
Baada ya kusoma katika Sehemu ya Kumi na Mbili kwanini Wakristo wanasali Jumapili, basi tuendelee kuona je, sheria inaweza batilishwa?
Maana ya Sheria:
Neno sheria lina maana nyingi.Lina maana kama kama;
.Desturi
.Kanuni,au
.Amri zilizo na lazima kufuatwa.
Neno sheria lina maana nyingi.Lina maana kama kama;
.Desturi
.Kanuni,au
.Amri zilizo na lazima kufuatwa.
Vilevile neno sheria lina maana ya utaratibu wa maisha unaowekekewa kanuni zilizopitishwa na bunge; na pamoja na desturi zinazokabiliwa na Taifa zitumike kwa jamii (yaani sheria za mila). Ili kuakikisha kwamba sheria zinaheshimiwa na kufuatwa Taifa (Serikali) hutumia vyombo vya dola kama;
Polisi-kwa kuwakamata na kuwafikisha wahalifu mahakamani;
Mahakama-kwa kuwaadhibu wahalifu; na Magereza -kutekeleza adhabu ya mahakama kwa kuwafunga waalifu.
Polisi-kwa kuwakamata na kuwafikisha wahalifu mahakamani;
Mahakama-kwa kuwaadhibu wahalifu; na Magereza -kutekeleza adhabu ya mahakama kwa kuwafunga waalifu.
SASA TUJIFUNZE MAREKEBISHO YA SHERIA KATIKA AGANO JIPYA KUPITIA CHEKECHO LA MSALABA
Mungu habadiliki katika tabia na sifa zake, lakini Yeye mwenyewe amekuwa akiweka amri na kuzibadili kama apendavyo Yeye, katika vizazi mbalimbali. Na pia amekuwa akifanya maagano na vizazi mbalimbali kwa kadiri ya kusudi lake.
ADAM NA HAWA HAWAKUPEWA TORATI:
Adamu na Hawa hawakupewa torati, bali walipewa amri moja tu, yaani kutokula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya kama Biblia inavyosema katika kitabu cha Mwanzo 2:16-17.
Adamu na Hawa hawakupewa torati, bali walipewa amri moja tu, yaani kutokula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya kama Biblia inavyosema katika kitabu cha Mwanzo 2:16-17.
Mungu hakumpa Adamu amri ya ‘usizini’ kwa kuwa hakuwapo mwanamke mwingine ila mkewe Hawa. Vivyo hivyo hakumpa amri ya ‘usiibe’ kwa kuwa vitu vyote vilivyo kuwapo katika bustani ya edeni alipewa na Mungu kuwa vyake. Pia Mungu asingeweza kumwambia Adamu aheshimu wazazi wake kwa kuwa hawakuwapo. Katika maandiko hatuoni Mungu akimwagiza Adamu ashike sabato. Kwa hiyo zama za Adamu na Hawa walipewa amri moja tu.
AGANO LA MUNGU NA NUHU:
Tukija zama za Nuhu, tunaona Nuhu naye anafanya agano na Mungu na kupewa sheria zifuatazo katika Mwanzo 9:1-7; sheria ya kwanza Nuhu anaambiwa asile nyama pamoja na uhai wake yaani damu (Mwanzo 9:4-5), na sheria ya pili, Nuhu na kizazi chake wanakatazwa kuua (Mwanzo 9:6).
Tukija zama za Nuhu, tunaona Nuhu naye anafanya agano na Mungu na kupewa sheria zifuatazo katika Mwanzo 9:1-7; sheria ya kwanza Nuhu anaambiwa asile nyama pamoja na uhai wake yaani damu (Mwanzo 9:4-5), na sheria ya pili, Nuhu na kizazi chake wanakatazwa kuua (Mwanzo 9:6).
AGANO LA MUNGU NA IBRAHIMU:
Tukija kwa Ibrahimu tunaona Mungu anafanya agano na Ibrahimu na kumwambia awe mkamilifu (Mwanzo 17:1). Lakini pia anampa sheria mpya ya kutahiri nyama ya magovi yao, kitu ambacho Nuhu hakuamriwa kufanya.
SASA TUONE JINSI TORATI ILIVYO KUJA:










An advertisement for ALTRA FIREARMS warns potential customers that Muslims and supporters of Hillary Clinton, who are “terrorists” in the store’s parlance, are not welcome. “Please NO Muslims or Hillary Supporters — We do not feel safe selling to terrorists!” Altra Firearms in Jackson Center, Pennsylvania advertised in local papers this week.
TalkingPointsMemo The “Politically Incorrect Firearms” store also invited readers to “Visit our underground bunker and speak with our unique and deplorable sales associates.”
Altra Firearms’ owner Paul Chandler, 54, told TPM Friday that he’s had a sign in front of his store advertising that supporters of President Obama aren’t welcome to come inside, either.
“We did have, in three-foot letters, ‘No radical Muslims,’ but I changed that to ‘No Muslims,’ period,” Chandler said in a phone interview, noting rhetoric from Iranian television motivated the change.
“They’re saying that America is the great Satan and it’s got to be destroyed. They’re basically teaching that if it’s an infidel, either they convert or kill them. And that’s what they’re doing in our country now,” he said, comparing the actions of modern Islamic nations to the expansion of Muslim influence into Europe before the Crusades.
“If the gun store in Florida wouldn’t have sold to that man, there’s be 40 or 50 more people alive,” he continued, referring to Omar Mateen, who killed 49 people in Orlando when he opened fire in an LGBT nightclub.
Chandler told TPM he’s never actually denied service to any Muslims or Clinton supporters, although he said he’d told one woman with an Obama bumper sticker on her car that the store was closed. He also said he’d denied service to one man who told him “I hate niggers, I want a gun.”
Chandler said he didn’t extend the same blanket ban to potential Christian customers after a series of abortion clinic bombings years ago because “hundreds of Christian preachers got up and said ‘that is wrong.’”
“Do you hear any Muslim clerics condemning what is going on today?” he asked. “I haven’t heard one.”
In 2015, designated terrorist group CAIR (Council on American-Islamic Relations) sued a different store in Florida (FLORIDA GUN SUPPLY) which declared itself a ‘Muslim Free Zone’ but the case was dismissed.