Wednesday, May 18, 2016

KUMBE ALIYEANDIKA QURAN ALIKUWA NA SHETANI?



Mtu wa Awali, aliyejifundisha kusoma na kuandika katika Mji wa Makka alikuwa Bwana Harb bin Umayya-babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa Yaman, na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa Makka.
Wakati Mtume alipopata utume walikuwako watu 6 tu katika Makka waliokuwa wakijiua kuandika. Wa 4 katika yao waliingia katika Uislamu, wakawa ndiyo waandikaji "Wahyi" (aya za Qur'an), watu hao walikuwa ni Sayyidna Abubakar. Sayydna Umar, Sayyidna Uthman na Sayyidna Ali.
(Kitabu cha Maisha ya Nabii Muhammad uk. 8,na Sheiky A.Falsy)
SAYYIDNA ABUBAKAR,
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
SASA KAMA KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWA NINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?

KUMBE ALLAH NI MUISLAM NA YEYE ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE

Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe. Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
KUMBE BASI NDIO MAANA ALLAH ANAOMBA KUTAKASWA JIONI NA ASUBUHI KABLA YA KUMSWALIA MAREHEMU MUHAMMAD.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni. http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
MaSwali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
Watakabahu

KUMBE QURAN IMECHAKACHULIWA NA IMEJAA SHAKA

Ndugu msomaji,
Bila ya kupoteza muda taunaanza na aya kutoka Quran inayosema kuwa, Allah alikuwa anafuta aya zake mwentewee. Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Quran 2:106
Aya yoyote TUNAYOIFUTA AU KUISAHAULIZA tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au iliyo mfano wake. Hujui kuwa Mwenyezi Mungu anao uwezo juu ya kila kitu?
Kwanini Allah alikuwa anafuta aya zake? Je, tutawezaje iamini Quran iliyi futwa futwa?
Mwandishi maarufu wa Kiislamu-Caliph Uthman aliandika Quran na kuchoma aya ambazo hakupendezwa nazo! (Sahih Bukhari 6:61:510)
Hakuchoma tu aya za kuran bali Sura nzima ya kuran ilipotea na kusahaulika. (Sahih Muslim 5:2286)
Vile vile, aya zingine zilifutwa kwa maksudi. (Bukhari 6:61:527).
Mohammad aliwaagiza waislamu kujifunza uislamu kutoka kwa kuran ya Ubai na wala sio ambayo Zayd Ibn Thabit aliandika (ambayo ni ya kisasa) tazama (Bukhari 6:61:521).
Ibn Sad (Kitab al-Tabaqat al-Kabir vol.2 p.444 ) inasema kuwa maandiko ya kuran ya Zayd Ibn Thabit ni tofauti na ya Muhammad. Kwa hivyo waumini wamepotoshwa kwa kukariri kuran hiyo ya kisasa.
Jami At-Tirmidhi 3104 vile vile anasema kuran iliyopo sasa ni feki-ya Zayd Ibn Thabit.
Katika kufanya marekebisho mengi kwenye kuran watu walikuja na nakala tofautitofauti za kuran (Jami at-Tirmidhi 3104) hivyo kulikuwa na mtafaruku miongoni mwa wafuasi wa mohammad kwa sababu zilikuwa tofauti.
Kuran ya Ibn Masood ilikuwa na sura 111, ya Ubay ilikuwa na sura 116 na kuran ya Zayd (ambayo ndio inatumika sasa hivi) ina sura 114. Tazama (Ibn Daud , Kitab al-Masahif).
Hata zile zilizotajwa kuwa feki hazikuhifadhiwa kwa sababu mbuzi alikula sehemu ya aya zake (Sunan Ibn Majah 1934/1944).
Hivyo hamna aliyeandika kuran hadi baadhi ya waliokuwa wanakariri mafunzo ya Mohammad kufa na kulikuwa na hofu kuwa aya zilizosalia zingepotea kabisa (Bukhari z6:61:509).
Hivi ndivyo Zayd Ibn Thabit alipata kuandika kuran ambayo tunayo leo hii kutoka kwa shuhuda za wakariri waliobaki (kurasa chache tu kutokana na miaka 23 ya ufunuo).
MASWALI NYETI YAIBUKA HAPA;
1. Kwanini Allah alikuwa anafuta aya za Quran?
2. Kwanini Caliph Uthman alichoma aya za Quran?
3. Kwanini waislamu wanaficha ukweli kuhusu dini yao?
TAFAKARI HAYO NA UCHUKUWE HATUA!
Max Shimba Ministries Org

YESU ATABIRI KUWA MTU MWENYE SIFA KAMA "MUHAMMAD SAW" NI MTUME NA NABII WA UONGO


Ndugu msomaji,
Mara nyingi Waislam wamekuwa wakisema kuwa, eti, Yesu alitabiri kuja kwa Muhammad, pale alipo sema kuhusu Roho wa Kweli, la hasha.
Nabii ni mtu gani?
Nabii ni mtu aliyeteuliwa rasmi kwa vigezo vya Kiungu ili kuleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu, kwa maneno mengine nabii ni msemaji wa siri za Mungu.
Nabii: Ni mtu ambaye ni msemaji wa Mungu (a mouthpiece of God) .Husimama kati ya Mungu na binadamu, mwenye jukumu la kupeleka ujumbe wa Mungu kwa watu. Nabii anapokuwa msemaji wa Mungu, huvuviwa na Roho wa Mungu, bila ujumbe wake kuwa na makosa. Nabii hujizuia kabisa utashi wake, nafsi yake, na mawazo yake, anapokuwa anatoa ujumbe wa Kinabii toka kwa Mungu. Wakati mwingine Mungu mwenyewe hutia maneno yake vinywani mwao (Kum 18:18, Yer 1:9). Nabii ni mtumishi wa Mungu (Zekaria 1:6) na mjumbe wa Mungu 2 Nyak 36:15).
Ni kweli kuwa Yesu alitabiri kuja kwa manabii, lakini kamwe hakusema lolote kuhusu utume wa Muhammad zaidi ya kukiri kuwa watu wenye sifa kama za Muhammad ni Mitume na Manabii wa Uongo.
Miongoni mwa wanadamu wanaoitwa nabii na mtume, ni mtu aitwaye Muhammad s.a.w ibn Abdullah, ibn Abdu Mutallib, ambaye ni mtume na nabii katika dini ya Kiislamu.
Pengine wewe msomaji wa somo hili unaweza kushangaa ni kwa vipi sisi ambao si Waislamu bali Wakristo tuanze kuhoji habari za Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu? Jibu lake ni kwamba kitabu cha Qur’an kinachotumiwa na Waislamu kimetutaja sisi Wakristo mara 62 kikitutaka kuupokea, kuuamini na hatimaye kuufuata ujumbe wa Muhammad s.a.w kwa madai ya kuwa yeye ni nabii na mtume wa mwisho hata kwetu Wakristo, aliyetumwa na Mungu.
YESU ATABIRI KUHUSU MTUME WA UONGO AMBAYE NI MUHAMMAD
Tahadhari ya Bwana Yesu: Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani alituonya kuhusu kuwatambua manabii na mitume wa uongo kabla Muhammad hajazaliwa (amezaliwa 570 B.K), wala kabla Uislamu haujaanzishwa na Muhammad mwaka 610 B.K, wala kabla ya kuwepo kitabu kinachoitwa Qur’an. Tunayasoma maonyo hayo ya Bwana Yesu katika

JESUS WAS RICH

JESUS WAS GIVEN GIFTS AS A CHILD AGED APPROXIMATELY 2 YEARS OLD

Jesus was given gifts of gold, frankincense, and myrrh as a 2 year old child. The frankincense and myrrh were worth more than the gold!
Matthew 2: 11, "And when they had come into the house, they saw the young Child with Mary His mother, and fell down and worshiped Him. And when they had opened their treasures, they presented gifts to Him: gold, frankincense, and myrrh."
JESUS HAD A HOME AND A FAMILY BUSINESS
Jesus inherited His earthly father Joseph's home, and also Joseph's family business, according to the culture of His day, since He was the eldest Son
Jesus was not just carpenter. His business was a family business, probably called "Joseph and sons." Jesus was actually a builder of houses, as well as the tables and chairs in them! He built houses, complete with the roof, walls, doors, windows, tables, chairs and beds. In Israel today can be seen replica New Testament villages.
The two main businesses in Israel during the lifetime of Jesus were the building of homes, and fishing. Fishing was the high tech industry of the day, feeding thousands of people every day on the Via Maris, as well as the entire population of Israel. Jesus' disciples were the New Testament equivalent of today's City Traders!

JESUS CHRIST HAS ALWAYS BEEN A MASTER OF MASTER BUILDERS, AND IS NOW THE MASTER BUILDER OF OUR LIVES
Jesus Christ created the entire universe
Jesus Christ created the entire universe, in six days (please see our teaching on Creation: The Genesis Account on this web site). The Bible records:
- John 1:1-3, "In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was in the beginning with God. All things were made through Him, and without Him nothing was made that was made".
- Colossians 1:15-17,"He is the image of the invisible God, the firstborn over all creation. For by Him all things were created that are in heaven and that are on earth, visible and invisible, whether thrones or dominions or principalities or powers. All things were created through Him and for Him".
Jesus Christ's occupation was Master Builder
Jesus Christ's occupation was a master builder before His Earthly ministry.
Jesus Christ is now the Master Builder of our lives
Jesus Christ is still the Master Builder, transforming us, little by little, into His Likeness. According to 1 Corinthians 6:19, "Your body is the temple of the Holy Spirit who is in you".
Jesus Christ builds our lives, as recorded in 2 Corinthians 3:18-4:1, "But we Christians have no veil over our faces; we can be mirrors that brightly reflect the glory of the Lord. And as the Spirit of the Lord works within us, we become more and more like him" TLB.
Jesus Christ is the best possible foundation on which to build our lives
Jesus said, in Luke 6:47-49, "Whoever comes to Me, and hears My sayings and does them, I will show you whom he is like. He is like a man building a house, who dug deep and laid the foundation on the rock. And when the flood arose, the stream beat vehemently against that house, and could not shake it, for it was founded on the rock. But he who heard and did nothing is like a man who built a house on the earth without a foundation, against which the stream beat vehemently; and immediately it fell. And the ruin of that house was great."
Jesus is now the Master Builder of our lives.
JESUS CHRIST WORE EXPENSIVE CLOTHING

Friday, May 13, 2016

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI? (SEHEMU YA TATU)

Rafiki zetu wameanza kuweka majibu yao kwa kujaribu kutoa maelezo kuhusu swala la Allah kumtaka Muhammad asilimu kwa kusema kuwa sio kila unapotamka shahada maana yake unasilimu kwa maana ya kufanyika Muislamu, lakini pia wanasisitisa kuwa Muhammad mwana wa Abdallah na Amina ni muislamu tangu kuzaliwa kwa mujibu wa aya ya 30:30.
Lakini tukimakinika vyema utagundua hakuna jipya analotuelezea rafiki yetu, kwani kwa Mujibu wa aya nilizotangulia kuzitoa na naomba kurejea aya ya 6:14
" 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. "
http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/6.htm
Katika aya hii Muhammad hajapewa amri ya kutamka shahada , la, bali ametakiwa asilimu na katu asiwe miongoni mwa WASHIRIKINA; Hapa pia inabidi kuwakumbusheni swali nililotangulia kuuliza; Hivi je kabla ya amri hii alikuwa Muhammad miongoni mwa MAKAFIRI, WASHIRIKINA? Lakini pia aya hii ni Amri wala kamwe hatujaonyeshwa wapi alipotii amri hii mwana wa Amina.
Tukumbuke pia mazingira alolelewa ndani, yalikuwa mazingira ya kishirikina, kwa maana nimetoa ushahidi kuwa Babu yale, na hata Ami yake walikuwa Makafiri , washirikina na ndio waliomlea. hawa walezi wake walikufa katika hali hii ya ujahiliya.
Sitashaangaa endapo baadhi ya Waislamu kama Ibrahimu, watasema kuwa baba wa Muhammad alikuwa mwislamu. Hata hivyo, huyu mtu alikufa kabla hata ya Muhammad kuzaliwa. Na je, Muhammad mwenyewe anasema nini kuhusiana na baba yake?
Tunasoma hivi:
Anas reported: Verily, a person said: Messenger of Allah, where is my father? He said: (He) is in the Fire. When he turned away, he (the Holy Prophet) called him and said:Verily my father and your father are in the Fire. (Sahih Muslim, Book 001, Number 0398).
عَنْ أَنَسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلا قَالَ : يَا رَسُولَ اللَّهِ ، أَيْنَ أَبِي ؟ قَالَ: ((فِي النَّارِ)) فَلَمَّا قَفَّى دَعَاهُ ، فَقَالَ: ((إِنَّ أَبِي وَأَبَاكَ فِي النَّار)) مسلم
Yaani:
Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeka kuondoka, (Mtume mtakatifu) akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.

NINAKUOMBEA wewe utakayeandika AMEN Mungu akutendee WEMA wiki hii yote kwa jina la YESU!

Kwa jina la Yesu,NINAIBARIKI SIKU YAKO YA LEO! 
NURU YA KRISTO IIANGAZIE KAZI YAKO,FAMILIA YAKO,AFYA YAKO NA BIASHARA YAKO KWA JINA LA YESU!

NAJIHOFIA NAFSI YANGU KUCHEZEWA NA SHETANI ASEMA MUHAMMAD

Ndugu msomaji,
Muhammad mtume wa waislamu katika kitabu “ Wakeze Mtume Wakubwa na Wanawe kilichoandikwa na Sheikh Abdallah Saleh Farsy Uk. 12, Muhammad anasema:-
“ Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuni haribu akili yangu na kunizuga………………”
Aliyasema maneno hayo baada yakubanwa na kiumbe fulani usiku kule pangoni alikokuwa na baada ya hapo akaanza kujiita mtume. Hoja yetu ni mtume wa nani? Utume kapewa na nani?
Katika Kitabu sira cha cha Ibn Ishaq 132-133 tunasoma
“ Kama huyu shetani (jinni) ambaye amekupagaa wewe ni yule ambaye huwezi kumtoa, tutamtafuta mganga na tutatumia vyote tulivyonavyo kukutibu kwa kuwa mara kwa mara shetani (jinni) humpagaa mtu. Lakini anaweza kuondolewa. Mtume alikuwa akisikiliza kwa makini”
Kisha baadaye na yeye Muhammad katika Sahihi Muslim Juzuu 4 Hadithi na. 2814 kasema
“ Wala hakuna yeyote katika nyinyi isipokuwa amepewa nguvu zinazotokana na majini. Wakasema (maswahaba) hata wewe mtume wa allah? Akasema hata mimi isipokuwa allah hunirahisishia juu yake hunyenyekea wala hayaniamrishi ila yaliyo mazuri”..................Ni jumatatu natafakari tu, Wadau aiku njema
Hivi kuna mtume yeyote yule aliye kiri kuwa amechezewa na Shetani kama Muhammad wa Waislam?
Barikiwa sana,
Max Shimba Ministries Org.

QURAN YAKIRI KUWA WAISLAM WANABEBA MIZIGO MIBAYA SANA




Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.

KUMBE TWALHA ALITAMANI KUMUOA AYSHA MKE WA MUHAMMAD?

Leo katika chambuachambua yangu ya vitabu nimeamua kupitia surah nzima ya 33 katika Qurani kama ilivyofasiriwa na Wanachuoni wa Kiislamu wa awali; fuatana nami; tuanze na aya hii Qu33:53 Enyi mlioamini! msiingie nyumba za Nabii ila kama mpewe ruhusa kwenda kula, pasipo (kwenda kaa) kungojea kiive. Lakini mtakapoitwa, basi ingieni; na mnapokwisha kula, tawanyikeni. Wala msishughulike kuzungumza, maana jambo hili humwudhi Mtume, naye huwaoneeni haya; lakini Mwenyezi Mungu Haoni haya kusema haki. Nanyi mnapowaomba (wakeze) kitu, basi waombeni nyuma ya pazia. Hayo ni safi kabisa kwa mioyo yenu na kwa mioyo yao. Wala haiwapasini kumwudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, wala msiwaoe wake zake baada yake abadan. Hakika hilo ni (dhambi) kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu."...............................................Maneno haya tunaambiwa tuamini ni ya MUNGU tena yapo kwenye Ubao uliohifadhiwa tangu kabla ya ulimwengu kuwepo, ni maneno ya MUNGu ya milele yasiokuwa kiumbe, ila unaposoma ni wazi tu hapa ni matayarisho ya kiongozi ambaye bila shaka alifahamu siku sio chache ataaga dunia baada ya kuteseka kwa muda kwa sumu aliyolishwa na mwanamke wa Kiyahudi ambaye alikuwa na machungu ya kuuwawa kwa jamii yake kule Khaibar; zaidi sana ni yale tunayojifundisha au kugundua kuwa kama sababu ya kuteremshwa kwa aya hii; naomba kunukuu: ....... Twalha bin Ubaydullah alikuwa akimtamani Aisha (mkewe Mtume) akisema:
“Akifa Mtume nitamuoa Aisha” pale pale Mwenyeezi Mungu (s.w) akateremsha Aya ya 53 sura 33
Taz: Addurrul Manthur J.5 Uk. 404 Tafsir ibn Kathir J.3 Uk. 513
Kwa kuwa ni haramu kumwoa, mtu mama yako hata Babako akifa, basi mtume akatangaza wake zake wote ni mama zetu. Sasa leo kumwita Aysha kale katoto kalioolewa na miaka 6 kuwa ni mama ya waumini inakuwa rahisi wala watu hawashangai;
Ajabu kiongozi huyu
Alipomwoa aliyekuwa Mke wa mwanawe wa kulea Zaid ,waarabu wakaanza kumsema , ooh Mtume gani kaoa Mke wa mwanawe , maana walimwita Zaidi bin Muhammad licha ya kuwa hakuwa baba mzazi ila baba mlezi tu; kujitetea Allah akateremsha wahyi; aya inasemaje: Qu 33: 40. Muhammad si baba ya ye yote katika wanaume wenu, bali yeye ni Mtume wa Mungu na Muhuri wa Manabii. Na Mwenyezi Mungu ndiye Ajuaye kila kitu."..........

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW