye kupenda na kulinda kutoka hizo nguvu chafu za Majini.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

Tuesday, April 12, 2016

KWANINI MUHAMMAD ALITAKA KUJINYONGA “COMMIT SUICIDE”?


1. MUHAMMAD ALITAKATA KUJINYONGA
2. MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJIRUSHA ILI AFE
3. AISHA ASEMA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Ndugu msomaji,
Tunaposoma Biblia tunajifunza kuwa Mungu aliwapa Unabii na Utume watu wake kwa njia ya upendo. Lakini nilipo soma vitabu vya Allah nilikutana na mambo ya ajabu sana.
Bila ya kupoteza muda, ngoja niweke vitabu vyake ili na wewe ujisomee mwenyewe. Maana Waislam huwa wanadai eti nawasingizia au namzulia uongo Allah.
KATIKA SAHIHI BUKHARIY TUNASOMA KUWA MUHAMMAD ALIJARIBU KUJINYONGA KWA SABABU YA HUZUNI KWENYE NYOYO YAKE:
Mtume wa Mwenyezi Mungu akasema: Wao watanifukuza? Riwaya inaendelea kwa yanayoshangaza zaidi kuliko hayo Waraqa bin Naufal alipomkuta MTUME AKIJARIBU KUJINYONGA KWASABABU YA HUZUNI yake kwa kukatika Wahyi, kama si Jibril kumtuliza mara hii baada ya kuwa Waraqa bin Naufal akifanya hivyo. Sahihi Bukhariy J:9 uk 93 kita Ta’abiyri
Swali la kujiuliza hapa ni hili: Hivi wapi tunasoma kwenye Taurat au Zaburi au Injili kuwa Mitume wa kwenye Biblia walijaribu kujinyonga kama Muhammad wa kwenye Quran?
Nilipo endelea kusoma vitabu vya Waislam nikagundua kuwa, hilo tukio la kujaribu kujinyonga “commit suicide” halikufanywa mara moja na Muhammad ambaye ni Nabii kipenzi cha Allah.
MUHAMMAD ALIPANDA MLIMANI NA KUJARIBU KUJITUPA ILI AFE, JE HII TABIA YA KUTAKA KUJIUA NI YA KINABII? Soma hiki kisa hapa chini:
Kisha Waraqa hakuchukua muda akafariki na Wahyi ukakatika kwa muda na Nabii (s.a.w.w.) akahuzunika, ambapo katika yaliyo tufikia mara nyingi huzuni ilipelekea kutaka kujirusha kutoka katika vilele vya milima, lakini kila alipopanda mlima ili ajiangushe Jibril alimtokea na akamwambia Ewe Muhammad “Hakika wewe ni Mtume wa kweli wa Mwenyezi Mungu, basi kwa hayo inapoa hasira yake na nafsi yake inatulia na anarudi na unaporefuka muda wa kutopata Wahyi anarudia hayo, na anapofika kwenye kilele cha mlima Jibril anamtokea na kumwambia mfano wa aliyomwambia. J: 8 uk 234 kitabu Daawaati
Umesoma mwenyewe ushahid kutoka vitabu vyao kuwa Muhammad alitaka kujinyonga na au kujiua au kuitoa nafsi yake. Hii ni ishara tosha kuwa yule anaye daiwa kumpa wahai ni Shetani na sio Mungu wa kwenye Biblia ambaye ni wa upendo. Lakini nilipo endelea kusoma vitabu vyao, nikagundua kuwa labda haya matatizo yanatokana na kurogwa kwake Muhammad. Hebu soma kwanza hiki kisa cha Muhammad kama kinavyo simuliwa na mke wake kipenzi Aisha:
Kutoka kwa Aisha amesema:- Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alilogwa hadi alikuwa anapagawa kuwa amefanya kitu kumbe hakukifanya hadi siku moja alipokuwa kwangu alimuomba Mwenyezi Mungu akamjibu, kisha akasema ewe Aisha umehisi kuwa Mwenyezi Mungu amenijibu nilivyomuomba. “ “ J: 8 uk 56 kitabu Adabu
Nabii (s.a.w.w.) alibaki siku kadhaa wa kadha amepagawa kuwa amemwingilia mke wake na wala hakumwingilia. Al –fruqaan 25
UMESOMA MWENYEWE KUWA MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA na niajabu sana kwa Nabii wa Allah kurongwa huku Allah akimwangalia tu na kuto fanya chochote kile. Nilipo isoma Biblia Takatifu, sikuwai soma kuwa kuna Nabii wa Jehovah ambaye alirogwa kama Muhammad wala ona kuwa kuna Manabii walitaka kujinyonga kama Muhammad wa kwenye Quran.
Nilipo endelea kusoma vitabu vya Waislam, nikagundua kuwa kumbe Muhammad alikiri kuwa yeye ni mwendawazimu: Soma huu ushuhuda wa Nabii wa Allah:
The "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Book of the Major Classes), by Ibn Sa'd, kimetafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], Ukurasa 225 Nabii Muhammad anasema:
O Khadija, ninaona mwanga na kusikia masauti sauti, nafikiri mimi ni Mwendawazimu.
Kwenye tafsiri zingine zinasema kuwa Muhammad alisema anafikiria kuwa yeye ni “KICHAA”
Je, huu ushuhuda inawezakana kuwa ulitokana na kupigwa kwake kabali na Jibril kwenye pango:
MUHAMMAD AKIRI KUPINGWA NA KUBANWA MBAVU ZAKE NA KIUMBE AKIWA PANGONI,
Katika kitabu kiitwacho: Maisha Ya Nabii Muhammad s.a.w uk 16-17 kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy, tunasoma kama ifuatavyo;-
Hata siku moja- katika mwezi wa Ramadhani mwezi 17, Jumatatu katika mwaka wa 40 ½ wa umri wake- mtume alimwona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumwona wapi katokea, akamwambia; “soma”. Mtume akamjibu; “Mimi sijui kusoma kwani sijapata kujifundisha kusoma.” Akaja akamkamata akambana, akamwambia tena; “soma,” Mtume akamjibu jawabu yake ileile. Hata mara ya tau akamwambia; “soma- Iqraa Bismi Rabbik.” Akamsomea sura hiyo ya 96 mpaka kati yake. Kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa. Hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika Qur’an, ingawa haijawekwa mwanzo.
Mara, yule mtu (Malaika) akaondoka machoni mwake- asimwone kenda wapi. Na mtume naye akarejea kwake-khofu imemshika. Alipofika nyumbani, Bibi Kadhija alidhani ana homa, akamfunika maguo gubigubi na akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka. Hata homa ilipomwachia alimweleza Bibi Kadhija yote yaliyomtokea; na Bibi Kadhija akamtuliza moyo wake, akamyakinishia ya kuwa hapana lolote baya litakalomzukia. Mara bibi huyu akaondoka akenda kwa jamaa yake – Bwana Waraqa bin Naufal- akampa habari yote iliyompata mumewe. Naye akamwamrisha amwite. Na mtume akenda akamweleza habari yake yote. Bwana Waraqa akamwambia; “ Huyo ndiye Jibril aliyemshukia Nabii Musa na Nabii Isa. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu, nami natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako; Inshaallah nitakuwa mkono wako wa kulia” Wakarejea kwao na khofu yote imemtoka”.
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani: Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
Umejisomea mwenyewe visa vya Muhammad aliye tajiribu kwa mara kadhaa kuitoa nafsi yake na au kujinyonga.
Kulingana na Biblia, kujiua si kigezo cha kukufanya uingie mbinguni. Mtu asiyeokoka akijiua huwa amejipeleka moja kwa moja katika ziwa la moto. Biblia inataja watu wanne waliojiua: Sauli (samueli wa kwanza 31:4), Ahithofeli (samueli wa pili 17:23), Zimri (wafalme wa kwanza 16:18), na Yuda (Mathayo 27:5). Kila mmoja wao alikuwa mwovu na mwenye dhambi. Biblia inachukulia kujiua sawa na kuua – na hivyo ndivyo ilivyo – kujiua mwenyewe. Mungu ndiye ni aamue lini na vipi mtu afe. Kuchukua jukumu hilo mkononi mwako kibiblia ni kufuru kwa Mungu.
SASA WAISLAM, NIONYESHENI, wapi kwenye Taurat, au Zaburi au Injili kama kuna Mtume aliye na sifa za ajabu kama za Muhammad, sifa za kujaribu kujinyonga?
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 12, 2016

Monday, April 11, 2016

KWANINI MUHAMMAD ALIMILIKI WATUMWA NA MATEKA WA KIAFRIKA?

Ndugu msomaji,
Leo tujikumbushe kidogo kuhusu kazi ya Muhammad nabii wa Allah.
"Anas bin Malik alisimulia: Mtume wa Mungu alikuwa safarini na alikuwa na mtumwa Mwafrika aitwaye Anjasha, na alikuwa akiendesha ngamia..." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 95 na.182 uk.117.
"Anas alisimulia: ... Na Anjashah, mtumwa wa Nabii [Muhammad], alikuwa akiendesha ngamia..." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 111 na.221 uk.142.
"Jabir bin ‘Abdullah alisimulia: Mtu mmoja miongoni mwetu alitanganza kuwa mtumwa wake angepewa uhuru baada ya kifo chake. Nabii alimwita yule mtumwa na akamuuza (1) Mtumwa yule alikufa mwaka uleule." Rejeo chini ya ukurasa (1) inasema "Mtoaji uhuru alikuwa na shida, kwa hiyo Nabii alimuuza mtumwa kwa niaba yake na kumruhusu kuiondoa ahadi yake ya kumpa mtumwa uhuru baada ya kifo chake." Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 45 (Kitabu cha Rehani kwenye Sehemu Zinazomilikiwa na Wakazi wa Kudumu ‘The Book of Mortgaging in Places Occupied by Settled Population’) sura ya 9 na.711 uk.427.
"Kisha mtu aitwaye Rifa’a bin Zaid ... alimleta mtumwa aitwaye Mid’am kwa Mtume wa Allah" Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 78 (Kitabu cha Viapo na Nadhiri) sura ya 33 na.698 uk.455.
"Kuuzwa kwa Mudabbar (yaani mtumwa aliyeahidiwa na bwana wake kuachiwa huru baada ya kifo cha bwanawe." (433) Jabir alisimulia: Nabii alimuuza Mudabbar (kwa niaba ya bwana wake aliyekuwa bado hai na anahitaji hela)." Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 34 (Kitabu cha Mauzo yaani Kujadiliana Juu ya Bei) sura ya112 juzuu ya 433 na kabla ya uk.238.
"Mtu wa Ansari alimfanya mtumwa wake Mudabbar na hakuwa na mali nyingine yoyote isipokuwa yeye. Nabii aliposikia hilo, alisema (kwa washiriki wake), ‘Nani anataka kumnunua (yaani mtumwa) kwa ajili yangu?’ Nu’aim bin An-Nahham alimnunua kwa Dirham mia nane." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 79 (Kitabu cha Fidia za Viapo Visivyotimizwa) sura ya 7 na.707 uk.464.
"‘Ammar alisimulia: Nilimwona Mtume wa Mungu na mahali pale hapakuwa na mtu yoyote isipokuwa watumwa watano, wanawake wawili, na Abu Bakr (yaani hao ndio waliokuwa watu pekee waliobadili dini na kuwa Waislam kwa wakati huo)." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 57 (Washiriki wa Nabii) sura ya 6 na.12 uk.8.
" [Ibn Az-Zubair] alimtumia [‘Aisha] watumwa kumi ambao aliwaacha huru kama fidia kwa (kutotimiza) nadhiri yake. ‘Aisha aliwaacha huru watumwa zaidi kwa lengo hilohilo mpaka aliwaachia watumwa arobaini. Alisema, ‘Ningejua ningeeleza bayana jambo la kufanya iwapo nitashindwa kutimiza nadhiri yangu nilipokuwa naiweka ili kwamba niweze kuitimiza kirahisi.’"(1)
Rejeo la chini ya ukurasa (1) linasema, "‘Aisha hakueleza bayana nini angefanya endapo angeshindwa kutimiza ahadi yake, hii ndio sababu aliwaachia huru watumwa wengi sana ili aweze kujirahisishia utoshelevu wa kiapo chake." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 (Maadili na Matendo Mema ya Nabii na Washiriki Wake) sura ya 2 na.708 uk.465.
"Na ‘Ata hakupenda kuwaangalia hao wajakazi waliokuwa wakiuzwa Maka isipokuwa alipokuwa anataka kuwanunua." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 74 (Kitabu cha Kuomba Ruhusa) sura ya 2 na.246 uk.162.
Tendo la Ndoa na Watumwa na Mateka:
"Je mtu anaweza kusafiri na mjakazi bila kujua kama ni mjamzito au la? Al-Hasan hakuona shida kwa mwenye mtumwa kumbusu au kumpapasa kwa mahaba mjakazi.
Ibn ‘Umar alisema, ‘Kama mjakazi afaaye kuhusiana naye kimwili ametolewa kuwa zawadi kwa mtu mwingine, au ameuzwa, au ameachwa huru, bwana wake hatakiwi kufanya naye tendo la ndoa kabla hajapata hedhi moja ili kupata uhakika wa kutokuwepo kwa mimba, na hakuna haja hiyo kwa bikira.’
‘Ata alisema, ‘Hakuna madhara yoyote kumpapasa kimahaba (1) kijakazi mjamzito bila kufanya naye tendo la ndoa. Allah alisema: ‘Isipokuwa kuwapapasa kimahaba wake zao na (mateka wanawake) ambao mikono yao ya kuume inawamiliki (kwani katika hali hii hawastahili kulaumiwa).’" Rejeo chini ya ukrasa (1) linasema, "Mjamzito na mtu mwingine, siyo bwana wake wa sasa." Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 34 (Kitabu cha Mauzo yaani Majadiliano ya Bei) sura ya 113 baada ya na.436 uk.239-240. (Sehemu hiyo hiyo ‘Ata kama hapo awali.)
"Abu Sai’id Al-Khudri alisema kuwa wakati alipokuwa amekaa na Nabii wa Allah alimwambia, ‘Oh Mtume wa Mwenyezi Mungu! Tunapata mateka wanawake kama sehemu yetu ya nyara, na tunapendezwa na bei zao, una maoni gani kuhusu [tendo la ndoa la] kukatiza kujamihiana na kumwaga nje?’ Nabii alisema, ‘Je unafanya hivyo kweli? Ni vema kwako kutokufanya, Hakuna nafsi ambayo Allah ameifanya kuishi isipokuwa itakuja kuishi." Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 34 (Kitabu cha Mauzo, yaani Majadiliano ya Bei) sura ya 111 na.432 uk.237.
"Ibn Muhairiz alisimulia: Niliingia msikitini na nikamwona Abu Sa’id Al-Khudri na kukaa pembeni yake na nikamuuliza kuhusu Al-’Azl (yaani kukatiza kujaminiana). Abu Sai’id alisema, ‘Tulitoka na Mtume wa Allah kuelekea Ghazwa [vita] ya Banu Al-Mustaliq na tulipata mateka miongoni mwa mateka Waarabu na tuliwatamani wanawake na useja ukawa mgumu kwetu na tulipenda kufanya ngono ya kukatiza kujamihiana. Basi tulipokusudia kufanya ngono ya kukatiza kujamihiana, tulisema, ‘Tunawezaje kufanya ngono ya kukatiza kujamihiana kabla ya kumuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyepo miongoni mwetu?’ Tulimuuliza kuhusu jambo hili na akasema, ‘Ni vema kutokufanya hivyo, kwa sababu nafsi yoyote kama iliandikwa kuishi itaishi mpaka Siku ya Kiama." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 (Kitabu cha Safari za Kijeshi) sura ya 31 na.459 uk.317. Sehemu hii inasema sawa na Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 77 (Kitabu cha al-Qadr) sura ya 3 na.600 uk.391. Kwa maneno mengine, chochote kitakachokuwa kitakuwa, hivyo usizuie kwa namna isiyokuwa kawaida. Muhammad hakuwahi kukosoa kuwasumbua kingono mateka au watumwa ambao mtu anawamiliki.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 9, 2016

DINI YA UISLAMU NI YA KIPAGANI

Wasaudia na Waislaumu wanapoenda Makka ku Hij wao huzungukazunguka Al-Hajir Al-Aswad. Hizi ni ibada za kipagani za kuabudu miungu ambayo ni dhambi na chukizo kwa Mwenyezi Mungu/Yahweh.

Hivi kuna dini yoyote duniani inayowafundisha watoto wa miaka 2, 6, 10 n.k kushika bundudi na kujifungia mabomu ili wakauwe wasio waislamu?



Hivi kuna dini yoyote duniani inayowafundisha watoto wa miaka 2, 6, 10 n.k kushika bundudi na kujifungia mabomu ili wakauwe wasio waislamu? Kama ipo inafaa kuitwa dini au dini ugaidi?

KWANINI WAISLAM WANAPENDA KUTUKANA SANA WAKRISTO?

1. SIRI YA MATUSI KUTOKA KWA WAISLAM HII HAPA
2. MUHAMMAD NAYEYE ATOA LUGHA CHAFU KWA MTOTO YATIMA
Wakristo msishangazwe sana na matusi ya Waislamu.
Imekuwa ni kawaida sana kuona Waislamu wakitoa matusi mazito tena bila hofu kabisa, pale wanapoona hoja za Wakristo zimekuwa ngumu kwao, Lakini matusi hayo wanayatoa kwa kuwa Vinywa vyao, vimejaa Vijambo vya shetani, yaani Shetani hutanua makalio yake na kuwaachia mishuzi midomoni mwao, ambayo hupeleka kuwafanya waislamu watukane bila aibu, na ushahidi huo ameusema Muhammad mwenyewe mtume wa Waislamu.
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kwa hivyo wenzetu hawa wapo katika himaya ya shetani, tusiwashangae sana bali tuzidi kuwapa Injili, Ili wazinduke waache kujambiwa midomoni mwao na shetani, maana shetani amewatawala sana, Licha ya kuwajambia midomoni, lakini pia, hujikita kulala katika tundu za pua zao waislamu.
Amesimulia Abu Huraira (r.a) Mtume (s.a.w) alisema “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basa atawadhe na apandishe maji puani, na apenge mara tatu, kwa sababu shetani alilala ndani ya tundu za pua yake” (Bukhari, Hadithi na. 516, juzuu ya 4)
LAKINI PIA SHETANI HAISHI TU KUWAJAMBIA NA KULALA KATIKA TUNDU ZA PUA ZAO, bali pia huyafanya matako ya Waislamu, kama sehemu ya kujiburudhisha kwa michezo yake ya kupuliza,
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa hivyo sisi Wakristo tunalo jukumu kubwa sana la kuwafikishia Injili hawa watumwa wa shetani yaani Waislamu, Ili waache Kujambiwa na shetani, waache kufanywa vitanda vya shetani, Waachwe kufanywa sehemu ya michezo ya shetani kupitia matako yao.
MUHAMMAD AMTUKANA NA KUMLAANI MTOTO YATIMA
Nabii Muhammad alimtukana na kumlaani mtoto yatima aliye kuwa na Umm Sulaim (Ambaye ni mana ya Anas). Sahih Muslim, Book 032, Number 6297)
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhamaad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 11, 2016

MAHAKAMA YA KADHI HAIPO KWENYE QURAN

Ndugu wasomaji.
Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.
Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi.
Narudia tena hakuna aya.
SASA NDUGU WAISLAM:
1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?
- Nani anawachagua wamchifu wa kadhi na ipo wapi aya inayo sema hivyo?
2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?
- Zitaje sifa zinamfanya mtu apewe hiyo kazi ya uchifu nk Leteni aya kutoka Quran.
3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?
- Kwasababu wanao ongoza hizo Mahakama sio Mawakali walio somea na hakuna aya kutoka Quran inayo wapa uongozi huo, je, hoa viongozi watatumia nini kuweka haki katika hizo mahakama?
4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?
- Kuna madhebu makubwa mawili ya Waislam, Suni na Shia. Wengi wao wa Tanzania ni Suni, ingawa kuna Shia wengi vile vile, Je, watakapo chagua hao viongozi wa kadhi, watachaguaje maana Suni na Shia hawakai kiti kimoja? Je, watakuwa na mahakama mbili tofauti?
5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.
- Je, ni kivipi Mwanamke wa kiislam analindwa maana Allah alisha sema kuwa Mwanamke yeye ni nisu ya Mwanaume(Surah 2:282) katika maswala ya mirathi? Zaidi ya hapo Quran inampa haki Mume tu kutoa talaka na mke anaachwa bila ya haki yeyote ile Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7? Je, ikiwa mke anataka kutoka talaka, atatumia aya zipi za Quran?
Sheria za taifa la Tanzania zinapingana na hii Kadhi, je, Waislam watafuata sheria za nchi au watafuata sheria za kadhi na kuvunja sheria za nchi?
Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.
Mahakama ya Kadhi inapinga sheria za nchi.
Waislam, kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?
Hakika ni dhambi kubwa kumzulia uongo Allah na kumsaidia Allah ambae kasema hana msaidizi na ni muweza wa yote.
Karibu katika Ukristo ambao utawaweka huru kutoka vifungo vya sheria.
“Kwa maana Mungu alimfanya Yeye asiyekuwa na dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi TUPATE KUFANYWA HAKI YA MUNGU katika Yeye.” (Wakor.5:21). Mstari wa maana sana na mwenye uzito! Na tena imeandikwa, “Kwa maana kama vile kwa kutokutii yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi WATAFANYWA WENYE HAKI.” (Warumi 5:19). Huu ni ukweli wa Mungu – kutokana na dhambi ya Adamu tulifanywa wenye dhambi. Kwa kuzaliwa kwetu kwa kwanza tulipata tabia ya mwenye dhambi, na sawasawa na tabia hiyo tunafanya dhambi. Sasa, VIVYO HIVYO kupitia utii na mateso ya Yesu Kristo msalabani TUMEFANYA WENYE HAKI! Kwa kuzaliwa kwa pili tunapata Roho ya Mungu na maisha ya Yesu ndani yetu na sawasawa na Uzima huo tumewekwa huru mbali na dhambi ili “tusitumikie dhambi tena.”
Yesu amevunja ile nguvu za dhambi katika maisha yetu. “Kwa sababu sheria ya ROHO WA UZIMA ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.” (Warumi 8:2). Sheria ya nje haina uwezo kuibadilisha hali ya kiroho yako au tabia yako. Kwa mfano, na tuweke sheria kwa ajili ya nyoka, na sheria hiyo inasema “uwe mwanakondoo!” Sasa, nyoka anaweza kujitahidi sana awe mwanakondoo; anaweza kujaribu kufanya hivi na hivi; anaweza kusali na kwenda kanisani, lakini anabaki nyoka! Hakuna mabadiliko! Kwa hiyo Yesu alisema, “Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye AWE NA UZIMA WA MILELE KATIKA YEYE.”
Karibuni kwa Yesu na atakuweka huru kutoka Mahakama ya Kadhi na Sharia za Uislam.
Max Shimba Ministries Org
© Max Shimba Ministries 2013

ISA WA QURAN SIO YESU WA BIBLIA (UTHIBITISHO WA TANO)


Je, Isa ni Jina sahihi la Yesu wa Biblia?
Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?
Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika " sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.
Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).
Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.
Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:
Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).
Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta (LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki. Injili ziliandikwa katika lugha ya Kigiriki ilitumia utamaduni huu wa kutafsir kwa muda mrefu.
Kwasababu Kiyahudi na Kiarabu ni lugha mbili za Kisemiti, na zina uhusiano wa karibu, kuna baadhi ya sheria maalumu ambayo sauti/maneno/maandishi ya Kiebrania yanahusiana na ambayo sauti/maneno katika Kiarabu. Hasa, Neno la Kiebrania Shin mara kwa mara linatumika kama Dhambi katika Kiarabu, kwa mfano neno la Kiyahudi la amani, shalom ni sambamba na neno “salam” la Kiarabu. Kulingana na sheria za lugha na mahusiano kati ya Kiyahudi na Kiarabu, Yasu 'ni sahihi kwa Kiarabu na kwa Kiebrania ni Yeshua:
Yeshua '= Yod + + Shin Waw +' Ain
Yasu '= + Ya + Sin Waw +' Ain
Tena, katika lugha sahihi, jina la Yasu ni Kiarabu sawa na Yeshua Kiebrania. Hivyo, katika utamaduni na jadi ya Kiarabu jina la Yasu ndilo sahihi na pekee kutokana na kiisimu. Mpito kutoka Yeshua kwa Yasu inafuata sheria ya kawaida ya mabadiliko fonetiki kutoka Kiyahudi na Kiarabu. Yasu ni jina la Kiarabu la Yesu. Kinyume chake, Yasu ndio jina lenye asili ya Yeshua.
Early Hebrew (long form): Yehoshua' = Yod + He + Shin + Waw + 'Ain
Later Hebrew (short form): Yeshua' = Yod + Shin + Waw + 'Ain
Arabic (Christian): Yasu' = Ya + Sin + Waw + 'Ain
Arabic (Muslim): 'Isa = 'Ain + Ya + Sin + Ya
“Ya” na “Waw” ni maneno dhaifu, katika lugha ya Kiarabu, hufundisha kwamba mtu anaweza kurejea katika maneno mengine kama kuchukua juu ya aina mbalimbali (declension, inflection). Hivyo, mtu anaweza kuona kwamba fomula ya Kiislamu 'Isa kimsingi ni ya bandia/kutungwa na binadamu (inversion) (pamoja na mabadiliko ya Waw ili Ya) kwa Mkristo wa Kiarabu jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislamu.
Nategemea leo umejifunza tofauti iliyopo kati ya Jina la Yesu-Kiswahili, Yasu-Kiarabu na Yeshua-Kiebrani.
Jina la Yesu Libarikiwe Sana
Katika Huduma yake
Max Shimba Ministries Org \
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 11, 2016

ISA WA QURAN SIO YESU WA BIBLIA (UTHIBITISHO WA NNE)

Je, Mama wa Isa ndiye wa Yesu Kristo?
Hapo awali tumeona kuwa mama wa Isa anaitwa Maryamu, Surah 3:45 na pia mama wa Yesu anaitwa Mariamu Mathayo 1: 18-21, Marko 6: 3-4 lakini kufanana kwa majina hakuwezi kamwe kumaanisha kuwa ni mtu mmoja, kwani walio na jina hilo ni wengi. Biblia inatufundisha hivi.
Yohana 19:25 – Na penye Msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama, Mamaye, na ubu la mamaye Mariamu wa Klopa na Mariamu Magdalena.
Hapa tunaona Mariamu watatu. Ili kutambua tofauti baina ya Mariamu mama wa Isa na mama wa Yesu, lazima tulinganishe ujumbe wa Qurani na Biblia. Qurani inasimulia kuhusu baba na kaka wa Mariamu mama wa Isa hivi.
Suratul 66:12 – Na Maryamu mtoto wa Imrani aliyejihifadhi nafsi yake na tukampuliza humo roho yetu, (inayotokana na sisi) na akayasadikisha maneno ya mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevu (wakubwa).
Surah 19:28 – Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya. Wala mama yako hakuwa hasharati.
Hapa tunaona kuwa Maryamu mama wa Isa, baba yake ni Imrani na kaka yake aliitwa Haruni. Tusomapo Biblia inatueleza kuwa Amrani aliwazaa hawa:-
Hesabu 26:59 – Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi binti wa Lawi, ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amram Haruni, na Musa, na Miriamu umbu lao.
Pia soma 1 Nyakati 6: 1-3 na Kutoka 6:20.
Huyo Amrani aliishi miaka mingi kabla ya Yesu na tena ametokana na kizazi cha Lawi mtoto wa watu wa mzee Yakobo. Mwanzo 29:34; Kutoka2:1-10
Ikiwa Mariamu wa Qurani baba yake ni Imrani basi atakuwa ameishi miaka 1500 kabla mama yake Yesu wa Biblia hajazaliwa!
Je, Mariamu mama wa Yesu ametokana na kizazi gani?
Tunaposoma Biblia tunaona kwamba Yesu anaitwa mwana wa Daudi Mathayo 1:1; Marko 10:47 na Luka 1:27, 32, ndiyo maana pia Yesu anaitwa Simba wa Yuda Ufunuo 5:5. Hivyo basi ukoo aliyetoka Yusufu na Mariamu wa Yesu ni mmoja.
Hivyo basi Maryam wa Quran ambaye aliishi miaka 1500 kabla ya Mariam wa Biblia hakuwa mama yake Yesu. Zaidi ya hapo, Maryam wa Quran ni daya ya Musa na Haruni ambao waliishi Misri.
Leo tumeendelea kujifunza kuwa Maryam wa Quran sio na ni tofauti na Mariam wa kwenye Biblia.
Mungu awabariki sana na tuendelee kujifunza tofauti katika ya Isa wa Quran na Yesu wa Biblia.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 10, 2016

TRENDING NOW