Monday, March 20, 2017

GOD INTERVENES AS MUSLIM RULER FATHER TRIES TO KILL HIS CHRISTIAN DAUGHTER

Najima* is the daughter of a Muslim ruler.
Since childhood, she was a strong believer of Islam. She compulsorily practiced Islam by reciting the Quran, doing namaz prayer five times every day, fasting in the month of Ramadan and giving zakat to the poor and needy.
After her school years, she went to a Western university for higher studies, though she never missed her regular practices of Islamic pillars.
One day, she found a tract in her table, in which she read, “For Jesus hath made him to be sin for us, who knew no sin; that we might be made the righteousness of God in him” (2 Cor. 5:21, NKJ).
The verse struck her.
“How can Jesus … be sin for us?” she asked herself before throwing the tract away. But that verse came to her mind again as she went to bed that evening.
No matter how much she tried to forget that verse, it was projected in her mind again and again. She couldn’t sleep.
Then she felt her room filled with light like day. From the light she heard a voice, “Daughter, you’re a sinner. There is none righteous, no, not one: All are gone out of the way; they are together become unprofitable. But I came to take all of your sins. I did ransom for many. Believe Me and accept Me. I give you eternal life”.

DEAD MAN AROSE AMONG VILLAGE OF CHRISTIAN CONVERTS


An unreached people group in Southeast Asia gave their lives to Christ when their leader apparently dropped dead and came back to life after a group of believers prayed.
David Platt, president of the Southern Baptist International Mission Board, recounted the “modern-day resurrection” story during the Southern Baptist Convention’s Executive Committee meeting on Sept. 19.
A local Southeast Asian Christian who was brought to faith by some Southern Baptist missionaries took a group of friends and began evangelizing in the remote village, Baptist Press reports.
Villagers responded by bringing idols, necklaces, and amulets associated with their occult worship to be burned, Platt said, relaying the account of an IBM worker.
It is reported that shortly after the burning ceremony, the village leader was found dead.
The villagers said they believed they angered the local spirits by giving up their possessions. They asked for their ritual objects to be returned to them.
The Christians, discouraged by the request and the news of the leader’s death, traveled to where the leader was laid and prayed over his body “that God would show His mercy to the people in the village, that God would show His glory and His love to that people who were so close,” said Platt.

1200 MUSLIM REFUGEES IN EUROPE CONVERT TO CHRISTIANITY

AMSTERDAM — Hundreds of Pakistanis and Afghans have been lining up at a local swimming pool in Hamburg, Germany, to be baptized as Christians. In the Netherlands and Denmark, as well, many are converting from Islam to Christianity, and the trend appears to be growing. Indeed, converts are filling up some European churches largely forsaken by their old Christian flocks. All of which raises a question, not least, for the United States: If American presidential candidate Donald Trump gets elected and bars Muslims from entering the country, as he says he will, would the ban apply to Christians who used to be Muslims? How would one judge the quality of their faith?
For the moment, that quandary is a ways off for U.S. Homeland Security, but in Europe even now the phenomenon is fraught with echoes of the past, problems in the present, and omens for the future. Forced conversions of Muslims and Jews during the Spanish Inquisition were a dark page in Europe’s history. More than a little suspicion surrounds some of the current conversions, seen by some to be cynical bids to improve the chance of getting asylum. And, looking forward, it’s potentially quite dangerous for those who embrace the Gospel to return to homelands where abandoning Islam for another faith can be treated as a capital crime.
Still, many preachers are pleased. The German pastor of the Evangelical-Lutheran church in Berlin calls the conversion phenomenon “a gift from God.” In his modest community a staggering 1,200 Muslims, mainly Afghans and Iranians, converted in just three years.
In Hamburg, where German ARD TV showed the Pakistanis and Afghans lining up to be baptized by the pastor of the Persian Church community, more than 600 people reportedly were received into the congregation.
There is no reliable overall figure for converts in northern Europe, but judging by reports from different media outlets, it is safe to assume the number runs into the thousands, maybe even tens of thousands who say they want the Gospel, “the good news,” offered by Jesus Christ.
One young Iranian woman convert told the German news magazine Stern, “I’ve been looking all my life for peace and happiness, but in Islam, I have not found them,” Another convert told Stern he had found in Christianity an element—love—that was missing from the faith he was brought up in. “In Islam, we always lived in fear,” he said. “Fear God, fear of sin, fear of punishment. But Christ is a God of love.”

80 Migrants Convert to Christianity in Mass Baptism

At least 80 migrants in Hamburg have converted to Christianity from Islam in a mass baptism, but some question their motives.

In German Father’s Day is celebrated every year, not on the same date but rather on the Thursday 40 days after Easter. Father’s Day means more to Germans than simply celebrating their fathers but also for many religious Germans it is celebrating the Christian father on Ascension day.  This year saw 80 men and women from Afghanistan and Iran baptized and taking their first communion Stern reports.
“Today is a great day for us,” said Mahshad, one of the new converts. Mahshad came with her husband Amir to Germany from the Islamic Republic of Iran where converting to Christianity is illegal and can result at best in social exclusion and at worst, the death penalty.  The pair currently live outside of Hamburg in an asylum home and were invited to Germany by a Persian-Christian organization called “Alpha and Omega” who helped them apply for asylum in Germany.
The couple are not unique among migrants converting to Christianity. Breitbart London has reported many cases of migrants becoming Christians after they reach Europe like “Christopher” in Vienna who came to Europe from Afghanistan and said that he had wanted to convert for years but was afraid of the consequences.
However, Migrant converts like Christopher are finding that becoming Christians in Europe may not spare them from reprisal from Muslims. Christopher told an Austrian paper that he feared walking around in Muslim dominated neighbourhoods in Vienna and said his conversion, even in Europe could potentially be a “death sentence.”

Sunday, March 19, 2017

MAPEPO NI NINI? SEHEMU YA PILI

Image may contain: 6 people, crowd and text


Somo: Mapepo ni nini?
Lengo Kuu:Uhusiano Baina ya Mtu na mapepo
Lengo Mahsusi: Kujua namna ya kuzishinda roho za kipepo na kazi zake.
Uhusiano Baina ya Mtu na mapepo.
Bwana Yesu asifiwe sana,
Ndugu zangu wapendwa, karibu katika mwendelezo wa somo letu. Katika sehemu iliyotangulia, tulijifunza dhana ya pepo, asili na mkuu wa mapepo. Pia, tuligusia kwa ufupi juu ya utiifu wao juu ya Mungu na hatua ya kuchukua ili kukabiliana na uhalifu unaoendelezwa na mapepo kupitia maombi, toba na kulishika neno la Bwana.
Ndugu mpendwa, katika sehemu hii, tutachunguza Uhusiano uliopo baina ya mtu/binadamu na mapepo.
Tunaposema uhusiano katika muktadha huu, tunamaanaisha, vitu vinavyoweza kumkutanisha mwanadamu na pepo/ roho wabaya.
Yafuatayo ni baadhi ya maeneo yanayoweza kuwakutanisha binadamu na mapepo:-
(a) Sadaka- mwanadamu katika kukamilisha ibada zake, huweza kujikuta anatoa sadaka kwa mapepo. Tukio hili huweza kudumisha uhusiano baina yake na pepo. Zoezi hili, linafahamika sana kama tambiko, amabapo zawadi za wanyama, pombe, mazao mbali mbali na pesa pia hutolewa kwaajili ya masuala ya kiibada.
Sambamba na hili, wakuu wa ibada hizi, hujihusisha na shughuli za uaguzi, uganga, utabili na kubashiri,ramuli n.k.
Kwakufanya ibada hizi,mwanadamu hujifungamanisha na mapepo/ roho wachafu na kuongozwa nao.
Mara nyingine, watu hufanya ibada hizi wakidhani wanamwabudu Mungu na sadaka hizi wanamtolea Mungu, kumbe siyo kweli (Kumbukumbu la Torati 32:17).
Ndugu zangu, ibada hizi ni machukizo kwa Mungu na hapendezwi nazo. Mungu huchukia ibada hizi, yeye hafurahii ibada za namna hii kwakuwa ni ibada za mashetani.(1Wakorintho 10:20-30)
(b) Dhambi na Upagani- huu ni mlango mkuu wakuwanganisha watu na mapepo. Watu wengine hudhania kuwa wapagani hawatahukumiwa, ndugu yangu hukumu ipo tuu, ili mradi tu wewe ni binadamu, lazima hukumu ipo. Kujitenga na Mungu kwa kutenda dhambi adhabu yake ni hukumu, na hata mpagani atahukumiwa kwa dhamili yake. (1Timotheo4:1&2). Ndugu mpendwa, kubali leo umpokee Yesu, awe Bwana mwokozi wako, uwe huru.
(c) Kutii mafundisho ya uongo- mafundisho ya uongo ni yote yanayoenda kinyume na mwongozo wa Mungu. Kwa kuyatii, basi ni dhambi, na hukumu ya dhambi ni mauti. Kutolifata neno la Mungu kama lilivyo ni kufuata mafundisho ya uongo. Ndugu, tambua ya kuwa neno liko wazi na limefunuliwa kwa wote, hakuna atakayesema hakujua. Kila kona leo, kuna dini nyingi amabazo nyingine, hazifundishi kweli ya Mungu kama ilivyo, jiepushe na kujitenga na roho hizo, (1Timotheo 4:3-5).
(d) Kuyafuga- hii ni hali ya kukaa nayo. Njia hii, hutumiwa aidha kwa woga au kwa kuyapenda. Ndugu, hakuana urafiki kati ya pepo na mwanadamu. Daima lengo la pepo ni kuharibu na kuua. Kuna watu wanafuga mapepo, wengine wanayatumia kiganga, wanapagawa mapepo n.k. hili hufanaya roho hizi zifanye masikani ndani ya mtu, ndani ya uzao wake, mali, shamba na ahata mifugo (Mathayo 8:30-32).
Ndugu mpendwa, Kwa kuyapa nafasi mapepo kuwepo katika familia yako, hutoa mwanya wa kuitesa familia kizazi hata kizazi. La msingi hapa ni kuziamuru hizi roho ziondoke katika familia yako. Omba kwa vita na kukemea, ujitenge, uitenge familia yako, uzao wako, mali zako, shamba, biashara, mifugo na kila kitu, kiwe huru. Kikabidhi mikononi mwa Mungu awe Bwana na Mlinzi wako na kila kitu chako.
Je, mtu/ binadamu hupataje mapepo? Chanzo/asili yake ni nini? Endelea kufuatana nami toleo lijilo......Somo: MAPEPO NI NINI? [SEHEMU YA TATU]

LEO TUTAMTAZAMA BWANA YESU NA MUHAMMAD NI NANI MWENYE MATUMAINI YENYE UHAKIKA KATI YOA

Image may contain: 2 people, text
Tutapitia kauli zao walizozisema wakiwa Duniani, na kila mmoja atahukumu ni yupi mbora wa kufwata kati ya Bwana Yesu na Muhamad.
BWANA YESU ANASEMA
Yohana 8:12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Yohana 10:11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Yohana 10:14 Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;
Yohana 11:25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 6:40 Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Yohana 8:14 Yesu akajibu, akawaambia, Mimi ningawa ninajishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ndio kweli; kwa sababu najua nilikotoka na niendako; lakini ninyi hamjui nilikotoka wala niendako.
Yohana 14: 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo. 4 Nami niendako mwaijua njia.
Ufunuo 1:17… Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
MUHAMMAD ANASEMA
Q 46:9. Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
Q19:71. Wala hakuna yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia (hiyo Jehanam). Ni wajibu wa Mola wako uliokwisha hukumiwa.
Na ktk Sahihi Al-Bukhari IV, Hadith Na. 728, na VI, Hadith Na. 294. Muhamad anasema Eeh ndugu zangu Abdul Manaf, Abbas bin Abdul bin Mutalib, Safiyyah(shangazi) na binti yangu Fatima mimi sina uwezo wa kuwaokoa dhidi ya ghazabu ya Mungu.
Q 10:102. Basi, je! Wanangojea jingine ila (kuwajia) mfano wa siku za (adhabu zilizowafika) watu walio pita kabla yao? Basi Ngojeni! Mimi pia ni pamoja nanyi katika wanao ngojea.
Fafanuzi yake: Ukimwone mwenzio amenyolewa kwa jambo hilo hilo unalolifanya, basi kitie maji upesi kichwa chako kwani na wewe utanyolewa km alivyonyolewa.
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
"Mwenye kubadili dini yake (ya kiislamu, muueni" (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu. "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", by Ibn Sad, , ukurasa wa 225
Ndugu msomaji (Mkristo na Mwislam) tukiacha yote ni nani hapo anamatumaini ya uhakika ya kumfuata kati ya Bwana Yesu na Muhamad?
Bwana Yesu apewe sifa.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UTATU NI UPENDO

Image may contain: text


Yehova anaonyesha upendo wake kwa kutumia Utatu. Hebu ungana nani na uone jinsi upendo wa Mungu ulivyo kwa Mwanadamu.
(a) Baba – Yohana 3:16
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele”
(b) Mwana- Efeso 5:25
“Enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo naye alivyolipenda kanisa akajitoa kwa ajili yake.”
(C) Roho Mtakatifu – Rumi 15:30
“Ndugu zangu nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho jitahidini pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu”
Hoja inayohusu Utatu Mtakatifu iko wazi sana unaposoma Maandiko Matakatifu na ukiyafanya ndiyo dira yako .
Yesu mwenyewe alipokuwa hapa duniani alisema
Yohana 15: 24 “ kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine wasingalikuwa na dhambi ,lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu na kutuchukia “
Swali la ufahamu : Hao watu pale walikuwa wanamuona nani? Baba au Yesu au walikuwa wana muona Yesu ambaye ni Baba? Tafakari.
Katika Yohana 16:13-16
“Lakini yeye atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie kwenye kweli yote kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe lakini yote atakayoyasikia atayanena na mambo yajayo atawapasha habari zake .Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari .Na yote aliyonayo Baba ni yangu kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu kuwapasheni habari .Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona”.
Swali la ufahamu: Yesu yuko mbinguni na bado tena yuko duniani pote akiwa nani?
Matendo 20:28
“ Jitunzeni nafsi zenu na lile kundi lote nalo ambalo Roho Mtakatifu amewaweka nyinyi kuwa waangalizi ndani yake mpate kulilisha Kanisa lake Mungu alilolinunua kwa damu yake mwenyewe”
Swali la ufahamu:
“Aliyesulubiwa msalabani ni Mungu,Yesu au Roho Mtakatifu? Bila shaka ni Yesu Kristo”
- Kwanini Kanisa lisiwe mikononi mwa Yesu aliyesulubiwa? Ni kwa sababu Mungu ,Baba,Mwana,na Roho Mtakatifu ni umoja (1 Yohana 5:6-7)
- Mwana amemtukuza Baba duniani (Yoh 17: 4)Baba amewaketisha mwana katika mkutano wake wa kuume wa kiti chake cha enzi mbinguni.
- (Ufunuo 22:1, Marko 16:19)
- Mwana amempa Roho Mtakatifu kazi ya kulitunza kanisa ambalo Mungu alilinunua kwa damu yake.
Ayubu 11:7-10
“ Je wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikiria upeo wa huyo mwenyenzi? Ni juu mno kama mbingu waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni kufanya nini wewe cheo chake ni kirefu kuliko dunia ni kipana zaidi ya bahari”.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UTATU NI MUNGU

Image may contain: text


Katika Utatu tunafunuliwa kuwa Yesu ni Mungu kama alivyo Baba yake na Roho Mtakatifu.
Ungana nami na tusome Biblia takatifu kwa pamoja.
1. Baba ni Mungu:
Filipo 1:2 “ Neema na iwe kwenu na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo”.
2. Mwana ni Mungu:
Yohana 1:1:14 Kolosai 2:9
• Hapo mwanzo kulikuwako Neno , naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu ------------, Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli”.
• Kolosai 2: 9 “ Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa jinsi ya kimwili”.
3. Roho Mtakatifu ni Mungu
Matendo 5:3-4 “ Petro akasema Anania kwa nini shetani amekujaza moyo wako kumwambia uwongo Roho Mtakatifu na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja? Kilipokuwa kwako hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwishauzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako?.Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu”.
Roho Mtakatifu ni, nafsi ya tatu ya Mungu yenye hisia “emotion”, huhuzunika (Efeso 4:30), hunena, (Ufunuo 2:7), anaweza kuzimishwa ((1Thesalonike 5:19), Hufurahi (Rumi 14:17) .Hivyo Roho Mtakatifu ni Mungu Mwenyewe na wala siyo kitu tu (impersonal) (Yohana 4:24) .
Pia katika kitabu cha Isaya 63:7-10 “ Nitautaja wema wa BWANA, Sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israel, aliyowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake. Maana alisema, hakika ndiyo watu wangu hawa, wana wasio na hila; akawa Mwokozi (Yehoshua) wao. Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale. Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia , akawa adui , akapigana nao”
Nategemea sasa umesha elewa kuwa, SOMO LA UTATU ni muhimu sana, maana linatufungua macho na kufahamu Uungu wa Yesu, Uungu wa Roho Mtakatifu na Uungu wa Yehova.
Shalom,
Max Shimna Mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU NI NURU YA ULIMWENGU

Image may contain: cloud, night and text
Yohana 8:12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.

Mpokee Yesu na upate Nuru maishani mwako. 

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

YESU NI MLANGO

Image may contain: cloud, sky and text


Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Hakuna Njia nyingine zaidi ya Yesu. Ukitaka uhakikisho wa maisha baada ya kifo, basi ni lazima upitie MLANGO WA YESU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

TRENDING NOW