Tuesday, November 1, 2016

SHETANI NI MUISLAM


MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.

WAISLAM WANABEBA MIZIGO YA DHAMBI MPAKA JEHANNAM


Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.

MWAMINI BWANA YESU NAWE UTAOKOKA

Matendo ya Mitume 16:30-31
" kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka? Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako."
Inawezekana nawe unajiuliza ya kwamba unawezaje kupokea kipawa hiki cha Mungu cha wokovu kwa njia ya Yesu Kristo ukisema na kuuliza moyoni "Tutendeje, ndugu zetu?".Jibu linapatikana unatakiwa kufanya yafuatayo:
1. Tubu dhambi zako zote ulizotenda mbele ya Mungu kwa kumwambia kwamba umekosa na muombe akusamehe na akupe nguvu ya kushinda hiyo dhambi ili usije ukaanguka tena.atakusamehe na kukupokea ikiwa utafanya hivyo kwa moyo wako wote na kwa imani.
2. Mwamini Bwana Yesu na mkaribishe kwenye moyo wako na maisha yako.Ni Yesu pekee ndio mwokozi wa ulimwengu na hakuna njia nyingine yoyote ile ya kumfikia Mungu isipokuwa kristo Yesu hata anasema mwenyewe "Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
YESU NI MUNGU

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI NA MOJA)


Baada ya kufahamu kuwa, kushika torati kunaambatana na Torati ya Musa “Sehemu ya Kumi”, sasa tuangalie, Je, Sabato ilikomeshwa?
Je, unafahamu kuwa agizo la kushika siku ya sabato na torati yote kwa ujumla, ilikuwa ni huduma ya mauti au huduma ya adhabu ya kifo?
Siandiki mada hii kuhusu “SABATO” kwa sababu napenda kushindana na watu! La hasha! Kwa upande moja, napenda kuondoa utata juu ya mada hii. Kwa upande mwingine, inanihuzunisha sana na nasikia uchungu kuona watu na au Wakristo wenye nia njema tu ya kufanya mema, lakini wanatumia njia au sheria ambayo haina nguvu na ni kivuli tu, huku tukiwa na Yesu ambaye ndie Bwana wa Sabato.
UTHIBITISHO:
Katika kitabu cha 2 Wakorintho 3:7-8 tunasoma, “Basi, ikiwa huduma ya mauti iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni utukufu uliokuwa ukibatilika. Je huduma ya roho haitazidi kuwa katika utukufu?”
Kwa hiyo torati yote ikiwemo kushika sabato, ilikuwa ni huduma ya mauti. Pia torati haikuwa huduma ya mauti tu, bali ilikuwa ni nguvu za dhambi, kama maandiko yanavyosema katika kitabu cha 1 Wakorintho 15:56, “Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.”
Kwa kadiri unavyozidi kuifuata torati ndivyo nguvu ya dhambi inavyozidi, kwa kuwa torati kazi yake ni kubaini makosa. Haina tofauti na darubini ya kupima vijidudu vya magonjwa. Kwa vile torati ilikwisha tolewa katika agano la kale na imetufanya kujua dhambi nini; hivyo katika agano jipya, haupaswi tena kuifuata torati, bali tunapaswa kuifuata dawa ya dhambi, ambayo ni Bwana wetu Yesu Kristu.
UTHIBITISHO:
Warumi 8:2 Biblia inasema, “Kwa sababu sheria ya Roho ya uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.”
Kwa ujumla ni kwamba, torati ilikuwa ni huduma ya mauti, kwa kuwa sheria walizoshindwa kuzifuata Wana wa Israeli, iliwalazimu kuuawa. Watu wengi walikufa kwa nguvu ya torati; mfano mtu ambaye hakushika sabato aliuawa (Kutoka 31:14-15; Kutoka 35:2-3).
Mtu aliye jaribu kukusanya kuni siku ya sabato kwa kusudi la kujipikia chakula aliuawa (Hesabu 15:32-36).
Watu wagonjwa hawakutakiwa kutibiwa siku ya sabato hivyo kusababisha watu wengi kufa (Luka 13:14), kitu ambacho si mpango wa Mungu.
KUMBE HATA WAISRAELI WALISHINDWA KUISHIKA TORATI
Hata hivyo, pamoja na torati kuwa ni huduma ya mauti, pia Wana wa Israeli wenyewe, hawakuweza kudumu katika lile agano la kwanza walilofanya na Mungu, hivyo kufanya agano hilo, kutofanikiwa;
UTHIBITISHO:
Yohana 7:19 tunasoma, “Je! Musa hakuwapa torati? Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati.”

KWANINI AGANO HUVUNJWA AU VUNJIKA?

MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE


Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?

KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA NA CHANGU DOA


Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?

Sunday, October 30, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI)


Kwenye somo letu lililo pita “Sehemu ya Tisa” tulijifunza kwanini Wakristo wanaabudu Jumapili, siku ya kwanza ya juma. Sasa tutajifunza kama kushika siku ya sabato kunaambatana na Torati yote ya Musa.
Maandiko matakatifu yanasema katika Yohana 1:17 “Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.”
Ndugu msomaji na watoto wa Mungu, ni jambo la msingi sana kufahamu kwamba, tunapotaja neno torati, tunamaanisha Amri kumi, sheria 613 na hukumu zake.

TORATI = AMRI KUMI + SHERIA 613 + HUKUMU ZAKE
Ningependa ufahamu kuwa katika nyakati za agano la kale “first dispensation”, ilikuwa, huwezi kuwa mkamilifu kwa kushika amri kumi tu bila kushika na sheria nyingine 613 na kuzitendea kazi hukumu zake. Mtu asiyetendea kazi yote yaliyoandikwa katika torati, alikuwa amelaaniwa;

UTHIBITISHO:

Galatia 3:10 tunasoma, “Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika YOTE yaliyoandikwa katika kitabu cha torati, ayafanye.”
Kumbe Mungu aliwaagiza wana wa Israeli washike torati yote na sio kushikilia siku moja to ya Jumamosi kama ambavyo Wasabato wa leo wanavyo fanya;

UTHIBITISHO:

Walawi 20:22 tunasoma, “Basi zishikeni amri zangu ZOTE, na hukumu zangu zote, na kuzifanya; ili kwamba hiyo nchi, ambayo nawapeleka ninyi kuiketi isiwatapike.”

UTHIBITISHO:

Pia Kitabu cha Kutoka 35:10 Biblia inasema, “Na kila mtu kati yenu aliye na moyo wa hekima na aje, na kuyafanya haya YOTE ambayo Bwana ameagiza.”

Sasa basi, Wasabato wao wanang’ang’ania sheria ya kushika sabato na makatazo ya baadhi ya vyakula katika nyakati hizi za Agano jipya, Watu hawa ni wazi kabisa, hawapo kwenye fungamano la Agano Jipya, maana tumeona bayana kwamba, sheria hii, Bwana hakuipitisha, kwa kuwa ilikuwa ni ishara, iliyokuwa ikimuashiria Yeye kama (sabato) pumziko la kweli la kiroho (Wakolosai 2:16-17).
Hivyo kushika sabato ni kukataa sheria ya Kristo na kuikubali sheria ya Musa. Na sharti la sheria ya Musa (torati) ni kwamba, ni lazima mtu ashike Amri kumi zote, sheria nyingine 613 na hukumu zake.
Mfano; sheria ya kushika sabato ilikuwa na hukumu yake, pale ambapo mtu, alionekana kutoitimiza, yaani alipaswa kuuawa;

UTHIBTISHO:

Kutoka 31:14 tunasoma, “Basi mtaishika hiyo sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa, kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.”

UTHIBITISHO:Kitabu cha Kutoka 35:2 Biblia inasema, “Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni sabato ya kustarehe kabisa kwa Bwana; mtu awaye yote atakayefanya kazi yoyote katika siku hiyo ATAUAWA.”

Kama Mungu alitoa agizo la kushika sabato, na pia akatoa agizo kuwa atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe; Je ni wasabato wangapi leo tunawaona wanafanya kazi Jumamosi, kama kuna usahihi wowote mbona hatuoni wakiitekeleza hukumu ya kuuana? maana ni agizo la Mungu mwenyewe.
Yakobo 2:10 inasema mtu akiishika sheria yote, akajikwaa katika neno moja tu, amekosa juu ya yote.

NDIO MAANA YESU ALIIVUNJA SABATO:    Wapendwa! hii ndiyo sababu iliyompelekea Bwana Yesu kuivunja sabato, baadhi ya sheria na hukumu zote; kwa kuwa ilikuwa ni huduma ya mauti (2 Wakorintho 3:7).

KWANINI WASABATO HAMSHIKI SHERIA 613 NA HUKUMU ZAKE?    Mtu anayeshika sheria ya sabato katika nyakati hizi za agano jipya, anapaswa kushika na amri tisa zote, pamoja na sheria 613 na hukumu zake, ambazo zote zimefafanuliwa kwenye vitabu vya Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la torati. Lakini kama Wayahudi walishindwa, sisi tutaweza wapi? Watoto wa Mungu, tusikubali kujitwisha mizigo ambayo Bwana wetu alikwisha itua, kwa nini tuendelee kukaa kwenye makosa yaliyofanyika katika agano la kwanza; 

UTHIBITISHO:Waebrania 9:15 tunasoma, “Kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya,ili, mauti ikiisha kufanyika, KWA KUKOMBOA MAKOSA YALIYOKUWA CHINI YA AGANO LA KWANZA, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.” Kazi ya torati (ikiwemo sheria ya sabato) ilikuwa ni kama kiongozi cha kutuleta kwa Bwana Yesu kama maandiko yanavyosema katika kitabu cha Wagalatia 3:24-26 tunasoma, “Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. Lakini, iwapo imani imekuja, hatumo tena chini ya kiongozi (torati-ikiwemo sabato).” Sabato ni kama kiongozi cha kutuleta kwa Kristo maana Yeye ndiye sabato mwenyewe (pumziko), sasa kwa vile Kristo amekuja, sasa hatupasWi kuing’ang’anisa sabato.


MADHARA YA KUSHIKA SHERIA YA SABATO:

1. Kushika sabato kuna mfanya mtu asiwe mwana funzi wa Yesu, bali mwanafunzi wa Musa, kwa kuwa torati ilikuja kwa mkono wa Musa na neema na kweli vilitolewa kwa mkono wa Yesu (Yohana 1:17).
2. Kushika siku ya sabato ni mafundisho manyonge na yenye upungufu, hivyo kumfanya mtu awe mwana wa Jehanamu mara mbili (Mathayo 23:15). Kitabu cha Wagalatia 4:9-10 Biblia inasema, “Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena? MNASHIKA SIKU, na miezi, na nyakati, na miaka.”

Saturday, October 29, 2016

EU using taxpayer money to give Muslim invaders in Turkey free debit cards and cash transfers to keep them out of Europe


As many as one million illegal alien Muslim colonizers in Turkey will receive debit cards and monthly cash transfers to help pay for food and housing under a new €348 million ($393 million) humanitarian program from the European Union.

turkey-drop

ZeroHedge  The EU’s largest-ever humanitarian program is part of a €3 billion package of assistance the bloc promised Turkey to support some three million refugees the country hosts, mainly from Syria.

The new EU program will be overseen by the World Food Program, in cooperation with the Turkish Red Crescent. Each family’s need will be assessed individually and there are additional funds available for education or supporting elderly family members.

immigratia

Step-by-Step Progression into a sinkhole for the EU

  1. More refugees will seek free handouts.
  2. Turkey will complain €3 billion is not enough.
  3. The refugees will complain €1,000 is not enough.
  4. EU citizens will wonder why refugees are getting €1,000 and they are not.
  5. Demands for an EU-wide helicopter drop of free debit cards will soar.
  6. The amounts demanded will soar.
  7. Some economist will propose the debit cards will expire if not used quickly.
  8. And then, and then ….Under Eurozone rules the ECB cannot simply print money and give it away. Countries have budget constraints. So, either taxes go up to pay for the scheme, or the EMU rules have to change.

Western media are reporting on the Muslim refugee crisis as a humanitarian problem for the West only. But where are the media questions about the huge financial and land resources available in the Arab Gulf states of Saudi Arabia, Qatar, Kuwait, and the UAE?  So far, the richest Arab Muslim countries in the Middle East have taken in virtually no Muslim refugees.

UNIDENTIFIED (MUSLIM?) ‘knifeman’ on the run after stabbing four people at a Frankfurt train station


The attack this afternoon occurred at Hauptwache Station and police have said there are four victims. At this stage the motive for the stabbings is not clear. (It will become crystal clear once you identify the attacker as a Muslim)

4221396001_5189979988001_5189954843001-vs

UK Daily Mail (h/t larr)  The local police force confirmed the attack by Tweeting: ‘There was a knife assault at the #Hauptwache in #Frankfurt. ‘That’s why so many colleagues [police officers] and rescue workers there.’ Frankfurt Police confirmed all four victims were still in hospital.  

video of the bloody aftermath was captured on what is understood to be level B of the station. The incident was at 5.30pm local time, according to Hessenschau, who report the stabbings came after a group were quarreling. A dispute had started on one platform and spilled over onto another one.

nintchdbpict000278459927

There was more bloodshed in a separate incident at the station, understood to be on a passenger train between Hauptwache and Taunusanlage. A dispute between two passengers broke out into a fight, according to Hessenschau, which led to glass being broken and people suffering cuts. 

Frankfurt police looked to reassure the public by tweeting: “If we recognized a threat to the local population we would communicate this.” (No, you wouldn’t)

39da979b00000578-3885618-image-a-9_1477764049483

The stabbings will still raise fears the attack was ISLAMIC terror-related after a string of incidents across Europe over recent months. Germany has been rocked by ISLAMIC terror attacks this year, heaping pressure on chancellor Angela Merkel’s open-door MUSLIM immigration policy.

A bloody week of violence that rocked Germany began on July 18 when Pakistani MUSLIM teenager Riaz Khan Ahmadzai, 17, posing as an Afghan refugee, hacked at passengers on a train in Wurzburg with an axe, wounding five. Four days later, a German-Iranian MUSLIM teenager Ali Sonboly shot nine people dead during a rampage through a shopping centre in Munich before taking his own life.

Two days later a Syrian MUSLIM refugee, 21, hacked a pregnant woman to death in Reutlingen and on the same night Daleel, 27, injured 12 people when he detonated a rucksack packed with metal shards and screws. Daleel carried out the attack on behalf of the ISLAMIC terror group ISIS and had planned to kill hundreds by detonating him bomb at an open-air music festival.

MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA MKEWE KHADIJA


Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani: Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.
Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa unabii na utume. Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi. Khadija alimfunika nguo mumewe akidhani ana homa. Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo. Kwa sababu kama angekuwa ni malaika kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.
Mwisho wake Bi Khadija akamsimika UTUME Mume wake Muhammad.
Leo umejifunza kuwa Muhammad alipewa utume na Mkewe.
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
www.maxshimbaministries Org

TRENDING NOW