Saturday, July 2, 2016

YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA



1. ALLAH AMBAYE SIO YEHOVA SIO NJIA.
2. MAREHEMU MUHAMMAD SIO NJIA.
3. QURAN SIO NJIA.
4. UISLAM SIO NJIA.
5. DINI SIO NJIA.
Kumbe Dini sio Njia
Katika Biblia tunasoma kuwa Yesu anasema yeye ndie "NJIA", "KWELI" na UZIMA, na anaendelea kusema kuwa KWELI ndiyo itakuweka HURU miaka 680 kabla ya Uislam kuanxoshwa. Hebu rejea kwenye hii aya:
Yohana 14:6 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.
Kufuatana na aya hapo juu iliyo kuja miaka 680 kabla ya Uislam, Mtu yeyote yule hawezi kwenda kwa Baba na/au Mbiguni bila ya kupitia "NJIA" ambayo ni YESU. Kumbe basi dini haiwezi kukupeleka popote pale. Kumbe, NJIA PEKEE ya Uzima wa Milele ni YESU na SI DINI.
Kumfahamu Yesu ambaye ni KWELI kutakufanya umwelewe Mungu wa UKWELI!! Kumbe basi, Yesu ndie mwenye uwezo wa kukufanya uelewe KWELI ya Mungu.
Yohana 8:31-32 Kwa hiyo Yesu akawaambia wale waliomwamini, “Kama mkiendelea kutii maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu halisi. 32 Mtaelewa yaliyo kweli kumhusu Mungu na ukweli huu utawafanya muwe watu huru.
Kufuatana na aya hapo juu, inatuhakikishia kuwa mafundisho ya YESU PEKEE ndiyo yatakufanya uelewe KWELI na kumfahamu Mungu wa KWELI. Zaidi ya hapo, kuwa Mwanafunzi wa Yesu (Ukristo) ndio njia pekee ya kufahamu kweli.
Yesu Ndie Njia ya Kweli na Uzima.
Mwamini leo ili upate uzima wa milele.
1. Allah sio Njia.
2. Marehemu Muhammad sio Njia.
3. Uislam sio Njia.
4. Quran sio Njia.
5. Dini sio Njia.
Bali Yesu ndie Njia pekee ya kweli na uzima wa milele.
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW