Friday, May 13, 2016

MUHAMMAD KAMTUKANA ALLAH

Ndugu msomaji,
Hii ni dhambi kubwa sana ambayo Muhammad ameifanya. Amemtukama Allah kama ifuatavyo:
Sahih al-Bukhari Book 76 Hadith 531
Narrated Ibn Abbas:
The Prophet said, "You will meet Allah barefooted, naked, walking on feet, and uncircumcised." https://muflihun.com/bukhari/76/531
YAANI:
Nabii Muhammad anasema:
Utakutana na Allah akiwa pekupeku, akiwa uchi, akitembea kwa miguu, AKIWA NA GOVI.
HAYA MANENO KASEMA NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD.
Hivi kweli bado mnamfuata na kumpigania huyu Muhammad kwa sababu zipi? Maana sasa amepanda kichwa na kuanza kumtukana Allah wa Waislam.
References
al-Bukhari Book of Softening the Heart #531
al-Bukhari 6524
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book 76, Hadith 531
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book of Softening the Heart, Hadith 531
LEO SINA MENGI YA KUSEMA, MAANA HIYO SAHIH HADITH TEYARI NI MADA KAMILI TENA YA KUJITEGEMEA.
Muhammad anasema kuwa:
1. Allah anatembea pekupeku.
2. Allah anatembea akiwa uchi.
3. Allah anatembea kwa miguu.
4. Allah hajatairiwa "ana govi".
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM
Natanguliza pole kwa Waislam wote wanaoa mfuta Allah ambaye hajatairiwa na anatembea uchi.
WAISLAM TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kumbuka dini/imani zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH KASEMA HOMA YA SIKU MOJA INAFUTA MADHAMBI YA MWAKA MMOJA





1. • Muislamu akipatwa na Homa ya siku moja anafutiwa dhamb
2 • Mwiba Huondoa Dhamb
3 • Mtu aliyefiwa watoto watatu anafutiwa dhamb
4 • Tendo la Ndoa linakufutia dhamb
5 • Kuoga siku ya ijumaa kunakufutia dhamb
Ndugu msomaji,
Leo hebu tuangalie baadhi ya mambo ambayo muislamu akiyafanya yeye anaamini amesamehewa dhambi zake.
1 • Muislamu akipatwa na Homa ya siku moja:
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman. Juzuu 3-4 uk 74 hadith na 924 inasema
“Homa ni bahati ya kila Muislamu kwa (adhabu ya) moto. Na homa ya siku moja inafuta (madhambi ya) mwaka (mmoja) kamili.
2 • Mwiba Huondoa Dhambi:
Katika Sahih Bukhari na Muslim juzuu ya 7 Hadith 544
“ Hadith ya Aisha (r.a), mke wa mtume (SAW) alisema mtume wa Allah amesema “Hakuna tatizo litakalompata Muislamu isipokuwa Allah atafuta madhambi kwa tatizo hilo kwake, hata kama ni mwiba utakaomtoboa” (al lu’lu war-marjan vol.3 H.1663 UK.969)
3 • Mtu aliyefiwa watoto watatu:
Katika sahih Bukhar na Muslim juzuu ya 9 Hadith 413
“Hadith ya Abu Said Al-khudri (r.a) amesema, alikuja mwanamke fulani kwa Mtume wa Allah! Na akasema kumwambia mtume wa Allah (SAW) “ Wanaume ndio pekee wenye kufaidika na mafundisho yako, kwa hiyo tutengee siku moja, tunakuja, unatufundisha katika katika aliyokufundisha Allah. Mtume (SAW) jikusanyeni siku kadha wa kadha mahala kadha wa kadha, wakajikusanya. Mtume wa Allah (SAW) akawaendea akafundisha katika aliyomfundisha Allah kisha akasema, Hakuna Mwanamke miongoni mwenu atakayetanguliza watoto wake watatu, isipokuwa watakuwa pazia ya kumkinga na moto, Mwanamke mmoja katika wao akauliza, Ewe mtume wa Allah, Wawili je? Yule mwanamke akalirudia swali lake mara mbili, Mtume (SAW) akasema wawili na wawili na wawili.
4 • Tendo la Ndoa:
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu juzuu 1-2 cha Mohammed al-Kindy uk 206 Hadith 467 inasema
“ Hakika Mwanamme akimtazama mkewe (kwa matamanio ya kuingiliana) nae (mke) akamtazama mumewe (kwa ajili hiyo) basi anawatazama Mwenyezi Mungu utazamaji wa rehema, (mume) akimshika mkewe kwa mkono wake ( kwenda kutimiza haja yao) basi yanadondoka (yanatoka) madhambi yao kwenye vidole vyao”
5 • Kuoga siku ya ijumaa:
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Moosa Mohammed al-Kindy Juzuu ya 1-2 Hadith no 66 uk 41 inasema
“ Ogeni siku ya ijumaa, kwani anaeoga siku ya Ijumaa basi inakuwa kafara kwake (yanafutwa madhambi yake) baina ya Ijumaa mpaka Ijumaa, na nyongeza siku tatu”
Lakini tunaposoma Biblia Takatifu Yer 2:22 “Maana ujapojiosha kwa magadi na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu asema Bwana MUNGU”
Hivi ndivyo mafundisho ya Kiislamu yanavyofundisha kuhusu kuondoa dhambi.
Jambo ambalo ningependa ulijue katika Uislamu , mbali ya kufanya swala mara tano kama walivyoamriwa, bado Muislamu huyu hana uhakika wa Msamaha wake wa dhambi.
Muhammad ambaye ndiye kiongozi, mpaka siku aliyokufa tarehe 8/6/632 B.K alikuwa hana uhakika kama amesamehewa dhambi zake au hapana na hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa wafuasi wake hata leo.
Na Mwalimu Chaka wa Musa
For Max Shimba Ministries Org

