Friday, May 13, 2016

KUMBE MUHAMMAD HAKUWA MWARABU




Ndugu Msomaji,
Waislam mara nyingi hupenda kusema kuwa, eti Yesu alikuwa Mzungu na yule mcheza Sinema anaye muigiza Yesu eti ndio Yesu Mwenyewe. Leo nimeamua tujifunze kidogo kuhusu Nabii wa Allah. Je, alikuwa Mwarabu au Mzungu? Bila ya kupoteza muda, anza kusoma Sahih hadith zake.
-Sahih Bukhari 1:3:63
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfunga Mguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu (wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasema naye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib."
Juzuu 4, Kitabu 56, Namba 744:
Narrated Isma'il bin Abi Khalid:
Nilimsikia Abii Juhaifa akisema: Nimemwona Nabii wa Allah, na Al-Hasan bin "Ali anafanana naye" Nikamwuliza Abu-Juhaifa, hemu niambie yuko, Akanijibu kuwa, Nabii wa Allah ni Mzungu na ndevu zake ni Nyeusi na zina mvi kidogo. Alituahidi kutupa watoto 13 wa kike wa Ngamia, lakini Nabii wa Allah alikufa kabla hajatimiza ahadi yake.
Kumbe Nabii wa Allah alikuwa Mzungu. Kumbe ndio maana Allah hawapendi Waafrika na anawaita Makafiri.
Volume 2, Book 17, Number 122:
Narrated 'Abdullah bin Dinar:
Baba yangu akasema, "Nilisikia Ibn 'Umar akisoma mistari ya mashairi ya Abu Talib : Na Mtu Mweupe (yaani Mtume) ambaye tulimwomba aombee Mvua Inyeshe na mwenye huduma ya watoto yatima na ni mlezi wa wajane. "
---
Volume 2, Book 17, Number 141:
Narrated Anas bin Malik
Mtume kamwe hanyooshi mikono yake kwa ajili ya sala yoyote ile isipokuwa kwa ile ya Istisqa ' na alikuwa ananyoosha sana Mikono yake mpaka Weupe unaonekana kwenye Makwapa yake.
---
Volume 1, Book 8, Number 367:
Nabii wa Allah alionyesha Mapaja yake, na nikaona weupe wa Mapaja yake.
Nategemea umesoa hizo hadith za Muhammad na umejifunza kitu kuhusu ukabila au utaifa wa Nabii wa Allah. Muhammad alikuwa Mzungu na hatusome sehemu yeyote ile akipinga Uzungu wake.
Kwanini Waislam wa Mwanzo walisema kuwa Muhammad alikuwa Mzungu?
Kwanini Muhammad hakupinga madai ya yeye kuwa Mzungu?
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MUARABU
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

KUMBE ALLAH ANAYE MSAIDIZI


UTATA NDANI YA KURAN KUHUSU UTAMBULISHO WA ALLAH!!
KUMBE ALLAH ANAYE MSAIDIZI
Je, Allah anaye Msaidizi, mbona anatumia wingi katika kujieleza?
Hebu rejea kwenye Kuran kwanza:
Suratul Anbiyaa 91. Na mwanamke aliye linda uke wake, na TUKAmpulizia katika roho YETU, na TUKAmfanya yeye na mwanawe kuwa ni Ishara kwa walimwengu
.
Ndugu zanguni, Allah ameanza vituko vyake hapa. Katika Koran Allah anadai kuwa hana msaidizi Suratul Baqarah: aya 106 ― 107 Lakini katika aya tuliyo isoma hapo mwanzoni - Suratul Anbiyaa 91 tumeona kuwa Allah anatumia wingi alipo kuwa akielezea jinsi alivyo mpa ujauzito Maryam.
ALLAH ANAMUUMBA ISA BIN MARYAM KWA KUTIMIA WINGI
Kuran imejaa utata, hebu soma hapa Suratul Attahriim 12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na TUKAmpulizia humo kutoka ROHO YETU, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.
HAPA: Allaha anasema kwa undani zaidi TUKAmpulizia ROHO YETU. Hivi huyu Allah ni kweli alikuwa Mungu au ni madai ya Muhammad na rafiki yake Jibril? Mbona alisema kuwa yeye hana msaidizi wala Mwana? Kivipi Allah anatumia wingi katika kumuumba Isa Bin Maryam?
Aya zaidi kuhusu Maryam na kupata ujauzito za Isa: Suratul Anbiyaa 91.
Endelea hapa tena:
ALLAH ANAMUUMBA BINADAMU KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
HAPA tumesoma kuwa Allah anamuumba Binadamu kwa kutumia wingi" Nukuu: Na TULIMUUMBA MTU"
Endele hapa tena
ALLAH ANAUMBA MAJINI KWA KUTUMIA WINGI:
Suratul Hijr 27. Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji. Sasa anasema kuwa "TULIWAUMBA MAJINI" Allah anaendelea kutumia wingi katika uumbaji.
Je, unafikiri kuwa labda Allah alijisahau au fanya makosa pale alipo sema kuwa yeye hama msaidizi.
Wadhalimu wa dini ya Kiislam wamekuwa mstari wa mbele kusema kuwa, eti Wakristu wana miungu mingi na wao wana Mungu Mmoja tu naye ni Allah. Leo tumejifunza kuwa, Allah hayupo peke yake maana sasa anatumia wingi katika kazi zake ikiwa pamoja na ya uumbaji wa Binadamu na Majini.
Nukuu zingine ambazo ALLAH anatumia wingi: S. 3:44, S. 3:145, S. 17:1, S. 6:114, S. 19:40-42, 50-53, 56-74 Arberry, S. 2:252-253 , S. 3:108 Y. Ali; cf. S. 45:6, S. 37:161-166 Pickthall, S. 37:170-182 Y. Ali, S. 23:12-14 Arberry, S. 19:16-2, S. 66:12 Pickthall, S. 15:26-29 Pickthall.
Ndugu zanguni nimeweka ushaidi wa kutosha kutoka Quran yao kuhusu wingi ambao Allah amekuwa anautumia kila mara kwenye Quran yake.
Je, Allah anaye Msaidizi? Je, Allah anaye Mwana ambaye na yeye ana wadhifa wa KiAllah? Kwanini Allah anatumia wingi huku tukifahamu kuwa Allah hafananishwi wala hana msaidizi?
Hakika kuna shaka kubwa kubwa kwenye Quran ya Allah ambayo sasa inasema kwa kutumia wingi.
Biblia inasema kuwa Mungu anaye Mwana na anaitwa Yesu, zaidi ya hapo Biblia inatuambia kuwa kuna Mungu Roho Mtakatifu na hao wote ni WAMOJA katika Roho.
Karibuni kwa Mungu wa Biblia ambaye amesema kiuwazi kuwa yeye ni Baba na ana Mwana ambaye na yeye ni Mungu. Kumbuka hawa ni wamoja kwa kupitia Mungu Roho Mtakatifu.
Katika Huduma yake.
Max Shimba Ministries Org.

WAISLAM MNA ALLAH WANGAPI?

Na Mtumishi Arcangel Mikael:
ULE UTATA UNAOWASUMBUA WATU KILA KUKICHA, JE! HAWA WANAOTUMIA WINGI KATIKA QURAN NI MUNGU AU NI WENGINE???
KARIBU TUONE,,,
QURAN 39:2 " KWA YAKINI, SISI TUMEKUTEREMSHIA KITABU HIKI KWA HAKI, BASI MUABUDU MWENYEZI MUNGU KWA KUMFANYA MOLA YEYE TU"
hapo tunaona, hao wanaotumia WINGI (sisi) WAKISEMA, ndio wameteremsha Quran, na wanamwambia mtume amuabudu mwenyezi Mungu tu!
Hebu tujiulize Je! Hawa Wanaosema hivyo ni kina nani hasa?
Waislam wanasema kuwa hao ni Mungu maana Mungu hutumia WINGI kwa sababu ya Ukuu wake, Ok, hebu tukubaliane na DHANA HIYO HALAFU TUENDELEE KUANGALIA MAANDIKO,
SURAT AD-DAHR :2 " KWA HAKIKA TUMEMUUMBA MTU KUTOKANA NA MBEGU YA UHAI ILIYOCHANGANYIKA,,,,,
3)HAKIKA SISI TUMEMUONGOA (TUMEMBAINISHIA) NJIA,,, ,
kwa mujibu wa aya hizo hapo, utaona hao wanajiwakilisha kama Mungu, maana uwezo wa kuumba ni wa Mungu,
Na sio hizo tu, aya nyingi sana, hao wanaotumia (sisi) huchukua nafasi kama Mungu,,,
HEBU LEO TUMALIZIE UTATA HAPA
SURAT AL MA'ARIJ (70):40-41
40)"BASI NAAPA KWA MOLA WA MASHARIKI ZOTE NA MAGHARIBI ZOTE KWAMBA SISI TUNAWEZA "
41)"KUWABADILI (NA KULETA) WALIOBORA KULIKO WAO, NA SISI HATUSHINDWI (NA KITU)"
katika aya ya 40,hao wanaapa kwa Mola (mkuu) na WANASEMA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA, HAWASHINDWI KITU (41)
SWALI :
JE! NANI ATAKAYE TUAMBIA, HAWA WALIOAPA KWA MOLA WA MASHARIKI YOTE NA MAGHARIBI YOTE NA KUDAI KUWA HAWASHINDWI KITU NA WANAWEZA KUWABADILI NA KULETA WALIOBORA NI KINA NANI HAWA???????
JE NI MUNGU?? (kama ni Mungu iweje aape kwa Mola wa mashariki yote na magharibi yote????)
JE NI JIBRIL (Ikiwa ni Jibril, yeye anaweza kila kitu Kama Mungu,? maana Mungu ndiye awezaye kila kitu halafu iweje atumie wingi "sisi ')???
JE NI MTUME? (atawezaje kila kitu)?
YESU ANAKUPENDA SANAAAAAAA!!!
Barikiwa sana
Na Arcangel Mikael
For Max Shimba Ministries Org.

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?


