Wednesday, May 18, 2016

JESUS WAS RICH

JESUS WAS GIVEN GIFTS AS A CHILD AGED APPROXIMATELY 2 YEARS OLD

Jesus was given gifts of gold, frankincense, and myrrh as a 2 year old child. The frankincense and myrrh were worth more than the gold!
Matthew 2: 11, "And when they had come into the house, they saw the young Child with Mary His mother, and fell down and worshiped Him. And when they had opened their treasures, they presented gifts to Him: gold, frankincense, and myrrh."
JESUS HAD A HOME AND A FAMILY BUSINESS
Jesus inherited His earthly father Joseph's home, and also Joseph's family business, according to the culture of His day, since He was the eldest Son
Jesus was not just carpenter. His business was a family business, probably called "Joseph and sons." Jesus was actually a builder of houses, as well as the tables and chairs in them! He built houses, complete with the roof, walls, doors, windows, tables, chairs and beds. In Israel today can be seen replica New Testament villages.
The two main businesses in Israel during the lifetime of Jesus were the building of homes, and fishing. Fishing was the high tech industry of the day, feeding thousands of people every day on the Via Maris, as well as the entire population of Israel. Jesus' disciples were the New Testament equivalent of today's City Traders!

JESUS CHRIST HAS ALWAYS BEEN A MASTER OF MASTER BUILDERS, AND IS NOW THE MASTER BUILDER OF OUR LIVES
Jesus Christ created the entire universe
Jesus Christ created the entire universe, in six days (please see our teaching on Creation: The Genesis Account on this web site). The Bible records:
- John 1:1-3, "In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was in the beginning with God. All things were made through Him, and without Him nothing was made that was made".
- Colossians 1:15-17,"He is the image of the invisible God, the firstborn over all creation. For by Him all things were created that are in heaven and that are on earth, visible and invisible, whether thrones or dominions or principalities or powers. All things were created through Him and for Him".
Jesus Christ's occupation was Master Builder
Jesus Christ's occupation was a master builder before His Earthly ministry.
Jesus Christ is now the Master Builder of our lives
Jesus Christ is still the Master Builder, transforming us, little by little, into His Likeness. According to 1 Corinthians 6:19, "Your body is the temple of the Holy Spirit who is in you".
Jesus Christ builds our lives, as recorded in 2 Corinthians 3:18-4:1, "But we Christians have no veil over our faces; we can be mirrors that brightly reflect the glory of the Lord. And as the Spirit of the Lord works within us, we become more and more like him" TLB.
Jesus Christ is the best possible foundation on which to build our lives
Jesus said, in Luke 6:47-49, "Whoever comes to Me, and hears My sayings and does them, I will show you whom he is like. He is like a man building a house, who dug deep and laid the foundation on the rock. And when the flood arose, the stream beat vehemently against that house, and could not shake it, for it was founded on the rock. But he who heard and did nothing is like a man who built a house on the earth without a foundation, against which the stream beat vehemently; and immediately it fell. And the ruin of that house was great."
Jesus is now the Master Builder of our lives.
JESUS CHRIST WORE EXPENSIVE CLOTHING

Friday, May 13, 2016

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI? (SEHEMU YA TATU)

Rafiki zetu wameanza kuweka majibu yao kwa kujaribu kutoa maelezo kuhusu swala la Allah kumtaka Muhammad asilimu kwa kusema kuwa sio kila unapotamka shahada maana yake unasilimu kwa maana ya kufanyika Muislamu, lakini pia wanasisitisa kuwa Muhammad mwana wa Abdallah na Amina ni muislamu tangu kuzaliwa kwa mujibu wa aya ya 30:30.
Lakini tukimakinika vyema utagundua hakuna jipya analotuelezea rafiki yetu, kwani kwa Mujibu wa aya nilizotangulia kuzitoa na naomba kurejea aya ya 6:14
" 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. "
http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/6.htm
Katika aya hii Muhammad hajapewa amri ya kutamka shahada , la, bali ametakiwa asilimu na katu asiwe miongoni mwa WASHIRIKINA; Hapa pia inabidi kuwakumbusheni swali nililotangulia kuuliza; Hivi je kabla ya amri hii alikuwa Muhammad miongoni mwa MAKAFIRI, WASHIRIKINA? Lakini pia aya hii ni Amri wala kamwe hatujaonyeshwa wapi alipotii amri hii mwana wa Amina.
Tukumbuke pia mazingira alolelewa ndani, yalikuwa mazingira ya kishirikina, kwa maana nimetoa ushahidi kuwa Babu yale, na hata Ami yake walikuwa Makafiri , washirikina na ndio waliomlea. hawa walezi wake walikufa katika hali hii ya ujahiliya.
Sitashaangaa endapo baadhi ya Waislamu kama Ibrahimu, watasema kuwa baba wa Muhammad alikuwa mwislamu. Hata hivyo, huyu mtu alikufa kabla hata ya Muhammad kuzaliwa. Na je, Muhammad mwenyewe anasema nini kuhusiana na baba yake?
Tunasoma hivi:
Anas reported: Verily, a person said: Messenger of Allah, where is my father? He said: (He) is in the Fire. When he turned away, he (the Holy Prophet) called him and said:Verily my father and your father are in the Fire. (Sahih Muslim, Book 001, Number 0398).
عَنْ أَنَسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلا قَالَ : يَا رَسُولَ اللَّهِ ، أَيْنَ أَبِي ؟ قَالَ: ((فِي النَّارِ)) فَلَمَّا قَفَّى دَعَاهُ ، فَقَالَ: ((إِنَّ أَبِي وَأَبَاكَ فِي النَّار)) مسلم
Yaani:
Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeka kuondoka, (Mtume mtakatifu) akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.

NINAKUOMBEA wewe utakayeandika AMEN Mungu akutendee WEMA wiki hii yote kwa jina la YESU!

Kwa jina la Yesu,NINAIBARIKI SIKU YAKO YA LEO! 
NURU YA KRISTO IIANGAZIE KAZI YAKO,FAMILIA YAKO,AFYA YAKO NA BIASHARA YAKO KWA JINA LA YESU!

NAJIHOFIA NAFSI YANGU KUCHEZEWA NA SHETANI ASEMA MUHAMMAD

Ndugu msomaji,
Muhammad mtume wa waislamu katika kitabu “ Wakeze Mtume Wakubwa na Wanawe kilichoandikwa na Sheikh Abdallah Saleh Farsy Uk. 12, Muhammad anasema:-
“ Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuni haribu akili yangu na kunizuga………………”
Aliyasema maneno hayo baada yakubanwa na kiumbe fulani usiku kule pangoni alikokuwa na baada ya hapo akaanza kujiita mtume. Hoja yetu ni mtume wa nani? Utume kapewa na nani?
Katika Kitabu sira cha cha Ibn Ishaq 132-133 tunasoma
“ Kama huyu shetani (jinni) ambaye amekupagaa wewe ni yule ambaye huwezi kumtoa, tutamtafuta mganga na tutatumia vyote tulivyonavyo kukutibu kwa kuwa mara kwa mara shetani (jinni) humpagaa mtu. Lakini anaweza kuondolewa. Mtume alikuwa akisikiliza kwa makini”
Kisha baadaye na yeye Muhammad katika Sahihi Muslim Juzuu 4 Hadithi na. 2814 kasema
“ Wala hakuna yeyote katika nyinyi isipokuwa amepewa nguvu zinazotokana na majini. Wakasema (maswahaba) hata wewe mtume wa allah? Akasema hata mimi isipokuwa allah hunirahisishia juu yake hunyenyekea wala hayaniamrishi ila yaliyo mazuri”..................Ni jumatatu natafakari tu, Wadau aiku njema
Hivi kuna mtume yeyote yule aliye kiri kuwa amechezewa na Shetani kama Muhammad wa Waislam?
Barikiwa sana,
Max Shimba Ministries Org.

QURAN YAKIRI KUWA WAISLAM WANABEBA MIZIGO MIBAYA SANA




Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.

KUMBE TWALHA ALITAMANI KUMUOA AYSHA MKE WA MUHAMMAD?

Leo katika chambuachambua yangu ya vitabu nimeamua kupitia surah nzima ya 33 katika Qurani kama ilivyofasiriwa na Wanachuoni wa Kiislamu wa awali; fuatana nami; tuanze na aya hii Qu33:53 Enyi mlioamini! msiingie nyumba za Nabii ila kama mpewe ruhusa kwenda kula, pasipo (kwenda kaa) kungojea kiive. Lakini mtakapoitwa, basi ingieni; na mnapokwisha kula, tawanyikeni. Wala msishughulike kuzungumza, maana jambo hili humwudhi Mtume, naye huwaoneeni haya; lakini Mwenyezi Mungu Haoni haya kusema haki. Nanyi mnapowaomba (wakeze) kitu, basi waombeni nyuma ya pazia. Hayo ni safi kabisa kwa mioyo yenu na kwa mioyo yao. Wala haiwapasini kumwudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala msiwaoe wake zake baada yake abadan. Hakika hilo ni (dhambi) kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu."...............................................Maneno haya tunaambiwa tuamini ni ya MUNGU tena yapo kwenye Ubao uliohifadhiwa tangu kabla ya ulimwengu kuwepo, ni maneno ya MUNGu ya milele yasiokuwa kiumbe, ila unaposoma ni wazi tu hapa ni matayarisho ya kiongozi ambaye bila shaka alifahamu siku sio chache ataaga dunia baada ya kuteseka kwa muda kwa sumu aliyolishwa na mwanamke wa Kiyahudi ambaye alikuwa na machungu ya kuuwawa kwa jamii yake kule Khaibar; zaidi sana ni yale tunayojifundisha au kugundua kuwa kama sababu ya kuteremshwa kwa aya hii; naomba kunukuu: ....... Twalha bin Ubaydullah alikuwa akimtamani Aisha (mkewe Mtume) akisema:
“Akifa Mtume nitamuoa Aisha” pale pale Mwenyeezi Mungu (s.w) akateremsha Aya ya 53 sura 33
Taz: Addurrul Manthur J.5 Uk. 404 Tafsir ibn Kathir J.3 Uk. 513
Kwa kuwa ni haramu kumwoa, mtu mama yako hata Babako akifa, basi mtume akatangaza wake zake wote ni mama zetu. Sasa leo kumwita Aysha kale katoto kalioolewa na miaka 6 kuwa ni mama ya waumini inakuwa rahisi wala watu hawashangai;
Ajabu kiongozi huyu
Alipomwoa aliyekuwa Mke wa mwanawe wa kulea Zaid ,waarabu wakaanza kumsema , ooh Mtume gani kaoa Mke wa mwanawe , maana walimwita Zaidi bin Muhammad licha ya kuwa hakuwa baba mzazi ila baba mlezi tu; kujitetea Allah akateremsha wahyi; aya inasemaje: Qu 33: 40. Muhammad si baba ya ye yote katika wanaume wenu, bali yeye ni Mtume wa Mungu na Muhuri wa Manabii. Na Mwenyezi Mungu ndiye Ajuaye kila kitu."..........

MUHAMMAD KAMTUKANA ALLAH

Ndugu msomaji,
Hii ni dhambi kubwa sana ambayo Muhammad ameifanya. Amemtukama Allah kama ifuatavyo:
Sahih al-Bukhari Book 76 Hadith 531
Narrated Ibn Abbas:
The Prophet said, "You will meet Allah barefooted, naked, walking on feet, and uncircumcised." https://muflihun.com/bukhari/76/531
YAANI:
Nabii Muhammad anasema:
Utakutana na Allah akiwa pekupeku, akiwa uchi, akitembea kwa miguu, AKIWA NA GOVI.
HAYA MANENO KASEMA NABII WA ALLAH AITWAYE MUHAMMAD.
Hivi kweli bado mnamfuata na kumpigania huyu Muhammad kwa sababu zipi? Maana sasa amepanda kichwa na kuanza kumtukana Allah wa Waislam.
References
al-Bukhari Book of Softening the Heart #531
al-Bukhari 6524
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book 76, Hadith 531
Sahih al-Bukhari Vol. 8, Book of Softening the Heart, Hadith 531
LEO SINA MENGI YA KUSEMA, MAANA HIYO SAHIH HADITH TEYARI NI MADA KAMILI TENA YA KUJITEGEMEA.
Muhammad anasema kuwa:
1. Allah anatembea pekupeku.
2. Allah anatembea akiwa uchi.
3. Allah anatembea kwa miguu.
4. Allah hajatairiwa "ana govi".
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM
Natanguliza pole kwa Waislam wote wanaoa mfuta Allah ambaye hajatairiwa na anatembea uchi.
WAISLAM TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kumbuka dini/imani zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH KASEMA HOMA YA SIKU MOJA INAFUTA MADHAMBI YA MWAKA MMOJA





1. • Muislamu akipatwa na Homa ya siku moja anafutiwa dhamb
2 • Mwiba Huondoa Dhamb
3 • Mtu aliyefiwa watoto watatu anafutiwa dhamb
4 • Tendo la Ndoa linakufutia dhamb
5 • Kuoga siku ya ijumaa kunakufutia dhamb
Ndugu msomaji,
Leo hebu tuangalie baadhi ya mambo ambayo muislamu akiyafanya yeye anaamini amesamehewa dhambi zake.
1 • Muislamu akipatwa na Homa ya siku moja:
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman. Juzuu 3-4 uk 74 hadith na 924 inasema
“Homa ni bahati ya kila Muislamu kwa (adhabu ya) moto. Na homa ya siku moja inafuta (madhambi ya) mwaka (mmoja) kamili.
2 • Mwiba Huondoa Dhambi:
Katika Sahih Bukhari na Muslim juzuu ya 7 Hadith 544
“ Hadith ya Aisha (r.a), mke wa mtume (SAW) alisema mtume wa Allah amesema “Hakuna tatizo litakalompata Muislamu isipokuwa Allah atafuta madhambi kwa tatizo hilo kwake, hata kama ni mwiba utakaomtoboa” (al lu’lu war-marjan vol.3 H.1663 UK.969)
3 • Mtu aliyefiwa watoto watatu:
Katika sahih Bukhar na Muslim juzuu ya 9 Hadith 413
“Hadith ya Abu Said Al-khudri (r.a) amesema, alikuja mwanamke fulani kwa Mtume wa Allah! Na akasema kumwambia mtume wa Allah (SAW) “ Wanaume ndio pekee wenye kufaidika na mafundisho yako, kwa hiyo tutengee siku moja, tunakuja, unatufundisha katika katika aliyokufundisha Allah. Mtume (SAW) jikusanyeni siku kadha wa kadha mahala kadha wa kadha, wakajikusanya. Mtume wa Allah (SAW) akawaendea akafundisha katika aliyomfundisha Allah kisha akasema, Hakuna Mwanamke miongoni mwenu atakayetanguliza watoto wake watatu, isipokuwa watakuwa pazia ya kumkinga na moto, Mwanamke mmoja katika wao akauliza, Ewe mtume wa Allah, Wawili je? Yule mwanamke akalirudia swali lake mara mbili, Mtume (SAW) akasema wawili na wawili na wawili.
4 • Tendo la Ndoa:
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu juzuu 1-2 cha Mohammed al-Kindy uk 206 Hadith 467 inasema
“ Hakika Mwanamme akimtazama mkewe (kwa matamanio ya kuingiliana) nae (mke) akamtazama mumewe (kwa ajili hiyo) basi anawatazama Mwenyezi Mungu utazamaji wa rehema, (mume) akimshika mkewe kwa mkono wake ( kwenda kutimiza haja yao) basi yanadondoka (yanatoka) madhambi yao kwenye vidole vyao”
5 • Kuoga siku ya ijumaa:
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Moosa Mohammed al-Kindy Juzuu ya 1-2 Hadith no 66 uk 41 inasema
“ Ogeni siku ya ijumaa, kwani anaeoga siku ya Ijumaa basi inakuwa kafara kwake (yanafutwa madhambi yake) baina ya Ijumaa mpaka Ijumaa, na nyongeza siku tatu”
Lakini tunaposoma Biblia Takatifu Yer 2:22 “Maana ujapojiosha kwa magadi na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu asema Bwana MUNGU”
Hivi ndivyo mafundisho ya Kiislamu yanavyofundisha kuhusu kuondoa dhambi.
Jambo ambalo ningependa ulijue katika Uislamu , mbali ya kufanya swala mara tano kama walivyoamriwa, bado Muislamu huyu hana uhakika wa Msamaha wake wa dhambi.
Muhammad ambaye ndiye kiongozi, mpaka siku aliyokufa tarehe 8/6/632 B.K alikuwa hana uhakika kama amesamehewa dhambi zake au hapana na hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa wafuasi wake hata leo.
Na Mwalimu Chaka wa Musa
For Max Shimba Ministries Org