WAISLAM WANAFANYA KAFARA YA DAMU YA WANYAMA WAKIWA HIJA MAKKA

Ndugu yangu msomaji, Hija ni Ibada kubwa kabisa kwa Muislamu ambayo hutakiwa kuifanya angalu mara moja katika maisha yake kwa mwenye uwezo (fedha) na kwa kawaida Hija hii hufanywa katika nchi ya Saud Arabia katika mji wa Makka ambao waislamu wanaitikadi kuwa ndio mji wao mtakatifu. Mwislamu anapokuwa Hija kuna Ibada ya kutoa Kafara (kuchinja) wanyama k.m Ngamia, Kondoo, Mbuzi ili iwe kama fidia ( ransom) kwa dhambi alizofanya.
Katika kitabu kiitwacho “VIPI UHIJI” kilichoandikwa na A.Suleiman uk 22 kinaelezea kafara anayopaswa kuifanya Muhirim anayehiji kwa kufanya mapenzi akiwa Makka,
“Kafara ya Mhirim kwa kufanya Mapenzi ni kuchinja (bila kuchelewa katika siku za hija) Ngamia mwenye umri wa miaka mitano. Ikiwa hutapata Ngamia utachinja ng’ombe, ikiwa hatapata ng’ombe basi kondoo au mbuzi saba, ikiwa hawatapatikana basi atakisia dhamani ya ngamia na kwa dhamani hiyo atanunua ngano na kuwagawia maskini wa Maka. Ikiwa yote hayo hakuweza basi itampas afunge siku moja kwa kila lita 0.51 za ngano ambazo zingeweza kununuliwa katika dhamani ya ngamia”
Hivi ndivyo anavypaswa kutoa kafara Mwislamu akiwa Hija huku akiamini kuwa dhambi alizofanya kwa kufanya Mapenzi zitasamehewa kwa kutoa kafara ya wanyama au ngano (unga) lakini tusomapo Biblia katika
Amosi 5:21,26 Inasema
Mimi nazichukia sikukuu zenu, nazidharau, nami sitapendezwa na makutano yenu ya dini naam ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, SITAZIKUBALI wala sitaziangalia sadaka zenu za amani na wanyama walionona. Naam mtamchukua Sikuthi mfalme wenu, na Kiuni sanamu zenu, nyota ya mungu wenu mliojifanyizia wenyewe.
Mwislamu huyu anapokuwa hija pamoja na kuiita kuwa ile ni ibada takatifu ,lakini maneno anayoyatamka siku hiyo ya mwisho wa hija ni maneno ya kukatisha tama sana , kwa sababu yanadhihirisha kuwa pamoja na mambo yote anayoyafanya huyu Mwislamu lakini bado hajapata uhakika wa msamaha wa dhambi zake.
Tunasoma katika kitabu kiitwacho VIPI UHIJI ule Uk.66-67
“Ee Mola nyumba ni yako, mja wako mwana wa waja wako wawili. Umenileta juu ya kiumbe uliyemfanya anitii, kunileta mji wako kunionyesha neema yako ili niweze kutimiza amal zako. Ikiwa umependezwa na mimi, basi zidi zaidi kupendezwa nami.
Ikiwa hujapendezwa nami nibariki hivi sasa kabla nyumbani kwangu na kwahala ninakokwenda hakujawa mbali na nyumba yako. Sasa hivi wakati wa kuondoka umewadia ukiniruhusu. Sitafuti chochote isipokuwa ridhaa yako na nyumba yako. Ewe Mola nipe afya ya kiwiliwili na unihifadhi katika dini yangu. Ifanye hali yangu kuwa bora na unidumishe katika utiifu kwako kwa muda wote utakao niweka hai. Nipe yaliyo bora katika huu ulimwengu na katika akhera kwani wewe ni muweza wa kila kitu”
Rafiki yangu mpendwa Mwislamu napenda nikujulishe kuwa Yesu kama kafara ya Mungu mwenye haki alalipia dhambi zako msalabani. Mkristo ameondolewa na kuwekwa huru katika Hukumu ya Mwisho.Yesu ametufanya tuhesabiwe haki kutoka na mashtaka na lawama aya shetani, Mkristo haishi tena chini ya sheria (sharia) bali anaishi katika neema ya Mungu.
Hawasumbuki kujiokoa wenyewe kwasababu wanae Mwokozi kwa bahati mbaya neno upatanisho (atonement) au wazo linalohusika na wokovu wa neema halimo katika Qur’an na Uislmau kwa ujumla.
Na Mwalimu Chaka wa Musa
For Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD KASEMA YEYE NI MSHIRIKA WA ALLAH

KUMBE ALLAH ANAYE MSHIRIKA
Naomba wenye kufahamu na kutumia akili tuwe macho; tutafakari; jina la Muhammad s.a.w utajwa na pamoja na Allah wakati wa adhaana, Tashahhud, kuingia katika Uislamu, du´aa baada ya wudhuu na kila wakati. Kwa mujibu wa wanachuoni wa Kiislamu haitoshi mtu kushuhudia ya kwamba Allaah ndiye mwenye haki ya kuabudiwa ikiwa mtu hashuhudii ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.
Waislamu wote wanajua kuwa anapaswa kutukuzwa na kuadhimishwa. Qqurani inasema:
لِّتُؤْمِنُوا بِاللَّـهِ وَرَسُولِهِ وَتُعَزِّرُوهُ وَتُوَقِّرُوهُ وَتُسَبِّحُوهُ بُكْرَةً وَأَصِيلًا
"Ili [nyinyi] mumwamini Allaah na Mtume Wake, na mumtukuze na mumheshimu mumtukuze asubuhi na jioni." (48:09)
Mtume (S.a.w) ni bora kuliko Ka´bahna yeye ni bora kuliko kiumbe chochote kile. Mwenye kumtukana Mtume Muhammad anakuwa karitadi anauawa na wala haambiwi kutubia. Hili ni kwa Ijmaa´. Anauawa wala haambiwi kutubia, anakuwa karitadi kutoka katika Dini ya Uislamu.
Moja miongoni mwa misingi mikuu ya Imani ya Dini ya uislamu ni kumpenda Muhammad kuliko unavyoipenda nafsi yako. ndio maana aliwahi kuwaambia watu:
(قل إن كنتم تحبون اللــه فاتبعوني يحببكم اللــه ويغفر لكم ذنوبكم واللـه غفور رحيم) العمران 31
“Sema, ikiwa nyinyi mnampenda Allah basi nifuateni, Allah Atakupendeni na Atakughufirieni madhambi yenu” 3:31.
Watu wakienda kwenye jihadi yakatekwa mali/ ngawira; basi mali yale ni ya ALLAH na Mtume wake;
يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْأَنفَالِ قُلِ الْأَنفَالُ لِلَّهِ وَالرَّسُولِ فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَصْلِحُوا ذَاتَ بَيْنِكُمْ وَأَطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ( 1 ) Al-Anfal ( The Spoils of War ) - Ayaa 1
Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Mtume. Basi mcheni Allah na suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Allah na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini.
pamoja na haya TUNAAMBIWA ALLAH HANA MSHIRIKA?
Poleni sana Waislam manye fuata Allah mwenye mshirika aitwaye Muhammad.
Na Mwalimu Chaka
Vro Max Shimba Ministries Org

KUMBE MUHAMMAD HAKUWA MWARABU




Ndugu Msomaji,
Waislam mara nyingi hupenda kusema kuwa, eti Yesu alikuwa Mzungu na yule mcheza Sinema anaye muigiza Yesu eti ndio Yesu Mwenyewe. Leo nimeamua tujifunze kidogo kuhusu Nabii wa Allah. Je, alikuwa Mwarabu au Mzungu? Bila ya kupoteza muda, anza kusoma Sahih hadith zake.
-Sahih Bukhari 1:3:63
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfunga Mguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu (wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasema naye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib."
Juzuu 4, Kitabu 56, Namba 744:
Narrated Isma'il bin Abi Khalid:
Nilimsikia Abii Juhaifa akisema: Nimemwona Nabii wa Allah, na Al-Hasan bin "Ali anafanana naye" Nikamwuliza Abu-Juhaifa, hemu niambie yuko, Akanijibu kuwa, Nabii wa Allah ni Mzungu na ndevu zake ni Nyeusi na zina mvi kidogo. Alituahidi kutupa watoto 13 wa kike wa Ngamia, lakini Nabii wa Allah alikufa kabla hajatimiza ahadi yake.
Kumbe Nabii wa Allah alikuwa Mzungu. Kumbe ndio maana Allah hawapendi Waafrika na anawaita Makafiri.
Volume 2, Book 17, Number 122:
Narrated 'Abdullah bin Dinar:
Baba yangu akasema, "Nilisikia Ibn 'Umar akisoma mistari ya mashairi ya Abu Talib : Na Mtu Mweupe (yaani Mtume) ambaye tulimwomba aombee Mvua Inyeshe na mwenye huduma ya watoto yatima na ni mlezi wa wajane. "
---
Volume 2, Book 17, Number 141:
Narrated Anas bin Malik
Mtume kamwe hanyooshi mikono yake kwa ajili ya sala yoyote ile isipokuwa kwa ile ya Istisqa ' na alikuwa ananyoosha sana Mikono yake mpaka Weupe unaonekana kwenye Makwapa yake.
---
Volume 1, Book 8, Number 367:
Nabii wa Allah alionyesha Mapaja yake, na nikaona weupe wa Mapaja yake.
Nategemea umesoa hizo hadith za Muhammad na umejifunza kitu kuhusu ukabila au utaifa wa Nabii wa Allah. Muhammad alikuwa Mzungu na hatusome sehemu yeyote ile akipinga Uzungu wake.
Kwanini Waislam wa Mwanzo walisema kuwa Muhammad alikuwa Mzungu?
Kwanini Muhammad hakupinga madai ya yeye kuwa Mzungu?
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MUARABU
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

KUMBE ALLAH ANAYE MSAIDIZI


UTATA NDANI YA KURAN KUHUSU UTAMBULISHO WA ALLAH!!
KUMBE ALLAH ANAYE MSAIDIZI
Je, Allah anaye Msaidizi, mbona anatumia wingi katika kujieleza?
Hebu rejea kwenye Kuran kwanza:
Suratul Anbiyaa 91. Na mwanamke aliye linda uke wake, na TUKAmpulizia katika roho YETU, na TUKAmfanya yeye na mwanawe kuwa ni Ishara kwa walimwengu
.
Ndugu zanguni, Allah ameanza vituko vyake hapa. Katika Koran Allah anadai kuwa hana msaidizi Suratul Baqarah: aya 106 ― 107 Lakini katika aya tuliyo isoma hapo mwanzoni - Suratul Anbiyaa 91 tumeona kuwa Allah anatumia wingi alipo kuwa akielezea jinsi alivyo mpa ujauzito Maryam.
ALLAH ANAMUUMBA ISA BIN MARYAM KWA KUTIMIA WINGI
Kuran imejaa utata, hebu soma hapa Suratul Attahriim 12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na TUKAmpulizia humo kutoka ROHO YETU, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.
HAPA: Allaha anasema kwa undani zaidi TUKAmpulizia ROHO YETU. Hivi huyu Allah ni kweli alikuwa Mungu au ni madai ya Muhammad na rafiki yake Jibril? Mbona alisema kuwa yeye hana msaidizi wala Mwana? Kivipi Allah anatumia wingi katika kumuumba Isa Bin Maryam?
Aya zaidi kuhusu Maryam na kupata ujauzito za Isa: Suratul Anbiyaa 91.
Endelea hapa tena:
ALLAH ANAMUUMBA BINADAMU KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
HAPA tumesoma kuwa Allah anamuumba Binadamu kwa kutumia wingi" Nukuu: Na TULIMUUMBA MTU"
Endele hapa tena
ALLAH ANAUMBA MAJINI KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 27. Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji. Sasa anasema kuwa "TULIWAUMBA MAJINI" Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji.
Je, unafikiri kuwa labda Allah alijisahau au fanya makosa pale alipo sema kuwa yeye hama msaidizi.
Wadhalimu wa dini ya Kiislam wamekuwa mstari wa mbele kusema kuwa, eti Wakristu wana miungu mingi na wao wana Mungu Mmoja tu naye ni Allah. Leo tumejifunza kuwa, Allah hayupo peke yake maana sasa anatumia wingi katika kazi zake ikiwa pamoja na ya uumbaji wa Binadamu na Majini.
Nukuu zingine ambazo ALLAH anatumia wingi: S. 3:44, S. 3:145, S. 17:1, S. 6:114, S. 19:40-42, 50-53, 56-74 Arberry, S. 2:252-253 , S. 3:108 Y. Ali; cf. S. 45:6, S. 37:161-166 Pickthall, S. 37:170-182 Y. Ali, S. 23:12-14 Arberry, S. 19:16-2, S. 66:12 Pickthall, S. 15:26-29 Pickthall.
Ndugu zanguni nimeweka ushaidi wa kutosha kutoka Quran yao kuhusu wingi ambao Allah amekuwa anautumia kila mara kwenye Quran yake.
Je, Allah anaye Msaidizi? Je, Allah anaye Mwana ambaye na yeye ana wadhifa wa KiAllah? Kwanini Allah anatumia wingi huku tukifahamu kuwa Allah hafananishwi wala hana msaidizi?
Hakika kuna shaka kubwa kubwa kwenye Quran ya Allah ambayo sasa inasema kwa kutumia wingi.
Biblia inasema kuwa Mungu anaye Mwana na anaitwa Yesu, zaidi ya hapo Biblia inatuambia kuwa kuna Mungu Roho Mtakatifu na hao wote ni WAMOJA katika Roho.
Karibuni kwa Mungu wa Biblia ambaye amesema kiuwazi kuwa yeye ni Baba na ana Mwana ambaye na yeye ni Mungu. Kumbuka hawa ni wamoja kwa kupitia Mungu Roho Mtakatifu.
Katika Huduma yake.
Max Shimba Ministries Org.

WAISLAM MNA ALLAH WANGAPI?

Na Mtumishi Arcangel Mikael:
ULE UTATA UNAOWASUMBUA WATU KILA KUKICHA, JE! HAWA WANAOTUMIA WINGI KATIKA QURAN NI MUNGU AU NI WENGINE???
KARIBU TUONE,,,
QURAN 39:2 " KWA YAKINI, SISI TUMEKUTEREMSHIA KITABU HIKI KWA HAKI, BASI MUABUDU MWENYEZI MUNGU KWA KUMFANYA MOLA YEYE TU"
hapo tunaona, hao wanaotumia WINGI (sisi) WAKISEMA, ndio wameteremsha Quran, na wanamwambia mtume amuabudu mwenyezi Mungu tu!
Hebu tujiulize Je! Hawa Wanaosema hivyo ni kina nani hasa?
Waislam wanasema kuwa hao ni Mungu maana Mungu hutumia WINGI kwa sababu ya Ukuu wake, Ok, hebu tukubaliane na DHANA HIYO HALAFU TUENDELEE KUANGALIA MAANDIKO,
SURAT AD-DAHR :2 " KWA HAKIKA TUMEMUUMBA MTU KUTOKANA NA MBEGU YA UHAI ILIYOCHANGANYIKA,,,,,
3)HAKIKA SISI TUMEMUONGOA (TUMEMBAINISHIA) NJIA,,, ,
kwa mujibu wa aya hizo hapo, utaona hao wanajiwakilisha kama Mungu, maana uwezo wa kuumba ni wa Mungu,
Na sio hizo tu, aya nyingi sana, hao wanaotumia (sisi) huchukua nafasi kama Mungu,,,
HEBU LEO TUMALIZIE UTATA HAPA
SURAT AL MA'ARIJ (70):40-41
40)"BASI NAAPA KWA MOLA WA MASHARIKI ZOTE NA MAGHARIBI ZOTE KWAMBA SISI TUNAWEZA "
41)"KUWABADILI (NA KULETA) WALIOBORA KULIKO WAO, NA SISI HATUSHINDWI (NA KITU)"
katika aya ya 40,hao wanaapa kwa Mola (mkuu) na WANASEMA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA, HAWASHINDWI KITU (41)
SWALI :
JE! NANI ATAKAYE TUAMBIA, HAWA WALIOAPA KWA MOLA WA MASHARIKI YOTE NA MAGHARIBI YOTE NA KUDAI KUWA HAWASHINDWI KITU NA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA NI KINA NANI HAWA???????
JE NI MUNGU?? (kama ni Mungu iweje aape kwa Mola wa mashariki yote na magharibi yote????)
JE NI JIBRIL (Ikiwa ni Jibril, yeye anaweza kila kitu Kama Mungu,? maana Mungu ndiye awezaye kila kitu halafu iweje atumie wingi "sisi ')???
JE NI MTUME? (atawezaje kila kitu)?
YESU ANAKUPENDA SANAAAAAAA!!!
Barikiwa sana
Na Arcangel Mikael
For Max Shimba Ministries Org.

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?


(SEHEMU YA NNE)
Ndugu msomaji,
Tunaendelea na Sehemu ya nne.
Ni wazi ndugu zetu hawana ushahidi wala somo la kutuonyesha uislamu wa Muhammad.
kwani ikiwa Muhammad ni Muislamu tangu kuzaliwa vipi narudia tena, Allah anamtaka asilimu?
Kwani Allah hana habari kuwa Muhammad alikuwa Muislam tokea tumboni mwa mama yake au leo mmemzidi?! Kama nilivyotanguliza kauli mie sio mfasiri wa Qurani ;, wapo mabingwa wa TARJUMI NA FASIRI waliotuzidi na wamefasri Neno Dhaallan kwa maana ya Kupotea. Tazama the Noble Qurani pia kwenye mtandao.
Waislam, msijaribu kupinga au kukataa Quran eti kwasbabau inafundisha kile msicho kitaka au penda au tegemea ua presaposition ; Bila shaka neno dhaallan is used in reference to persons who are not following the true religion and/or who are steeped in idolatry:
136. Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali. (faqad dhalla dhalalan baAAeedan). S. 4:136 Hilali-Khan
77. Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua akasema: Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea. (addaallen)." S. 6:77 Hilali-Khan
Hii ina maana Allah alimpata Muhammad steeped in spiritual error and darkness! Kama walivyokuwa majahili wa zama hizi za ujahilia na ndio maana Allah anamwambia wazi usiwe tena miingoni mwa washirikina. Qu62:2, 14:6, kwani ulikuwa hujui kitabu (Taurati, Zabur, Injili), lakini sasa tumekupa Qurani; ulikuwa hujui Imani, ulikuwa Dhaallan,Umepotea Njia.
Narudia kauli yangu tena Allah ndiye kamwambia Muhammad kwa ushahidi was Quran 93:7 ulikuwa umepotea na katika 42:52 kama tulivyoona Allah anazidi kumwambia; Ulikuwa HUJUI KITABU WALA IMANI.
Allah anasema ulikuwa hujui kitabu wala imani!! Wewe unasema alikuwa muislamu tangu kabla ya kuzaliwa !!! Daaa waislamu kweli mabingwa wa kupinga na kugeuza maneno ya Allah pale wanapoona hawakubaliani na aya!!! Ebu tizama kwa aibu jinsi kaka Ibrahimu unavyokataa maneno ya Qurani!!!! labda wewe ungetupa maana yako ya neno Dhaalaan; narudia tena mie sio mfasiri wa Qurani ila Allah kasema akimwambia Muhammad katika Qurani 93:7 .... nanukuu " 7. Na akakukuta umepotea akakuongoa?"http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/93.htm
Jisomee mwenyewe na uone Allah anasema nini kwa Muhammad. Sasa mbona upinge!! Allah anasema silimu wala usiwe miongoni mwa washirikina wewe unasema wala katu hakuwa miongoni mwao?
Sasa nani mkweli nani mwongo:
1. Allah anaye mwambia Muhammad hujui kitabu wala imani
au
2. Wewe unaye sema kuwa Muhammad alikuwa Muislam tnagia tumboni mwa mama yake?
3. Ama kuhusu swala Zima la ibada ya Muhammad; BADO Waislam hamtujibu, HIVI MUHAMAMD ALIPO KUWA PANGONI alikuwa akifanya IBADA kwa msingi wa Kitabu gani au mwongozo hupi?
4. Ama kuhusu jina kumbe kafiri mshirikina anaweza akampa nabii jina?
Lakini pia tu tazame himizo la Muhammad (S.A.W.) kwa Makureshi wenzie kuhusu mungu wakipagani aitwae Allah Zamani kabla ya kuminywa pangoni.
Katika kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu kilichotungwa na Sheikh Said Moosa Muhamed al kindy juzuu ya mwanzo na pili chapa ya kumi ukurasa wa 130 tunasoma maneno haya: “katika wakati wa ujaahiliya kabla mtume (S.A.W.) kupata utume alikuwa akiwaambia watu “enyi watu semeni laa ilaha illah laah mtafuzu” yaani hapana mola ila Allah mtafuzu.
Huu ni ushahidi wa wazi kabisa ya kwamba Allah aliabudiwa na Makureshi na Waarabu wenzao hao watu walikuwa washikina , wapagani na majahilia (wajinga).
Kumbuka Muhammad alikuwa ni Mkureshi naye aliposema “hapana mola ila Allah” alikuwa yupo zama za ujahilia na hakuwa anajua kitabu wala imani kama Qurani 42:52 na alikuwa amepotea njia Qu 93:7.
Ama kuhusu Isaya Kuna maswali ya msingi nimehoji wala Waislam hamjatoa majibu. Isaya anasema Chuo hiki Watu umpa , sasa je, Qurani Muhammad kapewa na watu?
NDIO MAANA BADO NAULIZA WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA
Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu,
Na Mwalimu Chaka
For Max Shimba Ministries Org

Monday, May 9, 2016

MUHAMMAD KAMTUKANA ALLAH


Ndugu msomaji,
Hii ni dhambi kubwa sana ambayo Muhammad ameifanya. Amemtukama Allah kama ifuatavyo:
Sahih al-Bukhari Book 76 Hadith 531
Narrated Ibn Abbas:
The Prophet said, "You will meet Allah barefooted, naked, walking on feet, and uncircumcised." https://muflihun.com/bukhari/76/531
YAANI:
Nabii Muhammad anasema:
Utakutana na Allah akiwa pekupeku, akiwa uchi, akitembea kwa miguu, AKIWA NA GOVI.
HAYA MANENO KASEMA NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD.
Hivi kweli bado mnamfuata na kumpigania huyu Muhammad kwa sababu zipi? Maana sasa amepanda kichwa na kuanza kumtukana Allah wa Waislam.
References
al-Bukhari Book of Softening the Heart #531
al-Bukhari 6524
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book 76, Hadith 531
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book of Softening the Heart, Hadith 531
LEO SINA MENGI YA KUSEMA, MAANA HIYO SAHIH HADITH TEYARI NI MADA KAMILI TENA YA KUJITEGEMEA.
Muhammad anasema kuwa:
1. Allah anatembea pekupeku.
2. Allah anatembea akiwa uchi.
3. Allah anatembea kwa miguu.
4. Allah hajatairiwa "ana govi".
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM
Natanguliza pole kwa Waislam wote wanaoa mfuta Allah ambaye hajatairiwa na anatembea uchi.
WAISLAM TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kumbuka dini/imani zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Saturday, May 7, 2016

MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO (YESU): MAX SHIMBA ANAJIBU MADA YA BERNARD NYANGASA



MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO (YESU)
MAX SHIMBA ANAJIBU MADA YA BERNARD NYANGASA
"Bernard Nyangasa"
Ndugu msomaji,
Hii mada ni jibu kwa Bwana Bernard Nyangasa anaye jaribu kupindisha Neno la Mungu, kwa kumhusisha an au kuwaunganihsa Yahawe na Allah.
BERNARD NYANGASA ANASEMA:
Katika Matayo 7:15-24,Yesu anatutajia vigezo rasmi vya kuweza kuwagundua Wahubiri bandia, wanaofundisha mafundisho potofu.Kuwani "matunda" yao.Yaani kama mafundisho yao yanaafikiana na mafundisho ya Yesu.

MAX SHIMBA ANAJIBU:
***Jibu: Kwanza nitaanza kwa kuziweka aya ambazo Bwana Berbard Nyangasa amenukuu: Matayo 7: 15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. 21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. 24 Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;
**** Jibu: Yesu alituonya kuwa “Wakristo wa uongo na manabii wa uongo” watakuja na kujaribu kuwadanganya hata wateule (Mathayo 24:23-27; angalia pia 2 Petero 3:3 na Yuda 17-18). Njia nzuri ya kujilinda na uongo na walimu wa uongo ni kuijua kweli. Ili ugundue pingamizi lichunguze pingamizi lenyewe. Muumuni yeyote ambaye, “analisoma Neno la ukweli” (2 Timotheo 2:15) na anafanyia uchunguzi Bibilia kwa makini anaweza kuitambua kanuni ya uongo. Kwa mfano, muumuni ambaye amesoma kazi ya Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu katika Mathayo 3:16-17 papo hapo atashuku kanuni ambayo yakana utatu wa Mungu. Kwa hivyo, hatua ya kwanza ni kuisoma Bibilia na kuhukumu mafunzo yote kwa chenye maandiko yanasema.
***************************************************************************************************
BERNARD NYANGASA ANASEMA:

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW