Saturday, July 2, 2016

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUSEMA UISLAMU NI DINI YA WAARABU NA SIO WAAFRIKA




Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
Waislamu bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.
Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.
Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.
Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.
Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
Quran 36: 5. Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.
Endelea kusoma Koran hapa chini:
Quran 6: 156. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.
157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.
Uthibitisho mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari ifuatayo hapo chini:
Quran 26: 198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
Kama ambavyo Waarabu wana haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa wenyewe waweze kuelewa.
Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya 05:19 Quran: Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.
Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.
Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.
Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.
Leo, tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa, nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.
Ama Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
Katika huduma yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

VIOJA VYA UISLAM KUHUSU KIFO NA KUFUFUKA WAKATI WA KIYAMA


1. Eti Binadamu asili yake ni MBEGU YA "Ajabu Dhanab"
2. Eti Siku ya Kiyama Allah atanyeshea Mvua Ajab Dhanad na wewe ndio utafufuka tena.
3. Huu ni msiba mkubwa sana kwa Waislam.
Ndugu Msomaji, ebu jiunge nami leo na jifunze kuhusu Sayansi dhaif ya Allah na Muhammad.
MTU ANAPOKUFA, ZILE ASILI TATU KILA MOJA INARUDI MAHALA PAKE PA ASILI
Kwa kifo, udongo ambao kwao ndio mwili ulijengeka, unarudi mahala pake pa asili napo ni ardhini.
Mwenyezi Mungu anasema:
"Kwa hakika tunajua kiasi cha kila kinachopunguzwa na ardhi katika miili yao (wakati wanapooza huko makaburini) Na kwetu kiko kitabu kinachohifadhi (kila kitu)".
Qaf -4
AJABU DHANAB- ETI BINADAMU NDIO KATOKEA HAPO
Kinachobaki katika mwili wa mwanadamu ni kitu kidogo kinachoitwa "Ajabu dhanab" (kilichoingia pamoja na mbegu). Hii ni sehemu ambayo ndani yake mtu aliumbiwa, na kitu hiki asili yake kilikuwa katika uti wa mgongo wa Baba yetu Adamu(AS), kwa vile kitu hiki ni kidogo sana (Hakiwezi kuonekana ila kwa kutumia microscope zenye nguvu sana), ndiyo maana uti wa mgongo wa Baba yetu Adamu(AS) uliweza kuzibeba asili hizi zote za wanawe.
Na sehemu hii iitwayo "Ajabu dhanab" haiozi wala haivurugiki.
Mtume(SAW) amesema:-
<<Mwili wote wa mwanaadamu unaoza isipokuwa "Ajabu dhanab", kutokana nayo ameumbwa na kutokana nayo atakusanywa tena >>.
Bukhari – Muslim – An Nasai, Malik katika Muwata a na Abu Daud.
Ama Roho itarudi mahali anapopataka Mwenyezi Mungu (katika Barzakh) mpaka Siku ya Kiama.
SIKU YA KUFUFULIWA ZILE SEHEMU TATU ZINAKUSANYIKA TENA
Unapofika wakati wa kufufuliwa, Mwenyezi Mungu atateremsha mvua na kuifanya ile mbegu isiyooza "AJABU DHANAB”, imee tena.
Mtume (SAW) amesema:-
<<Kisha inateremshwa mvua na watamea kama imeavyo mboga, na hapana katika mwili wa mwanadamu kisicholiwa na ardhi isipokuwa fupa moja nalo ni "Ajabu dhanab" ndani yake humo watakusanywa viumbe Siku ya Kiama>>.
(Bukhari, Muslim, Imam Malik, Abu Daud na AnNasaiy)
Yaliyofanana na haya yanatokea duniani kila siku. Panapotokea ukame, tunaona miti ikianguka na kufa (na kutoweka). Hauonekani mti wowote wala mmea. Lakini Mwenyezi Mungu amejaalia ndani ya ardhi au ndani ya mawe kuwemo mbegu, na mbegu hizo hazionekani kwa macho, isipokuwa mvua inaponyesha ndipo hupasuka na kuchipua miti na mimea mbali mbali.
Mwenyezi Mungu anasema:-
"Hukitoa kilicho hai katika kilichokufa na hukitoa kilicho kufa katika kilicho hai na huihuisha ardhi baada ya kufa kwake na hivyo ndivyo mtakavyofufuliwa".
(Al - Rum - 19).
Mtu mmoja alimuuliza Mtume (SAW):-
"Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, namna gani MwenyeziMungu atawarudisha tena viumbe, na nini dalili yake?”
Mtume (SAW) akamjibu;
"Uliwahi kupita bondeni kijijini kwenu wakati wa ukame (miti yote ikiwa imekufa), kisha ukapita tena wakati miti (imeota tena na) imejaa na ardhi ikageuka (na kuwa) rangi ya kijani?
Akasema:- "Naam".
Mtume(SAW) akamjibu:
"Basi hiyo ndiyo dalili ya Mwenyezi Mungu katika kuumba kwake na hivyo ndivyo atakavyowafufuwa wafu".
(Imam Ahmad )
(Siku ya Kiama), Pale Ajab dhanab itakapochipua na kutoka ndani ya ardhi na mwili ukarudi tena, ndipo zitakapokuja roho na kuingia kila moja katika mwili wake.
Ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema:
"Na nafsi zitakapounganishwa (na viwiliwili vyake)."
(At - Takwiyr - 7)
Na hivi ndivyo watakavyorudi viumbe mara ya pili kama walivyoanzishwa hapo mwanzo.
Mwenyezi Mungu anasema:-
"Kama tulivyoanza umbo la awali tutalirudisha tena, ni ahadi ilio juu yetu, bila shaka sisi ni wenye kufanya (tusemavyo).”
(Al - Anbiyaa -104).
Ndugu msomaji, hivi ni kweli Allah wa hii dini ya Kiislam aliumba? Mbona hii imani imejaa shaka na utata kila kona?
Leo Allah kesha jisahau na kusema kuwa eti wewe umetoka katika Ajabu Dhanab na sio tena vumbi.
Je, Adam aliumbwa kwa tone la Damu?
Quran 96 1-2
1. Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, ***2. Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, ***
Allah anasema kuwa, Binadamu aliumbwa kwa tone la damu. Endela kupa ilmu ya Koran.
Je, Adam aliumbwa kutokana na Maji?
Quran 25:54. Naye ndiye aliye muumba mwanaadamu kutokana na maji, akamjaalia kuwa na nasaba na ushemeji na Mola wako Mlezi. ***
Allah anachanganya madawa. Sasa anaumba Mwanadamu kupitia MAJI. Tuendelee kusoma usanii wa Allah.
Je, Binadamu aliumbwa kutoka kwa Udongo?
Quran 15:26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. ***
Allah amebadilika tena, sasa anaumba Mwanadamu kupitia Udongo, tena unao toa Sauti. Jamani huu si Msiba?
Endelea kupata Elimu.
Je, Binadamu aliumbwa kutoka VUMBI?
Quran 30:20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kutoka Vumbi. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote. ***
Sasa Allah anaumba mtu kutoka vumbi. Mimi ningependa Waislam watuambie, hivi Allah wenu ana kigeugeu au ni msahalifu wa anacho sema au ni yule yule Ibilisi ambey sifa yake kubwa ni Muongo?!!!
Ndugu zanguni, hivi kweli Koran ilishushwa kutoka kwa Mungu? Mbona kuna UTATA kila sehemu?
Binadamu aliumbwa kutoka nini? Tone la Damu? Maji? Udongo? Vumbi?
Kweli Allah anafahamu yote, ingawa hajui alimuumbaje Adam.
Katika Huduma yake.
UHAKIKA WA UFUFUO WA WAFU KWA WAKRISTO
Ufufuo wa wafu, ni moja kati ya masomo ya msingi sana katika Ukristo na ni mafundisho ya kwanza ambayo kila Mkristo inampasa kuyafahamu ( WAEBRANIA 6:1-2 ). Kiyama ya wafu au Ufufuo wa wafu, umetabiriwa mapema katika Neno la Mungu ( LUKA 14:13-14; YOHANA 5:28-29; WAFILIPI 3:10-11; 1 WATHESALONIKE 4:16 ). Yesu Kristo ndiye kielelezo cha wafu na uhakika wa ufufuo wa wafu kwa watu wote ( 1WAKORINTHO 15:21, 20-23). Yesu kristo alitabiri mapema juu ya kufufuka kwake kabla hata hajafa (MATHAYO 16:21; 17:22-23; 20:17-19; MARKO 8:31-32; 10:32-34; LUKA 9:20-22; 18:31-34). Yesu Kristo huyuhuyu alitabiri juu ya kufufuka kwake na ikawa hivyo, ndiye pia aliyetabiri juu ya ufufuo wa watu wote ( YOHANA 5:25-29 ). Ni muhimu kufahamu kwamba walikuwepo watu wenye mashaka, ambao hawakuamini kwamba Yesu angefufuka kama alivyosema ( LUKA 18:31-34 );lakini kutokuamini kwao hakukuzuia kufufuka kwa Yesu. Vivyo hivyo leo, pamoja na kuwapo watu wasioamini kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kutokuaminii kwao hakutaweza kuzuia jambo hilo kutokea ( WARUMI 3:3-4 ). Uongo wa askari Walinzi wa kaburi la Yesu, waliutawanya baada ya kupokea rushwa na kufundishwa kusema uongo, kwa kuabiwa “ semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala “, ni uongo ulio dhahiri ( MATHAYO 28:11-15 ). Ikiwa walinzi walikuwa wamelala usingizi, waliwaona namna gani watu waliokuja kuuiba mwili wa Yesu na kufahamu kwa hakika ni wanafunzi wake? Na kama waliwaona kwa nini waliwaacha wakauiba mwili huo na wasiwazuie kufanya hivyo? Ni uongo ulio wazi. Ni jambo lililo dhahiri kwamba Yesu alifufuka! Kwa jinsi hiyohiyo, ufufuo wa wafu wote ni jambo lililo dhahiri kabisa kutokea.
Max Shimba Ministries Org.

BIBI KHADIJA AMPA UTUME MUHAMMAD ILI KUMFARIJI BAADA YA KUPIGWA NA MALAIKA JIBRIL



Ndugu zanguni,
YALIYOMKUTA MTUME BAADA YA KUTOKA PANGONI!
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a,uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
MASWALI:
(i). Kama Jibril ndie alitumwa na Allah, na huyo Allah ni Mungu, kwanini Muhammad alisema kuwa nafsi yake imechezewa na MASHETANI baada ya kukutana na Jibril?
(ii). Kama Jibril alitoka kwa Allah, kwanini Muhammad alipo toka pangoni alisema kuwa Jibril AMEMZUGA AKILI YAKE?
Vipi kwa Hadidja?
Mjane aliyefiwa na waume wake 2 kisha akajichukulia Muhammad kama mume wake wa tatu, Huyu ndiye aliyeingia wa kwanza katika imani potofu ya uislamu. Lakini natujiulize hili swali:
Je, inakuwaje mtu ambaye bado ni mkafiri kutowa utume kwa mwingine kabla yeye hajajuwa ujumbe wa mtume huyo nakuuamini?
Bila shaka jibu laweza kuwa ni upumbavu wakupindukia.
Hebu tuone Qura’n inavyosema kuhusu kupewa utume, kupewa wahyi au ujumbe,
Qr.7:144 au surat Al-A’raaf 144
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende kwa watu na ujumbe wangu na maneno yangu. Basi chukuwa niliyikupa na uwe katika wale wanaoshukuru.
Kwanini Allah Subhanau Watahallah hakufanya hivihivi kwa Muhammad s.a.w katika pango la Jabal Hira?
Swala la Muhammad kuwa ni mtume katika maandishi ya Qura’n na hadithi zote siyo hoja lakini hoja yetu ni «Kapewa na nani huo utume?
MKEWE AMPA UTUME ILI KUMFARIJI!
Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
(Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12)
KHAJIDA ANASEMA HIVI "Nukuu" WALAHI MIMI MKEO NAONA UMESHAKWISHA KUWA MTUME.
Huu ni uhakikisho kwamba Muhammad hakupewa utume na Mungu wa Israeli, sababu ukisoma pia kitabu chawakeze wakubwa na wanaweukurasa wa 12 kuna maneno yanayorudilia haya ambayo tumeyasoma hapo juu yakisema hivi:
Nanukuu,
Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe, akamwadithia na palepale homa kubwa kabisa ikampanda, akataka afunikwe na maguo mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema: «Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga!
Hapo katika pango la Jabal Hira ndipo Waislamu na Qura’n hudai kwamba ndipo alipopokea Wahyi wa Qura’n, utume na unabii.
Lakini twaona na kusikia maneno ya Mtume mwenyewe yanashuhudia alichokutana nacho pangoni ambacho ni Shetani sababu hata Biblia Takatifu hushuhudia hivi:
1 Yohana 1:3
Hilo tuliloliona nakulisikia, twalihubiri na nyinyi: ili na nyi pia mpate kushirikiana nasi: na ushirika wetu ni pamoja na Baba, na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.»
Ukweli ni kwamba huyu Shetani aliyekutana na maskini Muhammad pangoni hakumpa hata utume wala unabii isipokuwa mkewe Hadidja na Bwana Waraqa bin Naufal ndio waliomshauri Muhammad kujibashiria kuwa yeye ni Mtume wa Umma kama tulivyo soma katika kurasa ambazo tumekuwekea picha zake hapo juu.
Huu ndio mwanzo wa utume wa Muhammad alio pewa na Mkewe Khadija. Muhammad baada ya kupigwa na Jibril na kukiri kwake kuwa amezugwa na kuchezewa akili, ni sifa tosha kuwa huyu Muhammad ni BANDIA zaidi ya kupewa utume na Mkewe Khadija.
Huu ni msiba mkubwa sana na hii juisi ya Pilipili Waislam kamwe hawawezi kuinywa.

YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA



1. ALLAH AMBAYE SIO YEHOVA SIO NJIA.
2. MAREHEMU MUHAMMAD SIO NJIA.
3. QURAN SIO NJIA.
4. UISLAM SIO NJIA.
5. DINI SIO NJIA.
Kumbe Dini sio Njia
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "NJIA", "KWELI" na UZIMA, na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU miaka 680 kabla ya Uislam kuanxoshwa. Hebu rejea kwenye hii aya:
Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.
Kufuatana na aya hapo juu iliyo kuja miaka 680 kabla ya Uislam, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "NJIA" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.
Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.
Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.
Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu (Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.
Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Mwamini leo ili upate uzima wa milele.
1. Allah sio Njia.
2. Marehemu Muhammad sio Njia.
3. Uislam sio Njia.
4. Quran sio Njia.
5. Dini sio Njia.
Bali Yesu ndie Njia pekee ya kweli na uzima wa milele.
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

MWENYEZI MUNGU HAKUANZISHA DINI YEYOTE ILE


Mungu Mtakatifu hakuwai sema watu wawe na dini katika Taurat au Zaburi au Injili. Wala Mungu hakuwia mwambia Adam na Hawa wawe na dini. Kumbe basi dini haitoki kwa Mungu bali ni jaribio la mwanadamu kuwa na uhusiano na Mungu. Swali la kujiuliza hapa, je, Mwanadamu mwenye dhambi anawezaje kumtafuta Mungu aliye mtakatifu? Jibu ni fupi sana. Dini haiwezi kukufikisha kwa Mungu wala kukusaidia uwe na Mungu.
Tukisoma katika Taurat, au Zaburi au Injir hatusomi sehemu yeyote ile ambayo Mungu anasema kuwa watu waanzishe dini, bali tunasoma kuwa Mungu anawaambia watu wamfuate yeye.
Ndio maana nasema Mungu hana dini. Adam na Hawa hawakuwa na dini na hakuna ushahid katika Taurat iliyo kuwepo miaka maelfu kuwa Adam alikuwa na dini. http://www.chabad.org/…/How-and-When-Was-the-Torah-Written.…
Musa Hakuwa na dini na hakuna ushahidi katika Taurat kuwa Musa au Abraham walikuwa na dini.
Daudi hakuwa na dini na hakuna ushahid katika Zaburi kuwa Daudi alifuata dini na au alikuwa na dini.
Hiyo hapo juu ni mifano michache tu ya kukufungua macho kuwa Mungu hana dini na wala hakuwaambia watu waanze na au waanzishe dini.
Kuna njia moja tu ya kushirikiana na Mungu. Imani ya kikristo ni uhusiano na Mungu kwa sababu yale ametufanyia kupitia kwa kusulubiwa kwa Yesu Kristo. Alikufa kwa ajili yetu ili tujue upendo na mpango wa Mungu Baba kwa maisha yetu. Yohana 14:6. Yesu ndie Njia.
Kumbe Mungu anaita dini kuwa ni mapokeo ya mababa (Wagalatia 1:14). Na kumbe, alipomwita Paulo katika huduma, hakutaka Paulo abakie tena humo ndani ya dini. Na kwa kuwa sasa Paulo alitoka nje ya dini, alijikuta akizalisha maadui wengi sana.
Watu waliokuwa wakimpinga Bwana Yesu na wale waliompinga Paulo hawakuwa wakitetea maslahi ya kisiasa, bali walikuwa wakitetea dini yao.
Yesu anaita kwa nguvu akisema: Njoni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. (Mt. 11.28). kwa nini anasema hivyo? Anasema: Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. (Yoh. 10:10).
Tunatakiwa kukimbilia kwa Bwana Yesu mwenyewe; si kwenye dini. Je, hakuna watu wa dini wanaoingia motoni? Jibu ni kwamba wapo. Kwa nini waende motoni na huku wana dini? Ni kwa sababu unaweza kuwa na dini lakini ukawa huna Yesu. Na hiki ndicho kinachotokea kwa watu wengi. Wengi wameridhika na kuwa na dini wasijue kwamba hilo si hasa kusudi la kuishi kwetu hapa duniani.
Lakini hakuna mtu aliye na Yesu ambaye anakwenda motoni! Bwana mwenyewe anaahidi wazi kabisa: Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata. Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. (Yoh. 10:27). Haleluya!
Dini ni mzigo juu ya mabega ya watu. Ni taratibu zilizoanzishwa na wanadamu na kuendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi. Mojawapo ya washika dini wazuri sana walikuwa ni mafarisayo. Kwa mfano, walikuwa wakishika kwa uaminifu sana utaratibu wa kutokula bila kunawa mikono. Kwa hiyo, siku moja walimkabili Bwana Yesu na kumwambia: Mbona wanafunzi wako huyahalifu mapokeo ya wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo chakula. (Mt. 15:1).
Kumbe tunaweza tukawa tunaenda kwenye nyumba za ibada, lakini tukawa tunafundishwa maagizo ya wanadamu!! Na kwa kuyafuata hayo tunaweza kuwa tunamwabudu Mungu bure! Inatisha kama nini! Ukisikia kazi ya hasara, basi ni pamoja na hii!
Rafiki, kwenye dini kumejaa maagizo ya wanadamu. Tena msisitizo mwingi umo kwenye hayo maagizo badala ya kuwa kwenye maagizo ya Mungu.
Amka leo. Njoo kwa Yesu upokee wokovu. Hatujaitwa kutumikia dini; tumeitwa kumtumikia Bwana Yesu!
Max Shimba Ministries Org

UISLAM SIO DINI YA KWELI



Ndugu zanguni, sijawai soma wala sikia Allah akisema yeye ni njia ya kweli na uzima, bali Waislam wao wanadai kuwa Uislam ni dini ya haki na sio dini ya kweli.
Haki hupatikana hata Mahakamani kwa kuhongwa lakini huwezi honga Kweli. Kama unayo aya yeyote inayosema Uislam ni dini ya kweli, ilete hapa tuione.
Lete aya inayosema "Hakika dini ya kweli mbele za Mwenyenzi Mungu ni uislamu uitoe hapa tusilimu". Ila huwezi simamia haki kama ndio kweli hebu ona mfano huu.
Watoto wawili wa Isaka Esau na Yakobo walifikia hatua wakauziana haki ya uzaliwa wa kwanza kwa chakula.
Dini ni lugha ya kiarabu maana yake ni njia au siku ya malipo soma Qur'an suratul fatihah 1:2-6. Utuongoze katika njia iliyo nyoka. Malik yaum din.
Na Qur'an 3:99 .....enyi mlio amini kwanini mnawazuilia watu na njia ya mwenyezi Mungu?.
Je kama dini ni njia ya kuelekea kwa Mwenyezi Mungu. Njia hiyo ya kweli ni ipi?
Yohana 24:1-6 Yesu anasema; Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya Mimi.
Inamaanisha kwamba ukifuata njia ya Yesu kwanza ni ya Kweli. Pia ina uzima ndani yake na zaidi hakuna mwanadamu awaye yote anaeweza fika Mbinguni bila kufuata njia ya Kristo.
Swali hili hapa. Wapi Uislam ni njia ya Kweli na Uzima ya Mungu?

MUHAMMAD AKIRI KUWA DHAMBI ZAKE HAZIKUSAMEHEWA NA MWENYEZI MUNGU


By Max Shimba
Katika kitabu chake " mwisho mstari wa mbele "anaandika Reza Safa F inasema katika hadith ambapo mke wa Muhammad Khadija kumtaka kusamehe dhambi yake, Muhammad alimjibu kuwa hakuwa na uhakika wa kusamehewa dhambi zake mwenyewe! Angewezaje kusamehe dhambi yake?
Muhammad anakiri kuwa Allah hana uwezo wa kusamehe dhambi za Waislam.
Sasa kama Allah alishindwa kumsamehe dhambi Muhammad kipenzi chake atawezaje kukusamehe wewe Muislam uliye jaa dhambi?
YESU HAKUWA NA DHAMBI NA WALA HAKUWAI FANYA DHAMBI
Lakini kwa upande mwingine, Biblia na Quran vinasema kwamba Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, hakuwa na dhambi na wala hakutenda dhambi:
Waebrania 4:15 Kwa maana huyu kuhani wetu mkuu si kuhani ambaye hawezi kutuhurumia katika udhaifu wetu, bali ni kuhani ambaye kwa kila hali amejaribiwa kama sisi, lakini pasipo kutenda dhambi.
Yesu anaweza kuokoa na kusamehe dhambi kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa bila dhambi, na zaidi ya hapo, Yesu ni Mungu! Alikufa kwa ajili ya watu wote ili kuwaokoa. Kwa kifo chake msalabani alichukua dhambi zetu!
Muhammad hawezi kujiokoa na kusamehe kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa mwenye dhambi kubwa kiasi cha kuomba msamaha mara mia kwa siku.
Sasa ndugu msomaji, hivi ni sahihi kumfuata Mtume ambaye alikuwa mtenda dhambi na hisia mbaya kwenye nyoyo yake?
Karibu kwa Yesu aliye hai. Yeye anamamlaka ya kusamehe dhambi na kukuokoa.
Hakika Yesu ni Mungu.
Kwa maana huyu kuhani wetu mkuu si kuhani ambaye hawezi kutuhurumia katika udhaifu wetu, bali ni kuhani ambaye kwa kila hali amejaribiwa kama sisi, lakini pasipo kutenda dhambi.
MUHAMMAD ALIKUWA NA DHAMBI KUBWA KIASI CHA KUOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU
Leo ni leo asemaye kesho ni mungo. Ndugu zanguni, kila ninapo usoma Uislam, nazidi kupata shaka kubwa kubwa, maana hakuna jema kabisa katika hii dini ya Muhammad na Jibri. Hivi mtu anye omba msamaha mara mia kwa siku, unafikiri ametenda dhambi gani kiasi cha kuogopa namna hii?
MUHAMMAD AOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU:
Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa sana kiasi cha kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara mia kila siku. "Nukuu"
"Al-Agharr al-Muzani, ambaye alikuwa mmoja wa (Mtume) wenzake taarifa kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani ilikuwa juu yake) alisema: Kuna (wakati mwingine) aina ya kivuli juu ya moyo wangu, na mimi kutafuta msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu mara mia kwa siku. "
Kumbuka kwamba utamaduni si tu anasema kwamba Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa, lakini kwamba alijisikia kivuli, hisia mbaya, juu ya moyo wake. Katika kesi hii kwa Muhammad, itakuwa vigumu kwa sababu Qur'an inasema kuwa yeye ni kipaji katika maisha yake na vitendo:
Sasa, kivipi Muhammad alikuwa na kivuli ndani ya nyoyo yake?
Hii chuki aliipataje wakati yeye alikuwa anapokea wahyi kutoka kwa Allah?
Je, inawezekana kuwa hiyo wahyi ndio ilikuwa chuki iliyo jaa ndani ya nyoyo yake?
68: 4
Maisha yako na matendo yako ni `aa [mfano]. (Mohammed Knut Bernstöm, Qur'an)
Watu wote wamefanya dhambi
Biblia inasema kwamba watu wote wamefanya dhambi. Hii ni pamoja na Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kama watu wengine wote, lakini Muhammad yeye alikiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa ingawa aliomba msamaha mara mia kwa siku.
Ndugu msomaji, kwanini tumfuate na sikiliza Muhammad aliye kiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa?
Kwanini Allah alishindwa kumsamehe Muhammad dhambi zake?
Je, Allah anauwezo wa kusamehe dhambi?
Muhammad ndio mtume pekee aliye kufa na dhambi na Mshahara wa dhambi ni mauti ya Jehannam. Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Kwa sababu mwenye dhambi, amehukumiwa kufa.“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti”(Warumi 6:23). Hii ina maana kutengwa na Mungu katika Jehanum milele.“Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).
Hivyo basi, kwanini ufe na dhambi kama Muhammad na utengwe na Mungu katika Jehannam?
Rafiki yangu:Ninakuuliza swali muhimu maishani mwako. Furaha yako ya milele au huzuni yako ya milele inategemea jibu Ia swali hili.
Swali ni hili:Je, umeokolewa? Si swali la jinsi ulivyo mwema, wala si swali la kama u mshiriki wa kanisa, bali: Je, umeokolewa? Una uhakika kwamba utaenda mbinguni utakapokufa?
Hakikisha kwamba umeokoka. Ukipoteza nafsi yako utapoteza mbingu na utapoteza vyote. Tafadhali, mruhusu Mungu akuokoe sasa hivi.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

SINAGOGI SIO MSIKITI (SEHEMU YA KWANZA)




Tunazidi kuchambua HOJA ZA MIHADHARA ya Kiislamu
LEO TUANGALIE SINAGOGI!!
Kwa miaka mingi Afrika Mashariki na Kati kunakosemwa Kiswahili kumetokea mafundisho ambayo ni mapotofu sana ya kukejeli, na lengo lao hasa ni kuangusha mwili wa Yesu Kristo (Kanisa) na mafundisho yake. Na kupitia mafundisho hayo wengi wameacha imani iliyo ya kweli nakufuata imani zingine ambazo mwisho wao ni mauti. Na hawa siyo wengine bali ni wahadhiri wakiislamu. Wao hudai kuwa wanafuata mafundisho ya Bwana Yesu. Unukuu aya hii Mathayo 11:29-30 pale Yesu alisema jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo nanyi mtapa raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.
Pia wanasema Yesu aliingia kwenye sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake siku ya Sabato Luka 4:16 kupitia kwa tendo hili la Yesu kwingia kwenye Sinagogi , wahadhiri hawa wanadhai jambo ili linamfanya Yesu kuitwa muislamu.
Tafadhali ndugu yangu ukitaka kujua ukweli fuatilia somo hili hadi tamati.. hii ni Sehemu ya Kwanza. Biblia ya Kiswahili katika maneno magumu imetaja kuwa Sinagogi ni msikiti wa Kiyahudu, hapa majamaa wanakesha!!
Historia ya Sinagogi:
Ukitaka kujua mtu Fulani ni lazima uangazie mambo kadha wakadha ikiwemo historia yake, pasina historia ni vigumu watu kufahamu mambo yaliyofichika. Hivyo nimeonelea kuwa ni bora sana kuangazia historia ya Sinagogi na chanzo chake.
Jambo la msingi kwanza ni kujua maana ya Sinagogi. Neno hili Sinagogi maana yake ni mahali pa watu kukutania. Sinagogi lilianzia pale wana wa Israeli walipokuwa utumwani kule Babeli kwa miaka Sabini kulinga na unabii wa Nabii Jeremia.
Jeremia 25:11-13
baadaye nitaeleza tofauti ya Sinagogi na Hekalu.
Sababu ya Wayahudi kuanzisha Sinagogi ni hizi.
• kule utumwani hawengeweza kurudi kule Yerusalemu ambapo palikuwa na Hekalu kwa minajili ya mambo ya ibaada. Kwa hivyo Wayahudi walitafuta jinzi ya kuendelesha ibaada na miandamo ya sikukuu zao.
• Kuendelesha utamaduni wao kama vile kutahiri mtoto wa kiume akiwa na siku nane kulingana na amri ya Mungu Mwanzo 17:9-12
• Ili kuzingatia sheria za Mungu kufundishana habari za torati na manabii.
Uongozi
Sinagogi lilikuwa likianzishwa na wazee wapatao saba au kumu wa kiyahudi, kila Sinagogi lilikuwa na viongozi wapatao wawili au zaidi. Na vyongozi hao huchaguliwa na wazee wa Sinagogi.
Katika karne ya Agano Jipya kulikuwepo Masinagogi mengi sana yapatao 480 ambazo zilikuwa zikiingiwa na watu wa wamataifa mbalimbali ambao walikubali kufuata taratibu zote za dini ya Kiyahudi.
Kazi ya Sinagogi:
Malengo makubwa ya sinagogi yalikuwa kujikumbusha sheria na pia kuangalia utamaduni wao. Tusomapo Biblia na kuichunguza tunaona mambo yafuatayo;
Malaki 4:4
Ikumbukeni torati ya Musa, mtumishi wangu, niliomwamuru huko Horebu kwa ajili ya watu wangu Israeli wote naam, amri ya hukumu.
Mathayo 5:17
Yesu alifundisha hivi:- Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii la sikuja kutangua, bali kutimiliza
Hivyo basi kwa habari za Torati na manabii Wayahudi walikuwa wakifundisha watoto wao kwenye Sinagogi.
Matendo 15:21.
kwa maana tangu zamani za kale Musa anao watu wahubirio mambo yake; katika kila mji husomwa kila Sabato katika Masinagogi.
Hapa tunaona Mtume Paulo naye anamkumbusha Timotheo habari ya mafundisho dhabiti alioyapata kutoka utotoni.
2 Timotheo 3:14-15
Baki wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao; naya kuwa tangu utoto umeajua mandiko matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.
Kulikuwa na masinagogi mengine yalikuwa na vyongozi zaidi ya wawili na mmoja wao alikuwa na cheo cha (Heb gr archi synagogue) au kasisi mkuu.
Kasisi huyu ilikuwa na kazi mbalimbali kwa mfano:-
• Kujenga na kutunza mali yao
• Kuangalia namna ya ibaada vile inavyofanywa ikiwemo kutunza sheria, Luka 13:10-14 nanukuu aya (14) Basi mkuu wa Sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alimponya mtu siku ya Sabato, akamjibu, akawambia makutano, kuna siku sita zifaazo kufanya kazi, basi njoni mponywe katika siku hizo, wala si siku ya Sabato.
• Kuchagua mtu mwenye kusoma na kuomba.
• Kualika wageni kutoka Masinagogi mengine ili aje awahutubie watu na kutilia nguvu mambo yanayohusu jamii na dini yao.
Matendo 13:13-15 na nukuu aya (15) kasha baada ya kusomwa Torati na Chuo cha Manabii, wakuu wa Sinagogi wakatuma mtu kwao, na kuwambia, Ndugu kama mkiwa na neno la kuwafaa watu hawa, lisemeni.
Kwenye Sinagogi kuna mtu mmoja ambaye kazi yake ni kutunza kile Chuo cha Torati Manabii na pia huangalia usafi wa Sinagogi kwa ujumla, nayeye hulipwa kwa kazi hiyo anayoifanya. Na kwa Kiebrania mtu huyu huitwa (Hazzan).
Luka 4:20
akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi na watu wote waliokuwamo katika Sinagogi wakamkazia macho.
Mtumishi huyo kazi yake nyingine ilkuwa ni kutangaza mwanzo wa Sabato na mwisho wake. Husimamia ujenzi wa Sinagogi au kurekebishwa kwake, kwa hivyo inambidi aishi kwenye Sinagogi.
Fuatilia hapo kesho majaliwa tuangazie hoja za wahendesha mihadhara kuhusu Sinagogi
Edited by Max Shimba
Amended by Max Shimba
By permission
Na Mwalimu Chaka

WAISLAMU WENGI KUBADILI DINI KUWA WAKRISTO, INAMAANA UISLAMU UTAKUFA?


Vichwa vya habari vinasema dini ya kiislamu itakuwa dini kubwa kuliko zote duniani. Lakini uislamu unakutana na matatizo kwa sasa. Vitendo vya kinyama vinavyofanywa na kundi linalojiita la Kiislamu la ISIS kwa kutumia jina la Allah (Mungu wa Kiislamu) na kufuata mfano wa vitendo vya vurugu vya Muhammad, vimewafanya kuwaogopesha Waislamu walio wengi na kuanza kujiuliza kuhusiana na imani yao.
Wamisionari wanaofanya kazi katika nchi za kiislamu wanasema waislamu wengi zaidi wamebadili dini na kuwa Wakristo katika kipindi cha miaka 14 iliyopita toka tukio la ugaidi la Marekani la september 11 kuliko karne 14 zilizopita katika historia ya Kiislamu.
Wengi wamekuwa wakificha siri kuhusu imani wakiogopa maisha yao kuwa hatarini. Jijini London Uingereza, kituo cha CBN kilizungumza na Imran (ambaye hakutoa jina la ukoo, kujilinda ili asijulikane), ni mwanafunzi wa chuo ambaye ametokea Pakistani na familia yake kama wahamiaji nchini Uingereza. Imran aliachana na Uislamu baada ya kujifunza kwa muda mrefu na kujihakikishia kwamba Quran inawezekana si ya ukweli. Kuacha uislamu inaweza kuwa kazi nzito. "Ikiwa mtu ameacha uislamu anakuwa muasi, anafukuzwa kwenye familia, familia yake itakuwa ya kwanza kumtenga", Imran amesem na kuongeza kwamba rafiki zake wataachana naye na atauwawa au atafungwa. Marafiki zangu wengi wameniambia "hii ni mara ya mwisho nazungumza na wewe kwasababu umemdhalilisha Mtume Muhammad, umeudhalilisha Uislamu.
Imran bado hajawa Mkristo, lakini amesema amesoma Biblia na kugundua Ukristo unafaa kuliko Uislamu. Baadhi ya Waislamu baada ya kuachana na dini yao wanakuwa watu wasionadini na wengine wanapata wasaa wa kupatana na Mungu. Kutoka Sweden, Mchungaji Fouad Rasho wa kanisa la 'Angered Alliance ambaye ni mkimbizi kutoka Syria, amesema amewabatiza zaidi ya waislamu 100 akidai waislamu wengi wanaikana dini yao kwasababu ya vitendo vya ISIS.
"Kila wiki nakutana na mtu mmoja au zaidi wanaokuja kwangu wakitaka kujua zaidi kuhusu Ukristo na Biblia kwasababu wanakasirishwa sana na Uislamu. Hawataki kuendelea na dini yao ya kiislamu" alisema Imran, linapokuja suala la dini, bara la Ulaya limekuwa giza, baadhi ya waislamu wa Ulaya wanahisi kuachwa njia panda kati ya wasioamini kabisa mambo ya dini au wameathirika na Uislamu, lakini baadhi yao wamepata tumaini ndani ya Ukristo.
Wakati Nassim Ben Iman alipokwenda Ujerumani akiwa kama mkimbizi pamoja na familia yake wakitokea moja ya taifa la kiislamu, alikumbuka kwamba alikuwa akiwaza kwamba Ujerumani ni taifa la Kikristo, kumbe Ukristo ulikufa, dini ya wenye dhambi "Kuonekana nusu utupu kwenye runinga ni kwasababu ya dini ya Kikristo, kuishi pamoja kwa mwanaume na mwanaume bila ndoa ni kwasababu ya dini ya kikristo" alisema Nassim akikumbuka alichokuwa akikiwaza.
Lakini pia Nassim amegundua Ukristo wa kweli na leo uinjilisti unawafikia waislamu na wasio Waislamu kumjua Kristo. "Watu wanapogundua Yesu ni nani, watampenda na kumfuata yeye kila siku, na Waislamu wanapomuelewa zaidi na zaidi Muhammed ni nani, Quran ni nini, historia yake, watakwenda tofauti mbali zaidi na Uislamu" alisema Nassim.
Muandaaji wa kipindi cha Kikristo cha kuwafikia waislamu amekiambia kituo cha CBN News kwamba Uislamu utakufa. Kaka Rashid ni mtoto wa imam nchini Morocco ambaye ameishi kama Mkristo kwa kificho kwa miaka 15 sasa. Kwa sasa ni muandaaji wa kipindi cha Kikristo kwa lugha ya kiarabu kinachoitwa "Daring Questions" ambacho kinawapa changamoto waislamu kujiuliza kuhusu imani yao.
"Waislamu wengi wanasema, kama ISIS ni uislamu, ninatoka. Baadhi wanakuwa wapagani, alisema Kaka Rashid. Kuna wimbi kubwa la wapagani kwenye dunia ya Waarabu siku hizi. Wengi wanakuwa wakristo. Uislamu haujawahi kupatwa tatizo hili mwanzoni. Nassim amesema uislamu unaonekana upo imara, ila ni kwa nchi ambazo ukristo ni dhaifu. "Uimara wa Uislamu ni udhaifu wa Wakristo, na ndio kinachotokea Ujerumani na Marekani pamoja na nchi nyingine za magharibi. hata ikionekana Uislamu kama unataka kutawala nchi za magharibi, Rashid amesema Wakristo wasiwaogope Waislamu, kwa kuwa anawiwa kusema kwamba dini hiyo inakufa taratibu.
"Uislamu sio chombo cha Mungu kuhukumu nchi za Magharibi, nadhani watu wanaogopa kwasababu ya wanachoona kwenye habari, lakini hata mapigano inaonyesha ni dalili ya kufa kwa dini hiyo.
Makala hii imetafsiriwa na GK kutoka Charisma News

ALLAH ATEUA MTUME WA MAJINI MACHAFU NA MPINGA KRISTO 666


1. Allah ateua Mtume kwa Majini Quran 6: 130
2. Allah ateua Mtume wa Wanyama Surat An Naml 82
Ndugu zanguni,
Allah anasema katika Quran kuwa, ameteua Mtume kwa kila kiumbe mpaka Majini machafu. Hebu soma aya hapa chini
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YANA MTUME WAO
Quran 6: 130. Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii. Nao watasema: Tumeshuhudia juu ya nafsi zetu. Na yaliwadanganya maisha ya dunia. Nao watajishuhudia wenyewe ya kwamba walikuwa makafiri.
Swali lamsingi kwa Allah :
Jina la Mtume wa Majini ambaye ni Jini ni nani?
Kwasababu kila Umma ulipewa kitabu na mtume wake, Je, Umma wa Majini walipewa kitabu gani?
Lakini nilipo soma Hadith nikagundua kuwa, Muhammad alikuwa anaongea na Majini na kuyafundisha Quran.
MTUME MUHAMMAD AKUTANA NA MAJINI USIKU
Allah S.W.T. ametuhakikishia wazi kuwa ujumbe aliopewa Mtume S.A.W. ulikuwa kwa Wanadamu na Majini na Mashetani pia. Na katika Qurani na Hadithi za Mtume S.A.W. kuna dalili zilizo wazi zinazoyakinisha kuwa Mtume S.A.W. alikuwa akikutana nao na kuwafundisha dini. Na hata wakati mwingine Majini walikuwa wakitoa majibu mazuri zaidi kuliko Binadamu kwenye masuala ya dini. Na mfano ni wakati waliposomewa Suratir Rahmaan. Hadithi iliyopokelewa na Jaabir bin Abdallah R.A.A. na iliyotolewa na Ttirmidhi kasema, “Wakati ambapo Mtume S.A.W. alipowasomea Majini Suratir Rahmaan, “
لَقَدْ قَرَأْتُهَا ‘‘يعني سُورَةَ الرَّحْمَنِ’’ عَلَى الْجِنِّ …، فَكَانُوا أَحْسَنَ مَرْدُودًا مِنْكُمْ ، كُنْتُ كُلَّمَا أَتَيْتُ عَلَى قَوْلِهِ ]فَبِأَيِّ آلاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ[ قَالُوا: لا بِشَيْءٍ مِنْ نِعَمِكَ رَبَّنَا نُكَذِّبُ ، فَلَكَ الحمد
Maana yake, “Hakika nimewasomea Majini (yaani Suratir Rahmaan)…wamejibu vizuri zaidi kuliko nyinyi. Kila nilipofikia kauli Yake (Mwenyezi Mungu S.W.T.) “Fabiayyi A-alaai Rabikumaa Tukadhibaan.) Maana yake, “Basi ipi katika neema za Mola wenu ambayo mnayoikanusha kuwa si kweli?” (Basi Majini) walijibu “Laa bishaay Min Niamika Rabbana Nukadhibu, Falakal Hamdu.” Maana yake, “Hakuna neema yoyote katika neema Zako Mola wetu tunayoikadhibisha, bali tunashukuru.” Na Mtume S.A.W. alipowasomea Wanadamu hawakujibu chochote, akawaambia, “Ndugu zenu wa Ki-Jini wamejibu jawabu nzuri waliposikia haya.” Na dalili nyingine kuwa Mtume S.AW. pia alikuwa ametumwa kwao ni kisa cha baadhi ya Majini ambao baada ya kuisikiliza Qurani waliiamini na wakarejea kwao na kuanza kuwaita wenzao kwenye dini ya Kiislamu.
ALLAH ANASEMA KUWA MAJINI YALITUMWA KWA MUHAMMAD ILI KUSIKILIZA QURAN.
ALLAH HUYO HUYO ALISEMA KUWA KILA WATU/VIUMBE/WANYAMA WALIPEWA MTUME WAO. HAPO TEYARI KUNA SHAKA KWENYE QURAN YA MUHAMMAD AMBAYO SASA INAKABIDHIWA MAJINI MACHAFU.
Allah kasema katika Suratil Ahqaaf aya ya 29 mpaka 32, “
]وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنْ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ * قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ * يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِي اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * وَمَنْ لا يُجِبْ دَاعِي اللَّهِ فَلَيْسَ بِمُعْجِزٍ فِي الأرْضِ وَلَيْسَ لَهُ مِنْ دُونِهِ أَولِيَاءُ أُوْلَئِكَ فِي ضَلالٍ مُبِينٍ[
Maana yake, “Na (wakumbushe) wakati tulipowaleta kundi la Majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana): “Nyamazeni! (Msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao kwenda kuwaonya. Wakasema “Enyi watu wetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya (Nabii) Musa, kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoza kwenye haki na kwenye njia iliyonyooka. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mlingani, (Muitaji) wa Mwenyezi Mungu na muaminini, atakusameheni (Mwenyezi Mungu) dhambi zenu na atakukingeni na adhabu iumizayo. Na wasiomuitikia Muitaji wa Mwenyezi Mungu, basi hao hawatamshinda (asiwapate) hapa katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele Yake. Hao wamo katika upotofu ulio dhahiri.”
Na kisa kingine ni cha Majini waliosikia Qurani kutoka kwa Mtume S.A.W wakati alipokuwa akiwasalisha Masahaba wake Sala ya Alfajiri. Na hii ilikuwa bila ya yeye kuwa na habari mpaka Mwenyezi Mungu S.W.T. alipomjulisha. Mwenyezi Mungu S.W.T. kasema katika Suratil Jin aya ya 1 na ya 2, “
]قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنْ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا * يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا[
Maana yake, “Sema: “Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la Majini lilisikiliza (Qurani) likasema: “Hakika sisi tumesikia Qurani ya ajabu. Inaongoza katika uwongofu; kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote tena na Mola wetu.”
Makala haya yametolewa katika kitabu kiitwacho, "Hakika ya Majini."
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea Mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya Mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (Msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (Mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Je, jina la Mtume wa Wanyama ambaye ni Mnyama ni nani?
Je, wanyama walipewa kitabu gani?
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah, na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha Mwendawazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (Kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka. QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (Swali la uzushi: Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni Jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 6, 2016

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW