Friday, September 9, 2016

HIVI KUPAKA HINA KWA MWANAUME WA KIISLAM NI SUNNAH AU HAWA NDIO MASHOGA WA KIISLAMU


Huu ni msiba
((Allah Amemlaani mwanamke anayefanya tatoo (chanjo za kujichora) Na mwenye kuomba kufanyiwa, na anayetoa nyusi na mwenye kuomba kutolewa na anayechonga meno kuweka nafasi (mwanya), kubadilisha maumbile ya Allah kwa ajili ya kupata uzuri)) Al-Bukhariy Imetoka kwa 'Abdullah Ibn Mas'uud (r.a.)
CHA AJABU ALLAH HAKULAANI WANAUME KAMA HUYU KUPAKA HINA KAMA WANAWAKE. HII NI CHUKI KUBWA SANA. AU HUYU NI SHOGA?

JE, UMEWAHI KUSIKIA KUHUSU MIUJIZA YA ALLAH?


Miujiza ya allah ni miujiza ya kipekee. Misikiti inaponusurika majanga kama kimbunga, Tsunami, mafuriko na mitetemeko ya ardhi, waislamu wanadai ni miujiza na huihusisha na allah. Hivyo basi hutumia madai haya kuwahadaa watu kusilimu. Lakini maswali mengi yanayotatiza akili za watu wenye hekima huibuka;
1. KWANINI ALLAH AUWE MAELFU YA WATU NA KUNUSURU MAJENGO?
2. JE, ALLAH ANAPENDA MAJENGO KULIKO VIUMBE WAKE?
3. MIUJIZA YA ALLAH INA MANUFAA GANI KWA ALLAH AU KWA VIUMBE WAKE AMBAO TEYARI NI MAREHEMU.UWAWA NA ALLAH?
4. 99% YA DINI YA WATURUKI NI WAISLAMU, HIVYO BASI NYUMBA ZILIZOZUNGUKA HII MISIKITI NI ZA WAISLAMU. KWANINI ALLAH AZIPOROMOSHE NA KUWAUWA WATURUKI NA KULINDA MAJENGO YA MISKITI?
IKIWA HII ILIFANYWA MAKSUDI NA ALLAH, NI NANI ANGEKUWA RADHI KUABUDU ALLAH AMBAYE ANAVUNJAVUNJA NYUMBA ZA WATU WASIO NA HATIA NA KISHA KUUWA WAFUASI WAKE HUKU AKINUSURU MAJENGO YA MISIKITI YAKE?
ETI KUUWA WATU NA KUNUSURU MAJENGO NI MIUJIZA YA ALLAH.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.

UJUMBE KWA WAISLAMU WOTE;



Mwanamke aliyefumaniwa akizini
**************************************
YOHANA 8:1-11
1 Lakini Yesu akaenda katika Mlima wa Mizeituni.
2 Alfajiri na mapema Yesu akaja tena hekaluni, watu wote wakakusanyika, akakaa akaanza kuwafundisha.
3 Walimu wa sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.
4 Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
5 Katika sheria, Mose alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii, mpaka wafe. Sasa Wewe wasemaje?’’
6 Walimwuliza swali hili kama mtego ili wapate sababu ya kumshtaki Mwanamke Aliyefumaniwa Akizini Lakini Yesu akainama akaanza kuandika ardhini kwa kidole Chake.
7 Walipoendelea kumwulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama kuna mtu ye yote miongoni mwenu ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.’’
8 Akainama tena na kuandika ardhini.
9 Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, wakianzia wazee, hadi Yesu akabaki peke Yake na yule mwanamke akiwa amesimama mbele Yake.
10 Yesu akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?’’
11 Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.’’
Yesu akamwambia, “Hata Mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.’’
MUNGU AWAPE HEKIMA YA KUSOMA NENO LAKE (BIBLIA) MKAPATE NURU.

SHEIKH WA MSIKITI WA GOMA AKAMATWA KWA KUZINI

KWANINI WAISLAM HAMKUMPIGA BAKORA MIA KWA KOSA LA UZINIFU?
NDIO MAANA NASEMA UISLAM NI DINI YA KUTENGENEZA TU NA DINI YA WAARABU. SIJAWAI SIKIA WAISLAM WA BONGO WAKIPIGA BAKORA MIA WAZINIFU.
QURAN 24:2, SURAT, AN-NOOR
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, mtandikeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwaajili yao katika huruma ya Mwenyezi Mungu. Ikiwa ninyi mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la wauminh. ( mwisho wa kunukuu)

MUHAMMAD NA ALLAH WASHINDWA KUTUONYESHA KITABU ALICHO TEREMSHIWA IBRAHIM



KUMBE, MUHAMMAD NA ALLAH NI WABABAISHAJI TU
KUMBE QURAN NI BANDIA NA IMEJAA SHAKA KUBWA
Ndugu msomaji,
Surat Al Baqara 136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
Allah anawaambia wafuasi wa Muhammad kuwa waseme wameamini yaliyo teremshwa kwa Ibrahim, Ishaq, na Yaaqub pamoja na manabii wengine.
Sasa basi, kama Allah anasema ukweli na Muhammad ni mtume wake, ningependa watuambie na kutuletea nakala za kitabu alicho teremshiwa, Ibrahim, Ishaq, Yaaqub.
Endelea kumshika uongo Muhammad na Allah wake.
Surat Al Aa'laa 18. Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
19. Vitabu vya Ibrahimu na Musa.
Allah anasema katika Surat Al Aa'laa aya ya 19 kuwa, ameteremsha kitabu kwa Ibrahimu.
SWALI: Tuambieni ni kitabu gani kiliteremshwa kwa Ibrahim na ipo wapi nakala yake na kinaitwa jina gani?
Muhammad, nabii wa Allah amekuwa akimsingizia Allah uongo pasipo kujua, kwa kudai kuwa Allah ameteremsha vitabu vinne tu ambavyo ni:
1. Taurat - Musa
2. Zaburi - Daudi
3. Injili - Issa bin Maryam
4. Qur'an - Muhammad
Ndio maana naendelea kusema kuwa Uislam ni dini ya kutengeza tu na Allah sio Yehova.
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
For Max Shimba Ministries Org.

MKURUGENZI MKUU WA SHULE YA QURAN AMEHUKUMIWA KWENDA JELA KWA KOSA LA KUBAKA


Mkurugenzi wa " Minhajul Quran Islamic Center" nchini Uingereza amehukumia kwenda jela miezi 12 na kulipa faini ya Pound Elfu moja za Uingereza katika Mahakama iliyopo Manchester kwa kosa la kujaribu kumbaka mfanya kazi mwenzake.
Haroon Abbas ambaye ni mwanafunzi wa Pakistan Awami Trhrik (PAT) amesema Mwenyekiti Tahirul Qadri atakuwa chini ya uangalizi wa Polisi kwa miaka mitano ijayo baada ya kutoka Jela.
Gulnar ambaye alitaka kubakwa alisema kuwa Mkurugenzi wake alianza kumtomasatomasa na kujaribu kumbaka kwa nguvu wakiwa ofisini.

IMAM AFUMANIWA NA HAWARA YAKE WAKIZINI MSIKITINI


(MENAFN - Morocco World News) Video iliyo chukuliwa na wananchi inaonyesha Imam akizini na hawara yake Msikitini.
Video hiyo iliopostiwa na You Tube Septemba 4 imewapagawaisha Waislam.
Mmoja ya wananchi wenye hasira kali alisema kuwa Mungu amemuumbua huyo Imam mwenye tabia hio ya kuzini ndani ya Msikiti.https://www.youtube.com/watch?v=hHwc1hqYI0k
Katika hiyo video, inaishia kwa kuonyesha Polisi walipo mkamata huyo Imam ndani ya Msikiti akiwa na hawara yake huku wakizini.

'Once We Rape You, You Will Be Muslim'…

The Islamic State wants to torture and destroy the Yazidi people, wipe "them off the face of the Earth," said lawyer and humanitarian Jacqueline Isaac, who added that the jihadists try to force Yazidi girls to convert to Islam and, if they refuse, tell them this is pointless because once they rape them, which they do, they become Muslim.
"[I]t is a philosophy to destroy them and to torture them," said Isaac in testimony before theHouse Foreign Affairs Committee in May 2015 -- testimony that was not covered by the major U.S. news networks ABC, CBS and NBC, according to a search of the Nexis news database. 
"With the girls particularly that I met, they in one night – because they felt safe in Sinjar town [in Iraq] – one night ISIS came and took all of these girls," said Isaac. "They told them first, they gave them an option: Will you become a Muslim? Will you convert to Islam? Many of them said ‘no.’"
http://www.cnsnews.com/blog/michael-w-chapman/isis-yazidi-girls-once-we-rape-you-you-will-be-muslim

Palestinian Textbooks: 'Women are Witches'…

Palestinian schoolchildren who returned to their schools last week are being taught that women are witches and Tel Aviv is an Arab city. They are also being exposed to maps that ignore Israel's existence.
Despite all Palestinian Authority (PA) claims to the contrary, then, the new textbooks hardly promote peace and coexistence between Palestinians and Israel.
A new school curriculum published by the PA last week has drawn sharp criticism from many Palestinians, who say the textbooks demonize women and contain "factual and historical" errors.
The controversial version of the curriculum for grades 1-4 was launched by PA Prime Minister Rami Hamdallah during a ceremony in Ramallah, on the eve of beginning of the new school year.
Within hours, Palestinians, particularly female activists, voiced resentment over the new curriculum and called on the PA leadership to remove it immediately. Some Palestinians denounced the curriculum, which was drafted by a team of Palestinian educational experts, as a "scandal" and a "distortion of facts." They said that a curriculum full of errors and "distortions of facts" was a guaranteed recipe for raising a new generation of illiterate and misinformed Palestinians.
PA officials, arguing that the new curriculum was an experimental one and is open for amendments and development, have promised to make corrections in the textbooks.

Palestinian Leader Abbas Was KGB Agent in 1980's…

Palestinian President Mahmoud Abbas waves to the media in May.
Palestinian Authority President Mahmoud Abbas was a KGB agent in 1983, according to Soviet-era documents examined by Israel’s Channel 1.
The Abbas revelation stems from documents in the archive of Vasili Mitrokhin, Channel 1’s Oren Nahari tweeted. Mitrokhin, a former Soviet intelligence archivist, defected to Britain after the fall of the Soviet Union. He brought with him a treasure trove of valuable info.
Mitrokhin’s edited notes were released in 2014, but the unedited material remains classified by MI5, The Times of Israel, reported. Mitrokhin died in 2004.

JESUS IS GOD MALIK AL AMLAK

TRENDING NOW