(SEHEMU YA NNE)
Ndugu msomaji,
Tunaendelea na Sehemu ya nne.
Ni wazi ndugu zetu hawana ushahidi wala somo la kutuonyesha uislamu wa Muhammad.
kwani ikiwa Muhammad ni Muislamu tangu kuzaliwa vipi narudia tena, Allah anamtaka asilimu?
Kwani Allah hana habari kuwa Muhammad alikuwa Muislam tokea tumboni mwa mama yake au leo mmemzidi?! Kama nilivyotanguliza kauli mie sio mfasiri wa Qurani ;, wapo mabingwa wa TARJUMI NA FASIRI waliotuzidi na wamefasri Neno Dhaallan kwa maana ya Kupotea. Tazama the Noble Qurani pia kwenye mtandao.
Waislam, msijaribu kupinga au kukataa Quran eti kwasbabau inafundisha kile msicho kitaka au penda au tegemea ua presaposition ; Bila shaka neno dhaallan is used in reference to persons who are not following the true religion and/or who are steeped in idolatry:
136. Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali. (faqad dhalla dhalalan baAAeedan). S. 4:136 Hilali-Khan
77. Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua akasema: Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea. (addaallen)." S. 6:77 Hilali-Khan
Hii ina maana Allah alimpata Muhammad steeped in spiritual error and darkness! Kama walivyokuwa majahili wa zama hizi za ujahilia na ndio maana Allah anamwambia wazi usiwe tena miingoni mwa washirikina. Qu62:2, 14:6, kwani ulikuwa hujui kitabu (Taurati, Zabur, Injili), lakini sasa tumekupa Qurani; ulikuwa hujui Imani, ulikuwa Dhaallan,Umepotea Njia.
Narudia kauli yangu tena Allah ndiye kamwambia Muhammad kwa ushahidi was Quran 93:7 ulikuwa umepotea na katika 42:52 kama tulivyoona Allah anazidi kumwambia; Ulikuwa HUJUI KITABU WALA IMANI.
Allah anasema ulikuwa hujui kitabu wala imani!! Wewe unasema alikuwa muislamu tangu kabla ya kuzaliwa !!! Daaa waislamu kweli mabingwa wa kupinga na kugeuza maneno ya Allah pale wanapoona hawakubaliani na aya!!! Ebu tizama kwa aibu jinsi kaka Ibrahimu unavyokataa maneno ya Qurani!!!! labda wewe ungetupa maana yako ya neno Dhaalaan; narudia tena mie sio mfasiri wa Qurani ila Allah kasema akimwambia Muhammad katika Qurani 93:7 .... nanukuu " 7. Na akakukuta umepotea akakuongoa?"http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/93.htm
Jisomee mwenyewe na uone Allah anasema nini kwa Muhammad. Sasa mbona upinge!! Allah anasema silimu wala usiwe miongoni mwa washirikina wewe unasema wala katu hakuwa miongoni mwao?
Sasa nani mkweli nani mwongo:
1. Allah anaye mwambia Muhammad hujui kitabu wala imani
au
2. Wewe unaye sema kuwa Muhammad alikuwa Muislam tnagia tumboni mwa mama yake?
3. Ama kuhusu swala Zima la ibada ya Muhammad; BADO Waislam hamtujibu, HIVI MUHAMAMD ALIPO KUWA PANGONI alikuwa akifanya IBADA kwa msingi wa Kitabu gani au mwongozo hupi?
4. Ama kuhusu jina kumbe kafiri mshirikina anaweza akampa nabii jina?
Lakini pia tu tazame himizo la Muhammad (S.A.W.) kwa Makureshi wenzie kuhusu mungu wakipagani aitwae Allah Zamani kabla ya kuminywa pangoni.
Katika kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu kilichotungwa na Sheikh Said Moosa Muhamed al kindy juzuu ya mwanzo na pili chapa ya kumi ukurasa wa 130 tunasoma maneno haya: “katika wakati wa ujaahiliya kabla mtume (S.A.W.) kupata utume alikuwa akiwaambia watu “enyi watu semeni laa ilaha illah laah mtafuzu” yaani hapana mola ila Allah mtafuzu.
Huu ni ushahidi wa wazi kabisa ya kwamba Allah aliabudiwa na Makureshi na Waarabu wenzao hao watu walikuwa washikina , wapagani na majahilia (wajinga).
Kumbuka Muhammad alikuwa ni Mkureshi naye aliposema “hapana mola ila Allah” alikuwa yupo zama za ujahilia na hakuwa anajua kitabu wala imani kama Qurani 42:52 na alikuwa amepotea njia Qu 93:7.
Ama kuhusu Isaya Kuna maswali ya msingi nimehoji wala Waislam hamjatoa majibu. Isaya anasema Chuo hiki Watu umpa , sasa je, Qurani Muhammad kapewa na watu?
NDIO MAANA BADO NAULIZA WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA
Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu,
Na Mwalimu Chaka
For Max Shimba Ministries Org

Monday, May 9, 2016

MUHAMMAD KAMTUKANA ALLAH


Ndugu msomaji,
Hii ni dhambi kubwa sana ambayo Muhammad ameifanya. Amemtukama Allah kama ifuatavyo:
Sahih al-Bukhari Book 76 Hadith 531
Narrated Ibn Abbas:
The Prophet said, "You will meet Allah barefooted, naked, walking on feet, and uncircumcised." https://muflihun.com/bukhari/76/531
YAANI:
Nabii Muhammad anasema:
Utakutana na Allah akiwa pekupeku, akiwa uchi, akitembea kwa miguu, AKIWA NA GOVI.
HAYA MANENO KASEMA NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD.
Hivi kweli bado mnamfuata na kumpigania huyu Muhammad kwa sababu zipi? Maana sasa amepanda kichwa na kuanza kumtukana Allah wa Waislam.
References
al-Bukhari Book of Softening the Heart #531
al-Bukhari 6524
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book 76, Hadith 531
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book of Softening the Heart, Hadith 531
LEO SINA MENGI YA KUSEMA, MAANA HIYO SAHIH HADITH TEYARI NI MADA KAMILI TENA YA KUJITEGEMEA.
Muhammad anasema kuwa:
1. Allah anatembea pekupeku.
2. Allah anatembea akiwa uchi.
3. Allah anatembea kwa miguu.
4. Allah hajatairiwa "ana govi".
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM
Natanguliza pole kwa Waislam wote wanaoa mfuta Allah ambaye hajatairiwa na anatembea uchi.
WAISLAM TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kumbuka dini/imani zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Saturday, May 7, 2016

MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO (YESU): MAX SHIMBA ANAJIBU MADA YA BERNARD NYANGASA



MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO (YESU)
MAX SHIMBA ANAJIBU MADA YA BERNARD NYANGASA
"Bernard Nyangasa"
Ndugu msomaji,
Hii mada ni jibu kwa Bwana Bernard Nyangasa anaye jaribu kupindisha Neno la Mungu, kwa kumhusisha an au kuwaunganihsa Yahawe na Allah.
BERNARD NYANGASA ANASEMA:
Katika Matayo 7:15-24,Yesu anatutajia vigezo rasmi vya kuweza kuwagundua Wahubiri bandia, wanaofundisha mafundisho potofu.Kuwani "matunda" yao.Yaani kama mafundisho yao yanaafikiana na mafundisho ya Yesu.

MAX SHIMBA ANAJIBU:
***Jibu: Kwanza nitaanza kwa kuziweka aya ambazo Bwana Berbard Nyangasa amenukuu: Matayo 7: 15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. 21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. 24 Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;
**** Jibu: Yesu alituonya kuwa “Wakristo wa uongo na manabii wa uongo” watakuja na kujaribu kuwadanganya hata wateule (Mathayo 24:23-27; angalia pia 2 Petero 3:3 na Yuda 17-18). Njia nzuri ya kujilinda na uongo na walimu wa uongo ni kuijua kweli. Ili ugundue pingamizi lichunguze pingamizi lenyewe. Muumuni yeyote ambaye, “analisoma Neno la ukweli” (2 Timotheo 2:15) na anafanyia uchunguzi Bibilia kwa makini anaweza kuitambua kanuni ya uongo. Kwa mfano, muumuni ambaye amesoma kazi ya Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu katika Mathayo 3:16-17 papo hapo atashuku kanuni ambayo yakana utatu wa Mungu. Kwa hivyo, hatua ya kwanza ni kuisoma Bibilia na kuhukumu mafunzo yote kwa chenye maandiko yanasema.
***************************************************************************************************
BERNARD NYANGASA ANASEMA:

Friday, May 6, 2016

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH NI MUNGU WA KIPAGANI




Je, Allah ametajwa kwenye Taurat, Zaburi au Injili?
Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.http://www.biblebelievers.org.au/moongod.htm
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Nabii Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA: Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhamamd alikuwa naongoa na ummah upi.
TATIZO LA PILI: Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu
Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

LINI ALLAH ATAZUNGUMZA NA MUHAMMAD?


Ndugu zanguni,
Hili swali limeenda shule.
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9Wagalatia 1:1 Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu
Biblia ipo wazi kabisaa, kuwa Paulo alitumwa na Mungu, wakati Muhammad alitumwa na Jibril ambaye si Mungu. Koran inakiri kuwa Muhammad alikutana na Jibril na hakuwai kukutana na au ongea na Mungu hata mara moja. Lakini tunasoma katika Biblia kuwa, Paulo alipewa utume na Mungu mwenyewee.
Warumi 1:1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, ALIYEITWA KUWA MTUME na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu.
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu aliye Mtuma? Maana ya neno Mtume kwa kifupi: Ni Mtu aliye tumwa.
HEBU TUANGALIE, HUYU MUHAMMAD ALIZALIWAJE?
1.KUZALIWA KWAKE,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).
Je, kuna ushahid wowote ule kuwa Muhammad alitolewa Shetani? Kama upo Basi Waislam, tuleteeni tuuone.
2.BAADA YA KUTOKA PANGONI,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a,uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
KUFUATANA KITABU CHA MAISHA YA NABII MUHAMMAD, tunajifunza kuwa Muhammad kwa mara ya kwanza kabisa alipata utume wake pangoni baada ya NAFSI YAKE KUCHEZEWA NA MASHETANI.
MASWALI:
(i). Kama Jibril ndie alitumwa na Allah, na huyo Allah ni Mungu, kwanini Muhammad alisema kuwa nafsi yake imechezewa na MASHETANI baada ya kukutana na Jibril?
(ii). Kama Jibril alitoka kwa Allah, kwanini Muhammad alipo toka pangoni alisema kuwa Jibril AMEMZUGA AKILI YAKE?
3.KUROGWA KWAKE,
Amesema Mwanaisha Mkewe Mtume kuwa "Yahudi Mmoja aitwaye Labiid bin Al'answan alimroga Mtume Muhammad, ikawa Mtume baadhi ya Nyakati huchanganyikiwa na kuanza kuita Ovyo ovyo na kupiga makelele. (Sahih Muslim J. 4 uk. 38-39)
MASWALI:
(a) Hivi, kuna Mtume au Nabii yeyote yule ambaye alikiri kurogwa?
(b) Hivi Allah alikuwa wapi wakati Muhammad anarogwa?
(c) Wapi tunasoma kuwa Muhammad aliombewa na kutoa huo uchawi/urogi aliofanyiwa na Labiid bin Al'answan?
YAANI INA MAANA MUNGU ALIKOSA MTU WA KUTUMA MPAKA ATUME MTU ALIYECHEWA NA MASHETANI KAMA HUYU?
Ndugu msomaji,
Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu na wala hana sifa za KITUME.
1. Muhammad hakuwai ongea na Allah aliye mtuma.
2. Muhammad alikuwa na Shetani tokea kuzaliwa kwake.
3. Muhammad alikiri kuchezewa na Shetani wakati wa kusimikwa utume wake Pangoni.
4. Muhammad alikiri kuwa Shetani amechezea akili na nafsi yake.
5. Muhammad alikiri kuwa alirogwa na Labiid bin Al'answan.
SASA WAISLAM, NIONYESHENI, wapi kwenye Taurat, au Zaburi au Injili kama kuna Mtume aliye na sifa za ajabu kama za Muhammad.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Max Shimba Ministries

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?

(SEHEMU YA KWANZA)
Ndugu msomaji,
Leo tunaanza na mada hii kubwa ambayo inauliza na kuwaomba Waislam watuletee uthibitisho wa Muhamamd akisilimu na kuwa Muislam.
Tunaposoma kitabu cha maisha ya Muhammad S.A.W. kilichoandikwa na aliyekuwa kadhi mkuu wa Kenya na Zanzibar Sheikh Farsy ukurasa wa 5 kuna maneno haya…
Pale pale alfajiri alipokwisha kuzaliwa mtume alikwenda kuitwa babu yake kuja kumwona mjukuu wake. Babu huyu alifurahi sama na akamfunika maguo mjukuu wake, akajikongoja naye mpaka kwenye Al-ka’ba akafungua mlango akaingia ndani, akasimama, akamwombea dua kwa mashairi mazuri ya kiarabu aliyoyatunga mwenyewe wakati ule ule, kisha akarejea naye na jua bado halikuchomoza.
Hapa tunaona Babu yake Muhammad akimchukua mjukuu wake Ndani ya alkaaba alfajiri kwenda kumfanyia ibada, kumkabidhi kwa Mola wake, kutia wakfu.
Lakini je Kuna nini Hapa cha kuzingatia?
(1) imani ya Abdul muttalib ilikuwa hii.
Katika kitabu " Acha Biblia Iseme" kilichoandikwa na mwanachuoni maarufu wa kiislamu aitwae Ali muhsin Barwani ukurasa wa 153 tunasoma maneno haya; “hapakutokea mwarabu ambaye alipewa jina hilo(Muhammad) na babu yake tangu kuzaliwa kwake, na huyo babu hakuwa Mkristo bali alikuwa akifuata mila za kishirikina.” Na wala hakujua taurati wala injili." mwisho wa Nukuu
Ushahidi wa wazi unaothibitisha kuwa babu yake Muhammad Abdul muttalib pamoja na kuomba miungu haswa mungu Hubaal sanamu kuu ndani ya alkaaba; vilevile aliomba dua kwa Allah; Mungu atakayerithiwa baadaye na mjukuu wake katika uislamu; ushahidi tunaupata tunaposoma utangulizi wa suratul al-fyl ulio katika juzuu ya ukurada wa 946 Qurani iliyotafsiriwa kwa kiswahili chapa ya nane tunasoma maneno hayo. “chifu mkuu wa makka zama hizo alikuwa Abdul muttalib, alikwenda al ka’ba pamoja na baadhi ya machifu wa kikuraish na akilishika komeo la chuma la mlango wa al-ka’ba, akamwambia Allah (S.W.0 kuilinda nyumba yake pamoja na wahudumu wake. Zama hizo kulikuwa na masanamu 360 ndani na kando ya Al- ka’ba.”
Ndugu zetu kiuanadamu waislamu Wanadai kwa mujibu wa Quran 30:30 sote tunapozaliwa tunazaliwa Hali tukiwa waislamu ila wazazi wetu uja na kutuondoa kwa uislamu Ima kwa Mfano kubatiswa na kadhalika. Hivyo na Hapa tunaona Mtoto huyu alipozaliwa mwanzo alipewa Jina na babu yake aliyekuwa mshirikina Kisha babu huyu Zamani za kabla ya uislamu alijikokota na mjukuu wake hadi alkaaba na alfajiri Ile kumtoa wakfu.

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?


(SEHEMU YA PILI)
Ndugu Waislam,
Asanteni kwa majibu yenu katika Sehemu ya Kwanza ya Huu Mjadala Mzito ambao mpka sasa bado hamjatoa majibu kuthibitisha lini Muhamamd alisimu, badala ya Waislam kutoonyesha wapi Muhammad Kawa mwislamu kwa hoja hii na hii wenzetu wanabaki tu kwenye Hali ya kujaribu kujibu Yale niliyokuwa naelezea pasina mwanzo kutupa somo kuonyesha wazi mwezetu huyu Hana hoja. Pili Waislam wanadai tu kuwa kwa mujibu wa Qurani 30:30 Muhammad atakuwa kazaliwa muislamu na hili pia linazua balaa kama tutakavyoona , na ndio maana nikaanza kwa kutuonyesha kuwa Babu yake ambaye alikuwa mshirikina tena alikufa katika hiyo Hali ya ujahiliwa aliwahi kumpeleka mjukuu wake Ndani ya alkaaba wakati huo ikiwa na miungu 360 ya kikafiri wakati wa swala ya alfajiri akamtia wakfu kwa dua ila kumwandaa kwa siku za usoni. Kupanga pia kafiri huyu mshirikina ndiye aliyemchagulia mjukuu wake jina sio kama jina la Yohana au Ishmael au Yesu yaliyoletwa na Malaika. Jina ili ndilo alilotumia hata baada ya kujibashiria utume.
Lakini pia tunapo soma kwenye sura ya 93: kuna maneno haya; "Naapa kwa mchana! 2. Na kwa usiku unapo tanda! 3. Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe. 4. Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia. 5. Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike. 6 Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi? 7. Na akakukuta umepotea akakuongoa? 8 Akakukuta mhitaji akakutosheleza? 9. Basi yatima usimwonee! ZINGATIA MANENO HAYA :::::: NA AKAKUKUTA UMEPOTEA AKAKUONGOA!!!
Hapa kwa mwenye kutaka kufahamu Kuna mazingatio. Neno ambalo mabingwa wa tafsiri ya Qurani wamelifasiri kupotea njia ni neno "Dhaallan" kwenye Aya ya saba. Tazama the noble Quran pia hivi ndivyo walifasiri kina Ibn Kathir, Jalalayneen
Pili katika Surah ya 42:52 tunasoma "Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa amri yetu. Ulikuwa hujui Kitabu ni nini, wala Imani. Lakini tumekifanya kuwa ni Nuru ambayo kwayo tunammwongoa tumtakaye katika waja wetu. Na hakika wewe unaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka."
Zingatia kauli hii ULIKUWA HUJUI KITABU WALA IMANI na ndio maana allah akasema akimwambia muhammad ulikuwa umepotea njia!!!!
MASWALI:

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW