Sunday, November 27, 2016

ALLAH KWA KIEBRANIA MAANA YAKE NI LAANA “CURSE”




Ndugu msomaji,
Je, hili limetokea kwa bahati mbaya?
Isaya 24: 6 Ndiyo sababu laana [“alah”] imeila dunia hii, na hao wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia, ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea, watu waliosalia wakawa wachache tu.
Huu uvumbuzi ulieleweka baada ya kuangalia neno la Kiebrania la “LAANA –CURSE”- linatamkwa kwa Keibrania “alah” sawa sawa na Allah wa kwenye Quran. Nilifanya uchunguzi zaidi kuhusu na kulinganisha neno la Kiebrania “ALAH” na la Kiarabu Allah; yote yapo sawa, isipokuwa tofauti ndogo ya ongezeko la “L” kama ifuatavyo:
אלה , alah (“curse = laana” in Hebrew) na الله , Allah (“mungu katika Kiislamu”), wakati:
א = aleph (Heb) ni sawa sawa na ا = alif (Arab), au “A” katika Kiingereza
ל = lamed (Heb) ni sawa sawa na ل = lam (Kiarabu), au “L” katika Kiingereza; “Allah” ina “L” mbili katika Kiarabu na kiislamu
ה = heh (Heb) ni sawa na ه = ha (Kiarabu), au “H” katika Kiingereza
Inashangaza sana neno la Kiebrania la “laana” na neno la Kiarabu la “Allah” sio tu yanatamkwa vilevile bali yana maana ileile.
Kuna wazo linaitwa “the law of first occurrence” (labda lipo zaidi kama sharia Fulani) ambapo unapo weza kuona neno Fulani huwa linaweza kukusaidia katika na au kivipi neno la Mungu lina maanisha.
Katika kuchunguza “curse –laana” (אלה , alah), neno hilo limeonekana katika Hesabu 5 ya ‘the adultery test’, Njia ya Mosaiki ya kuangalia ukweli kuhusu mume au mke kama una kosa au la.
Kuna mwanzo wa neno “curse-laana” katika Kiebrania (arar); lilitumika kwa mara ya kwanza katika bustani ya Edeni Mwanzo Mlango wa 3 aya ya 14 na 15:
Mwanzo 3: 4 Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umeLAANIWA wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
KWA MARA YA KWANZA “laana” ilitumiwa kwa Nyoka ambaye ni Shetani; labda tuangalie kwa makini, kama ALLAH inamaanisha LAANA katika Kiebrania, naamini sio kosa tukiendelea kumhusisha Allah wa Waislam katika hili neno LAANA.
Strong’s Concordance namba 422 nayo inakiri kuwa neno la Kiebrania lenye maana ya laana ni ALAH. http://biblehub.com/hebrew/422.htm

Saturday, November 26, 2016

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TATU)





ALLAH NA WOTE WANAOMWABUDU WATAISHIA JEHANAM.
Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?
Tunajua kuwa Wakristo tutaishi na Mungu wetu Yehova milele (tazama 1Thesalonike 4:13-17 na Ufunuo 21:3-7). Hivyo Mungu wetu hana mwisho ni wa milele. Lakini tunaposoma Qurani na Hadithi za Muhammad, mtume wa Waislamu tunaona mafundisho haya…
Quran 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo) yasema, Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu
Quran 6 Surat Al An-Am 128 (Sura ya wanyama)
Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (awaambie) "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu" na marafiki wao katika wanadamu
(watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema: "moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele.. katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni.
Je Allah naye ni vipi?
Tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:
Quran 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha
Hadithi hii ya Anas inasomeka hivi:
Na Allah atasema Je, kuna wa ziada (kuja)? Nayo Jehanam itamuuliza Mwenyezi mola, wakisema je, kuna waziada (kuja)? hadi Mwenyezi Mungu atakapouweka mguu wake ndani ya moto wa jehanam na kisha moto utasema, YATOSHA!
Katika aya hii tunaona Allah mungu wa Waislamu anaiuliza Jehanamu kama imejaa, nayo Jehanamu itamuuliza Allah je, kuna zaidi. Yaani swali hili linaonyesha kuwa Jahanamu ilikuwa bado haijajaa, Maelezo ya Hadithi hii inadhibitisha kuwa Allah ataingiza mguu katika Jahanamu na ndipo Jahanamu itakaposema kuwa inatosha! Inatosha!, yaani imejaa kwa tendo la Allah kuingiza mguu wake humo. Jambo hili ni tofauti kabisa na ilivyo kwa Mungu wetu Yehova., Mungu wetu ameiweka jahanamu maalum kwa ajili ya watu wabaya, na ibilisi, pamoja na malaika zake. Tafadhali soma aya hizi; Mathayo 25:41,46, Ufunuo 20:10, 21:8.
Aya hizi zote zinaonyesha kuwa mwisho wa wabaya, Ibilisi na malaika zake ni katika ziwa la moto. Swali kwako Ndugu mpendwa,
Je, Allah ni nani?
Ni matumaini yangu kuwa umeweza kujua kwa undani kupitia Qurani na Biblia na vitabu vya Hadith za mtume wa Waislamu aitwae Muhammad kuwa Allah Sub-Haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Siyo Yehova Mungu tunaye muabudu Wakristo.
Unapoijuwa hii kweli ukiwa Muislamu nakuomba kwa neema yake Kristo Bwana wetu umpokee KRISTO YESU maishani mwako ili uweze kuitoroka ibada ya shetani na kujiokoa nafsi yako na mauti ya milele………
Karibu kwa Yesu Kristo wetu.
Ufunuo 3:30 Yeye anasimama mlangoni kwako anabisha!!!
Usichelewe kumfungulia.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA SABA)


Siku Moja Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa sana ya dhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Kisha akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, ambayo aliyoisimamisha.
Akamwamuru mpiga mbiu kwamba awapigie kelee watu wa kabila zote na taifa na lugha kwamba wakati watakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, lazima kuanguka na kuiabudu sanamu ya dhahabu, ambayo mfalme Nebukadreza ameisimamisha. Ikatolewa tangazo kwamba kila mtu asiyeanguka na kuabudu atatupwa saa iyo hiyo katika tanuru ya moto uwakao.
Hivyo Basi watu wote chini ya Mbingu walipoisikia sauti ya panda na filimbi, na kinubi na zeze na namna zote za ngoma wakaanguka kuisujudia ile sanamu ambayo Mfalme aliisimamisha. Lakini Marafiki zake Daniel ambao ni Shedrak na meshak na Abednego walikataa kuisujudia ile sanamu ya mfalme wakawa wakali wamesimama. Ndipo wakaldayo wakawashtaki hao wayahudi watatu kwamba wameikaidi amri ya Mfalme.
Mfalme aliposikia alikasirika sana. Akaamuru watu hao waitwe naye akawaambia hivi;”- Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, je! Ni kwa makusudi hata hammtumikii mungu wangu wala kuisujudia sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuru iwakayo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi na mikono yangu?
Wakina Shedrack na Meshak na Abednego wakamjibu mfalme kwamba hawataisujudia sanamu aliyoisimamisha mfalme na Kwamba Hata kama Mungu akiwaokoa ama la hawataisujudia ile sanamu kamwe. Mfalme alikasirika sana akaamuru Moto uchochewe mara saba na kisha akaamuru mashujaa wa jeshi lake wawafunge Wayahudi wale watatu na kisha kuwatupa katika lile tanuru la Moto. Ndipo wayahudi wale watatu wakatupwa katika lile tanuru la Moto hali wamefungwa.
Cha ajabu ni kwamba wale waliowatupa waliungua wakafa papo hapo walakini wale wayahudi watatu waliotupwa hawakuungua hata unywele tu na Moto haukuwa na Nguvu juu yao. Mungu alimtuma Mwana wake kuwaokoa akina Shedrack na Meshak na Abednego, na Mfalme alipoliangalia tanuru aliona watu wane badala ya watatu na yule wa Nne ni kama Mwana wa Miungu.
Ndipo mfalme akaamuru watu wale watolewe. Mungu aliwatukuza wale Marafiki zake Daniel mbele ya mfalme mpagani na watu wa babeli.Mfalme akaona ukuu wa Mungu na akamtukuza Mungu wa Mbinguni na kuamuru kuwa watu wote katika ufalme wake wasimtumikie Mungu mwingine isipokuwa Mungu wa Shadrak, meshak na Abednego.
Kisa hiki kinatufundisha kuwa imetupasa kuwa waaminifu kwa Mungu bila kukengeuka hata nukta ya maagizo yake hata kama kwa kufanya hivyo itaugharimu uhai wetu. Imewapasa watu wa Mungu waone kuwa ni bora kufa kuliko kuasi maagizo ya Mungu. Walakini Mungu aliyewaokoa wale wayahudi watatu atakuwa pamoja na watu wake naye atawaokoa wale wote walio waaminifu kwake.
Siku Moja Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa sana ya dhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Kisha akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, ambayo aliyoisimamisha.
Akamwamuru mpiga mbiu kwamba awapigie kelee watu wa kabila zote na taifa na lugha kwamba wakati watakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, lazima kuanguka na kuiabudu sanamu ya dhahabu, ambayo mfalme Nebukadreza ameisimamisha. Ikatolewa tangazo kwamba kila mtu asiyeanguka na kuabudu atatupwa saa iyo hiyo katika tanuru ya moto uwakao.
Hivyo Basi watu wote chini ya Mbingu walipoisikia sauti ya panda na filimbi, na kinubi na zeze na namna zote za ngoma wakaanguka kuisujudia ile sanamu ambayo Mfalme aliisimamisha. Lakini Marafiki zake Daniel ambao ni Shedrak na meshak na Abednego walikataa kuisujudia ile sanamu ya mfalme wakawa wakali wamesimama. Ndipo wakaldayo wakawashtaki hao wayahudi watatu kwamba wameikaidi amri ya Mfalme.
Mfalme aliposikia alikasirika sana. Akaamuru watu hao waitwe naye akawaambia hivi;”- Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, je! Ni kwa makusudi hata hammtumikii mungu wangu wala kuisujudia sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuru iwakayo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi na mikono yangu?
Wakina Shedrack na Meshak na Abednego wakamjibu mfalme kwamba hawataisujudia sanamu aliyoisimamisha mfalme na Kwamba Hata kama Mungu akiwaokoa ama la hawataisujudia ile sanamu kamwe. Mfalme alikasirika sana akaamuru Moto uchochewe mara saba na kisha akaamuru mashujaa wa jeshi lake wawafunge Wayahudi wale watatu na kisha kuwatupa katika lile tanuru la Moto. Ndipo wayahudi wale watatu wakatupwa katika lile tanuru la Moto hali wamefungwa.
Cha ajabu ni kwamba wale waliowatupa waliungua wakafa papo hapo walakini wale wayahudi watatu waliotupwa hawakuungua hata unywele tu na Moto haukuwa na Nguvu juu yao. Mungu alimtuma Mwana wake kuwaokoa akina Shedrack na Meshak na Abednego, na Mfalme alipoliangalia tanuru aliona watu wane badala ya watatu na yule wa Nne ni kama Mwana wa Miungu. Ndipo mfalme akaamuru watu wale watolewe. Mungu aliwatukuza wale Marafiki zake Daniel mbele ya mfalme mpagani na watu wa babeli.Mfalme akaona ukuu wa Mungu na akamtukuza Mungu wa Mbinguni na kuamuru kuwa watu wote katika ufalme wake wasimtumikie Mungu mwingine isipokuwa Mungu wa Shadrak, meshak na Abednego.
Kisa hiki kinatufundisha kuwa imetupasa kuwa waaminifu kwa Mungu bila kukengeuka hata nukta ya maagizo yake hata kama kwa kufanya hivyo itaugharimu uhai wetu. Imewapasa watu wa Mungu waone kuwa ni bora kufa kuliko kuasi maagizo ya Mungu. Walakini Mungu aliyewaokoa wale wayahudi watatu atakuwa pamoja na watu wake naye atawaokoa wale wote walio waaminifu kwake.
SWALI:
Kwenye Dan 2:38, nini inaweza kuwa ni sababu ya Danieli kusema kuwa Nebukadneza alitawala wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani?

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA NANE)


YESU HAKUFUNDISHA WATU WATAWADHE KABLA YA KUOMBA
Yesu hakufanya na au fuata sheria za kuosha na au kutawadha kama ambavyo Waislam wanafanya kila siku. Msome Yesu katika Mathayo 15:2-11. Lakini Allah anafanya mila za kuosha na au kutawadha mwili kabla ya kumwabudu. Quran 5:6. Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni. Na mkiwa na janaba basi ogeni. Na mkiwa wagonjwa au mmo safarini, au mmoja wenu ametoka chooni au mmewagusa wanawake, na hamkupata maji, basi tayamamuni vumbi lilio safi, na mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hapendi Mwenyezi Mungu kukutieni katika taabu; bali anataka kukutakaseni na kutimiza neema yake juu yenu ili mpate kushukuru.
Yesu hakuwa anatawadha kabla ya kumwomba Baba yake kama ilivyo katika Uislam. Yesu hakuwa Muislam.
YESU NI MUNGU.

MUNGU IBARIKI ISRAEL

GERMANY: Translator at migrant camp reveals that Muslim invaders are showing ‘pure hatred’ toward Christians and want the country to be Islamized


cxfpwi_wgaevwtqThe Arabic translator worked in a number of asylum centres across the country and went undercover to discover migrants were preaching ‘pure hatred’ about non-Muslims and women were planning to have more children to ‘destroy Christians’. She said the hostility is also visible at asylum homes, where Muslim children refuse to play with Christians. 

Muslim women say “We will multiply our numbers. We must have more children than the Christians because it’s the only way we can destroy them here”.’ They despise our country and our values,’ she said.


BULGARIA: 2,000 Muslim invaders attack police, set fire to largest illegal alien migrant center in the country


maxresdefaultLaw enforcement and riot police have been deployed to Bulgaria’s largest migrant and refugee camp, located in the town of Harmanli, after violence erupted in the center. 15 injured, over 200 arrested while inhabitants damaged the facility setting the premises on fire. Dozens of law enforcement officers were injured. 

aaf5b833743cd73f5bc5f474435e9c0d-jpg

RT  The Harmanli camp, which is the largest in the country, houses some 3,000 people, mostly from Afghanistan, according to Reuters. 

Some 250 police officers, firefighters and gendarmerie were deployed to the scene, local police spokeswoman Nina Nikolova told AFP. Protesters threw stones and other objects at law enforcement, who had to deploy water cannon to disperse the angry crowd.

583746dfc4618899588b469d

The migrants burnt car tires, and set mattresses and furniture alight in several of the camp’s buildings. Many structures, including a canteen and a new building which was supposed to open this week were damaged.

The riot was reportedly caused by a quarantine, with the Harmanli camp having been sealed off following reports of skin disease outbreaks among its Muslim residents. Migrants were protesting against the temporary restrictions on leaving the center.

Officials placed the facility under quarantine after locals from the nearby town staged a protest following reports that people from the camp carried communicable skin diseases. The head of the Bulgarian Refugee Agency, which runs the camp, later said reports of the infection were false and “artificially created tension.”

Bulgaria, the EU’s poorest member state, has toughened its border controls to decrease the flows of illegal migrants.

Friday, November 25, 2016

HUNGARY: Prime Minister Viktor Orban vows to send all Muslim illegals back to their countries of origin


Orban says he will not be dictated to by Brussels as far as whom they must admit to Hungary and he will not allow his culture to be changed by the influx of incompatible Muslim migrants.



CALIFORNIA Republican official under fire for anti-Muslim comments


oh0s7b-b88844876z-1-120161121172855000go5k5tq5-20Mary Young, an Orange County GOP official and volunteer to Donald Trump’s campaign, broadly attacked Muslims in a Facebook post, among other things writing in all capital letters, “I DO NOT WANT ANY TYPE OF MUSLIMS IN OUR COUNTRY, PERIOD!”

OC Register  The comments were promptly condemned by county ‘dhimmi’ Republican Party Chairman Fred Whitaker, who said they did not reflect the position of the local or national party — or the position of Trump. (But it reflects the position of most Americans)

maryyoung2

Young was elected by area Republicans to serve on the county GOP’s governing Central Committee. She cannot be removed from office by party officials, but Whitaker said the party’s executive committee would meet to determine the “appropriate response.”

Young’s comments, which the Laguna Niguel resident later deleted on Facebook, come at a time when some say that Trump has emboldened anti-immigrant and anti-Muslim incidents and comments. (No, he’s just made it OK not to be politically correct anymore)

Hussam Ayloush, executive director of the Anaheim office of the designated terrorist group CAIR (Council of American-Islamic Relations), said that recent reports of such hate incidents are the most since his group began tracking complaints. He said the national CAIR office has received 120 such complaints since the Nov. 8 election and that the Saudi-funded Southern Poverty Law Center, which tracks hate crimes, has tallied 700 around the country.

hussam-ayloush-800x450

He called on Young to resign from the Central Committee because of her Facebook comments. “It’s the very definition of anti-Muslim bigotry, which has been normalized and fueled by the Trump campaign,” Ayloush said. (Get used to it)

“CAIR Leader, Hussam Ayloush, Calls For Overthrow Of U.S. Government,” Hannity, November 11, 2016:

In a tweet (below) on Wednesday, Ayloush suggests an Arab Spring-like overthrow of the United States Government. According to Daniel Pipes of the Mideast Forum, “that second line is Arabic (“الشعب يريد إسقاط النظام‎‎”) for ‘The people wants to bring down the regime.’”



ayloush-tweet

WELCOME TO FRANCE: Muslims set fire to 26 cars in upscale neighborhood of Paris


I guess they didn’t get the message that the traditional day for Muslims to set fire to hundreds of cars in France is New Years Eve and sometimes Bastille Day.

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW