Friday, November 25, 2016

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA SITA)


YESU ALISEMA PENDENI ADUI ZENU, WAKATI ALLAH ANASEMA WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI
Yesu hakuwachukia watu ambao walikuwa wanampinga, lakini aliwapenda na kuwaombea, kinyume na maamrisho ya Allah kwa Waislam wote. Soma Mathayo 5:44. lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.
Sasa Msome Allah anavyo panda chuki kwa wafuasi wake. Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
YESU NI MUNGU.

No comments:

WHY CHRISTIANS EAT PORK

  WHY CHRISTIANS EAT PORK A Comprehensive Exegetical and Theological Defense of Christian Dietary Liberty in Response to Islamic Objections ...

TRENDING NOW