Tuesday, December 20, 2016

ALLAH AUMBA UCHAWI NA KUUTEREMSHA KWA NABII MUHAMMAD

Image may contain: one or more people and outdoor
Naam,
Huu ni Msiba Mkubwa sana katika taifa la Muhammad. Mara nyingi Wakristo wamekuwa wanajiuliza, hivi, uchawi ulitokea wapi na mwanzo wake ni nani?
Leo Quran inakujibu kuwa Uchawi ULIUMBWA NA Kuteremshwa na Allah, HIVYO BASI wachawi nambari moja ni Waislam. Nafahamu unafikiri kuwa Max Shimba anawasingizia Waislam au sio?
Hapa inafaa tufahamishane kuwa ushirikina ni jambo ovu linamtia mtu motoni. Kwenda kwa wachawi, wapiga ramli ni katika ukafiri na ushirikina.
Hebu soma Ushahid huu wa Quran:
SURAT TAHA: 73. Hakika sisi tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio tulazimisha kuufanya. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mbora na Mwenye kudumu zaidi.
Kwenye Surat Taha ayat 73 kama ilivyo teremshwa Makka kwa Muhammad na kutafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani inasema kuwa ALLAH ANAWALAZIMISHA WAISLAM KUUFANYA UCHAWI. Huu ni msiba ndugu zangu. Swali la kujiuliza, hivi, tokea lini Mungu akawa mchawi? Hivi huu uchawi ulio teremshwa na Allah unafaida gani kwa Wislamu?
Hebu tuingalie tafsir ya pili ya Surat Taha aya 73 kama ilivyo tafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin inasema: 73. Kwani hakika sisi ni wenye kusimama juu ya Imani kumuamini Mola wetu Mlezi wa Haki, ili atufutie madhambi yetu yaliyo pita, na atusamehe huku kushughulikia uchawi ulio tulazimisha tujifunze na tuufanye! Na Mola wetu Mlezi ni Mbora wa malipo kuliko wewe, akit'iiwa; na ufalme wake na uwezo wake kulipa unadumu zaidi kuliko wako.
1. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kujifunza Uchawi
2. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kuufanya Uchawi.
Ndugu msomaji, leo sina mengi ya kusema maana umesoma Mwenyewe kutoka Quran kuwa Allah aliteremsha uchawi na kawalazimisha Waislam wajifunze na kuufanya uchawi.
Nawashauri Wakristo wenye marafiki wa Kiislam wawe makini, maana huyo rafiki yako anaweza kuwa ndiye anaye-kuroga kwasababu kalazimishwa na Allah kufanya hivyo.
Nimenukuu quran aya ya 2:102 na maelezo/ufafanuzi wake hapo chini kutoka tafsiri mbili za quran (Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy na Tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani). Aya hii na maelezo/ufafanuzi wake inaonesha mambo yafuatayo:

WAIMBA NA WASIKILIZA TAARABU WOTE KUINGIA JEHANNAM


“Na miongoni mwa watu wapo wanaonunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha” [Luqmaan: 6]. Na Ibn 'Abbaas (Radhiya Allaahu 'anhuma) pia amesema kuhusu Aayah: ((Na miongoni mwa watu wapo wanaonunua maneno ya upuuzi)) "Ni nyimbo na maneno ya yanayofanana (ya upuuzi)" [Isnaad Sahiyh kutoka kwa Shaykh Al-Albaaniy].

WENYE KUIMBA/KUSIKILIZA MUZIKI WATAGEUZWA NYANI NA NGURUWE

Na akasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Watakuweko watu katika Ummah wangu watakaojaribu kuhalilisha zinaa, uvaaji wa hariri, pombe na muziki. Baadhi ya watu watakuwa pembeni mwa mlima na mchungaji wao atawajia jioni na kuwaomba haja [fulani]. Watasema: "Rudi kesho". Allaah Atawaangamiza usiku, Atawaangushia milima kisha Atawabadilisha waliobakia wawe nyani na nguruwe na watabakia hivyo hadi siku ya Qiyaamah))[Al-Bukhaariy] 

Hadiyth hii inatuthibitishia kuwa madhambi yote hayo yako sawa sawa uharamu wake, kama vile zinaa na pombe ilivyo haramu, basi na muziki pia haramu sawa sawa. 

Sasa vipi Muislamu aone kuwa muziki sio maasi makubwa ya kujiepusha nayo? 

Imaam Abu Haniyfah amesema: "Kuimba (nyimbo, ngoma) ni katika madhambi makubwa ambayo inatakiwa Muislamu kujiepusha nayo haraka" Khofu zaidi imuingie Muislamu kuwa anaweza kupata adhabu ya kugeuzwa nyani au nguruwe kwa maasi haya kama tulivyoonywa katika Hadiyth ifuatayo: 

Na kasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Watu katika Ummah wangu watakunywa pombe wakiipa jina jengine lisilokuwa hilo, miziki itapigwa kwa ajili yao na watakuweko waimbaji wanawake. Allaah Atawadidimiza ardhini na Atawageuza wawe nyani na nguruwe)) [Ibn Maajah na Shaykh Al-Albaaniy ameipa daraja ya Sahiyh]

POLENI SANA WAISLAM MAANA ALLAH HAPENDI MUZIKI WA TAARAB WALA MUZIKI WA BONGO FLEVA

Shalom,

Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UDHAIFU WA DINI YA KIISLAM


1. Waislam hawana Kitabu cha Taurat.
2. Waislam hawana Kitabu cha Zaburi.
3. Waislam hawana Kitabu cha Injili.

Kama kuna Muuislam anaye bisha, basi nileteeni nakala ya hivyo vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran.
Mkinipa nakala ambayo Allah anadai aliteremsha kwa Musa au Daudi au Yesu, basi leo hii MIMI MAX SHIMBA NITASILIMU NA KUWA MUISLAM.

Kumbuka mimi sina muda na aya zenu za Quran maana Quran ilikuja baadae. Mimi mniletee nakala ya hivyo vitabu kabla ya kuzaliwa Muhammad.
NATAKA KUSILIMU.

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

SHEHE NA FAMILIA YAKE WAOKOKA

Image may contain: 1 person, standing


WAONGOZWA SALA YA TOBA/WOKOVU NA MCHUNGAJI PETER MITIMINGI.
Pastor Peter Mitimingi, akiongea jambo kwenye Karakana ya VHM (Voice of Hope Ministr),
Yesu, anaokoa , Yesu anasamehe, njoo kwake upate Uzima wa Bure!!.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH NA MUHAMMAD WAMEMKOPIA MTUME PAULO





1. Quran imegezea Biblia kwa asilimia kubwa.
2. Allah hakuteremsha Wahyi kwa Muhammad.
3. Mtume Paulo ni akbar
Huu ni msiba Mkubwa sana.
Ila Biblia ni kitabu cha vitabu ambacho hakija copy wala hakitoi rejea ya vitabu, bali inajisimamia yenyewe.
UTHIBITISHO:
Quran
Imebeba taarifa zilizo katika Biblia. Mfano
Habari za Yusufu ambaye Biblia inamwongelea miaka 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul Yusufu)
Habari za familia ya Imran baba yao Musa, Haruni na Miriam, ambayo biblia inawaongelea miaka 3000 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul imran)
Habari za Yona mwana wa Mittai(Yunus bin Matta), ktk quran ipo sura yake nzima.
Ibrahimu baba wa imani, ambaye biblia inamwongelea miaka zaidi ya 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura inayoitwa sulatul Ibrahimu.
Bikira Maria, mama yake Yesu, ktk quran ipo sura yake inayoitwa sulatul Maryam
Habari za Elisha, Eliya, Daudi, Seleman, Haruni, Musa, Isaac, Yakobo, Ishamael, Enock, Lutu, Nimrod, Yethro, Zakaria, Yohana mbatizaji na Bwana Yesu Kristo.
Wote hao visa vyao vinapatikana katika Quran ingawa havina habari za kina juu yao km ilivyo ktk Biblia.
Waislam wanasema na kudai kuwa habari hizo muhamad alipewa wahyi(ufunuo) ila quran inabainisha kuwa alisimuliwa, maana huwezi pewa ufunuo kwa hbr zilizo bayana.
Quran inasema hivi....
Quran 4:164 Tuliwapelekea wahyi mitume tuliokuhadithia hbr zao zamani na mitume ambao hatukukuhadithia hbr zao na mwenyezi Mungu alimsemeza Musa.
Quran 40:78 Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengine ktk wao tumekusimulia(majina yao na hbr zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yeyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya mwenyezi Mungu.
👆👆👆 waliopewa wahyi ni mitume kabla ya muhamad, na hbr zao muhamad alisimuliwa na si wahy. Na kuna wengine Muhamad hakusimuliwa hbr zao, na ili uzipate sharti ufanye rejea ya biblia. Manabii km Daniel, Ezekiel, Yeremia, Mika, Samweli, Hosea, Ahiya, Malach, Debora, na wengine wengiii waislam hawawajui....sababu mtume wao hakusimuliwa habari zao.
Rejea katika Quran

KUMBE QURAN IMEJAA SHAKA NA HAIPO WAZIWAZI

Image may contain: meme and text
Je, madai ya kuwa Quran imekalika na ipo waziwazi ni ya kweli?
Allah ateremsha aya na kudai kuwa, Quran haijakamilika na haipo waziwazi.
Allah asema kuwa aya zingine ndani ya Quran hakuna ajua maana yake isipokuwa Allah.
Ndugu wasomaji;
Leo tutaangalia utata ulio jaa ndani ya Quran ambayo wanadhuoni wengi hudai kuwa imenyooka, huku Allah akiwapinga na kuteremsha aya ambayo inasema kuwa Quran haijanyooka na haipo waziwazi.
Kwanza tuanze kwa kuangalia aya ambayo inasema kuwa Quran ipo wazi na aya zake zimepambanuliwa ni uongofu kwa walio ongoka.
Surat HUD (11:1). Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka kwa Mwenye Hikima na Mwenye Khabari
Surat Al Anaam (6:114). Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka.
Surat An nah’k (16:89). Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa Waislamu Surah tulizo ziweka hapo juu, zinasema na kudai kuwa Quran imepambanuliwa na ni kitabu kilizo elezwa waziwazi. Ikimaanisha kuwa, unapoisoma Quran, hautapata maswali au kusoma utata katika aya zilizo teremshwa na Allah.
LAKINI HAYO MADAI, YANAPINGANA NA UTATA KATIKA AYA IFUATAYO INAYO DAI KUWA, NDANI YA KURAN KUNA AYA AMBAZO ALLAH PEKE YAKE NDIE ANAZO ZIFAHAMU

UISLAM SIO DINI YA HAKI


Ndugu zanguni, sijawai soma wala sikia Allah akisema yeye ni kweli, bali Waislam wao wanadai kuwa Uislam ni dini ya haki na sio dini ya kweli.
SASA WAISLAM:
1. LETENI AYA INAYO SEMA KUWA UISLAM NI DINI YA HAKI.
2. LETENI AYA INAYO SEMA KUWA UISLAM NI DINI YA KWELI.
Haki hupatikana hata Mahakamani kwa kuhongwa lakini huwezi honga Kweli. Kama unayo aya yeyote inayosema Uislam ni dini ya kweli, ilete hapa tuione.
Lete aya inayosema "Hakika dini ya kweli mbele za mwenyenzi Mungu ni uislamu uitoe hapa tusilimu". Ila huwezi simamia haki kama ndio kweli hebu ona mfano huu.
Watoto wawili wa Isaka Esau na Yakobo walifikia hatua wakauziana haki ya uzaliwa wa kwanza kwa chakula.
Dini ni lugha ya kiarabu maana yake ni njia au siku ya malipo soma Qur'an suratul fatihah 1:2-6. Utuongoze katika njia iliyo nyoka. Malik yaum din.
Na Qur'an 3:99 .....enyi mlio amini kwanini mnawazuilia watu na njia ya mwenyezi Mungu?
Je kama dini ni njia ya kuelekea kwa Mwenyezi Mungu. Njia hiyo ya kweli ni ipi?
Yohana 24:1-6 Yesu anasema; Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya Mimi.
Inamaanisha kwamba ukifuata njia ya Yesu kwanza ni ya Kweli. Pia ina uzima ndani yake na zaidi hakuna mwanadamu awaye yote anaeweza fika Mbinguni bila kufuata njia ya Kristo.
Swali hili hapa. Wapi Uislam ni njia ya kweli?
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Monday, December 19, 2016

TUNISIAN Muslim 13-year-old girl forced to marry the 20-year-old stepbrother who raped her


A Tunisian court has approved the marriage of a 13-year-old girl to a 20-year-old relative who made her pregnant.

UK Daily Mail  The unnamed girl was considered “fit for marriage” despite being two years under the age of consent and her step-sibling being in his 20s. 

A judge approved of their marriage last Tuesday relying on article 227 in the Tunisian Criminal Code which stipulates that while sex with a girl under 15 without the use of force is punishable by six years in prison, the culprit can halt proceedings by marrying the victim. 

Dozens of people staged a protest outside parliament on Wednesday, denouncing Article 227 as a ‘backward’ piece of legislation that should be revoked. 

CANADA: Two Muslim sisters hacked to death by their brother


Another case of Muslim “honor” killing or the left wing media’s favorite excuse “mental issues?”



BERLIN TRUCK JIHAD: 12 Dead, 50 wounded, truck appears to have been hijacked, suspect in custody reported to be a Pakistani (or Afghan) Muslim refugee


It is feared that the registered driver of the Polish truck which was likely hijacked by the Muslim jihadist might be the Polish national found dead in the passenger seat of the truck.

UK Daily Mail  The driver, who according to German newspaper Die Welt, was a refugee of Afghan or Pakistani heritage who had arrived in Germany in February, ripped off a mask as he was arrested. He is now being held in a police station under armed guard and officers remain at the scene

THE ISLAMIC STATE has allegedly claimed responsibility for the horrific Christmas market truck crash in Berlin.

Family members of the registered driver of the cargo truck that killed 12 when it careered into crowds at a Christmas market in Berlin fear he was kidnapped by the perpetrator and killed in the bloodbath. Police confirmed today that the truck was stolen from a construction site before the Nice-style massacre and a man found dead in the Polish-registered truck was from Poland.

Ariel Zielinski, the driver’s cousin and owner of the haulage firm he was working for, said he last spoke to him at midday but his wife was unable to reach him at 4pm – hours before the tragedy. Mr Zielinski, whose company is based in Gryfino in northwest Poland, told local news channel TVN24 today: ‘We haven’t heard from him since this afternoon. We don’t know what happened to him.’

Police have now confirmed that the person found dead in the cab at the scene was a Polish national but have not formally identified him.

TRENDING NOW