h/t Nimrod
Friday, November 25, 2016
Palestinian Authority joins several countries to help Israel fight out-of-control wildfires
Times of Israel A team of firefighters from the Palestinian Authority will join Israeli efforts to combat the blazes around the country. So far, seven countries have sent planes, a helicopter and crews to help combat the fires across the country. Some 350 firefighters using 115 vehicles were working to contain the blazes in central and northern Israel.
Prime Minister Benjamin Netanyahu told journalists. “I want to thank the leaders of Russia, Italy, Greece, Croatia, Cyprus, Turkey, and now France [for their aid]. Another ten planes will arrive before midnight, including two large planes sent by President Putin.”
Netanyahu has also said that the US’s Evergreen Supertanker, the world’s largest firefighting plane, has been purchased from the US to help deal with the fires. The tanker, which is a converted Boeing 747, will arrive in 28 hours.
The PA’s director of civil defense, Maj. Gen. Yousef Nassar, said Thursday evening that fire crews were making final preparations before joining international and Israeli firefighters.
The official said that the PA made contact through the office of the Coordinator of Government Activities in the Territories, and will send fire crews to combat the blazes around the country, according to the official Wafa news agency.
JPost Arab social media networks on Thursday were rife with inflammatory celebratory reactions in light of the myriad of brush fires that have been blazing across central and northern Israel since Tuesday. “Tel_Aviv_IsBurning” was the most common Arabic hashtag trending on Arab social media platforms on Thursday morning.
“Good luck to the fires. #Israel_IsBurning,” he wrote in an Arabic Twitter post accompanied by a smiling face icon and various photographs of the daily fires across the country.
One of the most proliferous tweets was published by a police officer in Abu Dabi that read “Israel has prevented the amplified calls to prayer, and then it was engulfed in fire.”
In addition, social media networks in Egypt, Jordan and the Gulf emirates were also saturated with posts that indicated that the fires were nature’s retribution over an controversial Israel bill to ban outside loudspeakers from places of worship, such as the likes used in the five-time daily call to prayer by mosques.
ITALY: Explosions at Muslim invader center in Turin, violence between locals and African Muslim illegals shuts down city
Violence erupted outside a former Olympic village accommodation in Italy where 1,300 Muslim invaders are being housed. Long-standing tensions between local residents and Muslims broke out last night when two explosions were set off just outside the migrant centre in Turin.
UK Express The powerful explosions were strong enough to shake windows of nearby houses, according to local residents.
In the morning, a group of around 300 African Muslims blocked the main road outside of the housing block. They also smashed road signs and parked cars while other shouted at the Italian locals According to locals, Muslims told passerbys they were “Italian racists” as traffic was brought to a standstill outside the accommodation.
Footage from nearby witnesses last night captured the Muslims hurling stones and bottles at riot police. Residents also locked themselves in shops to avoid being hit by missiles.
One witness told La Stampa: “We were already in bed when there was an explosion outside these buildings. They shook the shutters and the windows. “Then a group of people ran out screaming. We were afraid, not for us adults, but for our children.”
Another local resident said: “Until yesterday we were just fed up with this situation of lawlessness. Now we really fear.”
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA SITA)

Falme zenye nguvu zilitokea na Kupita, na falme zenye nguvu zitatokea na Kupita lakini Mwisho wa Siku Mungu atausimamisha Utawala wake ambao hautapita kamwe nao utadumu milele hata Milele. Mungu ndiye Mfalme Mkuu naye amempa Kristo Mwana wake kuwa na Mamlaka yote ya Mbinguni na ya duniani.
Falme za duniani zina kiburi dhidi ya Mbingu na zinatawala kwa kiburi na kwa Kuiasi mamlaka ya Mungu zikifikiri kuwa zitadumu mulele, lakini zitapita. Yesu Kristo anakuja kukomesha falme zote za dunia na kusimika Ufalme wake ambao Utadumu hata milele na Milele. Ufalme wa Yesu ndio Lile Jiwe ambalo litakuja kuipondaponda ile sanamu na kuisagasaga na kisha kuwa mlima Mkubwa na kuijaza dunia yote.
Biblia yasema hivi;’-Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele. Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti. [Daniel 2:44-45]
Hata sasa Mungu ndiye atawalaye mataifa yote na amewawekea Muda wa kutubu na kumrudia yeye. Mkono wake ndio unaotawala siasa zote na mwenendo wote wa kimataifa. Yeye ndiye anayewashusha wafalme na kuwapa wale awapendao ufalme. Mataifa makuu yanatenda dhambi na kumpuuza Mungu walakini Biblia yasema kuwa Kristo atakuja kuuadhibu ulimwengu na kuwaokoa wenye haki na kusimika ufalme wake wa haki na wa milele.
Biblia yasema hivi;’-Dunia hii itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; maana Bwana amenena neno hilo. Dunia inaomboleza, inazimia; ulimwengu unadhoofika, unazimia; watu wakuu wa dunia wanadhoofika. Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa; kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele. [Isaya 24:3-5].
Kristo atakuja ili aitetemeshe mno dunia walakini watu wa Mungu wataokolewa na kupewa Ufalme na kutawala Milele hata milele pamoja na Kristo. Biblia yasema hivi;’-Na watu wataingia ndani ya pango za majabali, na ndani ya mashimo ya nchi, mbele za utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia. Siku hiyo kila mtu atazitupilia mbali sanamu zake za fedha, na sanamu zake za dhahabu, walizojifanyia ili kuziabudu, kwa fuko na popo; ili aingie ndani ya pango za majabali, na ndani ya tundu za miamba iliyopasuka, mbele za utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia. [Isaya 2:19-21].
Walakini kuhusu watakatifu Biblia yasema hivi;’-Na ufalme, na mamlaka, na ukuu wa ufalme, chini ya mbingu zote, watapewa watu wa watakatifu wake Aliye juu; ufalme wake ni ufalme wa milele, na wote wenye mamlaka watamtumikia na kumtii. [Daniel 7:27]
SWALI:
Kwa nini Daniel 2:4b-7:28 iliandikwa Kiarami wakati Daniel 8:1-12:13 iliandikwa Kiebrania?
Kwa nini Daniel 2:4b-7:28 iliandikwa Kiarami wakati Daniel 8:1-12:13 iliandikwa Kiebrania?
Danieli au katibu wake mmoja au zaidi aliweza kuandika kwa lugha yeyote aliyoona nzuri zaidi; hakuna kitu chochote kitakatifu zaidi katika lugha ya Kiebrania. Hatufahami sababu ya waandishi wanadamu kuchagua kuandika namna hii. Sababu mojawapo inaweza kuwa kwamba sura za kwanza zilihusu mataifa yaliyopo Mashariki ya Kati, wakati sura za mwisho ziliwahusu Wayahudi.
Ezra 4:8-6:18 na 7:12-26 pia zimeandikwa Kiarami. Pia zingatia kuwa Danieli sura za 1-6 zimeandikwa kwa kutumia nafsi ya tatu, wakati Daniel 7:2 inaanza na nafsi ya kwanza.
Ezra 4:8-6:18 na 7:12-26 pia zimeandikwa Kiarami. Pia zingatia kuwa Danieli sura za 1-6 zimeandikwa kwa kutumia nafsi ya tatu, wakati Daniel 7:2 inaanza na nafsi ya kwanza.
Sehemu iliyoandikwa Kiarami inaanza mara moja baada ya "kumjibu mfalme kwa Kiarami." Kitabu hakirudi kwenye Kiebrania hadi Daniel 8:1.
SWALI:
MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA TANO)

Je! Uislam unahusiana vipi na namba 666?
Kulingana na kitabu cha mwisho cha Biblia, 666 ndiyo nambari, au jina, la yule mnyama-mwitu aliye na vichwa saba na pembe kumi anayepanda kutoka katika bahari. (Ufunuo 13:1, 17, 18) Mnyama-mwitu huyo anawakilisha mfumo wa kisiasa wa ulimwenguni pote, ambao unatawala juu ya “kila kabila na watu na lugha na taifa.” (Ufunuo 13:7) Jina 666 linaonyesha kwamba kwa maoni ya Mungu mfumo wa kisiasa umeshindwa kabisa. Linaonyeshaje hivyo?
Uislam umejengeka kupitia kitabu cha Qurani. Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na aya 6666, walimu wengine wanasema kina aya 6236. Wengine zaidi wanasema ni 6204 au 62203! Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita.
(1 Yohana 2:18) Neno “mpinga-Kristo,” linalotokana na neno ya Kigiriki linalomaanisha “dhidi ya (au badala ya) Kristo,” linafafanua mtu yeyote anayefanya mambo yafuatayo:
Anakataa kwamba Yesu ndiye Kristo (Masihi) au anakataa kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.—1 Yohana 2:22.
Anampinga Kristo, Mtiwa-Mafuta wa Mungu.—Zaburi 2:1, 2; Luka 11:23.
Anajifanya kuwa Kristo.—Mathayo 24:24.
Anawatesa wafuasi wa Kristo, kwa kuwa Yesu huona mambo wanayotendewa kana kwamba ni yeye anayetendewa.—Matendo 9:5.
Lakini hii haitoshi, moja ya dalili kubwa kabisa za mpinga Kristo ni kuwaua na kuwafunga gerezani wafuasi wa YESU.
Qruan imeagiza kwamba kama mtu ni mwislam kisha akaamua kuuacha Islam, mtu huyo auawe maana amekuwa kafiri! Quran 9:14 , 47:4.
Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za wakristo, wakichoma moto mahekalu. Mfano: Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu dar es salaam na sehem zingine. Quran 9:29, 61:9-11"
Kwa sura hii moja kwa moja uislamu ndiye mpinga kristo.!
Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini hawachomi moto nyumba za waganga wa kienyeji, lakini wanashughulika na wakristo tu! Ni kwa sababu kazi ya mpinga Kristo sio kuwasumbua watu ambao wako chin ya shetani, Bali ni kuwataabisha wafuasi wa YESU na kuhakikisha hawaendelei kuwepo duniani. Quran 9:73, 9:123,
Rafiki, tuko katika dunia ya shida. Na hizi ni nyakati za mwisho, kaza mwendo ukimtazama Bwana maana siku zetu hazikawii kuisha. Mungu akupe nguvu za kuweza kushindana siku ya uovu kwa Jina la YESU.
Kulingana na Maandiko mpinga Kristo ni mtu yoyote anayepinga kuwa YESU NI MWANA WA MUNGU Aliyekuja katika mwili na kufa msalabani kwa ajili ya kuwa komboa watu.
Wote tunajua kuwa Dini zote zisizo za kikristio zikiwemo Uislamu, Mabudha, Wahindu hizi zote ni dini wapinga Kristo kwa imani ya kikristo. Je vipi kuhusu dini za kikiristo?
1.Yohana 4;9Katika hili pendo la Mungu kwetu, Kwamba Mungu amemtuma Mwanae pekee ulimwengu upate uzima kwa yeye
Hii ni kudhibtisha kuwa ni kweli Mungu alimtuma Mwanae wa pekee aukombomboe Ulimwengu hivyo huu ni ukweli kuwa Mungu alikuwa na Mwana kabla ya kumtuma kuja kuzaliwa na Bikira Mariam.Hivyo kama angalikuwa hana Mwana asingaliweza kumtuma kuja hii ina dhibitisha Yesu Kristo alikuwepo hapo Mwanzo kabla hajazaliwa na Bikra Mariamu. ina thibitishwa na Andiko hili.
Yohana 17;5 Na sasa Baba,Unitukuze mimi pamoja nawe ,pamoja nawe ,kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Andiko hili linadhibitisha kuwa Yesu Kristo alikuwepo kabla ya Ulimwengu kuwako .Hii inathibitisha kuwa kulikuwapo MUNGU BABA NA MUNGU MWANA wakiishi pamoja katika Utukufu.Hii ni kudhibitisha ROHO MTAKATIFU MUNGU BABA alimzaa ROHO MTAKATIFU MUNGU MWANA kabla ya kuumbwa kwa vitu vyote na kwa kwa kupitia MUNGU MWANA kila kitu kiliumbwa kupitia YEYE.
Yohana 1.3Vyote vilifanyika kwa huyo;wala pasipo yeye hakukufanyika kitu chochote kilichofanyika.
Nakushauri kwa nguvu kuwa USOME BIBILIA iliuweze kuujua ukweli huu wa MUNGU.
Nakushauri kwa nguvu kuwa USOME BIBILIA iliuweze kuujua ukweli huu wa MUNGU.
Kuzaliwa Kwa Yesu katika Roho Mtakatifu ulikuwepo kabla ya Misingi ya Ulimwengu huu kuwepo hapo Mwanzo.
Biblia inasema kwamba watu hupata ile “alama ya yule mnyama-mwitu” kwa sababu wanamfuata “kwa mshangao,” kufikia hatua ya kumwabudu. (Ufunuo 13:3, 4; 16:2) Wanafanya hivyo kwa kutukuza nchi yao kutia ndani nembo zake na uwezo wa kijeshi, kufikia hatua ya kuabudu mambo hayo. Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema hivi: “Utaifa umekuwa dini kuu katika ulimwengu wa leo.”
Mtu anapewaje alama hiyo ya mnyama-mwitu juu ya mkono na paji la uso wake?
Waislam wana alama ya weusi kwenye paji za uso wao. Alama hii wanaipata kwa kugongesha au sugua paji za uso wao wakati wanamwabudu yule mnyama anaishi ishi Makka. Kumbuka, Waislam wanaelekeza sura zao kule Makka.
Leo umejifunza kuwa, Uislam ndio dini ya mpinga Kristo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA SITA)

YESU ALISEMA PENDENI ADUI ZENU, WAKATI ALLAH ANASEMA WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI
Yesu hakuwachukia watu ambao walikuwa wanampinga, lakini aliwapenda na kuwaombea, kinyume na maamrisho ya Allah kwa Waislam wote. Soma Mathayo 5:44. lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.
Sasa Msome Allah anavyo panda chuki kwa wafuasi wake. Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
YESU NI MUNGU.
ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)
Kwanza Qruani inajua kabisa kwamba Allah wake hakuumba Mbingu na Nchi! Kwasababu hii ndiyo maana hakuna aya hata moja ndani ya Qruani ambayo Allah wa Qruan anasema kwamba “Mimi ndiye niliyeziumba Mbingu na Nchi” bali utakutana na aya ikisema “Mwenyezi Mungu aliziumba mbingu na nchi”
SASA, kama Allah ni Mungu, kwanini anasema kuwa Mwenyezi Mungu kaumba mbingu na Nchi na HASEMI Mimi nimeumba Mbingu na Nchi?
Pia ujulikane kwamba kila kitu hutambulika kwa majina yake. Hata wanadamu hutambulika kwa majina ndipo mtu utapata kuelewa kwamba anayekusudiwa ni fulani. Mungu wa Biblia anaitwa Niko ambaye Niko, Yehova, Bwana wa Majeshi, Alfa na Omega. Lakini Allah wa Qruani jina lake ni Allah, sasa hoja inakuja hapa, KAMA Allah wa waislam na Mungu wa Wakristo ni mmoja:
1. Ni andiko gani katika Biblia linalosema kwamba Mungu jina lake ni Allah?
2. Pia ni aya gani ndani ya Qruani inayokubali kwamba Mungu jina lake ni Yehova?
Lakini katika kufanya utafiti nimegundua kwamba Allah si Mungu bali ni Shetani kwamujibu wa Qruani Surat Muhamad aya ya 15. Inasema hivi “Mfano wa pepo aliyowaandalia waja wake mwenyezi Mungu iko hivi, ndani yake kuna mito ya maziwa na mito ya ulevi wenye ladha kwa wanywaji. Humo watapata kuburudishwa kwa matunda ya kila namna na samahani kutoka kwa mola wao.” Lakini ukisoma Qruani hiyo hiyo Sura ya 5 aya ya 90, inasema hivi: “Enyi mlioamini bila shaka ulevi na kamari na kuombwa yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni uchafu na ni kazi ya shetani.”
Sasa rafiki yangu kwa mujibu wa aya hizi hebu fikiria; aya ya kwanza imesema Allah katika pepo yake kuna mito ya ulevi, lakini Qruani hiyo hiyo imesema ulevi ni kazi ya shetani, kama aya zenyewe ndizo hizi hoja yangu inakuja hapa:
Yeye Allah kama siye Shetani amepata wapi ulevi hali yakuwa ulevi ni wa shetani?
Lakini Biblia imesemaje kuhusu ulevi: Walevi na wachawi na wazinzi hawataurithi ufalme wa mbinguni. Mungu anasema katika isaya Ole wao waamkao asubuhi na kufuata ulevi. mpendwa kuwa macho hizi ni nyakati mbaya za Mpinga Kristo.
Leo tumejifunza tena kuwa, Allah sio Mungu bali ni Mpinga Mungu.
Hakika Allah aabudiwe na Waislam sio Mungu.
Katika Hudma yake
Max Shimba Ministries
YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA SABA)

YESU HAKUFUNDISHA KUPIGA WAZINZI MAWE
Yesu hakupiga watu Mawe na wala hakufundisha kuwa Wazinzi wapigwe Mawe kama ambayo inafundishwa kwenye dini ya Uislam. Msome Yesu hapa: Yohana 8: 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Lakini katika Uislam tunamsoma Muhammad akitoa amri ya kupigwa mawe mdhinifu: Volume 2, Kitabu 23, Namba 413:
Alisimulia 'Abdullah bin' Umar:
Alisimulia 'Abdullah bin' Umar:
Myahudi kuleta kwa Mtume Muhammad watu wawili Mwanaume na mwanamke ambao walikamatwa wakifanya uzinzi kinyume cha sheria za ngono. Mtume Muhammad aliamrisha wote wawili wapigwe mawe mpaka kifo, karibu na mahali pa sadaka ya sala ya mazishi iliyopo kando ya msikiti.
Hivyo basi Yesu hakuwa Muislam na hakupiga wazinzi mawe lakini tunamsoma Muhammad akipiga watu mawe na akifundisha kupigwa mawe kwa Wazinzi katika Uislam.
YESU NI MUNGU.
ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA PILI)

JE, MALAIKA MKUU WA YEHOVA NDIO YULE YULE WA ALLAH?
Ikiwa Allah ndiye Yehova, basi ni wazi kuwa malaika mkuu atakuwa mmoja pia. Ikiwa si mmoja hata malaika mkuu watakuwa tofauti.
Tuanze kuangalia Allah anavyosimulia katika Qurani naye anasema hivi
Qr. 81 au surat At-Takwyr 19-21 (Kukunja/jua litakapokunjwa)
Kwa hakika hii (Qurani) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu, mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.
Kwa hakika hii (Qurani) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu, mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.
Ufafanuzi wa aya hizi. ulio ndani ya Qurani unaelezea aya hizi 19-21, unafundisha hivi…….
Mjumbe mtukufu na mwenye kutiiwa huko mbinguni ni Jibrili, ambaye ndiye mkubwa wa malaika wote
SASA TUMWANGALIE YEHOVA:
JE, MALAIKA MKUU WA MUNGU YEHOVA NI NANI?
Yuda 1:9,
Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee
Yuda 1:9,
Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee
Hapa tunaona aya zinatufundisha waziwazi kuwa malaika mkubwa wa Mungu aitwae Allah anaitwa Jibril na Malaika mkuu wa Mungu wetu Yehova anaitwa Mikaeli.
Swali; Kwa kuwa Malaika hao ni tofauti, je, Allah ndiye Yehova? Kwa kujua zaidi tofauti ya malaika, jipatie nakala ya somo la: Malaika Jibrili na Gabrieli, je ni Malaika mmoja. Somo hilo tunalo, jipatie. http://www.maxshimbaministries.org/…/malaika-gabriel-wa-bib…
Mwanzo1:26-27
Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama, na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba. Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji:
Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama, na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba. Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji:
Je, Allah ndiye Yehova?
Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29,Yakobo 3:9).
Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29,Yakobo 3:9).
Pengine waweza kusema Je, Mungu amefanana na mimi kivipi? Jua kwamba Mungu ni Roho (Yohana 4:24) Naye alitupa pumzi (yaani roho ya uhai (Mwanzo 2:7) isitoshe Mungu ndiye Baba wa roho zetu (Waebrania 12:9) Mungu anasema Roho zetu ni mali yake (Ezekieli 18:4, Hesabu 16:22)
Leo tumejifunza kuwa Allah sio Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la YEHOVA.
FUATILIA SEHEMU YA TATU..................
Shalom
Max Shimba Ministries
Wednesday, November 23, 2016
YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA TANO)

YESU HAKUFANYA JIHAD
Yesu hakufanya Jihad kama ilivyo amri ya kila Muislam kufanya Jihad. Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui. Lakini Yesu alisema yafuatayo kuhusu kupigana: Yohana 18: 36 Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.
Katika aya hapo juu, Yesu anatufundisha kuwa Ufalme wake si wa hapa Duniani bali Mbinguni, hivyo basi hawezi kufanya Jihad kama Allah alivyo waamrisha Waislam. Yesu hakuwa Muislam na hakufanya Jihad.
YESU NI MUNGU.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...



