Saturday, April 23, 2016

KUMBE ALLAH HAJATAKASIKA



ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YEYE NA UISLAM HAWAJATAKASIKA
Bila ya kupoteza muda tuanze kwa kusoma SURAT AL-AH'ZAB
(Imeteremka Madina). Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani , alie fanya tarjuma hii ni Mzalendo wa Zanzibar, aliezaliwa 13 January 1919, akapata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengineo wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya zaraa katika Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.
MAANA YA KUJITAKASA
a. Ni kujiweka wakfu kwa ajili ya Mungu
b. Ni kuamua kwa dhati kabisa kuchukua hatua ya kuacha kutenda dhambi, kuishi katika dhambi na pia kuchukua hatua ya kuondoa kila aina ya dhambi uliyo nayo.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni. http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Ndugu Waislam, mnaweza tuambia ni uchafu gani mnao taka kuutakasa?
SWALI: ALLAH ALICHAFUKA LINI?
ALLAH ANAMUOMBA MUHAMMAD AMSAFISHIE DINI. KUMBE DINI YA ALLAH INATAKIWA KUSAFISHWA
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall http://www.quranitukufu.net/039.html
Huu ni msiba mwingine kwa Allah, sasa kwenye Surah ya 39 aya 11-12 Allah anamwomba Muhamamd amsafishie dini ya Uislam, sasa tuwaulize Waislam. KWANI UISLAM ULICHAFUKA LINI MPAKA ALLAH AMUOMBE MUHAMMAD KUMSAFISHIA DINI?
Waislam, tuleteeni aya ambayo inathibitisha kuwa Muhammad aliisafisha dini ya Allah?
Waislam, kwanini Allah alimuomba Muhammad kuisafisha dini?
Kwanini Allah alishindwa kuisafisha dini yake?
Kwanini ALLAH ALIOMBA KUTAKASWA?
SASA TUSOME BIBLIA TAKATIFU:
Hesabu 8"17-18 '' Kwa kuwa wazaliwa wa kwanza wote katika wana wa Israeli ni wangu, wa wanadamu na wa wanyama; siku hiyo niliyowapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri niliwatakasa kwa ajili yangu mwenyewe. Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote walio katika wana wa Israeli.''
KATIKA BIBLIA, HESABU 8 17-18 tunasoma kuwa Mungu ndie anaye watakasa watu kinyume na Allah wa Quran anaye omba kutakaswa na watu wenye dhambi. Ndugu msomaji, huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA DINI YA MUHAMMAD YENYE ALLAH ANAYE OMBA ATAKASWE NA WATENDA DHAMBI.
Je, WAISLAM, mnaweza tuambia njia ambayo mnatumia kumtakasa Allah?
2 Nyakati 29:15-17 ''Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa, wakaingia, kama alivyoamuru mfalme kwa maneno ya BWANA, ili waisafishe nyumba ya BWANA. Nao makuhani wakaingia nyumbani mwa BWANA, katika mahali pa ndani, ili waisafishe, wakatoa uchafu wote waliouona hekaluni mwa BWANA, wakautupa nje uani mwa nyumba ya BWANA. Walawi wakautwaa, ili wauchukue nje mpaka kijito cha Kidroni. Basi wakaanza kutakasa siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, hata siku ya nane ya mwezi wakafika katika ukumbi wa BWANA; wakaitakasa nyumba ya BWANA katika muda wa siku nane; wakamaliza siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza.''
Umesoma kwenye Mambo ya Nyakati kuwa anaye takiwa kufanya utakaso ni binadamu na sio MUNGU, Lakini kwenye Quran ya Waislam, tumesoma kuwa Allah anaomba kutakaswa Al-Ahzaab 33: 42. Na mtakaseni asubuhi na jioni.
JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI? TENA ANATAKA KUTAKASWA ASUBUHI NA JIONI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 23, 2016

Friday, April 22, 2016

ALLAH HANA UWEZO WA KUSAMEHE DHAMBI WAISLAM WALIO KUFA



SASA, KWANINI WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD ALIYE KUFA NA DHAMBI?
Quran inaendelea kusema kuwa wale walio kuwa katika Umauti kamwe Allah hana uwezo wa kuwasamehe dhambi, ingawa WAISLAM bado wana utamaduni wa kuombea Maiti msamaha ili Allah aipokee roho ya marehemu.
Suratul Muuminum 101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana. ***102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa. ***103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na katika Jahannamu watadumu. ***104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana. ***105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha? ***106. Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea. ***107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni. Na tufanyapo tena basi kweli sisi ni wenye kudhulumu. 108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze. 109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu. ***110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka. ***111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu. 112. Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka? 113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku. Basi waulize wanao weka hisabu. ***114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua. ***115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?
Katika hii suratul Muuminum tunasoma kuwa hawa ni Waislam walio zidiwa na dhanb, Allah atawakana na hato wasamehe ingawa ndugu zao waliwafanyia maombi wakati wa umauti na kuwasafisha ngama. Allah yeye anasema hato wasamehe hawa Waislam. Ushaidi mwingine unawza upata hapa S. 35:36-37, S. 40:10-12 , S. 43:74-77, S. 67:6-11, S. 4:93
ALLAH HASAMEI MUISLAM ANAPO UA MUISLAM MWENZAKE: MFANO KAMA ULE WA SUNNI WANAPO UANA NA SHIA.
Allah anaendelea kusema kuwa Muislam akimuua Muislam mwenzake, Allah kamwe hato msamehe dhambi yule aliye uwa: Surat An Nisaai 93. Na mwenye kumuuwa Muumini kwa kukusudia, basi malipo yake ni Jahannamu humo atadumu, na Mwenyezi Mungu amemkasirikia, na amemlaani, na amemuandalia adhabu kubwa.
Ushaidi upo mwingi sana wa Waislam kuuwa Waislam wenzao, hasa kwa kujilipua na kupigana kwenye nchi zai. Soma habari za niddle east kwa ushaidi zaidi. Je, hawa Sunni wanapo Pigana na Shia na kutoana Roho wote wataishia wapi? Allah kesha sema kuwa HAO WOTE WATATUPWA JEHANNAM na kamwe Allah hato wasamehe dhambi. Rejea Surat An Nisaai 93. Labda ndio maana Allah alisema kuwa Waislam wote kuingia Jehannam. Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Ndugu zanguni, Allah kamaliza kwenye Sura 40 aya 60 kuwa wale wote wanao jivunia Uislam wataingia Jehannam, Jem kuna Muislam atapona hapo? Kumbe ndio maana Allah ameonyesha kigeugeu katika kusamehe dhambi kwasababu alisha weka amri kuwa Waislam wote wataingia Motoni.
Kumbe ndio maana na Allah ataingia Motoni. Sasa tusome Sahih Hadith: Bukhari :: Kitabu 6 :: Juzuu 60 :: Hadith 371 Amehadithia Anas: Mtume wa Allah alisema, "watu watatupwa (Kuzimu) Jehannam na matokeo yake Jehannam itasema:" Je, kuna zaidi watu zaidi? (50.30) mpaka Allah atakapo weka mguu wake juu ya Kuzimu na Jehannam itasema, 'Qati! Qati! (Imetosha imetosha!) " Ushaidi zaidi: Bukhari :: Kitabu 9 :: Juzuu 93 :: Hadith 481, Bukhari :: Kitabu 6 :: Juzuu 60 :: Hadith 373
Sasa tumefahamu siri kubwa hapa. Kumbe na Allah ataingia motoni. Jamani, hivi huu si ndio Msiba mkubwa sna kwa dini ya Muhammad? Allah nayeye anaingia motoni.
Katika Biblia tunasoma kuwa Shetani na yeye ataingi mtoni, tena atakuwa wa Mwisho kama Allah alivyo kuwa wa Mwsiho pale Jehannam ilipo itisha watu zaidi. Sasa rejea kwenye Biblia: Ufunuo 20:10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele. HAPO TUNASOMA KUWA IBILISI anaingia Motoni na kuwakuta wenzake humo, kama ambavyo Sahih Bukhari imesema kuwa Allah anaingia Jehannam na kuwakuta watu huko.
Ndugu Wasomaji, Allah hana uwezo wa kusamehe dhambi na zaidi ya hapo Allah hana uwezo wa kukwepa Jehannam.
Nawakaribisha watu wote kwa Yesu Kristo aliye hai. Luka 7: 48 Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako. Hapa tunasoma kuwa Yesu anasamehe watu dhambi ambayo ni adhama ya Mungu.
Biblia inaendelea kusema kuwa Yesu anayo amri ya kusamehe dhambi hapa duniani: Soma ushaidi: Marko 2: 10 Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),
NAMALIZA KWA KUSEMA:
Warumi 10: 9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Je, ungependa kuokoka na kuwa na uhakikisho wa kwenda Mbinguni? Kiri kwa kinywa chako kuwa Yesu ni Bwana na amini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua Yesu katika wafu, leo hii utakuwa umeokoka.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 22, 2016

Thursday, April 21, 2016

UTATU UNATHIBITISHWA KWA KUTUMIA HESABU/HISABATI



Kume kuwa na madai na hoja nyingi sana kuhusu hili swala la UTATU. Wengine wanasema kuwa ukijumlisha 1+1+1 unapata 3 na sio MOJA kama ambavyo Wanao amini Utatu wanavyosema.
Tatizo kubwa sio KUJUMLISHA bali unajumlsiha kwa kutumia KANUNI ZIPI AU IPI YA HISABATI. Leo katika Max Shimba Ministries tutawajibu watu wote hili swali la HESABU YA 1+1+1 =1? Je, inawezekana au haiwezekani?
HESABU/HISABATI ZINA KANUNI ZAKE NA LAZIMA TUZIFUATE, KWA BAHATI NZURI, hapa Kwenye Huduma yetu ya Max Shimba Ministries tunazifahamu sana KANUNI ZA HISABATI.
Kuhusu swala la UTATU, Linahusisha NAMBA TATU na hivyo sheria yake lazima iwe ya "TERNARY ADDITION" na sio "BASE TEN ADDITION" kama wengi wenu mnao tumia hiyo hesabu bila ya hata kufahamu kuwa addition yenu MNATUMIA SHERIA YA "BASE TEN" .
SASA NINI MAANA YA TERNARY ADDITION:
1. Ternary namba inatumia BASE 3, tofauti na BASE 10 ambayo mkihesabu na kufikia namba 9, unarudi kwenye 1 na kuongeza "SIFURI" = 10. SASA, katika Ternary addition, unapo hesabu namba mwisho wako ni NAMBA MBILI na inayo fuata ni 10, kama kwenye "BINARY ADDITION" namba yako ya mwisho ni MOJA http://www.allaboutcircuits.com/…/d…/chpt-2/binary-addition/ .
Ninafahamu wengi wenu labda hamjawai soma Hesabu za juu na mnaweza pata walakini, lakini ingia hapa na ujifunze mwenyewe Ternary addition http://homepage.cs.uiowa.edu/~jones/ternary/arith.shtml
SASA TUANZE KUTHIBITISHA UTATU WA MUNGU KWA KUTUMIA HESABU
MSINGI WA TERNARY ADDITION UNATUMIKA:
A. (1 + 1 + 1) Ternary = 10 Ternary
UNAONA JAWABU LAKO NI Ternary (10)
SASA namba zetu tumesha zipunguza na kufikia Tenary 10. Ikiwa na maana kuwa, MSINGI UNAO FUATA NI KUZIJUMLIZA HIZO NAMBA " DIGITS MBILI ZA MOJA NA SIFURI KWA KUTUMIA msingi ule ule wa Ternary addition.
B. (1 + 0) Ternary = 1 Ternary.
SASA TUMESHA PATA JIBU LETU KUWA UTATU UNATHIBITISHIKA KWA KUTUMIA HISABATI, na leo nimewajibu wale wote ambao HESABU SIO SOMO LAO KUWA UTATU UNAJIBIKA HATA KWA KUTUMIA HISABATI.
SASA NENDA KAMUULIZE MKUFUNZI WAKO WA HISABABI YAFUATAYO:
A. Ternary ya (1 + 1 + 1 ) = ?
B. Ternary ya ( 1 + 2) = ?
UKISHA PEWA JIBU MUULIZE TENA HUYO MKUFUNZI WAKO
C. Ternary ya (1 + 0 ) = /
HAKIKA MUNGU NDIE MWANZILISHI WA HISABABTI na hakula asilo liweza.
Mungu awabariki sana, na leo UMESHA JIBIWA KUWA UTATU UNATHIBITISHIKA HATA KWENYE HISABATI.
KURIDHIKA NA YALE TULIYOFUNULIWA .
A. BABA anaitwa MUNGU ( 1 WAKORINTHO 8:6 ).
B. MWANA ( YESU ) anaitwa MUNGU ( ISAYA 9:6; YOHANA 20:26-29 ).
C. ROHO MTAKATIFU anaitwa MUNGU ( MATENDO 5:3-4 )
Katika Isaya 48:16 na 61:1, Mwana azungumza huku akihusisha Baba na Roho Mtakatifu. Fananisha Isaya 61:1 na Luka 4:14-19 kuona Mwana akizungumza. Mathayo 3:16-17 inaelezea ubatizo wa Yesu. Anayeonekana hapa ni Mungu Roho mtakatifu akimshukia Mungu Mwanahuku Mungu Baba akitangaza furaha yake katika Mwana. Mathayo 28:19 na wakorintho wa pili 13:14 ni mifano ya nafsi tatu katika Mungu mmoja.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 21, 2016

Saturday, April 16, 2016

SABABU TANO KWANINI WAKRISTO WANAABUDU JUMAPILI

Ndugu msomaji,
Katika kijarida hiki kifupi, nitakuwekea sababu tano (5) kwanini Wakristo wanaabudu siku ya Jumapili.
Siku ya JUMAPILI, ambayo ndiyo siku ya kwanza ya juma, SIKU YA BWANA aliyoshinda mauti na kufufuka [UFUNUO1:10] Tunaitenga maalum kumwabudu Bwana kwa sababu:-
1) Ni sikukuu ya malimbuko ya mavuno ambayo ilifanywa katika Agano la Kale, SIKU YA PILI baada ya Sabato; Ikiwa ni utabiri wa Kristo ambao ni LIMBUKO lao waliolala [WALAWI23:9-14;1WAKORINTHO15:20].
2) Ni siku ya ushindi ya Bwana wetu Yesu aliyofufuka, na kujidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka kwa Yesu [YOHANA 20:1,19,26 WARUMI 10:9].
3) Siku ya kuja Roho Mtakatifu, Mwangalizi mkuu wa kazi yote ya Mungu katika kanisa, ilikuwa siku ya Pentekoste ambayo ni Jumapili, siku ya pili baada ya sabato [MATENDO 2:1]
4) Siku ya Pentekoste, Jumapili ndiyo siku ya kwanza ambayo kanisa la kwanza lilianza mahubiri na watu 3,000 wakaokoka na kuanza kusanyiko la kwanza la Ibada kanisani [MATENDO 2].
5) Wakristo wa kanisa la kwanza walikusanyika Jumapili [MATENDO 20:6-12;1WAKORINTHO 16:1-2].
Sababu hizi, zinadhihirisha pia wazi wazi kwamba kuabudu Jumapili hakukuanzishwa na mfalme CONSTANTINE wala kanisa Katoliki.
Hakuna andiko lolote linalosema mtu yeyote anayeabudu Jumapili ana alama ya 666 ya mnyama. Huo ni uzushi. Biblia inatupa uhuru wote katika kuchagua siku ya kumwadhimisha Bwana [WARUMI14:5-6]. Vilevile ni muhimu kufahamu kuwa siku zote ni siku za kujifunza Neno [MATENDO 17:11;2:46].
KUSHIKA SIKU, SIYO NJIA YA KUOKOKA
Kushika siku yoyote hata iwe Jumapili, sio njia ya kuokoka.Tunaokolewa kwa kumuamini Yesu kuwa ni BWANA na MWOKOZI na sio kwa kushika siku yoyote [WARUMI 10:9-10,13].
Wokovu wetu siku hizi uko ndani ya Kristo, siyo kwa kushika Torati ya Musa. Kuna watu wasiijua Biblia tena hawaelewi hata Agano Jipya. Hawaelewi KWA NINI Yesu alikufa. Kwa mfano wanaposema, ‘Imeandikwa katika Kutoka 20:8-11 lazima tushiike sabato!’ Je! ina maana mtume Paulo alifundisha uongo? Au alitaka kutudanganya? Au Unafikiri Biblia inajipinga yenyewe? Je! Unaamini Biblia siyo neno la Mungu? Au kwa nini watu wanapenda kujizika katika Agano la Kale?
Najua kuwa narejea kwenye mambo yale yale ambayo tayari nimekwisha yaandika hapo juu. Lakini mambo hayo ni ya kimsingi. Ni lazima tuyaelewe mambo hayo pale tunapoyaangalia maisha ya watu wa Agano la Kale! Kwa kupitia Biblia nzima tunajifunza sasa juu ya Yesu Kristo na wokovu wake. Lakini kama Biblia ni neno la Mungu (na ndivyo lilivyo) kwa nini basi waopo watu wanaopinga mpango wa Mungu kupitia mwanae Yesu Kristo ili waweze kubakia katika mpango wa kale ambaop Mungu mwenyewe ameuondoa?
“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo… Katika ungwana huo Kristo alituandika huru; kwa hiyo simameni, wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa.”
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 16, 2016

HISTORIA FUPI YA BIBLIA NA UTHIBITISHO KUWA HAIJACHEZEWA WALA CHAKACHULIWA

Ndugu msomaji,
Katika nakala hii kuhusu Biblia, nitaanza kwa kujiuliza maswali:
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imechakachuliwa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imejaa shaka au imeharibika au ilibadilika au imechezewa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo, imetiwa mkono wa mtu?
Hayo ni maswali muhimu sana, maana waumini wa dini zingine ambazo hawatumii Biblia kama kitabu chao kikuu, huwa wanadai kuwa, eti Biblia imechakachuliwa na sio maneno ya Mungu. Ikumbukwe kuwa vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kutokea takribani 1400 BC (Kabla Yesu azaliwe) hadi 400 BC. Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa kutoka wastani wa AD 40 hadi AD 90. Hivyo, popote kati ya 3400-1900 miaka imepita tangu kitabu cha Biblia kilipoandikwa. Pia wakati huu, vitabu vya Biblia vilikuwa vimenakiliwa tena na tena. Nakala ya nakala ya nakala zimechapishwa. Kwa mtazamo huu, tunaweza bado kuiamini Biblia kuwa bado ni thabiti na imekamilika.
Awali, Mungu aliwaongoza watu kuliandika neno lake, ilikuwa ni pumzi ya Mungu na isiyo na makosa (2 Timotheo 3:16-17; Yohana 17:17). Hakuna mahali Biblia inatumika nakala hizi za kitabu cha kwanza. Kwa kina kama walimu wa Sheria waliokuwa pamoja wametoa nakala zingine za maandiko, hakuna mtu mkamilifu. Kwa matokeo, tofauti ndogo ndogo za kiuchapishaji "typo" katika nakala mbalimbali za maandiko, hili ni jambo la kawaida katika uchapishaji wa kitabu chechote kile. Yote ya maelfu ya Kigiriki na Kiebrania ambazo ziko hii leo kama ilivyo gunduliwa mwaka 1500 AD.
Hata hivyo, msomi asiye na ubaguzi wowote atakubaliana nami kwamba Biblia imehifadhiwa vizuri sana katika karne zilizopita. Nakala ya Biblia ya karne ya 14 AD ii karibu sana kwa maudhui ya nakala kutoka karne ya 3 AD. Wakati nakala za bahari ya Shamu ziligunduliwa, wasomi walishangaa kwa kuona jinsi zimekaribiana na nakala nyingine ya kale ya Agano la Kale, hata kama nakala za Bahari ya Shamu zilikua za miaka Zaidi ya kitu chochote awali kugunduliwa. Hata wengi wa wakosoaji wa Biblia hukubali kwamba Biblia imevukishwa zaidi ya karne mbali kwa usahihi zaidi kuliko hati nyingine yoyote ya kale.
Hakuna kabisa ushahidi kwamba Biblia imeandikwa upya, kudurusiwa, au kuchezewa kwa namna yoyote ya utaratibu. Kiasi kikubwa cha kupita Biblia inafanya kuwa rahisi kutambua majaribio yoyote ya kupotosha neno la Mungu. Hakuna mafundisho makuu ya Biblia ambayo yametiwa shaka kama matokeo ya tofauti ndogo ndogo ambazo zipo kati ya nakala za asili.
Tena, swali ni, tunaweza kuiamini Biblia? Kamwe! Mungu amehifadhi neno lake licha ya mapungufu yasiyo kusudiwa na mashambulizi ya kukusudia ya binadamu. Tunaweza kuwa na uhakika mkubwa kwamba Biblia tunayo hii leo ni Biblia hiyo hiyo iliandikwa. Biblia ni neno la Mungu, na tunaweza kuwa na imani nayo (2 Timotheo 3:16, Mathayo 5:18).
Hii basi ndio histori fupi kuhusu Biblia na uthibitisho wa Kihistoria kuwa Biblia imekamilika na ni NENO la Mungu.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 16, 2016

MAANA YA AGANO JIPYA




1. JE, KUNA TOFAUTI KATI YA AGANO JIPYA NA AGANO LA KALE?
2. KWANINI MUNGU ALILETA AGANO JIPYA?
Ndugu msomaji,
Katika kijaridi hiki, nitajibu hayo maswali hapo juu, na kuelezea mambo mengi zaidi kuhusu uhusiano wa haya maagano.
Je! Bibilia Takatifu yamanisha nini inaposema Agano Jipya baina yetu {Binadamu} na Mungu?
Agano jipya ndiyo jibu kamili la binadamu na Mlango wa maisha baada ya kifo. Imeandikwa Yeremia 31:33 "Basi agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile asema Bwana nitatia sheria yangu ndani yao na katika ioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao nao watakua watu wangu."
Agano jipya laja kwa njia ya Yesu Kristo. Imeandikwa, Luka 22:20 "Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu."
Agano jipya limeimarishwa kwa ahadi zilizo bora! Tunaye Kuhani Mkuu aliye bora na hekalu lilo kamilika. “Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi.,” (Waebrania 8:6 )
Agano jipya yamaanisha twaweza kwende mbele za Mungu bila mpatanishi kupitia kwake Yesu Kristo. Imeandikwa, Waebrania 7:22 "Basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi [AGANO JIPYA]."
AGANO LA KALE NI MSINGI WA AGANO JIPYA
Huku Biblia ikiwa ni kitabu kimoja, kuna tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya. Kwa njia nyingi, zinakamilishana. Agano la Kale ni la msingi, na Agano Jipya lajijenga kwa huo msingi na ufunuo zaidi kutoka kwa Mungu. Agano la Kale laanzisha kanuni ambazo zinaonekana kuonyesha ukweli wa Agano Jipya. Agano la Kale lina unabii mwingi ambao unatimia katika Agano Jipya. Agano la kale linatoa historia ya watu ; Lengo la Agano Jipya ni juu ya Mtu . Agano la Kale linaonyesha ghadhabu ya Mungu dhidi ya dhambi (kwa kiza cha neema yake) na Agano Jipya linaonyesha neema ya Mungu kwa ajili ya wenye dhambi (kwa kiza cha ghadhabu yake).
AGANO LA KALE LINAMTABIRI YESU "IMANUELI"
Agano la Kale linatabiria Masihi (ona Isaya 53), na Agano Jipya linamdhihirisha masih kuwa yupo ( Yohana 4:25-26). Agano la Kale lakumbukumbu utoaji wa Sheria ya Mungu, na Agano Jipya laonyesha jinsi Yesu Masiya alivyotimiza sheria (Mathayo 5:17, Waebrania 10:9). Katika Agano la Kale, adhabu ya Mungu hasa ni kwa watu wake wateule, Wayahudi; katika Agano Jipya, adhabu ya Mungu hasa ni kwa kanisa lake (Mathayo 16:18). Baraka za kimwili zilizo ahidiwa katika Agano la Kale (Kumbukumbu 29:9) linatoa njia ya baraka za kiroho chini ya Mkataba ya Agano Jipya (Waefeso 1:3).
Unabii wa Agano la Kale kuhusiana na kuja kwa Kristo, ingawa ni wa kina, una kiasi fulani cha utata ambao umerekebishwa katika Agano Jipya. Kwa mfano, Nabii Isaya alisema ya kifo cha Masihi (Isaya 53) na kuanzishwa kwa ufalme wa Masihi (Isaya 26) huku hakuna dalili ya mwenendo wa matukio mawili - hakuna mwanga kwamba mateso na ujenzi wa ufalme utatenganishwa na milenia. Katika Agano Jipya, inakuwa wazi kuwa Masiya amabaye ni Yesu yupo na ujio aina mbili : katika ule wa kwanza aliteseka na akafa (na kufufuka tena), na katika wa pili Yeye ataimarisha ufalme wake. NDIO MAANA YESU KATIKA UFUNUO AMEITWA MFALME WA WAFALME
KUNA ONDOLEO LA DHAMBI KUPITIA YESU KATIKA AGANO JIPYA
Kuna ondoleo la dhambi katika agano jipya. Imeandikwa, Waebrania 9:14-15 "Basi si zaidi damu ya Yesu Kristo, ambaye kwa roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kua sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? na kwa sababu hi ni mjumbe wa agano jipya ili mauti ikisha kufanyika kwa kukomboa makosa ya liyokuwa chini ya agano la kwanza hao waliyo itwa waipokee ahadi ya uridhi wa milele."
Kwa sababu ya ufunuo wa Mungu katika maandiko ni endelefu, Agano Jipya huleta katika lengo kali la kanuni kwamba walikuwa kuletwa katika Agano la Kale. Kitabu cha Waebrania kinaeleza jinsi Yesu kweli ni Kuhani Mkuu na jinsi kafara yake moja kuu ni nafasi ya sadaka zote za awali, ambayo ilikuwa kivuli cha yatakayo kuja. Pasaka ya Agano la Kale (Ezra 6:20) inakuwa Mwana-kondoo wa Mungu katika Agano Jipya (Yohana 1:29). Agano la Kale inatupa sheria. Agano Jipya linafafanua kwamba sheria ilikuwa na maana ya kuonyesha watu mahitaji yao ya wokovu na haikukusudiwa kuwa njia ya wokovu (Warumi 3:19).
Agano la Kale liliona Adamu amepotelewa na peponi na Agano Jipya linaonyesha jinsi peponi inapatikana kupitia Adamu wa pili (Kristo). Agano la Kale lasema kwamba mwanadamu alikuwa ametengwa na Mungu kwa njia ya dhambi (Mwanzo 3), na Agano Jipya linasema kuwa mwanadamu anaweza kurejeshwa katika uhusiano wake na Mungu (Warumi 3-6). Agano la Kale lilitabiri maisha Masihi. Injili imerekodi maisha ya Yesu, na Nyaraka hutafsiri maisha yake na jinsi sisi huitikia yote ambayo amefanya.
Kwa muhtasari,
Agano la Kale huweka msingi wa kuja kwa Masihi ambaye atatoa nafsi yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi za ulimwengu (1 Yohana 2:2). Agano Jipya limenakili kumbukumbu ya huduma ya Yesu Kristo na kisha inaonekana kutizama nyuma juu ya kile alichofanya na jinsi sisi tunastahili kuhitikia. Agano zote mbili zatangaza huyo Mungu mtakatifu, na wa huruma, na hakia ambaye Analaani dhambi bali atamani kuwaokoa wenye dhambi kwa njia ya sadaka ya upatanisho. Katika Maagano yote mawili, Mungu hujifunua kwetu na inatuonyesha jinsi sisi tunastahili kuja kwake kwa njia ya imani (Mwanzo 15:6; Waefeso 2:8).
Mungu ameagiza kufanya nini katika agano jipya?. Imeandikwa, Waebrania 8:10 "Maana hili ndilo agano nitakalo agana na nyumba ya Israeli baada ya siku zile asema Bwana nitawapa sheria zangu katika nia zao na katika mioyo yao nitaziandika nani nitakuwa Mungu kwao."
Hakuna uzima wa milele kwingine kokote nje ya YESU KRISTO (Matendo 4:12 Pia unaweza kusoma Yohana 14:6-7YESU akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa BABA, ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na BABA; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.) Hili ndilo agano jipya na la milele ambalo liko katika damu ya YESU na ambalo kwa hili tunaupata uzima wa milele.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 16, 2016

Wednesday, April 13, 2016

MWANAMKE WA KIISLAM HANA HAKI MBELE YA MUMEWE

Leo nitawapa hadith kadhaa kuhusu Wanawake wa Kiislam na jinsi wanavyo onewa na Mtume Muhammad.
NGONO NI LAZIMA HATA KAMA MWANAMKE ANAUMWAKutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Mume atakapomwita mkewe kwenye kitanda chake [kwa tendo la ndoa] na yule mke akakataa kumuitika, Malaika humlaani mpaka kupambazuke”[Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa atakapolala mwanamke hali ya kuwa amekihama kitanda cha mumewe. Hadiyth namba 4821 na namba 4822; Muslim, kitabu cha Nikaah, mlango uharamu wa mwanamke kujizuilia [kujitenga] na kitanda cha mumewe, Hadiyth namba 2602 na Hadiyth namba 2603 na 2604.]
MWANAMKE KABLA YA KUFUNGA LAZIMA APEWE RUHUSA NA MUMEWE. HUU NI MSIBA
Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asifunge mwanamke [Swawm ya Sunnah] na huku mumewe yuko pamoja nae isipokuwa kwa idhini yake huyo mume na wala asimruhusu mtu katika nyumba ikiwa mumewe yuko isipokuwa kwa idhini yake huyo mume” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa Swamw ya Sunnah ya mwanamke kwa idhini ya mumewe, Hadiyth namba 4820; na katika Kitabu cha Tafsiri Qur aan, Suuratul Qul A’uwdhu birabbil Falaq, Hadiyth namba 4823; na Muslim, katika Kitabu cha Zakaah, mlango wa atachotoa mtumishi katika mali ya tajiri wake, Hadiyth namba 1710].
MWANAMKE WA KIISLAM HARUHUSIWI KUSAIDIA NDUGU ZAKE
Imepokelewa kutoka kwa Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asitoe mwanamke kitu chochote kutoka katika nyumba ya mumewe isipokuwa kwa idhini ya mumewe.” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa Swawm ya Sunnah ya mwanamke kwa idhini ya mumewe, Hadiyth namba 4823; na Muslim, katika Kitabu cha Zakaah, mlango wa atachotoa mtumishi katika mali ya tajiri wake, Hadiyth namba 1710].
MWANAMKE WA KIISLAM KAZI YAKE NI KUMFURAISHA MUMEWE NA NGONO TU.
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allahu ‘anhu) amesema kwamba aliulizwa Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wanawake gani bora? Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: “Ambae humfurahisha [humpendezesha]anapomtazama, na humtii anapomwamrisha, mke humhifadhi katika nafsi yake na mali ya mumewe” [Imepokelewa na Ahmad, katika Musnad ya Kumi waliobashiriwa Jannah, Musnad waliobakia katika Mukthiriyna katika Swahaabah (Radhiya Allahu ‘anhum), Musnad Abi Hurayrah (Radhiya Allahu ‘anhu), Hadiyth namba 7245 na 9377 na 9445].
MWANAMKE WA KIISLAM HARUHUSIWI KUOMBA TALAKA
Katazo La Kudai Talaka Bila Ya Sababu Inayokubalika
Ndoa ni katika mambo Aliyoyaamrishwa Allaah na kuyahimizaMjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), ndoa ni mafungamano ya kishari’ah baina ya mwanamme na mwanamke yenye mipaka, nidhamu, vidhibiti na kanuni maalumu; na inaathiri mengi; ima kujenga na kusimamisha familia ya Kiislamu yenye kuongozwa na kuongoka kwa uongofu wa Qur-aan na Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na kuwa miongoni mwa tofali la kuijenga jamiirabbaaniy [yenye kumuabudu Allaah pekee Mola wa viumbe vyote na yenye kufundisha Kitabu, kukisoma na kukifuata]; na ima kuvunja na kubomoa familia kwa kuivuruga vuruga na kuisambaratisha na kusababisha athari mbaya kwa jamii na watoto kwa kuachana kwa mume na mke.
Na katika yaliyokatazwa ambayo yameenea na kuzagaa kwa wenye kupenda dunia na kuiweka kando Aakhirah ni kwa mwanamke kumtaka au kumghilibu mumewe; iwe kwa kumhadaa au vinginevyo kwa kumshurutisha amuache mkewe ili apate kuolewa yeye au abakie yeye pekee yake [kama ni mke mwenza] hili limekatazwa kama ilivyothibiti katika Hadiythi kuwa Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Mwanamke asitake (katika Riwayah: Si halali kwa mwanamke kudai kuachwa ukhti wake [mwanamke mwenzake] ili aichukue nafasi yake na kuolewa yeye; kwani hatopata isipokuwa yale aliyoandikiwa.” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha tafsiyr ya Qur-aan, Surat Qul A’uwdhu Birabbil Falaq, Hadiyth namba 6141 na 4782; na Muslim, katika Kitabu cha ndoa, mlango wa Uharamu wa kuwakusanya mwanamke na Shangazi yake, Hadiyth namba 2527; na Abu Daawuud, katika Kitabu cha atw-Twalaaq, mlango katika mwanamke anamtaka mumewe talaka ya mke wake, Hadiyth namba1865].
Max Shimba Ministries Org

QURAN INASEMA WAISLAM WAMEBEBA MIZIGO YA DHAMBI



1. MIZIGO YA DHAMBI ZXAO NI MIBAYA MNO "QURAN 16:25"
2. SHETANI AKIRI KUWA YEYE NDIE ALIYE IKETIA NJIA YA UISLAM

Ndugu msomaji,

Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.

Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)

Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.

Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!

Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.

SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.

BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.

Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.

YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA

Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.

QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani

SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;

Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.

Maandiko yanasema kuwa MUNGU NI ROHO, sasa aliye UWAWA NI MWILI TU BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA
1 Timotheo 6:15-16 15 ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina

Kumbe basi Yesu aliungama maungamo mazuri mazuri SOMA aya ya 13 katika 1 Timotheo 6: Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Ushaihid zaidi soma Luka 18: 31.

LAKINI ndugu zetu Waislam wanasema kuwa MSALABA NI ALAMA YA SHETANI, HEBU TUANZE NA QURAN 7:16 16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.

SHETANI ANAMWAMBIA ALLAH KUWA, Kwa kuwa umenihukumia upotofu, BASI NITAWAVIZIA KATIKA NJIA YAKO ILIYO NYOOKA.

SHETANI AMEAPA KUWA ATAKETI KATIKA NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA.

SASA HII NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA AMBAYO SHETANI ameapa atakaa kwenye hiyo njia, ni ipi?
QURAN 6: 126. Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi ILIYO NYOOKA. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.

KUMBE SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.
Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?

MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.

Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.

Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa Shetani anakaa kwenye Njia Iliyo nyooka na alisilimu na kuwa Muislam.

Mungu awabariki sana.

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,

For Max Shimba Ministries Org,

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED

Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

ALLAH, MUHAMMAD, UISLAM NA QURAN NDIO 666



ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Ndugu Msomaji,
Katika kijaridi hiki, tutajifunza kuhusu Mnyama aliye semwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, Biblia Takatifu.
KATIKA kitabu cha Ufunuo 13:18 ametabiriwa mnyama ambaye idadi ya herufi za jina lake itakuwa 666. Wataalamu wa Biblia (wanatheologia) wamekhitilafiana katika aya hiyo.
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Mnyama - Ufunuo 13:1-18
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kwanza tujue "mnyama" huyu amepata kutoka wapi madaraka hayo makubwa. Kama inavyoeleweka, hadi sasa dunia iko chini ya miliki ya Shetani (Taz. Yohana 12:31, 16:11; 1 Yohana 5:19 nk). Hivyo naye mnyama amepewa mamlaka hayo na shetani, yaani "Joka". (Taz. Ufunuo 13:1-10, 12:7-9). Kwa hiyo "Mnyama" huyo ni Wakala wa Shetani duniani. Hivyo atafanya juhudi zote kinguvu, kiushawishi nk. ili wanadamu wamwasi Mwenyezi Mungu na wamtii Mkubwa wake (Shetani).
Sifa za Mnyama
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(2) Wakuu wa dola (Marais, Wafalme, Masultani nk.) wote watamtegemea yeye na kumpa mamlaka na nguvu zao za kidola. Hivyo watatawala kwa kufuata apendavyo "mnyama". Kwa hiyo watakuwa mawakala wa mnyama katika nchi zao. Kwa hiyo nao watakuwa mawakala wa "Joka" (Shetani). "... Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme (watawala) kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao: (Ufunuo 17:12-13).
ALLAH ATEUWA NABII "MNYAMA"
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Allah anasema kuwa ataleta Mnyama ambaye atawasemeza watu.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kwanza fahamu kuwa, namba SITA ni namba thabit katika Mahesabu, ni namba pekee ambayo ukiijulimsha au zidisha namba tatu za kwanza unapata 6.
1 + 2 + 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
Sura 111 ina 100 letters na Gematrical Value of letter Qaf ni namba 100.
Sura 111 ina aya 6 ; 111 x 6 = 666 , The Quran
Sura 6 aya 111 ambayo ukizidisha unapa 666 aya katika jedwali la Qaf.
Waislam wanasema “ALLAHUAKBAR” mara 111 katika maombi yao ya kila siku "times in daily contact prayers".
Ukijumlisha namba zote 666 = 6+6+6 unapata 18, na mfano 111 ni sawa na 111 (100+10+1).
SASA BASI,
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Kwanini Waislam wanasema kuwa "ISLAM WILL DOMINATE THE WORLD" ?
Kwanini Allah aliumba Mnyama na kumpta UTUME?
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

MUNGU AMETUONYA KUTOKUWA NA UHUSIANO NA MAJINI



1. LAKINI ALLAH KASEMA MAJINI NI MAISLAM
2. ALLAH AKIRI KUWA MAJINI MACHAFU YANAMWABUDU YEYE
3. YEHOVA KASEMA WOTE WENYE UHUSIANO NA MAJINI WATAINGIA JEHANNAM
Ndugu msomaji,
Je, Biblia Inasema nini kuhusu uhusiano na Mapepo au Majini
Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano na pepo. Imeandikwa, Mambo ya Walawi 19:31 "Msiwaendee wenye pepo wala wachawi, msiwatafute ili kutiwa unajisi na wao mimi ndimi BWANA Mungu wenu."
Ilikuwa kawaida ya watu wa zamani kusali Majini na Pepo. Mungu aliwaonya wana wa Israeli kuhusu uombaji wa pepo na uchawi. Imeandikwa katika Kumbukumbu la torati 18:9-12 "utakapokwisha ingia katika nchi akupayo BWANA Mungu wako usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto wala asionekane mtu atazamaye mbao wala mtu atazamaye nyakati mbaya wala mwenye kubashiri wala msihiri wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo wala mtu apandishaye pepo wala mchawi wala mtu awaombaye wafu kwa maana mtu atandaye hayo ni chukizo kwa BWANA kisha ni kwa sababu ya hayo BWANA Mungu wako anawafukuza mbele yako."
Biblia yatupa mwanga kuhusu hali ya pepo. Imeandikwa, katika Matendo ya mitume 16:16-18 "Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele akisema watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu wenye kuwahubiria njia ya wokovu akafanya hayo siku nyingi lakini Paulo akasikitika akageuka akamwambia yule pepo nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo mtoke huyu akamtoka saa ili ile."
SASA BASI, NILIPO ENDELEA KUSOMA VITABU VYA DINI YA UISLAM NIKAKUTA KUWA, ALLAH WA UISLAM YEYE ANAABUDIWA NA MAJINI NA ZAIDI YA HAPO, MAJINI YALISILIMU NA KUWA MAISLAM.
HILI NI JAMBO LA KUSHANGAZA, MAANA KWENYE BIBLIA YEHOVA KASEMA NA KUTUONYA KUTOKUWA NA UHUSIANO NA MAJINI.
QURAN INAKIRI KUWA MAJINI NI MAISLAM NA YALISILIMU PALE QURAN ILIPO TEREMSHWA KWA MUHAMMAD.
Majini wanatajwa sana katika dini ya Kiislamu kwa kuwa ni waislam kwa kusilimu, kwa kuiamini Quran tukufu aliyopewa mtume Muhammad.
Majini walisilimu na kuwa Waislamu mwaka 610 AD (Baada ya Yesu) SOMA 72:1-14 QURAN. Hivyo basi, unapotumia neon jinni maana yake unatumia lugha ya Kiarabu ukimaanisha Pepo mchafu. Ni kama Spoon/kijiko, vyote ni kitu kimoja. Ndani ya Quran, neon “PEPO” limetumika kama Paradiso, mbinguni. Lakini pia, tunapata neon jingine liitwalo AKHERA ila neno hilo halimaanishi PARADISO, bali kwa lugha ya Kiarabu neno hili “AKHERA” lina maana ya KUZIMU.
Lakini pia ukiangalia ndani ya SURALJINN ( QURAN 72:1-2, 8-9, 12 ) Mapepo hawa wanajieleza waziwazi kabisa kuwa mwanzo waliishi Mbinguni, walipogeuka kwa kuasi, walitegwa na Mungu. Linganisha na maandiko haya katika Biblia ( UFUNUO WA YOHANA 12:7-9; YUDA 1:6-8; UFUNUO 20:10; UFUNUO 21:8 ). Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu, hawa majini ( Mapepo ) waliotegwa na Mungu Mbinguni wakiwa Malaika huko na kutupwa Duniani baada ya kuasi huko, sasa, wakati wa mtume Muhamad katika safari yake ya kurudi Taif mwaka 620 AD (baada ya Yesu) wapo walioamini na kuona kuwa Quran ni ya ajabu ya kuwatangazia neema ya kuabudu. Katika vol 8-9, husema , wanapojaribu kwenda Mbinguni ( walikotoka zamani ), hukuta ile Mbingu imezungushiwa vimondo vya moto. Hivyo, hudai kuwa mbingu yao iko Akhera, yaani Kuzimu, maana Mbingu ya juu ina moto na hawana uwezo wa kwenda huko. SOMA (QURAN 72:9), Mbingu ina utisho wa moto ila Akhera ( kuzimu ) hakuna shida kwao.
MAJINI YANAMWABUDU ALLAH
Hivyo basi, kulingana na jinsi Allah asemavyo ndani ya Quran kuwa nimeumba binadamu na majini ili muniabudu ( QURAN 57:58 ; 51:56) na kuwa , mbinguni mwao Majini wanaabudu (Majini waliosilimu mwaka 620 AD) ,SOMA QURAN 72:14, ambao ni wema wanaosafiri na kurithi uzima wa milele upatikanao Akhera ( Kuzimu ). Lengo kubwa la Shetani na Majini ni kufanya urafiki na wanadamu wengi ili kwa wingi huo apate watu wengi wa kwenda nao JEHANAMU ( QURAN 6:128 ). Jambo la muhimu kujua hapa ni kwamba moto wa milele hakuwekewa Mwanadamu bali ni Shetani na malaika zake wote ( Majini au mapepo ). Hawa, hawana nafasi tena ya kuungama au kutubu.
LAKINI YESU ANAYAAMURU MAJINI KUTOKA NDANI YA WATU
Yesu Kristo anayetambuliwa na Waislam kama Mtume tu, hakuwa na urafiki wowote na Shetani wala Mapepo ( Majini ). Aliyaamuru Majini kutoka ndani ya watu waliokuwa wakiteswa nayo ( MATHAYO 8:29: MARKO 5 N,K )
Wakati Yesu anaondoka hapa duniani, alichukuliwa na wingu na kupaa kuelekea juu. Mbinguni ni juu kama Quran inavyothibitisha. Yesu aliweza kupaa na kuingia Mbinguni lakini Majini ( Mapepo ) walioslimu wakijaribu tu, wanakutana na moto mkali. Tumeona kuwa Majini ambao ni Waislamu kwa kusilimu, wanaishi AKHERA yaani Kuzimu. Je, Waislamu wengine unadhani wataishia wapi milele? Katika imani ya Kiislam huamini kuwa, Muislam akifa anakuwa na Majini wawili wa Kumlinda humo Kaburini.
Pepo ni wale malaika waliomwasi Mungu kule mbinguni na kutupwa hapa duniani. Imeandikwa katika Ufunuo 12:7-9 "Kulikuwa na vita Mbinguni Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa yule mkubwa nyoka wa zamani aitwaye Ibilisi na Shetani adanganyaye ulimwengu wote akatupwa hata nchi na malaika zake wakatupwa pamoja naye."
Kwa sababu pepo za husiana na Shetani, mtu katika israeli angeonekana akifanya pepo ilibidi auawe. Imeandikwa, katika Mambo ya walawi 20:27 "Tena mtu mme au mke aliye na pepo au aliye mchawi hakika atauawa watawapiga kwa mawe damu ya itakuwa juu yao." Isaya 8:19 yasema "Na wakati watakapokuambia tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndeye na kunong'ona je haiwabasi watu kutafuta habari kutoka kwa Mungu waoje! waende kwa watu walio kufa kwa ajili ya watu walio hai?."
KILA MUISLAM ANA JINI KATIKA MWILI WAKE. HILI NI JAMBO LA AJABU SANA, MAANA YESU YEYE ALIYATOA MAJINI NDANI YA WATU.
Majini wamepewa ruhusa ya kukaa katika mwili wa Muislam yeyote, hivyo kila Muislam ana Jini kuanzia moja na kuendelea. Vile vile Majini wameruhusiwa kukaa katika nyumba za Waislam. Katika nyumba yoyote ya Muumini wa dini hiyo, kuna Jini au Majini wanaokaa humo. Ni ukweli usiopingika kuwa bila Majini hakuna Uislamu kama vile pasipo Roho Mtakatifu hakuna Ukristo. Majini ndiyo yaliyomchukua mtume Muhamad kwa muda wa siku 40 akiwa Mabondeni walikompeleka na kuanza kumuagiza kuhusiana na kuanzisha imani hiyo ya Kiislamu.
Sasa inakuwaje Yesu atoe Majini ndani ya watu kama ilivyo sema kwenye Luke 11:14, Matthew 8:16, Mark 1:34, Luke 4:41, Matthew 8:32, Mark 5:8, nk huku Allah yeye akiwajaza Waislam Majini?
Katika Walawi 19: 31, Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano wowote ule na Majini, LAKINI Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Ndugu msomaji, natagemea baada ya kusoma hiki kijarida kifupi kuwa umeelewa na kufahamu Allah wa Quran sio Mungu wa Biblia anaye kataza uhusiano na Majini.
Mawali la kujiuliza:
1. Kwanini Mungu wa kwenye Biblia anakataza uhusiano na Majini LAKINI Allah wa Quran anaruhusu uhusiano na Majini?
2. Kwanini Mungu wa Biblia anatoa Majini ndani ya Watu, LAKINI Allah wa Quran anawajaza watu Majini?
3. Kwanini Mungu wa Biblia nasema kuwa Majini yote yataingia Jehannam LAKINI Allah wa Quran anasema kuwa Majini yalisilimu na ni Maislam?
Ndugu msomaji, ushahid wa aya umesha usoma mwenye. Nakushauri umchague Mungu wa Biblia anye kupenda na kulinda kutoka hizo nguvu chafu za Majini.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 13, 2016

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW