Saturday, March 4, 2017
UK MUSLIM male in a dress throws a hissy fit over an apparently minor fender-bender
Breitbart (h/t Emma) The video shows shows the aftermath of an apparent minor traffic incident where the foaming-at-the-mouth Muslim (below) called the other driver with a heavy Polish accent a “pig” and “son of a bitch.” The woman filming the incident was spat at and assaulted by the by foaming-st-the-mouth Muslim.(It figures…the Muslim chose to attack a woman instead of the male driver)
Friday, March 3, 2017
YESU NI MUNGU PAMOJA NASI

YESU ALIPOKUWA DUNIANI ALIKUWA EMANUELI (MUNGU PAMOJA NA WANADAMU).
Mathayo 1:23-25 “Tazama; bikra atachukua mimba; naye atazaa mwana;nao watamwita jina lake Emanueli; yaani ,Mungu pamoja nasi”.Tabia ya Yesu inaonyesha kuwa kama mwanadamu,kuzaliwa kwake kwa uwezo wa Roho mtakatifu.Hapa tunaona jinsi alivyo na uwezo wa tofauti na wanadamu akiwa anafahamu mambo yote kabla akiwa duniani..Yeye pia ajua yote yaliyomo ndani ya moyo wa mwanadamu (Yohana 6:64,Yohana 13:1,Yohana 13:11,Yohana 18:4,Yohana 19:28).
Tena Yesu alitabiri kabla jambo kutokea,pia alijitabiria mwenyewe yatakayomtokea mbele (Marko 8:31,Luka 9:22, Luka 12:50, Luka 22:37, Luka 24:7-26, Yohana 3:14,Yohana 10:17-18,Yohana 7:33, Yohana 13:33, Yohana 14:28, Yohana 17:11, Yohana 16:5,10,16,18 ).
Yesu aliabudiwa na kusujudiwa akiwa hapa duniani,Sifa ya kuabudiwa na kusujudiwa ni ya Mungu pekee hivyo Yesu ni Mungu.(athayo 4:10).
Hata malaika wote wanamsujudia Yesu (Ufunuo 22:8-9, Waebrania 1;6).
Ndiyo maana Yesu alisujudiwa akiwa mtoto mchanga alipozaliwa (Mathayo 2:11, Mathayo 14:33< Luka 24;52).
Hata pepo wachafu walimsujudia Yesu (Marko 5:2,6).
YESU NI MUNGU.
Shalaom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
ALLAH ANAINGIA JEHANNAM WAKATI MUNGU WA BIBLIA HATA INGIA JEHANNAM

Allah wao ataionja jehanamu pia
Quran 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Bukhari :: Book 9 :: Volume 93 :: Hadith 481
Narrated Anas:
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha.
SASA KUNA HAJA GANI YA KUMFUATA ALLAH ATAKAYE INGIA JEHANNAM?
Kwa wanao jua KIMOMBO:
Bukhari :: Book 9 :: Volume 93 :: Hadith 481
Bukhari :: Book 9 :: Volume 93 :: Hadith 481
Narrated Anas:
The Prophet said, "(The people will be thrown into Hell ( Fire) and it will keep on saying, 'Is there any more?' till the Lord of the worlds puts His Foot over it, whereupon its different sides will come close to each other, and it will say, 'Qad! Qad! (enough! enough!) By Your 'Izzat (Honor and Power) and YOUR KARAM (Generosity)!' Paradise will remain spacious enough to accommodate more people until Allah will create some more people and let them dwell in the superfluous space of Paradise. "
"Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))
Bukhari :: Book 6 :: Volume 60 :: Hadith 371
Narrated Anas:
ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA WAKATI MUNGU WA BIBLIA ANAPONYA WAGONJWA!!

Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.
SASA KWANINI NIMFUATE ALLAH AMBAYE HAWEZI KUPONYA MAGONJWA?
Shalom
KARIBU KWA YESU MUNGU MKUU NA MGANGA MKUU.
KAA! JAMANI YAANI KILA WAKATI ALIKUWA ANAWAZA NGONO TU!

Kasema Mtume (s.a.w) "Akimwita Mwanamme mkewe kwa haja ya kumuingilia, basi amjie hata ikiwa huyo mke yuko katika tanuri Jikoni anapika" aache kazi yake huko Jikoni amtimizie haja yake mumewe, hii ni haki ya mume. (Mkweli Mwaminifu, J. 1-2, Hadithi Na. 462, Uk. 204).
HATA ALIPOKUWA AKIUMWA!
''Mtume kuamka tu asubuhi aliamka na kichwa kikali na homa ndogo. Kila siku ikipambazuka na homa ilikuwa ikizidi. Lakini vivyo hivyo alikuwa akijikaza kwenda msikitini kusali na kwenda kumtimiizia ngono za kila mke katika wakeze tisa''
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
HII DINI NI YA AJABU SANA.
KWANINI ALLAH HAPENDI WANAWAKE WA KIISLAM?

ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!
Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri.
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH WA WAISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
LAANA NYINGINE KWA WANAWAKE WA KIISLAMU:
WANAWAKE NI WABAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH NA MTUME MUHAMMAD
WANAWAKE NI WABAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH NA MTUME MUHAMMAD
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza
Sahih Muslim - 4.2039
Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Shalom.
NAWAKARIBISHA WANAWAKE WOTE WA KIISLAM WAJE KWA YESU MUNGU MKUU NA ANAWAPENDA SANA.
PEACE
KWANINI MUHAMMAD ANASEMA JIBRIL NI SHETANI?

YALIYOMKUTA MTUME BAADA YA KUTOKA PANGONI!
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga".
MKEWE AMPA UTUME ILI KUMFARIJI!
Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
(Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12)
Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
(Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12)
HIZO NI DALILI ZA MTU ALIPANDWA NA MALARIA KICHWANI!
Sunday, February 26, 2017
ENHEE, KUMBE ALLAH HAJUI KILA KITU

ANADAI KUWA ANAJUA KILA KITU
………….
Katika quran 6:101 anasema:
Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
…………..
Ukisikia mtu anasema, “Nitaendaje wakati sina nauli?” unajua tu kuwa anachomaanisha ni kwamba, wanaoenda kule LAZIMA wawe na nauli. Hiyo ndiyo mantiki ya swali lake, si ndio?
…………..
Sasa huyu allah anauliza kwamba, “Nitakuwaje na mwana wakati sina mke?”
…………..
Mantiki yake ni kwamba, eti:
1. Ili Mungu awe na mwana ni LAZIMA awe na mke.
2. Sisi tusemapo Yesu ni Mwana, eti tunamaanisha Mungu alioa ndipo akamzaa.
…………..
Cha ajabu anamalizia kwa kusema:
Naye (yaani allah) ni Mwenye kujua kila kitu.
:O
:O
Yaani hapo eti ndio anatudhihirishia ujuzi wake!!
:O
:O
Eti anajua kuwa sisi, Biblia na Mungu wetu tunamaanisha hivyo!!
:O
:O
………….
Mwenye kujua yote!!
:D
:D
:D
…………
Hebu iweni wa kweli enyi familia ya allah, japo mara moja kwa mwaka.
Uongo kama huu mnauamini wa kazi gani?
Ingekuwa kweli hicho ndicho tunachomaanisha, ni kweli angekuwa mjuzi. Lakini hiyo siyo maana kamwe; sasa huyu allah ajuacho ni nini kama si kudanganyana tu hapa?
………….
Katika quran 6:101 anasema:
Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
…………..
Ukisikia mtu anasema, “Nitaendaje wakati sina nauli?” unajua tu kuwa anachomaanisha ni kwamba, wanaoenda kule LAZIMA wawe na nauli. Hiyo ndiyo mantiki ya swali lake, si ndio?
…………..
Sasa huyu allah anauliza kwamba, “Nitakuwaje na mwana wakati sina mke?”
…………..
Mantiki yake ni kwamba, eti:
1. Ili Mungu awe na mwana ni LAZIMA awe na mke.
2. Sisi tusemapo Yesu ni Mwana, eti tunamaanisha Mungu alioa ndipo akamzaa.
…………..
Cha ajabu anamalizia kwa kusema:
Naye (yaani allah) ni Mwenye kujua kila kitu.
Yaani hapo eti ndio anatudhihirishia ujuzi wake!!
Eti anajua kuwa sisi, Biblia na Mungu wetu tunamaanisha hivyo!!
………….
Mwenye kujua yote!!
…………
Hebu iweni wa kweli enyi familia ya allah, japo mara moja kwa mwaka.
Uongo kama huu mnauamini wa kazi gani?
Ingekuwa kweli hicho ndicho tunachomaanisha, ni kweli angekuwa mjuzi. Lakini hiyo siyo maana kamwe; sasa huyu allah ajuacho ni nini kama si kudanganyana tu hapa?
Imeletwa kwenu na Jimmy John
ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO

1) Allah anasema: "Popote mtapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
Sasa, kwanini Waislam wanasema kuwa Allah hana wakufanana naye?
HUU NI MSIBA,
ALLAH ANAVAA NGUO KAMA VIUMBE

HUU NI MSIBA MKUBWA SANA NDUGU ZANGUNI.
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah anasema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndio vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...