WAISLAM WANAFANYA KAFARA YA DAMU YA WANYAMA WAKIWA HIJA MAKKA

Ndugu yangu msomaji, Hija ni Ibada kubwa kabisa kwa Muislamu ambayo hutakiwa kuifanya angalu mara moja katika maisha yake kwa mwenye uwezo (fedha) na kwa kawaida Hija hii hufanywa katika nchi ya Saud Arabia katika mji wa Makka ambao waislamu wanaitikadi kuwa ndio mji wao mtakatifu. Mwislamu anapokuwa Hija kuna Ibada ya kutoa Kafara (kuchinja) wanyama k.m Ngamia, Kondoo, Mbuzi ili iwe kama fidia ( ransom) kwa dhambi alizofanya.
Katika kitabu kiitwacho “VIPI UHIJI” kilichoandikwa na A.Suleiman uk 22 kinaelezea kafara anayopaswa kuifanya Muhirim anayehiji kwa kufanya mapenzi akiwa Makka,
“Kafara ya Mhirim kwa kufanya Mapenzi ni kuchinja (bila kuchelewa katika siku za hija) Ngamia mwenye umri wa miaka mitano. Ikiwa hutapata Ngamia utachinja ng’ombe, ikiwa hatapata ng’ombe basi kondoo au mbuzi saba, ikiwa hawatapatikana basi atakisia dhamani ya ngamia na kwa dhamani hiyo atanunua ngano na kuwagawia maskini wa Maka. Ikiwa yote hayo hakuweza basi itampas afunge siku moja kwa kila lita 0.51 za ngano ambazo zingeweza kununuliwa katika dhamani ya ngamia”
Hivi ndivyo anavypaswa kutoa kafara Mwislamu akiwa Hija huku akiamini kuwa dhambi alizofanya kwa kufanya Mapenzi zitasamehewa kwa kutoa kafara ya wanyama au ngano (unga) lakini tusomapo Biblia katika
Amosi 5:21,26 Inasema
Mimi nazichukia sikukuu zenu, nazidharau, nami sitapendezwa na makutano yenu ya dini naam ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, SITAZIKUBALI wala sitaziangalia sadaka zenu za amani na wanyama walionona. Naam mtamchukua Sikuthi mfalme wenu, na Kiuni sanamu zenu, nyota ya mungu wenu mliojifanyizia wenyewe.
Mwislamu huyu anapokuwa hija pamoja na kuiita kuwa ile ni ibada takatifu ,lakini maneno anayoyatamka siku hiyo ya mwisho wa hija ni maneno ya kukatisha tama sana , kwa sababu yanadhihirisha kuwa pamoja na mambo yote anayoyafanya huyu Mwislamu lakini bado hajapata uhakika wa msamaha wa dhambi zake.
Tunasoma katika kitabu kiitwacho VIPI UHIJI ule Uk.66-67
“Ee Mola nyumba ni yako, mja wako mwana wa waja wako wawili. Umenileta juu ya kiumbe uliyemfanya anitii, kunileta mji wako kunionyesha neema yako ili niweze kutimiza amal zako. Ikiwa umependezwa na mimi, basi zidi zaidi kupendezwa nami.
Ikiwa hujapendezwa nami nibariki hivi sasa kabla nyumbani kwangu na kwahala ninakokwenda hakujawa mbali na nyumba yako. Sasa hivi wakati wa kuondoka umewadia ukiniruhusu. Sitafuti chochote isipokuwa ridhaa yako na nyumba yako. Ewe Mola nipe afya ya kiwiliwili na unihifadhi katika dini yangu. Ifanye hali yangu kuwa bora na unidumishe katika utiifu kwako kwa muda wote utakao niweka hai. Nipe yaliyo bora katika huu ulimwengu na katika akhera kwani wewe ni muweza wa kila kitu”
Rafiki yangu mpendwa Mwislamu napenda nikujulishe kuwa Yesu kama kafara ya Mungu mwenye haki alalipia dhambi zako msalabani. Mkristo ameondolewa na kuwekwa huru katika Hukumu ya Mwisho.Yesu ametufanya tuhesabiwe haki kutoka na mashtaka na lawama aya shetani, Mkristo haishi tena chini ya sheria (sharia) bali anaishi katika neema ya Mungu.
Hawasumbuki kujiokoa wenyewe kwasababu wanae Mwokozi kwa bahati mbaya neno upatanisho (atonement) au wazo linalohusika na wokovu wa neema halimo katika Qur’an na Uislmau kwa ujumla.
Na Mwalimu Chaka wa Musa
For Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD KASEMA YEYE NI MSHIRIKA WA ALLAH

KUMBE ALLAH ANAYE MSHIRIKA
Naomba wenye kufahamu na kutumia akili tuwe macho; tutafakari; jina la Muhammad s.a.w utajwa na pamoja na Allah wakati wa adhaana, Tashahhud, kuingia katika Uislamu, du´aa baada ya wudhuu na kila wakati. Kwa mujibu wa wanachuoni wa Kiislamu haitoshi mtu kushuhudia ya kwamba Allaah ndiye mwenye haki ya kuabudiwa ikiwa mtu hashuhudii ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.
Waislamu wote wanajua kuwa anapaswa kutukuzwa na kuadhimishwa. Qqurani inasema:
لِّتُؤْمِنُوا بِاللَّـهِ وَرَسُولِهِ وَتُعَزِّرُوهُ وَتُوَقِّرُوهُ وَتُسَبِّحُوهُ بُكْرَةً وَأَصِيلًا
"Ili [nyinyi] mumwamini Allaah na Mtume Wake, na mumtukuze na mumheshimu mumtukuze asubuhi na jioni." (48:09)
Mtume (S.a.w) ni bora kuliko Ka´bahna yeye ni bora kuliko kiumbe chochote kile. Mwenye kumtukana Mtume Muhammad anakuwa karitadi anauawa na wala haambiwi kutubia. Hili ni kwa Ijmaa´. Anauawa wala haambiwi kutubia, anakuwa karitadi kutoka katika Dini ya Uislamu.
Moja miongoni mwa misingi mikuu ya Imani ya Dini ya uislamu ni kumpenda Muhammad kuliko unavyoipenda nafsi yako. ndio maana aliwahi kuwaambia watu:
(قل إن كنتم تحبون اللــه فاتبعوني يحببكم اللــه ويغفر لكم ذنوبكم واللـه غفور رحيم) العمران 31
“Sema, ikiwa nyinyi mnampenda Allah basi nifuateni, Allah Atakupendeni na Atakughufirieni madhambi yenu” 3:31.
Watu wakienda kwenye jihadi yakatekwa mali/ ngawira; basi mali yale ni ya ALLAH na Mtume wake;
يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْأَنفَالِ قُلِ الْأَنفَالُ لِلَّهِ وَالرَّسُولِ فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَصْلِحُوا ذَاتَ بَيْنِكُمْ وَأَطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ( 1 ) Al-Anfal ( The Spoils of War ) - Ayaa 1
Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Mtume. Basi mcheni Allah na suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Allah na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini.
pamoja na haya TUNAAMBIWA ALLAH HANA MSHIRIKA?
Poleni sana Waislam manye fuata Allah mwenye mshirika aitwaye Muhammad.
Na Mwalimu Chaka
Vro Max Shimba Ministries Org

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW