Wednesday, November 16, 2016

KWANINI WAISLAM WANAPENDA KUWATUKANA WAKRISTO?


1. SIRI YA MATUSI KUTOKA KWA WAISLAM HII HAPA
2. MUHAMMAD NAYEYE ATOA LUGHA CHAFU KWA MTOTO YATIMA
Wakristo msishangazwe sana na matusi ya Waislamu.
Imekuwa ni kawaida sana kuona Waislamu wakitoa matusi mazito tena bila hofu kabisa, pale wanapoona hoja za Wakristo zimekuwa ngumu kwao, Lakini matusi hayo wanayatoa kwa kuwa Vinywa vyao, vimejaa Vijambo vya shetani, yaani Shetani hutanua makalio yake na kuwaachia mishuzi midomoni mwao, ambayo hupeleka kuwafanya waislamu watukane bila aibu, na ushahidi huo ameusema Muhammad mwenyewe mtume wa Waislamu.
WAISLAM WAMEJAMBIWA MIDOMO YAO NA SHETANI:
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kwa hivyo wenzetu hawa wapo katika himaya ya shetani, tusiwashangae sana bali tuzidi kuwapa Injili, Ili wazinduke waache kujambiwa midomoni mwao na shetani, maana shetani amewatawala sana, Licha ya kuwajambia midomoni, lakini pia, hujikita kulala katika tundu za pua zao waislamu.
SHETANI ANALALA KWENYE PUA ZA WAISLAMU:
Amesimulia Abu Huraira (r.a) Mtume (s.a.w) alisema “Mmoja wenu anapoamka kutoka usingizini, basa atawadhe na apandishe maji puani, na apenge mara tatu, kwa sababu shetani alilala ndani ya tundu za pua yake” (Bukhari, Hadithi na. 516, juzuu ya 4)
LAKINI PIA SHETANI HAISHI TU KUWAJAMBIA NA KULALA KATIKA TUNDU ZA PUA ZAO, bali pia huyafanya matako ya Waislamu, kama sehemu ya kujiburudhisha kwa michezo yake ya kupuliza,
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa hivyo sisi Wakristo tunalo jukumu kubwa sana la kuwafikishia Injili hawa watumwa wa shetani yaani Waislamu, Ili waache Kujambiwa na shetani, waache kufanywa vitanda vya shetani, Waachwe kufanywa sehemu ya michezo ya shetani kupitia matako yao.
MUHAMMAD AMTUKANA NA KUMLAANI MTOTO YATIMA
Nabii Muhammad alimtukana na kumlaani mtoto yatima aliye kuwa na Umm Sulaim (Ambaye ni mana ya Anas). Sahih Muslim, Book 032, Number 6297)
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhamaad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.
KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 11, 2016

KWANINI WAISLAM HAWANA FURAHA?


Nimetembelea nchi nyingi duniani. Waislamu hawana furaha! Huko Gaza, hawana furaha. Ukienda Misri, hawana furaha. Ukienda Libya, hawana furaha. Ukienda Morocco, hawana furaha. Ukenda Iran na Iraq, hawana furaha. Ukienda Yemen, Afghanistan na
Pakistan, hawana furaha. Ukienda Syria na Lebanon huko nako waislamu hawana furaha. Ukienda Somalia, ndio kabisa, waislamu hawana amani wala furaha!
Waislamu wana furaha huko Australia. Wana furaha huko Uingereza. Wana furaha huko Ufaransa na Italia. Wana furaha huko Ujerumani. Wana furaha huko Sweden, USA, Canada na Norway. Kwa ujumla Waislamu wenye furaha utawakuta katika nchi ambazo si za kiislam..
Lakini je, lawama zinatoka wapi? Wanamlaumu nani? Hawaulaumu Uislamu hata kidogo! ... wala hawaulaumu uongozi wao ... wala hawajilaumu wao wenyewe. Bali wanazilaumu zile nchi ambamo ndimo wanamoishi kwa amani na furaha. Wanataka kuzibadili hizo nchi ambamo wanaishi kwa amani na furaha kuwa kama zile nchi ambamo hawana furaha. Hebu wenye mang’amuzi mapana jaribuni kupata mantiki katika hili kwa mfano:
- Iwapo mtu anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ili kujipatia fedha haramu, lakini wakati huo huo kwa misingi ya dini, analaani unywaji wa pombe hadi anachoma vilabu vya pombe ... huyo ndiye Muislam safi..
- Iwapo mtu anamiliki bunduki yenye thamani ya $3000, mabomu ya gharama kubwa na rocket launcher yenye thamani ya $5000, wakati huo huo hana hata uwezo wa kununua viatu vya kuvaa...huyo ndiye Muislam.
- Iwapo leo hii kibaka yeyote ataapa na kutangaza kwa jina la Allah vita ya jihad, kisha akaanza kuiba mali za watu, kuua watu wasio na hatia, kuteka wanawake, kuwachukua utumwani na kuwabaka, huyo atakuwa ni Muislam!
- Iwapo mwendawazimu yeyote atasimama leo hii na kuwahamasisha watu kwa misingi ya kidini kuwa Televisheni na simu za mkononi ni hatari, wakati huo huo amebeba mabomu katika mavazi yake ... huyo ndiye muislam...
Lakini ukweli ni kwamba, Waislamu hawana furaha kwa kuwa walio wengi wamenaswa na giza la roho hizi za udanganyifu, chuki, fitna, visasi na mauaji, huku wakidhani kwamba hiyo ndiyo dini... lakini kumbe ni utumwa tu ambao unamkosesha mwanadamu furaha. Poleni sana wahanga wa imani za namna hii!
Wengi walionaswa na utando wa giza la namna hii, hawataki kuona mwanga wa ukweli kuhusu jambo hili. Utawasikia wakisema kwamba hoja za kweli kama hizi ni udini, kufuru, upumbavu, uchochezi wa kidini n.k... Hao ndio waislam halisi!

QURAN SIO MANENO YA ALLAH WALA MWENYEZI MUNGU


Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam wote duniani. Waislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti Quran yote ni maneno ya Allah. Unapo wauliza, huyo Allah aliwezaje ongea na Muhammad, wanabakia kimya na kuanza kukutukana. Zaidi ya hapo, leo nitawawekea ushahid tosha kuwa Quran sio maneno ya Allah.
Haya ungana nani kwa ushahidi:
SHETANI ANASEMA KWENYE QURAN
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Kwenye Surat Al Hijr, tumesoma kuwa Shetani ndie anazungumza katika hiyo aya ya 39. Kumbe basi, Shetani ni msemaji ndani ya Qurani.
HAPA TUNASOMA KUWA ZAKARIA NA YEYE NI MZUNGUMZAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam: Zakaria Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe.
Waislam, hivi Quran ni maneno ya nani?
Endelea kupata darasa hapa:
MARYAM NA YEYE NI MSEMAJI KATIKA QURAN
Surat Maryam aya 18: Maryamu akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
Waislam, mbona na Maryam anasema kwenye Quran? Au siku hizi Maryam amekuwa Allah? Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam.
MALAIKA NAO WANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 21: Malaika akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
Ndugu msomaji, kwanini Waislam wanapenda kusema uongo namna hii, eti Quran yote ni Maneno ya Allah? Mbona tunasoma viumbe wengine wakisema ndani ya Quran?
ISSA BIN MARYAM NA YEYE ANASEMA KWENYE QURAN
Surat Maryam aya 36: Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
Issa na yeye alisema kwenye Quran. Lakini Muhammad yeye hakuwai sema chochote kile kwenye Quruani wala kuzaliwa kwake hakukutajwa kwenye Quran. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa WAISLAM.
SWALI LANGU KWA WAISLAM NI DOGO SANA:
1. NI NANI MSEMAJI KATIKA QURAN?
2. QURANI NI MANENO YA NANI?
Mkiweza nijibu kwa aya na bila shari, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Waislam huwa wanasema kama huamni kuwa Quran ni maneno ya Mungu, basi teremsha aya kama za Quran, huku tukifahamu kuwa kuna aya nyingi ambazo wasemaji wake ni wengine na sio Allah.
Sasa, huu utata tunawaachia waislam waje hapa kutujibu bila ya kuweweseka.

QURAN NI MANENO YA NANI?

Karibu sana kwa Yesu aliye hai ambaye ndie NENO LA UZIMA.

Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Max Shimba Ministries Org.

IMAM NA FAMILIA YAKE WAMPOKEA YESU.


WAKIRI KUWA UISLAM NI DINI YA MASHETANI
IMAM KASEMA,, MAJINI NA MASHETANI NI YALE YALE.
IMAM ASEMA, KWENYE UKRISTO KUNA RAHA NA AMANI.
IMAM NA FAMILIA YAKE WAKIRI KUWA YESU NI MUNGU.

MPOKEE YESU SASA, USISUBIRI KESHO, UNAWEZA KUCHELEWA

MAMILIONI YA WAISLAM BARANI AFRIKA WANAMKIMBILIA YESU KRISTO ISIVYO KAWAIDA


“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja” (Mathayo 24:14).
Ukisoma kurasa mbalimbali za kwenye mtandao juu ya kukua kwa dini ya Kiislamu, utakuta wengi wanasema kwamba Uislamu ni dini inayokua kwa kasi sana. Je, hilo ni kweli? Ni jambo gani linaloonyesha ukweli wa hoja hiyo?
Lakini tunao ushahidi wa Neno la Kristo kwamba siku za mwisho (yaani hizi tulizo nao), Injili itahubiriwa ulimwenguni kote. Pia, Mungu Yehova anaahidi kuwa hizi ni siku za kumwaga Roho wake kwa wanadamu wote. Hakika hizi ni nyakati za Injili ya Yesu Kristo kusonga mbele na kushinda na kubomoa kila upinzani na ukuta uliojengwa na adui ili kuwazuia wanadamu kumjua Mungu wa kweli na Mwokozi pekee, Yesu Kristo.
Uzuri ni kwamba, hili si jambo la mwanadamu. Hii ni kazi ya Mungu, Muumba mbingu na nchi Yeye mwenyewe. Ukristo si kama dini zingine ambazo zinajipigania zenyewe. Ukristo ni kazi ya Kristo mwenyewe! Kuipinga kazi hii ni kupingana naye. Na kuikataa kazi hii ni kumkataa Yeye mwenyewe. Mamilioni ya Waislamu wametambua sasa ni wapi uzima uliko.
Je, ndugu msomaji, umeshaingia kwenye safina ambayo ni Yesu Kristo? Usikubali kuachwa nje ya safina. Hakuna wokovu kwa mwingine awaye yote ila kwa Yesu Kristo peke yake!
Suala si dini. Suala ni maisha ya amani na furaha na mafanikio hapa duniani na kisha uzima wa milele mbinguni baada ya maisha haya. Dini hazitusaidii lolote kamwe – iwe ni Ukristo au dini nyingine!
Kama ingekuwa ni kuhesabu mafanikio ya dini katika historia nzima ya mwanadamu, basi dini zimefanikiwa sana kuleta mafarakano, chuki na uhasama baina ya wanadamu. Hakika hicho ndicho ambacho dini zimefanikiwa kufanya! Lakini Yesu – ah Yesu! Bwana wa amani! Bwana wa upendo! Bwana wa uzima na uzima tele! Yeye ni njia, ni kweli, ni uzima! Dini bila Yesu ni kupoteza kila kitu …!
Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji Maher Abdallah wa kituo cha Al-Jazeera na Sheikh Ahmad Al Katani kuhusiana na suala la Waislamu milioni 6 kuingia kwenye Ukristo kila mwaka.
****************
Mtangazaji Maher:
Idadi ya Waislamu hivi sasa haizidi theluthi ya watu wa bara lote la Afrika. Hii inatilia maanani pia ukweli kwamba, sehemu kubwa ya Waislamu katika Afrika ni Waislamu wa Kiarabu. (Yaani ambao wanapatikana kaskazini mwa Afrika).
Ni wazi kuwa suala la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo kunakofanywa na Wakristo vimesaidia katika kugeuza hali hii ya mambo katika bara hili.
Katika kujadili mada hii, ninayo furaha kumkaribisha mtu ambaye ni mtaalamu wa suala hili la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo katika Afrika. Atalenga kwanza kuzungumzia zaidi suala la kuenea kwa Ukristo. Shekhe Ahmad Al Katani, rais wa Companions Lighthouse for Science in Libya, ambayo ni taasisi iliyojikita kwenye kusomesha maimamu na wahubiri wa Kiislamu.
Shekhe Ahmad:
Katika hali halisi, maneno haya (yaani ya Maher) hayasemi kikamilifu kile kinachotakiwa kusemwa. Kama tulivyosema mwanzoni, kila mtu anayo haki ya kuwakaribisha wengine kwenye dini yake; hiki ndicho kinachojulikana kama kuhubiri dini. Na kuhusu uenezaji wa Ukristo, hakuna mtu mwenye haki ya kuwatoa Waislamu nje ya dini yao, na umeuliza kuhusu rejea na rejea ziko nyingi sana.
Uislamu ulikuwa ni dini kuu ya Afrika na kulikuwa na lugha 30 za Kiafrika ambazo zilikuwa zikiandikwa kwa maandishi ya Kiarabu. Idadi ya Waislamu imepungua Afrika hadi milioni 316, ambapo nusu ya hao ni Waarabu wa Afrika Kaskazini. Kwa hiyo, katika eneo la Afrika ambalo tunalizungumzia, eneo lisilo la Waarabu, idadi ya Waislamu haizidi watu milioni 150. Tunapotambua kwamba Afrika ina watu bilioni moja, tunaona kwamba idadi ya Waislamu imepungua sana kutoka idadi iliyokuwapo mwanzoni mwa karne iliyopita.
Kwa upande mwingine, idadi ya Wakristo imeongezeka kutoka milioni moja mwaka 1902 hadi milioni 329, 882,000, au tuseme milioni 330 mwaka 2000.
Kila saa moja, Waislamu 667 wanaingia kwenye Ukristo. Kila siku moja, Waislamu 16,000 wanaingia kwenye Ukristo. Kila mwaka mmoja, Waislamu milioni 6 wanaingia kwenye Ukristo. Idadi hii ni kubwa sana.
Mwandishi Maher:
Hebu subiri kidogo. Unamaanisha ni Waislamu milioni 6 wanaingia kwenye Ukristo au wanaingia kwenye dini zingine?
Shekhe Ahmad:
Dini zingine haziwekwi kwenye kundi la kufanywa Wakristo; bali zinawekwa kwenye kundi la uinjilishaji. Dini nyingine katika Afrika ni upagani. Kwa hiyo ni Uislamu, Ukristo au upagani. Hakuna kitu kama kule Asia, kwa mfano, ambako kuna Ubudha au Uzoroasta. Kwa Afrika ni makundi haya matatu tu. Kwa hiyo, unapozungumzia kuhusu kuwafanya watu kuwa Wakristo, kunalenga dini nyingine pekee ya mbinguni, ambayo ni Uislamu.
*******************
Nini maana ya hali hii?
[Maelezo yangu mimi blogger]
Maandiko Matakatifu yako wazi kwamba: wa kwanza atakuwa wa mwisho (Mathayo 19:30). Ulaya na Marekani zilianza kuupokea Ukristo na kiwango kikubwa sana. Lakini hivi sasa wamemkataa Bwana Yesu na wanazidi kuzama zaidi na zaidi kwenye giza nene.
Afrika, ambayo ilikuwa katika giza nene la ibilisi la kutomjua Bwana huko nyuma, (kwa maana kwamba ilikuwa ya mwisho), katika nyakati hizi za mwisho, ndiyo inayokuwa ya kwanza. Nuru ya Injili inasambaa kama moto wa nyika. Na hili ni jambo linalotoka kwenye kiti cha enzi cha mbinguni kwenyewe kama nilivyosema hapo mwanzo.
Hata kama adui atajaribu kujiinua kwa kiasi gani, Neno la Bwana, kama kawaida yake, ni lazima litimie! Hata nukta moja haitaanguka hadi yote yatimie.
Ndugu msomaji, hebu jiulize mwenyewe, Ukristo haujawahi kushindana na mwanadamu ili kuwaingiza wanadamu kwa nguvu ndani yake. Haujawahi kushika panga wala bunduki ili kuwaingiza wanadamu kwenye imani hii! Sasa ni kitu gani kinachoufanya ukue kwa kasi namna hii? Mbona imani ya Kikristo ni imani ya upole, huruma, msamaha na maelewano lakini wakati huohuo inasonga mbele kwa kasi namna hii?
Bila shaka iko nguvu nyingine iliyo nyuma ya kundi hili. Nguvu hiyo ni Roho Mtakatifu, ambaye ni Mungu mwenyewe. Vita ya kanisa la Kristo siku zote imekuwa dhidi ya ulimwengu wa giza wa ibilisi. Na kwa sababu silaha zetu ni za kiroho (si za kimwili), hizo ni silaha za ushindi daima. Kanisa kamwe halishindani na wanadamu.
Bwana anatupenda sana wanadamu wake aliotuumba, ndiyo maana alikuja duniani na kuishi na kufa kwa ajili yetu. Mtu yeyote anayeshindana na Bwana hawezi kufika kokote. Tena ukichukulia kwamba mtu mwenyewe anashindana kwa silaha za kimwili dhidi ya silaha za kiroho!
Tafakari.
Jiulize.
Hoji mambo.
Chukua hatua.

ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE


الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Mwili, Mikono, Macho, Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO.


1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Mwili, Mikono, Macho, Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH ANAKAA KWENYE KITI KAMA VIUMBE


Katika Sura 69:17 Surat al-Haaqqah tunasoma maneno haya:
“Na malaika watakuwa kandoni mwake na malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola wako juu ya…”
Tena katika Sura 85:15 Syrat Buruj inamtaja Mungu wa Waislamu aitwaye Allah kuwa yeye ndiye mmiliki wa kiti cha enzi.
Swali ambalo napenda kuwauliza Waislamu wote Allah kumiliki kiti cha enzi. Je, kiti hicho anakifanyia nini? Huenda watu wakanishangaa. Nasema hivyo nikiwa na maana ya je, Allah naye anakaa katika kiti kama wakaavyo wanadamu? Je, ana miguu kama mwanadamu kama anakaa kama mwanadamu katika kiti cha enzi, basi haikosi hana tofauti na mwanadamu.
Angalia katika Sura ya 69: 44-45 Surat Al-haqqah twasoma.
“Na kama (mtume) angelizuia juu yetu baadhi ya maneno tu bila shaka tungalimshika kwa mkono wa kuume”.
Aya hii inaonesha kuwa Allah ana mkono wa kuume. Na kama Allah ana mkono wa kuume atakosaje mkono wa kushoto? Na kama Allah anasema atakosaje mdomo? Basi ondoeni dhana ya kwamba Allah hana mfano.
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Mwili, Mikono, Macho, Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH ANA MIKONO KAMA VIUMBE


وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Mwili, Mikono, Macho, Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW